ITAZAME HARUSI ya Binti wa DKT MWINYI, MC DR CHENI Auwasha Moto wa Hatari

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Mc DR Cheni aifanya sherehe ya Binti wa Rais wa Zanzibar Mh DKT Hussein Ali Mwinyi iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali, Akiwepo Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan na waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, pamoja na viongozi mbalimbali mawaziri na wenye hadhi.

КОМЕНТАРІ • 317

  • @user-cg8be5ou7y
    @user-cg8be5ou7y Місяць тому +23

    SUBHANALLAH ALLAH ATUHIFADHI MTOTO WA ALHAJ NA HAJAT,NIKWELI ROHO ZA WANAWAKE ZIMEONEKANA NYINGI MOTONI,WANAUME WOTE WAMEVAA, WANAWAKE MTIHANII UCHI ,NAMZIKI YAARABY TUJAALIE UCHAMUNGU.

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 Місяць тому +1

      Hapana hapa za wanaume zitakuwepo maana kila mchunga ataulizwa na hapa wanaume walikuwepo ikiwemo baba,mume na kina kaka je walikataza???mbona wanaonekana kufurahia ......moto hautachagua mwanamke wala mwanaume kila mmoja ataingia kwa mizani yake na kuongoka kwa mizani yake

    • @NoIe-zq7jo
      @NoIe-zq7jo Місяць тому

      Binaadam kama huwezi kuangalia usikosoe watu au ndio ivyo mufanye nyie tu akifanya mwingine Soo ... harusi nzuri .watu hufanya laana hamsemi

    • @rashidomar2771
      @rashidomar2771 Місяць тому

      @@user-cg8be5ou7y Halafu kila ijumaa misikitini ,,na hotuba nzuri nzuri,,lakini uhalisia ni huu unaoonekana ,,,Ama kweli kama inaingia akilini kidogo vile watu wasemavyo mtu ukitaka kumjua uhalisia wa imani yake yoyote ile anayoiamini basi kwanza kuangalie nyumbani kwake kukoje hapo ndipo itasaidia kupata picha halisi ya yeye mwenyewe alivyo

    • @user-iq6gx4pr8b
      @user-iq6gx4pr8b Місяць тому

      Kweli tena binadam mnapenda kuhukumu mwachen Mungu atahukumu mwenyewe humdhaniae ni mdhambi sana wewe mwenyewe jitazame kwenye roho yako kwanza na kama unaona ni mbaya wewe unatazama ya nini nawewe pia utakuwa umeshiriki

  • @mwanaishasaleh9781
    @mwanaishasaleh9781 Місяць тому +14

    Kwa kweli ni mtihani. Allah atusamehe na atuhifadhi kwa matendo yetu

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Місяць тому +2

      Matendo Gani mliyaona wameyafanya kuzidi wengine ama ni roho zenu tu za fitna, choyo na chuki.
      Hovyooo

    • @user-zc9ly7qc5v
      @user-zc9ly7qc5v Місяць тому

      Salmahalfani hujinui2 lakini wewe ndowahovyo tena uhovyo wako umepita huo uhovyo wenyewe hujitambui kabisa isome dini yako vzr ndoutajua kwamba wewe nimtu wa hovyo kabisa

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Місяць тому

      Watu mna nini

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Місяць тому +5

    Alfu mabrooqin maharusi na wazazi pia. Allah aidumishe ndoa ya wawili hawa. Maharusi hoyeeeeeee💃

  • @NassorrajabJuma
    @NassorrajabJuma Місяць тому +18

    Imekaribia watu hisabu yao lakin wao wameghafiliaka na maisha yadunian

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Місяць тому +4

    Ongera sana Rais Hussein kwa kupata mkwe❤❤❤🎉🎉Mungu awajalie ndoa yao iwe na amani Milele. By Mtwara.

