MAZISHI YA BI KIDECHA
Вставка
- Опубліковано 1 чер 2022
- Msanii wa Maigizo kutoka Pemba aliekua akifanya kazi zake za sanaa JUFE FILM PRODUCTION maarufu BI KIDECHA amefariki Jumanne Tarehe 31/05/2022, na kuzikwa tarehe 1/6/2022.JUFE inawapa pote mashabiki wa Bi Kidecha na JUFE kwa ujumla na kila alieguswa msiba huu .Tunamuomba Allah amsamehe madhambi yake na amjaalie pepo kua makaazi yake....Amin.
- Комедії
Mtu wa peponi anadalili zake Masha Allah hali ya hewa safi mawingu yametanda mungu ajalie awe ni wapeponi Isha Allah nasisi tulio bakia
Amiin
Inna Lillahi wainna illahi rajiun.Nampenda Sana Huyu mama kazi zake Allah amrehemu amjazie Noor Kabri lake 🤲.🇰🇪🇰🇪
Sikukuu Chuo@ Hata mie nampenda huyu bi Kidecha na kipindi hichi nilikua natizama sana michezo yake Wallah leo ndio naona hapa kama kafariki. Allahuma ghfirlaha warhamha wamaskanaha min riyadhi L-Jannah.
@@zenaal-baalawy1953 amiiin. Alikua anaelimisha sna sna yaani tulimpenda sna allah amjaalie furaha ya kabri na furaha ya kuonana na mungu wke.
Allahumah Amiin
ALLAHUMMA GHUFR LAHA WARAHMHA WASKANAHA FI JANNAT .AMIIYN YARRABAL ALAMIN
Innalillahi wainnaailaihi raajiuun...polen sana Ndugu zetu wapemba na JUFE kwa jumla Allah ampe kauli thabit
Inalilahi wainnailayhi rajiun kweli inaniuma kiupande wangu ni mama ambae alikuwa na elimu ambayo ni mafunzo mazuri kwa jamii
kifo cha uyu mama kimenigusa mungu amjalie nuru ktk kaburi lake ampe wepesi ktk safari yake mungu amjalie awe miongoni mwa waja wema wa peponi 😭😭pole sana jufefilm production
Mungu amlaze pahala pema pep0ni mbele yake nyuma yetu msanii mwenzetu 😭😭😭😭😭😭😭tulimpenda sema mungu kampenda Zaid mm zakaria msanii wa killers art group
Innalillahi wainna illahi rajiun
Allaah ampe kauli thabit dani ya kaburi lake na amzidishie Nur ju yaNur 😭😭😭
Inna llillah Waina illahi Rajiun.Duh,Wallah nimeumia roho sana ila kazi yake Allah haina makosa,Allah amjaalie safari ya kheri,amjaalie mwanzo mwema wa safari yake hadi kesho yaumul kiyama,😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Poleni wasanii Wenzangu pamoja na wanafamilia Nawatakia Subra katika wakti huu wa Uzni,all the way from Jiddah Saudi Arabia.
Amiin kwasote
Innalilah wainnailah rajiun allh amueke pepon ampekauli thabity alikua akielimosha mashallh
Inna lillah wainna ileyhi rajioun nilimpenda sana huyu mama video zake kwa majibu anayotoa Allah amrehemu amjaalie Jannat firdaus, poleni kwa walopata msiba huu na kwetu soteni. Love from Kenya.
Mzee Wa Kijiji@ Hata mie nilikua nampenda kwenye movies huyu bibi. Na kipindi hichi ilikua namtizama sana movies zake.
@zena Al-Baalawy wallahy tena huyu na mwinyi ndio wanaonifanya nifatilize Jufe, cha zaidi tuwaombeeni kila aina ya dua njema walotangulia mbele za haki nasi tulioko nyuma Allah atupe husnul khaatimah.
Alhamdulillahi rabbillaalamiin wa innalillahi wa innaileihi rajiuun.
Allahumma yaarab tunamuomba Allah mtukufu amjaalie ampe kauli thaabit nahasan khaatimah nanuru kwenye kaburi lake yaarab ameen
Kiukweli bi kidecha ni msanii nnaempenda sanaa Allah atampa safar y kher ishlah amsamehe madhambi yake
Dah inna lillah wainna ilaihi raajiuun dah huyu mama aliupiga mwingi sana kwa sababu katika part kama hii ya mtu mzima kuweza kushika nafac hii ya uigizaji kwa kwetu pemba ni adimu kumpata dah 😵 allah ailaze mahali pemba peponi 😭
Ilikuwa nampenda sana sana huyu mama alhamdulilah kazi ya allah haina makosa
Innalillahi WA inna ilaihi rajiun.
