WAZIRI SILAA ALIVYOKATAA RUSHWA YA MIL.300/=, KUTOKA KWA MATAJIRI WA KITUO CHA MAFUTA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 гру 2023
  • #itvtanzania #silaa #rushwa
    Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

КОМЕНТАРІ • 117

  • @frankmwakibingafm5266
    @frankmwakibingafm5266 7 місяців тому +8

    Mungu akubariki waziri Rushwa ni adui wa haki Hongera sana

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 7 місяців тому +20

    Mngekua mnatoa haki kwa watu wa Hali ya chini pia mngetisha sana,lkn uyo mwekezaji kajenga sehemu ya vigogo lazima atolewe lkn vipi wananchi wa Hali ya chini???This is not fair kwa kweli😢

    • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
      @kwayaviwawaparokiayabashne9281 7 місяців тому +1

      Kweli kabisa umenena

    • @mussarashid2216
      @mussarashid2216 7 місяців тому +1

      Waziri anajitoa KIFUA MBELE kisa KITUO cha MAFUTA kakataa Mill 300 lakin kuna Wananchi WAMEBOMOLEWA huko nyumba zao mpaka RC kaenda baada ya Waziri kwenda kusaidia mamia wanaolala nje eti kwa vile TIBAIJUKA na bado analala ndani lakin WAZIRI kaenda nchi hii bana

    • @feisalboy6702
      @feisalboy6702 7 місяців тому

      Siasa mbaya hizi

    • @fidemgonja1966
      @fidemgonja1966 7 місяців тому

      Kwaiyo gbp kajichanganya. Kujenga eneo la vigogo😀😀😀

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy Місяць тому

      Tatizo ufatilii uyo jamaa au umecoment tyuu😂😂

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 7 місяців тому +3

    Mh waziri kama kweli uko na haki na unasimamia neno la MUNGU basi Mungu atakulinda na kukupa heshima ambayo pesa kwako haitakuwa ni kitu ila atakupa nafasi ambayo heshima yake itakuwa juu na mbinguni atakungoja kukulaki Kwa uwaminifu wako katika dhamani hii ....ukuwengine makampuni binafsi yameharibu maeneo yetu wamepitisha BARABARA kupasua maeneo yetu na kusababisha viwanja viingiliane Sana dodoma ....mh waziri hii Kazi Mungu akushike mkono Kwa kukupa afya ,nguvu ,hekima na maarifa mwili wako ufumwe na kulindwa na damu ya Yesu

  • @sunyareh
    @sunyareh 2 місяці тому

    Mungu akubariki Kwa kila siku ya Maisha yako.. Asante kwa kua Mzalendo halisi shujaa wa kipigania haki..

  • @fadyaarif5909
    @fadyaarif5909 7 місяців тому +3

    Hongera sana Mh waziri

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 7 місяців тому +2

    Mungu akubariki baba. Rushwa ni adui wa haki.

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 7 місяців тому +3

    Congratulations Mheshimiwa wewe kama mimi rushwa hapana

  • @michaelayubu9100
    @michaelayubu9100 7 місяців тому +4

    Mungu akutunze mh waziri

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 4 місяці тому +2

    Good speach mh.slaa

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2e Місяць тому

    Hongera siraa wewe ni mja mungu barikiwa sana

  • @user-dg3me6tq5y
    @user-dg3me6tq5y 4 місяці тому

    Hongera Mh. Waziri wa Ardhi na MAENDELEO ya Makazi. Watanzania wako anataka kumharibia WEWE na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 2 місяці тому +1

    Hakika waziri slaa na mh makonda ninyi ni wazalendo wa watanzania mungu aendelee kuwalinda

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 4 місяці тому +2

    Mwenyez mungu akubariki wazir

  • @ayubujohn8320
    @ayubujohn8320 2 місяці тому +2

    Waziri Yuko vizuri ila Hilo bango linaziba mpaka video wakuu

  • @user-jc6dk2fe8g
    @user-jc6dk2fe8g 7 місяців тому +2

    Waziri Ana chembechembe za ukaburu. Kumwambia mfanyakazi si mzaliwa wa kinondoni ni ubaguzi usio na tija. Mngempanga alikozaliwa kama sehemu aliyozaliwa ni muhimu

  • @salumally663
    @salumally663 7 місяців тому +3

    Vizuri sana mheshimiwa barabara kwenda moroco vituo vya mafuta kama upupu....this is madness...

