MSANII wa KENYA Amtungia RAIS MAGUFULI WIMBO, - "TUNATAMANI ANGEKUA RAIS WETU"
Вставка
- Опубліковано 30 лип 2020
- MSANII wa KENYA Amtungia RAIS MAGUFULI WIMBO, - "TUNATAMANI ANGEKUA RAIS WETU"
Mwanamuziki kutoka Kenya amekoshwa na utendaji kazi wa Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli hadi kufikia hatua ya kumuandikia wimbo maalumu wa kumpongeza, kusifu na kumtia moyo. Ameeleza matamanio yake ya kuona Rais Magufuli angekuwa Rais wa Kenya.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Розваги
Am a Kenyan , it's true we need JPM here. Tanzania is my second home.
Karibu tanzania
Welcome Tanzania
We dont want to leave our country We just want Magufuli
@Change Mindset pia sisi hatukufurahishwa kabisaa lakini usichojua ni kuna inchi bado zaendeshwa na wakoloni Na wanao faidika ni viongozi(ambao ni walafi na wezi) na wakoloni wenyewe sisi wanainchi wa kawaida twathulumiwa kila siku,alafu pale kwa "matusi" ni kejeli tu yaani utani tu shida ni kunao wanajua kutaniana na kuna wapumbavu ambao ata kuongea mbele ya umati hawaezi yaani kwa ufupi hatufanani wote so kama kuna Mkenya alikuhudhi nakuomba msamaa kwa niaba yake coz at the end of the day sisi ni Brothers kabisaa,nikama shuleni ulkua na rafiki na pia kulkua na wale wanafunzi watundu wachokozi so cha muhimu you just don't mind them,
@Change Mindset i've been a very big fan of Bongo muzik tangu enzi za Saigon,nako2nako,mad ice,kikosi cha mizinga,soggy doggy,misosi,the late ngwea,mr. Nice na wengine wengi so most Kenyans like almost everything about Tz,sasa Juzi JPM alikataa mkopo wakati kwetu waliukimbilia kama kuku wakikimbilia mahindi na sasa hivi hatuna uhakika ziliko hela hizo,mbona tusi tamani kiongozi kama JPM na si Kenya pekee almost every African Nation wants him since him and Malema(s.Africa) are the only pan-Africanist remaining
"Yani yeye aliweka imani kuliko hata wahubiri", big point from massp to our President JPM........!
Ubarikiwe kaka .asante kwa kumsifia Rais wetu .JPM chaguo la mungu Mungu tz.
Umeweza Nabii Ester Donald,asante
@@mariamathman1065 asante pia.
@@emmapaul1766 ,kwani, mzazi wako hajawa bibi mpaka leo .usitukane watu ww,emma paulo maana utahukumiwa kwa maneno yako .na mda si nrefu utaanza kuhangaika kwenye hii dunia .na hayo uliyosema nayarudusha kwako na family yako milele. Amina.
@@emmapaul1766 unikome kwa jina la yesu kristo aliie hai sitaki nazoea na na ww hunijui ckujui achana na mimi,
@@emmapaul1766 kama umeziea kutukanana kwenye mitandao watafute hao ulio waxoea kuwatukana au kuwachamba huna adabu.
Mheshimiwa Rais Magufuli alimtanguliza Mwenyezi Mungu kwa kwa tatizo la corona.mwenyezi amemsikia.AMINA.
Aki sio uwongo naishi Kenya mim wananchi wengi sana wahuku kenya wanampenda Magufuli sana
Karibuni sana
Nikiwa hapa mkenya BT rais magufuli nampendana sana
Asante mkenya kwakumpenda rais wetu JPM
h
Umesema kweli mm niko nje ya nchi nasoma ila magufuli namkubali na moyo wake angekuwa kwetu kenya ufisadi wauwongozi haungekuwa mola ampemoyo tena wakiislam na mwisho wake awemuislam Amin.kwani itakuwa heri zaidi atakuwa ametimiza vile mola anataka viongozi wawe
Lakini kuna baadhi ya wapumbavu hawapendi Rais wetu Mugufuli
Waambie waje Kenya wata jua mbona wakenya twammezea mate Magufuli
Safi sana nduguyetu mkenya kwakuongea ukweri na uwazi
@@zaidatuissa3018 naombea ikifka 2025 watanzaniah tuandamane maguful aendelee na akikataa tugomeee uchaguz
Ni kawaida kwa binadamu kupendwa na kuchukiwa huo si upumbavu.
mimi pia ni mkenya en it true watanzani ur blessed to hve maghufuli i wish tupate raisi kama yeye
Walai Tena Florence mungu atujaalie tupate Rais kama huyu Aki hapa kenya
@Florence Karanja, may your wish come true in Jesus Mighty name!💪🏾
Mbona mna Kenyatta na ni poa tuu
Asante ndugu yetu mkenya karibu Tz hata kuishi hapa hakuna shida.