  • @AminaKidare
    @AminaKidare Місяць тому +2

    Jamaan ,ndoa ya kiislamu haiko hivo , tena bibi harusi kichwa wazi kweli duuh ,Allah atusamehe sana

  • @pilimohammed3163
    @pilimohammed3163 Місяць тому +15

    Wallah mtihan dini imewekwa nyuma jaman msiba

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Місяць тому +1

      Mtiani ndugu yangu

    • @augustinofifi
      @augustinofifi Місяць тому

      Ujue mie mnanifurahishaga sana nyie watu kwahyo nyinyi mnaabudu dini na sio MUNGU yan kila kitu dini dini dini. 😂😂​@@fatmafatu1128

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Місяць тому

      Dini kama kinvuli tu hakuna haya na bila haya hakuna imani

    • @mohammedmussa7378
      @mohammedmussa7378 Місяць тому

      Asiokua na haya na imani hana

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Місяць тому

      Kwa sababu huna, ungekuwa nacho ungefanya zaidi ya hivyo

  • @yustinaedward2339
    @yustinaedward2339 Місяць тому +8

    Jamni hata ungekuwa wewe ungefanya maan zaidi ya hayo Wacha kila mtu na wakati wake muombe Mungu akupe nawe furaha

    • @massoudalimussa2059
      @massoudalimussa2059 Місяць тому

      Sio kweli rabda wewe tu ndio ungefanya. ila furaha Yako isiwe sababu ya kumuasi Muumba lakuomba Allah atuongoe, atufahamishe na atusamehe

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Місяць тому +14

    Pesa za umma zinateketea, hakika viongozi mnayo ya kwenda kujibu mbele ya ALLAH, juu ya kuchunga mali za umma na amana ya uongozi, pesa ya umma inateketea

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Місяць тому +8

      We kweli kireja kwan uyo husen alipwi mshahara adi useme ivi kas punguza masiriko ulitumwa uzaliwe ktk umasikini

    • @JamalKanani
      @JamalKanani Місяць тому

      😅😅😅😅😅​@@nishaabdula5015

    • @ZainabAbdullah-bc6pu
      @ZainabAbdullah-bc6pu Місяць тому +3

      Sio viongozi tu wanayo ya kwenda kujibu hata mm na weye tunayo ya kwenda kujibu Kwa Allah

    • @salamarashid3687
      @salamarashid3687 Місяць тому

      Choyo tu

    • @hkk2450
      @hkk2450 Місяць тому

      Muongoooo ww Bora sema sababu nyengine uyo Hussein mwinyi pesa anayo kabla ya harusi acha siasa mbovu apa na tuseme maendeleo huyaoni au roho ya kisonokoro tuu penda maendeleo Wacha siasa ktk maisha ya watu

  • @henrystanley4077
    @henrystanley4077 Місяць тому +1

    Acheni wivu ukafiri ni tabia yako tu ukristo na uislam ni kitu kimoja tu, Mungu wetu ni mmoja na harusi ilifana sana tena vbaya mno hongera dr.cheni kwa kazi nzuri na haujamuangisha mzee mwinyi hyo ni harusi ya taifa na history yake itabaki kukumbukwa sana...nmependa sana kazi ya nchi hii mtoto wa rais ni Rais pia daima tutawasapot na kuwaheshimu hii ni harusi ya kimataifa kaka hakuna ukafiri hapa kazi imeenda wao wanaofunga na kuendeshwa tofaut na makafiri ndio wafanya maovu na harusi zao za wiki moja tu wameachana...piga kazi baba

  • @zainabuibrahim4766
    @zainabuibrahim4766 Місяць тому

    Ongera kwa harusi .Tunawaombea kwa Allah awangoze mwende madrasa mkasome..yaani kuacha kichwa wazi Subhannallah

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 Місяць тому +4

    Haina tafauti na kikafiri leo waislam wametoka katika Mila ya na wanafata Mila za wayahudi 😢

