Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤
Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.
Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊
Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu. Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.
watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu
Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.
Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.
Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala
Kama wajumbe mpo gonga like yako
Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu Ndio Lissu sasa,,,,...., brilliant guy
Big up rissu rais mtarajiwa
Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.
Mzimu uliobadiri umbo
Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊
Huyu MTU anajiamini sana!
Mwanaume huyo
Tena sanna
Mungu akuongoze mheshimiwa pamoja sana
Lissu 2020 🔥💯
Mta tapatapa sana ,labda urud ubelijiji lakn sio tzn,Jpm hoyeeeee
@@rosemongi5273 Oyee! Lakini apewe nafasi kwenye vyombo vya habari kama anavyopewa JPM ili wananchi waamue
Nakuelewa tundu lissu
"What doesn't kill you makes you stronger"...Germany Philosopher ..Fredrich.
Ilove u TUNDU LISU
rove baba tupo pamoja Yani mpaka vifo njetu mungu akituncukuwa baba mimi na wewebaba
Mungu aliye kuokoa na wauaji wako Dodoma aatakupigania na kukutunza daima.you're the chosen person
Tundu lissu namkubali
Confidence💯
💕
Dah! Wewe ndo Rais tunayemuhitaji
Ni yeye 2020
Anaakili mno
Lissu ni chuma lazima kivunje jiwe lile
hakuna cha kusema zaidi! Mungu aendelee kukulinda kwa rehma zake!....!!!
Unachomelea dirisha jiko la kupika eti kodi to jamani mama wetu afee na njaa kisakodi irudi Kama zamani mpo
Pamoja😊
Pamoja sana
Nafkri anafaa kuwa rais
Aise pongez kwako lisu nazani utamshinda
Congration to you
Yeah Hon. Tundu Antipas Lissu is the greatest strongly and confidence. Of course the good leadership.
Asante...
Awesome meeting
Niyeye2025
Unajiamini hivyo
Wajumbe si watu wazuri!!!
Tunakuamini kaka
Lissu unalala wap
🤣🤣
Rais wetu huyo
Chizi kalogwa tena hahahaha rahisi wa chadema
Mia kwa mia
Mh lisu unafaa uwe mgombea uraisi
Watanzania tumuelewe vizuri point zake anachoitaji ushindi wa kisiasa.ahahahaha
Tunakuamini kiongozi
Ogea baba kuliko rais wa ji ji na wilaya jipe moyo
Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu.
Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.
Nyarandu soma alama
Huyu hafai kuwa raisi hata kidogo
Unatuletea kikao cha miaka 5iliyopita inasaidia nini
Mshimiwa.mbowe.kazana.usiyumbe.uwe.kama.kama.nabii.gidion.aripelika.watu.kuwa.pima.wanolamba.maji.mtoni.kam.mbwa.ndio.wapiganaji.wakipita.mto.sas.chedema.fanyeni.hivo
Kumbe mlitrajia mabilioni na kumbe sivyo....
Wajumbe like za kijumbe
Love you Tundu Lissu!
CCM Hawawezi kukubari mabadiriko
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
Uzoefu wa Nyalandu Ni wa mashaka?
Hii hotuba Nyalandu inakuhusu.
Jamhuri ya muungano upi ? Mzee tatizo hilo.
Haya sasa ma silent killers, mmesha julikana plan zenu. tabu sana
We uko juu ya sheria?
Chuma kimesima
Sasa nahisi unataka urais chadema sio mtz
Mbuzi Mafia kwa muza supu
Hakuna mgombea hapo/huyo atawauza MapemA sana shaur yenu
Mmh
Jembe jembe..
And the rest and the other two were not in the office today and they were not able to make any changes to
Tuko na wewe tu mpaka kiwereweke
watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu
Hakuna aliye omba kuwa mlemavu c kauli nzuri. Kumbuka wewe ni mlemavu mtarajiwa. Haitoshi bora kulemaa viugo kuliko akili.
hata babako anaweza kuwa kilema fala we
Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.
@@innocentcp845 waambie hao mazombi ya ccm, hawajui km ujafa ujaumbika
Trying and tested nimemuelewa hivi (He not sure that why he try and test.
Umekosea kidogo ndugu mjumbe Mr. Shabani, ni tried and tested, yaani amejaribiwa na kuyapata hayo majaribu,
Uchaguzi huru , wabunge waliendaje bungeni.
Tatizo ni uraisi matokeo ya ubunge yanahojiwa mahakamani matokeo ya uraisi hayahojiwi
Sasa basi
Toa hoja husishutumu serikari sema utakacho wafanyia watu,
Subir akifika kwa wananchi
Atoe hoja ya namna gani?
Kura ndo zitaongea ccm itashinda kwa kishindo, wajumbe wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
@@allenmwambala6900 Ni kweli ccm itashinda,lakini ni vizuri uwanja wa kufanya siasa ukawa sawa ili malalamiko yasiwepo
Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.
😂😂😂😂ua-cam.com/video/_i17eP38_tc/v-deo.html.. mkitoboa sijui
C lolote huwezi kuwa Rais wa tanzania
HATUTAKI WANAHARAKAT IKULU.... TUNATAKA WALETA MAENDELEO KM JPM... FULL STOP
Hutaki wewe tu wanaharakati ndo walioleta hata uhuru wawaafrika muangalie Marti lutherking
Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala
ww unafaa kuwa raisi wa nchi hii kwani una majaraha na uchungu kwa madhila na kadhya kwa ulioyapata.
Wewe uko yuma kweli!!!
🤣🤣🤣🤣kuna watoto walizaliwa na ubishi mkononi 😀😀Lissu kama Lissu ni master
Sapotini tuu watuwenyewe hamna hata hela ya kula ikitokea vulugu huyo anakimbilia kwa wazunguwake nyny je mtaendawp mcklizeni tuu huyo kiaz muone
kama hau-support 🤫🤒😷
Watanzania tunajielewa ss fala wewe usituletee imla wewe jpm ni wa kipekee hana mpinzani ccm ni no1 jpm hoyeeeeeee
Wewe fala mmoja kacheze unakoche kama huyo magu anakutosha ni wewe bwege wee
mshenzi kwel ...... you're illetrate
Siri imevija,walimchagua Lowasa kwa kutegemea mamilioni,anamsuta Mbowe.
Wewe unazungumzia siasa nilijua unazungumzia maendeleo kumbe siasa ni maslahi yako na familia yako jombaa ushachemka.*******
Magu kawapoza kawarudisha !! Wananchi tutaendeleza spana kama wajumbe!!