ITAZAME HARUSI ya Binti wa DKT MWINYI, MC DR CHENI Auwasha Moto wa Hatari
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Mc DR Cheni aifanya sherehe ya Binti wa Rais wa Zanzibar Mh DKT Hussein Ali Mwinyi iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali, Akiwepo Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, pamoja na viongozi mbalimbali mawaziri na wenye hadhi.
SUBHANALLAH ALLAH ATUHIFADHI MTOTO WA ALHAJ NA HAJAT,NIKWELI ROHO ZA WANAWAKE ZIMEONEKANA NYINGI MOTONI,WANAUME WOTE WAMEVAA, WANAWAKE MTIHANII UCHI ,NAMZIKI YAARABY TUJAALIE UCHAMUNGU.
Hapana hapa za wanaume zitakuwepo maana kila mchunga ataulizwa na hapa wanaume walikuwepo ikiwemo baba,mume na kina kaka je walikataza???mbona wanaonekana kufurahia ......moto hautachagua mwanamke wala mwanaume kila mmoja ataingia kwa mizani yake na kuongoka kwa mizani yake
Binaadam kama huwezi kuangalia usikosoe watu au ndio ivyo mufanye nyie tu akifanya mwingine Soo ... harusi nzuri .watu hufanya laana hamsemi
@@user-cg8be5ou7y Halafu kila ijumaa misikitini ,,na hotuba nzuri nzuri,,lakini uhalisia ni huu unaoonekana ,,,Ama kweli kama inaingia akilini kidogo vile watu wasemavyo mtu ukitaka kumjua uhalisia wa imani yake yoyote ile anayoiamini basi kwanza kuangalie nyumbani kwake kukoje hapo ndipo itasaidia kupata picha halisi ya yeye mwenyewe alivyo
Kweli tena binadam mnapenda kuhukumu mwachen Mungu atahukumu mwenyewe humdhaniae ni mdhambi sana wewe mwenyewe jitazame kwenye roho yako kwanza na kama unaona ni mbaya wewe unatazama ya nini nawewe pia utakuwa umeshiriki
Kwa kweli ni mtihani. Allah atusamehe na atuhifadhi kwa matendo yetu
Matendo Gani mliyaona wameyafanya kuzidi wengine ama ni roho zenu tu za fitna, choyo na chuki.
Hovyooo
Salmahalfani hujinui2 lakini wewe ndowahovyo tena uhovyo wako umepita huo uhovyo wenyewe hujitambui kabisa isome dini yako vzr ndoutajua kwamba wewe nimtu wa hovyo kabisa
Watu mna nini
Alfu mabrooqin maharusi na wazazi pia. Allah aidumishe ndoa ya wawili hawa. Maharusi hoyeeeeeee💃
Imekaribia watu hisabu yao lakin wao wameghafiliaka na maisha yadunian
Ongera sana Rais Hussein kwa kupata mkwe❤❤❤🎉🎉Mungu awajalie ndoa yao iwe na amani Milele. By Mtwara.
Jamaan ,ndoa ya kiislamu haiko hivo , tena bibi harusi kichwa wazi kweli duuh ,Allah atusamehe sana
Wallah mtihan dini imewekwa nyuma jaman msiba
Mtiani ndugu yangu
Ujue mie mnanifurahishaga sana nyie watu kwahyo nyinyi mnaabudu dini na sio MUNGU yan kila kitu dini dini dini. 😂😂@@fatmafatu1128
Dini kama kinvuli tu hakuna haya na bila haya hakuna imani
Asiokua na haya na imani hana
Kwa sababu huna, ungekuwa nacho ungefanya zaidi ya hivyo
Jamni hata ungekuwa wewe ungefanya maan zaidi ya hayo Wacha kila mtu na wakati wake muombe Mungu akupe nawe furaha
Sio kweli rabda wewe tu ndio ungefanya. ila furaha Yako isiwe sababu ya kumuasi Muumba lakuomba Allah atuongoe, atufahamishe na atusamehe
Pesa za umma zinateketea, hakika viongozi mnayo ya kwenda kujibu mbele ya ALLAH, juu ya kuchunga mali za umma na amana ya uongozi, pesa ya umma inateketea
We kweli kireja kwan uyo husen alipwi mshahara adi useme ivi kas punguza masiriko ulitumwa uzaliwe ktk umasikini
😅😅😅😅😅@@nishaabdula5015
Sio viongozi tu wanayo ya kwenda kujibu hata mm na weye tunayo ya kwenda kujibu Kwa Allah
Choyo tu
Muongoooo ww Bora sema sababu nyengine uyo Hussein mwinyi pesa anayo kabla ya harusi acha siasa mbovu apa na tuseme maendeleo huyaoni au roho ya kisonokoro tuu penda maendeleo Wacha siasa ktk maisha ya watu