Sio mkenya uyu ni mchsnga wamoshi anaishi taveta ana biashara zaka mika tu
@@magynzioka1122 OK Kumbe! 😁😁
@@magynzioka1122 hata kiswahili kina julisha juu mkenya anajulikana kiswahili chake kama alikua wa Nairobi.
Mmmhhh
Huyu ni Mrombo was Mashati,aache maigizo!
Ni rais pekee Afrika asiyepangiwa mambo yake na nchi za nje
Bana we!
Buremo big up....upo sawa kabisa
Kabisa
Mbona Bill gates kaja Tanzania ati hamupangiwi 🤣🤣
Kabisa rafiki yangu
Mnyonge munyongeni lakini haki yake mpeni. Rais MAGUFULI kafanya kazi, wanaompiga vita ni wale waliokuwa wakitumia mali za wote kwa manufaa yao wenyewe. MAGUFULI miaka mitano na akimaliza ikiwezakana aongezewe mingine. Tanzania iwe kama Singapore
Sasa mtu usha mnyonga hiyo haki unapaje?
Kweli kabisa
Akimaliza muhula wake jameni acheni aje atuongoze Kenya jameni
Wakenya tatizo lenu kila MTU anajikuta mjuaji ,darasa LA kwanza mpaka chuo kikuu,kila mkenya ni mbishi,
Umemaliza kila kitu.
Mimi mwenyewe natani sana jpm angekuwa rais wetu wa Kenya manzee Tanzania kazi tu...mungu amuweke uyu mzee 🙏🙏🙏
TANZANIA KWA KWELI TUNA USTAARABU MKUBWA HILI HALIPINGIKI TUPO VERY FAMILY UKITEMBEA NCHI NYENGINE HILI UTAONA..... SISI TUNAPENDANA NA PIA HATUMDHARAU MGENI HII INATUFANYA TUSIWE NA UBAGUZI..UNAWEZA KUISHI POPOTE WATU WAKAKUPENDA NA KUKUTHAMINI PIA.... we are gifted LAND..... TULITUNZE HILI WATANZANIA WENZANGU....
Kweli kabisa
Ni kwa rais tu bali sio kuwa Tanzania ni bora kuliko Kenya, wakenya wachapa kazi wanastahiki rais mchapa kazi na kumaliza hongo
Safi kama mnaona impacts za JPM 😎😎😎
Kiukweli mwenye macho haambiwi tazama safi sana Kaka hakika Raisi ni mfano wa kuigwa.
Hongera sana kijana unaona sana bgp sana jpm oyeeeeeeeee
viva tanzania viva magufuli may God bless you Sir
"Hata Mimi ni mkenya lakini tumempenda magufuli bure ni Rai's wakuaminika mwenye msimamo mungu amlinde ywatamini utu kuliko kitu mungu akulinde Mzee magufuli yes.
Mungu ibariki tanzania mbariki magufuli
Amina
Amen
آمين na AMUONGOZE ktk haki
@@wazirikhamisi4828 amina
Kijana una akili sana na una macho na unaelevu ,mungu akubariki akupe uhakika wa mahitaji yako tusiyoyajuwa, watu wengine wanajifanya "eti hawaoni "kazi ya magufuri ,ila hivyo hivyo wasione hivyo hivyo kama wanvyokiri wao hawaoni wasione sawa na unafiki wao
Na hawataona kamwe kazi zake naona ni vipofu
😂😂😂 magu afanyi kazi kwa ajili ya vipofu
Safisana kwa kuonekana kuheshimu utendaji wa mhe Rais magufuli
Mfalme magufuli tunakutambua Africa mashariki ...hauna mfano m/mungu akulinde
JPM non tolerance to corruption is one of the things I like about him. People's servant, God bless you. The next election will be a walk over. God bless him
Maghufuli is a true leader with self confidence....lakni kenya twaongozwo na mabrukenge,wakora,selfish pple
Hahaha na walevi na waizi
Hahaha Uhuru kazi kufungia watu ndani na chakula hawapi
Mimi ni mkenya bt nampenda Sana sana rais John Pombe Maghufuli
JPM anaaminiwa na wengi tuachane na properganda za wapumbavu wasiojitambua
Siku ataondoka ndipo tutaanza oooh alikuwaga 🙄
Kabisa
@@shalomizrael667 ukweli ni kwamba tunampenda Sana jpm sis watz ukiachia mbali wale wanasiasa uchwara na wafuasi wao wachache ambao wala hawatusumbui
Pamoja
Kama chadema Hana shukrani
Ni kweli tunatamani sana Magufuli Angelikua raisi wa Kenya
Mungu awajaalie kumpata kiongozi mzuri kama JPM. Lakini pia, fanyeni uamuzi sahihi wakati wa general election, bila kujali ukabila. All the best.
