Hili ndo igizo la 48 Kwa mwaka huu Kila mwezi video 4*12=unapata jibu 😁😁😁 joti tunakupongeza mwakani mungu akupe aidia za kutosha🙏 Mashabiki nawatakia heri ya krismas na mwaka mpya mungu awalinde awafungulie milango ya riziki na mafanikio🇰🇪🇹🇿🇺🇬
😂😂, Nimecheka kama Hayawani. Lesson learnt mwanzo mwisho. Real life. Keep it up. Nishai - Chauharibifu, Mwamba - The great wall of Manka mana umemuokoa na Hadaa za Fisi Maji (Nishai). Bi Mkubwa yapo haya yakupokea bila hata kujali kimetoka wapi mpaka yawakute na Manka kwa kweli umetuonyesha mchuma janga hula na wa kwao, wewe kwa Nishai ni janga ndiyo ulilokuwa unalitafuta. Hongerani sana mmetendea haki Uhusika wenu.
Futa comments yako ama irekebishe nakuomba Sana Kwa hisani Yako.. Sio vizuri hapa duniani na kesho Kifo. Utakuwa umeweka matusi yatakukosti Ktk safari yako ya Mungu wako
Tuliokimbilia kwenye comment huku tukiangalia gonga like tujuane
#Joti is the best comedian
Yaani ilinijue kinachoendelea nasoma comment kwanza
pamoja
Best comedian huyu hapa em tumpe likes zake kwa kutufurahisha🇹🇿🙌
Tunampenda hasaa anatupa furaha
Namba 4 leo kwa mara ya kwanza. Like zenu ndugu zangu nami nijione mtu. 😂😂
Tunaomkubali joti tujuane kwa like 👍
One my fav
pamoja
Pa1 Sana hakikaa!! 💪🙌👊
Leo WA Kwanza Kutoka UGANDA Tujuane Hapa Inshaallah...
Joti kwa makiss ya Tom and Jerry Wallah nikiangalia comedy zako nacheka mawazo yote yaondoka🇬🇧🇬🇧
I like this serie is very funny 😅😅
Mary Kila Ijumaa uko fastaaa... 💪
me two
Kila siku tunamsifia joti tunasau vijana wake nao wako vizuri. Respect mwamba upo vizuri sana
Kabisa, asingefanikisha bila hiyo team nzuri..........
Siku yangu imeanza vizuri leo. Asante joti. Big kaveshwa Pete leo🤣🤣🤣🤣🤣.
Manina zako Joti, "Kumbe Mwamba! Unamwonea wviu dadako kumbe unataka kuolewa wewe..." Hahahaha, "Umekuwa mchelemchele!" hahahaa
Your fan from Kenya🇰🇪joti is the best comedian in East Africa
Wale wa kwanza kutoka 🇰🇪 ndio sisi
jamani mm kwa mara ya kwanza nimewahi hata like 10 jamani🙏🙏🙏
Jamani mie Leo wa pili naombeni like zenu😢❤
Halafu pimbi MMOJA akuja anasema mkojan anachekesha zahd ya joti fuck👀👀,,JOTI ALWAYS BEST 💥
Mkojani ndio Nani?
