MALANGO YA NDOTO YANAVYOTUMIKA NA ADUI (IV) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 119

  • @petermaingi1402
    @petermaingi1402 2 роки тому +2

    Amen... Mtumishi wa mungu umenibariki kwa jumbe zako za ufunuo

  • @mmenesibety7814
    @mmenesibety7814 3 роки тому +4

    Am betty from kenya pastor ukiota unaombea watu mapepo yanatoka inamaanisha nn

  • @dorisigalusi4670
    @dorisigalusi4670 2 роки тому +2

    Asante mungu akubarik pastor

  • @elsaomondi2027
    @elsaomondi2027 3 роки тому +3

    Bwana Yesu asifiwe.nisaidie kufafanua ndoto hili. Baba ya mwanangu alioa mke na mara mimi huota huyu mke yuanialika kwa mlo wa nyama mingi na mara tunagombana akilia ati mimi ndiye nimemsababishia machungu maishani. Hii ni nini jamani

  • @mariakilasile8792
    @mariakilasile8792 2 роки тому +3

    Mungu mwema kutuinulia mtumishi huyu, Asante sana Yesu. Ubarikiwe Baba.

  • @elizabethmwepa3744
    @elizabethmwepa3744 3 роки тому +2

    Mungu akubariki sana baba, wengi tunapokea kilakitu bila kuhakiki kama ni cha kimungu kwa kuhisi ndo imani yenyewe na kuhakikisha ni kama kutokua na imani. Umenifunza kwakweli

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 3 роки тому

      Halafu mmewekewa hapo namba za sadaka, kwa wale mnaopenda miujiza bila kufanya kazi , wenzetu wanzungu wanafanya kazi usiku na mchana , ndomana wanafanikiwa, sisi tunasubili miujiza, africa,

  • @mankatz1
    @mankatz1 2 роки тому +1

    Thanks umenifundisha sana !Mungu akubariki sana

  • @harrietwabosha1669
    @harrietwabosha1669 3 роки тому +7

    Thanks Pastor God bless you nimesoma vyema kuhusu ndoto kutoka kwako..Mungu akuzidishie wisdom and knowledge🙏🇰🇪

  • @florahovard3212
    @florahovard3212 2 роки тому +1

    Ubarikiwe na Yesu aliyehai

  • @zaudamwaisanila9150
    @zaudamwaisanila9150 3 роки тому +2

    Mungu akubariki sana mtumishi, hakika someone hili limenifungua, Mungu azidi kukutumia

  • @aisiamkonyi4977
    @aisiamkonyi4977 2 роки тому +1

    🙏barikiwa Mtumishi

  • @bettywandiema6900
    @bettywandiema6900 3 роки тому +1

    Mungu akubariki sana muchungaji nimebarikiwa sana

  • @amandamsangi7882
    @amandamsangi7882 3 роки тому +3

    Baba my name is Amanda siku zote huwa napita tu kwenye chanel yako sikuwai kufikiri nitakusikiliza leo nimeota and hapa I was so struggling kutafuta mtumishi wa Mungu kuongea nae, baba kila ulichokiongea it's me I day dream sana na pia usiku. All I can is asante umenifundisha kitu. Thank u very much

    • @jacklineleonard3554
      @jacklineleonard3554 Рік тому

      Baba nimefurahia Sana hiki somo Kuna ndoto nimeota imejirudia mala 3 na siku ya nne nikaruhusu kile kitu kitokee na nikweli kikatokea ktk ulimwingu wa mwili

  • @pascalmuzuri4
    @pascalmuzuri4 3 роки тому +1

    Mungu akubatiki sana mtumishi wa Mungu. Akutie nguvu na akuongezee upako

  • @innocentnsengimana1600
    @innocentnsengimana1600 2 роки тому +1

    Thanks for the teaching.Mungu akubariki sana

  • @yudesnestory4781
    @yudesnestory4781 3 роки тому +1

    Nukupenda sana baba mungu azidi kukuinua kwa viwangi vingine

  • @rafikiyesu3134
    @rafikiyesu3134 2 роки тому +1

    Somo hili limenisaidia sana,ni halisi kabisa, mtumishi wa Bwana 🙏 Yesu aendelee kukuinua kwa kazi yake🤝

