Joseph Selasini "Amvaa" Spika wa Bunge, Mpina kupelekwa kamati ya maadili amtaja kupambana na rushwa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 чер 2024
  • #SAUTDIGITAL l #HABARI l #michezo l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 148

  • @pidibegashe768
    @pidibegashe768 10 днів тому +14

    Upo sawa kabisa. Wanataka kuficha ficha ufisadi

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 10 днів тому +11

    Hatuna spika.Hatuna wabunge.Nchi imekwisha.WANANCHI TUAMKE.

  • @deusdeditkullwah5586
    @deusdeditkullwah5586 10 днів тому +16

    Mh Serasini tunakuunga mkono Mpina anaonewa mara nyingi hutoa hoja sahihi lakini zinazimwa. Wamuache atutetee

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 10 днів тому +5

    Asante sana Therasini upo sawa

  • @SophiaTafuna
    @SophiaTafuna 10 днів тому +6

    Speaker bora jiuzulu

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 8 днів тому +2

    Hongera MZEE Joseph

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 8 днів тому +3

    Selasini upo vizuri umetetea ukweli

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 10 днів тому +4

    Hongera sana mheshimiwa Joseph Selasini.Huyu spika badala ya kumlinda mpinga rushwa na ufisadi na mafisadi yeye anawalinda mafisadi.Huyu ni spika wa hovyo sana huyu.

  • @johnboscomasumbuko1073
    @johnboscomasumbuko1073 10 днів тому +7

    Upo sahii mzee

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 10 днів тому +3

    Tupo nyuma ya mpina na tunaona kinacho endelea mpina 💪

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 6 днів тому +2

    Tulia yupo kukandamiza wabunge wanaojitambua

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 днів тому +4

    Ccm ina kazi kweli kweli haitaki ukweli katiba ya ccm inasema kiongozi asiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle 8 днів тому +3

    Ndiyo muelewe kwamba inchi inahitaji katiba mpya sio kushangilia maagizo ya ccm

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 8 днів тому +1

    Selasini hoja zako zinamashiko.

  • @zuberihamisi460
    @zuberihamisi460 4 дні тому +1

    Wabunge wa Tanzania sio wabunge ambao wapo bungeni kwa masilahi ya wananchi ,wapo kwakutetea masilahi yao tu

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 10 днів тому +2

    Point kabisa.. Spike haifai hatumtakiu cc wananchi

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw 3 дні тому

    Ukozr sana spika anamkingia kifuwa waziri bashe

  • @jacobsimion5957
    @jacobsimion5957 11 днів тому +5

    Waache kunadamizaji

  • @user-ub3gy5od1m
    @user-ub3gy5od1m 8 днів тому +2

    Wananchi wa Kenya nimewakubali wanajitambua

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 8 днів тому +1

    Kuna wabunge wanamlinda Bashe.m hii Ni hujuma ya wazi wazi hatukubaliani ..Tulia amekosea sanaaa .Ni dhambi ya waziwazii

  • @user-bs1mw5re8x
    @user-bs1mw5re8x 7 днів тому +1

    Tulia tutawahukumu kwenye masanduku ya kura,bunge lako la kulindana,mnatukela sana wananchi

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 8 днів тому +2

    Wananchi wanahaki Mpina yuko sahihi na tunamwuunga mkono

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 6 днів тому +1

    Wao wazunguke tu, lakini ukweli tunaujua na mpina anapogania Taifa la Tanzania na wananchi wa Tanzania kwani siyo kwa manufaa yake na yeye

  • @drallan6879
    @drallan6879 10 днів тому +4

    speaker hututendei haki;

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 9 днів тому +2

    Spika amejawa kiburi Sana anafikiri bunge Ni Mali yake sivyo bunge ni Mali ya watanzania wote

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 10 днів тому +2

    Uamuzi huu unaweza kumpunguzia SPIKA sifa sana nchini , kaliendea mbio sana , na anaweza akaipunguzia CCM idadi ya kura kadhaa maana uamuzi wa SPIKA haujaridhisha watu wengi sana maana wanaguswa na tatizo la SUKARI na sababu imeanikwa na aliyeadhibiwa .