Kenya kinacho waponza ni ukabila
@@zkiduku4068 Sasa kama wanaona ni mzuri na wanaukumbatia, wasiulete huku kwetu... Hivi vitendo vya hujuma kwa uchumi wetu (illogically blocking transport activities kwa kisingizio cha corona) hatuwezi kuvikubali kamwe! Kwenye orodha yao ya nchi ambazo watu wake waweza kuingia kwao freely kuna USA (among others) ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza duniani kwa wagonjwa wa corona. Halafu eti Watanzania tukienda kwao ni lazima quarantine, hao wazungu wa USA quarantine haiwahusu... Huoni hiyo ni double standard? Na wengine, kama muandishi wao mmoja mjinga anaitwa somebody Mutua wanasema ati tuliwazuia kuleta ujumbe kwenye maombolezo ya Mkapa... Ujinga mtupu! Maana serikali yao wenyewe ilisema kuwa helkopta yao ilirudi kwa sababu ya hitilafu za kiufundi, siyo kwa sababu ilizuiwa na serikali ya Tanzania. Kwa ufupi, serikali ya kenya ni corrupt... Inafanya maamuzi ya kipuuzi ili kuathiri uchumi wetu kwa kutumia corona kama excuse... Sasa tunawaambia wazi, tuko makini mno na sisi si wajinga kama wanavyotudhania... Haka kadhambi ka ubaguzi ni kweli kanaanzia kwenye ukabila. Wakafanye huko kwao, wakikaleta huku kwenye regional affairs, na hasa kuathiri mambo yetu, we will always be there to strongly counter that. Tangu walipoanza kuzuia magari yetu ya utalii yasiende kwao mwaka 2015, likafuata suala la kuzuia malori yetu kwenda kwao mapema mwaka huu na sasa issue ya ndege kwa kisingizio cha corona, kudanganya watalii kuwa Mlima Kilimanjaro uko kenya, na maujinga mengine mengi, yote hayo ni njama tu za kipuuzi... Tunawatazama tu ni nini wanafanya, wakijichanganya tu, tunao... Sisi si watumwa wao kwamba tufanye tu kile wanachotaka wao. Hayo yalikuwa mambo ya zamani... Waache upuuzi...!!! That's a very simple statement they should know. Tufanye biashara kiungwana na kwa kuheshimiana. Dharau (ati wao ni superior than us), ubaguzi, na ubabe wa aina yoyote hatutauvumilia. Watanzania will always stand firm on that.
@@jamesnteleva7073 hao wajinga hawana tena ujanja Kwanza walikuwaga wanaiba madini yet magufuli kawakomesha kaamua kuwa wekea ukuta wasipite saiv wana angaika t
@@zkiduku4068 umeona eeeh? Wanajaribu sana kutufanya tuonekane wabaya lakini wanachemka cause tuko imara. Mbinu wanazozitumia ni za kijinga na always zina-backfire... Ni serikali corrupt tu inaweza kufanya kama ifanyacho serikali ya kenya.