    • @rashidomar2771
      @rashidomar2771 Місяць тому

      @@mohammedmussa7378 kweli kabisa maneno yako,,hii harusi kwa wale waislamu wasioipenda dini yao pamoja na wale wenzetu wakiristo kwao ni shughuli nzuri na ya kufana sana,,lakini kwa muislamu yoyote mwenye imani japo kidogo,ya dini yake shughuli kama hii hasa iliyonasibishwa na kiongozi anaejipambanua na kujinasibisha na uislamu ,inakera na kuhuzunisha sana,,kiasi ya hata mtu kushindwa kuiangalia mara mbili

  • @joycesimon-kw8jh
    @joycesimon-kw8jh Місяць тому

    Mbona hawasemi bwana harusi ni nani? Duh! Kiukweli wamependeza sana. Hongera Mhe. Dkt. Mwinyi na Mama pamoja na Wakwe wazaa kijana 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @fadhakirnassir2917
    @fadhakirnassir2917 Місяць тому +4

    Mm sina tuu izo pesa lkn nizipate wallah nafanya hasaa watu waone

  • @abdullahabdul9246
    @abdullahabdul9246 Місяць тому +7

    Hizi pesa za wanainchi ndio zinatumika kwenye sherehe hii iko kaxi

    • @user-wp8ip4jn6j
      @user-wp8ip4jn6j Місяць тому

      @@abdullahabdul9246 ulijuwaje itakuwa na weye umo kwenye hao wanaokula pesa za wananchi

    • @samwa9496
      @samwa9496 Місяць тому

      @@abdullahabdul9246 kwani usipo changa wewe wengine hawachangi ukizingatia yupo kwenye mamlaka midomo kazi yake kusema na si kwenda chooni

    • @TravelZanzibar
      @TravelZanzibar Місяць тому +1

      Acha roho mbaya kwan halipwi ?

  • @EliwadaKikoti
    @EliwadaKikoti 21 день тому

    Rais wangu hongera Kwa kupata mkwe mungu awabark wanandoa mkawe wa her katika maisha yenu

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Місяць тому +5

    B harusi angejitanda kamtandio kazuri angependeza sana. Watu wamejiachia tu, bara hata ingekua wanawake tu na hairushwi mitandaoni hapo kweli.

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Місяць тому +1

      Hta mm nimewaza angejitanda angependeza sana

    • @augustinofifi
      @augustinofifi Місяць тому

      ​@@fettiemaganza1484jitanda wewe yeye ndio kapenda hvy hvyo na mumewe

    • @munisindeshisamson3590
      @munisindeshisamson3590 Місяць тому

      @@myunaniniahmad6463 Huyo kaolewa na mkiristo bana uisilam mwisho leo. Huko bara maigizo tu

  • @user-wr8gg4vy6k
    @user-wr8gg4vy6k Місяць тому +1

    Sijafurahia harusi hii jinsi ilivyoendeshwa haina tofauti na ya kikafiri.Allah atuongoze waja wake

    • @user-dn8so9pe1j
      @user-dn8so9pe1j 14 днів тому

      Walifurahi Familia inatoshaaaa,wewe naniiiiiiii?? Poleeeee weweeeee,katafute hela usivae kanzu siku ya Ndoa ya mwanao au nduguyooooo bwana sheheeeee

  • @HappyBigWaterfall-ri2mf
    @HappyBigWaterfall-ri2mf Місяць тому

    Kwel wanaloo mbaya walipendeza Sana jaman mungu awajalie maisha malefu Sana na hongera dkt mwinyi

  • @islambinomar8716
    @islambinomar8716 Місяць тому +2

    Hatari kama ikulu inasimama kwa ujinga ujinga ila wanetuonesha ni watu wa aina gani

  • @MassoudMaghwaly-jo8sh
    @MassoudMaghwaly-jo8sh Місяць тому +11

    Wasidhani kwamba allah ameghaflika kwa wanayoyatenda madhalimu..😢

    • @salamarashid3687
      @salamarashid3687 Місяць тому +1

      Wakifanya wengine hamsemi

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Місяць тому

      @@MassoudMaghwaly-jo8sh na wewe una yako unayoyafanya Mungu anakusamehe tu ,punguza mdomo

