TAZAMA RAIS SAMIA NA MTOTO WAKE WANU WAKICHEZA MUZIKI HARUSI YA MTOTO WA RAIS MWINYI
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Raisi wetu nakupenda nakukubar mungu akutunze
Hakuna kama mama❤
Safi Sana mama ni muhimu kuwa unatambua umuhmu wakujua na kujumuika na familia. Pia mama ni mama tu.mungu akulinde na Maisha marefu
Mashallah
Allah akuongoze ujifunze uislam wako ten vizur
Raha ya harusi sherehe tumuache dr hussen asherehekee jmn 😊mashallah imefana mdumu milele inshaallah ❤
Congratulations to you our president with your daughter ,be blessed !
Asante tuko pamoja .
Mama samia Hoyee
Mungu hayupo hivyo kwahiyo watu wasicheze jamani. Mungu yupo hivyo.mabaya ni mengi huko mbinguni hawaendi kwa dini.
manu kama vile kunamtu anamwangalia hamwon ila mmependeza sana hongeren
Ooooh! Waooooo, Mama na Mwana pendeza sana. Mama nakukubali mno maana wakati wa kazi ni kazi tu na Social time kama kawaida. 😂
Beautiful ❤️❤️🫶🫶.
Subuhanallah enyi wanaadamu mumehurika na dunia hii ya mpito asghafirullah yaarabi
Kwenda zako
Mola kakataza wapi watu wasiburudike?? Hamna haramu hapo
Mama samia baba yuko wapy
Hongereni nyote
❤❤❤
Naomba niulize . Huyu ndio bi harusi wa kwanza kuingia ukumbini kichwa wazi ?
Mama babayuko wapi jamn mngependeza sana mkiwawote
Mama baba Yuko wapi?
Huyu hapa🚶♂️😂😂😂
Huu nimsiba mkubwa
Wanu anafaa kua askari maana haja kaa kizembe
😂😂😂umeona
Kwenye arusi ujiinamie na msiba ufanyeje? Wakati wa kufurahi furahi tuu. Na nafasi ya kutumia ukiwa nacbo tumia maisha ni hapa hapa duniani.
😢😢😢
Ndio wachoweza hicho 😢
Pesa zetu za kodi munazifanyia ufisadi 2
Acha ujinga na wewe ungesoma
Mmashida gani na maisha
Nakupenda sanaaaa Rais wangu ❤
Raisi wawatu
Tanzania hoyeeeeeeeeee
Sasa huyo mwanao mtandio vipi au hata wewe mnafiki AU pesa dini iko wapi
Raha rahani❤🎉
Mhuu !
Kazaa nae watoto wawil
Mama yetu mpendwa ulipendeza sana,,
Mbona mwanawe hana hijabu😂
Allah awaongoze
Ningelikuwepo ningelicheza na yule Mpambe wa Rais Samia
Maana naskia ety "Chezeni wawili wawili" nisingelipenda awe mpweke😮
😂😂😂😂😂
Mama kwel unaupiga mwing kila idara
Wamechemka kwa kel
Kwan kucheza music dhambi mbona waislamu madada zenu vigodoro kutwa hamkemei wivu tu
kwa wanawake hawa wakiislamu angalau wajifunze kwa mama,
yaani mama hata aende ulaya humkuti kukaa kichwa wazi.
Labda bmkubwa ana upala
Hakuna mila na disturi za kiislam hapa ni ukafiri mtupu hakuna sheria ktk uislam mwanamke wa kiislam kukaa kichwa wazi
Hii dunia tutaiyacha tufanye ya kumfurahisha ALLAH. kwenye uislamu hakuna miziki
Wenye hela huwa wanajisahaulisha ili waweze kutumia hela. Tuombe Mungu
Kumbe
Upo saa hii mziki na muislam sio mahali pake. Allah awafanyie wepesi. Mtihani!!!
Sema hela huna ,hata kaswida ni muziki pia mpendwa
@@emmadora7848 hachezi mziki lakin anazini ,anasengenya
Mme wako Yuko wapi bana
Wanu ni usalama Mana sio kwa mzunguko huo wa shingo
Kuleni raha zamu yenu hii
Mbt
Nakubali🎉🎉🎊🎊🎊💞💞💞🎈🎈🎈🎈💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃🔥🔥💯
Kwani wanu kashaolewa au bado
Muulize mama
Mimi ndie baba yake mdogo lete mahari tukuozeshe
😂😂
kuna mtu kasema mumewe Wanu ni Mchengerwa wa TAMISEMI
@@jedidahbintidaudi8241 mtasutwa
Wanu mume wake mchengerwa
Mchengerwa yule waziri wa TAMISEMI au?
😂😂😂😂😂
Huna makuu mama
Raisi wetu nakupenda nakukubar mungu akutunze