Sasa wewe unayesema kama wewe ni Mkiristo weka alama ya kopa ❤. Unafikiri ISRAEL inautambua Ukiristo. Subiri sisi waislamu watatuuwa tutakwisha, unafikiri kina nani watafuata ?
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!! 👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze. na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa. ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!! na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇 1 Wakorintho 11:3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇 Mwanzo 32:24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu. ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu). 👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo. soma👇 Matendo ya Mitume 22:28 ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa. Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu. ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina). kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa. Uislamu unapiga vita * ushoga(ndoa za jinsiamoja) * kubadili jinsia * midoli ya kufanyia mapenzi * kamari * riba * pombe * Uzinifu * mitandao ya picha za utupu ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
Salaam,kumbe msema kweli yupo,tena with evidence,shukrani sana,lah ingeruhusiwa kufundiswa tuwaache kudanganya Asante sana mtumishi,tuombe yaishe,Palestine wateseka sana wale viumbe wa Mungu
Mimi niko kigali lakini mwanzo wa unaabii wako feki umetuchanganya lakini leo kama umeurudiya u islamu upya na kuyasadiki ariyokuja nayo khatamu al'ambiya a wal mur'saliina nabi Muhamad صل الله عليه وسلم Naomba ALLAH atuhidi kwenye njia yake iliyotoka.Amiina
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!! 👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze. na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa. ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!! na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇 1 Wakorintho 11:3 Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇 Mwanzo 32:24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri. ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu. ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu). 👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo. soma👇 Matendo ya Mitume 22:28 ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa. Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu. ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina). kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa. Uislamu unapiga vita * ushoga(ndoa za jinsiamoja) * kubadili jinsia * midoli ya kufanyia mapenzi * kamari * riba * pombe * Uzinifu * mitandao ya picha za utupu ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
Pole kwa kuwapoteza wenzako. Kama hauna elimu bora uliza wanao juwa zaidi yako.Unayo yasema ni upotofu mtupu. Usifasiri maneno ya ALLAH unavyo taka mwenyewe.
{فبما نقضهم ميثاقهم لعناهم وجعلنا قلوبهم قاسية يحرفون الكلم عن مواضعه ونسوا حضا مما ذكروا به ولا تزال تطلع على خآئنة منهم إلا قليلا منهم فاعف عنهم واصفح إن الله يحب المحسنين}
From congo 🇨🇩🇨🇩nakupata kabisa.tatizo watu weusi awana muelekeo katika ulimwengu utakuta mutu anashabikia uislam ao ukristo bika kujua chimbuko n'a mila na desturi n'a sili ya watu wamashariki yakati, njomana unaona ata maendeleo barani afrika aipo
Huwa nakufuatilia sana masomo yako. Kwa sehemu kubwa umenena sawa ISIPOKUWA kuhusu kurejeshwa Wana wa Israel kwenye ardhi yao SIYO suala la Quran, bali ni la Mungu mwenyewe ALIWAAMURU kurudi Kwa kuwapa ardhi ambayo HAKUNA MTU DUNIANI atawanyanganya kamwe. Soma AMOSI 9:15 ipo wazi na ni kabla ya kuibuka Kwa huyo kiongozi wa dini ya waarabu (Islam) miaka lukuki huko nyuma.
Sijasikia Islam msema kweli kama huyu.ni sawa sawa na unabii wa bibilia, Thank you for speaking the truth, Yeshua is coming again as a King,and Israel will confess that indeed was the son of God.
Ikiwa wayahudi walifukuzwa Kwa kosa la kutomwamini Yesu Kristo, je waislamu wanamwani Yesu Kristo kuw ni Mwana wa Mungu na ndiye aliye mkombozi wa ulimwengu?..Amosi 9:14-15" Nami nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa, nao wataijenga miji iliyoachwa maganjo, nao watapanda mizabibu ktk mashamba na kunywa divai yake. Nao watafanyiza bustani na kula matunda yake, nami nitawapanda ktk nchi yao, nao hawatang'olewa tena watoke ktk nchi yao niliyowapa, asema Bwana Mungu wako"......Ikiwa Mungu mwenyewe ameahidi kuwa waisraeli wakiirejea tena nchi Yao hakuna mtu atakayewang'oa, kwann wewe unahalamisha uwepo wao pale kwenye nchi Yao, tena Kwa kutumia kitabu ambacho kinapinga ukweli wa ahadi ya milele ya Mungu na kuwapa haki waislamu wakati wao pia wanampinga Yesu Kristo tena Kwa kumtukana waz waz?
