HII NDIO SABABU ILIYOFANYA ALMARHUM HAJJAT AKIBA RAMADHAN KUZIKWA MADINA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 773 878 523
    +255 773 071 409
    Zinjibartv Journalists
    cc: Safia Hussein
    cc: Swaleh Watamaama
    Camera Department"
    Muarabu Mmadi
    Editors:
    Ali Hassira
    Ramla Haji
    Abdillahi Said
    Dereva
    Ali Mohammed
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

КОМЕНТАРІ • 527

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein5260 2 роки тому +110

    Innalilahi wainnailaihi rajiuun,
    Ni mtu wa peponi huyo Kwa mujibu wa kauli ya Mtume ,Allah ammiminie rema Kwa wingi, amin×100

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 роки тому +42

    Mngeamua kumsafirisha msingemfanyia haq. Kwanza kusafirisha maiti kiisilam si nzuri halafu amekufa mji mtakatifu. Allah amjaalie awe miongoni mwa waja wake wema alowaridhia na akukutanisheni nae peponi pamoja na sisi, Amiin.

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 2 роки тому +1

      Amiin Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 роки тому +5

      Ni kweli kuwa Madina ni mji mtakatifu, lakini si kweli kila aliyekufa humo kuwa ni mtu wa peponi, Bali vitakavyompeleka mja peponi ni amali zake,,,,,tunamuombea mwenzetu!! Mungu amjaalie awe miongoni mwa waja wake wema!! Na Sisi pia atujaalie mwisho mwema!

    • @husna34562
      @husna34562 2 роки тому

      Amiin

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 2 роки тому +1

      @@jumakapilima7295 usibishe wewe ardhi ya Madina haipokei wanafiq Wala Masih dajal haingii maka na Madina fitna huku huku tu bongo siyo huko mji mtukufu. hata wakaazi wa Madina ambao si wema ardhi inawakataa watatoka tu waende kufia huko mbali.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 роки тому

      @@hassanmfaume4522 Nakubali kuwa Makkah na Medina ni miji mitakatifu, lakini tambua ndugu yangu kufia katika miji hiyo si tiketi ya kwenda peponi, kitakachompeleka mja peponi ni amali zake, Makafiri waliokuwa wakimpinga Mtume SAW kina Abulahab, Abuujahal na wengineo wamezaliwa hukohuko na wamefia hukohuko na wamezikwa hukohuko lakini Kwa mujibu wa maandiko hayohayo sidhani kama wataingia peponi!! Huo ndio ukweli!!

  • @adammgana3633
    @adammgana3633 2 роки тому +15

    MashaAllah mashaAllah mtume kasema tamanini kufia madina ili yaumul Qiyyama muwe karibu yangu ni furaha ilioje wallahhi ...haya ni machungu yaliyo nafuraha ....Allah azid mpa kauli thabit na awape subra wafiwa ......Allahhumma amiin

  • @ummesaniyah
    @ummesaniyah 2 роки тому +8

    Allah amrehemu mama huyu...this is testimony she was righteous lady ...you can tell the way she raised her daughter..Maa sha Allah.. what a beautiful way to die....congratulation....May Allah accept from her good deeds and her hajj, May Allah have mercy on her....May Allah grant us husnul khatm....ameeen!!!!!!!!

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 роки тому +10

    Mungu kampenda zaidi, kamaliza hija allahamdulillah, halafu kazikwa Madina,ardhi ambayo Mtume S.A.W. Kazikwa,bahati sana,mama kajaliwa sana.

  • @AhmadBaalawy1
    @AhmadBaalawy1 2 роки тому +3

    SubhanALLAH
    Pongezi sana mama yetu kwa kupata mwisho mwema na kuzikwa katika Ardhi tuku ya Mtume Mtukufu MUHAMMAD (SAW)....ALLAH atujaalie na sisi bahati ya kupata mwisho wetu katika mji mtukifu wa MADINA tuwe majirani na HABIBANA MUHAMMAD (SAW)....Kwa upande familia ni uchungu kweli kuondokewa na mama kama huyu na akiwa mbali na familia yake,lakini vile vile ni furaha pia MAMA kupata mwisho wake na kuzikwa katika mji Mwema wa MADINATUL MUNAWARA........Bila Shaka MAMA yuko katika sehemu nzuri sana,ALLAH atukutanishe na yeye peponi pamoja na manabii na waja wema waliotangulia.....Nawaombea Familia yake haswa watoto wake, ALLAH awazidishie subra na imani na washikane zaidi.