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 3 дні тому

      Apungukiwe sifa mara ngapi? Vipi suala la kampuni ya kiarabu DPW alivyosimamia upitishwaji wa sheria tata kwa sehemu ya nchi isiyo na mamlaka (part of contry/state) kuingia mkataba na nchi (state)?

  • @davidMwita-oz5gg
    @davidMwita-oz5gg 7 днів тому +1

    Spika ni mlizi wa viongoz wa serikal bungen

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam 11 днів тому +7

    Tanzania ya CCM iyo kubebana na kulindana ndio ngao yao.

  • @AbuubakariKanuti
    @AbuubakariKanuti 9 днів тому +2

    Sipka ajiuzulu

  • @emmanuelmayuma3466
    @emmanuelmayuma3466 5 днів тому

    Hongera selasini.Bunge la hovyo

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 7 днів тому +1

    Hata speaker akizuia lisijadiliwe lakin sis wananchi tumeshaona na MUNGU anaona

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie 7 днів тому +1

    Kuna mawazir ambao hawagusiki katika utawala huu wa mama yetu wanavurunda watakavyo tena kwa ushahidi lakini mama yuko kimya hata wabunge wanawaogopa maana ukiamka kuwasema tu hao kipenzi cha mama utasikia mjinga mmoja anaropoka taarifa taarifa ili kupoteza muda katiba mpya ni mhimu sana watanzania ili kuondoa huu umungu mtu wa rais

  • @thabitimadabali1726
    @thabitimadabali1726 3 дні тому

    Kaka hoja yako iko sahihi kabisa

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 8 днів тому +1

    Hatuna bunge/spika makini wa kutetea masrahi ya watanzania, Wana nchi tuna paswa kupiga kelele Kwa nguvu,

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 11 днів тому +4

    Mzee therathin upo sahihi, na sio maamuzi ya spika,

  • @user-ub3gy5od1m
    @user-ub3gy5od1m 8 днів тому +1

    Kifungu cha 34 nyaraka zilikuwa zimeshawekwa mezani tayari ,tatizo liko wapi ?

  • @user-pg2wk7zi5q
    @user-pg2wk7zi5q 8 днів тому +1

    Salasin kumbe bado uko sawa kisiasa mimi tukopamoja na wewe mpina yuko sawa wizi umezidi mno serikalini.

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u 15 годин тому

    Mpina mnampaisha na wa tz tunaanza kuelewa acheni kupika uovu

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 7 днів тому +1

    Nchi imekuwa ya kulindana haijalishi umekoseya au hujakoseya zaidi wanalindana

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 8 днів тому +1

    Speaker ambaye haijawahi kutoka Tena ni WA mbeya mwenzangu ila Cha moto atakiona mbeya

  • @lucascosmas908
    @lucascosmas908 3 дні тому

    Dah kweri ukweri una ishi ongera mpina sisi tunajuwa kuwa ilo bunge ni bunge la mapambio ivyo kwa sababu iyo usingeweza kutoboa apo sababu umesema ukweri na kutetea wana nchi

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw 3 дні тому

    Jamani watanzani tuchukuwe hatua ya kuhamasisha family zetu tuungane tukachaguwe viongozi watakao jali shida zetu na kutatua

  • @jorammasunu7040
    @jorammasunu7040 9 днів тому +1

    Point

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u 15 годин тому

    Tatizo wamezoea upigaji....

  • @salarose5980
    @salarose5980 9 днів тому +1

    Safi sana mchango wako,raia hawaja hukumu ila wanataka wajue serikali itatoa maamuzi gani?