Nakubali sana kazi zake sbbu kubwa ni zakimaadili tena sana.Allah amjaalie safari yake iwe ya kheri tupu na amsamehe madhambi yake yote.
Innalillahi wainnaillahi rajiun. Mbele yake nyuma yetu.ALLAH ailaze roho yake mahali pema peponi inshaAllah 🤲😭😭😭
Poleni sana ndugu na jamaa wote Allah awape subra ktk kipindi hiki kigumu Allah awape subra
Allah ampe kauli thabiti, amjazie nuru kaburi lake na sisi atupe mwisho mwema
Sisi tulimpenda ila Allah amempenda zaidi Allah amfanyie wepesi huko alipo n amuondoshee mchanga mzito na ampe kauli thabit bibi yetu ammin ammin ammin
Innalillahi wainna ilayh raajiun, kinachonifariji ni kwamba michezo ya jufe ni ya Maadili, hakuna uchafu, uchi wala mambo ya kipuuzi zaidi ya elimu. Allah amlaze mahali pema peponi
Amiin
Hata mm nimeumiya sn sn. Alikuwa hodari sn huyu mama. Kwa kazi yke ya kuekt. Allah amsamehe makosa yke amuweke peponi Ameen😭😭😭😭
Innalillah wainna ilaih rajiun Allah Amsameh makosa yke. Dah mwnzo nilijua ni igizo jipya. Imeniuma sana huyu bibi nlikua nampenda sana akiigiza. Kaz ya mungu haina makosa
Innalilahi wainailey rajiuni Allah amuifadi mahali pema inshaallah wallah inauma mimi nimkenya namuona bibi kidecha tu katikati vipendi ila nampenda sanaa nitammiss sanaa ila kukuombeya kwa Allah amueke mbali naadabu ya kaburini inshaallah
innalliah wainna ilahi rajuun allah ampe kauli thabit ameen poleni sana jufe inshaallah mungu awape uvumilivu katika kipindi hichi kigumu kwenu ila juweni kuwa hizo ndo kudra za mwenyeenzi mungu kazi ya mungu haina makosa
Allah amswamehe na ampe kauli thabit...Ila najiuliza hivi taarifa ilichelewa kutoka au!!..maana waliohudhuria ni wachache Mno..tuwe na upendo wa kuhudhuria mazishi ya waislamu wenzetu...Aamin
Inna lillah waina ilaiyh rajiun mungu ampe kaul thabit kwenye safr yake y maut inxhaallah 🤲🏽🤲🏽😥
Dah tuli mpenda sanaa nampenda sanaaaa Uyu bibi Wetu Allah Ampe Jannah
Innalilah wanna ilaihi rajiuun Allah amsameh makosa yake amlaze pema peponi na awape subra wafiwa wote nasi atupe mwisho mwema safari yetu sote hii
Inna lillahi wa inna ilaihi rajighun polen sana jufe na familly ya jufe hakika mada ilio ongelew ni vitu vyingi sana na hatuwez kueleza hapa yote ila nigusie tu alilo lisema mwinyi kuhusu umoja umoja ni kitu kizuri sana na unapo kosew na mwenzako bas mchukulie kama binaadamu msamehe mukae pamoja ili muendeleze umoja wenu mfano kwa fikira yngu kama jufe namuona kachara katengana na wenzake bs munapo koseana sameheyaneni na mukae chini ili muendeleze umoja wenu binafsi mwinyi na kachara ilikuw wanatulia kweli kweli lkn imetokezea mistek bs sameheyaneni ili muendeleze kuelimisha jamii ss sote tunakosea hta mm nilie comment hpa bs ikiw nimekosea ushajr wngu bs munisamehe kwa kila nilie mgusa by life is silence from konde
Mh! Inauma sana, huyo mama nikimpenda sana anayoigiza ajuwa sana namuomba M/Mungu amueke pahala pema peponi,huyo mama alikuwa anajuwa
Innalillah wainailayh Rajiun, Allah amsamehe madhambi yake yaaah raby
Innalilahi wainnailayhi Rajiun Allah amsamehe makosa yake amtilie Nuru ndani ya kaburi lake aifanye kaburi yake ni miongoni mwao viwanja vya peponi pamoja na wazazi wetu walotangulia mbele ya haki amiin
Amiin
Innaalillah waina ilayhi raajiun Allah amsamehe makosa yke amtilie nuru kaburi lake Allaahumma Aamin
Allah amrehemu huko aliko....bi.kidecha alikuwa yu afahamika mpaka huku bara usukumani ndani ndani uku.
