Ongera sana mom Kazi nzuri sana Mungu akuinue zaidi Songa mbele katika Bwana wetu Yesu Kristo Yesu ananiwazia mema kabisa Nice song so powerful 🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏
I like your dancers, they dance with rhythm.They are well arranged, they are well coordinated, beautiful outfit, shooting is well presented with scenery.
A very powerful voice with a deep message. I see you gathering more fans with time. I first saw your collaboration with Bahati Bukuku (Utafika). Your voice sure reminds me of the late Angela Chibalonza. May the good Lord continue to bless the path ahead of you.
Usipigane mwenyew mwachie mungu kazi👐
Mungu nikumbuke tu...,. nothing is working out.... everything going south😭😭😭
Dear Lord from today I surrender!
Nakukubali dada mafuta iongezeke
Kweli mengine sitayaweza mwenyewe
Wimbo mzuri saana ,nikweli Yesu anatuwazia mema kwani yy sio kama mwadam
Mungu nimekupigia matatizo haya yote ninayopitia siwezi Mungu baba
Amen Amen and Amen 🙏 mwachie Mungu kazi hallelujah 🙌
🙏🙏🙏😪
Mungu anatenda kila wakati
Da.!kazi yako nzuriii Maggie na Bahati hakuna mpinzani.Nawakubali
Ubarikiwe dada angu nyimbo ni mzuri sana
Amen
Hu u wimbo hunibariki sana
Nimeachia Mungu mimi.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥Nimemwachia🔥🙌
Hii wimbo nikama ni mimi niikuwa nahubiriwa
Mungu Habatiliki
I love ur songs and as well as ur self ♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏
Uko sawa..Endeleza kazi ya Mungu Watu wajue Njia ya Mungu
Yes mom some time we need to do what we can do and leave the rest to him Amen 🙏
Je laisse tout à mon Dieu, et il agira puissamment
Mwajie Mungu Kazi🤗🤗🤗 what a blessing song.💃 Mwajie Mungu kazii
💪💪💪shujaa wa mungu unanipa moyo sana barikiwa sana mama
Wooow!!!! kam unaon uyu mama mwimbaji anafanan na Jay Dee, nipe like zang plz😍😍😍😍😍
B blessed my mom❤️❤️
Ameeen
Mam mungu akuinue kiwango kingine
Asante mama ujumbe mzuri saana
🙏🙏MUNGU akujidishiye dada kweli tuachiye MUNGU kazi kabisa
Amina barikiwa
Muwachiye Mungu kazi
Amen mungu akubariki Sana dada
nice song mama hakika mungu mueza
Ameeen mtumishi huu wimbo umenigusa sana ila kupitia huu wimbo acha nimwachie mungu nafasi atende kazi yake
Waimbaji hao bado wanavaa mawigi na marasta yupi wa danguro na Yupi anayemsifu Mungu;
Trophaina Magogwa ulitaka wavahe pads kwa kichwa ama guniya 🤷🏿♀️
Ulitaka avaee nn
Mbona maswali zisio na msingi? Watumikia Mungu nasi tumshangilie mungu sio udaku kwa huduma ya mungu
@Gloria Kiwele looooh are u sure?
Stupid
Yesu Kristo ni WA Milel e
Nimebarikiwa na wimbo huu
Mungu awa bariki
Hakika yapo mengi sana yanayotusibu lazima tumwachie Mungu kazi . Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
Amina songs mbele
Cmart song
Ubarikiwe sana mama
Ama hakika pekeetu hatuwezi. Ubarikiwe sana.
Amen..Barikiwa my sister
Halleluyah !Mwachie Mungu afanye kazi yake...such an inspiration, God bless you mum!
Nakupenda bure mamy
Ongera sana mom
Kazi nzuri sana
Mungu akuinue zaidi
Songa mbele katika Bwana wetu Yesu Kristo
Yesu ananiwazia mema kabisa
Nice song so powerful
🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏
Amen 🙌
Muachie Mungu nafasi atende kazi
who's here 2020 getting blessed by these amazing song
Asante nime wachia Mungu kazi Amina ubari kiwa dada
AMEN!!!
nabarikiwa na wimbo huu. ameen
I have become your fan..Your songs bless me.
Amen amen
Naachiya mungu kazi
AMEN
Namwachia Mungu kazi🙏🙏🙏
Mwachie mumgu kazi ubalikiwe mutumishi
I like your dancers, they dance with rhythm.They are well arranged, they are well coordinated, beautiful outfit, shooting is well presented with scenery.
Muliri.... Siku hizi you don't fast. Unakulakula sana. Weweee
Jamani ahhahaha
ma soeur que va de l'avant tu defend bien ma ville NYOTA YETU MWANA BONKA
Ameen
Dada jambo
Wimbo nzuri, umenibariki. songa mbele
Amen Mungu nimekuachia yote kwako roho yangu itawale
Ameeni majibu ya Mungu ni matamu sana ukimuachia atende kazi yake kwaza utakuta unapata raha ya moyo usilipe kisasi mwachie Mungu afanye kazi
Amen namuachia MUNGU kazi
Amen powerful massage maggie am blessed with this song....Muachie mungu nafasi katika maisha yako
Amen
Do your part and leave the rest to God. Powerful song Maggie
Love u mummie
Powerful 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana watumishi wake azidi kuwainua zaidi
Waooooooooo namwachia Mungu kazi
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 soit puissamment béni ma sœur ❣️🇨🇦
Amen.
POWERFUL voice,,,Nakubali kumwachia Mungu kazi,, God bless you and favour you more
Thank u
Mubarikiwe sanaaaaaaaa
B blessed mama nabarikiwa sana na nyimbo zako mungu azidi kukuinua sana🙏
Na muachie yezu kazie
Don't look on the past, I leave everything to God
God bless you for this song.
Dada Ile Wimbo yako imenibariki kila Mara ata Kama Niko Na ma shida Mungu akubariki
A very powerful voice with a deep message. I see you gathering more fans with time. I first saw your collaboration with Bahati Bukuku (Utafika). Your voice sure reminds me of the late Angela Chibalonza. May the good Lord continue to bless the path ahead of you.
Are they sister's ?🤔
Amen thanks
Woow❤Nitafika song ft Bahati Bukuku is my best ever❤Everyday in the morning when I wake up I listen to it and it inspires me❤
Coz he is an omnipotent God,
Njema saana saana
Binadamu hatuwezi tumwachie mungu kazi
Mung akubariki mtumishi
WA mungu.
amen
y’a qoo
Powerful
achia Mungu kazi kabisa mengine hatuyawezi
yes bby
Superb nice song.
Wow nimekuachia mungu
Maisha nimemwachia mungu akamilishe
Mnajiremba mno na upako unakosekana
Amen amen merci.
Namuachia mungu kazi ongera sana mumy ujumbe mzuri
Wimbo mzuri na unatia moyo
Amen amen mungu azidi kukubariki sana 😍😍😍😍😍😍
Mwachiye atende kazi yake
nice
Amen nimebarikiwa
Amina umenibariki
Tina Muta okp
Tina Muta
Dieu a le dernier mot pour la vie d un homme
Am blessed mum with ua song