@@mkuluwaukae2221@mkuluwaukae2221 kuna mambo yanawekwa wazi na mambo yanafichwa kuna hata details za airforce 1 lkn zile za muhimu zaidi ndo zinakua siri, ukiangalia video ya admiral mcraven anayohutubia graduation utajua kuwa marekani hawafichifichi mambo madogo
Jamani saa nyingine tujivunie Mungu kutupa science ambayo inatusaidia kufanya mambo makubwa kama haya maana kiukweli yeye mwenyewe ndio hutoa hayo maarifa
Mm baba mwenye nyumba wangu nilimkomesha kwa kumjengea nyumba yangu tena kubwa kuliko ya kwake pale pale tu jirani na nyumba yake, nilianza kujenga taratibu kimya kimya bila ya mtu yoyote wa mle ndani kuweza kujua, na wakati naijenga hiyo nyumba baba mwenye nyumba wangu alikua ni miongoni mwa vibarua wangu kwa upande wa paa alikua ni kibarua kwenye kuezeka, nikaja nikamkomesha siku ya kuhamia ilikua bado km wiki moja tu kuja kudai hela yake ya kodi, ndipo nilipoamua kumuita na kumpa taarifa za kuhama kwake na kuhamia kwangu, kwa dharau akanambia kama nahama nisijekupitiliza hata siku moja, kitu asichokijua kua kumbe mm nilikua tayari nishahamia kule ila nilikua sijatoa tu vitu vya ndani ya nyumba yake, nyumba yangu ilikua ni nzuri sana ilipendeza sana kwa zake za ndani na nje, siku wakati nahamisha vitu vyangu kutoka ndani mwake na kuvipeleka kwangu yule mzee alikuwepo maana ilikua ndio siku ya mwisho mm kwangu kubaki ndani ya nyumba yake na nilifanya hivo kusudi mana nilijua tu atakuja nami ndo nilitaka anione nikiwa nahamia, basi alipoona nahamisha vitu naingiza mle ndani yule mzee alikuja kuniuliza mbona unaingiza vitu humu ndani?? Nikamjibu ndo nyumba yangu hii, basi yule mzee akaanza kuiangalia ile nyumba kwa hasira na uchungu mkubwa sana hata hivo hakuamini aliwatafuta wale mafundi wake aloezekanao paa ili kuwauliza km ni kweli au sio kweli, wale mafundi nao wakamwambia ni kweli, basi mzee aligombana na wale mafundi kwa hasira eti kisa kafanya kazi kwenye nyumba yangu, asichokijua yule mzee ni kwamba mm nilipanga tu kwenye nyumba yake yakawaida kwa sababu nilikua nahitaji kusave hela ili niweze kumiliki kwangu so sikutaka kutafuta nyumba ya gharama saana kwa sababu hiyo, mm nafanya kazi Airport kwenye kampuni kubwa tu, so alijua ni mnyonge sana kama wengine kumbe maisha siri, alichokifanya yule mzee ile nyumba kauza hadi hivi sasa simjui hata wapi alipo, wale waliokua wapangaji wenzangu walinipa heko kwa kumkomesha yule mzee na nimemtia aibu sana, na wapangaji hadi leo bado wamo mle na maisha yanaendavizuri tu baba wa sasa hanaga usumbufu....hivyo napenda kuwashauri na nyinyi vijana wenzangu wenye nyumba ni wasumbufu sana baadhi yao tena wana roho mabaya sana, basi wakomesheni kwa style km hiyo na sio kwa milo mizuri au mavazi mazuri au usafiri mzuri nk na sio lazima umjengee nyumba jirani na ilipo ya kwake hapana ila ukihama tu na kuhamia kwako tayari ushamkomesha mwenye nyumba......Huo ni ushauri tu.