Acheni wivu ukafiri ni tabia yako tu ukristo na uislam ni kitu kimoja tu, Mungu wetu ni mmoja na harusi ilifana sana tena vbaya mno hongera dr.cheni kwa kazi nzuri na haujamuangisha mzee mwinyi hyo ni harusi ya taifa na history yake itabaki kukumbukwa sana...nmependa sana kazi ya nchi hii mtoto wa rais ni Rais pia daima tutawasapot na kuwaheshimu hii ni harusi ya kimataifa kaka hakuna ukafiri hapa kazi imeenda wao wanaofunga na kuendeshwa tofaut na makafiri ndio wafanya maovu na harusi zao za wiki moja tu wameachana...piga kazi baba
Ongera kwa harusi .Tunawaombea kwa Allah awangoze mwende madrasa mkasome..yaani kuacha kichwa wazi Subhannallah
Haina tafauti na kikafiri leo waislam wametoka katika Mila ya na wanafata Mila za wayahudi 😢
@@mohammedmussa7378 kweli kabisa maneno yako,,hii harusi kwa wale waislamu wasioipenda dini yao pamoja na wale wenzetu wakiristo kwao ni shughuli nzuri na ya kufana sana,,lakini kwa muislamu yoyote mwenye imani japo kidogo,ya dini yake shughuli kama hii hasa iliyonasibishwa na kiongozi anaejipambanua na kujinasibisha na uislamu ,inakera na kuhuzunisha sana,,kiasi ya hata mtu kushindwa kuiangalia mara mbili
Mbona hawasemi bwana harusi ni nani? Duh! Kiukweli wamependeza sana. Hongera Mhe. Dkt. Mwinyi na Mama pamoja na Wakwe wazaa kijana 👏🏽👏🏽👏🏽
Mm sina tuu izo pesa lkn nizipate wallah nafanya hasaa watu waone
Hizi pesa za wanainchi ndio zinatumika kwenye sherehe hii iko kaxi
@@abdullahabdul9246 ulijuwaje itakuwa na weye umo kwenye hao wanaokula pesa za wananchi
@@abdullahabdul9246 kwani usipo changa wewe wengine hawachangi ukizingatia yupo kwenye mamlaka midomo kazi yake kusema na si kwenda chooni
Acha roho mbaya kwan halipwi ?
Rais wangu hongera Kwa kupata mkwe mungu awabark wanandoa mkawe wa her katika maisha yenu
B harusi angejitanda kamtandio kazuri angependeza sana. Watu wamejiachia tu, bara hata ingekua wanawake tu na hairushwi mitandaoni hapo kweli.
Hta mm nimewaza angejitanda angependeza sana
@@fettiemaganza1484jitanda wewe yeye ndio kapenda hvy hvyo na mumewe
@@myunaniniahmad6463 Huyo kaolewa na mkiristo bana uisilam mwisho leo. Huko bara maigizo tu
Sijafurahia harusi hii jinsi ilivyoendeshwa haina tofauti na ya kikafiri.Allah atuongoze waja wake
Walifurahi Familia inatoshaaaa,wewe naniiiiiiii?? Poleeeee weweeeee,katafute hela usivae kanzu siku ya Ndoa ya mwanao au nduguyooooo bwana sheheeeee
Kwel wanaloo mbaya walipendeza Sana jaman mungu awajalie maisha malefu Sana na hongera dkt mwinyi
Hatari kama ikulu inasimama kwa ujinga ujinga ila wanetuonesha ni watu wa aina gani
Wasidhani kwamba allah ameghaflika kwa wanayoyatenda madhalimu..😢
Wakifanya wengine hamsemi
@@MassoudMaghwaly-jo8sh na wewe una yako unayoyafanya Mungu anakusamehe tu ,punguza mdomo
Acha roho mbaya tafta pesa, we mwenyewe mwanga unakwangia watu na mungu anakuona
@@user-mv8hk9fe2yanakwanga na babaako uyoo
Kwakweli pesa zetu za Kodi zimeteketea doh, harusi kama ya kifalme
Fanya kazi ujienjoy hao kwa nafasi walizokuwa nazo sio mshangao kufanya walivyofanya ni majibu ya kufanya kazi
Kuna watu co marais wanafanya shuulj za garama acheni makasiriko masikini
Mie nadhani kila mtu na maoni yake lakini katika maisha fanya kitu ukipendacho kuliko kufanya usicho kipenda ukaishia kutamani na hakuna dhambi mbaya kama tamaa. Maisha yenyewe mafup❤
Aibu wallahi
Yani Harusi mashallwa sisemi mengi lkn Allah ndie Hakim.