  • @ufundi_tz
    @ufundi_tz 6 днів тому

    bora enzi za kikwete

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie 7 днів тому

    Spika yoyote anayetokana na ccm siyo spika bora mwisho wa kunukuu

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 8 днів тому

    Mafisadi wengi sana nchiiii hiiii

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 4 дні тому

    Hapo kuna dalili za kuendeleza rushwa kwa kuptia zuio la kumzuia Mpina kusema kweli? Au tusemeje nje ya Bunge? Je, Mpina hajaonewa na Watanzania. Hoja na tuhuma dhidi ya Waziri husika na sukari? Hivi kweli? Taarifa ya Mpina itawekwa wazi? Ufisadi upigwe vita nchini. Mungu ibariki Tanzania.

  • @user-mx3fy8rp2x
    @user-mx3fy8rp2x 8 днів тому

    Uko sahihi

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 10 днів тому +2

    Spika Tulia hana akili hata kidogo
    Ninadhani hata PHD aliyosoma ana GPAless siyo bure siyo kwa ujinga huu

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 4 дні тому

    Nchi hii bado ina Viongozi wabovu sana

  • @chedijohn2270
    @chedijohn2270 7 днів тому +2

    Mbona bunge pamoja na,spika,wamenyamazia ripoti ya cag,mpina hoyee Mungu yupo pamoja nawe kaza buti kwa,mafisadi endelea kuwafichua majizi ndani ya ccm
    .

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b 9 днів тому +1

    Tulia wewe ni mwanamke na mama wa watoto nchi hii ikiingia pabayaMungu atakulipa maana badala ya kutetea wananchi unatetea maovu kumbuka ulivyokuwa unawazodoa Aida Kenani na Halima Mdee kuhudu mikataba ya bsndari je hiyo ndiyo kazi iliyokupeleka bungeni kukandamiza wanachi?

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q 9 днів тому

    Ndugu Selasini umesema vema kabisa.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 8 днів тому

    Watanzania kuweni na kumbukumbu hivi CAG alishaeleza wazi mijizi ya mali za umma walimpuuza,mpaka sasa hakuna aliyechukuliwa hatua.Itakuwa Mpina kasema.

  • @daudsonda9706
    @daudsonda9706 9 днів тому

    Spika aache kupinga mawazo yawabunge atumie nguvu ya Hoja,hiyo ni sauti ya wananchi

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 8 днів тому

    Mhe. Bashe, hebu mjitafakari, hapo kuna mchezo mchafu wakumlinda mhe. Bashe.

  • @amosmwampamba
    @amosmwampamba 6 днів тому

    Tanzania hii spika alikuwa Sitta tu

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 8 днів тому

    Mhe. Rais tunakuomba sana umsaidie Mpina kwani Bashe achunguzwe anatuibia sana.

  • @kayombogregory8241
    @kayombogregory8241 9 днів тому

    Bunge liache ujanjaujanja hapa! la sivyo Rais vunja hili bunge.

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 8 днів тому

    Hiyo inaitwa funga kalomo kwa My Mpina.na hapa wanamlinda Badge..hawajamtendea vyema Mpina

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 9 днів тому

    Kweli kabisa

  • @christiankaguo4311
    @christiankaguo4311 8 днів тому

    Lazima sisi Watanzania turudi kusimamia ukweli .

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 9 днів тому

    Watendaji msaidiyeni Rais kwa yale mazuri anayoyaishi,msimhari biye. Endapo itabainika,basi mh.Bashe awajibishwe na adhabu inayostahili kwake ni kuvuliwa uwaziri kwasababu hastahili kuwa msaidizi wa Rais.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 днів тому

    Hatembelei Mikoani kwa wananchi haya ameamua kumchagua makonda sasa ana washauri wanaompiga Vita Makonda anapochapa kazi anasimama tena mama anamshtumu Makonda hata haeleweki huyo Mama kwa kweli haeleweki tabu tupu

  • @TinaZimba
    @TinaZimba 9 днів тому

    Spika ndo nani Katika nchi hii naye ni mwizi kama bashe a takuja tu mbeya tutamwuliza vizuri

