GB 64 APAGAWA NA TAKWIMU ZA mchezaji mpya wa SIMBA STEVEN MUKWALA | HAPA SIMBA TUMELAMBA DUME

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 45

  • @Dastanikasanda
    @Dastanikasanda 3 місяці тому +3

    Ukiona mwana chama wa simba au shabiki anapiga kelele chama kuondoka ujuwe huyo ana ujinga wa kumtosha. Tena nimamruki wa kudum..nyoooo. mfuate. Hakuna mkubwa kuliko simba. Pumbavu zenu. Nitabaki na simba yangu daima.

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 3 місяці тому +8

    Kama chama ana ukubwa huo wananchi wanaokata keki na kuweka Mabango watuambie hapa ni Timu gani nyingine kubwa imempa ofa zaidi ya Yanga? Aziz ki kala ofa tatu kubwa feisail anaofa za moto kubwa kumuwekea Chama mabango ni dalili za wananchi kuogopa ukubwa wa Simba katika nafasi ya tatu, sasa wasubirie tujaze vikapu vya makombe msimu ujao

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 місяці тому +4

    WACHEZAJI HAWANA MAKOSA , WAO WANATUMIA DAMU na WANATAFUTA MAISHA , SHIDA YA SIMBA NI UONGOZI.. KIONGOZI SERIOUS LAZIMA WALIOKO NYUMA YAKE WAWE SERIOUS

    • @MohamedMshiti
      @MohamedMshiti 3 місяці тому

      Muongo wewe ila viongozi wetu wako pouw

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 3 місяці тому +1

    Unachokiongea ni sahihi, watu wanaongea juujuu tu, lakini kiwango cha chama na pesa anayoitaka haviendani kabisa

  • @ShaabanMfalme
    @ShaabanMfalme 3 місяці тому

    Wewe huna unalijua unabwabwaja si ulisema chama akisaini YANGA unaacha kuishabikia simba uko

  • @SamwelyMartine-to4ki
    @SamwelyMartine-to4ki 3 місяці тому +2

    Chemalone shondo 😂😂😂 hii imeendaaaaaaaaaaaa

  • @JacobMwamabhise
    @JacobMwamabhise 3 місяці тому

    Namini Simba ijayo itakuwa bola sana miaka 25 kushuka chin hapo sawa

  • @ZubedaAlly-k9y
    @ZubedaAlly-k9y 2 місяці тому

    Yaani ww hunanikosha Sana ata mm nimefurahi kuondoka kwa chamana saido pia ata inonga

  • @yusuphabsaid8151
    @yusuphabsaid8151 3 місяці тому +2

    Chama Simba walichelewa kumla kichwa

  • @SHABANIABEDI-qt1vw
    @SHABANIABEDI-qt1vw 2 місяці тому

    Huyu jamaa anafaa kua msemaji anajiamini

  • @Joicejafet
    @Joicejafet 3 місяці тому

    chama hatuna haja nae kachoka aende tu uko

  • @ANTONINDOMBA
    @ANTONINDOMBA 2 місяці тому

    muache aende chama yey ni nani

  • @DavidRobert-q5c
    @DavidRobert-q5c 3 місяці тому +1

    Ngoja tunywe mtoto nyama tutazikuta chini

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 3 місяці тому

    Wefala unatupotosha

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 3 місяці тому

    Wefala unatupotosha

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 3 місяці тому

    Wefala unatupotosha

  • @Dastanikasanda
    @Dastanikasanda 3 місяці тому +1

    Wamfuate kama imewauma

  • @jseventz
    @jseventz 3 місяці тому

    mamluki

  • @ShaabanMfalme
    @ShaabanMfalme 3 місяці тому

    KAA KIMYA ACHA WATU WENYE MAPENZI NA SIMBA WACHANGIE HOJA WEWE HUNA HOJA ZENYE MASHIKO KWA KIFUPI WEWE NI SHABIKI MAANDAZI

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 3 місяці тому

    Juzi tu walikuwa wanautukana uongozi wao kuwa ni mbovu, leo anamshutumu mchezaji aliekuwa anapambania timu yake na maslahi yake binafsi.
    Hivi ni mtu gani anaejitambua atakuwa mstaarabu palipo na uongozi mbovu???
    Wakulaumiwa ni mzazi na sio mtoto.

  • @PhinidyShaban
    @PhinidyShaban 3 місяці тому

    Tunaitaji vijana saizi siyo simba hile wakifika dk 70 wamechoka

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 місяці тому +1

    unafiki;chama Leo munaona ni Nani?

  • @JumaJumanne-b6b
    @JumaJumanne-b6b 3 місяці тому

    Da kaka gb64 kwann tuskujengee sanam kaka nakula mpaka nakuombe uishi miaka ming

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 3 місяці тому

    Asante Sana GB64 Kwa hamsa yako wazee hatuwataki tena tunataka vijana wanao kimbia 😂😂😂❤❤❤Simba mwaaaah 🤪

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 3 місяці тому +1

    mungu ibaliki simba

  • @SirajiRashidi
    @SirajiRashidi 3 місяці тому

    Aliempa chama jina la mwamba wa rusaka sio baraka kapewa na enock bwigane

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 3 місяці тому

    Umekula rushwa wrweee kuwekwa ndani kumefanya uponeee

  • @OmariSaidi-r1k
    @OmariSaidi-r1k 3 місяці тому +1

    Hii imeendaaa

  • @WilsonMwambonek
    @WilsonMwambonek 3 місяці тому +1

    Ahaa gb umebalikaa

  • @CharlesMchina-hm6yj
    @CharlesMchina-hm6yj 3 місяці тому

    I've hzi xajili zitakuwa na tija

  • @GerfansiBakari
    @GerfansiBakari 3 місяці тому

    chamade anataka ufaza bora aondoke

  • @BejaoneAtupele
    @BejaoneAtupele 3 місяці тому +1

    😂😂

  • @EdwinSimba-j9x
    @EdwinSimba-j9x 3 місяці тому

    Gb 64 unaupiga mwingi uko sahihi

  • @JacobMwamabhise
    @JacobMwamabhise 3 місяці тому

    Simba nguvu moja

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 3 місяці тому

    Gb 64nakubailisha ww sio 64.ww ni 512 gb

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 місяці тому

    Madampo yanakata keki

  • @spencersambo469
    @spencersambo469 3 місяці тому

    ❤❤❤🎉 simba yetu

  • @SalumAuka
    @SalumAuka 3 місяці тому

    Yanga bingwa tena

  • @KennedyGiti
    @KennedyGiti 3 місяці тому

    good brother

  • @allykagawa
    @allykagawa 3 місяці тому

    👏👏GB64