KIFO HIKI CHA HAJJAT AKIBA RAMADHAN KINAMAZINGATIO KWA WAISLAMU DUNIANI
Вставка
- Опубліковано 30 лип 2022
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Editors:
Ali Hassira
Ramla Haji
Abdillahi Said
Dereva
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
ALLAH amjaalie pepo ya firdaws nasi atujaalie maisha ya uchamungu,aturidhie na atupe mwisho mwema.
Yaa Alllah nisamehe nauniongoze njia sirraat mustakiim na Mareham mollla ablaze mahala pema peponi Ameen
Allah swt amrahamu ndugu yetu hajjat akiba binti ramadhan amsamehe kila alipokosea wakati wa uhai wake ,nasi Allah swt atujaalie mwisho uliomwema insha allah
Innalillahi Wainnailayhi Rajiuuna. Mwenyezi Mungu amsamehe makosa yake Bi Akiba na atie nuru kaburi lake InshaAllah. Akupeni subira nyinyi wafiwa InshaAllah. Poleni sana kwa kuondokewa na mzee wenu.
Mm naona kuwa Dua ya marehemu mama yenu imethibiti. Kitendo cha mama yenu kufia huko na kuzikwa Madina, ni ISHARA ya nyinyi nyote INSHAALLAH kufanikiwa kwenda HIJJA kama alivyoomba kwa ALLAH, kufungua mlango wa Familia yake ili nyote mpite njia hiyo ya DARJA.
MWENYEZI MUNGU INSHAALLAH AITHIBITISHE DUA YAKE HIYO KWA VITENDO. AMMIN.
Nakuombeni msimlilie mama yenu kila mkimkumbuka, bali kila mkimkumbuka mtakieni Dua tu, tena mkiwa na furaha. Na msisahau kupendana baina yenu.
Mm ni ndugu yenu katika UISLAMU.
Shukraan kipenz, ahsante kwa nasaha ndugu yetu katika UISLAM. Kwa hakika neno moja tu lenye faraja linatupa nguvu kubwa na faraja. Allah mtukufu akulipe kwa kila neno moja jazaa njema. Tunakupenda
May Allah grant her Jannat Firdous Ya Rabbi - Ameen🕋🙏
Mungu iyongoe familia yang katika njia ilionyooka muongoe mama ang awe kama uyu mama mpaka mwisho wake😪🙏
ALLAHU AKBAR.ALLAH atujaalie nac tuwe wazazi wema,kwan n dhahir maremu alikua mzazi mzur kwa wanawe ALLAH amraham🤲.Husnul khatimah yaa Rabby 🤲
Amina 🤲thumma amina 🤲
Sana kwa mtazamo inaonesha maashàallah Allah ajaalie kher kwake na kwetu inshaallah aamiin
@@hassanbakary221 Allahumah Amiin 🤲
Amiin
Mashaallah tabaraka Allah yake ni mema mashaallah na sisi Allah atujaalie mwisho mwema 🤲
Allah amjalie kauli thabit mjawake ampe kitabu chake mkono wa kulia Allah awaswamehe maiti wetu wote Allah atujalie mwisho mwema na ss tulio hai
Amiin
Amiin
@@husna34562 Allahumma amin
@@fatumamuya7296 Allahumma amin
Amiina
Kifo ni kifo kweli lkn chakuzingatia kitakufika ukiwa na hali ipi. Tunamuomba Allah amsameh makosa yake atujaalie nasi khusnul khaatimah
Assalamu alaykum. UONGOZI WA NOOR BAZAAR ENTERPRISES UNAIPONGEZA ZINJIBAR TV KWA MUENDELEZO WA KISA HIKI CHENYE MAZINGATIO NA FARAJA KWA WAUMINI WA LEO. AIDHA, TUNAOMBA PIA YAFANYIKE MAHOJIANO NA WANACHUONI KUZUNGUMZIA KISA HIKI ILI KUENEZA MAZINGATIO YA KHERI. Ahsante!
Mashaallah! Natamani namimi nipate mwanamke mzuri na wenyeimani kama hawa
poleni sana famillia kwa jumla,,zetu zaidi ni Dua👏☝️kumuombea cc tulioko Madina
Maa shaa Allah 💖🌿💖🥀🥀💖.
Wallah Hiii ni familia ya watu wema
MaashaAllah nakwambia
pumzika kwa amani.mungu wangu amsaidie kusafisha sehemu aliyotaka
Allah awalipe ddunia Wal aakhera inshaallah nmewapenda Sana kwa ajili ya Allah wanafamilia
SubhanaAllah Allah amempenda marhem kwa hakika...Nanyi family MashaAllah mmekua kiislam vzri kwa hakika. MashaAllah marhem ameacha dunya akitajwa kwa mema sana na mate do yake esp ya kuipenda Quran na kuihitimu sku3..na kumtii mume.MashaAllah Allah atuwezeshe nasi kumfikia na zaidi In sha Allah.
Allah amweke pema na awape subra.
Wallah maashaallah allah atupe nasie imaan thabit km almarhoum hajat akiba
Mashaallah Familia imejaa dini Mashaallah Mashaallah Mungu atufanyie wepes waja wake.