SASA NCHI ZA WENZETU WANAONA KAZI ZA MAGUFURI MPK WANAMPONGEZA HALI YAKUWA SIO RAIS WAO SASA WW MTANZANIA UNAJIFANYA UONI KAZI ZA MAGUFURI SHENZI AYA KAMA SIO KIPOFU LIKE KWA MAGUFURI
Ni vipofu na viziwi
Au ndo maana ya ule usemi nabii hakubaliki kwao
@@isackhassan6551 Machawi ya maendeleo
@Waziri Khamisi mi mkenya Na Magufuli ni Rais bora Afrika,Magufuli anafanya kazi bora zaidi👍
👏
I’m from Kenya, magufuli the best
Nimekupenda sana ndugu yetu wewe ni mkweli..Karibu sana Tanzania na Mungu akubariki na kukulinda.
tundu lisu umemsikia huyo mkenya anavyomkubali rais wa tanzania we tundu lisu ni mjinga mpumbavu kila kitu unapinga wakala wa mabeberu umekuwa shoga wa wazungu rudi ulaya atukutaki tz tundu bovu
Tundulisu hawezi kuwa raisi ni shoga yule
Huna akili wew mungu akusamehe
@@ringoaskali7625 , .shoga ww
Tundu Lissu hapa anaingiaje?
Kwani unadhani Mungu ameuumba Magufuli tu ndiye mwenye uwezo? Huo ni umaskini wa mawazo!
Kweli Mungu hajamuumba Magufuli peke Yake lakini you can't compare Magufuli na Lisu!....lisu Hana historia yoyote ya maendeleo tunayoweza kuiangalia ili tuweze kumlinganisha na Mag u...lisu ni Maneno mengi tu na blablaa....lakini MBA ya zaidi ameonekana kuwa kipenzi cha wakoloni na hiyo ni hatari kwetu
JJPM Wakenya Twakuenzi....Hongera Rais Mungu Akunjalie Maisha Mema.
Wa kenya tunachukulia Poa sana kizuri ni kisifiwe . Kenya nporojo tu
Nimekuelewa sana Jirani yangu
Sio wa Kenya tu majirani wengi watamani awe rasi wa nchi zao
Hongera sana Msanii kutoka Nchi Kenya kwa kuonyesha uzalendo katika Taifa letu la Tanzania. Mungu azidi kumlinda Rais wetu jpm siku zote.
Siyo wa Kenya tu wanaomtamani Pombe Magufuli kuwa rats wao, hata sisi DR Congo tunamtaman na kama ingewezekana wa Tanzania munge tuazima naye kwa mda wa myaka kumi.
Aisee Congo ingekuwa km America na hivi mna madini mengi
Magufuli hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Oyeeeeeeeeeee👏👏
Kenya tungepata Magufuli haa ufisadi ingekuwa hadithi ya kitambo Magufuli anachapa kazi kweli kweli,huku viongozi wa kenya ni burukenge tuu!!
Magufuli 💪 ni tunu, Africa 🙋🙋💯🇹🇿
Ahsant xana ndugu yetu 👍
Mm natamani kitokee kitu cha a jabu Africa TUUNGANE alafu tuchague magufuli awe ndio Rais wa Africa nzima ili akatuchukulie fidia za babu zetu huko EE mungu tusaidie Africa uwe ndio wakati wetu wakufanikiwa
hahahaaa kweli aiseee
Hahahaaaa unaongea kwa uchungu hadi nakubali
Hahahaha umewaza mbali sana
Safi sana,
Tanzania inabid tulime chakula king tuwakopeshe serikali inunue tuwakopeshe wafrica wenzetu itakua rahis kuungana nao tz tuchape kazi
Jenny umenifulshisha kweli duu
Na ni kweli kwanza hapo kwa Covid na Kukataa mkopo(instead he asked them to forgive the previous one)aaah I personally i saluted him kabisa,Twamtamani si siri,mkopo wetu hatujui ulikoenda
Iv n habari za kweli kama wenzetu wakenye mmebakiwa na ardhi ndogo sana mfano wa uwanja wa mpira afu nyingine yote mmekopea mkopo kwa mchina??
@@fredysanga5764 hahaha mchina ni Deni mkoloni ndo alinyakua vipande vya ardhi aswa maeneo yenye dhoruba shwari na katuachia mifupa till today bana
@@maskartedu2422 poleni sana...sehemu kubwa ya ardhi yenu inamilikiwa na wachache...mlevi uhuru na familia yake wakiwa miongoni mwao...hili ni tatizo kubwa, among many others. Huku kwetu mimi naweza kumiliki ardhi popote, ilmradi nifuate sheria zilizopo tu.
