Wanawake tujitahidi sana kuwashirikisha waume zetu mambo km haya. Pole Sana ndugu yangu. Hii kampuni ifungiwe wallah mmetoa uhai wa mtu kisa deni limebaki laki moja na elf 70??
Labda Viongozi wengine ni vilaza tu havina au havifanyi chochote wakiambiwa. Labda kwenye hao wanahume WAlikuwa wanamtaka huyo mwanamke kimapenzi!!!? Au vipi? 😢😢😢
@@scorasticaclement6308jmn sio wanadai vby " mm sikopagi huko na naomba Sana Mungu anisamehe sio wote wanaookopa wanapenda" ila ukidaiwa uwe na kauli nzur na ikumbukwe mkienda kukopa mnaadabu zote ila wakianza kudai mnawaona wasunbufu" kikubwa tumuombee marehem apumzike kwa aman 🙏😭
Nampa pole sana huyu dada. Kitendo cha mume wake kufariki kisa deni, hiyo itakuwa ni fimbo yakumchapia kila kona huko mbeleni. Yaani watakuwa wakimkumbusha, we umesababisha mumeo kufa kisa mikopo. Pole sana mdogo wangu.💔😭
Mikopo ina riba na riba ni haram. Haram inamazala mengi siyokifotu tyjitahidi tuepuke na mikopo ya Riba. Kwani inatumaliza kinyakinya kwavitendo. Sshatujijui. Mazalani mengi kwa binadam kupitia riba. ,,,,tukinai na halizetu
Sahihi kabisa. Tukinai na tulichonacho. Na madhara ya riba yanatupata Kwa kuwa si riziki yetu ya halali tuliyokadiriwa bali ni Sisi ndo tunalazimishia.
@@jamillahkheir6536 ukosefu tu wa sisi wanawake kujua thaman ya ndoa na kesho tuelekeapo akhera ila ukijua lazima kitu cha kwnz ni mume ndo hata mama ghako ajue lkn tulivyokuwa wabishi wanawake ni kila kitu kujiona wajuaji
Kosa la huyu dada kwanini achukuwe mkopo bila kujuwa mumeo Tena unaenda kuchukuwa sm kwani ungemwambia mumeo akununulie sm hata ya kitochi tu si maisha yanaenda,huyu dad'a anaonekana ana uswahili mbona mwanzo ulikaa na mumeo mkachukuwa mkopo , umemponza mumeo jamani wanawake tuwe makini kwenye kuchukuwa mamuzi wamekulizimisha Ili iweje kwani ungekataa wangekufanjaje,? Ungempigiansm mumeo huyu anaonekana amezoea kukopa kopa
@@darajalakidatukilomgi2362 nikatafte ndoa ulisikia mwanamke anaolewa na mwanaume wawil kwa wakat mmoja Alhamdulillah nipo kwenye stara ya ndoa Allah akinishuhudia so ww
@@IfadatAlly kwa mjibu wa dini yetu ya kiislamu haifai kumulik kitu bila ridhaa ya mumeo mume ni njia yako sahihi ya kuingia pepon sasa tng lini uingie pepon na kitu cha haramu kununua kitu bila ridhaa ya mume ni haramu nendeni madrasa achen kujifanya mnajua sana dunia wakat akhera yatungoja
Pole Sana ndugu yangu. Ila wanawake wenzangu wa kiislam hii mikopo yenye riba ni haramu. Tuache kuchukua hii mikopo haina faida na kitu ambacho Allah kakiharamisha kina madhara sana kinaleta ufukara na majanga.