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 7 місяців тому +3

    MILION MIA TATU (300,000,000/=)
    YAANI UNAPEWA TU!,
    YAANI UNALETEWA!!
    YAANI UNAIMBEWA TU MILLIONI Miatatu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
    Haka ka-Nchi Katamu Mno!

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 7 місяців тому +1

    Well said honorable

  • @edisonkalikawe7618
    @edisonkalikawe7618 7 місяців тому +2

    Mungu akubaliki sana🙏, kwa kulishinda pepo la tamaa

    • @ruhindacostantine2092
      @ruhindacostantine2092 7 місяців тому

      Hongera sana ndugu waziri nilikuwa ckujui vzr leo nimekufahamu

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 7 місяців тому +1

    Bravo waziri.
    Waoneshe kuwa sio kila kiongozi anapokea rushwa.
    Pesa zao ni mauti ya wanyonge.

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 7 місяців тому +4

    Waziri huyu nilikuwa simpendi tangu wkt wa bandari, sasa nampenda kwa maelezo yake

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg 7 місяців тому +2

    Tumewekwa hapa kuwa "The voice of the voiceless" hilo ni Jambo kubwa Mh. Waziri

    • @josee8224
      @josee8224 7 місяців тому

      voiceless wenyewe sasa...1 Tibaijuka...2...3...4....

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f 7 місяців тому +2

    Nimekufurahia sana.Sipendi RUSHWA kabisa.

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 7 місяців тому +3

    Umeonyesha ujasiri.
    Miji inaharibika sana.

  • @IsmailElmazroui
    @IsmailElmazroui 3 місяці тому

    Allah akubarik kiongoz

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni 4 місяці тому +3

    For sure waziri yupo vzr kwenye swala la sheria

  • @SiwemaAnwar
    @SiwemaAnwar 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana

  • @estherngela9765
    @estherngela9765 2 місяці тому

    Mungu akubariki baba wewe na Makonda mnawafuta machozi wanyonge na walio onewa. Wenye pesa hutumia nguvu kudhulumu watu.

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 7 місяців тому +2

    Jerry kama ni kweli umekataa hiyo hela, Mungu atakuongezea mara 10 zaidi. Ubarikiwe

    • @user-yk5gm5qj4u
      @user-yk5gm5qj4u 4 місяці тому +1

      Ni kushinda tamaa post to ya uwaziri Ina posho nzuri sana mshara nzuri, kiukweli ukishinda tamaa cheo tu kinatosha say ukihudumu 3 to 5years or ten kazi tu acha vibahasha vya kawaida visivo rushwa... Kahawa ama lunch ... Uwaziri unatosha

  • @edwinmbelle4207
    @edwinmbelle4207 7 місяців тому +3

    Hongera sana kwa msimamo wa kizalendo , karibu sana Yombo vituka kuna kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu pia ! Serikali ya mtaa Mzambarauni Kata ya Yombo Vituka, ukuta wa kiwanda umejengwa kwenye hifadhi ya barabara.

    • @feisalboy6702
      @feisalboy6702 7 місяців тому

      Hilo sahau Kaka lbd muwe mnakaa na washua huko

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 7 місяців тому

    Safi sana

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller 2 місяці тому +1

    Kwakweli MUNGU amemmulikia mh. rais wetu kuwapata viongozi wa namna hii

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 7 місяців тому +1

    Yeah!Kufuata taratibu ni muhimu ila pia tusizipige vita sheli ni huduma 😢 sana kwa jamii pia hukuza miji na kufanya ipendeze .Siku ukikosa mafuta ndo mtajuwa umuhimu wa sheli

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 20 днів тому

    Watanzania tumekosa imani..kiasi kila ki nachozungumzwa hatujui ni kweli au so kweli...unaongea kwa haki...lkn ukweli uliofchkana mnajua wawili tu..wewe na mungu wako.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 7 місяців тому +1

    Jerry umezingua, unakataaje million 300

  • @EstherYoram
    @EstherYoram Місяць тому

    Natamin na mm nipate hiyo nafasi yani hata aloibiwa au kuzurumiwa chochote hata mia angeipata.

  • @MussaFundi-rt3wr
    @MussaFundi-rt3wr 4 місяці тому

    Daa,,,,,! Viongoz km nyinyi ndo tunaowataka. M\mungu hemu wafichue viongoz wengine km huyu.