Mungu akulinde sana baba yetu Magufuli
Sifa na utukufu mrudishie Mungu
Watanzania sisi wastaarabu sana kwa wageni yaani huoni tofauti yoyote, kudos watz tuendeleze utamaduni huu
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Watanzania Wajifunze sasa.wao wako Tanzania wanajifanya Awaoni Anachofanya Rais Magufuli.Watu walio mbali na Tanzania Wanaona Vinavyofanyika.Mungu Akulinde sana Rais wetu Magufuli Akupe Afya njema Wewe Nafamilia yako na Viongozi Unaowaongoza Awape Busara zakutuongoza zaidi In sha Allah Allah Atufanyie wepesi sote
Allahuma ameen ya rabbali alameen
Kelele ya kwanza kwa Magu ake "weee, kelele ya pili kwa John ake " weeeee,kelele ya tatu kwa Pombe yake "weeeeeeeeeeeeeeeeee.
😄😄weweeeeeeeeee magu yuko juu juu zaidiii..penda sana raisi wetu💓💓
Weeweeeee
Wambieeee kelele ya 5 kwa John wake weeee kelele 6 kwa pombe yake weeeeeee duu nimeipenda saaana
Sisi tunataka akae milele rais wtu
Magu ni rais ambapo wengi wamarais wanatakiwa waige mfano wake...he's a president and a half...period
Ukweli kazi inaonekana..tena kwenye corona Raisi ameinua imani ya watu wengi kwa Mungu.
Kenya ingekua na JPM wafisadi wote wangekua jela
Wewe jamaa umeongea true kabisa
Safi sana
Asante Kaka Karibu Tanzania Nchi Ya Amani
Rais magufuli sir mungu akulinde uongoze TZ milele I admire your leadership sir
Ndugu yangu Mkenya We Ni Ndugu Yetu Wakenya Wote Ndugu Zetu Karibuni Home Tz.🇹🇿🇰🇪
We mungu akilinde mana viongozi wa Africa hawapend kuambiwa ukwel
Allahuma ameen ya rabbali alameen
Hata mimi napenda sana magufuli angekua Kenya aki tungekua tuko mbali sana
Ukweli haujifichi ,Magufuli Ni jembeee
Hao wenye uchu wa madaraka wajipange Sana watuachie JPM wetu amalize miaka yake Murano amalize awamu yake ya pili kwa amani
Mimi nmkenya huku kwetu tuna mtambua magufuli kuliko huyu wetu
Viva jpm viva
Asante kwa kusema ukweli kuhusu tz.Mungu akutie nguvu
Thank you so much for appreciation
Safi kabisa brother kwa sababu unasema ukweli Kama rais wetu ,rais wetu ni mkweli na ukitaka kuelewana nae uwe mkweli ,mchapakazi na umwamini mungu.
Imagine Rais anakataa mkopo tupeeni Magufuli ata kama ni miaka mitano tu jameni
We love U Kenyani dada na kaka zetu. We love Magufuli our president. Mungu amlinde. Tunawaombea Kenyani mpite salama na mjaliwe kupata uongozi mzuri uchaguzi ujao
We love him sure,God bless him with God protection
Even In Canada we needJPMMagufuli as per to love God respect God and respect other religion and fearing God Putting God first freedom of worship is needed here as Magufuli challenged Corona and its creators by standing firm with God. We love you Magufuli don’t listen to Lusso and his Mdomo kaya. Lusso anawivu. Kenya we need him to trade powers with Kenyatta for only 5years Kenya Will be better. I pray for Magufuli stay strong and God protection. Umasikini utaisha Tanzania.
Tunataka sana awe rais wa kenya
ukweli ata mimi ni mkenya sisi tunatamani jpm sana dar,,,.
mimi nafurahia kuwa mTZ. Mungu ametuinulia baba. sio raisi. kwangu mimi Magufuli ni baba. kwa sababu anaipenda Tanzania. anatupenda waTanzania. tumpe support. tuache siasa
Watz twapenda sana,hata mm kama mkenya hutamani ku tourist tz but twapata upizani kutoka serekalini.pia watz mamuzi yakitokia sekalini msidhani cc tunasupport la hasha,nwafa mwelewe tuko tofauti kuna wenye walisupport mweshimiwa raila lakin kura kaibiwa,kwaivo wengine twavumilia c kujivunia kenya
Hongera brother kutoka Kenya....upo vizuri sana....
