Hongera sana mheshimiwa Joseph Selasini.Huyu spika badala ya kumlinda mpinga rushwa na ufisadi na mafisadi yeye anawalinda mafisadi.Huyu ni spika wa hovyo sana huyu.
Uamuzi huu unaweza kumpunguzia SPIKA sifa sana nchini , kaliendea mbio sana , na anaweza akaipunguzia CCM idadi ya kura kadhaa maana uamuzi wa SPIKA haujaridhisha watu wengi sana maana wanaguswa na tatizo la SUKARI na sababu imeanikwa na aliyeadhibiwa .
Apungukiwe sifa mara ngapi? Vipi suala la kampuni ya kiarabu DPW alivyosimamia upitishwaji wa sheria tata kwa sehemu ya nchi isiyo na mamlaka (part of contry/state) kuingia mkataba na nchi (state)?
Kuna mawazir ambao hawagusiki katika utawala huu wa mama yetu wanavurunda watakavyo tena kwa ushahidi lakini mama yuko kimya hata wabunge wanawaogopa maana ukiamka kuwasema tu hao kipenzi cha mama utasikia mjinga mmoja anaropoka taarifa taarifa ili kupoteza muda katiba mpya ni mhimu sana watanzania ili kuondoa huu umungu mtu wa rais
Dah kweri ukweri una ishi ongera mpina sisi tunajuwa kuwa ilo bunge ni bunge la mapambio ivyo kwa sababu iyo usingeweza kutoboa apo sababu umesema ukweri na kutetea wana nchi
Hapo kuna dalili za kuendeleza rushwa kwa kuptia zuio la kumzuia Mpina kusema kweli? Au tusemeje nje ya Bunge? Je, Mpina hajaonewa na Watanzania. Hoja na tuhuma dhidi ya Waziri husika na sukari? Hivi kweli? Taarifa ya Mpina itawekwa wazi? Ufisadi upigwe vita nchini. Mungu ibariki Tanzania.
Mbona bunge pamoja na,spika,wamenyamazia ripoti ya cag,mpina hoyee Mungu yupo pamoja nawe kaza buti kwa,mafisadi endelea kuwafichua majizi ndani ya ccm .
Tulia wewe ni mwanamke na mama wa watoto nchi hii ikiingia pabayaMungu atakulipa maana badala ya kutetea wananchi unatetea maovu kumbuka ulivyokuwa unawazodoa Aida Kenani na Halima Mdee kuhudu mikataba ya bsndari je hiyo ndiyo kazi iliyokupeleka bungeni kukandamiza wanachi?
Watanzania kuweni na kumbukumbu hivi CAG alishaeleza wazi mijizi ya mali za umma walimpuuza,mpaka sasa hakuna aliyechukuliwa hatua.Itakuwa Mpina kasema.
Watendaji msaidiyeni Rais kwa yale mazuri anayoyaishi,msimhari biye. Endapo itabainika,basi mh.Bashe awajibishwe na adhabu inayostahili kwake ni kuvuliwa uwaziri kwasababu hastahili kuwa msaidizi wa Rais.
Hatembelei Mikoani kwa wananchi haya ameamua kumchagua makonda sasa ana washauri wanaompiga Vita Makonda anapochapa kazi anasimama tena mama anamshtumu Makonda hata haeleweki huyo Mama kwa kweli haeleweki tabu tupu
Amuache Mpina afanye kazi huyo ni maema ukweli na hakuna siri duniani Mpina ana vithibiti vizuri sanaaaa sasa cha ajabu nini na asiondoke Ccm kamwe apambane nao tu na wakileta mchezo Mama hapati kura kanda ya ziwa wamuache Mpina
Hii nchi kufuatilia viongozi lulu kwa wananchi nafaidakwanchi hii huenda ikakigarimu chamahicho munda simrefu maana kwanini Yahovyohovyo yaatamiwe naderikali? Wakati watu inje hukuwanatedeka.