@@zanmedia5225 ushauli mzuri bro Asante kwakutushauli Kwani namimi ni kijana.story yako tamu na nzuri nilipokuwa nasoma nilitamani kufukuza customers ili niifatilie kwa kina NIMEFURAHI NIMEJIFUNZA
Ayo Tv...gari langu linauwezo wa kusimama lenyewe iwapo linakaribia kugonga ktu..lina camera inayo mlika sehemu ya nyuma wakati wa reverse..lina uwezo wa kutoa inje tairi na kwenda chini linapoenda zaidi ya 100speed..naomba muliangazie gari langu
Mm nilidhani lina flay over! Bado wapo nyuma sana. Huku kwetu gari la diwani wetu lina condom na kiti cha nyuma lina kitanda kwa emergency sex! Marekani waje wajifunze kwetu!
Taifa kubwa duniani ni Russia Ina Squire miles 6.6million while US ina 3.8million. Kama Uchumi China Ina Uchumi wa kuhudumia watu 1.4 Billion ambao ndio population ya china wakati huo US population ni 3.3 million. Kama huendeshwi na propaganda za Kimagharibi ukitafuta utajua taifa kubwa duniani ni lipi.
Hapana gari linakuwa lile lile mabadiliko yanakuwa nimadogo tu ndani yagari, Sawa nawewe unapohamia kwenye nyumba Kuna vitu vingine utabadilisha position.
Akili za mtu maskini Kama ww ndo huwa ivyo,, yani uwezo wako wa kufikir kitu ndo umeishia hapo,, endelea kula vumbi wenzio ndo washapiga hatua ivo,, kama utaki maendeleo bac hata nguo usivae sababu ipo siku utakufa utaziacha izo nguo tembea uchi maana hukuzaliwa na nguo
Mwisho wa yote ulitakiwa umalizie .... ROHO ni ya Allah🙏
Welldoon.... Hizo ndizo taarifa wengine Tunataka kuzijua
Ww bro ww wcha uongo
Hizo zote ni mambo ya kusadikika lkn hakuna anayejua exactly kuhusu hilo gari, mainly kwasababu ya kiusalama zaidi
Exactly nakuunga mkono
Usiseme za kusadikika Zina uhakika izo zote ila sio kwamba ni kila kitu kimewekwa wazi kuhusu ilo Gari
Wee unazan kama Tanzania kila kitu kinafichwa
@@nicholasgervas167 wewe hujui chochote kuhusu mambo ya usalama, kwahiyo siwezi kubishana nawewe fala
@@mkuluwaukae2221@mkuluwaukae2221 kuna mambo yanawekwa wazi na mambo yanafichwa kuna hata details za airforce 1 lkn zile za muhimu zaidi ndo zinakua siri, ukiangalia video ya admiral mcraven anayohutubia graduation utajua kuwa marekani hawafichifichi mambo madogo
Huo ufahari tu waduniani na uwezo huo wote lknn mungu akitaka akuna kitu hapo
Muachie Mungu sasa
Sahihi
Mungu kataka sasa na ndomaana vipo,, izo akil zako mgando peleka shambani kwenu
@@rogermomodesty3568 😀😀😀
@@rogermomodesty3568 unawashwa kojoa ulale
naipenda ayo tv huwa mnaenda kwenye point hamludii maneno hongeleni sana
Wanadamu Ni mungu hutulinda , ufahari wote hubakia duniani.