Mimi ni mkenya huku Madrid. Hakika ni rais ya nguvu. Japo niko na wana Tz hapa ambao hawampendi pombe maghufuli. Wao utoka kule kilimanjaro. I love and support maghufuli asili mia.
I know this guy....
Sio mkenya ni mtaveta kutoka moshi kabila la mchanga
Mimi mkenya JPM is the man one of the fine days nahamia tz
Waambie wahuni wanaojiita watanzania na bado wanampiga vita rais wetu mpendwa Magufuli! Mungu azidi kumbariki, kumlinda, na kumuongoza rais wetu pendwa Mh. Dr. JJP Magufuli na serikali yote ya awamu hii ya Tano! Mungu azidi ibariki Tanzania.
Mimi pia ni mkenya na nina hakika wakenya tunapenda Magufuli sana sana. Hasa kwa upande ya maendeleo, hususan rushwa kuondoshwa katika mashirika za serikali kule Tanzania. Kenya tumechoka na rushwa na wizi ya mashamba. Rais Uhuru hana haja ya kushughulikia masuala ya kukomesha umiliki pandya ya mashamba za umma. Hata kwangu binafsi nitahamia Arusha mwaka ujao(2021).
😭😭😭😭😭😭woooi wakenya ni wapi tulikosea .tukapata kiongozi kama huyu tuko naye saa hii.may God hear our cry
He hears... Just repent and vote wisely... I believe you guys have the righteous people there.
Nyimbo iko wapi Mbona nimetafuta UA-cam hamna?
In Kenya magufuli can be elected a councilor. We dont like dictators
Rais waajabu dunia mzima nakupenda Mheshimiwa Rais Maghubuli
Sasa shida viongozi wenu wa Kenya hawataki kufungua mipaka wanasingizia COVID19.
Magufuli Jembe 🇹🇿💯💪🏼 . Proud of my President ❤️
Viva JPM,
Wishing you all the best and wishing a prosperous wins in the coming October election
Makufuli angekuwa raisi wa Africa mashariki ingekuwa poa sana East Africa ingekuwa ulaya
👏👏👏👏👏👏👏👏
nampenda sana magufuli na mie mkenya
I am a kenyan and we a man like JPM in kenya and Africa. Tanzania choose Magufuli to rule forever
Well come tz tuko kenya bt
Kuno rushwa nyingi
The only thing i would request of Mh.Magufuli Rais wetu ni ELIMU. Sir, please tunaomba uongee na Waziri wako wa Elimu achangamkee- waalimu wetu quality imeshukaa
Tupelekee ujumbe Kenya kuwa Tanzania hakuna Corona maana kuna watu wanasambaza taarifa za uongo.
Ili iweje sasa?
Mm nimkenya but navumilia kuwa mkenya c kujivunia
😂😂😂😂pole broo karbu Tz hakuna matata
Nchi nyigi za Afrika zinampenda raisi wetu. Mungu akutangulie Rais wetu J.P.M.
Hata mimi raiya mfanransa kutoka RDC natamani Raïsi JP Mugufuli awe Raïsi wa Kongo.Vive La Tanzanie,Vive Le Président le plus aimé de l'Afrique Muheshimiwa John Pombe Joseph MAGUFULI mwenye kutupatia raha sana moyoni.Aksanti sana Tanzania kwakumuzala bwana mkubwa huyo JPM.....
👍👍👍👍👍👍
Kweli pia mm natamani kuwa mtazania ningeliweza waa ningelikuwa,rais wakipekee pia mpeda mungu
Presenter unasherehesha sana hata wingi wa mikono kuzidi kwaya Master.
Kweli kabisa Wakenya sio waungwqna yaani huwezi omba hata maji Kama hawakujui nmekuwa huko mmmmmmh nilitamani kurudi home
We unachuki binafsi ,na si kweli ulinyimwa maji.Popote pale wapo watu wazuri na wabaya .ukiongelea swala la nchi raia wa kawaida awe mtanzania au mkenya hawana tatizo tatizo lipo tu kwa viongozi wanaotanguliza maslahi yao mbele.Ongea lingine
Nakubali
Tanzania my love,God bless President magufuli and Tanzani
Poa sana mimi ni mkenya 🇰🇪nanigekuwa bahati ningemuibia president magufuli ❤️❤️❤️❤️
Very Good
Inapendeza kupata raisi mwema anaye mcha mungu Kama makufuli,shalom,