Waislamu Kila CK huwa mnapanga kulifuta taifa la Israel Ila Mungu alishaandika zamani sana zaburi 83:1-7, Hapo wametajwa Waishmaeli na mataifa yote ya uarabu lkn Mungu atmesema atawaangamiza na Israel itabaki salama Ezekiel 39:25-29
It will go down ilishabarikiwa wakakaidi,wakabarikiwa tena wakakaidi hivo watakua kwenye hasira ya mungu na watapigwa siku moja tho bado muda huo...haiwez kubak salama
Na kweli, Mimi nasema asilimia 100 ya manabii wametokana na Israeli kwa mujibu wa Quran ( Koran) . Ukisoma kwa makini au peruzi au google Quran 29:27 Iko wazi kabisa kua kwa kiuno Cha isaka pekee ndipo wanatoka manabii na ufunuo ( revelation auaandiko matakatifu), hata Ishmael hapo Allah kamtoa, ingawa ni mtoto safi mbele yake.ina maana Yakobo ndie aliyekamilisha ahadi ya Mungu na baraka za Mungu katika dunia hii. Hii ni kwa mujibu wa biblia na korani.
ukweli tunaujua waliinuliwa na wakalaaniwa kwa kupinga kila kitu na amri za mungu halafu kafiri kumbe kweli hana uwelewa ivi unajua juja wa maajuja tafuta mtu akueleweshe ukiijua utalia
Nimekuuliza swali jibu swali sio unafata mikumbo kwakua na ww una cm ya tekno unataka uonekane kwenye coment soma ndugu mana unaonekana pia huijui hata iyo dini yako
@@dullagolo2950 Inashangaza mtu kujifanya unaulewa wa dini akati umeshindwa ata kuelewa mwànzilishi wa dini yako ni marehemu, Marehemu anaaminiwa na marehemu mwenzie😂😂 🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Ungejiuliza weye, aya iliposema, ARDHI ITARITHIWA, SUALI 1, WAPI IMETAJWA KUWA ARDHI ILIOKUSUDIWA HAPO NI PALESTINA AU MASJID AQSWA? 2) NI WAPI PAMETAJWA KUWA WAJA WEMA NI IZIRAILI WATARITHI ARDHI? ☝️kwahio uo ni ujanja wa upotoshaji wa nabii feki. Utakuta hata nabii Musa as (moses) ALIRITHI ARDHI YA FIRAUNI. NA MANABII WENGI WAMEANDIKWA BAADA YA KUANGAMIZWA WATU WAO WACHAFU. HIO HAIONGELEWI KABISAA KUHUSU KUPIGANA VITA WATU WAKAUWA WENZAO ILI WAKAE WAO. HIO HAKUNA KIANA USIIDANGANYE NA NABIY FEKI. UNGEJIULIZA KWANZA, HUYU ELIYA KAPEWA UNABII NA NANI NA LINI NA UPI USHAHIDI WAKE?, KINACHONISHANFAZA KWENU WAKIRISTO NI KUJIFANYA MAZUZU YAANI MTU AKIJIITA NABIY TU MAJAA TELE😂, MMESAHAU KUWA YESU ALISEMA NABIY ATAKUJA MMOJA TU (UFUNUO JUU YA ARABUNI), NA WENGINE NI MANABII WA UONGO
Leo umejipambanua vizuri, Yesu unamkiri kuwa atakuja kuhukumu, badala ya kuwaambia ukweli ndugu zako kumkiri Yesu na kumpokea maana unajua atakuja kuhukumu, wewe unawaambia wakimbie wakajipange na vita.... sidhani kama uko sahihi
@@ahmedzahor2975wew ndio unalijua Hilo na ubaki na msimamo wako lakini pia usitake watu kusimama upande wako Bali na hao wengine wanamafundisho Yao uelewe hivyo😅😅
.....Namshangaa huyu mzungumzaji Dini zote mbili zake..... WADANGANYE ''WANAKONDOO'' ILI UENDELEE KULA PESA YAO. ''FREE FREE PALESTINE'' ☝ALLAHU AKBARU☝
Ata waislael walikuwa na sura mbili kwa Mwenyezi mungu wanataka nauku kwa shetani wanataka ndiyo sababu ya kulaniwa ata wewe usipo kuwa na msimamo wayakini utapata hasara juu wanafiki tu ndiyo wanasura mbili 😢😢pole sana
@@annasolomon9855 hana yakini moyoni ajielewi yuko wapi na anapunguza tafadhari za maneno tambua si bina damu tuko makundi 4.( muminuna Islam). (wanafiki) (mushikuna) (kafiri mwenye kupinga)
Hata hiyo Quran haijui,n huyu c muislamu ameekti tu n kanzu hiyo n kofia,muislamu wa kweli popote anajulikana,wenye akili ndio wanaozingatia,huyu anapotosha tu
Ustad usiogope sema ukueli kua Yesu ni Mungu . Sisi Orthodox Christian we serve God whom we know. He come to us , we touched him and we know him that's the difference between us and others us we know.