Jamani saa nyingine tujivunie Mungu kutupa science ambayo inatusaidia kufanya mambo makubwa kama haya maana kiukweli yeye mwenyewe ndio hutoa hayo maarifa
waweke na mtambo wa kumzuia mtoa roho.nadhani hilo ndio wamesahau tu
Daaah we jamaa ulisoma hesabu za uganda labda, wanaopima uzito kwa nch
usa noma sana
Hatary cana
Nataka hio gari nyumbani kwangu nikomeshe baba mwenye nyumba😀
😂😂😂😂😂🤣😂😂😂🤣😂🤣Wenye nyumba wanakera jamaniiii
😂😂😂😂😂hiyo kali 😂
Mm baba mwenye nyumba wangu nilimkomesha kwa kumjengea nyumba yangu tena kubwa kuliko ya kwake pale pale tu jirani na nyumba yake, nilianza kujenga taratibu kimya kimya bila ya mtu yoyote wa mle ndani kuweza kujua, na wakati naijenga hiyo nyumba baba mwenye nyumba wangu alikua ni miongoni mwa vibarua wangu kwa upande wa paa alikua ni kibarua kwenye kuezeka, nikaja nikamkomesha siku ya kuhamia ilikua bado km wiki moja tu kuja kudai hela yake ya kodi, ndipo nilipoamua kumuita na kumpa taarifa za kuhama kwake na kuhamia kwangu, kwa dharau akanambia kama nahama nisijekupitiliza hata siku moja, kitu asichokijua kua kumbe mm nilikua tayari nishahamia kule ila nilikua sijatoa tu vitu vya ndani ya nyumba yake, nyumba yangu ilikua ni nzuri sana ilipendeza sana kwa zake za ndani na nje, siku wakati nahamisha vitu vyangu kutoka ndani mwake na kuvipeleka kwangu yule mzee alikuwepo maana ilikua ndio siku ya mwisho mm kwangu kubaki ndani ya nyumba yake na nilifanya hivo kusudi mana nilijua tu atakuja nami ndo nilitaka anione nikiwa nahamia, basi alipoona nahamisha vitu naingiza mle ndani yule mzee alikuja kuniuliza mbona unaingiza vitu humu ndani?? Nikamjibu ndo nyumba yangu hii, basi yule mzee akaanza kuiangalia ile nyumba kwa hasira na uchungu mkubwa sana hata hivo hakuamini aliwatafuta wale mafundi wake aloezekanao paa ili kuwauliza km ni kweli au sio kweli, wale mafundi nao wakamwambia ni kweli, basi mzee aligombana na wale mafundi kwa hasira eti kisa kafanya kazi kwenye nyumba yangu, asichokijua yule mzee ni kwamba mm nilipanga tu kwenye nyumba yake yakawaida kwa sababu nilikua nahitaji kusave hela ili niweze kumiliki kwangu so sikutaka kutafuta nyumba ya gharama saana kwa sababu hiyo, mm nafanya kazi Airport kwenye kampuni kubwa tu, so alijua ni mnyonge sana kama wengine kumbe maisha siri, alichokifanya yule mzee ile nyumba kauza hadi hivi sasa simjui hata wapi alipo, wale waliokua wapangaji wenzangu walinipa heko kwa kumkomesha yule mzee na nimemtia aibu sana, na wapangaji hadi leo bado wamo mle na maisha yanaendavizuri tu baba wa sasa hanaga usumbufu....hivyo napenda kuwashauri na nyinyi vijana wenzangu wenye nyumba ni wasumbufu sana baadhi yao tena wana roho mabaya sana, basi wakomesheni kwa style km hiyo na sio kwa milo mizuri au mavazi mazuri au usafiri mzuri nk na sio lazima umjengee nyumba jirani na ilipo ya kwake hapana ila ukihama tu na kuhamia kwako tayari ushamkomesha mwenye nyumba......Huo ni ushauri tu.
@@zanmedia5225 ushauli mzuri bro Asante kwakutushauli Kwani namimi ni kijana.story yako tamu na nzuri nilipokuwa nasoma nilitamani kufukuza customers ili niifatilie kwa kina
NIMEFURAHI
NIMEJIFUNZA
@@irakozejclaude7869 big up ndo maana wahenga wanasema usimzaru usiye mjuwa huyuwi yupoje
Ayo Tv...gari langu linauwezo wa kusimama lenyewe iwapo linakaribia kugonga ktu..lina camera inayo mlika sehemu ya nyuma wakati wa reverse..lina uwezo wa kutoa inje tairi na kwenda chini linapoenda zaidi ya 100speed..naomba muliangazie gari langu
Ntainunua kwa kweli maana siku hazigandi 😂
Kwani gari yenyewe bei gani tumnunulie mama
hahahaha
😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤚🙉🙉🙉🙉
Mungu akisema anahitaji roho yako huwez kubisha
Yan vitu vinavyoelezwa hapo na mnavyoongea ni tofauti kbs ushasema Mungu mpk akitaka,kwaio km asipotaka bas kuna vitu vinamlinda
Sio uzito wa mwili na uzito wa milango,ni "upana", dakika ya 1:02 na 1:10. Kazi nzuri! 👏
Sie tuna V8!!Unaijua V8 ww ???unaijua ?ndio tunatembelea sisi viongozi wa CCM 😂😂😂!!!namnukuu Humphrey Polepole 😂😂
Mm nilidhani lina flay over! Bado wapo nyuma sana. Huku kwetu gari la diwani wetu lina condom na kiti cha nyuma lina kitanda kwa emergency sex! Marekani waje wajifunze kwetu!