    • @user-mv8hk9fe2y
      @user-mv8hk9fe2y Місяць тому +2

      Acha roho mbaya tafta pesa, we mwenyewe mwanga unakwangia watu na mungu anakuona

    • @sabrysleiman5115
      @sabrysleiman5115 Місяць тому

      ​@@user-mv8hk9fe2yanakwanga na babaako uyoo

  • @umu-ul-kurthumhamad9500
    @umu-ul-kurthumhamad9500 Місяць тому +3

    Kwakweli pesa zetu za Kodi zimeteketea doh, harusi kama ya kifalme

    • @bagenihuduma1569
      @bagenihuduma1569 Місяць тому +1

      Fanya kazi ujienjoy hao kwa nafasi walizokuwa nazo sio mshangao kufanya walivyofanya ni majibu ya kufanya kazi

    • @mfanisifoundation6904
      @mfanisifoundation6904 Місяць тому

      Kuna watu co marais wanafanya shuulj za garama acheni makasiriko masikini

  • @user-vi4sz4fq9h
    @user-vi4sz4fq9h Місяць тому +7

    Mie nadhani kila mtu na maoni yake lakini katika maisha fanya kitu ukipendacho kuliko kufanya usicho kipenda ukaishia kutamani na hakuna dhambi mbaya kama tamaa. Maisha yenyewe mafup❤

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Місяць тому +5

    Aibu wallahi

  • @user-ml8bg7su2b
    @user-ml8bg7su2b Місяць тому +1

    Yani Harusi mashallwa sisemi mengi lkn Allah ndie Hakim.

  • @EliwadaKikoti
    @EliwadaKikoti 21 день тому

    Kwanin lakin mnamponda bib harus kunika kichwa so lazima mume ndo kapenda iwe Ivo na pia sku zote iman ndo inampeleka mtu mbingun unaweza ukafunga malemba Yako matendo ovyo moyon mwako mwachen mtoto wa rais alipendeza waafrika tuna shida sana yote haya kukosa elim

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 29 днів тому

    Muache rohombaya za kisiasa kwani pale raiya wakawaida wanapofanya harusi zaajabu na mtu huwa hana uwezo ...tuseme pesa zinatoka wapi mafisadi nyie mie niraiya mwenzenu muache roho za kwanini .muache hasad loh .poh yasini ....nilie tuma huu ujumbe naitwa halima salum suleiman

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Місяць тому +3

    Arusi ya kiislam
    Kama si waislam mtihani
    Yaa rabb tunusuru

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Місяць тому

    Mungu awatuze maharusi wetu ongera sana wazazi kupata mkwe

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 Місяць тому +55

    Harusi utadhani ya kikafiri waislaam wa kweli hawafanyi upuuzi huu ila tuombe Allah atusamehe madhambi yetu yasiri na ya dhahili

    • @user-wo2ye5vh4q
      @user-wo2ye5vh4q Місяць тому +15

      Wivu tuu

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Місяць тому

      @@user-wo2ye5vh4q kwa mkafiri ndio atasema wivu ila kwa mwisilaam anaejuwa nini maana ya uislam hawezi kusema wivu

    • @mathewungani9724
      @mathewungani9724 Місяць тому +6

      Mshamba ww,kila Kitu ni Kafiri

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Місяць тому +7

      @@mathewungani9724 ndio kila ovu limeanzishwa na makafiri

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Місяць тому +9

      ​@@fatmafatu1128uko sahihi kabisa,dunia imetumeza tu kasahau
      Aakhera yetu!raha furaha na utamu wa muda mfupi wa iblis 🤏🤏 huaribu uhusiano mwema wewe na mollah wako! Astaghafirullah, Allah atusamehe

  • @WasakaTonge-bi3uc
    @WasakaTonge-bi3uc 18 днів тому

    Siungi mkono harusi ii Allah ni mkali wa kuadhibu

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 5 днів тому

      😂😂😂😂 Kuna aliyekuomba ujiunge mkono? Mbona kiherehere kwenye mambo yasiyokuhusu?

