Maggie Muliri - Chakula Chako (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 31 січ 2025
- Mungu wetu chakula chake ni sifa na kumuabudu yeye ungana na mimi muda huu kumwambia Mungu anastahili sifa na ukutufu kwa yale yote ailiyotenda kwenye maisha yako.#MaggieMuliri#ChakulaChako#MusicVideo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Rip Angela Chibalonza, we miss u
Mungu haitaji kitu chochote kutoka kwa mwanadamu ndio awe Mungu,
Kumsifu na kumwabudu ni amri yake..kwetu wanadamu.
Wala sifa sio chakula cha Mungu.
Mama mchungaji mtumishi wa mungu elisha MULIRI huyo baba ameona mengi simama nae kbs na kumbe ww ndie uliimba song ya nitafika na bukuku mungu yupo
nabarikiwa snaa, Mungu azidi kukutumia zaidi na zaidi
Nzambe merci Pô bisika olokota ngai mutu akoki koyeba tei
Nakuku Bali sana mma mungu
Akubariki
Kenyans pita na like huku ♥️♥️🙌be blessed
Amen amen
Mungu.ni.mwema.siku.zote.ahadi.zake.ni.kweli
Good sauti fresh sana mum God bless your family
Wow ,chakula change huku ,am blessed mum ,🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭
Napenda nyimbo zako mummy Mungu wetu akubariki
Amen dear you bless me
Mwanamke jasiri ktk kumtumikia MUNGU napendaga sana
Barikiwa mno dada yangu🙏🙏🥰🥰🥰🥰
Avance mamy
I love you so much 😍😍😍😍
Jaman maisha ya Sasa unaimba mambo ya mungu umebana matako hatar sana
Nyimbo yangu pendwa Hadi nalia😢🙏
hapo sawa kabisa nyimbo iko poa sana
Amen
Hallelujah chakula cha mungu musifu
Yes yes dear
Ninabarikiwa zaidi ka huu wimbo
Amen
Ubarikiwe na Mungu mama kwa wimbo huu.
Amen
Amen Bwana sikiliza Maombi yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ni uliponitosha siri ya moyo wangu
Glory to Jesus
Bwana Yesu kiristo asifiwe dada hongera Sana Sana nyimbo nzuri sana
Amen anen
Dah mama mungu azidi kukubariki sauti
Wimbo mzuri sana!! I can’t stop listening to the song!! God bless you mama.
Nice song Dada barikiwa🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Make wa apostle why do you look like the world uchi kifuani kama Dunia apendae Dunia kupenda Mungu hakumo ndani yake
Hongera sana mwana wa MUNGU barikiwa
Nyimbo zako zote zinanibariki sana
Barikiwa
Amen
Here watching 2020
+254
Vocals 👌
Dress code ❤️
Dancing 💞
💃💃💃💃💃💃
God bless u
Hauchoshi kusikiliza chakula Cha Mungu maabudu,,,sifa so amaizing song barikiwa mtumishi wa Mungu👉🇹🇿♥️
Amen amen Sarah
i have seen someone like Wonder Muliri here, nyc song am blessed
I guess this is her other lovely mum who has been talking care of her.
Thank you Maggie for being a good mother to wonder....
We love her unconditionally....her mum was so dear to us🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yesu kweli umenitowa jararani
Maggi
Muriri akisanti
Amen dear
Amen amen dada yetu
Mungu akubariki
Chakula kitamu Cha Mungu kimepikwa kweli kweli sifa nashukrani ni kwa Mungu kwa ajili ya mtumishi wake 😘😘😘😘😘
Amen anen
Very nice ❤❤music
Nyimbo nziri sana ubarikiwe
Ubarikiwe da Maggie🙏
Amen dear
God bless you
Woooooooooow this song makes me cry yaani umeimba kuusu maisha yangu kabisa haleluya Amen Amen Amen Amen nikitafakari kwenye Mungu alinilogota miye from zero to same way uyu Mungu nimwema ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶💉🎶🎶🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇦🇨🇩🇨🇩🇨🇩best song asante yesu
Amen amen amen ametutoa mbali
Woow mumy ilove more... Jaman ulivo mrembo sasa ...
Love y than more
@@maggiemuliri3739 thank you my mummy.... Welcome again arushaa..