  • @rosemwakyoma8371
    @rosemwakyoma8371 3 роки тому +1

    Asante Mtumishi umenifundisha kitu ubarikiwe sana

  • @fortunecinogerwa1471
    @fortunecinogerwa1471 3 роки тому +1

    Mungu aku bariki mtumishi wa Mungu

  • @rusiwadonatrusi3603
    @rusiwadonatrusi3603 3 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @faisalalsalhi6555
    @faisalalsalhi6555 3 роки тому +7

    thank you umenifunza kitu God bless you

  • @lilianjoshua477
    @lilianjoshua477 3 роки тому +1

    Namshukuru Mungu kwaajili yako nimepata kitu kuhusu ndoto . Naomba Roho mtakatifu anifunulie

  • @salomeshila3671
    @salomeshila3671 3 роки тому +2

    Nimebarikiwa sana nahili somo la ndoto

  • @wamweru9286
    @wamweru9286 2 роки тому +1

    God bless you 🙏,mafundisho yenye kuelimisha watu . 🇰🇪 .

  • @neemaeliezamwampeta4635
    @neemaeliezamwampeta4635 3 роки тому +2

    Ameni 🙏🏼

  • @joharisadi873
    @joharisadi873 3 роки тому +1

    Ubarikiwe Sana,nimejifunza kitu muhimu.🙏

  • @rahabnganga2793
    @rahabnganga2793 3 роки тому +2

    Mwalimu mwema sana wa neno la Mungu.

  • @gemamwakyusa6100
    @gemamwakyusa6100 3 роки тому +1

    Asante Mtumishi kwa fundisho zuri

  • @Francinegabriella
    @Francinegabriella 3 роки тому +2

    Amen 🙏 nimejifunza kitu leo kbs God bless you 🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 3 роки тому +1

    BWANA YESU ASIFIWE watu wa MUNGU, nina mdogo wangu natamani sana awe anasali reality, mpo sehemu gani dare salaam ,mana mm nawafatilia nikiwa arusha

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 роки тому +1

      Dar es Salaam tupo Sinza Mori,ni karibu sana na ofisi za TAMWA.
      Karibuni sana.

    • @heavenlight5084
      @heavenlight5084 3 роки тому

      @@realityofchristchurch asante mtu wa MUNGU

  • @agnesmutindi3094
    @agnesmutindi3094 3 роки тому +1

    Asante mtumishi was mungu. I have learned something new from you

  • @marymwangi3729
    @marymwangi3729 2 роки тому +5

    Have learnt alot from this sermon God bless you sir

  • @donathamallya
    @donathamallya 3 роки тому +1

    Amen Mtumishi wa MUNGU Barikiwa

  • @winnyrocha1361
    @winnyrocha1361 3 роки тому +1

    Asante sana mchungaji Kwa ujumbe mzuri.

  • @suzansuzzan5344
    @suzansuzzan5344 3 роки тому +7

    Always blessed 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Thankyou JESUS CHRIST...May GOD bless you Man of GOD 🙏🙏

  • @tinamagombeka9179
    @tinamagombeka9179 2 роки тому +1

    Man of God be blessed🙏

  • @joycekaijage3917
    @joycekaijage3917 3 роки тому +1

    Pastor, asante kwa mafundisho yako, hii ni mara ya kwanza kusikiliza mafundisho yako. Naomba kujua kanisa lako lipo wapi ili niwe naudhulia mafundisho au semina zako.

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 роки тому +1

      Kanisa lipo Dar es Salaam,Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Pia tuna Huduma DODOMA kila Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama,Area C njia panda ya kuelekea Arusha.Karibu sana.