  • @allyally4472
    @allyally4472 Місяць тому +1

    Mishahara mpk leo kimya watu wanaumia njaa ila hz hela zilizopotea hapa.
    Mungu ndie hakimu

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Місяць тому

      Kwa Rais akifanya kazi halipwi mshahara? Ama hana ndugu, narafiki na jamaa wa kumchangia pia msisahau kua nae pia alikua ni mtoto wa Rais hata urithi wa marehemu babaake pia anao.

  • @evangelistmcsarahmvungi3626
    @evangelistmcsarahmvungi3626 Місяць тому

    Ilikuwa nzuri sana hongera sana kaka yangu dr cheni ulifabya vizuri sana kaka hongera sana lkn huyu aliyeongea hapo mwambie asiseme loyal ni royal asante😊

  • @AJ-cx3xt
    @AJ-cx3xt Місяць тому +5

    Mtangazaji ni Royal sio Loyal wedding, sielewi kwa nini mtu unashindwa kutofautisha hayo maneno.Ra Re Ri Ro Ru fanya mazoezi

  • @WasakaTonge-bi3uc
    @WasakaTonge-bi3uc 18 днів тому

    Kwan waislamu wanaozeshana ivii hii ni dini gani

  • @user-yc3ij4tt6t
    @user-yc3ij4tt6t Місяць тому +1

    Uislam hauruusu sherehe kamahiyo 😂

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Місяць тому +2

    Dr chen
    Good job🥰

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc Місяць тому +4

    Upuuz mtupu waisam wenzio wajifunze nn

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 Місяць тому

    Jamani mependeza sanaa mungu awatunze

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Місяць тому +1

    Kila kitu kimeandikwa ,mmtaenda kujibu mbele Allah

  • @DevotaNtandu
    @DevotaNtandu Місяць тому

    Ingekuwa simple mungesema imekua ya gharama mungesema binadamu hamna jema harusi imependeza hakunana ukafiri hapa ndoa ni jambo jema Mungu abariki ndoa yao

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 19 днів тому

    Nashangaa wanawake wa kiislam wote vichwa wazi

  • @monicangowi4428
    @monicangowi4428 Місяць тому

    Umependeza sana mtoto wa doctor Mwinyi achana na watu wanaohoji nywele ,kwani nani alisema kufunika kichwa ndiyo kwenda mbinguni? huko mbinguni tutafika kwa matendo mema nasiyo kufunika nywele huo ni utamaduni tu kama masai anavyovaa lakini haufikishi mtu popote

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Місяць тому +5

    Nyinyi endeleeni kula hii nchi siku wananchi tukiamua mtakoma w

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Місяць тому +1

      Tuna hali mbaya tusio na ajira kwa ajili ya serikali inayovinjari kitajiri😢

    • @hasinaalrahbi6681
      @hasinaalrahbi6681 Місяць тому

      Wivu huo jamani

    • @huyu1993
      @huyu1993 Місяць тому

      Mtaamua nini nyinyi mzao Nyerere ?

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 Місяць тому +2

    Loyol wedding au Royal wedding

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 29 днів тому

    Mnauhakika kafanya raisi au kafanya mwenyewe mtto waraisi na watapta wake ...punguzeni siasa hebu mnachekwa na nchi za jirani watu wanakuoneeni choyo mnamaendeleo lkn kumbe nyie wenyenu mna hasad na vijicho nyooni

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Місяць тому +1

    Safiii sn doct chen hurigi km.mwenzsko upovzt sn

    • @user-wh7gj9ug9s
      @user-wh7gj9ug9s Місяць тому

      Mapozi yawazidi mpaka wanaboa ila cheni safi mwanaume unaringa mpk haibu

  • @nassorali1034
    @nassorali1034 29 днів тому

    Mara ngapi mnafanya harusi kubwa na nzito zinashinda harusi za kifalme ...tena leo imekua vioja raisi kufanya harusi yamwanawe namna iyo