Vile umeandika kiingereza nikadhani umeandika point😅😅😅 kumbe hata huelewi unachosema. Kanzu ya jamaa imekudanganya unamuita ustadh kumbe lijamaa linajiita nabii Eliya. Anakoroga tu kiarabu ili aonekane anajua kumbe bila bila
1. عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "وَالَّذِي نَفْسِي بِيَدِهِ لَا أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تُشْرِكُوا بِاللَّهِ بَعْدِي، وَلَكِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تَنَافَسُوا فِي الدُّنْيَا." (صحيح البخاري) هذا الحديث يشير إلى قلق النبي (صلى الله عليه وسلم) بشأن خطر انغماس الأمة في الاهتمامات المادية بدلاً من ادعاء النبوة. 2. عَنْ أَبِي بَكْرَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "إِنَّ النَّاسَ يَدْعُونَكُمْ حَيْثُ تَدْعُونَ إِلَى وَلَايَتِهِمْ كَمَا يَدْعُونَ إِلَى طَعَامِهِمْ." قِيلَ: أَفَنَقْصُ عِدَّتُنَا يَوْمَئِذٍ قَالَ: " بَلْ تَكُونُونَ كَثِيرًا وَلَكِنَّكُمْ غُثَاءٌ كَغُثَاءِ السَّيْلِ، وَلَيُنْزِعَنَّ اللَّهُ مِنْ صُدُورِ عَدُوِّكُمْ الْمَهَابَةَ مِنْكُمْ وَلَيَقُذَّفَنَّ اللَّهُ فِي قُلُوبِكُمُ الْوَهْنَ." قِيلَ: وَمَا الْوَهْنُ قَالَ: "حُبُّ الدُّنْيَا وَكَرَاهِيَةُ الْمَوْتِ." (سنن أبي داود) يحذر هذا الحديث من خطورة الشهوات الدنيوية وحب الممتلكات المادية الذي قد يدفع الناس إلى ادعاء النبوة. 3. عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "مَنْ كَذَبَ عَلَيَّ مُتَعَمِّدًا فَلْيَتَبَوَّأْ مَقْعَدَهُ مِنَ النَّارِ." (صحيح البخاري) يشدد هذا الحديث على عواقب الخطيرة لتزوير النبي محمد (صلى الله عليه وسلم) ونسب إليه ما لم يقله. 4. عَنْ عَائِشَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "مَنْ كَذَبَ عَلَيَّ مُتَعَمِّدًا فَلْيَتَبَوَّأْ مَقْعَدَهُ مِنَ النَّارِ." (صحيح البخاري) يسلط هذا الحديث الضوء على خطورة نشر المعلومات الزائفة أو الادعاء بشكل كاذب عن النبي محمد (صلى الله عليه وسلم). تلك الأحاديث تعتبر تذكيرًا بجدية وعواقب ادعاء النبوة بشكل زائف أو نسب المزاعم الكاذبة إلى النبي محمد (صلى الله عليه وسلم).
Umesema UKWELI KABISA japo kw ubishi WA WAISLAM watakuona kafiri maana nliwah sikia kuwa kw mujibu WA uislam KUDANGANYA KWA LENGO LA KUTETEA DINI N SUNNA kwhyo ukiongea UKWELI utaonekana kafiri zaidi.
Kama wewe ni Mkristo like button hiii❤❤❤
Sijui umemuelewa huyu sheikh au umekurupuka.
umeelewa au
Sasa wewe unayesema kama wewe ni Mkiristo weka alama ya kopa ❤. Unafikiri ISRAEL inautambua Ukiristo. Subiri sisi waislamu watatuuwa tutakwisha, unafikiri kina nani watafuata ?
@@hassanmkangwa2062 Hao Hawajitambui wanadhani eti mayahudi ni wakristo wenzao🤣🤣🤣🤣.
Akili huna wewe
Jazakallah khayr,Allah akuongoze na sote kwa ujumla
Naupenda UKRISTU kwa moyo wangu wote.Asantee Bwana Yesu sofa kwako❤❤❤
Uyaudi sio Ukristo
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!!
👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze.
na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa.
... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!!
na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa
kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini
➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇
1 Wakorintho 11:3
Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.
➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇
Mwanzo 32:24
Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu.
... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu).
👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo.
soma👇
Matendo ya Mitume 22:28
... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa.
Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu.
...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina).
kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa.
Uislamu unapiga vita
* ushoga(ndoa za jinsiamoja)
* kubadili jinsia
* midoli ya kufanyia mapenzi
* kamari
* riba
* pombe
* Uzinifu
* mitandao ya picha za utupu
... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
@@karemera_jr6371 Hawa wakristu washamezeshwa ujinga.
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
@@karemera_jr6371wayahudi wapo wengine wakristo, na wengine waislamu wapo, mfano,,, nabii daudi alikua mkristo kabisa, na mtoto wake sulemani alikua muislamu. Hii inatokana na maamuzi ya mtu mwenyewe na vile MUNGU alivopanga.
Mtumishi nakuelewa Sana Mungu akubariki usichoke kutufundisha sisi wanafunz wako.
❤❤❤❤❤❤❤karibu kwa Yesu kriso shehe akupe maisha ya ukweli daima
🤣🤣🤣🤣🤣sijui kama unajielewa kweli maana unacoment bilahata kuelewa maelezo uliopewa.
bibilia inasema aliyelala katika kiristo amepotea au huoni maandiko sasa kwa nini aje kupotea
Apo Irani inae mtafuta co Israel muirani msaudia Iran inaona tu Israel inaipotezea mda
From Kenya.... nakusikiza rabbi .....tufunze Mwalimu mwema
Mungu wangu hii ni ile ya Balamu na balaki mpanka punda kusema hooo haleluya kila goti litapigwa Mungu lbariki lsrael Mungu lbariki Tanzania Amina
😂😂😂maskin elim ni bora mgeelewa Mana ya ajuja wama ajuja msgesema haleluya 😂😂😂daaaa polen
@@saphinalutaha9077hawana akili weshapotezwa
Salaam,kumbe msema kweli yupo,tena with evidence,shukrani sana,lah ingeruhusiwa kufundiswa tuwaache kudanganya Asante sana mtumishi,tuombe yaishe,Palestine wateseka sana wale viumbe wa Mungu
Asante nabii eliyasa nakupata vizuri sana unaijua kurahan hadi biblia na histiria ya utume na unabii
Mungu akuinue kwa elimu hii , nafuatilia darasa zako ni ukweli mtupu❤❤
Leo ni mara yangu ya kwanza kusikiliza mahubiri ya kiislamu...huwa tu naskia Allahuakbar
Hhhh pole sana. Hayo sio mahubiri ya kuislamu. Huyo ni pasta isaya uislamu ni yeye wapi na wapi?
Nimekuelewa sana kwakua nilishajifunza vitabu vya unabii Hakika Yesu anarudi eeeeMungu utusamehe na maovu yetu😢😢
Nampenda saana,huyu Shehe, Huwa anaongea UKWELI ambao upo katika Quran,unaofichwa,yeye huufunua Tena Kwa aya.
Aya gani alotoka katika Quruan huyu km wewe hajui Quruan na huyu ni Mwenzenu
@@ahmedzahor2975Quran ameitunga yeye? Au hapo antumia Bible ! Waislamu mnashida Sana nyie Magaidi 😅😅😅
@@ahmedzahor2975 wewe ndio hujui ndio maana hujaona aya alizosoma.
Asante kwa somo nzuri
Nakuelewa sana.
Lazma umuelew kafir mwenzak
Mungu Akuongoze ❤🙏
Sema kweli tupu na Mungu Akubariki
Subhanallah Huna lolote unalolijua Subhanallah
Mwenzio anaongea kwa hoja na anataja maandiko
Waa'laykum ssalam wa rahma tullah wa barakatuh!!
Mimi niko kigali lakini mwanzo wa unaabii wako feki umetuchanganya lakini leo kama umeurudiya u islamu upya na kuyasadiki ariyokuja nayo khatamu al'ambiya a wal mur'saliina nabi Muhamad صل الله عليه وسلم Naomba ALLAH atuhidi kwenye njia yake iliyotoka.Amiina
Muongo wew huyu shehe anaongozwa na Quran 😅
Uko sawa kabisa. Umesema kweli kabisaaa. Labda niseme tu Mungu akubariki sana ndugu. Endelea kusema kweli.
MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!!
👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze.
na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa.
... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!!
na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa
kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini
➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇
1 Wakorintho 11:3
Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.
➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇
Mwanzo 32:24
Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu.
... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu).
👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo.
soma👇
Matendo ya Mitume 22:28
... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa.
Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu.
...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina).
kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa.
