Du ? Nabii wengi wao tumegubikwA sana na uyu mpinga kristo.lakini Mimi binafsi nimejikuta nimebadilika tu gafra na kumjua mungu wa kweri na WA uongo Asante kwa kunionyesha njiaa sahihi .
Ili uelewe mafundisho haya kwanza weka pembeni udini au dhehebu, halafu soma maandiko matakatifu mwenyewe ,uwe na utulivu wa akili,tafakari ya Hali ya juu na research kubwa, zaidi neema ya Mungu iwe nawe hapo utamwelewa huyu Mwalimu vizuri .
Nafikir kuwa neutral ni bora zaid ili tupate kujua ukwel uko wapi. Ukwel ni kwamba kama uko na maslahi yako kichwan juu ya hii dunia huwezi kumuelewaa elliya
Huyu jamaa kichwa sana musimbishie sababu wazungu hawa walituambia na wakaiaminisha dunia kuwa watu weusi tumetokana na nyani leo hii wanasema yesu mzungu pia juzi hapa papa ameagiza kuunga mkono ushoga duniani hii ni hari wazungu hawaamini mungu mungu wao ni pesa tuu mimi naihi ulaya hapa ni upagani mtupu 😢😢😢
Broo unapigaga misumari INCH 12 alafu unakunja kwa nyuma wakungowa hayupo .... HONGERA SANA wewe unafundisha INJILI KWA KUTOA ELIMU na UKWELI WA MAMBO. Barikiwa sana .
Kwanza mambo ya Mungu ni kwamba Dunia hii Njia ni pana na Mlango ni Mpana kwa watu wanaopotea na njia ni nyembamba na mlango ni mwembamba kwa watu wanaoelekea kwa Kristo, Sasa kama ni hivyo ili Upone nenda kinyume na maeneo watu walikojazana, au kushabikia, au kuona ndio kweli, UTAPONA jitenge nenda maeneo yenye wachache, yenye washabiki wasio wengi ndiko kwenye kweli ya Mungu. kwa sababu Uongo ni Mwingi kuliko Ukweli. watu wengi wakisema israeli hii ndo ya yakobo wewe kataa. Utapona
Mimi napenda kuchangia Sana hizi hoja kwa maana mimi namwelewa Sana mwalimu wetu Nabii Eliya wewe unaempinga njoo na maandiko kama yeye tukusikilizae kwa maana mimi mwenyewe ni msomi mzuri wa biblia nyie wote mnao mpinga Nabii Elia mna roho ya tomaso sasa achenimsimkiri YESU KRISTO na kuacha dhambi msubiri unyakuo, kumbukeni wale waliompinga KRISTO nakumuua mpaka leo wapo
Inahitaji utulivu sana kumuelewa eliya ukikurupuka huwezi ambulia kitu utaishia kusema muongo ni huelewi kitu yaani hata kama hujui andiko hata moja marekani,ufaransa na uk ni wakuisaidia israel na tabia zao? Haya watashinda kifwatacho jiulize mara mbili mbili
WEWE KAKA UPO KWA AJILI YA KUWAPOTOSHA WAKRISTO NA WAISRAM WASIO JIELEWA, VITA WAKATI VINAANZA ULISEMA KWAMBA ISRAELI WATAPIGWA, KWA SABABU WALIMKATAA YESU. NILITEGEMEA KIPIGO WANACHOPATA WAPARESTINA NILITEGEMEA UONE AIBU UNYAMAZE, BADO HUONI AIBU😭 YAANI WEWE NI SHETANI YUPO KAZINI KUPITIA WEWE.
Inahitaji kuwa na neema ya Mungu kumwelewa Mwalimu huyu na weka pembeni itikadi za kidini halafu fuatilia maandiko katika vitabu vitakatifu iwe Quran au Biblia mwenyewe Soma usimezeshwe na mtu.
Ila mtumishi unakosea kitu kimoja, kuupokea ushoga ni akili ya mtu ko unataka kutuqmbia hao judaism hawatendi dhambi, kama wanatenda ushoga ni mojawapo ya dhambi wanaweza kutenda pia, lakini pia acha kuwakoti watumishi wenzio kuwaongelea namna unavowaongelea hata kama wewe unajua zaidi, Mungu pekee ndio anajua ukweli wa maono haya aliyowaonyesha manabii zake wa zamani.