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Місяць тому +6

    Viongozi WA nchi mjiandaae majibu ya kwenda kujibu ktk mahakama ya allaah uongozi miliongoza vipi watu WA Hali ya chini maana wengine wanalala. Njaa wengine wanafanya islafu

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Місяць тому

      Ss ulitaka wote tufanane jmn kaa ebu ounguzrni makadiriko fanyeni kz ungekuwa ww ndo mtt wa raus ungekataa kufanyiwa hayo

    • @tamimafatty7808
      @tamimafatty7808 Місяць тому +1

      jamani jamani ! kwani nae hana mshahara? ... iwe ww unafanya harusi kwa mujibu wa kipato chako .... mukaacha choyo na roho mbaya

    • @angabilejoshua372
      @angabilejoshua372 Місяць тому

      Ni vizuri kubariki kuliko lawama.Wamebarikiwa na wataendelea kubarikiwa

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi Місяць тому +7

    Harusi ya mtt wa Alhajji Hussein huu ndio uislam wetu tunahalalisha tunachokitaka na tunaharamisha tusichokipenda YA ALLAH tuoneshe haki tuifate

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Місяць тому +1

      Allahumma amiiiiiin

    • @salamarashid3687
      @salamarashid3687 Місяць тому

      Mbona nyinyi mnafanya jamani.

    • @munisindeshisamson3590
      @munisindeshisamson3590 Місяць тому

      Mmasai hawezi kiwa muislam changa la macho tu hilo

    • @ZalkhaRawahi
      @ZalkhaRawahi Місяць тому

      @@munisindeshisamson3590 Eh bwana kumbe

    • @naimamohamed2216
      @naimamohamed2216 Місяць тому

      Jamani mm namtetea mwinyi wanawake wa miaka hii wananguvu saaana kuliko wanaume huwezi jua nani ana sauti ndani ya nyumba Yao ,mama ndio kaamuru hizi kuflu

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Місяць тому +1

    Congrats

  • @user-qi1nn4sh4e
    @user-qi1nn4sh4e Місяць тому

    Hawataridhika mayahudi na makafiri mpaka mufuate milazao hatua kwa hatua, innah lillahi wainnah ilayhi rajiuun😢

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116 Місяць тому

    Faida ya karafu na pesa za wanyonge wanaotoa kodi zimekwenda Allah anaona Mahkama kubwa ipo

  • @RamadhaniAyubu-t3l
    @RamadhaniAyubu-t3l Місяць тому

    Nzuri sana

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому +3

    Cheni anskiheshimu sana Hana kashifa

  • @user-ds7ho1my4u
    @user-ds7ho1my4u Місяць тому

    Ukafiri ni Kwenda Kinyume na Maadili ya MUNGU wetu, Mfano:
    1, Kuowana Mme na Mme mwenzako, au Mwanamke kwa Mwanamke, Huo ndiyo Ukafiri.
    2, Kusagana, Kulawiti, Mwanamke Kuingiliwa Kinyume na Maumbile Sahihi, Huo ni Ukafiri.
    3, Kutokuswali, au Kusali na Kumshukuru Mungu wetu, Huo pia ni Ukafiri.

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi80 Місяць тому +1

    Nikisoma comment za wanaojiita Islamu utakuta wengi ninkujihesabia haki kwamna ni wasafi, aliyewaambia dini ndiyo muumna yupo hapo ni nani? Kwanza aliyetuumba hana dini! Sasa ni kulalamika kavaa uchi, mara ohoo hakuna uislam hapo dini haipo hapo, aise Poleni sana bado mna safari ya kumjua aliyewaumna yukoje.