Hawa Oya nawachukuia Sana nimeona utendaji kazi wao wanadhurumu Sana sikuzote nikiona gari zao roho inaniuma Sana sijui kampuni hii ina wahusika serikalini
Yani hii nchi imeharibika kwel itakuaje mumuuwe mtu kwa kumdai dah inauma sana lakin viongoz msome maisha magumu raia wanateseka wanakopa mpaka wanauliwa serekal hili msilinyamazie kimya😂😂😂
Wanawake tuacheni tamaa jamani eee tuwe tunawashirikisha waume zetu jamani,, sasa kama ilibaki laki si ungechukua mkopo wa laki ulipe deni then ubaki unadaiwa laki na riba yake ulivyokuwa huna akili na tamaa zako ukachukua tena laki tatu dah!! Hata uo mkopo wa kwanza sidhani kama ulichukua na mumeo kama unavyosema
Jaman hebu mpeni moyo mama samia rais wetu mzur kuna mambo yapo nje ya uwezo wake hata police wanaweza kuyafanya jaman mama mbona mnampa mzigo mkubwa sana atawaza mangapi sasa jaman Police watafanya kaz yao pia rais nae ana majukumu yake ya kaz
Mikopo Mikopo Mikopo hii kitu hiii itatusambaratisha na familiya zetu na itatuacha wakiwa kwa kweli Maskini jamani tusiwafuwate wenzetu wenye pesa mikopo tuwaachie wenyewe teache tamaa mana tamaa mbele martial nyuma.
Sasa hao OYA kwa Laki Moja wanaua mtu ! Wameshindwa kuwa na subira kwa kufuata Sheria za madai ? hatua kali itafaa ichukuliwe dhidi ya wauaji hao.inasikitisha sana.
Umasikini jamaani ugonjwa! Asinge kuwa masikiini asinge kopa mpaka mumewe kuwawa. Hujamponza wakati wake ulishafika na hao ni wauwaji tu. Laki 3 sio ya kumuuwa mtu. 😭😭 mtihani huu.
Tena hii tabia kina mama wengi wanayo. Wanakopa na waume zao hawajui na mtu kazi ya kufanya ili arejeshe vizuri Hana. Kuna wake za watu wamekua wadangaji , kuna ndoa zimevunjika, kuna ugomvi kwenye ndoa zao na maelewano hakuna kwa sababu y mikopo. Wanawake acheni tamaa hakuna hela rahisi sio kila mkopo ukope kama huna ulazima wa kufanya hivyo acha na hata ukikopa mshirikishe mumeo au unayeishi nae. Haya leo umefanya kijana wa watu amekufa , umeachiwa watoto na ujane juu. Mikopo sio mibaya ila unafanyia nini hiyo hela ya mkopo? Wanawake tunakosea sana kwenye hili
Pole mdada mikwakweli sijawai kukopoa tena nilisha temea mate sitokopa ataniwe na changamoto gani duh sasa ukope ununue cm kweli utalipa vipi apo wanawake shida sana
Sheria zipo na mtu akikopa anapitia ofis za mtaa kwann hawajalud ofisi za mitaa kulalamikia den lao alafu oya wanapenda kulazimisha mtu,mtu akimaliza wanamfosi achukue tena
Inaumiza sana hata mimi aunt yangu alimuua mjomba wangu kwa mikopo Allah amrehemu, uncle alishangaa watu wamekuja kwake na kuanza kupiga mdana kiwanja chake hapo ndo akajua kuwa mkewe alikopa uncle akapata stroke ile hali ikadumu kwa mwezi mmoja mpaka umauti ulivyomkuta
Wahusika wakamatwe. Kampuni ifungiwe, pia itoe fidia ya kutosha Kwa familia
ACHA WIVU KAMPUNI IKIFUNGWA NDIO ITASAIDIA NINI!? Kampuni ikifungwa si anafungua nyingine ndani ya dakika 5 tu. Acha roho ya kimaskini.
We ni taaahira wa OYA@@Hamy1109
Chizi huyi hapo kampuni inahusikaje?
Hao wahusika ndo wakamatwe wakaungane na nyundo
Wee dada mshenzi sana yaan uchukue mkopo kwaa ajil ya cm ona sasa umepoteza uhai wa mumeo..si bora ungemweleza mumeo izo pesa mkajazia ktk duka
Ni sahihi kampuni ifungiwe Sababu ni kawaida yao kwenda kudai kwa fujo kama hivyo. Hapo sio mara ya Kwanza kufanya hivyo hiyo kampuni ni washenzi sana
Jina lenyewe et OYA😂😂 mbona kama wahuni tuu
😂😂😂
Wanawake tujitahidi sana kuwashirikisha waume zetu mambo km haya. Pole Sana ndugu yangu. Hii kampuni ifungiwe wallah mmetoa uhai wa mtu kisa deni limebaki laki moja na elf 70??