  • @user-pq4nt2vq4g
    @user-pq4nt2vq4g Місяць тому

    Hata sisi huku Kenya tunataka jeshi kama huyu ,kijana mdogo lakini akili inalingana na karai ,hekima kama yote ,Mungu amewaleta ilimsaidie wanyonge tz ,ooh God ,tuletee kama Hawa ,Makonda ,silaa.

  • @camiliuskilenga6304
    @camiliuskilenga6304 7 місяців тому +1

    Kweli mueshimiwa waziri haki huinua wengi bali dhambi niaibu MITHAL 14:34.

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 7 місяців тому

    He sound so good

  • @juliusngavatula243
    @juliusngavatula243 7 місяців тому +1

    Bloo geuza shiling

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 7 місяців тому

    ndio maana magufuli aliwafilisi.sheria sheli ijengwe pembeni sio kwenye makazi ya watu. Kila kona sheli. Hamisha watu. Weka sheli. Sio haki. Wenye viti wananjaa hao. Hawana ubinadam. Uko vizuri sana jery

    • @edwardjohn1507
      @edwardjohn1507 7 місяців тому +1

      Wakati wanajyenga awo mawaziri warikua wapi naserika

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el 7 місяців тому

    Jembe langu la pili jerry slaa baada ya chalamila safi good reasoning

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface3329 7 місяців тому +1

    Unafanya vzur sana, lakin usipoangalia nchi hii imejaa wahuni sana

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 4 місяці тому

    Najua ww ni msikivu kuna kituo mkoa wa songwe kimejengwa kalibu na kituo cha police je ni sahii hii kweli

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 Місяць тому

    Jamanii huyu jamaa mwambaaaa huyu

  • @zawadjose5440
    @zawadjose5440 4 місяці тому

    Fanya kazi tunakuombea waziri

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 7 місяців тому

    Karibu Tabata segerea vinaota kama uyoga

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 7 місяців тому

    Ni upande wa kushoto kuelekea Dodoma ukitokea Morogoro Msamvu round about ni Dodoma rd / Njovu

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f 4 місяці тому

    Waziri chukua izo milioni mama Samia aaminiki ho utakuja kushukuru baadae

  • @josee8224
    @josee8224 7 місяців тому +1

    tunataka ajira vijana,changamoto zilizopo zitatuliwe ila kituo hicho kina faida,kodi kwa serikali, na ajira.

  • @mussarashid2216
    @mussarashid2216 7 місяців тому +1

    Kwa hiyo hapa Waziri kaenda kwa ajili ya TIBAIJUKA na sio matatizo ya WANANCHI

    • @JacksonNovatM
      @JacksonNovatM 7 місяців тому +2

      Kwani TIBAIJUKA sio mwananchi??😂😂

    • @mussarashid2216
      @mussarashid2216 7 місяців тому

      @@JacksonNovatM Kama ingekuwa wananchi wa kawaid kwao ndo kumeeka ichi KITUO cha MAFUTA waziri asingeend na hata RC usingemuona ila kwa vile ni TIBAIJUKA basi serikali imesogea haraka sanaaaaa....
      Na ndo maana nimesema TIBAIJUKA na sio WANANCHO kwa vile TIBAIJUKA sio mwananchi na ukitaka Amini hilo basi leo kwako kuwe na tatizo kama hili ndo utajua we MWANANCHI na wengin sio wananch

  • @user-kp9fx7qg8i
    @user-kp9fx7qg8i 7 місяців тому

    Njoo Na Morogoro tuna Hati zetu zimefutwa na hatuelewi lini tunarudishiwa

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 місяців тому

    Hili ni tatizo kubwa. Ndiyo yaleyale ya wazo wananchi kujenga nyumba moja mpaka 400 ndiyo waje waamishwe bila kujali hasara wanayo pata. Na mamlaka usika ilikua inawangalia tu. Ili tatizo.wawajibishwe kwanza mamlaka usika.

  • @MathewDamson-bo1kk
    @MathewDamson-bo1kk Місяць тому

    Kati kati ya mtaa wa congo kuna jengo linajengwa... pesa imeushinda mtaa wa congo

  • @user-dj3yo4yi4e
    @user-dj3yo4yi4e 7 місяців тому

    Ni janga la kitaifa, ujenzi wa vituo vya mafuta hata kwenye makazi ya wananchi, ni hatari kwa maisha ya wanadamu, kama sheri ipo, wale wote waliokiuka visima hivyo vibomolewe na siyo vinginevyo.