Uislamu unapiga vita
* ushoga(ndoa za jinsiamoja)
* kubadili jinsia
* midoli ya kufanyia mapenzi
* kamari
* riba
* pombe
* Uzinifu
* mitandao ya picha za utupu
... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)
Amen Umebarikiwa Sana Baba 🙏
❤❤❤❤ nashukuru kwa mafundisho yako
Hongera sana kwa ujumbe mzuri bila shaka walimwengu wamesikia kuwa eneo lile ni Taifa teule la Mungu alilowapa wana wa Israel.
si waliikataa neema wakalaaniwa kwani ukipewa utajiri halafu ukavuuka mipaka ukafilisiwa utakuwa bado ni tajiri au ilikuwa tu hamuelewi munachoelezwa
Pole kwa kuwapoteza wenzako.
Kama hauna elimu bora uliza wanao juwa zaidi yako.Unayo yasema ni upotofu mtupu. Usifasiri maneno ya ALLAH unavyo taka mwenyewe.
{فبما نقضهم ميثاقهم لعناهم وجعلنا قلوبهم قاسية يحرفون الكلم عن مواضعه ونسوا حضا مما ذكروا به ولا تزال تطلع على خآئنة منهم إلا قليلا منهم فاعف عنهم واصفح إن الله يحب المحسنين}
Ndio maana waislamu wenzio wanakuchukia kwaajili yakutoboa siri mashekh hawasemi ukweli wao kazi ya kupotosha tu😢😢
Pengine nao wanapata some hapo pengine hawajui maana wanakimbiliaga kutoa kauri
Huyu sio muislam ndio maana tumemkataa alishatoka uislam huyu ni kafiri kama ww
From congo 🇨🇩🇨🇩nakupata kabisa.tatizo watu weusi awana muelekeo katika ulimwengu utakuta mutu anashabikia uislam ao ukristo bika kujua chimbuko n'a mila na desturi n'a sili ya watu wamashariki yakati, njomana unaona ata maendeleo barani afrika aipo
Poleni congo kwa vita tz tunamiombea
Huwa nakufuatilia sana masomo yako. Kwa sehemu kubwa umenena sawa ISIPOKUWA kuhusu kurejeshwa Wana wa Israel kwenye ardhi yao SIYO suala la Quran, bali ni la Mungu mwenyewe ALIWAAMURU kurudi Kwa kuwapa ardhi ambayo HAKUNA MTU DUNIANI atawanyanganya kamwe. Soma AMOSI 9:15 ipo wazi na ni kabla ya kuibuka Kwa huyo kiongozi wa dini ya waarabu (Islam) miaka lukuki huko nyuma.
❤
Waislam tumrudieni Allah mwisho wa dunia umefika tukae tayari sasa
Maandiko yanasema siku za mwisho Bwana Mungu aseme atawakumbuka na kuwarudia.
People of Israel and Palestine they will not have peace until both kumkubali YESU kwamba ndie Masihi
it sound great but no evidence
Aliwahi kusema Yesu.wakinyamaza hawa,mawe yatashangilia. Kuna wakati Mungu anainua watu tusiowatarajia,kufanya mambo tunayotarajia
Kweli kabisa
Leo nimekuelewa nimekuskiza niishie kusema mungu ni mjuzi zaidi
Upo vizuri
Sijasikia Islam msema kweli kama huyu.ni sawa sawa na unabii wa bibilia, Thank you for speaking the truth, Yeshua is coming again as a King,and Israel will confess that indeed was the son of God.
Mashallah
Jamaa halina nuru maskini! Allah akuongoze
Mtu akiongea tu ukweli ni kosa kwa Waislamu 😅
Ahsante ustadh.
Muhammad alikuwa hanithi
Allah "Na tumewahukumia Wana wa Israil ktk kitabu yavkwamba watafanya uharibifu mara mbili n watapanda kibur kikubwa" Quran Suratu Israa
Ikiwa wayahudi walifukuzwa Kwa kosa la kutomwamini Yesu Kristo, je waislamu wanamwani Yesu Kristo kuw ni Mwana wa Mungu na ndiye aliye mkombozi wa ulimwengu?..Amosi 9:14-15" Nami nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa, nao wataijenga miji iliyoachwa maganjo, nao watapanda mizabibu ktk mashamba na kunywa divai yake. Nao watafanyiza bustani na kula matunda yake, nami nitawapanda ktk nchi yao, nao hawatang'olewa tena watoke ktk nchi yao niliyowapa, asema Bwana Mungu wako"......Ikiwa Mungu mwenyewe ameahidi kuwa waisraeli wakiirejea tena nchi Yao hakuna mtu atakayewang'oa, kwann wewe unahalamisha uwepo wao pale kwenye nchi Yao, tena Kwa kutumia kitabu ambacho kinapinga ukweli wa ahadi ya milele ya Mungu na kuwapa haki waislamu wakati wao pia wanampinga Yesu Kristo tena Kwa kumtukana waz waz?