Pole sana dada lakini hii ni kesi tayari hiyo kampuni ya OYA inatakiwa wahojiwe vizuri!
Acheni kukopakopa.mikopo yenyewe yana liba.mnanunua ugomvi na mungu.
Hii nchi kila kitu mama samia hakunaga viongozli wengine wasidizi
Mlete baba ako bas awe kiongoz mjinga ww usiejua maumivu yavifo
Uyu si mbwa kwa hyo unataka waongee na nani au kwa sababu nyie uko znz maisha mmeyapatia
Hata kama wanafanya mapuuzi mama samia 😅😅😅 ujinga mtupu hapa wanawake mna tamaa munakopa hamuwashirirkishi wanaume zenu mmbwa nyie
Labda Viongozi wengine ni vilaza tu havina au havifanyi chochote wakiambiwa. Labda kwenye hao wanahume WAlikuwa wanamtaka huyo mwanamke kimapenzi!!!? Au vipi? 😢😢😢
Saidia wewe kama hii inchi kuna mtu mkubwa Zaidi ya mama samia
Hyo kampuni ifungwe
Umesema ukweli kbs tena wana mariba makubwa kwelikweli
@@rosemilingi7860
Inshu Sio Riba Inshuuu Ni Kwamba Wanadai Vibayaaa Mnooo Hao Mbwaaaaa Yaani Ata Saa Kumi Usiku Wanatimba Hao
@@scorasticaclement6308jmn sio wanadai vby " mm sikopagi huko na naomba Sana Mungu anisamehe sio wote wanaookopa wanapenda" ila ukidaiwa uwe na kauli nzur na ikumbukwe mkienda kukopa mnaadabu zote ila wakianza kudai mnawaona wasunbufu" kikubwa tumuombee marehem apumzike kwa aman 🙏😭
@scorasticaclement6308 😂😂😂😂😂😂😂Umenichekesha kwenye majonzi
Hii mikopo ya hawa kenge wa lhivi viloan application zao nikoziona on page nazipitiaga kushoto cz ni wezi na govt inawatazama tu😢
Oya mmeamua kuua kabisa😢😢
Hilo jina tu uhuni
Oyaa hii kampuni ni ya kufunga
Nampa pole sana huyu dada. Kitendo cha mume wake kufariki kisa deni, hiyo itakuwa ni fimbo yakumchapia kila kona huko mbeleni. Yaani watakuwa wakimkumbusha, we umesababisha mumeo kufa kisa mikopo. Pole sana mdogo wangu.💔😭
😢😢😢😢😢😢😢kweli ndo itakua fimbo
@@JohnsonRutta-k1c kabisa, Walimwengu hatuna jema
Hasa wakwezake ndio watapata sababu ya kuachiwa ulezi Peke ake
Mikopo ina riba na riba ni haram. Haram inamazala mengi siyokifotu tyjitahidi tuepuke na mikopo ya Riba. Kwani inatumaliza kinyakinya kwavitendo. Sshatujijui. Mazalani mengi kwa binadam kupitia riba. ,,,,tukinai na halizetu
Na riba zake ni kubwaa mnoo
Sahihi kabisa. Tukinai na tulichonacho. Na madhara ya riba yanatupata Kwa kuwa si riziki yetu ya halali tuliyokadiriwa bali ni Sisi ndo tunalazimishia.