Polen ndugu zangu Allah Amrehem mamaetu mpenzi🤗🤗😭😭
Mashaallah Allah atupe mwisho mwema
Allah amjaaliye pepo ya daraja la juu innshaallah na ss atujaalie mwisho mwema wa maisha
Amiin
Machallah Allah amrehemu ampe pepo ya kwanza inshallah
Amiin
Mashallah mungu ailaze mahali pema peponi🥰🥰🇰🇪🤲roho yake
Allah atujaalie na sisi mwisho mwema.. Ameen thuma Ameen yarabbi 🤲
Mashaallah, innalilah wainailaih rajiun, khusni lkhatima yaa Rabbiy.
Inalilah wainailah rajiun allah atufanyie wepesi na sisi atupe mwisho mwema
Allah nipemwisho mwema yaarabii 🤲🤲
Allah ampe kauri sabiti yarabi
Innalilah wainailaih rajiun allah atupe mwisho mwema inshaallah
Allah atujalie mwisho mwema
ALLAH atupe mwisho mwema.wallah nimelia sio kwa uzuni bali kwa furah🤲🤲🤲🤲🤲❤❤💚💚
Ameen
Amiin
Allahu akbar
Innalilah wainnailaih rajiuni Allah amrehemu pole kwa family Allah awape subra 🤲🤲
MashaaAllah tabaraka Rahman Allah atujaharia mwisho mwema 👏
الحمد لله علا نعمه الإسلام الحج المبرور جزاه الجنه يخرج من الحج كما ولتدته امه لقد وقد غفر الله ذنبه حج مبرور وسعيا مشكور الباقي الدعاء وتقول ربي اغفر لي ولوالدي وللمؤمنين والمؤمنات والمسلمين والمسلمات الاحياء منهم والاموات والحمد لله على حسن الختام اللهم اجعل لها اهلا احسن من أهلها وأرض احسن من أهلها وجعلها في الفردوس الأعلى من الجنة يارب
Mwenyezi Mungu amsahilishie mambo yake na anipe mwisho mwema Inshaallah
Kwakeli mama akiba ame nipa namimi funzo allah azidi kumpafuraha huko inshaallah
Allah amuweke Katika makazi mema peponi.poleni sana Wana familia
Yaa Rabbi tunakuomba Mwisho Mwema😭😭😭😭
Allha amjarye pepo
Allah amjaalie hija yake iwe kubul amjaalie kila la kheir huko anakokwenda
innalillahi wainnaillahi rajiuni.mashaAllah tabarakaAllahu .Allah arahm
Kuna muda unashindwa hata kuongea kitu Kwa kufurah Kwa kifo na jins mwenzetu alivyoamim na mwenyez mungu alivyomuaminifu mbele ya umma na Zaid Kwa waislam na ni mawaidha Tosh's Allah amrehemu
Mashaa Allah
Allah amjaalie miongoni mwa waja wake wema na sisi Allah atujaalie khatma njema
Amen thuma amen 🤲🤲
Mungu amjalie jamn pepo yake jamni
MaashaAllah
Ya Allah Bikhusnil khateema 🙏
Inna lillahy wainna illaihy rajioun ni mafunzo makubwa sana tumepata Allah nasisi atujaalie miongoni mwa hajjat Akiba
Dah wifi mtu umeliza wallah 😭😭😭Allah atupe mwisho mwema
Yan 😭😭😭
Allah atujaalie kwa sote mwisho mwema tufe hali ya kuwa ameturidhia na sisi tumeridhika
Kwa kweli ndugu zangu ukitaka kulala kwa amani kaburini basi amka duniani na kuamka duniani ni kufanya mema ambayo yatamridhisha Allah
Hakika ndugu yangu
Allahumma kheri inshaallah.
Allh amuhifadh phala pnapoxtahiki kuepo inxhllh Amin
Sote ni wa Mwenyez Mungu na kwake tutarejea
Mtihani
Allha amjarye her
Innalillah wainna ilayh rajiun, allahumma ghfrillaha warhamha wasqana fil jannah amin
Mashallah
Alhamdulillah natamani kama huyu marehem bi Akiba amuoe mwanangu ili nikipate kizazi chema.
ALLAH AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI
Allah arhaam nasisi sootee jamiial islaam atujaaliye khusnul khaatima
Innalillahi wainnailaihi raajiuni.mungu awape Subra Inshaallah
Innalillah wainnaillaih raajeoooun!! Allah amsamehe makosa yake!!
Amiin
Atusameh kwa sote Yaaa Rabbi😭😭😭😭😭
@@muddymuzungu4357 Amen!!!