Bunge nichombo cha ccm kinacho saidia kuiuza Tanzania ,Yani bunge la wabunge watanzania halitakiwi kuwepo bunge hili ndolinalo mpa laisi nguvu ya kuiuza bandari ,wamasai hawanakwao misitu kuuzwa gesikupandishwabei,nk ,BURKINAFASO NAWAUNGA MKONO KWA ALILOFANYA TAOLE
Tatizo ni pale wasiokuwa raia halisi wa Tanzania wanapopigania kupata madaraka makubwa matokeo yake ndiyo. haya na tulishaonywa kuhusu hawa watu Wana mambo Yao nyuma ya pazia tutakuja juta
Hivi Mheshimiwa Spika anaongoza Bunge kwa maslahi ya nani? Je, ni kwa maslahi ya wananchi waliowatuma Wabunge Bungeni au kwa maslahi ya mafisadi mabwenyenye serikalini? Je, wananchi hatuna nafasi ya kumkataa spika maana hatuwakilishi wala hatujampigia kura awe spika wetu?
Bwana Selasini usidanganyike kuwa Rais hahusiki katika suala sukari. Samia anahusika moja kwa moja vinginevyo angalikwishatoa kauli yake. Usimtetee Spika hapa.
Spika NI mteyezi wa wala rushwa, wenye viwanda na matajiro wabiaashara ya sukari wamemuweka mfukoni kwa kuwa ameishapokea rushwa.o Tulia, Mwigulu na Bashe NI MAJIZI washitakiwe na waondolewe madaraka Yao.
Hivi ni kweli hataki rushwa na ufisadi je aliposema kuleni kwa urefu wa kamba zenu alimaanisha nini hasa naomba kueleweshwa kama siyo kutumia nguvu ya madaraka katika kulihujumu taifa.
Kaburi mama yuko kimaslahi zaidi hii ni chukua chako mapema siyo mfuatiliaji anarimotiwa soma vitabu vya dini vinasema toka lini mwanamke akawa nabii shekhe au Rais kwa Tanzania bado sanaaaa huyo Mama pia hajitambui Uongozi wake siyo wa kura ni wa katiba humo ndani kuna baadhi hawamtaki kabisq tena ni watu wa karibu nae
Mama hatakiwi na wanataka watoto wao wawe Marais ungesikiliza vizuri Crip ya Mkuu wa Majeshi kipindi cha kufa Rais Magufuli hapo ungejua jiulize kwanini kila aafari anakwenda na Kikwete kuna siri sirini
Sisi Wanawake tumetoka kwenye ubavu wa mwanamme hata tufanye nini tutabaki hivyo tuna sehemu wa mama na Wababa wana sehemu yao tukubali tusikubali pia ana washauri wakumuangamiza siyo mfuatiliaji
CCM majizi tu hadi kichefuchefu yanalindana hivi nyie viongozi munatuona wantanzania kama matahila,Mungu anawaona mtang'oka tu hamtatawala milele munazidi kuifilisi nchi
Uko sahihi mh.Selasini... kwamba sasa tunataka kusikia tamko la Rais kama kweli hapendi rushwa kutoka rohoni mwake kwasababu wananchi hatutegemei kuja kusikia tofauti na hatua kali kwa Waziri Bashe na wenzake kutoka kwa kamati ya maadili na spika mwenyewe vinginevyo tutaelewa kuwa pana biashara haramu serikalini... hoja ya Mpina ikomeshe mchezo huu!
Upo sawa kabisa. Wanataka kuficha ficha ufisadi
Hatuna spika.Hatuna wabunge.Nchi imekwisha.WANANCHI TUAMKE.
Mh Serasini tunakuunga mkono Mpina anaonewa mara nyingi hutoa hoja sahihi lakini zinazimwa. Wamuache atutetee
Asante sana Therasini upo sawa
Speaker bora jiuzulu
Hongera MZEE Joseph
Selasini upo vizuri umetetea ukweli
Hongera sana mheshimiwa Joseph Selasini.Huyu spika badala ya kumlinda mpinga rushwa na ufisadi na mafisadi yeye anawalinda mafisadi.Huyu ni spika wa hovyo sana huyu.
Upo sahii mzee
Tupo nyuma ya mpina na tunaona kinacho endelea mpina 💪
Tulia yupo kukandamiza wabunge wanaojitambua
Ccm ina kazi kweli kweli haitaki ukweli katiba ya ccm inasema kiongozi asiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi
Ndiyo muelewe kwamba inchi inahitaji katiba mpya sio kushangilia maagizo ya ccm
Selasini hoja zako zinamashiko.