Mikopo yote duniani ina riba madam, hata misaada tunayopata kutoka nje ni hivyo
Umesema kweli,riba ni haramu
Shida maisha ndugu yangu,tunalazimika tu@@fatumaramadhani1283
Hawa sio wakukopa kwao hawafai kabisa
Allah endelea kunipa ujasri wa kumshirikisha mume wng kila kitu Subhanna Allah laki 3 inamuua mtu
Haswaaa ALLAH ajalie khair
Kabisa ila Kuna wengine wanasema mwanaume haambiwi ktu😢😢
@@jamillahkheir6536 ukosefu tu wa sisi wanawake kujua thaman ya ndoa na kesho tuelekeapo akhera ila ukijua lazima kitu cha kwnz ni mume ndo hata mama ghako ajue lkn tulivyokuwa wabishi wanawake ni kila kitu kujiona wajuaji
hili gar la oya nikiliona napga ukunga huruma hawana
From 🇧🇮 pole san dad mimi njomana sipendi kukopa
Iyo kampuni ya Oya ukiwakopa wanakufata ata saanane za usiku
Pole dada, wanamakosa sana deni haliwezi kuua mtu, ugejua usingenunua hata hiyo simu,
Kwa nini wadimfuate aliyenunua?? Hawa oya wanamakosa.
Polee dada.
Hii oya ifungiwe
Pole sana dada angu ila jaman kila kitu sio mama samia watunzania tuwe uelewa kdg raisi ana majukumu mengneyo kuna viongoz wa ngazi chini
Kumbe hawakopeshi tuu na kuuwa wanauwa jamani 😢😢😢😢😢 OYA Vipi tena jamani.
Taasisi za mikopo kuweni makini sana kudai sio kupiga jamani 😢😢😢😢
😂😂
😮😮😮😮
Pole Sana mwanangu
Jmn maskini pole
Subhanna Allah mke wa mtu unanunua simu bila ridhaa ya mume wako Halafu bado tunasema tukaingie pepon
Hata angenunua wigi hapa tunaongelea kuuawa kwa mtu, kama huna cha kuongea katafute ndoa
Kweli ajabu iko wapi kununua simu
Kosa la huyu dada kwanini achukuwe mkopo bila kujuwa mumeo Tena unaenda kuchukuwa sm kwani ungemwambia mumeo akununulie sm hata ya kitochi tu si maisha yanaenda,huyu dad'a anaonekana ana uswahili mbona mwanzo ulikaa na mumeo mkachukuwa mkopo , umemponza mumeo jamani wanawake tuwe makini kwenye kuchukuwa mamuzi wamekulizimisha Ili iweje kwani ungekataa wangekufanjaje,? Ungempigiansm mumeo huyu anaonekana amezoea kukopa kopa
@@darajalakidatukilomgi2362 nikatafte ndoa ulisikia mwanamke anaolewa na mwanaume wawil kwa wakat mmoja Alhamdulillah nipo kwenye stara ya ndoa Allah akinishuhudia so ww
@@IfadatAlly kwa mjibu wa dini yetu ya kiislamu haifai kumulik kitu bila ridhaa ya mumeo mume ni njia yako sahihi ya kuingia pepon sasa tng lini uingie pepon na kitu cha haramu kununua kitu bila ridhaa ya mume ni haramu nendeni madrasa achen kujifanya mnajua sana dunia wakat akhera yatungoja
So sad 😭
Hasira hasara oya kazi mnayo washenzi wakubwa😊
Kwa kweli mmh
Oooo jamani RIP.
Pole sana Dadaangu
Jamani. Unauwa kisapesa
Pole Sana ndugu yangu. Ila wanawake wenzangu wa kiislam hii mikopo yenye riba ni haramu. Tuache kuchukua hii mikopo haina faida na kitu ambacho Allah kakiharamisha kina madhara sana kinaleta ufukara na majanga.
UMASIKINI MATESO SANA 😢😢
Kweli
Hawa Oya nawachukuia Sana nimeona utendaji kazi wao wanadhurumu Sana sikuzote nikiona gari zao roho inaniuma Sana sijui kampuni hii ina wahusika serikalini
Mhh.mkopo shikamoo
Watu wa oya niwakorofi sana Mm siwapendi
So sad Rip😭🙏
Kso sad
Pole sana dada .
Unakopa mume hajuiii duuu ona Sasa umemsababisha maafa kwa kijana wa watu 😢😢😢😢
Hii ndiyo hasara ya mikopo ya riba ALLAH. anasema acheni riba lakini mnaleta kibri
Hakika
Jamani
Duu maisha haya
Yani hii nchi imeharibika kwel itakuaje mumuuwe mtu kwa kumdai dah inauma sana lakin viongoz msome maisha magumu raia wanateseka wanakopa mpaka wanauliwa serekal hili msilinyamazie kimya😂😂😂
pole
Mngejua Oya ni ya nani msingehangaika kusema ifungwe..
