SIDO Waahidi Kuendeleza Tanzania Ya Viwanda
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- SIDO Waahidi Kuendeleza Tanzania Ya Viwanda
Moja kati ya banda ambalo hutakiwi kuacha kulitembelea mara tu unapofika katika viwanja vya Sabasaba ni banda la kampuni ya SIDO ambayo inadili na kutengeneza mazao ya chakula kwa ajili ya matumizi yetu ya kila siku, ikiwa ni pamoja na Asali.
Kampuni ya SIDO pia ina programu maalum ya kuwafundisha wanawake kuwa wajasiriamali kwa kuwapa mafunzo ya jinsi ya kuongeza thamani katika mazao ya vyakula
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe
/ uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli . - Розваги
Mtionyeshe zinavyo fanya kazi
Hiyo namba haipo
Hao Sido siwaelewagi kabisa 1 bei zao 2 ukiitaji hiyo mashine uongo mwingi watakwambia zilikuwa za maonesho tu
Naomba namba ya simu sido makaomakuu
Nauliza kama muna mashine ya kutengeza juice yani kama kiwanda cha kutengeza juice kdg
Naomba namba za sido
I need soap making machine with cutter in Nigeria, what is the price?
Waafrica tukiamua tunaweza.
Nahitaji mashne ya kutengeza ges ya mbolea
Bei zake ni kiasi gani
Mnauzaje mashine za mahindi?
Bei gani machine hizo na Dar zinapatikana?
Nahitaji mashine ya kuchuja Asali
Safi tutafika tu
Nahitaji mashine ya kutengeneza sabuni
Karibu dar es salaam tunazo ndugu
@@RichardsJob hello
@@RichardsJob Mnauzaje weka MAWASILIANO mkuu
@@RichardsJob VP namba mawasiliano
nitaji kujuwa juya machine yaku koboa karanga
Mbona hiyo namba uliyotaja sio ya sido
Izo zippo zakanga
Contact please