Wabunge wa Tanzania sio wabunge ambao wapo bungeni kwa masilahi ya wananchi ,wapo kwakutetea masilahi yao tu
Point kabisa.. Spike haifai hatumtakiu cc wananchi
Ukozr sana spika anamkingia kifuwa waziri bashe
Waache kunadamizaji
Wananchi wa Kenya nimewakubali wanajitambua
Kuna wabunge wanamlinda Bashe.m hii Ni hujuma ya wazi wazi hatukubaliani ..Tulia amekosea sanaaa .Ni dhambi ya waziwazii
Tulia tutawahukumu kwenye masanduku ya kura,bunge lako la kulindana,mnatukela sana wananchi
Wananchi wanahaki Mpina yuko sahihi na tunamwuunga mkono
Wao wazunguke tu, lakini ukweli tunaujua na mpina anapogania Taifa la Tanzania na wananchi wa Tanzania kwani siyo kwa manufaa yake na yeye
speaker hututendei haki;
Spika amejawa kiburi Sana anafikiri bunge Ni Mali yake sivyo bunge ni Mali ya watanzania wote
Uamuzi huu unaweza kumpunguzia SPIKA sifa sana nchini , kaliendea mbio sana , na anaweza akaipunguzia CCM idadi ya kura kadhaa maana uamuzi wa SPIKA haujaridhisha watu wengi sana maana wanaguswa na tatizo la SUKARI na sababu imeanikwa na aliyeadhibiwa .
Apungukiwe sifa mara ngapi? Vipi suala la kampuni ya kiarabu DPW alivyosimamia upitishwaji wa sheria tata kwa sehemu ya nchi isiyo na mamlaka (part of contry/state) kuingia mkataba na nchi (state)?
Spika ni mlizi wa viongoz wa serikal bungen
Tanzania ya CCM iyo kubebana na kulindana ndio ngao yao.
Sipka ajiuzulu
Hongera selasini.Bunge la hovyo
Hata speaker akizuia lisijadiliwe lakin sis wananchi tumeshaona na MUNGU anaona
Kuna mawazir ambao hawagusiki katika utawala huu wa mama yetu wanavurunda watakavyo tena kwa ushahidi lakini mama yuko kimya hata wabunge wanawaogopa maana ukiamka kuwasema tu hao kipenzi cha mama utasikia mjinga mmoja anaropoka taarifa taarifa ili kupoteza muda katiba mpya ni mhimu sana watanzania ili kuondoa huu umungu mtu wa rais
Kaka hoja yako iko sahihi kabisa
Hatuna bunge/spika makini wa kutetea masrahi ya watanzania, Wana nchi tuna paswa kupiga kelele Kwa nguvu,
Mzee therathin upo sahihi, na sio maamuzi ya spika,
Kifungu cha 34 nyaraka zilikuwa zimeshawekwa mezani tayari ,tatizo liko wapi ?
Salasin kumbe bado uko sawa kisiasa mimi tukopamoja na wewe mpina yuko sawa wizi umezidi mno serikalini.
Mpina mnampaisha na wa tz tunaanza kuelewa acheni kupika uovu
Nchi imekuwa ya kulindana haijalishi umekoseya au hujakoseya zaidi wanalindana
Speaker ambaye haijawahi kutoka Tena ni WA mbeya mwenzangu ila Cha moto atakiona mbeya
Dah kweri ukweri una ishi ongera mpina sisi tunajuwa kuwa ilo bunge ni bunge la mapambio ivyo kwa sababu iyo usingeweza kutoboa apo sababu umesema ukweri na kutetea wana nchi
Jamani watanzani tuchukuwe hatua ya kuhamasisha family zetu tuungane tukachaguwe viongozi watakao jali shida zetu na kutatua
Point
Tatizo wamezoea upigaji....
Safi sana mchango wako,raia hawaja hukumu ila wanataka wajue serikali itatoa maamuzi gani?
bora enzi za kikwete
Spika yoyote anayetokana na ccm siyo spika bora mwisho wa kunukuu
Mafisadi wengi sana nchiiii hiiii
Hapo kuna dalili za kuendeleza rushwa kwa kuptia zuio la kumzuia Mpina kusema kweli? Au tusemeje nje ya Bunge? Je, Mpina hajaonewa na Watanzania. Hoja na tuhuma dhidi ya Waziri husika na sukari? Hivi kweli? Taarifa ya Mpina itawekwa wazi? Ufisadi upigwe vita nchini. Mungu ibariki Tanzania.
