Ukiona mwana chama wa simba au shabiki anapiga kelele chama kuondoka ujuwe huyo ana ujinga wa kumtosha. Tena nimamruki wa kudum..nyoooo. mfuate. Hakuna mkubwa kuliko simba. Pumbavu zenu. Nitabaki na simba yangu daima.
Kama chama ana ukubwa huo wananchi wanaokata keki na kuweka Mabango watuambie hapa ni Timu gani nyingine kubwa imempa ofa zaidi ya Yanga? Aziz ki kala ofa tatu kubwa feisail anaofa za moto kubwa kumuwekea Chama mabango ni dalili za wananchi kuogopa ukubwa wa Simba katika nafasi ya tatu, sasa wasubirie tujaze vikapu vya makombe msimu ujao
WACHEZAJI HAWANA MAKOSA , WAO WANATUMIA DAMU na WANATAFUTA MAISHA , SHIDA YA SIMBA NI UONGOZI.. KIONGOZI SERIOUS LAZIMA WALIOKO NYUMA YAKE WAWE SERIOUS
Juzi tu walikuwa wanautukana uongozi wao kuwa ni mbovu, leo anamshutumu mchezaji aliekuwa anapambania timu yake na maslahi yake binafsi. Hivi ni mtu gani anaejitambua atakuwa mstaarabu palipo na uongozi mbovu??? Wakulaumiwa ni mzazi na sio mtoto.
Ukiona mwana chama wa simba au shabiki anapiga kelele chama kuondoka ujuwe huyo ana ujinga wa kumtosha. Tena nimamruki wa kudum..nyoooo. mfuate. Hakuna mkubwa kuliko simba. Pumbavu zenu. Nitabaki na simba yangu daima.
100%
Kama chama ana ukubwa huo wananchi wanaokata keki na kuweka Mabango watuambie hapa ni Timu gani nyingine kubwa imempa ofa zaidi ya Yanga? Aziz ki kala ofa tatu kubwa feisail anaofa za moto kubwa kumuwekea Chama mabango ni dalili za wananchi kuogopa ukubwa wa Simba katika nafasi ya tatu, sasa wasubirie tujaze vikapu vya makombe msimu ujao
Apo umenena Asante
😂😂😂 jipe Moyo
WACHEZAJI HAWANA MAKOSA , WAO WANATUMIA DAMU na WANATAFUTA MAISHA , SHIDA YA SIMBA NI UONGOZI.. KIONGOZI SERIOUS LAZIMA WALIOKO NYUMA YAKE WAWE SERIOUS
Muongo wewe ila viongozi wetu wako pouw
Unachokiongea ni sahihi, watu wanaongea juujuu tu, lakini kiwango cha chama na pesa anayoitaka haviendani kabisa
Wewe huna unalijua unabwabwaja si ulisema chama akisaini YANGA unaacha kuishabikia simba uko
Chemalone shondo 😂😂😂 hii imeendaaaaaaaaaaaa
Namini Simba ijayo itakuwa bola sana miaka 25 kushuka chin hapo sawa
Yaani ww hunanikosha Sana ata mm nimefurahi kuondoka kwa chamana saido pia ata inonga
Chama Simba walichelewa kumla kichwa
Huyu jamaa anafaa kua msemaji anajiamini
chama hatuna haja nae kachoka aende tu uko
muache aende chama yey ni nani
Ngoja tunywe mtoto nyama tutazikuta chini
Wefala unatupotosha
Wefala unatupotosha
Wefala unatupotosha
Wamfuate kama imewauma
mamluki
KAA KIMYA ACHA WATU WENYE MAPENZI NA SIMBA WACHANGIE HOJA WEWE HUNA HOJA ZENYE MASHIKO KWA KIFUPI WEWE NI SHABIKI MAANDAZI
Juzi tu walikuwa wanautukana uongozi wao kuwa ni mbovu, leo anamshutumu mchezaji aliekuwa anapambania timu yake na maslahi yake binafsi.
Hivi ni mtu gani anaejitambua atakuwa mstaarabu palipo na uongozi mbovu???
Wakulaumiwa ni mzazi na sio mtoto.
Tunaitaji vijana saizi siyo simba hile wakifika dk 70 wamechoka
unafiki;chama Leo munaona ni Nani?
Hahahaa chama leo kazaliwa
Da kaka gb64 kwann tuskujengee sanam kaka nakula mpaka nakuombe uishi miaka ming
Asante Sana GB64 Kwa hamsa yako wazee hatuwataki tena tunataka vijana wanao kimbia 😂😂😂❤❤❤Simba mwaaaah 🤪
mungu ibaliki simba
Aliempa chama jina la mwamba wa rusaka sio baraka kapewa na enock bwigane
Umekula rushwa wrweee kuwekwa ndani kumefanya uponeee
Hii imeendaaa
Ahaa gb umebalikaa
I've hzi xajili zitakuwa na tija
chamade anataka ufaza bora aondoke
😂😂
Gb 64 unaupiga mwingi uko sahihi
Simba nguvu moja
Gb 64nakubailisha ww sio 64.ww ni 512 gb
Madampo yanakata keki
❤❤❤🎉 simba yetu
Yanga bingwa tena
good brother
👏👏GB64