Hii labda ibadili tu jina lakini sio kufungwa
Unachukua cm bila mmeo kujua kwel hizi ndoa zasasa zimekuaje Yesu tusaidie
Na huo ujasir sijui hua wanautoa wap maskin😢
Poleni sana
Huyo mwanamke msenge sana unakopaje hela ununue simu
Wanna wake muache mikopo jmn
Unakopa Hela kununia cm kweli?ulienda kuh
Oyaaa
Eti nikope ninunue simu?
Eti Simuuuu Na Wanawake Wanapenda Sana Sifaaa Simu Ya Nn Sasa?
Tamaaa
Hata kiwembe pia aweza nunua wanawake wengi Sana Wana kopa huu ndo shida kutokea tatizo Allah atamuhukumia km kukopa malipo yake kuua
@@scorasticaclement6308 dawa ni kujituma nakuepuka tamaa
Kwani hii oya ni nn??
huelewi nini? si kampun ya mikopo😏
Oya ifungiwe
Uyu demu ana mpango utafanyaje kitu mumeo ajui
Huna akili msenge ww
Wanawake tuacheni tamaa jamani eee tuwe tunawashirikisha waume zetu jamani,, sasa kama ilibaki laki si ungechukua mkopo wa laki ulipe deni then ubaki unadaiwa laki na riba yake ulivyokuwa huna akili na tamaa zako ukachukua tena laki tatu dah!! Hata uo mkopo wa kwanza sidhani kama ulichukua na mumeo kama unavyosema
Jaman hebu mpeni moyo mama samia rais wetu mzur kuna mambo yapo nje ya uwezo wake hata police wanaweza kuyafanya jaman mama mbona mnampa mzigo mkubwa sana atawaza mangapi sasa jaman
Police watafanya kaz yao pia rais nae ana majukumu yake ya kaz
yn kupika kwenye milango ya wtu umeona haitoshi mmeona bora muue kbsa nyie kwel kiboko😢😢
Du masikini.nasikia oya wanapiga.naogopa hii kampuni.ifungiwe.
mwandishi uliza deni limelipwa au zamana mmetoa
Me ndio maana kitu mpka nimwambie hata kibiriti nikitaka kukopa aiseeh ALLAH ajalie khair
😢😢😢 Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake mola ampe khauli thabiti ndugu yetu 😢😢😢
Wanawake ni hatar chukua tahadhar wadauuu
Duu,inaumiza sana.poleni wafiwa.
Pole unaumia kwel
ILA WANAWAKE JAMANI UNAKOPA HELA UNANUNUA SIMU BASI TU
Sasa akope pesa anunue sumu anywe?
@@IfadatAlly Na ww nawe sio wa kuoa
Daaah pole dada jmn😢
Dah kwann hii mikopo isifungiwe
Itafungiwaje wakat nchi yako ndio kinara kwa kukopa
Mikopo Mikopo Mikopo hii kitu hiii itatusambaratisha na familiya zetu na itatuacha wakiwa kwa kweli Maskini jamani tusiwafuwate wenzetu wenye pesa mikopo tuwaachie wenyewe teache tamaa mana tamaa mbele martial nyuma.
Mwanamke anaejiheshim
Hawez fanya chchte ktk maisha yake ya ndoa bila yakumshirikisha mume wake
Sasa hao OYA kwa Laki Moja wanaua mtu ! Wameshindwa kuwa na subira kwa kufuata Sheria za madai ? hatua kali itafaa ichukuliwe dhidi ya wauaji hao.inasikitisha sana.
Wanawake bhana
WALAATAKRAAB RIIBAA
Dawa ya ni kulipa
Dah mungu tunusuru na hii mikopo ila wanawake tumezid kwakwel
Bora Niko nivushe plus tu kwakweli
Amechukua mkopo akanunue simu sio😅
Samia afanye nini? 6:54 . Sheria itschukua mkondo wake. yaani deni dogo hivyo mnapiga hadi mnaua! Serikali iziangalie hizi kampuni za kukopesha!
