Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
Bado kuna shida hiyo mbegu chotara mnaipigia debe lakini Leo hii kuna watu wanalia kwa sababu wameshawishika na tumeambulia kilio bado kuna kizunguzungu kuhusu mbegu IPI inamafuta mengi
Eneo gani watu wametumia ikawasumbua? Sisi jukumu letu ni kufikisha taarifa zenye manufaa kwa jamii hatuna maslahi zaidi ya hayo, tumeona mafanikio ya mbegu chotara kote tulipowatembelea wakulima
Kiteto Manyara tumelima baada ya habari hizo lakini kila mtu anajuta na kusema bora angelima ile mbegu ambayo siyo chotara,sasa sijui hii mbegu ni ya maeneo mengine tu isipokuwa wakulima wa kiteto
Nmeitoa kwa huyo mkulima anahojiwa, im sure hamkuipitia vizuri hiyo video kabla hamjaiupload au aliyekuwa na jukumu hilo alipuuzia. Ni wazi kabisa mkulima alikosea ama hana taarifa sahihi.
Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
Nyie watu siasa mnaweka mbele sana kuliko elimu halisi kwa mkulima
Mbona mnasema kilo za mafuta! Semeni litres!!!!!!!!
Habar mkoa wa shin,yanga mbegu ip inahimili hali za mkoa huo
Nice project
Nahitaji mbegu hizo za chotara nazipataje kwa hapa dar nahitaji hata kesho jaman
Nimekuelewa sana.Be blessed sana
Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
Naweza kuchanganya alizeti na mahindi shamba moja
Mbegu ya hybrid inafananaje, mtuoneshe
Hiyo mbegu inaitwaje
Lema nimekupata nikiwa Mkuranga Pwani. Wasalimie Mtinko
Bengu ya choratara inapatikana kila mkoa au ni singida tuuh
Why put the title in English when the narration is all Swahilli ?
Naomba namba simu nahitaji ushauri wa zao la arizet
Tunahitaji uhalisia zaidi kwani inagharimu sana
Bado kuna shida hiyo mbegu chotara mnaipigia debe lakini Leo hii kuna watu wanalia kwa sababu wameshawishika na tumeambulia kilio bado kuna kizunguzungu kuhusu mbegu IPI inamafuta mengi
Eneo gani watu wametumia ikawasumbua? Sisi jukumu letu ni kufikisha taarifa zenye manufaa kwa jamii hatuna maslahi zaidi ya hayo, tumeona mafanikio ya mbegu chotara kote tulipowatembelea wakulima
Kiteto Manyara tumelima baada ya habari hizo lakini kila mtu anajuta na kusema bora angelima ile mbegu ambayo siyo chotara,sasa sijui hii mbegu ni ya maeneo mengine tu isipokuwa wakulima wa kiteto
Hii@@kilimobiashara9361
Mi napenda kulima kilomo cha alizeti
hiyo mbegu ipo kote nchini??
Hizo mbegu zinapatikana wapi
wapi napata mashine ya kukamua alizet kwadar??
Kariakoo gerezani stendi ya mwendo kasi .
MBEGU kilo moja ni kiasi gani?
Jaman mnatumia dawa gani kuua magugu
well it doesn't make sense, kilo 20 alizeti zilete kilo 30 za mafuta!!?
umetoa wapi hiyo taarifa, kwa mfano kama itakua kilo 20 basi mafuta yatakua asilimia asilimia 40 ya kilo 20 ambayo ni sawa na kilo 8
taarifa hiyo katoa kwa huyo mkulima wa Singida, Bw. Lema...yawezekana hana takwimu sahihi
Nmeitoa kwa huyo mkulima anahojiwa, im sure hamkuipitia vizuri hiyo video kabla hamjaiupload au aliyekuwa na jukumu hilo alipuuzia. Ni wazi kabisa mkulima alikosea ama hana taarifa sahihi.
@@saidabdallah3193 mmeshindwa kutofautisha kati ya Lita na kilo,hapo ndiko mnashindwa kuelewana.mkulima amesema kilo 20 zinatoa Lita30 na sio kilo.
WAPI NITAPA ARDHI NILIME ALIZETI TUWASILIANE edwardmkwelele@gmail.com
Naomba namba simu nahitaji ushauri wa zao la arizet
Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
Piga namba ya simu iliyo kwenye kipindi utahudumiwa
Mwachambi George, yah inawezakana.
Mwachambi George, yah inawezakana.