Uko sahihi
Spika Tulia hana akili hata kidogo
Ninadhani hata PHD aliyosoma ana GPAless siyo bure siyo kwa ujinga huu
Duu, sijui anasoma hizi comments
Nchi hii bado ina Viongozi wabovu sana
Mbona bunge pamoja na,spika,wamenyamazia ripoti ya cag,mpina hoyee Mungu yupo pamoja nawe kaza buti kwa,mafisadi endelea kuwafichua majizi ndani ya ccm
.
Tulia wewe ni mwanamke na mama wa watoto nchi hii ikiingia pabayaMungu atakulipa maana badala ya kutetea wananchi unatetea maovu kumbuka ulivyokuwa unawazodoa Aida Kenani na Halima Mdee kuhudu mikataba ya bsndari je hiyo ndiyo kazi iliyokupeleka bungeni kukandamiza wanachi?
Ndugu Selasini umesema vema kabisa.
Watanzania kuweni na kumbukumbu hivi CAG alishaeleza wazi mijizi ya mali za umma walimpuuza,mpaka sasa hakuna aliyechukuliwa hatua.Itakuwa Mpina kasema.
Spika aache kupinga mawazo yawabunge atumie nguvu ya Hoja,hiyo ni sauti ya wananchi
Mhe. Bashe, hebu mjitafakari, hapo kuna mchezo mchafu wakumlinda mhe. Bashe.
Tanzania hii spika alikuwa Sitta tu
Mhe. Rais tunakuomba sana umsaidie Mpina kwani Bashe achunguzwe anatuibia sana.
Bunge liache ujanjaujanja hapa! la sivyo Rais vunja hili bunge.
Hiyo inaitwa funga kalomo kwa My Mpina.na hapa wanamlinda Badge..hawajamtendea vyema Mpina
Kweli kabisa
Lazima sisi Watanzania turudi kusimamia ukweli .
Watendaji msaidiyeni Rais kwa yale mazuri anayoyaishi,msimhari biye. Endapo itabainika,basi mh.Bashe awajibishwe na adhabu inayostahili kwake ni kuvuliwa uwaziri kwasababu hastahili kuwa msaidizi wa Rais.
Hatembelei Mikoani kwa wananchi haya ameamua kumchagua makonda sasa ana washauri wanaompiga Vita Makonda anapochapa kazi anasimama tena mama anamshtumu Makonda hata haeleweki huyo Mama kwa kweli haeleweki tabu tupu
Spika ndo nani Katika nchi hii naye ni mwizi kama bashe a takuja tu mbeya tutamwuliza vizuri
Hapo sasa nimeanza kukusikiliza angalau
Amuache Mpina afanye kazi huyo ni maema ukweli na hakuna siri duniani Mpina ana vithibiti vizuri sanaaaa sasa cha ajabu nini na asiondoke Ccm kamwe apambane nao tu na wakileta mchezo Mama hapati kura kanda ya ziwa wamuache Mpina
Spika anatishwa na kinyago alichokichonga mwenyewe.
Sipike hutu ni kimeo kabisa kuanzia sura na roho sinui ni kitu ganiq
Wakimfungia kuendelea na vikawo tunaandamana,
Hii nchi kufuatilia viongozi lulu kwa wananchi nafaidakwanchi hii huenda ikakigarimu chamahicho munda simrefu maana kwanini Yahovyohovyo yaatamiwe naderikali? Wakati watu inje hukuwanatedeka.
Mbona spika ukitukosea wananchi 3:16 hatusemi n makosa ya nidhamu kwa wananchi!!
Mawaziri wameelekezwa kula lakini wasile mpaka wakavimbirwa.
Huyo spika hajui kazi yake bora aondoke kabisa
Huyu spika ni akina Eva waliouza dunia na Sasa taifa linauzwa na Hawa akina delila
Bunge nichombo cha ccm kinacho saidia kuiuza Tanzania ,Yani bunge la wabunge watanzania halitakiwi kuwepo bunge hili ndolinalo mpa laisi nguvu ya kuiuza bandari ,wamasai hawanakwao misitu kuuzwa gesikupandishwabei,nk ,BURKINAFASO NAWAUNGA MKONO KWA ALILOFANYA TAOLE
Tatizo ni pale wasiokuwa raia halisi wa Tanzania wanapopigania kupata madaraka makubwa matokeo yake ndiyo. haya na tulishaonywa kuhusu hawa watu Wana mambo Yao nyuma ya pazia tutakuja juta
spika kwenye hilo dili na yeye kapewa mgao wake ndiyo sababu anamkingia kifua huyo msomali
Mpina anaonewa kabisa
Wananchi ccm kimekuwa kikundi cha wachache wapigaji kinacholindana kwa nguvu kubwa
RAIS AVUNJE BUNGE LA TANZANIA
Wananchi tupewe nafasi ya kutoa maoni
Kuleni kulingana na urefu wa kamba yenu.