Hawa jamaa juz nawakuta maeneo ya home nadhan hawakumucha mtu salama
Umasikini jamaani ugonjwa! Asinge kuwa masikiini asinge kopa mpaka mumewe kuwawa. Hujamponza wakati wake ulishafika na hao ni wauwaji tu. Laki 3 sio ya kumuuwa mtu. 😭😭 mtihani huu.
Hawa oya wafungiwe tu
Mi mbona siwezi mambo ya kukopa jamani, pia kila kitu namshirikisha mume wangu.
Inna lillah wainna ilayhi rajiuun
mussa paschaly, huku nikudai nikudai den au nakingine jaman
Mkiona idadi ya watu wanaoshuka kwenye iyo ist hamuezi amini.siyo chini ya vidume 7
😢😢😢😢
Tena hii tabia kina mama wengi wanayo. Wanakopa na waume zao hawajui na mtu kazi ya kufanya ili arejeshe vizuri Hana. Kuna wake za watu wamekua wadangaji , kuna ndoa zimevunjika, kuna ugomvi kwenye ndoa zao na maelewano hakuna kwa sababu y mikopo. Wanawake acheni tamaa hakuna hela rahisi sio kila mkopo ukope kama huna ulazima wa kufanya hivyo acha na hata ukikopa mshirikishe mumeo au unayeishi nae. Haya leo umefanya kijana wa watu amekufa , umeachiwa watoto na ujane juu. Mikopo sio mibaya ila unafanyia nini hiyo hela ya mkopo? Wanawake tunakosea sana kwenye hili
Hatari mnoo Hawa ndo wanawake waleo hao , vimikopo vyenyewe hakuna wanachofanyia balaa tupu
Tamaa wanawake muiache mtatuulisha wanaume
Pole mdada mikwakweli sijawai kukopoa tena nilisha temea mate sitokopa ataniwe na changamoto gani duh sasa ukope ununue cm kweli utalipa vipi apo wanawake shida sana
Ndy Kawaida Yao Hao,Usiporejesha Kwa Wakati Unapigwa.😱😱
Shida watu wa Tanga mnapenda sana mkopo mikopo Tena wakati mwingine ya ovyo ovyo wengine kazi hawana Wala Biashara hawana 😢ila Poleni wafiwa wote
Aiseee nimeona Kuna uhusiano mkubwa kati ya mikopo na wanawake wa Tanga .
Sheria zipo na mtu akikopa anapitia ofis za mtaa kwann hawajalud ofisi za mitaa kulalamikia den lao alafu oya wanapenda kulazimisha mtu,mtu akimaliza wanamfosi achukue tena
Hiyu mama..Samia mumpumzishe.. 😢. Ungenufaika na hiyo hela ungemuita muutumie nyote'.
Wanawake tumezidi kuishi juu ya uwezo wetu
Usimlaumu mwenzio naww unafanya zaid ya haya au kwasbb hatuyajui
Hii ni roho manya
KENYA WAJARIBU KUFANYA HUO UPUZI KISA WANIDAI LOAN HAWAEZI....YANI HAWA WATU WAPUZI SANAA😢😢😢 POLE SANA MDOGO WANGU INNALILAH RAJIUN 😢
Mmelazimishwa kukopa kazi iendelee
Poleni sana wafiwa
MUNGU atusaidie
Mm nitawatafuta nanikope kwao nasiwalipi afu aje wanipige afu nione ubavu wao ukovp
Ao hata iwe saa Tisa usiku wanatimba hom yani atakama umepanga ikitaka kuama kimyakimya wanatimba waovyo sana awa watu
Inaumiza sana hata mimi aunt yangu alimuua mjomba wangu kwa mikopo Allah amrehemu, uncle alishangaa watu wamekuja kwake na kuanza kupiga mdana kiwanja chake hapo ndo akajua kuwa mkewe alikopa uncle akapata stroke ile hali ikadumu kwa mwezi mmoja mpaka umauti ulivyomkuta