Sasa mtumishi hiyo habari ya hao mazayuni na mipango yao yakuendesha dunia umepata kwenye vyanzo vipi, nataka kujua hili. Maana hutuambii reference ili tufuatilie na sisi pia.
Kwa kweli Kulingana na Matendo ya Hawa Mayahudi sizani Kama wanaeleweka kama ndio wenyewe Pamoja na Kusaidiwa na Wana magharibi Wenye tamaduni za kisenge
Waambie wengi wanadhani hawa Israel Fake ndio watoto wa Mungu lakini hawajui kwamba hapo Tel Aviv ndo kitovu cha madhambi ya kila aina yani hata Yesu wanamkataa
Wewe ni muislamu unatafuta mbinu za kuwageuza Wakristo wawachukie Waisraeli ili wawaunge mkono Waarabu basi tukuone ukijaribu pia kuwashawishi Waislamu ili wawachukie Waarabu (Palestina) hiyo kazi unayoifanya unapoteza muda bure kwani huwezi kuwabandua Waislamu kwa Waarabu pia huwezi kuwabandua Wakristo kwa Waisraeli.
Wewe ndo humjui yesu wala mungu wa yesu kristo kama mungu arisema tuwabariki israeli ninani wakupinga mwongo mkubwa wewe ukristo haupo kama wewe unapotosha watu kama vip lud uisram kwanza unatubana nainjili yako mbovu kama we wayesu ingia miguu yote miwi so uislam mala ukristoo
Hawawezi. Ufunuo wa Yohana 11:3-9 Nami nitawaruhusu mashahidi wangu wawili nao watatoa unabii siku elfu miambili na sitini hali wamevikwa magunia -------- --- Nao wana amri juu ya nchi---- Yeyote atakae kuwadhuru moto hutoka vinywanj mwao na kuwala adui zao. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mpendwa Nabii Eliya hafi na wala hakuna atakayemuweza mpaka Yesu Kristo anarudi duniani. Upo hapo🤣🤣🤣🤣🤣 Tunayo bahati kubwa sana
Tena huenda wewe ndio mpinga Kristo maana unafundisha mafundisho ya siyokuepo kabisa yakufikirika bila hata maandiko na bii wa uongo ngoja kesho Gwajima atakujibu siumemchokoza mwenye subiri majibu
Unajua kuna mda wewe mzee unachokichambua hua unaona kipo sahihi sana arafu kumbe ni zero cha kufanya acha kuchanganya wali na mchanga dili na kimoja utajua ukweli wewe umekalili tu maandiko lakini ujui kutoa mihuri ya kwenye maandiko unapotosha watu tu
Wala usifanye dialogue yeyote na mazionists utachafua roho yako. Wateule ni wale tu wanaoami uongo wa kizionist umeundwa na Israelizo ya sasa, marekanoz, uingerezoz na italiyoz. Na vibaraka wao waliosambaa kila kona ya dunia
Achakudanganya watu Israeli ni Israeli na Urusi ni Urusi kadanganye watoto wasio na Akili kwamba Urusi ndio Israeli na Israeli nigogu huo ni ukichaaa mkubwa
Unafafanua maono yako ! Km wanaunda taifa na wkt wa vita wanaweka kando tofauti zao, hoja yko inayeyuka, kuhusu hayo ni imani kiama wanaacha kila mtu atachukua mzigo wake mwenyewe !
Tusubiri tuone.unyakuo hupo. Hiv huyu vpi? Jamani huyu ndiye mpinga kristo hv unasoma biblia gani wewe shetani. YESU atakuja mara mbili. Mpinga kristo hilooooo.
Israeli wote wataokolewa. Warumi 11: 25 . Please be informed that whether Zionists or Judaism GOD has a divine plan for the Israelites for us Gentiles let be born again properly and prepare for the Glorious coming of the Messiah during the Rapture, Revelation 16 vs 15, 1Cor.15 vs 50-51 , 1Thess. 4 vs 13- 18 And there's is the second coming of the Messiah to establish His Rule here in the World with the Raptured church.
