MBEGU ZA MITI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 вер 2018
  • Jambe Seed, Wauzaji wa mbegu bora za miti

КОМЕНТАРІ • 26

  • @stewarddriver1242
    @stewarddriver1242 Рік тому

    Naomba namba ya Steven mlimbila

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 4 роки тому

    Inapendeza sana

  • @absalommmartin2851
    @absalommmartin2851 5 років тому

    Asante kwa elimu bora kuhusu njia nzuri za upandaji miti pia na vitu vyakuzingatia kuhusu kilimo cha miti, je ile miti ya awali msimuliaji alikuwa akitueleza ya umri wa miaka mnne na hii ya mkulima ya miaka mitatu ni tofauti ningependa kujua

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  5 років тому

      wasiliana na namba zilizo oneshwa katika kipindi, utahudumiwa vizuri

  • @NTE255
    @NTE255 4 роки тому +1

    Nashukuru sana kwa afya ya ubingo mnayotupa. Napenda kujua je
    Miti hii ya mbao inaweza kustawi vyema mkoa wa Morogoro Kilosa?
    Na kama inawezekana, je naweza kupata wapi miche ya mikaratusi mkoani Morogoro?

  • @jimmyprotazi2063
    @jimmyprotazi2063 5 років тому +1

    Asante kwa kutupa elimu @kilimoBiashara naomba kuuliza mkoa wa kagera wilaya ya kyerwa Mbegu izo za mkaratuzi zinafaha naomba ushauli

    • @straitnews3441
      @straitnews3441 5 років тому +1

      Jimmy Protazi VP babu na mm nipo kagera ninevutiwa na hii kitu especially kwa pines ila ardhi ya bei rahis ndo napata WAP huku

    • @protazipius6281
      @protazipius6281 4 роки тому

      @@straitnews3441 0755845130 nitafte Gideon kanje tuongee

  • @pierresaltary795
    @pierresaltary795 2 роки тому

    Naweza kupata mbegu ya miti na sio seedling

  • @jessydevis9595
    @jessydevis9595 4 роки тому

    Mpo wapi

  • @straitnews3441
    @straitnews3441 5 років тому

    Hizo mbegu ndo tatizo tunazipataje

  • @pelezi84
    @pelezi84 5 років тому +1

    Asante sana kwa mafunzo mazuri,
    Naomba kuwashauri wadau pia wanaweza kupata elimu zaidi na kukutana na wataalamu kwenye Mitibiashara forum, forum.mitibiashara.or.tz/
    Karibuni sana.

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  5 років тому

      wasiliana nao wataalamu kupitia namba zilizooneshwa katika kipindi

  • @mohammedahmedsaeed7048
    @mohammedahmedsaeed7048 5 років тому

    Karibuni Nina mpango wa kununua shamba la Miti . Mbegu wa ekari itani kuwa bei gani na kiwango chake?

  • @desmondgideon7683
    @desmondgideon7683 5 років тому

    Ningependa kuwekeza katika biashara ya kulima miti na kununua mbegu kutoka kwenu, lakini nilikua na maswali ambayo ningependa kupata majibu, wapi naweza pata shamba nikalima miti? Na kwa kuanzia ni hekari ngapi zinafaa (najua inategemea na mtaji but roughly)?? Na mengi zaidi, sijui hizo namba za simu mlizo weka nikipiga zinaweza kunipa majibu? Asante

  • @avax5717
    @avax5717 5 років тому

    Hiyo miti haioti mkoa wa Pwani? Namaanisha maeneo ya Kibaha, vigwaza hivi

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  5 років тому

      hapana inahitaji eneo la barid na muinuko

    • @avax5717
      @avax5717 5 років тому

      @@kilimobiashara9361 kwa hiyo huku pwani miti gani inafaa?

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  5 років тому

      Mitiki

    • @avax5717
      @avax5717 5 років тому

      @@kilimobiashara9361 ooh asante sana

    • @eliminomtozi2602
      @eliminomtozi2602 3 роки тому

      @@kilimobiashara9361
      Nnauzaa shamba la kalibea hekalii 50
      7 years 0622520218