Naujiunganisha na hii neema kubwa...love you mom 💞💞💞
@@maggiemuliri225 thanks mumy I got the message I worship at buswelu under the supervision of daddy peter
Ilove u xo much
Ubarikiwe sana mjakazi wa Mungu da Maggie Muliri kwa wimbo nzuri 💪💪💋
Be blessed.
Wimbo mzuri sana,ila jaman ifke hatua wanawake tumheshimu Mungu na kumuogopa unasema Mungu amekutoa mbali n kweli ila sasa huo mwonekano wa kikahaba wanini kwanini hujikubali ulivoumbwa na Bwana,hayo mapambo ya kuzimu yakazi gani,soma 1petro3:3,mwanamke atakiwa kuwaje jaman,uwe chanzo cha watu kuokoka na kumfuata Yesu uswe chanzo cha kipeleka watu jehanam,hayo mapepo ya mapambo na nguo za kubana na uwazi Yesu hapendezwi ata ungemsifiaje tukatae kazi za ibilis yanini kupenda uumbaji wakishetani n mapepo tu hayo shetani anawadanganya na muonekano wake wa bandia huoo shauri yenu
Wewe unakipimo gani hicho cha kujua yote ayo ?
MUNGU akubariki Sana maman
@@didoskingofgospelrhumba2487 Amen akubariki nawewe piaaa
@@stalonstanley8808 Roho mtakatifu ndicho kipimo nilichonacho kwa kuniwezesha kusoma neno lake MUNGU BABA LINASEMAJE,,HCHO NDO KIPIMO CHANGU CHA KUJUA YOTE HAYA.
@@ivonaevarista4654 mwenyewe anakaa wa marine kingdom....wajinga ndio wanasema wimbo inaupako...hii wimbo kama wewe ni mtu wa kiroho haina upako mwenyewe amekaa jezebel.
Very good mama
Ubarikiwe sana niko na wewe siku zote
Wimbo mtam Sana ujumbe mzuli muonekano wako mzuri mungu amekutengezeza 👍
Aleluya
Hawezii fikia Angela !May she rest in peace.
Mbona mimi na yy hatushindani dear uweunajuwa chaku comment nakama huna heri ukae kimya. Imba ukamzidi ww ila mimi siimbe ili nimzidi naimba maaana jukumu langu nikumsifu Mungu. Pole saana
Muwage serious basi
Ameeen..barikiwa..Mama.🇧🇮🇸🇦
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Aleluyaaa nyimbo nzuri sana mpk nasisimkwa mwili,barikiwa dada
Amen thank u
Hongeea sana mama wimbo umejaa utukufu Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu sana
Amen my mom love u
maman ajela chibalonza i miss you maman please come back
God doesn't compete with the enemy instead He comes in His own appointed time.
Thank you Jesusfor the song
Yesu unastahiri kabisa
Ninayosababu ya kumuabudu
Yesu
Wow wimbo ni mafuta matata barikiwa maman Maggie!
Amen amen
FIRST TIME LISTENING TO THIS SONG....MUCH BLESSINGS MOM...THE SONG IS SO TOUCHING AND A BLESSING....CHAKULA CHAKO MAABUDU,,,CHAKULA CHAKO SIFA YESU
Ameeen
💥💥💥💥💥💥❤️❤️❤️❤️
Amen amen maman songa mbele
Amen amen
❤️❤️❤️
😍😍😍😘
Mungu akubariki sana
Ubarikiwe sana mjakazi wa mungu
Wow. Chakula chako Mungu ni sifa. Halelujaaaaaaaaaa
Amen
Barikiwa sana kwa nyimbo zako nzuri mpnz
Asante dear
Nzr san
Asant
Hallelujah
Amen
Nashindwa kujizuia kuisikiliza hii nyimbo mda woteee maan nikiisikia najisikia kuendlea kuisikiliza hata siku nzima jaman barikiwa sana mama🙏🙏🙏🙏🙏
Amen amen dear blessed
Wow God bless you my pastor
Thanks my Mom
I had given up in life completely, but because of this song, am giving my life to God again
Amen 🙏Mungu asifiwe siku zote anastahili
Amen
Hallelujah 🙌
Mungu azidi kukuinua mamy
Amen dear
Wow❤️🔥 I love youu mamaaa😘
Love u too
Chakula cha mungu ni sifa...Wow!! Wow!! Wow!!...❤️💚💛🖤💟💜... Maggie Muliri this is Outstanding.