  • @julianamassawe2508
    @julianamassawe2508 3 місяці тому

    Tunakuomba na huku kwetu jamani Mungu akuweke jamani

  • @user-fg2he3dc8s
    @user-fg2he3dc8s 5 місяців тому

    Swala ardhi naona hata selikali inachangia mgogoro sababu hawajweka utaratib mzuri mfano tz ni inchi kubwa Sana lakn utakuta watu wanauana sababu ya kiwanja 7*7 😅 utajiuliza tatizo Kuna tatizo la viwanja jibu ni hapana mfano kufatilia tuu hatimiliki inaweza kukuchukua hata miaka 10

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 7 місяців тому

    Watu wengine wesha piga pesa hapo mpka kupewa kibali fanya operation nchi nzima wapigaji wengi tu Tzd

  • @patrickmipawa1552
    @patrickmipawa1552 7 місяців тому

    Mh.Waziri shughulikia pia na miradi ya viwanja vya PSSSF hasa mikoa ya Shinyanga na Tabora, wananchi tulionunua tumemaliza malipo yote lakini kupewa hati zetu imeshindikana kabisa, kila kukicha chenga tu, majibu hayaeleweki na pia wanadai wizara yako ndio inakwamisha.

  • @user-jb8bo2qw6r
    @user-jb8bo2qw6r 7 місяців тому +1

    Hongera sana Ndugu Waziri,matajiri nchi hii wamekuwa miungu kabisa.Tangu huyu tajiri aanze kujenga ,Je ,mlolongo wa viongozi hawakuliona Hilo Hadi Mama yetu Tibaijuka na wenzake walipoenda site wakiambatana na NduguChalamila?Hapa iliyotumika ni rushwa tu.Huyu Mkuu wa PCCB hakuona kilichokuwa kinafanyika hapo?Huyu Ndugu yetu wa PCCB kazi hiyo haiwezi,kwani kila mahali rushwa imekuwa jambo la kawaida tangu mwenda zake aondoke.

  • @alfredmbwilo7354
    @alfredmbwilo7354 7 місяців тому

    Kimara Kaka kituo kipo barabarani kabisa unasemaje hapo waziri

  • @WilbertMalula-vv7ml
    @WilbertMalula-vv7ml 7 місяців тому

    UMEONA UJILIPUE MAANA MAMA ANGEWATUMBUA PESA BWANA

  • @user-to6dh2un9i
    @user-to6dh2un9i 7 місяців тому

    Watu Wametumia Pesa Zao..Afu Mnaleta Ubabe...Wabomowe Subilini...Makombola...Amisi Kigwangara Yupo Wapi

  • @sundaymjeda6468
    @sundaymjeda6468 4 місяці тому

    😅😮😅😮

  • @ramadhanikassimu
    @ramadhanikassimu 7 місяців тому

    Bro achanae uyo

  • @clementgabriel1708
    @clementgabriel1708 7 місяців тому

    WAZIR KAMA HAITAKIWI BASI NI JANGA LA TAIFA ZUNGUKA NCHI NZIMA UJIONEE MWESHIMIWA NA USHUGHULIKIE NA WANAOWAPATIA VIBALO MAKE SIZANI KAMA WANAJENGA BILA VIBALI

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 7 місяців тому

    Ngoja nione kama utapambana nao maana hivyo vituo vya mafuta ni vya vigogo huko huko serekalini utanyazishwa mda wowote.

  • @alfredmbwilo7354
    @alfredmbwilo7354 7 місяців тому

    Kimara waziri kituo cha mafuta

  • @justinmtuku2632
    @justinmtuku2632 7 місяців тому

    Nakuomba utoe namba mkuu tukupigiye tukuambiye kaka

  • @peterbuberwa
    @peterbuberwa 7 місяців тому

    Ivyo vituo vya mafuta sikuhizi vinaotesha tu kama uyoga Kila seem sasa ivi kunajengwa vituo vya mafuta tu

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 7 місяців тому

    Sasa si awapeleke Takukuru hao watoa rushwa?

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 7 місяців тому

    300m ni ndogo Sanaaa Ingekuwa ya DP????