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 8 днів тому

    Hapo sasa nimeanza kukusikiliza angalau

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 днів тому

    Amuache Mpina afanye kazi huyo ni maema ukweli na hakuna siri duniani Mpina ana vithibiti vizuri sanaaaa sasa cha ajabu nini na asiondoke Ccm kamwe apambane nao tu na wakileta mchezo Mama hapati kura kanda ya ziwa wamuache Mpina

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 10 днів тому

    Spika anatishwa na kinyago alichokichonga mwenyewe.

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk День тому

    Sipike hutu ni kimeo kabisa kuanzia sura na roho sinui ni kitu ganiq

  • @user-rh9bo3kh2g
    @user-rh9bo3kh2g 7 днів тому

    Wakimfungia kuendelea na vikawo tunaandamana,

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 6 днів тому

    Hii nchi kufuatilia viongozi lulu kwa wananchi nafaidakwanchi hii huenda ikakigarimu chamahicho munda simrefu maana kwanini Yahovyohovyo yaatamiwe naderikali? Wakati watu inje hukuwanatedeka.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 8 днів тому

    Mbona spika ukitukosea wananchi 3:16 hatusemi n makosa ya nidhamu kwa wananchi!!

  • @user-yk5zm3tx9f
    @user-yk5zm3tx9f 7 днів тому

    Mawaziri wameelekezwa kula lakini wasile mpaka wakavimbirwa.

  • @peterrandego1489
    @peterrandego1489 10 днів тому

    Huyo spika hajui kazi yake bora aondoke kabisa

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 8 днів тому

    Huyu spika ni akina Eva waliouza dunia na Sasa taifa linauzwa na Hawa akina delila

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 8 днів тому

    Bunge nichombo cha ccm kinacho saidia kuiuza Tanzania ,Yani bunge la wabunge watanzania halitakiwi kuwepo bunge hili ndolinalo mpa laisi nguvu ya kuiuza bandari ,wamasai hawanakwao misitu kuuzwa gesikupandishwabei,nk ,BURKINAFASO NAWAUNGA MKONO KWA ALILOFANYA TAOLE

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 8 днів тому

    Tatizo ni pale wasiokuwa raia halisi wa Tanzania wanapopigania kupata madaraka makubwa matokeo yake ndiyo. haya na tulishaonywa kuhusu hawa watu Wana mambo Yao nyuma ya pazia tutakuja juta

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 9 днів тому

    spika kwenye hilo dili na yeye kapewa mgao wake ndiyo sababu anamkingia kifua huyo msomali

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 7 днів тому

    Mpina anaonewa kabisa

  • @ErastoMaridadi
    @ErastoMaridadi 9 днів тому

    Wananchi ccm kimekuwa kikundi cha wachache wapigaji kinacholindana kwa nguvu kubwa

  • @albinombungu4294
    @albinombungu4294 6 днів тому

    RAIS AVUNJE BUNGE LA TANZANIA

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 8 днів тому

    Wananchi tupewe nafasi ya kutoa maoni

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 8 днів тому

    Kuleni kulingana na urefu wa kamba yenu.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 9 днів тому

    Hivi Mheshimiwa Spika anaongoza Bunge kwa maslahi ya nani? Je, ni kwa maslahi ya wananchi waliowatuma Wabunge Bungeni au kwa maslahi ya mafisadi mabwenyenye serikalini? Je, wananchi hatuna nafasi ya kumkataa spika maana hatuwakilishi wala hatujampigia kura awe spika wetu?

  • @johnfani9380
    @johnfani9380 9 днів тому

    Heko uko sahîhi

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 6 днів тому

    Kwanini wasiruhusu hoja ya Mpina ijadiliwe?! Viongoz wetu wanatupatia mashaka,na hilo ni miongon mwa madoa ktk chaguzi tunazoziendea!