    • @joycekaijage3917
      @joycekaijage3917 3 роки тому +1

      @@realityofchristchurch kwa upande wa Dar, semina inafanyika siku gani na sangapi na uwa ni mara ngapi kwa wiki huduma inakuwepo

  • @elizabethfregrin
    @elizabethfregrin 3 роки тому +2

    Asante sana Man of God kwa mafundisho mazuri

  • @robertedward7853
    @robertedward7853 3 роки тому +2

    Amen mtumishi somo zuri asante mwalimu

  • @rebecapandisha
    @rebecapandisha Рік тому

    Umesema vema baba

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 роки тому +1

    Ubarikiwe sana kweli umenigusa sana sikujua

  • @florahovard3212
    @florahovard3212 2 роки тому +1

    Great message man of God

  • @julianangimba3927
    @julianangimba3927 3 роки тому +1

    Hongera sana Baba Mchungaji kwa mafundisho mazuri. Mwenyezi Mungu Akubariki sana👏👏👏

  • @rusangdewagwan3151
    @rusangdewagwan3151 3 роки тому +1

    Ansante pastor kwa mafunzo hayo. Naomba unieleze maana ya ndoto .. nimekuwa nikiomba mungu anibariki na ndoa baada ya week mbili nikaota nikiambiwa ghafula nijitayarishe kuvaa nguo ya harusi na ya suprise niliota 4am na wakati huo Sina mjumba. Lakini naona nimefanya harusi na mtu nilikuwa nimeanza kuchumbiana baada ya week mbili akapotea. Ikawa mwezi moja umepita hamna mawasiliano lakini ndiye naonyeshwa nafanya harusi naye na alikuwa mzungukutoka americani. Baada ya week moja rafiki yangu kaniambia Kuna nduguye ako ngambo familia yake ingetaka tujuane na tuoane na ako UK. Canada . Ningependa uniambie inamaana gani?
    From Kenya

  • @thomaspapy3519
    @thomaspapy3519 3 роки тому +1

    Asante sana Mungu

  • @tuchannyitike
    @tuchannyitike 3 роки тому +4

    Thank you for the sermon,ntazidi kutafakari it's a lot to learn 🙏

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 роки тому +2

    Amen🙏🙏🙏😓 from 🇴🇲

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 3 роки тому +1

    Amen. Kunakitu nimepata ubariliwe

  • @rosenasimiyu6396
    @rosenasimiyu6396 3 роки тому +3

    Pst Mimi nilikaa Kwa ndoa kwamiaka ine lakini kuna siku moja sister in law akakuja kuniambia aliota tumeachana na mume wangu tulikaa 1yaers tukaajana lakini bwana wangu anatezeka sai pls PST ni saitia, God bless you

  • @fhfbfcvcgfggf6844
    @fhfbfcvcgfggf6844 3 роки тому

    Mtumishi hiyo inatokea Sana kwangu na huwa naumia kutaka Kukumbuku Ndoto nilosahsu

  • @joyceyesayaswalle5947
    @joyceyesayaswalle5947 3 роки тому +1

    Ameni

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 3 роки тому +1

    Amin ubarikiwe kwa somo zur

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 роки тому +1

    Asante kwa mafundisho nimebarikiwa sana 🇰🇪 🇦🇪

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 3 роки тому +1

    Amen barikiwa mutumishi wa Mungu

  • @gilbertbada8385
    @gilbertbada8385 2 роки тому

    TEACHER!

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 3 роки тому +1

    Ameen

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 3 роки тому

    tuned

  • @vailethmbulule8339
    @vailethmbulule8339 3 роки тому +1

    nabarikiwa sana

  • @gloriapraise3313
    @gloriapraise3313 3 роки тому +1

    Very true

  • @irenemukami5735
    @irenemukami5735 3 роки тому +1

    Thank you for the good topic

  • @emilynyaga5947
    @emilynyaga5947 3 роки тому +4

    Amen ...am blessed by the teachings ave learnt alot..God bless you man of God

  • @irenengina233
    @irenengina233 3 роки тому +2

    Amen Amen Amen

  • @agnestweve7218
    @agnestweve7218 2 роки тому +1

    Naombeni namba ya simu

  • @dawsonbulaga7129
    @dawsonbulaga7129 2 роки тому +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aoman5214
    @aoman5214 3 роки тому +1