Kijana wake wakuzaa kabisa
Allah amrahamu na Janna ameen
Innalilahi wainna ilaihi rajiuun, tuhuzunike tu kwakuwa mwezetu ametutoka lakini huyu ni mtu wa peponi wala tusitilie shaka, kusikitika baada ya kuondokewa ni maumbile hata Mtume alilia na kuhuzunika alipofiliwa ni mkewake bibi Khadija,na sisi tunamuomba Allah atupe khatima njema na atusamehe makosa yetu amin
Mola ndie ajuae zaidi sisi tumdhanie dhana njema
@@maryamalli9090 sahihi
Amiin
Amiin
Innalilah wanna ilah lajihun
ALLAH atujaalie na sie
Inalilai walnalilai rajiuni poleni sana Familia
mashallah
لا حول ولاقوة الابالله العلي العظيم 😭
Innalilah wa innailah raajiun
Wanadamu tumo ndani ya safari ndefu Tena inahitaji akiba yakutosha ili tuweze kukwepa vizuizi vyake
Tuisome Qur an ndugu zangu!
Hakika itatufaaa Duniani na Akhera
Mashaallah
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Amiin thuma Amiin yarabi
Pole Sana saida wangu
Kama hajaolewa SAIDA nipo tayari dada
😊😊ushachelewa pole, ni mke wa mtu Kwa sasa
@@hawamashauri1218 Allah adumishe ndoa yao
Hakuna Hata mjukuu wa Hajjat Akiba?😎
@@muddymuzungu4357 Aaamin Yaaa Rabbi
انا لله وانا اليه راجعون
Aaaalllllah atupemwisho mwwema
Innalillahi wainnailaih rajiu
Yaa Allaah, msamehe makosa yake yote. Yaa Allaah mlaze PEPONI
Kikwel nimejikuta natamani kuwa angekuwa mamangu
Mashallah Mashallah 😭 😭
INNALILAHI WAINNA ILAIHI RAJIUUN
Mamaaaaa😭😭😭😭😭
Allah atupe subra
Hiyo nyumba niyakuowa kwa wanaume wenye kujielewa ziko kila dalili za malezi bora
Innalillahi wainnaa ilahiraajiun
May Allah pardon her and give patience to her family.
AS SALAMU ALAIKUMU WA RAHMATULAH ALLAH AKIBAR ALLAH AKIBAR YA ALLAH NA MUOMBA MWENYEZI MUNGU AWAPE SUBRA NAMI KUSEMA KWELI NIME PATWA NA WIVU NIME ONA WIVU NATAMANI WALAHI ALLAH ANIPE ALICHO MU ANDALIA DADA YETU HUYO NATAMANI NINGE ZALIWA NA MAMA HUYO IMA NINGE RISI BAAZI YA MAMBO YAKE NA MUOMBA MOLLAH WANGU ANIWEZESHE NAMIMI NIWE MIONGONI MWA ALIO WAPENDELEA NIJALIEE NIWEZESHE NISAIDIEE NAMI NIWE MCHAMUNGU KAMA MAMA YETU HUYO ALLAH AMUPE ALIYO MU ANDALIA MAKAAZI BORA ,NAHISI KUPATA WIVU MKUBWA NA KULIA CHA UCHUNGU NA MUOMBA MOLLAH WANGU NAMI NIWE MIONGONI MWA WALIO CHAGULIWA NAEE ALLAH WAPEKE
آمين ياالله
Amiin
Amin, Amin, Amin, Yaarabil Alamiin!!!
Juhudi na dua ndio vitu muhimu kuvizingatia ktk kuyafikia mafanikio.
Innaalillahi wainna illahi rajiun.Allah amuhifadhi
😥😥
😭😭😭😭
Humu mwenye comment nna wsws km wengine hawajatutmia vileo
Kila mja anasiri baina yake na mola wake Allah atupe mwisho mwema
Amiin
😭😭😭😭😭
Bado mumtafute na uyo mama alikua nae aongee mawili machache please
Ajabu sana wallah labuda wataka waekewe goma la taarab inamaana hata sikitiko hamna.kutajwa marhum kwa mazuri yake kuna ubaya gani jamani.iiiiiii
Hiyo ndio familia yakwenda kuowa ikiwa wapo wachumba
Kweli kabisa! Mimi jicho langu limeona kwa huyo SAIDA amevaa miwani huyo mtoto wa 3!
Nipo tayari akiridhia
Dada mkubwa nifikirie
WLlahi
Samahani watoto wote wa Marehemu uliowaona hapo ni wake za watu.
Huyo Saida ni mama wa watoto 2 sasa
@@hawamashauri1218 maaa Shaa Allah
Nimefurahi kusikia kama kashastirika!
Ila nimeumia 😭😭😭😭😭😭
Njoo wapo 2 wamebaki
@@hawamashauri1218 shukran Hawa! Nakuahidi nitakuja
Naishi Bara ila nilisoma Huko almost miaka 5!
Kifo nikifo tu acheni kukuza mambo bida tu
Hadith ya mtume tajeni mema ya maiti yenu
Nibora wacha waireje kwani nijambo la muhimu kwani mauti ni mawaidha unataka wakuwekee muendelezo wa tarabu eeeee?
@@Tatafati-uk8vy kila kitu ni bidaa siku hizi!! hawa wasomi wa dini wa siku hizi elimu yao ni kubwa kuliko ya manabii na maulamaa waliopita.tuwasamehe sana.
Kila kitu bidaa hata wewe utakua bidaa
@@sirajisiraji6324 kabisaa...maana kila jambo ni bidaa!! dini imepata wenyewe sasa.