Du ? Nabii wengi wao tumegubikwA sana na uyu mpinga kristo.lakini Mimi binafsi nimejikuta nimebadilika tu gafra na kumjua mungu wa kweri na WA uongo Asante kwa kunionyesha njiaa sahihi .
Ili uelewe mafundisho haya kwanza weka pembeni udini au dhehebu, halafu soma maandiko matakatifu mwenyewe ,uwe na utulivu wa akili,tafakari ya Hali ya juu na research kubwa, zaidi neema ya Mungu iwe nawe hapo utamwelewa huyu Mwalimu vizuri .
Ni sahh brother shukran!!
Nafikir kuwa neutral ni bora zaid ili tupate kujua ukwel uko wapi. Ukwel ni kwamba kama uko na maslahi yako kichwan juu ya hii dunia huwezi kumuelewaa elliya
Acha uongo we mzee
nabii Elias really now i feel like i'm unlocked mungu aendelee kukupigania uzidi kutufunulia
Amina kaka, endelea kutupa elimu
Amina Nabii Eliasi ndivyo ilivyo kuna mijambazi imabuda
Huyu jamaa kichwa sana musimbishie sababu wazungu hawa walituambia na wakaiaminisha dunia kuwa watu weusi tumetokana na nyani leo hii wanasema yesu mzungu pia juzi hapa papa ameagiza kuunga mkono ushoga duniani hii ni hari wazungu hawaamini mungu mungu wao ni pesa tuu mimi naihi ulaya hapa ni upagani mtupu 😢😢😢
Hapo nimekuelewa sn mwalimu wangu. Ubarikiwe sn.
Broo unapigaga misumari INCH 12 alafu unakunja kwa nyuma wakungowa hayupo .... HONGERA SANA wewe unafundisha INJILI KWA KUTOA ELIMU na UKWELI WA MAMBO. Barikiwa sana .
Mimi nakufatia sana na unanifungua sana akili ni kweli wewe ni NABII ELIYA Nakupa hongera sana
Nabii eliyas mungu akubaliki sana.
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU achana nao hao wachungaji wa michongo
Ukweli mchungu 👌👌👌
Nakuelewa sana mtu wa Mungu, ukitaka kujua Urusi iko sahihi ni jinsi ambavyo haiko tayari kuona ushoga ndani ya Urusi
Nakuelewa sana
Ubalikiwe sana mtu wa mungu
nakukubari sana piga injili,
Kwanza mambo ya Mungu ni kwamba Dunia hii Njia ni pana na Mlango ni Mpana kwa watu wanaopotea na njia ni nyembamba na mlango ni mwembamba kwa watu wanaoelekea kwa Kristo, Sasa kama ni hivyo ili Upone nenda kinyume na maeneo watu walikojazana, au kushabikia, au kuona ndio kweli, UTAPONA jitenge nenda maeneo yenye wachache, yenye washabiki wasio wengi ndiko kwenye kweli ya Mungu. kwa sababu Uongo ni Mwingi kuliko Ukweli. watu wengi wakisema israeli hii ndo ya yakobo wewe kataa. Utapona
Umeongea jambo kwa kufikiria haswaa🎉
ubarikiwe
Mimi napenda kuchangia Sana hizi hoja kwa maana mimi namwelewa Sana mwalimu wetu Nabii Eliya wewe unaempinga njoo na maandiko kama yeye tukusikilizae kwa maana mimi mwenyewe ni msomi mzuri wa biblia nyie wote mnao mpinga Nabii Elia mna roho ya tomaso sasa achenimsimkiri YESU KRISTO na kuacha dhambi msubiri unyakuo, kumbukeni wale waliompinga KRISTO nakumuua mpaka leo wapo
Inahitaji utulivu sana kumuelewa eliya ukikurupuka huwezi ambulia kitu utaishia kusema muongo ni huelewi kitu yaani hata kama hujui andiko hata moja marekani,ufaransa na uk ni wakuisaidia israel na tabia zao? Haya watashinda kifwatacho jiulize mara mbili mbili
Mkuu leo umeongea kitu ambacho kila siku nilikuwa nawaambia wenzangu hawa siyo israel. Haiwekani waisrael wafanye umafya na uhuni kama hawa
Duuuuh nabii nakuelewa
Ukweli mtupu.mungu akubariki.