  • @rayaali83
    @rayaali83 2 роки тому +6

    Allah amjaalie kila la kheri amsamehe makosa yke ayageuze makosa yke kua mema yake aaminn

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому +19

    Ya Allah mrehemu mama huyu, mpitishe njia aliopita mtume Muhammad wakati akiingia pepon
    Allah awape subra familia yote dunia tuna pita

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 2 роки тому +27

    Hawa ndio wana sifa za urijali alizozitaja Allah walimtaka Allah na Allah akawathibitisha matakwa yao na mie namuomba Allah nifie madina aaamin ya Raab

  • @Moc.khalfan
    @Moc.khalfan 2 роки тому +16

    Hiki ni kifo chema mashallah Allah atupe mwisho mema Ammi n

  • @maryamathman8917
    @maryamathman8917 2 роки тому +9

    Innalilahi wainailaih rajiun poleni sana mungu awape nguvu na subra kwa kipindi hichi kigumu... Allah amfungulie kitabu chake kwa mkono wa kulia 😭😭😭😭

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 роки тому +41

    Allah sw mlaze mahala pema Peponi mama Akiba na utujaalie sisi mwisho mwema. Amin!

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 2 роки тому +19

    Inna lillah wainna ilayhir raajiuun
    Allah amsameh alipokosea, amraham na kumlaza pema penye wema peponi hajjat. Poleni sana wafiwa, Allah awazidishieni subra njema. Maa shaa Allah nimejifunza vitu kutokana na maelezo yenu 👏🏽 Allah Akbar

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 2 роки тому +17

    Inna lillahi wainna ilayhi rajiun😭😭😭poleni sana familia na jamaa wote,,, ALLAH AMLAZE KWENYE WAJA WEMA PEPONI 👏👏👏👏😭😭 POLENI SANA 🇸🇦🇰🇪

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 2 роки тому

      waallahi nimelia kwa kweli ALLAH awape subra jmni wkti huu wa huzni

  • @saadaburhan1340
    @saadaburhan1340 2 роки тому

    Masha Allah....hii famili ni wakweli
    Mahojiano ya watu wote hayatfautiani

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому +4

    Wajina wangu pole saaana Allah akupe subra kwa wingi

  • @jamal5922x
    @jamal5922x 2 роки тому +26

    May Allah open every door of Jannah for her and may she be raised as a Sabiqoon - ameen ya rabbi🙏

    • @Idysalim
      @Idysalim 2 роки тому

      Ameen ya Thul'jalili wal ikram

    • @ukhtywaa6545
      @ukhtywaa6545 2 роки тому +1

      Ammin

    • @jamal5922x
      @jamal5922x 2 роки тому

      @@Idysalim BarakAllahu feek

    • @jamal5922x
      @jamal5922x 2 роки тому

      @@ukhtywaa6545 BarakAllahu feeki ya Ukhty

  • @chiefalferous
    @chiefalferous 2 роки тому +5

    Allah amuhifadhi amuondolee adhabu za kaburi na alijaze NURU kaburi la Hajat wetu

    • @omanmct135
      @omanmct135 2 роки тому

      Aaaallllah huma amin

    • @mrutumussa5143
      @mrutumussa5143 2 роки тому

      INALLILLAH WAINA LILLAH RAJIUNI 😭 ALLAH AMPE KAURI THABITI

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 4 місяці тому

      ​@@mrutumussa5143kapata kauli thabiti tujiombee sisi nasi tupate kauli thabiti..!

  • @alidaizan4706
    @alidaizan4706 2 роки тому +18

    Inna Lilah waina ilah rajium .ee mwezimungu mhifadhi mahala pema mja wako .mbele yake nyuma yetu.inshaalah.

  • @nureyna629
    @nureyna629 2 роки тому +40

    Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiuun, Allah amsamehe makisa yake na majaaliwa kuwa miongoni mwa watu wema. Aamyn yaarabbal alamyn

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 2 роки тому +6

    Innalillahi wa inna ilayhi raj'uun..... Mwenyezi Mungu awape wa subira... Sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ni marejeo yetu.