    Jaman Mimi nikiota kitu lazima kitimie sasa cjui ni ya. Mungu au vipi hmm

  • @politicscultureandhealth5080
    @politicscultureandhealth5080 3 роки тому +1

    Great message

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 3 роки тому +2

    Naji funza mana of God

    • @margretmumbi43
      @margretmumbi43 3 роки тому

      God bless you sana Margaret Wambui from Nairobi

  • @piusmchalo280
    @piusmchalo280 3 роки тому +1

    Barikiwa pastor

  • @milkahmuringo4765
    @milkahmuringo4765 3 роки тому +1

    Great revelation prophet of God,I never understood

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 3 роки тому +2

    Be blessed. A man of Jesus christ .

  • @winfridahmkoba-rs4rm
    @winfridahmkoba-rs4rm Рік тому

    Mm nilikuw naota sana na ninakumbuka lakin hivi karibun imekuwa tofauti ninaota lakin nikiamka ckumbuki,najitaidi kukumbuk lakin haziji

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 3 роки тому +1

    Amen

  • @Dolvinah254
    @Dolvinah254 3 роки тому +1

    🙏🙏🙏

  • @IrakozeChemsadorcas
    @IrakozeChemsadorcas Рік тому

    Ndiyo baba

  • @jaqueeen1
    @jaqueeen1 3 роки тому +1

    Be blessed man of God

  • @farajamkuchu8458
    @farajamkuchu8458 3 роки тому +1

    Nikwer pastor hatamimi mdahuo hua naota na hua zinatokea kwer

  • @ernestijalis04
    @ernestijalis04 3 роки тому +2

    Nitumie watsap mtumishi

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 3 роки тому +1

    Bishop,,,kuna dugu yangu alikufa na kabla hajafa nilikuwa naletewa doto nikimwekelea mkono lakini nilikuwa bado mdogo miaka na pia kiroho,,,kipindi baada ya kumlaza,,,alikuwa ananijia kwa doto na kunishika mkono kwa umati mkubwa wa injili huku amevaa descent suit) maanake nn

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 3 роки тому +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @maureenauma7397
    @maureenauma7397 3 роки тому +2

    Kila siku nina ndota za pesa,nahesabu pesa,naficha pesa,yakuficha pesa nimeota mara mbili nikificha notes kwa drawers,nikificha coins mingi kwa mifuko na chumbani.

  • @magdalenarusimbi1438
    @magdalenarusimbi1438 3 роки тому +1

    Ahsante mtumishi, umenibariki sana. Mimi huwa naota niko na watu wengi kisha kuna minyama mingi ninakula. Ndoto hii inakuja mara nyingi, baada ya siku nasikia msiba mahali. Nifanyeje?

  • @lacandylove
    @lacandylove 3 роки тому +1

    Je nikawaida kuota mchana zaidi ya ndoto moja?

  • @joharijohn7005
    @joharijohn7005 3 роки тому +1

    Mtumishi nimebarikiwa sana yani mimi kila siku naonyeswa matukio tofauti tofauti kunamda hadi nakuwa sijui niombee lipi niache lipi Natamani kupata namba yako ya WhatsApp tafadhari nahitaji unipongeze japo kidogo tu nitaelewa

  • @ruthie8466
    @ruthie8466 3 роки тому +2

    Dream manipulation ✅

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 3 роки тому +1

    Nasahau karibu kila ndoto ninayoota au nakumbuka vipande vipande vidogo sana.
    Na kuna ndoto naiota mara nyingi sana, nifanyeje?

  • @hildanekesasichangi2563
    @hildanekesasichangi2563 3 роки тому +2

    Bwana asifiwe mtumwishi wamungu
    Mm niliota kuwa Niko kwenye stage yamagari bt kila gari lilikuwa linakuja limejaa baadaye Kuna gari lapik up LA yellow likaja na ndereva alikuwa mwanamke wang'ambo yaani muzungu na mume wake na watoto wawili vijana Sasa huyu kijana mmoja alisema tuingie kwa gari lao baadae tulipo ingia harufu ya pombe na sigara ilianza kunukia bt ule kijana mmoja alisema tunyamase kimya tuSiongee Kitu
    Then tukaanza safari bt gafla gari likakosa control then likamake accident bt huyu mtu atoki damu mahali namtu mwenyewe ni kiwete