Thanks
Somo nzuri we need more
WEWE KAKA UPO KWA AJILI YA KUWAPOTOSHA WAKRISTO NA WAISRAM
WASIO JIELEWA, VITA WAKATI VINAANZA ULISEMA KWAMBA ISRAELI WATAPIGWA, KWA SABABU WALIMKATAA YESU.
NILITEGEMEA KIPIGO WANACHOPATA WAPARESTINA NILITEGEMEA UONE AIBU UNYAMAZE, BADO
HUONI AIBU😭 YAANI WEWE NI SHETANI YUPO KAZINI KUPITIA WEWE.
Ah! Una mengiya kujifunza
Nakuelewa sana walimu
Help me for this please professor Elias
I wanna no where's the true Israel people physically
Wewe ndo ujasomama bibluia
Mungu atuwezeshe kutambua iliyo kweli
Inahitaji kuwa na neema ya Mungu kumwelewa Mwalimu huyu na weka pembeni itikadi za kidini halafu fuatilia maandiko katika vitabu vitakatifu iwe Quran au Biblia mwenyewe Soma usimezeshwe na mtu.
Wewe uwezi debate. Mara nyingi tumekuona ukikibia debate .
Ila mtumishi unakosea kitu kimoja, kuupokea ushoga ni akili ya mtu ko unataka kutuqmbia hao judaism hawatendi dhambi, kama wanatenda ushoga ni mojawapo ya dhambi wanaweza kutenda pia, lakini pia acha kuwakoti watumishi wenzio kuwaongelea namna unavowaongelea hata kama wewe unajua zaidi, Mungu pekee ndio anajua ukweli wa maono haya aliyowaonyesha manabii zake wa zamani.
Nabii eliya upo na kusema ukweli sana
Ili kuelewa inahitaji roho ya bwana,,, lkn Mimi nakuelewa
We una roho wa bwana?
Nina roho wa bibi
Mimi nashukuru Mungu nilielewa uongo huo wa taifa teule la uongo nikiwa mdogo sana
Mpaka aibu wameweka bendera ndani ya kanisa bendera ya isreal, bendera ya isreal ni sample yashetani utajua badae
Hata Mimi nimekuelewa
Ansante nabii.
Swali langu niivi yesu sameshaga kuja Duniyani sasa atarudia tena maraya pili?
Sasa mtumishi hiyo habari ya hao mazayuni na mipango yao yakuendesha dunia umepata kwenye vyanzo vipi, nataka kujua hili. Maana hutuambii reference ili tufuatilie na sisi pia.
Si IPO kwenye BIBLIA ndgu mpka mm bogazi naelewa Wewe uelewi
Hizo ni nikuu za maandiko cndo reference au.
Kwa kweli Kulingana na Matendo ya Hawa Mayahudi sizani Kama wanaeleweka kama ndio wenyewe Pamoja na Kusaidiwa na Wana magharibi Wenye tamaduni za kisenge
Wewe ndiyo shetani mkubwa.tena mpinga kristo. Shetani mkubwa.toka hapaaaaa
Dunia itamgeukia israel
Kama ataendelea na vita
Mda sio mrefu itadhirika
Sio kuhusu dini bali humanity
Unasema Vimeanza 1948 je,aakina samson na wafilisti ,daudi na Goliath nawengi. Kwenye. Bible ni wanani haao?
Kwanza hujanijibu maswali yangu hukumbuki au???
Urusi ndiyo kwenye ukiristo wa zaman, orthodox Christian, hawa ndiyo wakiristo halisi!
Ufunuo 22:16
Bila shaka hata akitikea mtu akufundishe hautakubali maana tayari umejikinai na ufahamu wako.
Umezeheka vibaya
Wewe mwenyewe muongo
Huyu jamaa nimkweli kbs
Mafundisho yenye kupotosha
I heard you saying that there is nothing like star of David in scriptures! Read Rev 22:16.