Innalilaahi wainna Ilaahi Rajeun Allah amsameh makosa yake ampe kitabu chake kwa mikono miwili na nyinyi mjue kama sote tuko kwenye safu Allah atupe khusnulkhaatmah
Innalillahi wainna ilayhi raajiu’n Allah amsamehe makosa yake ampe kauli thabit na sie atupe mwisho mwema yaarab
INNALILAHI WAINA ILAYHI RAJIUN 😭.poleni wafiwa mngu atawapa subira.kutoka mambasa Kenya 🇰🇪
Innalilahy wainnailayhi rajioun tulimpenda sana ila kazi ya allah haina makosa allah mfanyie wepesi wa kabri amsamehe makosa yake alijajaliye kabri lake liwemo katika makaburi ya wajawapeponi
Amin
Mungu amsamenhe madhambi yake,
Kazi ya Mungu haina makosa
Innalilaiwaina hilairajurn mungu hakulaze mahala pema peponi bikidecha🤲,umeziba pengo lako nasi tuko nyuma yako mungu hakupoke kitabu chako kwa mikono miwili. Watching from mombasa kenya. Mm upenda sana kitizama filamu za tz zanzibar.
Innalilahi wainna illahi rajiun mungu amlaze mahali pema pepon
Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah ampe kauli thabit amsameh makosa yake awape subra wafiwa
Innalillah wa inna ilaihi rajiun muungu amsamehe makosa yake bikidecha 😭😭😭😭tulikupenda lkn muungu kakupenda zaidi
Mwamba wa comedy hatunae Tena, Allah amrehemu na amsamehe makosa yake. na wote waliotangulia mbele ya haki.. Ameen 😌😌😌
Allah amsamhe, amrehem, ampe makaz mema ameen inshllah
Allah akusamehe makosa yako akupe kauli thabit Allah atupe mwisho mwema 😭😭😭
Innalilahi wainna ilayhi rajioun allah amjaalie kauli thabit 😭😭😭
Allah atupe moyo wa subira kwa mzazi wetu hakika yeye mbele sie nyuma tulimpenda ila mungu kampenda sana hakika kila nafsi itaonja mauti 😭😭
Innalillah wainnailayh rajiu'un. Allah s.w amjaalie kauli thabit. Amjaalie nuru ktk kaburi lake. Allah s.w atujaalie mwisho mwema
Poleni sanaa In sha allah mungu awape subra twajuwa inaumiza lakini ndo njiya yetu sote
Mwenyezi mungu amsamehe makosa yake inshallah🥲😭
Inna lillah wainna ilyh raajiuun
Mungu ampe kauli thabit marehem bi kidecha
Innalilah wainna ilaihi rajiun mungu amlaze mahalipema poleni familia
Inalilah wainailahii rajiun Mungu amlaze ktk pepozake tukufu Amina
إنالة الله ونع الله رجيون
Allah amrehemu bibi yetu kwakweli ni huzuni sna na tulimpenda sna ila molla kampenda zaidi kilichobakia ni kumuombea kwa mungu tuh😭
Allah ampe wepesi katika kabri yake
Innalillah wainna ilayhi raajiuun Allah amlaze pahala pema peponi 😭😭😭😭
Innali lahi wainna ilayhi rajiun Allahuma arhamahu askanahu fil-janna allah amsamehe makosa yake 😢😢
Allah amlaze pema na wema wote amin poleni sana Jufe wote
Innalillah wainna ilayhi rajioun nimeanza kuwafatilia tuu hivi karibuni lkn nimempenda sana huyu mama Allah amuekee malaika wema ktk kaburi lake
😭😭😭😭 Allah akurehemu bib na akuondoshee adhabu ya kabr pamoja na wazaz wtu waliotangulia amiin
Innlillah wainnaillah rajuun yarab msamehe mzz wt na wazz wt walotangulia mbele ya haki amiin
Inalilah Wainailahi raajiun Allah amsamehe makosa yake na sisi atupe mwisho mwema.
