EXCLUSIVE AHMED ALLY:AWEKA WAZI HATMA YA CHAMA SIMBA, THANK YOU HAZIJAISHA | SIMBA DAY YA MWAKA HUU
Вставка
- Опубліковано 27 чер 2024
- Afisa habari wa klabu Ya Simba Ahmed Ally akizunguzmia yale yanayiendelea katika klabu hiyo
"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
#sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate - Спорт
SIMBA mtarukaruka kama bisi ila ukweli CHAMA alisaini Juni 1, 2024 YANGA. Muda utaongea
Semaji la FIFA respect you bro❤🦁
Semajiii 🙌🏼
musije mukatuletea yule kocha aliyekuw mamelody mule hamna kitu ni bora uyo mgunda
Bado siamini kama chama ameondoka simba😢😢😢
SIMBA NGUVU MOJA
Semaji limegeuka comedian
Penda sana❤❤❤❤❤
Semaji la shirikisho😊😊😊😊😊😊
Sio semaji la shirikisho sema semaji la CAF😅
Munatagaza cana wachrzaji lkn mwsho wa ck utasia habibu kyombo
Tafsiri yake hamna pesa za kuwalipa mnaendelea kuwabembeleza wachezaji
Madundukaaaaaaaaa !!!! ---- mmezoea kudanganyana sana --- yaani Leo ni June 28 na mkataba wa chama unatamatika June 30, siku moja ijayo --- then hili dunduka eti linasema " viongozi bado wanalifanyia kazi suala la chama,inaingia akilini kweli ! -- halafu eti " eti chama anatamani kubaki Simba --- chama siyo mjinga kiasi hicho " muda utaweka wazi kila kitu "
Mtaendelea kumtaman chama pak vijambio vibadilike kuwa chimo la choo kuku nyieee
tumia akili japo kidogo unataka aseme kasajiliwa au lah? muda ndo utazungumza kama chama kaenda yanga au kabaki simba,
Nimekusoma mkuu big up
Inakuhusu nini..?
SASA WEWE UNATAKA SIMBA WAFANYEJE?? NYIE MACHURA NI MA MBUMBUMBU SAANA,,MAFANIKIO YOTE MLIONAYO MUSIMU HII 3 NI KWA KUJIFUNZA SIMBA,,TENA SIMBA ILUFULILUZA MUSIMU MI 4 NYIE MKIWA KIMYAAAAS SASA SIMBA KUMSAJILI AU KUTOMSAJILI MCHEZAJI YEYOTE HALIWAHUSU CHCHT NYIE MACHURAAA..
Simba is simba don't want to get any gift for utoporo by toto jr
Utopolo kweli maskini hadimfungiwe ndomlipe wachezaj kachukueni mikopo hamna ela au shikekeni bakuli tena kawaida uenu
Huyu jamaa sasa nashindwa kuelewa yani hapo sasa inakusaidia nini kwanini usizungumzie mambo yenu jaman
Yaani Tena umeanza na yanga si uongezee yetu...khaa
Tufanye kweli
Mzungu hakulipwa ikawa kelle ilinivuvuzela🤣😂😂😂🤣🤣🤣
Zunguzia timu yako hayoyote yanatoka wapi!!
Jamaa Simba inaendeshwa kitaasisi zaidi, msemaji wake ni msomi anayechukua muda mwingi kuongelea taasisi na si mtu mmoja. Ndio maana aliisha eleza atakayeachwa tafasiri yake hayumo kwenye mipango ya timu. Yule ambaye yuko kwenye mipango ya Simba hataondoka, ukiangalia mkataba wa Chama umeisha angepewa Thank you ht kabla ya wiki angeondoka na kina Saido kitambo
Upo vzr kijana yanga pumbavu hao.
Xo nice bob
Wenye D2 tumeelewa
Unajisifu kwa d2, wenye A zote walishaekewa mda mrefu.
Comedy original
yaaani mmechemka angalia kaziatakayofanya akiwa yanga kapombe chee maloni shabalala watakula wabobwa mbaka wakome
Wewe mwanaume aliyekamilika lazima adaiwe sasa wewe usiye daiwa ndo unavurunda TU na kupuyanga Kila msimu ukianza
😂😂😂HUYU JAMAA NI MUHUNI KWA KWELI😂😂😂😂😂😂
Hamuna lolote apo
Nipo nafatilia ze comedy
Unaboa sasa semaj