TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 сер 2020
  • TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA

КОМЕНТАРІ • 106

  • @michaelmwaluko2882
    @michaelmwaluko2882 4 роки тому +15

    Kama wajumbe mpo gonga like yako

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 роки тому +14

    Alhamdulillah Rabilallamin, Mwenyezi Mungu mkubwa, Allah azidi kukupa kila unalolitilia nia lenye heri na wewe pamoja na wananchi kwa ujumla.✌✌✌✌✌✌✌❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @maxesh5135
    @maxesh5135 4 роки тому +15

    Huyu Ndio Lissu sasa,,,,...., brilliant guy

  • @bonaventurasheshe961
    @bonaventurasheshe961 4 роки тому +18

    Ni Yeye 2020. Lissu mbeba maono na manusura wa kifo lisasi 16 ambapo haijawah tokea na huu ni muujiza unaotembea. Ni Yeye 2020. Straight forward and brilliant Hon. Antipas Lissu.

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 4 місяці тому +1

    Huyu jamaa hana akili nyingi Sanaa, jinsi alivyoanza hutuba yke ,very creative mind kuwaita viongozi instead of wajumbe chawa amewakataa ,,,The future president ..God bless u and ur family always 😊😊

  • @danielmanyama4504
    @danielmanyama4504 4 роки тому +15

    Huyu MTU anajiamini sana!

  • @moseslaizer538
    @moseslaizer538 4 роки тому +4

    Mungu akuongoze mheshimiwa pamoja sana

  • @primostemba
    @primostemba 4 роки тому +7

    Lissu 2020 🔥💯

    • @rosemongi5273
      @rosemongi5273 4 роки тому

      Mta tapatapa sana ,labda urud ubelijiji lakn sio tzn,Jpm hoyeeeee

    • @kokombwana8625
      @kokombwana8625 4 роки тому

      @@rosemongi5273 Oyee! Lakini apewe nafasi kwenye vyombo vya habari kama anavyopewa JPM ili wananchi waamue

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 7 місяців тому +1

    Nakuelewa tundu lissu

  • @messageofloveandhope4249
    @messageofloveandhope4249 4 роки тому +4

    "What doesn't kill you makes you stronger"...Germany Philosopher ..Fredrich.

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 4 роки тому +6

    Ilove u TUNDU LISU

    • @DulaMudi
      @DulaMudi 13 днів тому

      rove baba tupo pamoja Yani mpaka vifo njetu mungu akituncukuwa baba mimi na wewebaba

  • @johnisrael1968
    @johnisrael1968 4 роки тому +1

    Mungu aliye kuokoa na wauaji wako Dodoma aatakupigania na kukutunza daima.you're the chosen person

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q 4 місяці тому +1

    Tundu lissu namkubali

  • @user-cx9es4yj7q
    @user-cx9es4yj7q 4 роки тому +4

    Confidence💯
    💕

  • @mkalimwenziotz5696
    @mkalimwenziotz5696 4 роки тому +2

    Dah! Wewe ndo Rais tunayemuhitaji

  • @primostemba
    @primostemba 4 роки тому +6

    Ni yeye 2020

  • @masoudsalum9514
    @masoudsalum9514 4 роки тому +4

    Lissu ni chuma lazima kivunje jiwe lile

  • @mwinyitoreira2339
    @mwinyitoreira2339 4 роки тому +1

    hakuna cha kusema zaidi! Mungu aendelee kukulinda kwa rehma zake!....!!!

  • @leonardrafaelimungunimwema5284

    Unachomelea dirisha jiko la kupika eti kodi to jamani mama wetu afee na njaa kisakodi irudi Kama zamani mpo

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 16 днів тому

    Pamoja😊

  • @jacobkajeje7920
    @jacobkajeje7920 Рік тому +1

    Pamoja sana

  • @allygregory8682
    @allygregory8682 4 роки тому +3

    Nafkri anafaa kuwa rais

  • @WakwetuWakwet
    @WakwetuWakwet 2 дні тому

    Aise pongez kwako lisu nazani utamshinda

  • @eliudmahali3619
    @eliudmahali3619 3 роки тому

    Congration to you

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 4 роки тому

    Yeah Hon. Tundu Antipas Lissu is the greatest strongly and confidence. Of course the good leadership.

  • @fabianycharles3954
    @fabianycharles3954 4 роки тому

    Asante...

  • @Tanzaniawildcats
    @Tanzaniawildcats 4 роки тому

    Awesome meeting

  • @WakwetuWakwet
    @WakwetuWakwet 2 дні тому

    Niyeye2025

  • @joshuakimario1528
    @joshuakimario1528 4 роки тому +4

    Unajiamini hivyo

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 роки тому +3

    Wajumbe si watu wazuri!!!