Nishai KAZI nzuri nimeipenda Mie niwa 31 kucomment
Huyu mama kwangu ndie mwigizaji pendwa all the time
Mashallaah mwamba ni mzury wa umbo na sura pia..mungu amueke zaid
mambo
@@eltajir poa wew jee
@@dashuu5295 Alhamdulillah za wap
@@eltajir pemba voo
Mie wa kwanza leo 💪💪💪👍👍
Nimejitahidi kuwa makini nikijua nitakuwa wa kwanza 🤦 lakini wa 21watu hamlali kabisa.Hongera mwamba 🤞
Wa kwanza leo Like zangu kama kawa
Hili ndo igizo la 48 Kwa mwaka huu Kila mwezi video 4*12=unapata jibu 😁😁😁 joti tunakupongeza mwakani mungu akupe aidia za kutosha🙏 Mashabiki nawatakia heri ya krismas na mwaka mpya mungu awalinde awafungulie milango ya riziki na mafanikio🇰🇪🇹🇿🇺🇬
kauxha damu
Hahaha kuna week 2-3 hakupost,kwasisi wa jino kwa jino
mungu ❌❌❌
Mungu au MUNGU ✅✅✅✅
You are the best Bro respect Sana 🙌🏼🙌🏼
Nishai ni m1 tyu
Much love from SA 🇿🇦 😂😂🙌
We uko bongoo bhanaa🤣🤣
Uwiiiii jot kayakanyaga 😂😂😂 Jamani ety anatia mate😅😂
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Joti ur game Will be forever on top of Republic of Tanzania Mr Bean🤣🤣
Joti kudadadeki 😂😂, wengekua unaongea lugha nyengine you would be top 10 comedian 🌍
Leo nmewah alihamdulilah, jumaa mbaraka all 💞
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asubuhi hii imeanza vizuri
Wale waliotazama asubuhiii hiii likes za KUTOSHA HAPA
Kidole kipakwe mate😂😂😂😂
😂😂😂
From Canberra Australia, nawapenda sana!
Never disappoint jotiii 🤣😂🤣😂🤸🤸
Huyo demu bado kwenye kuigiza akaze sana anaona aibu sana ,anahitaj mazoezi sana 😂
😂😂, Nimecheka kama Hayawani. Lesson learnt mwanzo mwisho. Real life. Keep it up. Nishai - Chauharibifu, Mwamba - The great wall of Manka mana umemuokoa na Hadaa za Fisi Maji (Nishai). Bi Mkubwa yapo haya yakupokea bila hata kujali kimetoka wapi mpaka yawakute na Manka kwa kweli umetuonyesha mchuma janga hula na wa kwao, wewe kwa Nishai ni janga ndiyo ulilokuwa unalitafuta. Hongerani sana mmetendea haki Uhusika wenu.
Wanaopenda kicheko cha joti tujuane hapa😂😂😂🙌🙌🙌
Daah nikweli jot anajua lakini sasaivi kidogo imepoa yani angekuwepo na sopa ingekua unyama mwingi apo
@@najimungaunga4664 Kabisa ndugu, now simuoni sijui kaenda wapi🤔
Wamama na hela🙌🙌🙌🙌🙌😂😂I thought ni mama angu tu kumbe n wamama wote wa afrika
Moja
😂😂😂 joti unajua
Mtoto Nina malengo nae😃😃😃
Daaah huyu mtu ana kipaji sanaaa... 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣
Joti you always make my day!!
Love from Burundi 🇧🇮
😆😆😆😆DAH JOTI NDO UVALISHAJI GAN HUO WA PETE ....ET mbna vidole vinene tulia nkupake mate
Respect 🇲🇾❤😂😂
Kaka na dada urafiki hukomaa pale dada atakapo pata mume na kuwekwa ndani sio kuruka ruka mitaani yaan jua mangumi daily 😄🙌
True🔥🔥🔥🔥🔥
Joti never disappoint 🤣🤣🤣
Yes
Shabiki mkubwa Sana wa Joti from eldoret Kenya.
Na kidole ushakitia mate kabisaa 😂😂😂😂😂😂
Bodaboda tumekukosea nini mama 😂😂
Mbavu zangu mimi 🤣🤣🤣joti ni 🔥🥰🥰❤
Walai Nishai.....Wapi lykes za joti jameni....kenyaa tunawapendaaaaa sanaaaaa
oya uyu jamaa ni legend wa atr salut xn brother
Joti mtu kazi💪💪🤒
No,,Mara waaah on fire 🤣🤣🤣🤣 Kaushal damu top in town 🙌🙌
arafu kuna kenge moja inataka kufananisha joti na yule bwana mvaa misuli,wakati hana jipya kila filamu "kuumbe we ng'ombe hunijuwii"
Nimecheka sana😂😂😂 joti unajua, unajua tena
"" EEEEEEHHHHH BLAZAAAA" "ENDELEA ULICHOKUA UNAFANYA" 😂😂🙌😂😂🙌
Pete hiyo sasa joti jamani like zenu kwa joti mtu mbadi😂🥰🥰🥰
Joti nakukubali sana bro ,, from kenya
Imeweza Sana...