Your understanding capacity is shallow.what he said the Zionists are using the star of David and claiming to be the Jews..
Usibebwe ufala.
Israeli inayotakiwa kubariki ni ipi kibiblia?
Acha uongo sawa kuwa Makini kile unasema sawa
Gogu na magogu sio Zionism sawa
Waambie wengi wanadhani hawa Israel Fake ndio watoto wa Mungu lakini hawajui kwamba hapo Tel Aviv ndo kitovu cha madhambi ya kila aina yani hata Yesu wanamkataa
Huwa na kuelewa sana mafundisho yako ni ukweli mtupu hata baadhi ya WAZUNGU wanaamini ile israel ya mchongo
Huyu si ndio alijifanya sheikh sasa kageuka Nabii wa kikikristo jamani tuwe wakweli ukiwa mkristo sema na ukiwa muislamu sema sio kuchanganya mambo
TOA SOMO WANGINE WAMEZALIWA JUZI TU MABADILIKA YA DINI HAJUI
Wewe ni muislamu unatafuta mbinu za kuwageuza Wakristo wawachukie Waisraeli ili wawaunge mkono Waarabu basi tukuone ukijaribu pia kuwashawishi Waislamu ili wawachukie Waarabu (Palestina) hiyo kazi unayoifanya unapoteza muda bure kwani huwezi kuwabandua Waislamu kwa Waarabu pia huwezi kuwabandua Wakristo kwa Waisraeli.
zionism hao ndo waanzilishi wa freemasonry ,,,
Mimi naomba kueleweshwa kwanini hawatumii biblia ila wanatumia kitabi kinaitwa Torah,hii torah ni nini?
Kumbe ww ndio nabii Eliya aliyeanzisha dhehebu kule kigoma baada kustaafu Tanesco ?
Wewe ndo humjui yesu wala mungu wa yesu kristo kama mungu arisema tuwabariki israeli ninani wakupinga mwongo mkubwa wewe ukristo haupo kama wewe unapotosha watu kama vip lud uisram kwanza unatubana nainjili yako mbovu kama we wayesu ingia miguu yote miwi so uislam mala ukristoo
Mji mkuu wa israel pale telaviv ni kosa la jinai kutaja kristo ni miaka miwili jela ukimtaja kristo hii mapadri hawasemi
hujui unachosema pole muslawewe
Huyu jamaa anachanganya anipigie nimfundishe
Umekazania sana vifungu viwili mtumishi😂😂😂😂😂
Wengi nchi ni wachungaji wa mchongo hata Maskofu ni waongo tu
ua-cam.com/users/livennGQTNZVamc?si=LonDbUiTN7fazybu
Je Sinagogi la Shetani ni Waisrael (Uf 3:9)
Don't 😅lie
Yani mtumishi nakuelewaga sana mafundisho yako japo jamii ya walio wengi hawawezi kukuelewa
Kitu nmependa jinsi anachambua vyema waumini mueleweni huyu bwana anazungumzia ibilisi na Mungu Bali si ukristo Wala Uislamu, yusawa huyu jamaa
Mtumishi huogopi watakuua??
Hawawezi.
Ufunuo wa Yohana 11:3-9
Nami nitawaruhusu mashahidi wangu wawili nao watatoa unabii siku elfu miambili na sitini hali wamevikwa magunia
-------- ---
Nao wana amri juu ya nchi----
Yeyote atakae kuwadhuru moto hutoka vinywanj mwao na kuwala adui zao.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mpendwa Nabii Eliya hafi na wala hakuna atakayemuweza mpaka Yesu Kristo anarudi duniani.
Upo hapo🤣🤣🤣🤣🤣
Tunayo bahati kubwa sana
Na wewe ni mmoja wapo?