Kwanin lakin mnamponda bib harus kunika kichwa so lazima mume ndo kapenda iwe Ivo na pia sku zote iman ndo inampeleka mtu mbingun unaweza ukafunga malemba Yako matendo ovyo moyon mwako mwachen mtoto wa rais alipendeza waafrika tuna shida sana yote haya kukosa elim
Muache rohombaya za kisiasa kwani pale raiya wakawaida wanapofanya harusi zaajabu na mtu huwa hana uwezo ...tuseme pesa zinatoka wapi mafisadi nyie mie niraiya mwenzenu muache roho za kwanini .muache hasad loh .poh yasini ....nilie tuma huu ujumbe naitwa halima salum suleiman
Arusi ya kiislam
Kama si waislam mtihani
Yaa rabb tunusuru
Waislaam ndo nn maan hata dunian hamjai bas
@@deviselisaria5488haikuhusu
Masking unakusumbua
@@3leggedbird222 jifunze kuandika bs
Mungu awatuze maharusi wetu ongera sana wazazi kupata mkwe
Harusi utadhani ya kikafiri waislaam wa kweli hawafanyi upuuzi huu ila tuombe Allah atusamehe madhambi yetu yasiri na ya dhahili
Wivu tuu
@@user-wo2ye5vh4q kwa mkafiri ndio atasema wivu ila kwa mwisilaam anaejuwa nini maana ya uislam hawezi kusema wivu
Mshamba ww,kila Kitu ni Kafiri
@@mathewungani9724 ndio kila ovu limeanzishwa na makafiri
@@fatmafatu1128uko sahihi kabisa,dunia imetumeza tu kasahau
Aakhera yetu!raha furaha na utamu wa muda mfupi wa iblis 🤏🤏 huaribu uhusiano mwema wewe na mollah wako! Astaghafirullah, Allah atusamehe
Siungi mkono harusi ii Allah ni mkali wa kuadhibu
😂😂😂😂 Kuna aliyekuomba ujiunge mkono? Mbona kiherehere kwenye mambo yasiyokuhusu?
Mishahara mpk leo kimya watu wanaumia njaa ila hz hela zilizopotea hapa.
Mungu ndie hakimu
Kwa Rais akifanya kazi halipwi mshahara? Ama hana ndugu, narafiki na jamaa wa kumchangia pia msisahau kua nae pia alikua ni mtoto wa Rais hata urithi wa marehemu babaake pia anao.
Ilikuwa nzuri sana hongera sana kaka yangu dr cheni ulifabya vizuri sana kaka hongera sana lkn huyu aliyeongea hapo mwambie asiseme loyal ni royal asante😊
Mtangazaji ni Royal sio Loyal wedding, sielewi kwa nini mtu unashindwa kutofautisha hayo maneno.Ra Re Ri Ro Ru fanya mazoezi
Wee acha tu..L inakuwa R na R inakuwa L.
Matokeo yake imeleta maana tofauti kabisaaa.
😅😅😅
Kwan waislamu wanaozeshana ivii hii ni dini gani
Uislam hauruusu sherehe kamahiyo 😂
Dr chen
Good job🥰
Upuuz mtupu waisam wenzio wajifunze nn
Jamani mependeza sanaa mungu awatunze
Kila kitu kimeandikwa ,mmtaenda kujibu mbele Allah
Ingekuwa simple mungesema imekua ya gharama mungesema binadamu hamna jema harusi imependeza hakunana ukafiri hapa ndoa ni jambo jema Mungu abariki ndoa yao
Nashangaa wanawake wa kiislam wote vichwa wazi
Umependeza sana mtoto wa doctor Mwinyi achana na watu wanaohoji nywele ,kwani nani alisema kufunika kichwa ndiyo kwenda mbinguni? huko mbinguni tutafika kwa matendo mema nasiyo kufunika nywele huo ni utamaduni tu kama masai anavyovaa lakini haufikishi mtu popote
Nyinyi endeleeni kula hii nchi siku wananchi tukiamua mtakoma w
Tuna hali mbaya tusio na ajira kwa ajili ya serikali inayovinjari kitajiri😢
Wivu huo jamani
Mtaamua nini nyinyi mzao Nyerere ?