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws Місяць тому

      Amka kabla hujafa Acha kiburi na Ibilis muweke pembeni fuata din y allah invotaka kil kit dunian kin muongozo wake n mwisho wake Allah ametuumb kisha akatuekea muongozo kwamb tujisalimish kwake yaan tuwe waislam tumtii yy tutii na amri zake ww kam nan unashindwa kumshukur aliekuumb kw kutii amri zake atakaefuata amri za Allah pepo itakuwa makaaz yake baad y kufa kwake atakae kataa moto nd makazi yake Acha kiburi jisalimish

  • @ghhyhh7591
    @ghhyhh7591 Місяць тому

    Achen usenge uwo tena harus ya mtt wa rais mnataka ifanywe vp hamna shukran wanadam nyinyi ingefanywa simpo pia mngefuja

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Місяць тому

    Subhannallah ×3 hawata waridhia mpka mtakapo fuata mila zao

  • @NassorMohamed-nz2lv
    @NassorMohamed-nz2lv Місяць тому

    Mie nilijua atafanya sherehe kwa kufuata tamaduni za dini ya kislamu dada apO rais wangu umefeli nakwambia asa rud kwa mungu ustahafiru . Fahmu hao uliowalika kila mtu na njia yake

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Місяць тому +1

    Wanafik mmejazana hapa na comments zenu za kinafik,,mnajifanya kuijua dini saana,,hamna lolote umaskini na chuki ndio zinawasumbua

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Місяць тому

    Hizi sio mila na desturi zetu wazanzibar,,mimi nilitarajia hawa wanaojiita viongozi wafanane au wawe mbele zaidi ya kudumisha ule uhalisia wa ile jamii wanayoiongoza,,
    Kama hapa kwa mazingira yaliyoandaliwa hapa sisi wazanzibai ambao wengi wetu ni waislamu tunajifunza nini ,,ktk shughuli za viongozi wetu

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Місяць тому

    Bismillah mashalah ❤❤❤❤

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 Місяць тому

    Makafiri wanaoona wenzao ni makafiri. Msijihesabie haki kwa maarifa machache mlionayo juu ya ukuu wa Mungu

  • @MaryMmole-en9qz
    @MaryMmole-en9qz Місяць тому

    Ila jamna harusi imependeza bibi harusi angejitupia kimtandio hapo ingependeza zaidi

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Місяць тому +2

    "Loyal" wedding tena jamani😅. Ni Royal bwana

    • @angelamangenya1681
      @angelamangenya1681 Місяць тому

      Asahihishe matamshi

    • @rosinamtauka9933
      @rosinamtauka9933 Місяць тому

      Mvumilie tu kwani ndo aina ya wanahabari wa siku hizi, zero professionalism hasa kwenye hizi online media😪

  • @SaidKombo-p3m
    @SaidKombo-p3m Місяць тому

    Si shida kupendeza shida ajitambue yeye Nani na inasemakana kaenda maka kuhiji ss faida ya hija iko wp

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 Місяць тому

    Ila jaman ukiwa huna mengi utasema, ila wapo vzr

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Місяць тому

    Sasa ndoa imefungwa wapi hata makanisa ukijiacha wazi wanawagomea mpaka ujshone nguo iliyofunika

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Місяць тому

    Ivo wao ndio wa kwanza kuoana! Sikuhiz wata wafanya harusi sio ndoa.

  • @user-ot7yi6eq7s
    @user-ot7yi6eq7s Місяць тому

    Mashallah

  • @mayazamzam7274
    @mayazamzam7274 Місяць тому

    ROYAL SIO LOYAL JIFUNZE MATAMSHI UNAJIKANYAGA

  • @MaadamAisha-qx5pu
    @MaadamAisha-qx5pu Місяць тому

    Subirini ijumaa mukafunguliwe msikiti.hiyo ndio dini na Dunia.duniani tunapita tu tumuogopeni Allah

  • @bilalkhamis_
    @bilalkhamis_ Місяць тому +1

    Nchi tamu hiii😂😂😂😂

  • @user-ig3wo3td2x
    @user-ig3wo3td2x Місяць тому +2

    Jamani hii harusi mahasidi wasiiyone idumu kama wazee wao /

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 Місяць тому

    Mcha mungu kateleza

  • @user-ms2kf3mf3q
    @user-ms2kf3mf3q Місяць тому

    Ukafiki na uislam ni vitu viwiii tofauti

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Місяць тому

    Nakumbuka hao watoto wa mwinyi walivyokuwa wakitoka Shule Africa kusini na kuja ubarozi flani hivi Kwa ajili ya Likizo na utalii

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Місяць тому

    Sasa mnatuonyesha iweje mbona ni kama harusi zingine tu !