Waambie hao ambao hawajui😊
Mungu akubariki ukweli mchungu
mungeelewa musingeshangiria makafiri bwanaa
Waislamu Kila CK huwa mnapanga kulifuta taifa la Israel Ila Mungu alishaandika zamani sana zaburi 83:1-7,
Hapo wametajwa Waishmaeli na mataifa yote ya uarabu lkn Mungu atmesema atawaangamiza na Israel itabaki salama
Ezekiel 39:25-29
It will go down ilishabarikiwa wakakaidi,wakabarikiwa tena wakakaidi hivo watakua kwenye hasira ya mungu na watapigwa siku moja tho bado muda huo...haiwez kubak salama
Mtumishi nakuelewa sana, Piga naya kikristo pia video.
Pia ni nafikiri ivyo na wakristo wa kweli wakati huu inakuje
Nibora waondoke kweli lkn nani atawafikishia ujumbe
Dah inauma saana, Natamani wajue ukwel
JAZAKA ALLAH KHAIR SHEIKH MA SHA ALLAH NICE LECTURE BUT THE THE BACK GROUND IS VERY NOISY .
Aamina
Dhambi ya kibri ni sawa na shirk
Kafiri ni mtu yoyote asiyemkubali YESU kristo
Upo sahihi😅
Mambo yote yatapita lakini Neno litasimama
Nyie hangaikeni mwisho wa siku anayehukumu ni YESU kristo
HAPO NDIPO WATAELEWA UKRISTO NI NINI.
Na kweli, Mimi nasema asilimia 100 ya manabii wametokana na Israeli kwa mujibu wa Quran ( Koran) . Ukisoma kwa makini au peruzi au google Quran 29:27 Iko wazi kabisa kua kwa kiuno Cha isaka pekee ndipo wanatoka manabii na ufunuo ( revelation auaandiko matakatifu), hata Ishmael hapo Allah kamtoa, ingawa ni mtoto safi mbele yake.ina maana Yakobo ndie aliyekamilisha ahadi ya Mungu na baraka za Mungu katika dunia hii. Hii ni kwa mujibu wa biblia na korani.
Aliyeongozwa na Allah hakuna wakumpoteza, na Aliyepotezwa na Allah hakuna wa kumuongoza
Nakuelewa nabii Eliya
Nabii wa michongo
LAAHAULA WALA QUWWATI ILA BILAH SUBHANALLAH
ALLAH ATUGHAFIRIYE QABLA HATUJAITOKA DUNIA
YA RABBI WANUSURU NDUGU ZETU WA KIISLAM
Wewe kafiri Sema kwa Ukafiri wako usihusishe Uislam na Ukafiri wako
@@ahmedzahor2975mmh acha makasiriko hayo yameandikwa na yanatimia..😅
Fact
Nuru ya yesu inaonekana kwenye uso wako
Ataokoka siku si nyingi
ukweli tunaujua waliinuliwa na wakalaaniwa kwa kupinga kila kitu na amri za mungu halafu kafiri kumbe kweli hana uwelewa ivi unajua juja wa maajuja tafuta mtu akueleweshe ukiijua utalia
Nimekuelewa sana
Wee hujui kitu
Waislamu bangi nyingi sana kama qurani inajua like eneo nila waisrael why mkajenge jumba la majini kwenye ardhi takatifu
Naomba nikuulize esrail sio wakiristo na wamemkataa yesu sasa nyinyi munaojifanya wakiristo muko upande upi sasa kumkataa yesu au ndio kiwasha washa
Kwanz huyu jamana sio muislam
Kwani Yesu ulimuona anaingia kanisani kusali au kwenye hekaru la wayahudi ...???
Nimekuuliza swali jibu swali sio unafata mikumbo kwakua na ww una cm ya tekno unataka uonekane kwenye coment soma ndugu mana unaonekana pia huijui hata iyo dini yako
@@dullagolo2950 Inashangaza mtu kujifanya unaulewa wa dini akati umeshindwa ata kuelewa mwànzilishi wa dini yako ni marehemu,
Marehemu anaaminiwa na marehemu mwenzie😂😂
🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Huwa mm ni mmoja wa wanao kupinga mara nyingi,lakini Leo kidogo umefuata maandiko matakatifu.