Hivi Mheshimiwa Spika anaongoza Bunge kwa maslahi ya nani? Je, ni kwa maslahi ya wananchi waliowatuma Wabunge Bungeni au kwa maslahi ya mafisadi mabwenyenye serikalini? Je, wananchi hatuna nafasi ya kumkataa spika maana hatuwakilishi wala hatujampigia kura awe spika wetu?
Heko uko sahîhi
Kwanini wasiruhusu hoja ya Mpina ijadiliwe?! Viongoz wetu wanatupatia mashaka,na hilo ni miongon mwa madoa ktk chaguzi tunazoziendea!
Bwana Selasini usidanganyike kuwa Rais hahusiki katika suala sukari. Samia anahusika moja kwa moja vinginevyo angalikwishatoa kauli yake. Usimtetee Spika hapa.
Hapa nakuunga kama raisi anakataa rushwa wakati hakemei wala shughuliki
Speaker atoe maamuz sahihi juu ya huo ushahid na kama mpina amekosea kwenda kwenye vyombo vya habar na penyewe kuna sehem yake!
Kiuhalisia mpina hajakosea na ndo sababu wanamsakama kosa lake ni kuonesha uovu na ubadhirifu wa viongoz?!
Mupina ameonewa
Spika NI mteyezi wa wala rushwa, wenye viwanda na matajiro wabiaashara ya sukari wamemuweka mfukoni kwa kuwa ameishapokea rushwa.o
Tulia, Mwigulu na Bashe NI MAJIZI washitakiwe na waondolewe madaraka Yao.
Hivi ni kweli hataki rushwa na ufisadi je aliposema kuleni kwa urefu wa kamba zenu alimaanisha nini hasa naomba kueleweshwa kama siyo kutumia nguvu ya madaraka katika kulihujumu taifa.
Kaburi mama yuko kimaslahi zaidi hii ni chukua chako mapema siyo mfuatiliaji anarimotiwa soma vitabu vya dini vinasema toka lini mwanamke akawa nabii shekhe au Rais kwa Tanzania bado sanaaaa huyo Mama pia hajitambui Uongozi wake siyo wa kura ni wa katiba humo ndani kuna baadhi hawamtaki kabisq tena ni watu wa karibu nae
Mama hatakiwi na wanataka watoto wao wawe Marais ungesikiliza vizuri Crip ya Mkuu wa Majeshi kipindi cha kufa Rais Magufuli hapo ungejua jiulize kwanini kila aafari anakwenda na Kikwete kuna siri sirini
Sisi Wanawake tumetoka kwenye ubavu wa mwanamme hata tufanye nini tutabaki hivyo tuna sehemu wa mama na Wababa wana sehemu yao tukubali tusikubali pia ana washauri wakumuangamiza siyo mfuatiliaji
Atowe ushahidi
Speaker aelewe kwamba anatumia madaraka yake vibaya.
Je! Kuna mtu anaeweza kuwawajibisha mafisadi wa sukari.Mawaziri waliokuwepo madarakani?
CCM majizi tu hadi kichefuchefu yanalindana hivi nyie viongozi munatuona wantanzania kama matahila,Mungu anawaona mtang'oka tu hamtatawala milele munazidi kuifilisi nchi
Hivi kiwanda cha mkulazi kimeishia wapi
Uko sahihi mh.Selasini... kwamba sasa tunataka kusikia tamko la Rais kama kweli hapendi rushwa kutoka rohoni mwake kwasababu wananchi hatutegemei kuja kusikia tofauti na hatua kali kwa Waziri Bashe na wenzake kutoka kwa kamati ya maadili na spika mwenyewe vinginevyo tutaelewa kuwa pana biashara haramu serikalini... hoja ya Mpina ikomeshe mchezo huu!
Spika ni mbovu