  • @matiredms917
    @matiredms917 8 днів тому

    Bwana Selasini usidanganyike kuwa Rais hahusiki katika suala sukari. Samia anahusika moja kwa moja vinginevyo angalikwishatoa kauli yake. Usimtetee Spika hapa.

    • @hamudshabani7801
      @hamudshabani7801 8 днів тому

      Hapa nakuunga kama raisi anakataa rushwa wakati hakemei wala shughuliki

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 7 днів тому

    Speaker atoe maamuz sahihi juu ya huo ushahid na kama mpina amekosea kwenda kwenye vyombo vya habar na penyewe kuna sehem yake!

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 6 днів тому

      Kiuhalisia mpina hajakosea na ndo sababu wanamsakama kosa lake ni kuonesha uovu na ubadhirifu wa viongoz?!

  • @erastomosha8219
    @erastomosha8219 7 днів тому

    Mupina ameonewa

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 6 днів тому

    Spika NI mteyezi wa wala rushwa, wenye viwanda na matajiro wabiaashara ya sukari wamemuweka mfukoni kwa kuwa ameishapokea rushwa.o
    Tulia, Mwigulu na Bashe NI MAJIZI washitakiwe na waondolewe madaraka Yao.

  • @kaburi920
    @kaburi920 10 днів тому +1

    Hivi ni kweli hataki rushwa na ufisadi je aliposema kuleni kwa urefu wa kamba zenu alimaanisha nini hasa naomba kueleweshwa kama siyo kutumia nguvu ya madaraka katika kulihujumu taifa.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 10 днів тому

      Kaburi mama yuko kimaslahi zaidi hii ni chukua chako mapema siyo mfuatiliaji anarimotiwa soma vitabu vya dini vinasema toka lini mwanamke akawa nabii shekhe au Rais kwa Tanzania bado sanaaaa huyo Mama pia hajitambui Uongozi wake siyo wa kura ni wa katiba humo ndani kuna baadhi hawamtaki kabisq tena ni watu wa karibu nae

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 10 днів тому

      Mama hatakiwi na wanataka watoto wao wawe Marais ungesikiliza vizuri Crip ya Mkuu wa Majeshi kipindi cha kufa Rais Magufuli hapo ungejua jiulize kwanini kila aafari anakwenda na Kikwete kuna siri sirini

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 10 днів тому

      Sisi Wanawake tumetoka kwenye ubavu wa mwanamme hata tufanye nini tutabaki hivyo tuna sehemu wa mama na Wababa wana sehemu yao tukubali tusikubali pia ana washauri wakumuangamiza siyo mfuatiliaji

  • @salamasefu5494
    @salamasefu5494 10 днів тому

    Atowe ushahidi

  • @oam14l
    @oam14l 10 днів тому

    Speaker aelewe kwamba anatumia madaraka yake vibaya.

  • @user-yk5zm3tx9f
    @user-yk5zm3tx9f 7 днів тому

    Je! Kuna mtu anaeweza kuwawajibisha mafisadi wa sukari.Mawaziri waliokuwepo madarakani?

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 8 днів тому

    CCM majizi tu hadi kichefuchefu yanalindana hivi nyie viongozi munatuona wantanzania kama matahila,Mungu anawaona mtang'oka tu hamtatawala milele munazidi kuifilisi nchi

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 8 днів тому

    Hivi kiwanda cha mkulazi kimeishia wapi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 10 днів тому +1

    Uko sahihi mh.Selasini... kwamba sasa tunataka kusikia tamko la Rais kama kweli hapendi rushwa kutoka rohoni mwake kwasababu wananchi hatutegemei kuja kusikia tofauti na hatua kali kwa Waziri Bashe na wenzake kutoka kwa kamati ya maadili na spika mwenyewe vinginevyo tutaelewa kuwa pana biashara haramu serikalini... hoja ya Mpina ikomeshe mchezo huu!

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 6 днів тому

    Spika ni mbovu