Waislam hii mnaifuatilia au bado mmelala Masjid
Ungejiuliza weye, aya iliposema, ARDHI ITARITHIWA,
SUALI 1, WAPI IMETAJWA KUWA ARDHI ILIOKUSUDIWA HAPO NI PALESTINA AU MASJID AQSWA?
2) NI WAPI PAMETAJWA KUWA WAJA WEMA NI IZIRAILI WATARITHI ARDHI?
☝️kwahio uo ni ujanja wa upotoshaji wa nabii feki. Utakuta hata nabii Musa as (moses) ALIRITHI ARDHI YA FIRAUNI. NA MANABII WENGI WAMEANDIKWA BAADA YA KUANGAMIZWA WATU WAO WACHAFU. HIO HAIONGELEWI KABISAA KUHUSU KUPIGANA VITA WATU WAKAUWA WENZAO ILI WAKAE WAO. HIO HAKUNA KIANA USIIDANGANYE NA NABIY FEKI. UNGEJIULIZA KWANZA, HUYU ELIYA KAPEWA UNABII NA NANI NA LINI NA UPI USHAHIDI WAKE?, KINACHONISHANFAZA KWENU WAKIRISTO NI KUJIFANYA MAZUZU YAANI MTU AKIJIITA NABIY TU MAJAA TELE😂, MMESAHAU KUWA YESU ALISEMA NABIY ATAKUJA MMOJA TU (UFUNUO JUU YA ARABUNI), NA WENGINE NI MANABII WA UONGO
Leo umejipambanua vizuri, Yesu unamkiri kuwa atakuja kuhukumu, badala ya kuwaambia ukweli ndugu zako kumkiri Yesu na kumpokea maana unajua atakuja kuhukumu, wewe unawaambia wakimbie wakajipange na vita.... sidhani kama uko sahihi
Apo sawa shekh
Waondoke wende wapi?
Nakukubali unasema na kufundlsha ukweli mtupu ardhi ya Israel...
Sina Cha kuandika,
Yes waelese.. Hawa watu wenye wanapiga BIBLE
Hakuna kitabu Cha Mungu kinaitwa biblia Vitabu ni Taurati Zaburi Injili na Quran
@@ahmedzahor2975wew ndio unalijua Hilo na ubaki na msimamo wako lakini pia usitake watu kusimama upande wako Bali na hao wengine wanamafundisho Yao uelewe hivyo😅😅
Waislam walilaaaniwa na nan?
Ivi kweli we mkristu ao muislam
Allah akirudishe zaidi Mashallah😢 mana umebarikiwa sana elimu
Kwa erimu gani apo anayokufundisha?
@@khaalidcheo5383Sasa pole kama hujaelewa 😅
MASHALLAH
Nakuelewa
.....Namshangaa huyu mzungumzaji Dini zote mbili zake.....
WADANGANYE ''WANAKONDOO'' ILI UENDELEE KULA PESA YAO.
''FREE FREE PALESTINE''
☝ALLAHU AKBARU☝
Nenda madrassa wewe acha kelele
We mbwa
Ata waislael walikuwa na sura mbili kwa Mwenyezi mungu wanataka nauku kwa shetani wanataka ndiyo sababu ya kulaniwa ata wewe usipo kuwa na msimamo wayakini utapata hasara juu wanafiki tu ndiyo wanasura mbili 😢😢pole sana
Haya maneno hajayatunga Bali anaongea kupitia Quran na anasoma kabisa 😅
@@annasolomon9855 hana yakini moyoni ajielewi yuko wapi na anapunguza tafadhari za maneno tambua si bina damu tuko makundi 4.( muminuna Islam). (wanafiki) (mushikuna) (kafiri mwenye kupinga)
Hata hiyo Quran haijui,n huyu c muislamu ameekti tu n kanzu hiyo n kofia,muislamu wa kweli popote anajulikana,wenye akili ndio wanaozingatia,huyu anapotosha tu
Na vipi Surat Al Isra Boss verse 4 can you translate it please
do it for us bro,!
tupo apa kujifunza
wengi wetu ni maamuma
Ustad usiogope sema ukueli kua Yesu ni Mungu . Sisi Orthodox Christian we serve God whom we know. He come to us , we touched him and we know him that's the difference between us and others us we know.
Vile umeandika kiingereza nikadhani umeandika point😅😅😅 kumbe hata huelewi unachosema. Kanzu ya jamaa imekudanganya unamuita ustadh kumbe lijamaa linajiita nabii Eliya. Anakoroga tu kiarabu ili aonekane anajua kumbe bila bila
@@abdallahmsuya4813😂😂😂 umenena kweri.wengi wa watu niwajinga
@@abdallahmsuya4813Sasa Quran ameijuaje na kuitafsir?😅
@@annasolomon9855 Kwani ww ulijuaje kusoma na kuandika?