🤣🤣🤣🤣🤣
Ww unajua V8 WEWEEEEE???😂😂😂😂😂
😃😃😃😃😃
𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗬𝗢𝗢𝗧𝗘 𝗟𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜 𝗜𝗦𝗥𝗔𝗜𝗟𝗜 𝗔𝗞𝗜𝗝𝗔 𝗔𝗡𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗔 𝗥𝗢𝗛𝗢 𝗞𝗜𝗥𝗔𝗛𝗜𝗜𝗜𝗦𝗜 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗧𝗔𝗕𝗨🙂
Swadakta
Lkn mwisho wa hayo yote ni kwenye sanduku maskini.
Ama kwa hakika ametakasika Allah SubhanaAllah muumba wa mbingu na nchi
Simpaka ufike uko mwisho nisha kula sana bata
Sawa baina hongera ikulu ya waitaz Marekani
Sasa diamond ndo awape watu wake magari kama haya sio yale makobe 😂😂
Kwann diamond wkt hao kina dangote t hawana
Diamond 😁
Sasa si gari zake mbili ni cardilac tu kama hii ya raisi wa marekani...zote ni za kampuni moja ya GM
Yan ata iweje hawez kupambana na malaika izrail ata akijifugia humo humo
Naiomba serikali yetu imnunulie Rais wetu wa Tanzania Mama yetu Samia suluhu hassani.
😳😂😂😂😂😂😂😂
Mtauza nchi ndio muipate...
Kamnunulie na Hela zako
Dereva ni 007.
Iyo nimeipenda Wallah 🤗
Mtangazaji jifunze kutofautisha gari na gali munaharibu luha ya kiswahili
Eeeeh kumbe 😩😩 xx mbona una toa xiri za kambi na ume zipata vp hzo habari maana xiyo poa 😩😩 hilo gari
Duuuuu kweli wezetu waneebdelea
mmmh cdhan kama inteligency ya marekani ingeweza ku-leak_kisha hizi taarifa nyeti
Kabisa iyo habari ya kuzuxha sasa apo kunasiliganitena
Nimezipenda
Daaaah,wezetu ninomaaa
Kwani linauzwa shilingi ngapi
Harmonize-Mang'dakiwe
Hiyo ni atari sana
BWANA asipoulinda mji walindao wakesha bure
Noma
Madereva ni wawili, Vin diesel na Buye
Hahahaha
Atari kweli
Kiboko yao mtoa roho tu anaingia na anachukua chake na anasepa bila noma
Hatar sana
Da
Shida yote ya nini Sisi rais wetu anaishi fresh tu
Kufa ni kufa tu, japo anakwepa mabomu na risasi ila Mungu akiamua kumzimisha hata umo umo ndani ya cadillac one anabaki skeleton💀 😂😂😂
Kizazi sana 🇶🇦
malaika wa kuchukua roho akija anapita na kumchukua kiurahisi kabisa
Nataka moja
Mungu akiamua kung'oa roho yako hilo gar ni kama puto tu kama taitanic ilivunjika vunjika. Hako kagar ni kitu gani
Tuendelee kulipa kodi ya tozo kwa bidii ili nasisi tumnunulie raisi wetu .
Mlinzi mkuu ni Mungu my friends
Taifa kubwa duniani ni Russia Ina Squire miles 6.6million while US ina 3.8million. Kama Uchumi China Ina Uchumi wa kuhudumia watu 1.4 Billion ambao ndio population ya china wakati huo US population ni 3.3 million. Kama huendeshwi na propaganda za Kimagharibi ukitafuta utajua taifa kubwa duniani ni lipi.
