HOJA MEZANI || Mahojiano maalum Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Nyasa
Вставка
- Опубліковано 16 чер 2024
- Mahojiano maalum Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Nyasa,Joseph Mbilinyi juu ya siasa yake katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi.
Sugu nimekufuatilia sana sijaonaukifeli uko vizuri sana.
Next time wekeni utaratibu wa kinywaji chochote ni vitu vya muhimu kwa binadamu😎
✌✌✌
👊👍✌️.
Pamoja jembe
Sugu moto chini
nice interview🤝
Chadema mumeifundisha CCM kuwa mumekomaa kidemokrasia hasa kupitia midahalo kwenye chaguzi za majimbo
✌️✌️✌️♥️♥️
Tanzania akuna mfanyasiasa, kama Mbowe wetu, nyie mnatumwa fakes journalists...
Mbona hizi media kila siku uingilia mwenyekiti wetu kunanini hapo kila siku nyie fakes journalists?
Majibu ya ki-utu uzima. Nilikuwa na hofu kuwa atademka.. Nakupongeza kwa majibu haya Mr Sugu
Haya ndio mahojiano yametulia mtu anazungumza mpaka unatamani aendelee kuzungumza hongereni azam sio unamleta mtu kazu kudanganya umma hongera jongwe umeingea vema jambo lolote linabaki kwa mtu mwenyewe ahangaikie au abweteke viva chadema
Sugu ni mtu anaekubalika sana kwa sasa especially upinzani
Sugu mwaka 2015 ulimzuia mtu kwenye kura za ndani ukaamuru afungiwe ndani, ili upite bila kupingwa.
Swala tunduma sugu anatusaidia vip kwa mgogoro mpaka ssa jambo linazidi kupasuka
Kamanda sugu