Shekh umeleweka
Sheikh jichunge vizuri maana ma sheikh wenzako lazima wakutenge kisa kusema ukweli
😅😅 lakini ukweli mara nyingi huchukiwa😅
Hogera sana mkuu
Shindwa pepo
Mimi nilijua tu huyu siyo mkiristo ni mwislamu.
Huyu ni mkristo sio muislam
SAWA LKN INAONESHA UMEUKUBALI UISLAM KWAKUA UNAONGELEA UKWELI MTUPU TOFAUTI NA BIBLE ILIYOCHANGANYWA NAMANENO YAWATU
Wewe usiharakishe kiama ,acha watu wapambane kama ilivyoandikwa na sio kupishwa
Kabisa sabb hata haya yanayotokea yalishapangwa tunasimuliwa ya sasa na hayo mengine yajayo Achill tu mungu anaendesha mambo vile anataka yy
Hamza issa alkaddhhhaaaaabun
Wana jua ilo sema wabishi tiu
Uyu Muislam au mkristo
Huyu mkristo
1. عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "وَالَّذِي نَفْسِي بِيَدِهِ لَا أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تُشْرِكُوا بِاللَّهِ بَعْدِي، وَلَكِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ أَنْ تَنَافَسُوا فِي الدُّنْيَا." (صحيح البخاري)
هذا الحديث يشير إلى قلق النبي (صلى الله عليه وسلم) بشأن خطر انغماس الأمة في الاهتمامات المادية بدلاً من ادعاء النبوة.
2. عَنْ أَبِي بَكْرَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "إِنَّ النَّاسَ يَدْعُونَكُمْ حَيْثُ تَدْعُونَ إِلَى وَلَايَتِهِمْ كَمَا يَدْعُونَ إِلَى طَعَامِهِمْ." قِيلَ: أَفَنَقْصُ عِدَّتُنَا يَوْمَئِذٍ قَالَ: " بَلْ تَكُونُونَ كَثِيرًا وَلَكِنَّكُمْ غُثَاءٌ كَغُثَاءِ السَّيْلِ، وَلَيُنْزِعَنَّ اللَّهُ مِنْ صُدُورِ عَدُوِّكُمْ الْمَهَابَةَ مِنْكُمْ وَلَيَقُذَّفَنَّ اللَّهُ فِي قُلُوبِكُمُ الْوَهْنَ." قِيلَ: وَمَا الْوَهْنُ قَالَ: "حُبُّ الدُّنْيَا وَكَرَاهِيَةُ الْمَوْتِ." (سنن أبي داود)
يحذر هذا الحديث من خطورة الشهوات الدنيوية وحب الممتلكات المادية الذي قد يدفع الناس إلى ادعاء النبوة.
3. عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "مَنْ كَذَبَ عَلَيَّ مُتَعَمِّدًا فَلْيَتَبَوَّأْ مَقْعَدَهُ مِنَ النَّارِ." (صحيح البخاري)
يشدد هذا الحديث على عواقب الخطيرة لتزوير النبي محمد (صلى الله عليه وسلم) ونسب إليه ما لم يقله.
4. عَنْ عَائِشَةَ، قَالَ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: "مَنْ كَذَبَ عَلَيَّ مُتَعَمِّدًا فَلْيَتَبَوَّأْ مَقْعَدَهُ مِنَ النَّارِ." (صحيح البخاري)
يسلط هذا الحديث الضوء على خطورة نشر المعلومات الزائفة أو الادعاء بشكل كاذب عن النبي محمد (صلى الله عليه وسلم).
تلك الأحاديث تعتبر تذكيرًا بجدية وعواقب ادعاء النبوة بشكل زائف أو نسب المزاعم الكاذبة إلى النبي محمد (صلى الله عليه وسلم).
Ukweli ndio huu🙌
Ukweli mtupu sheh
Tillmaaidaah
Tangulia sasa!!.,Eti muislaamu!!!.
Ndo nashangaa
Nlijua nashangaa pekeangu kama imeandikwa itaenda kama ilivopangwa
Umesema UKWELI KABISA japo kw ubishi WA WAISLAM watakuona kafiri maana nliwah sikia kuwa kw mujibu WA uislam KUDANGANYA KWA LENGO LA KUTETEA DINI N SUNNA kwhyo ukiongea UKWELI utaonekana kafiri zaidi.
Hhhhhh dah bado uko hai broo,mungu akuweke hai ujeulipe ulichopanda
Acha usenge kuma weee
Ndugu napenda maneno yako japo si kila kitu