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 2 роки тому +28

    Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia allahumma ameen yaarabil Aalamiin. Poleni sana wafiwa

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 роки тому +3

    Innallih wainailaih rwajiuuun Allah ampe kher kauli thabit pole sana Baba yngu. Allah kamchukuwa kwenye mji mwema Alio zikwa mtu me wetu muhmmad (saw) ni bahati iliyoje muombe duwaaa tu

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 2 роки тому +11

    Nilichojifunza kwenye hii familia ni kua ni familia ya watu wenye dini sana na wameshiba tawhiid.

    • @habibakhalfan1065
      @habibakhalfan1065 2 роки тому

      Sana

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 2 роки тому

      @@habibakhalfan1065 na ww umeliona Da Habiba? Natamani niwe na familia yenye tawhiid na kuiacha dunia

  • @babuudullahmunisi4753
    @babuudullahmunisi4753 2 роки тому +8

    Mashallah mashallah mashallah very strong ukhty

  • @rosemery542
    @rosemery542 2 роки тому +11

    Inna Lillah Waina Illah Rajuun amsamehe madhambi zake na amkubalie hija zake. Ampeleke Pepo ya Fardows

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 2 роки тому +7

    Allah ampe kauli thabit Amin 🤲 ampe kitabu chake Kwa mkono wa kulia Amin

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 2 роки тому +25

    Innna Lilah wainaa ilaih rajiuun mama dada mungu akupokee Kwa mikono miili 😭😭😭😭

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Рік тому +2

    Yaa Rabbi tunakuomba utupe mwisho mwema kama ulivyompa Bi Akiba!🙏🙏🙏🙏🙏

  • @maryamkhamis9493
    @maryamkhamis9493 2 роки тому

    Inna lillah wainn ilaih rajiun MashaAllah Allah atujalie na sisi tufike kwenda na atupe kauli thabit

  • @abdulfattaah4510
    @abdulfattaah4510 2 роки тому +4

    لااله إلا الله محمد رسول الله
    يارب كلنا عبادك إنا مقرونا بذنوبنا فاغفرلنا يارب
    اللهم اغفرلها وارحمها وجعلها من المتقبلين
    واجعلها من عبادك المؤمنين الذين يرثون الفردوس هم فيها خالدون

  • @mariamhamad4171
    @mariamhamad4171 2 роки тому +9

    Allah ampe jannat Firdaus mamaetu, innalilahi wainnailaihi rajiun,polenisana familia kwaujumla Allah awapesubra

  • @faeshanoor4129
    @faeshanoor4129 2 роки тому +2

    Maashaa Allah sijui age yako lakin una hikma sana zaid ya umri wako unaoonekana nao, subhanallah Allah anijaalie mtoto mwema kama wewe au zaid ya wewe muda wangu ukiwadia amin...ur parents must be so proud of u.....poleni. Sana na msiba Allah awape subra juu ya hili, Allah ampe pepo yenye darja bora zaid amin amin...

    • @zuluikaji9987
      @zuluikaji9987 2 роки тому

      Nakuombea Allah aijibu dua yako hii. Amin

  • @ummohammed8380
    @ummohammed8380 2 роки тому +5

    Subhana allah
    Lahaulawalakuwata ila biallah
    Allahuma ruzkuna husn lkhatima

  • @maxmody
    @maxmody 2 роки тому +8

    Allahu Akbar!! Allah ampe makazi mema

  • @mundhiribrahim6292
    @mundhiribrahim6292 2 роки тому +6

    Allwah amsameh makosa yke nasisi atupe mwisho mwema

  • @khadijaabdallah3337
    @khadijaabdallah3337 2 роки тому +1

    Innalillahi wainnaileihi rajioun.poleni sana.mungu awape subra na imani inshaallah

  • @fatmaalhabs6939
    @fatmaalhabs6939 2 роки тому

    Allah marehem amkabidhii kitubu chake mkono WA kulia aminee

  • @issaali7669
    @issaali7669 2 роки тому +15

    اللهم غفرلها ورهمها وعفونها وأكرم نزلها وودخل مدخلها. اللهم ثبتها بلقول ثابت فى هذه لهياة دنيا وفلأخرة.

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 2 роки тому

      Allahumma Amiin

    • @allyrabbany4538
      @allyrabbany4538 2 роки тому

      Dua umeandika Makosa NDUGU YANGU,
      Afadhali ungeandika kwa Lugha Yako.

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 2 роки тому

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun MaashaAllah amekufa baada ya kukamilisha hajj Mungu amlipe ujira wake na atujaalie na sisi mwisho mwema ya rabbi.