Acha upotoshaji kwa hiyo tanzania ni taifa kubwa kuliko Japan?maana ya taifa inaeleweka kapotoshe mghahawani huko.
Wewe ni kilaza wakutupwa hujui chochote😂😂
Hatu amini kwasasbab ni madhanio2
Mh hukoo marekkanii aampafai
vilevile gari hilo lina mfumo wa kukabiliana na iziraili.
Imekaa poa sana
doooh nowm
Aletewe mama samia
Sifa zote hizo lkn ziraili akitaka kufanya kazi yake ya kutoa roho hakuna kitakachofanya kitakachozuia 😂
😃😃😃
Ad wew 😂😂
USA si mchezo💪
Nyimbo ya harmonize mang'd
akiwe
Hili gari n kali sana
We mirid watu binahadamu akitaka kufanya yake anakubali kjitoa muanga ilimladi yake ayatimize
Gari lenyewe inapendeza sana
Wewe ulijuale
Tangaza channel yako tu lkn si kwa uwongo huo
Nnalo bana ahaaaa
NEWS FROM BONGO FASTA, Jaribu kuwa Mtafiti sio copy and Paste
Na sisi mama samia anatakiwa atape hiyo gar ilikumurinda mama etu
Lakini kifo haijui hizo kifo hupenya hdi penye ukifikiria maana haionekani maulana tuu ndie aijuawe
Muuu mbona gari ni dogo afu Mambo mengi hivyo..
🙌🙌🙌
Dahhhhh
Simbavsnyati
Mali ya Dunai ni bure Mwisho wake ni kufa tu
Hiyo nitaendea kesho
MUNGU ndo kila kitu
Tusione wivu sema uwezo huo hatna tuu
Hata angeendasha fisi tusitishwee
uzito wa nchi nane duuh
Sio nchi ni inches
@@khadijambarouk2983 sawa hiyo hiyo inches n kwel SI unit ya uzito n inches jmn
Ona sasa umefanya nirudie kuitazama hii video
@@mrizzy5424 😂😂😂😂😂
Vari l aja buhii pigwi bomu
Mwisho
Duhh hili ni balaaa kwa nn marais w America kila anaeingia madarakan anatengeneza lake gar??
Hapana gari linakuwa lile lile mabadiliko yanakuwa nimadogo tu ndani yagari, Sawa nawewe unapohamia kwenye nyumba Kuna vitu vingine utabadilisha position.
Duh vp kuhusu kifo hafi au ndio atakizuia
Akili za mtu maskini Kama ww ndo huwa ivyo,, yani uwezo wako wa kufikir kitu ndo umeishia hapo,, endelea kula vumbi wenzio ndo washapiga hatua ivo,, kama utaki maendeleo bac hata nguo usivae sababu ipo siku utakufa utaziacha izo nguo tembea uchi maana hukuzaliwa na nguo
Sawa wewe @roger ngoja ufe Kama utazikwa na Mal zako
@@erickevarist8738 hata dalala usipande tembea kwa miguu sababu ukifa hautazikwa nayo
Daladala sipandagi mm
@@erickevarist8738 vzr
Yaan ni hvi huo hta sio usalama,maana aliyetengeneza ji si anavyowaelezea watu uimala wake,ndo hvyohvyo atawaelezea waharifu udhaifu wa hilo gari.
😁😁
Duuuh
Jd pm
C
TUENDELEE KUSAPOTI KONDE GANG BONYEZA PICHA KISHA FOLLOW
ua-cam.com/video/GhUpKc2l9nc/v-deo.html🤣🤣🤣 inauma inauma hiii wewe mtuu Jini👆👆🤣🤣
Kama kufa utakufa tu
Bila kusahau wewe mwenyewe kama ipo siku utakufaaaa
@@wamoroboy8963 😂😂😂
@@yunyun799 anazingua huyu naee😂
Lakini huyo ni mfalme na wafalme wanahitaji kinda. Sio dhambi kulinda mfalme. Kwa anategemewa na wengi
😂😂😂😂
.
O
Haf bom la nuclear
V
Yooooooote kifo hakikwepeki.
Mashaalah,uas wajiendeleze mpaka kiyama