Saaana
Yaani nimekupenda
Sana wewe chombo
Mungu akutunze.
Amen amen lov
Asante mama kwa nyimbo nzuriiii nimeifanya nyimbo yangu ya kila kukicha lazma niiskilize barikiwa sana mama
Wooow amen amen
Amen! Chakula cha Yesu ni Sifa na maabudu but yet we still fail to give it to him😭 Mungu atu hurumie
Saana kabisa
Thanks mamo jamni,naskiliz nyimbo zako kila siku
Amen dear
Naomba naomba kuongea nawe
huu wimbo unagusa vilindi vya moyo wa Mungu
Amen amen amen
Nimebarikika amazing song
Amen
MUNGU AKUBARIKI SANA HAKIKA KAZI NZUUURI
Amen
Great song with superb video, just love everything , bless you
Amen amen
Siri ya moyo wangu 🙏🙏
Kabisa
Wewe dada mbona sikukufahamu jamani, mbona unanibariki hivi
God bless you beloved.
I don't know you in person but God knows you well God reveal a revelation to me when I was going through your profile
to observe things about your spiritual life. while I was meditating
I saw a divine breakthrough in your life and I saw evil attacks of
the enemies manipulating on seizing your favour and to come against your hand work for you to be confused and lost hope. in life As i was praying the Lord reveal to me and instruct you to sow a seed into the life of a baby suffering from leukemia in Godsfavorhand orphanage home located in kebbi state in Nigeria before the end of tomorrow and let me know so I can join you in prayers deeply because he want to manifest his promises in your life and that of your family Nobody should know about the seed is between you and God, you will testify to the Glory of God after you have done it if only you believe in him and do what he says
Proverb (3:27;21:26;22:9 ,,Deu.28:1-5)
Contact the MD of the orphanage foundation on WhatsApp on +2348148265325 and send your donation to them ask for there acc details and soul a seed to the glory house of this orphanage home babies
God bless you...
Mungu akubariki ndani yako umelijaza neno la Mungu ubarikiwe Sana Kwa kazi nzuri usitishwe na wanaokusema eti umejipamba walitaka ufanyeje jipe moyo utashinda
Amen amen
Mtu akivaa vizuri wanasema akivaa vibaya asipopendeza wanasema cjui binadamu tuna nini mungu mweny kasema tupendeze......Maggie momy may god always protect u and guide u in everything u do🙏🙏
@@hawakapinga5495 amen dear thanks
Ubarikiwe mutushi wa Mungu hii nyimbo ina ni unuwa tena ina ni tiya nguvu. Kweli tumuabutu Mungu na tumusifu
Amen amen my Brother
Nimeipenda sana sana Mungu akubariki dada mwimbaji wimbo unabariki kweli
Amen amen
Amen gisi ninavyo kupenda mama ni siri ya Mungu tu
Amen dear
Love u more
Aiseeee Hongera Sana Madam Maggie Murili Mana daaaaa hili Ni Bonge Moja la Wimbo na Bonge Moja la Video,, Video Kali Sana Ni ya viwango,, Mungu azidi kukuinua Mana Unafanya Kazi Nzuriiiiii saanaaa!! TUMAINI JIPYA tunakupenda Sana na kukufatilia na kujifunza vingi kutoka kwako,, ""CHAKULA CHAKE NI SIFA""@
Amen amen
Wooow thank u very much
Aksanti dada ,Mungu akubariki kwa kazi zake,mimi ni mkongomani/Kinshasa,nipo Dubai,shauri: punguza kujipamga hakuna tafauti wewe na jezabel.
Amen amen
Kabisa
❤❤❤❤❤ 🙏 🙏 🙏
One of my favorite gospel artists,, I love your songs mummy
Thanks dear. Love u Tina
@@maggiemuliri3739 welcome Maggie
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌
👏👏👏😘
Amen chakula chako sifa ubarikiwe mama murili
Yes dear
God bless you Mama for such a beautiful massage,,,, chakula Cha Mungu sio CHOMA,,,CHIPS KUKU WALA PIZZA,,,,BALI NI SIFA,,, HALLELUJAH
Amen amen thanks