  • @aminabalamamnyawasatz3385
    @aminabalamamnyawasatz3385 2 роки тому +7

    Innalilahi wainna ileih Rajiun poleni Sana mauti ni mlango kila mmoja ataupita kikubwa maandalizi Allah amjalie qawli Thabit amjaalie pepo ya juu Kabisa iwe sababu ya Yy wazazi wake kuingia peponi

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 роки тому +16

    Poleni Allah amlaze mahala pema peponi nasi atupe mwisho mwema, amiin.

  • @aminahamisi2837
    @aminahamisi2837 2 роки тому

    Pole Baba ,poleni familia, poleni watanzania mungu awape subira,na mungu amuhifathi Mahali Pema peponi ameen,,,,, YaAllah mrehemu Baba yangu mzazi na wazazi wote waliotangulia akhera na Uma jamia limsilimina,,ameeen ameen yarabi

  • @rukiabari9431
    @rukiabari9431 2 роки тому +5

    Innalilah waina illah rajiun Allah amsamehe dhambi zakeza siri na dhahir, ampe kaul dhabit... 🤲

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 2 роки тому

    Inna Lillahy waiyyina Ilayyhi Raji-oon Pole sana Mzee Mwenzangu ni mazito ingawa ya halali InshaAALLAH M/Mungu ampe Kaul thabiti amsamehe Makosa yake ya Kibinaadam na Amuingize katika Pepo ya Firdaus Li Jannah

  • @SMG109L
    @SMG109L 2 роки тому

    Raha sana aise, kufia huko ni raha sana. Allah ampe kauli thabiti

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 роки тому +11

    YARABI atujaaliye nasi Mwisho mwema amin amin YARABI amin.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 роки тому +1

    🤔🤲Mungu ailaze roho ya marehemu pahali pema peponi amin. Ndio safari sote tuna muda wetu na tuko njiani..

  • @huss668
    @huss668 2 роки тому +10

    Innalilahi wainna ilayhi rajiun Allah amlaze mahali pema peponi Ameen Yaa Rabbi

  • @salumabuu6074
    @salumabuu6074 2 роки тому

    Mwanaadam yyte baada ya kifo chake anabakia history.. Wallah hapa Mama huyu kaacha history yenye athari kubwa katika jamii yake,, Na kwamba tumejifunza mengi lakin lililokubwa ni kuupata mwisho ulo mwema... Tuombeni mwisho mwema kwa kujikurubisha sana kwa Allah dahh..
    اللهم غفرلها ورحمها ومسكنها في اللجنة..🤲🤲

  • @hijahamad4625
    @hijahamad4625 2 роки тому +6

    Allah amlipe kheir na sisi atujaalie mwisho mwema pia awape moyo wa subra familia wote

    • @thamani5842
      @thamani5842 2 роки тому

      Amiin

    • @ayubujuma8346
      @ayubujuma8346 2 роки тому

      Innallillah wa innallilah rajiuun, ALLAH(SW) amuhifadhi na adhabu za kabri, kwani amepata mwisho mwema na ameacha watoto wachamungu, Alhamdullillaha

    • @salamabakari8384
      @salamabakari8384 7 місяців тому

      Amiin

  • @kusagaonlinetv3983
    @kusagaonlinetv3983 2 роки тому +4

    Inn lillah wa inna ilayhi rajiun allah ampe qauli dhaabiti amlaze mahali pema peponi

  • @khalfanshahabakar7439
    @khalfanshahabakar7439 2 роки тому +6

    Mungu amsamehe na amuingize peponi .AMIN

  • @SabriAbdallah-p8b
    @SabriAbdallah-p8b 6 місяців тому

    Yaa Rabbil-alamiyn tujaalie na sisi waja wako tuwe miongoni mwa waja wema peponi Yaa Rabbi tujalie Khusnil Khatma 🤲🤲🤲😭😭😭

  • @ummukhansaa5701
    @ummukhansaa5701 2 роки тому

    Ma shallh Allahuma ina nasaluka husnulkhatima amin

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 2 роки тому +9

    Mwandishi tuandalie toleo la maisha ya Hajat Akiba siku zijazo.

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 2 роки тому +1

    Innalilahi Wainnailayhi Rajiun, ni bahati kubwa sana kwake kufia huko pahala pa tukufu kuzikwa pamoja na watu watukufu. Tumshukuru Mungu kumuwezesha kukamilisha hija yake.

  • @kurshidsaleh1499
    @kurshidsaleh1499 2 роки тому

    Allah ampe kauli thaabiit amlaze mahala pema peponi aamiin..