Ameen
Allah ampe kauli thabit bibi yetu sote pia ndo njia
Sisi ni wa Allah na marejeo ni kwake...Allah amsameh makosa yke pamoja nasi atupe mwisho mwema..
Innalillah wainna ilayhi rrajioun. Daaah! Huyu mama nampenda sana sana ni mama mwenye haiba ya kipemba. Aliyejua kucheza nafasi yoyote hile na akaifanyia vizuri sana. Allah amsamehe makosa yake yote na amjaalie peponi iwe ndo makazi yake.
Innalillahi wainnaa ilayhi raajiuun Allah amfanyie wepesi katika safari yake yeye katangulia nasisi tupo nyuma yake yaa Rabbi tupe mwisho mema.
Innalilahi wainna ilaihi rajiun mungu akusamehe makosa yako yote ameen
Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajioun nikifikiri katika acting kumbe ni safari ya kweli kwa mwenetu Allah ampe wepesi katika safari hii yetu sote maana acting zake zilikuwa nyingi mafundisho Allah amsameh alipokosea
Allah amlaze pema Peponi bibi yetu.
Nimempenda anasomesha kwenye maadili yetu tofauti na wamama wengine, hauioni nywele wala shingo yake sawa na wamama wengine nyumbani.
Allah ape kheir za kabri na amsamehe makosa yake na ampe Malaika wema wawe wazungumzaji wake na sisi Allah atupe mwisho mwema.
Aaaaamiiiii. Yaaaraaabiii
Innalillah wainnailaihi rajiun Allah amlaze pahala pema n amuondoshee adhabu z kabur in shaa allah
Innalilahi wainailaih rajiun poleni sana mungu awape nguvu na subra kwa kipindi hichi kigumu
May Allah have mercy on her and grant her the highest rank in jannah
Inna lillah wa inna ilayhi raajiun,ALLAH amjaalie qauli thaabit.
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun Allah amlaze mahala pema
Innalillahi wainnalilehi rajiun Bi Kidecha Allah ailaze roho yako mahali pema inshallah
mungu amlaze mahala pema peponi na ampe kauli thabit😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Allah amlaze mahala pema peponi amin🤲
Innalillahi wainnaillahi rajioun Allah amkubalie memayake na amsaheme makosaye
Allah awatie nguvu familia yao kwa wakati huu mgumu
Allah amrehemu .nakumpeleka peponi amsamehe makosayake yote.
innalillah wainnailayh raajiuun. ni masanii mzuri sana na tulimpenda sana kwa kweli.
Innallilah waiyna ilaihi raajiuun 😭😭Allah amsameh makosa yake na sisi atujaalie mwisho mwema ... amiin
Allah akulaze mahal pema mama yetu kipenz amiiiiiiiina
Ya Allah mpe kauli dhabiti katika kabri lake inshaAlla
Ndio Hatma..muhimu dua2 cc ni wa mungu n kwke tutarejea..nilitamani kumuona edy best akiongea kuhusu hili
Innalillahi wainna ilaihi rajiun Allah ampe kauli thabit inshallah
Inna lillahi waina illayhi rajiun allah amlaze mahali pema peponi 🙏🏼🥺
Allah ampe kauli thabity mama yetu
Aisee,kweli ni pigo kubwa! Mimi nipo Bara lakini nilikuwa namkubali huyu Mama. Doh, haya. Sijui mtazibaje pengo langu
Allah ampe qauli thabit amuandalie makazi mazur
Innalilahi waina ilayhi rajiuuna Allah amsamehe makosa yake amfanyie wepesi safari yake amin
Allah akupe kauli thabit ulitufunza kwakweli.
😭😭😭😭😭apumzike salama bibi yetu. Allah amrahamu
Innalillah wainna ilaihi rajjiun Allah amlaze mahala pema peponi Ameen
Inalilah wainailahi rajuun poleni wafiwa inauma sana 😭😭😭😭😭
Sote ni waAllah na kwake tuta rejea Allah amlaze mashaka pema peponi
Dongo. Imeumiya sn na juwa mm poleni sn. Ndio hatma ya kila mjaa. Pia na mm nimeumiya sn huyu bibi alikuwa hodari sn sn😭😭😭😭
Innalilahi wainnailayhi rajiun Allah amlaze mahali pema
Mungu amsamehe makosa yake na ampe kauli thabit tuwe pole sote wapenzi wa jufe
Mungu amlaze mahali pema peponi amiiin
Inna Lillahi Wainnailayhi Raji'un 😢😢
Allah ampe kauli thabit