  • @dullahdullah5499
    @dullahdullah5499 4 роки тому

    Tunakuamini kaka

  • @joshuakimario1528
    @joshuakimario1528 4 роки тому +2

    Lissu unalala wap

  • @modestmasuba4155
    @modestmasuba4155 4 роки тому +1

    Rais wetu huyo

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 4 роки тому

    Chizi kalogwa tena hahahaha rahisi wa chadema

  • @adamkaogo1931
    @adamkaogo1931 4 роки тому

    Mia kwa mia

  • @dullawax8799
    @dullawax8799 Рік тому

    Mh lisu unafaa uwe mgombea uraisi

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 роки тому

    Watanzania tumuelewe vizuri point zake anachoitaji ushindi wa kisiasa.ahahahaha

  • @neemamahenge376
    @neemamahenge376 4 роки тому

    Tunakuamini kiongozi

  • @leonardrafaelimungunimwema5284

    Ogea baba kuliko rais wa ji ji na wilaya jipe moyo

  • @robertkato5868
    @robertkato5868 4 роки тому

    Tundu wewe ni mjuzi mzuri sana wa sheria na sheria uendana na hoja hivyo kuna tofauti kubwa ya uongozi na ubobevu wa hoja na hasa nchi masikini kama tz yenye rasilimili bila teknolojia na mitaji na umasikini wa kutosha kwa watu wake nafikiri kwa sasa tunaitaji mtu imara, na mwenye akili huru,msimamo dhabiti hata kama yataigharamu nchi muhimu tu ni kutetea rasilimali zetu kwa maana ndio utajiri wetu.
    Kwa vita vya kiuchumi vilivyopo ikulu na hasa wenye chama chako walizaliwa siku ya ela duniani wako tayari kuuza chochote wapate ela basi uwezi kuwa rais wa nchi hii inawezekana kwa kiasi una sifa lkn kiti ulichokalia kutufikia si salama hata kidogo.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 4 роки тому

    Nyarandu soma alama

  • @frankmaestro9726
    @frankmaestro9726 4 роки тому

    Huyu hafai kuwa raisi hata kidogo

  • @hamisijuma8124
    @hamisijuma8124 10 місяців тому

    Unatuletea kikao cha miaka 5iliyopita inasaidia nini

  • @evelina9621
    @evelina9621 Місяць тому

    Mshimiwa.mbowe.kazana.usiyumbe.uwe.kama.kama.nabii.gidion.aripelika.watu.kuwa.pima.wanolamba.maji.mtoni.kam.mbwa.ndio.wapiganaji.wakipita.mto.sas.chedema.fanyeni.hivo

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 роки тому

    Kumbe mlitrajia mabilioni na kumbe sivyo....

  • @primostemba
    @primostemba 4 роки тому +10

    Wajumbe like za kijumbe

  • @emilianpasiens7919
    @emilianpasiens7919 4 роки тому

    Love you Tundu Lissu!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 місяців тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 роки тому

    Uzoefu wa Nyalandu Ni wa mashaka?

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 роки тому

    Hii hotuba Nyalandu inakuhusu.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 роки тому

    Jamhuri ya muungano upi ? Mzee tatizo hilo.

  • @nessa4899
    @nessa4899 4 роки тому

    Haya sasa ma silent killers, mmesha julikana plan zenu. tabu sana

  • @allenmwambala6900
    @allenmwambala6900 4 роки тому

    We uko juu ya sheria?

  • @mfaumeseif5872
    @mfaumeseif5872 4 роки тому

    Chuma kimesima

  • @lugembesweya3288
    @lugembesweya3288 4 роки тому

    Sasa nahisi unataka urais chadema sio mtz

  • @pasikomwafongo4679
    @pasikomwafongo4679 4 роки тому

    Mbuzi Mafia kwa muza supu

  • @djaysamtzm950
    @djaysamtzm950 4 роки тому

    Hakuna mgombea hapo/huyo atawauza MapemA sana shaur yenu

  • @japhetyanania8589
    @japhetyanania8589 4 роки тому

    Jembe jembe..

  • @awadhsaleh2354
    @awadhsaleh2354 4 роки тому

    And the rest and the other two were not in the office today and they were not able to make any changes to

  • @MutalemwaBiashara
    @MutalemwaBiashara Місяць тому

    Tuko na wewe tu mpaka kiwereweke

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 4 роки тому +1

    watu ni wanafiki sana..huyu kilema akiwa nje ya nchi mlikua mnambeza sana.sasa amerudi mmeanza kumsifia eti ni brolliant guy..acheni kupoteza muda..rais wa nchi hii ni Mh.DR.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI tu.sasa subirini mziki wetuuuuuuuu

    • @innocentcp845
      @innocentcp845 4 роки тому

      Hakuna aliye omba kuwa mlemavu c kauli nzuri. Kumbuka wewe ni mlemavu mtarajiwa. Haitoshi bora kulemaa viugo kuliko akili.