Loyol wedding au Royal wedding
😂
Mnauhakika kafanya raisi au kafanya mwenyewe mtto waraisi na watapta wake ...punguzeni siasa hebu mnachekwa na nchi za jirani watu wanakuoneeni choyo mnamaendeleo lkn kumbe nyie wenyenu mna hasad na vijicho nyooni
Safiii sn doct chen hurigi km.mwenzsko upovzt sn
Mapozi yawazidi mpaka wanaboa ila cheni safi mwanaume unaringa mpk haibu
Mara ngapi mnafanya harusi kubwa na nzito zinashinda harusi za kifalme ...tena leo imekua vioja raisi kufanya harusi yamwanawe namna iyo
Viongozi WA nchi mjiandaae majibu ya kwenda kujibu ktk mahakama ya allaah uongozi miliongoza vipi watu WA Hali ya chini maana wengine wanalala. Njaa wengine wanafanya islafu
Ss ulitaka wote tufanane jmn kaa ebu ounguzrni makadiriko fanyeni kz ungekuwa ww ndo mtt wa raus ungekataa kufanyiwa hayo
jamani jamani ! kwani nae hana mshahara? ... iwe ww unafanya harusi kwa mujibu wa kipato chako .... mukaacha choyo na roho mbaya
Ni vizuri kubariki kuliko lawama.Wamebarikiwa na wataendelea kubarikiwa
Harusi ya mtt wa Alhajji Hussein huu ndio uislam wetu tunahalalisha tunachokitaka na tunaharamisha tusichokipenda YA ALLAH tuoneshe haki tuifate
Allahumma amiiiiiin
Mbona nyinyi mnafanya jamani.
Mmasai hawezi kiwa muislam changa la macho tu hilo
@@munisindeshisamson3590 Eh bwana kumbe
Jamani mm namtetea mwinyi wanawake wa miaka hii wananguvu saaana kuliko wanaume huwezi jua nani ana sauti ndani ya nyumba Yao ,mama ndio kaamuru hizi kuflu
Congrats
Hawataridhika mayahudi na makafiri mpaka mufuate milazao hatua kwa hatua, innah lillahi wainnah ilayhi rajiuun😢
Faida ya karafu na pesa za wanyonge wanaotoa kodi zimekwenda Allah anaona Mahkama kubwa ipo
Nzuri sana
Cheni anskiheshimu sana Hana kashifa
Ukafiri ni Kwenda Kinyume na Maadili ya MUNGU wetu, Mfano:
1, Kuowana Mme na Mme mwenzako, au Mwanamke kwa Mwanamke, Huo ndiyo Ukafiri.
2, Kusagana, Kulawiti, Mwanamke Kuingiliwa Kinyume na Maumbile Sahihi, Huo ni Ukafiri.
3, Kutokuswali, au Kusali na Kumshukuru Mungu wetu, Huo pia ni Ukafiri.
Nikisoma comment za wanaojiita Islamu utakuta wengi ninkujihesabia haki kwamna ni wasafi, aliyewaambia dini ndiyo muumna yupo hapo ni nani? Kwanza aliyetuumba hana dini! Sasa ni kulalamika kavaa uchi, mara ohoo hakuna uislam hapo dini haipo hapo, aise Poleni sana bado mna safari ya kumjua aliyewaumna yukoje.