Wanavokuchukia waislam mbwa weeeeeeeeeeee
Tena huenda wewe ndio mpinga Kristo maana unafundisha mafundisho ya siyokuepo kabisa yakufikirika bila hata maandiko na bii wa uongo ngoja kesho Gwajima atakujibu siumemchokoza mwenye subiri majibu
Ikiwa yeye hana maandio toa maandiko yako basi ili na sisi tuone ili tulinganishe, yake na yako yapi yamejengwa kwa hoja basi
Unajua kuna mda wewe mzee unachokichambua hua unaona kipo sahihi sana arafu kumbe ni zero cha kufanya acha kuchanganya wali na mchanga dili na kimoja utajua ukweli wewe umekalili tu maandiko lakini ujui kutoa mihuri ya kwenye maandiko unapotosha watu tu
Shetani hyoooooooooooo
Hili ndio tatizo letu.
SikilizaZ,tafakari,fanya uchunguzi,then comment.
Tatizo tumekaririshwa . Mungu ametupa akili za Nini.// ..
Naukitaka kujua kua hili sinagog la shetani
Angalia walivyo ingia katika OAU
Wanacho kitafuta nikitu gani
Katika umoja wa nchi za Africa?
Jiulize
Mpinga kristo huyoooooo.huna hoja wewe.
Wala usifanye dialogue yeyote na mazionists utachafua roho yako. Wateule ni wale tu wanaoami uongo wa kizionist umeundwa na Israelizo ya sasa, marekanoz, uingerezoz na italiyoz. Na vibaraka wao waliosambaa kila kona ya dunia
Uwe na unàtoa na ushaidi sio maneno matkupu
We mzee unazeeka vibaya😂😂😂😂
Israeli inayotakiwa kubariki koi
Unadanganya watu
Achakudanganya watu Israeli ni Israeli na Urusi ni Urusi kadanganye watoto wasio na Akili kwamba Urusi ndio Israeli na Israeli nigogu huo ni ukichaaa mkubwa
Sinagogi la shetani ni wewe. Kwani Zaman waana wa yakobo mbona walimkosea MUNGU sana tu.
Unafafanua maono yako ! Km wanaunda taifa na wkt wa vita wanaweka kando tofauti zao, hoja yko inayeyuka, kuhusu hayo ni imani kiama wanaacha kila mtu atachukua mzigo wake mwenyewe !
Kwani tz tukivamiwa baadhi wapigane wengine watulie
Elias anachanganya kati ya vita ya gogu na magogu na vita ya Al magedon au katika uislam maarufu kama Al malhama au Al qubra
Ni vita mbili na tofauti zina kuja mbele
Tusubiri tuone.unyakuo hupo. Hiv huyu vpi? Jamani huyu ndiye mpinga kristo hv unasoma biblia gani wewe shetani. YESU atakuja mara mbili. Mpinga kristo hilooooo.
Una maanisha ulitaka kuona taifa la watu wenye mkakati wa kuiona pepo la Israel !
Acha ujinga wako ,unafundisha ukweli..ila unafundisha uongo
Huwezi kum question Gamanywa kuhusu mafundisho ya biblia, ukataka tukuamini wewe never.
Hamna kitu pale hata angesoma miaka mia mbili gamanywa nothing
Wameweka benders mpaka makanisani😅
Israeli wote wataokolewa. Warumi 11: 25 . Please be informed that whether Zionists or Judaism GOD has a divine plan for the Israelites for us Gentiles let be born again properly and prepare for the Glorious coming of the Messiah during the Rapture, Revelation 16 vs 15, 1Cor.15 vs 50-51 , 1Thess. 4 vs 13- 18
And there's is the second coming of the Messiah to establish His Rule here in the World with the Raptured church.
Na hawa Christian Zionists wako namna mbili:
1) Christian Zionist Weupe
2) Christian Zionist Weusi
Sinagogi la shetani si ndio misikiti au??
Ndio ulivyoeleweshwa na kulishwa matango pori hivyo na mapadri?
@@salimali-rf9er kwaiyo sinagogi sio msikiti?kama kukalilishwa basi nimekalilishwa na kina mazinge🤣🤣
Mh!!!!! Wewe uko upande ganii? Wa dini ama Mungu ktk kristo?
Sasa maandiko yatatimia vipi acha yaliyotabiriwa yatimie
SASA KAMA HAO UNAWAITA ZIONIST KWANINI UNAAMBATANISHA NENO VIONGOZI WA KIROHO, AU UNAWAOGOPA?