Mwamba unajua unajua tena🙌🙌
Daah nilikuwa nimemmiss sana mwamba❤
Sheria haipingwi joti leo umejua kunifurahish leo nimechk umekuwa mchel mchel🤣🤣
Hhhhhhhhh, mwili mkubwa, kichwa cha pilitoni
Sio kitotooooo mama😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Mwanangu umenifaaaaa😂😂😂😂😂😂
Mwamba na joti huwaga fireee sana 🔥 🔥
MTOTO NDOA, NAMPA MIMBA JOTI unaua bendi!
Vifupi fupi vimalayaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
From Dammam KSA🇸🇦🇸🇦 nimekatiza usingizi leo kisa Joti Tv....Joti unajua kunianzia Ijumaa yangu wewe😃😃....Jumma Kareem
Kwani huko sangap saiv maan huku sa 1 asubuh
Time tuko sawasawa na East Africa.lakini Ijumaa huku ni siku ya mapumziko.watu wanalala mpaka saa tano kuendelea
OK by the way kama hutojal unaweza nipati handle yako ya twitter nikuer lafiki ako mtanzani mwenzngu🤝🤌
Nyie mnao Lilia like.. Huwa hizi like mnalipwa au?
Mwili mkubwa kichwa cha piritoni😂😂😂😂
Nakubali sana nyote mlioshiriki
Wale wote wakucomment wa kwanza nipeni like viazi nyinyi..mwaudhi kweli musio rate kazi nyie ujinga tuuu
Futa comments yako ama irekebishe nakuomba Sana Kwa hisani Yako..
Sio vizuri hapa duniani na kesho Kifo.
Utakuwa umeweka matusi yatakukosti Ktk safari yako ya Mungu wako
@@mrjaula7769 acha shobo mtoto wa kiume hya na ww kafute zako unazo tukana msenge
Joti You Are so funny From Rwanda.🤙🤙🤙
Respect Mwamba💪
Hivi mnalala kweli ❤️❤️❤️❤️👌💯
😂😂yn we acha watu hawalal
Khaaa Joti Konyo kweli weye😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Joti number one I'm from South Africa
Joti akilizako unazijua mwenyewe
😂🤣😂 BEST COMEDIAN
Jamani huyo mwamba qnajua kuigiza saana, anaitendea haki nafasi yke
Huyu dada nmesoma nae arusha day kama sio ngarenaro primary arusha
🤣🤣🤣ni mfupi huyu mtu jmn🔥🤣🤣
😀😀😀😀😀 namba 3
😂😂😂
Mimi ndo wakwanza tujuane hapa nataka likes zangu 😅😅
Huyu jamaa kuwa na jot safi sana jot fikiria kuwa nae
Joti mjinga sanaa, hayo mabusu Sasa😅😅😅😅😅😅😅
much love from 🇶🇦🇶🇦🇶🇦😀😀😀
Joti unaheka heka si mchezo😂😂😂😂😂😂😂😂
Joti umetisha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia nikuonyeshe vitu alivyonipa mama🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu joti noma sanaaaaaaa anajua
😂😅😂😅😂😅😂😅 King 🙌🙌🙌
Number one naku ku bali kutoka Goma Congo Drc
Jot lakini we mzima❤❤❤❤👍👍
😂😂😂 ikabidi nicheke 😂
Never disappoint 🤣🤣🤣🙌
Aaaaah 😂😂😂😂
Hahahaha 😂 Da ni noma aise Kuna ma brother niwanoko Sana
hahaha hahaha hahaha!! kinukutaaaaa umebainikaaa!!!