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 роки тому

      hata babako anaweza kuwa kilema fala we

    • @innocentcp845
      @innocentcp845 4 роки тому +1

      Nawaomba tumieni hoja kwenye comment na sio maneno kama kilema. Neno hilo ni kutudharau na kutudhalilisha walemavu. Haitoshi nikujisahau kuwa tupo walemavu na mpo walemavu watarajiwa. Hakuna aijuae kesho yake. Siasa ni urafiki na sio uadui.

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 роки тому

      @@innocentcp845 waambie hao mazombi ya ccm, hawajui km ujafa ujaumbika

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 роки тому

    Trying and tested nimemuelewa hivi (He not sure that why he try and test.

    • @kato_tz
      @kato_tz 4 роки тому

      Umekosea kidogo ndugu mjumbe Mr. Shabani, ni tried and tested, yaani amejaribiwa na kuyapata hayo majaribu,

  • @norbertkauzeni1324
    @norbertkauzeni1324 4 роки тому

    Uchaguzi huru , wabunge waliendaje bungeni.

    • @asafudaudi1230
      @asafudaudi1230 4 роки тому

      Tatizo ni uraisi matokeo ya ubunge yanahojiwa mahakamani matokeo ya uraisi hayahojiwi

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 5 місяців тому

    Sasa basi

  • @allenmwambala6900
    @allenmwambala6900 4 роки тому

    Toa hoja husishutumu serikari sema utakacho wafanyia watu,

    • @chondebabatz5477
      @chondebabatz5477 4 роки тому

      Subir akifika kwa wananchi

    • @kokombwana8625
      @kokombwana8625 4 роки тому

      Atoe hoja ya namna gani?

    • @allenmwambala6900
      @allenmwambala6900 4 роки тому

      Kura ndo zitaongea ccm itashinda kwa kishindo, wajumbe wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

    • @kokombwana8625
      @kokombwana8625 4 роки тому

      @@allenmwambala6900 Ni kweli ccm itashinda,lakini ni vizuri uwanja wa kufanya siasa ukawa sawa ili malalamiko yasiwepo

    • @allenmwambala6900
      @allenmwambala6900 4 роки тому

      Watu tunajuwa na tuliona na tunaona kinacho endelea lakini tundu lisu anaonyesha jirasi ya wazi kati yake na ccm na viongozi wake ata akipata muda wote atakuwa kwenye mvutano ,na visa tu.

  • @depaolo3461
    @depaolo3461 4 роки тому

    😂😂😂😂ua-cam.com/video/_i17eP38_tc/v-deo.html.. mkitoboa sijui

  • @allenmwambala6900
    @allenmwambala6900 4 роки тому

    C lolote huwezi kuwa Rais wa tanzania

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 4 роки тому +1

    HATUTAKI WANAHARAKAT IKULU.... TUNATAKA WALETA MAENDELEO KM JPM... FULL STOP

    • @adamnasib7928
      @adamnasib7928 4 роки тому +2

      Hutaki wewe tu wanaharakati ndo walioleta hata uhuru wawaafrika muangalie Marti lutherking

    • @kobelochamanga9757
      @kobelochamanga9757 4 роки тому

      Maendeleo yatakuja kuliko ya ccm muda wao wa utawala wote iyo chadema nchi Zima maji safi na salaama elinu bora sio bora elimu nakuweka mifumo mizuri ya kujitawala

    • @suleimanrashid58
      @suleimanrashid58 4 роки тому

      ww unafaa kuwa raisi wa nchi hii kwani una majaraha na uchungu kwa madhila na kadhya kwa ulioyapata.

    • @sonuswai7596
      @sonuswai7596 4 роки тому

      Wewe uko yuma kweli!!!

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 4 роки тому

    🤣🤣🤣🤣kuna watoto walizaliwa na ubishi mkononi 😀😀Lissu kama Lissu ni master

  • @piusraymond8226
    @piusraymond8226 4 роки тому +1

    Sapotini tuu watuwenyewe hamna hata hela ya kula ikitokea vulugu huyo anakimbilia kwa wazunguwake nyny je mtaendawp mcklizeni tuu huyo kiaz muone

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 4 роки тому

    Watanzania tunajielewa ss fala wewe usituletee imla wewe jpm ni wa kipekee hana mpinzani ccm ni no1 jpm hoyeeeeeee

    • @dottomkumba262
      @dottomkumba262 4 роки тому +1

      Wewe fala mmoja kacheze unakoche kama huyo magu anakutosha ni wewe bwege wee

    • @user-cx9es4yj7q
      @user-cx9es4yj7q 4 роки тому

      mshenzi kwel ...... you're illetrate

  • @davidbochela1441
    @davidbochela1441 4 роки тому

    Siri imevija,walimchagua Lowasa kwa kutegemea mamilioni,anamsuta Mbowe.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 4 роки тому +1

    Wewe unazungumzia siasa nilijua unazungumzia maendeleo kumbe siasa ni maslahi yako na familia yako jombaa ushachemka.*******

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 3 роки тому

    Magu kawapoza kawarudisha !! Wananchi tutaendeleza spana kama wajumbe!!