  • @luciakiponda1790
    @luciakiponda1790 2 роки тому +2

    Allah ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia. Amiiiin

  • @halimaprecious3811
    @halimaprecious3811 2 роки тому +2

    Innalillah waina illah rajuon Allah amsamehe makosa yake na aipe subra familia yake inshaallah

  • @adammgana3633
    @adammgana3633 2 роки тому +1

    Wallahhi huyu mama yupo salama kwa baraka zake mtume nataman na twapaswa sote tutaman

  • @asmaafamau9293
    @asmaafamau9293 2 роки тому +2

    Inalillah wainailahi rajiun mngu ampe kauli thabit ameen

  • @Moc.khalfan
    @Moc.khalfan 2 роки тому +1

    Mashallah Imani ya mwanamke huyu si ya mchezo

  • @rahmaalbert888
    @rahmaalbert888 2 роки тому

    inlillah wa inna ilaihrajiuun Kwakwel allah yupo pamoja na wakwel na wenye kusubir Allah amjaalie nuru katika kabri lake

  • @faridasaidpondeza8552
    @faridasaidpondeza8552 2 роки тому

    Inna Lillah Waina Illah Rajiun...Mwenyezi Mungu ampe kaul Thabit, Poleni sana wafiwa, Mwenyezi Mungu awape Subra Inshaallah 🤲

  • @fatmamshangama9824
    @fatmamshangama9824 2 роки тому

    Innalilah wainnailah rajuun poleni sana familly inahuzunisha sana ila mungu kampa kifo cha makha kwa kua ni mja mwema allah akupe pepo na nuru katka kabri lako mama

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому +3

    Allah ampe kauli thabiti amueke peponi Amyn🤲

  • @fatmehfaraj5188
    @fatmehfaraj5188 2 роки тому

    Inna lillahi wainnaa ileihi rajiun.Allah amueke mahali pema peponi .Amghufirie dhambi zake.Amjaalie Jannatul firdaus.

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 2 роки тому

    Innallilah wainna ilaih rajiun hakika ya matendo huzingatiwa ule mwisho anaoondokea mtu duniani

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 2 роки тому

    Allah ampe makazi mema ya popon nasi atujaalie mwisho mwema

  • @عمررمضان-ب7س
    @عمررمضان-ب7س 2 роки тому +2

    غفر الله لها وأدخلها فسيح جناته
    Ila kaondoka vizur Allah ampe makazi mema kwenye Pepo ya firdaus

  • @mohdsalum552
    @mohdsalum552 2 роки тому

    Dada mashallah mama katuachia mafunzo mengi Mungu amsamehe

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 роки тому +4

    Inna li llah wainna ilaih raajiun, poleni sana wafiwa, yote ni ya mungu alhamdulillah.

    • @zulfabakari6404
      @zulfabakari6404 2 роки тому

      Innalillah wainna illayh rajiuuun ss sote niwaja wa m/mungu kwahakika tutarejea "mwenyezimungu ailaze roho yake mahala Pema pepon AAMIIIN*

  • @yuscodawizzy7432
    @yuscodawizzy7432 2 роки тому

    Inalilah wainailah rajiun polen wanafamilia wote. Allah amrehemu mwenzetu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 роки тому

    Poleni mwendo ameumaliza Mungu ampokee

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 роки тому

    Pole sn mzee wangu kupotelewa na Mke au mume ktk umri. Mkubwa km ivi ni mtihani sn maana msha zoeyana

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 роки тому +7

    Inna lilahi wainna ilaiyhi rajiun Allah ampe safari ya kheri tupoweni kwa msiba tuweni pole

    • @salmahabibu3994
      @salmahabibu3994 2 роки тому

      Mwanga wa milele umuangazie we bwana.

    • @salmahabibu3994
      @salmahabibu3994 2 роки тому

      Nimelia sana, na nimekumbuka mengi mno.allah nijalie mwisho mwema.

  • @mozuusuleiman4702
    @mozuusuleiman4702 2 роки тому

    Innallillah Waina Ilayhi Rajiun. MASHALLAH TABARAKALLAH. KHUSUNUL HATIMA

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 2 роки тому

    Innalilah wainailaih rajiun poleni sn wafiwa msiba huu ni wetu sote. Allah ampokee kwa wema.