    • @magrethsimtenda926
      @magrethsimtenda926 3 роки тому +1

      Hilda nekesa sichangi hapo MUNGU anazungumza nawewe huenda wapo watu wanaokuzunguka hawamjui MUNGU ndomaake kiwete mlemavu n.k.nakusubiri gar pengne una huduma ya MUNGU unapaswa ufahamu usipitwe nasauti ya MUNGU maana ndoto namaono ishara utabir nisaut ya MUNGU asemapo nawatu wake sasa muombe MUNGU akupe kujua

    • @goodluckwayesu2190
      @goodluckwayesu2190 3 роки тому

      Iko vzuriiii

  • @constancesidi3386
    @constancesidi3386 3 роки тому +1

    Thanks for this lessons.
    Am born again and I mostly dream of bad things and if I don't pray they will happen.
    Is it alright to have bad dreams?
    I would wish to wake up smiling after sweet dreams but it's never so.

    • @mwanrique
      @mwanrique 2 роки тому

      Shalom🙏🏿 it is the holy spirit telling you of future things, so that you pray and stop them. God bless you Sister in Christ!😃

  • @pstbahavusylvain689
    @pstbahavusylvain689 2 роки тому +1

    Sasa inakua aje wakati Mutu anatolewa unabii wake in public ijapokua ni mambo ya Siri ? Je ! Kama hapo kuna mutu mubaya hapo, hawezi iharibu ?

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 3 роки тому +1

    Samahani mbona namba tatu sijaona naona namba nne

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 роки тому +2

      Sehemu ya tatu ipo, imeandikwa MALANGO YA NDOTO YANAVYOTUMIKA NA ADUI (MAOMBEZI).
      Katika sehemu ya tatu tulikuwa na maombezi.

    • @geendaki7678
      @geendaki7678 3 роки тому

      Ahsante Mtumishi

    • @jacklineerenest3211
      @jacklineerenest3211 3 роки тому

      @@realityofchristchurch mtumishi naomba namba yako mimi nnahitaji maombezi yangu na familia yetu mimi nipo Masasi mtwara na Familia yetu ipo bukoba mtumishi Nina shida sana

    • @margaretogega8836
      @margaretogega8836 3 роки тому

      @@realityofchristchurch Mchungaji ninayo shida ya kumwona mime wangu kwa ndoto na sa zingine analala namimi za zingine anatabazamu.
      Kwa mwil uhisiano wetu ni mbaya sana
      2. Kuna kipindi fulani nasikia ni kama kitu kinanitembea kwa mwili kama nyoka na za zingine nikifunga macho naona mapicha za manyoka,
      Niko mbali nifanyeje, nisaidie, hela sioni nikiona ni kwa ugumu,.

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 роки тому +1

    Mm kuna ndoto ime nitatizsa sana mpaka sasa yani nime ota na zini na mwanangu fast born hii ina maana gani mtumishi

    • @sheilamaziku5980
      @sheilamaziku5980 3 роки тому

      Na mimi niliota naingiliana na baba angu yanii😭😭😭😭

    • @christianmwasakogo5579
      @christianmwasakogo5579 3 роки тому

      Hapo ujue ni jini mahaba linakuwa limejibadilisha tu umbo au sura ndio linakujia, hivyo hiyo ni ujanja tu wa jini mahaba kujibadilisha kuwa kama mwanao au mzazi wako au laweza likavaa umbo au sura ya chochote!! 2korintho 2:11 ni mbinu tu za jini mahaba,anakuja kukuchochea uzini

    • @christianmwasakogo5579
      @christianmwasakogo5579 3 роки тому

      Unahitaji usaidiwe maombi ya kujitenganisha na hiyo roho

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki3953 2 роки тому +1

    Anaombeni watsap number ya mtumishi

  • @rebecapandisha
    @rebecapandisha Рік тому

    Umesema vema baba

  • @rosemisiko3725
    @rosemisiko3725 3 роки тому +1

    Amen and amen