Amka kabla hujafa Acha kiburi na Ibilis muweke pembeni fuata din y allah invotaka kil kit dunian kin muongozo wake n mwisho wake Allah ametuumb kisha akatuekea muongozo kwamb tujisalimish kwake yaan tuwe waislam tumtii yy tutii na amri zake ww kam nan unashindwa kumshukur aliekuumb kw kutii amri zake atakaefuata amri za Allah pepo itakuwa makaaz yake baad y kufa kwake atakae kataa moto nd makazi yake Acha kiburi jisalimish
Achen usenge uwo tena harus ya mtt wa rais mnataka ifanywe vp hamna shukran wanadam nyinyi ingefanywa simpo pia mngefuja
Subhannallah ×3 hawata waridhia mpka mtakapo fuata mila zao
Mie nilijua atafanya sherehe kwa kufuata tamaduni za dini ya kislamu dada apO rais wangu umefeli nakwambia asa rud kwa mungu ustahafiru . Fahmu hao uliowalika kila mtu na njia yake
Wanafik mmejazana hapa na comments zenu za kinafik,,mnajifanya kuijua dini saana,,hamna lolote umaskini na chuki ndio zinawasumbua
Hizi sio mila na desturi zetu wazanzibar,,mimi nilitarajia hawa wanaojiita viongozi wafanane au wawe mbele zaidi ya kudumisha ule uhalisia wa ile jamii wanayoiongoza,,
Kama hapa kwa mazingira yaliyoandaliwa hapa sisi wazanzibai ambao wengi wetu ni waislamu tunajifunza nini ,,ktk shughuli za viongozi wetu
Bismillah mashalah ❤❤❤❤
Makafiri wanaoona wenzao ni makafiri. Msijihesabie haki kwa maarifa machache mlionayo juu ya ukuu wa Mungu
Ila jamna harusi imependeza bibi harusi angejitupia kimtandio hapo ingependeza zaidi
"Loyal" wedding tena jamani😅. Ni Royal bwana
Asahihishe matamshi
Mvumilie tu kwani ndo aina ya wanahabari wa siku hizi, zero professionalism hasa kwenye hizi online media😪
Si shida kupendeza shida ajitambue yeye Nani na inasemakana kaenda maka kuhiji ss faida ya hija iko wp
Ila jaman ukiwa huna mengi utasema, ila wapo vzr
Sasa ndoa imefungwa wapi hata makanisa ukijiacha wazi wanawagomea mpaka ujshone nguo iliyofunika
Ivo wao ndio wa kwanza kuoana! Sikuhiz wata wafanya harusi sio ndoa.
Mashallah
ROYAL SIO LOYAL JIFUNZE MATAMSHI UNAJIKANYAGA
Subirini ijumaa mukafunguliwe msikiti.hiyo ndio dini na Dunia.duniani tunapita tu tumuogopeni Allah
Nchi tamu hiii😂😂😂😂
Jamani hii harusi mahasidi wasiiyone idumu kama wazee wao /
Mcha mungu kateleza
Ukafiki na uislam ni vitu viwiii tofauti
Nakumbuka hao watoto wa mwinyi walivyokuwa wakitoka Shule Africa kusini na kuja ubarozi flani hivi Kwa ajili ya Likizo na utalii
Sasa mnatuonyesha iweje mbona ni kama harusi zingine tu !
Pesa zetu izo
Mmependeza
Hii dunia tutaiyacha harusi km ya makafiri.badala ya kumfurahisha ALLAH tunafurahisha watu ,tusiwe wanafiki ,tuwe waislamu kamili hiyo siyo harusi ya kiislamu ni harusi ya kikafiri mashekh wapo kimya kwasababu ni rais.😭😭😭😭😭😭
Sheykh athman maalim uko wapi waona munkar huwo
Mashekhe watasema kwa wanyonge Tu mawaidha makubwa lkn kwa wakubwa kimyaaaa Wanalinda ugali wao
Waislamu tunakocopy kwa wakiristo na kupaste kwenye mambo yetu. Ni mtihani kwa kweli
Inna lillah wainna ilayhi raajiuna
Walifunga ndoa kanisa gani
😂😂😂 ni kweli kabisa hakuna harusi ya kiislamu ya namna hii eti harusi ya mtoto wa rais ya kipuuzi namna hii sasa watu wataiga nn kwa rais. eti alhaji ,
Safi bint kwa kuolewa
Naogopa kusema nisije nikatumiwa ugeni
Très très belle robe 🎉
Mbona mwenza Samia hstumuoni aje nae ukumbini au mama yupo single nn😅😅😅
Mwezi wa mama samia yuko wapi au ndo single
Mmasai ameramba dume,heshima kwa wamasai
Rungu,sime ruhsa zanzibar
Sherehe za viongoz wakubwa km hawa mara nyingi vitu vingi hudhaminiwa na wafanya biashara unaweza kukuta vingi ktk hivyo wametunukiwa km zawadi tu.punguzeni makasiriko.
naona alhaji mwinyi kaghafilika kidogo
akakae uyo sio sherehe kubwa.mwez kwao
Ukihukumu na wewe utahukumiwa kila mtu na kaburi lake nyinyi mnaojifanya mna dini mnawezajikuta mna madhambi mmemzidi mpaka shetani
Muheshmiw rais jirekebishe wewe ni muislam ndo unwafundisha nini waislam apo mwanao yupo kichwa wazi Halaf n ww upo unajichekesha tu cijawahi ona kweli Rais kama rais bado hatujapata ni mitihani tu ewe allah tulindie vizazi vyetu n haya mambo
Mzuri
Ndoa ikawe yenye kheri
Kwan lais husen mwinginyi nikaka ako