  • @firstlady9848
    @firstlady9848 2 роки тому +4

    Inna lillah wainna ileihi rajiun 🥺 Allah anijalie mimi mwisho mwema 🥺🥺🥺

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому

    Pole baba yangu ALLAH akupe subra kwa woote wafiwa

  • @radhiaahmed6088
    @radhiaahmed6088 2 роки тому

    Poleni saana dd angu Allah atawapa subra ktk kipindi hichi kigumu chakuondokewa na mama yenu mpendwa Inna lillah wainna ilayhi raajion Allah ajaalie makazi yake ktk pepo ya firdaws yaa rabby maashaallah Allah awazidishie imaan yenu maashaallah

  • @kakandaali1522
    @kakandaali1522 2 роки тому

    Inalilah wainailahim.rajim,Allah amulaze mahali pema

  • @midaahlove4168
    @midaahlove4168 2 роки тому +12

    Nyie ni vigumu sanaah wallah ni vigumu sanaah Tena mnoo😭😭 Allah ampe kauli dhabit mbele yake nyuma yetu hakuna kitakacho dumu milele

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 2 роки тому +26

    Mbona hizo sauti za miziki ziko juu sana kuliko maelezo?

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 2 роки тому +1

      Tena zina kelele sana kwanza habari za huzuni miziki ya nn? Hata mtu hupati utulivu kusikiliza habar zenu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 2 роки тому

    Poleni mungu amjaalie hija makubuli na mungu amsamehe ampe kauli sabit

  • @musahugo
    @musahugo 2 роки тому +3

    Mashaaallah familihii nimeipenda licha msiba tuuuu

  • @omanmct135
    @omanmct135 2 роки тому

    Aaaalllah atujaliyemwisho mwema

  • @khadijaabdallah3337
    @khadijaabdallah3337 2 роки тому

    Mungu ampe kauli thabit katika kaburi lake bi hajjat inshaallah

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 2 роки тому +3

    Inna lillahi wainna ilayhi raajiun Allah amjaalie miongoni mwa waja wema

  • @naifinyahya2666
    @naifinyahya2666 2 роки тому

    Allahu Akbar inna lillah wainna ilayh rajiun kila nafsi Itaonja Mauti Allah amjaalie awe miongoni mwa waja wema watakaoingia peponi inshaallah

  • @mozaothman7530
    @mozaothman7530 2 роки тому

    Innalillahy wainna ilahy Rajiun Mwenyezi Mungu atakupeni subira wafiwa

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 2 роки тому +2

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA 2 роки тому +11

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭🤲 Allahkila siku na Mimi anijaalie Nipate kwenda kuhij Makkah Kwa hicho kidogo ninachokitafuta yarabii.kwani kiasi Gani kwani kwenda kuhij jaman?!

    • @mwanaidiawesu221
      @mwanaidiawesu221 2 роки тому

      milioni kumi naaaa zaid

    • @fifo262
      @fifo262 2 роки тому

      @@mwanaidiawesu221 kuazia m 20

    • @salhaismail2231
      @salhaismail2231 2 роки тому +1

      Milion 15na laki 3 dola 6500 zipo pia taasis za chini ya iyo

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 роки тому

      @@fifo262 haifiki 20 M
      Ni 15 plus kiduchu

    • @fifo262
      @fifo262 2 роки тому

      @@muddymuzungu4357 usiseme haifiki uu mwaka uu wapo waliokwenda kwa 22m na wapo waliokwenda kwa 24 na wapo ambao walishindwa kwenda sababu ya ongezeko la izo m , la msingi allaha atuwezeshe kwa nia zetu

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 2 роки тому

    Innalilah wannailyhi rajiqhn mwenyezi mungu ampe kauli thabiti

  • @hamisindauka3070
    @hamisindauka3070 2 роки тому +1

    Innalillaho wainalillah rajoon mwenyezi mungu ampe rekhema jazakhallah amiiina

  • @abdulhalim3840
    @abdulhalim3840 2 роки тому

    Innalillahi ya Allah mjalie mamaetu kaul thabit na jannat firdaus iwe makaazi yake amin

  • @naomybenedict1787
    @naomybenedict1787 2 роки тому

    Pole baba angu nimelia msiba inauma mno

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 2 роки тому +3

    Inna lillah wainna ilaihi rajiunnn...Allah atujalie mwisho mwema

  • @elyanasser3914
    @elyanasser3914 2 роки тому

    Ina lillahi waina illaihi rajoona. Mungu amlaze pema