  • @Is-hakaKhamis-hz9qy
    @Is-hakaKhamis-hz9qy Місяць тому

    Pesa zetu izo

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah2579 Місяць тому

    Mmependeza

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa Місяць тому +1

    Hii dunia tutaiyacha harusi km ya makafiri.badala ya kumfurahisha ALLAH tunafurahisha watu ,tusiwe wanafiki ,tuwe waislamu kamili hiyo siyo harusi ya kiislamu ni harusi ya kikafiri mashekh wapo kimya kwasababu ni rais.😭😭😭😭😭😭

  • @jamilaislam1871
    @jamilaislam1871 Місяць тому +1

    Sheykh athman maalim uko wapi waona munkar huwo

    • @feisalboy6702
      @feisalboy6702 Місяць тому

      Mashekhe watasema kwa wanyonge Tu mawaidha makubwa lkn kwa wakubwa kimyaaaa Wanalinda ugali wao

  • @saidali7644
    @saidali7644 Місяць тому

    Waislamu tunakocopy kwa wakiristo na kupaste kwenye mambo yetu. Ni mtihani kwa kweli

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui Місяць тому

    Inna lillah wainna ilayhi raajiuna

  • @hadijabashiru8557
    @hadijabashiru8557 Місяць тому +1

    Walifunga ndoa kanisa gani

    • @HabibuUrasa
      @HabibuUrasa Місяць тому

      😂😂😂 ni kweli kabisa hakuna harusi ya kiislamu ya namna hii eti harusi ya mtoto wa rais ya kipuuzi namna hii sasa watu wataiga nn kwa rais. eti alhaji ,

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Місяць тому

    Safi bint kwa kuolewa

  • @user-zw4tf5os8b
    @user-zw4tf5os8b 29 днів тому

    Naogopa kusema nisije nikatumiwa ugeni

  • @user-wi6uk1vz1h
    @user-wi6uk1vz1h Місяць тому +2

    Très très belle robe 🎉

  • @user-mu1uf2rl4x
    @user-mu1uf2rl4x Місяць тому +2

    Mbona mwenza Samia hstumuoni aje nae ukumbini au mama yupo single nn😅😅😅

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h Місяць тому

    Mwezi wa mama samia yuko wapi au ndo single

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Місяць тому

    Mmasai ameramba dume,heshima kwa wamasai
    Rungu,sime ruhsa zanzibar

  • @TravelZanzibar
    @TravelZanzibar Місяць тому

    Sherehe za viongoz wakubwa km hawa mara nyingi vitu vingi hudhaminiwa na wafanya biashara unaweza kukuta vingi ktk hivyo wametunukiwa km zawadi tu.punguzeni makasiriko.

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Місяць тому

    naona alhaji mwinyi kaghafilika kidogo

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 Місяць тому

    akakae uyo sio sherehe kubwa.mwez kwao

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Місяць тому

    Ukihukumu na wewe utahukumiwa kila mtu na kaburi lake nyinyi mnaojifanya mna dini mnawezajikuta mna madhambi mmemzidi mpaka shetani

  • @FeisalDoctor-wr8ws
    @FeisalDoctor-wr8ws Місяць тому

    Muheshmiw rais jirekebishe wewe ni muislam ndo unwafundisha nini waislam apo mwanao yupo kichwa wazi Halaf n ww upo unajichekesha tu cijawahi ona kweli Rais kama rais bado hatujapata ni mitihani tu ewe allah tulindie vizazi vyetu n haya mambo

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Місяць тому

    Mzuri

  • @sabinatuoneye6781
    @sabinatuoneye6781 Місяць тому

    Ndoa ikawe yenye kheri

  • @ChescoMwakipesile
    @ChescoMwakipesile Місяць тому

    Kwan lais husen mwinginyi nikaka ako