  • @user-bd1zr4vn1b
    @user-bd1zr4vn1b 7 місяців тому

    Kuna tibaijuka hapo lazim rushwa uiteme

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Місяць тому

    MUNGU AKUBARIKI KIONGOZI BORA

  • @user-dh7wf5mw4y
    @user-dh7wf5mw4y 4 місяці тому

    Ukowap mheshimiwa waziri

  • @user-uy8cw3zc4b
    @user-uy8cw3zc4b 7 місяців тому

    Njoo kasuru kuna mtu amepewa kibari cha kujenga karibu sana na mnara wattcr kasuru ukichelewa tuu utakuta ashaa jenga usipuuzie njoo uone au tuma vijana waje kuona

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 7 місяців тому

    Serikali mnakuwa wapi mpk vituo vinajengwa zaidi ya 200 kwny makazi ya watu. Km sio usanii ni nini. Mnatuletea hadithi ya habunuasi! Wenye akili zao hawadanganyiki.

  • @kyztzgroupltd9370
    @kyztzgroupltd9370 7 місяців тому

    Sasa za bongo

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 7 місяців тому

    nasisi uku wanyonge siyo aotu wastafu

  • @user-dh7wf5mw4y
    @user-dh7wf5mw4y 4 місяці тому

    Ukowap shekhe

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 7 місяців тому

    Nltaka kusema kitu bas tu ngoja ninyamaze

  • @ramadhanikassimu
    @ramadhanikassimu 7 місяців тому

    Aokinatibajuka wambi wenge makamani

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 7 місяців тому

    Mh sio she'll tu na shule vipi

  • @petermhagama9952
    @petermhagama9952 7 місяців тому +1

    NJOO NJOMBE MJINI HAPA JEMBE WAMEJENGA KAMA UYOGA NA MADUKA NDANI.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 7 місяців тому

    Kibomolewe hakieti raha ni uchafu

  • @madalanasri2226
    @madalanasri2226 7 місяців тому

    Huyu akili kubwa kama makufuli

  • @mascheranozuber3672
    @mascheranozuber3672 7 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @ClalenceMtewele-ke1hq
    @ClalenceMtewele-ke1hq 7 місяців тому

    Aaaa makete na wanging'ombe

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 5 місяців тому

    Baba waziri ruka nao hao,hapo walahi tatizo lipo.Gorofa nne inajengwa kibanda.Mkuu fanya jukumu lako mh!kama vp bomoa kabisa

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 7 місяців тому

    KASHULIKIE PALE GETI LA STEND YA MABUS YA MSAVU KUNAKITUO HILO ENEO LA SERIKALI.AFROIL AMEPATAJE.HAPO NDO NTAJUA UNACMAMIA HAKI.

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 7 місяців тому +1

    Siasa ni mchezo mchafu sana. Wajinga ndio walio. Watanzania bdo kabisa hatujitambui. Wepesi wa kuamini!

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 7 місяців тому

    Njoo Morogoro barabara inayoenda Dodoma ( Dodoma - Njovu) barabara iko upande wa kulia kutoka Msamvu round about ni km 25 na hiyo barabara inaenda kukutana na Iringa road na junction ya Mzumbe University,
    Kuna kituo cha Petrolium kinajengwa hapo kwenye junction ya barabara ya Dodoma na Vunjo ni barabara ya vumbi bado haijawekwa lami na ni makazi ya watu
    Please Mh Slaa tunakuamini na kukujali na utakuja Morogoro
    Be blessed🙏🏼🙏🏼

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 5 місяців тому

    FIDA HUSSRIN NI JAMBAZI WA KUWADHULUMU WANYONGE MALI ZAO MAJUMBA NA VIWANJA VYAO

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 7 місяців тому

    Kwa mini hukumripoti takukuru, hapo tungeweza amini maana mtoa rushwa ni mkosaji kuliko hata aliyekusudia maana hukumuomba, chukuwa uko sahihi lkn lazima takukuru wahusishwe❤

    • @user-yk5gm5qj4u
      @user-yk5gm5qj4u 4 місяці тому +1

      Aaa takukuru Kuna nn hamna kitu baana wewe Bora mara mia kwa kuwa walimtumia rafiki yake hata angemripoti mtu awezaye kuotoa milioni 300 takukuru watamfanya nn watamzunguka waziri wataenda kwa mtoa rushwa kuvujisha Siri kwa 2milion hata 1milion asiitoe ni mtego hivi ndugu yangu unanielewa

  • @husseinadolf9500
    @husseinadolf9500 4 місяці тому

    Mungu akujalie kila la ghery in sha Allah

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 7 місяців тому

    Just imagine tu kma kimejengwa Mbagala au sehemu nyengine yenye watu wasio na sauti hapo Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa tu angetosha ku sort hili jambo na wananchi wangeshindwa maana kma hivi vipo tele lkn hakuna anaesema.😂😂😂😂