MCHAWI NDUGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 тра 2023
  • Dunia imekwisha jamani,uwazaniao sio kumbe ndio ndugu zako wa damu wanaweza kukumaliza...
  • Комедії

КОМЕНТАРІ • 432

  • @ezekielmtega8960
    @ezekielmtega8960 Рік тому +14

    Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Рік тому +57

    Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz Рік тому +102

    Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏

  • @maxwellkongoman781
    @maxwellkongoman781 Рік тому +35

    Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @mosesmaiga7408
    @mosesmaiga7408 Рік тому +16

    Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe

    • @franknangonga9166
      @franknangonga9166 Рік тому

      Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi

  • @tariqhassan1385
    @tariqhassan1385 Рік тому +27

    Mtoto: Baba naenda wapi
    Mzazi: Nenda kajiuze
    😂😂😂😂😂😂

  • @Tnjosph25PT
    @Tnjosph25PT Рік тому +14

    Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Рік тому +2

      Haswaaa 😊

    • @Tnjosph25PT
      @Tnjosph25PT Рік тому +1

      @@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Рік тому +2

      @@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu

  • @mtakabiruyassin
    @mtakabiruyassin Рік тому +13

    Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥

  • @championtop2
    @championtop2 Рік тому +32

    On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 Рік тому +40

    😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo

  • @swalehthefinest
    @swalehthefinest Рік тому +24

    Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi

  • @ignatusmponji3609
    @ignatusmponji3609 Рік тому +17

    Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 Рік тому +6

    Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Рік тому +9

    Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama

  • @user-gt5yd1jj2h
    @user-gt5yd1jj2h 3 місяці тому +1

    🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮

  • @totoclass2470
    @totoclass2470 Рік тому +11

    Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki

  • @jassonkagaruki964
    @jassonkagaruki964 Рік тому +9

    Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣

  • @omaryphua191
    @omaryphua191 Рік тому +5

    Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro

  • @salomeblack0
    @salomeblack0 Рік тому +76

    Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Рік тому +10

    Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому +5

    😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua

  • @deakins.z7793t
    @deakins.z7793t Рік тому +43

    This man is a legendary since 2014

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Рік тому +12

    Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Рік тому +14

    You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!

  • @officialmsigwa5069
    @officialmsigwa5069 Рік тому +8

    Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Рік тому +1

    Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @abrahamsuppy6041
    @abrahamsuppy6041 Рік тому +7

    Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Рік тому +5

    Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti

  • @mcbartonkesh3664
    @mcbartonkesh3664 Рік тому +2

    Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka

  • @iddybakery5209
    @iddybakery5209 Рік тому +4

    Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁

  • @Babuumuvea
    @Babuumuvea Рік тому +1

    Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto

  • @mauasuleysh1404
    @mauasuleysh1404 Рік тому +5

    A big lesson walah😢 congratulation joti

  • @ndutu6564
    @ndutu6564 Рік тому

    Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏

  • @samsonilengteng-oc4hp
    @samsonilengteng-oc4hp Рік тому +4

    Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏

  • @alphamwanamtulekenya5390
    @alphamwanamtulekenya5390 11 місяців тому

    Inamafunzo mno love from KENYA 254

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Рік тому +5

    Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Рік тому +1

    Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Рік тому

    Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera

  • @kararaera8161
    @kararaera8161 Рік тому +1

    Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃

  • @winnawiliamwinnawiliam8859
    @winnawiliamwinnawiliam8859 Рік тому +1

    ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 Рік тому +1

    Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu

  • @dennismazanda7226
    @dennismazanda7226 11 місяців тому

    Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako

  • @reiphan9894
    @reiphan9894 Рік тому +2

    jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .

  • @michaelclement8335
    @michaelclement8335 Рік тому +2

    😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia

  • @alikaru6916
    @alikaru6916 Рік тому +1

    Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Рік тому +1

    Hii ndo ile professor jay alisema;
    "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
    ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣

  • @kassimmubba2736
    @kassimmubba2736 Рік тому

    Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.

  • @numohd
    @numohd Рік тому +1

    Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂

  • @felixochiengomondi6189
    @felixochiengomondi6189 Рік тому +1

    😅😅😅 joti nomaa sana😅😅. Mchawi ndugu kweli 😅

  • @rubsonheritier5940
    @rubsonheritier5940 Рік тому +2

    😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Рік тому +6

    Joti anajua sana kuigiza sana akuna kama joti❤❤❤❤❤

  • @emanuelmiyonjo4484
    @emanuelmiyonjo4484 Рік тому +2

    Nakubari san joti

  • @user-mc5us4lh1f
    @user-mc5us4lh1f 5 місяців тому

    daaah namuona shemeji yangu wa ushuzi wa ngedere

  • @annaki318
    @annaki318 Рік тому

    Wooooow Leo tuliowahi mkuje tupongezane 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq Місяць тому

    😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja

  • @jacksonlikunga5666
    @jacksonlikunga5666 Рік тому

    Huyu mndamba wabiro yuko vzr

  • @milungaapeshijerome
    @milungaapeshijerome Рік тому

    Daaah amakweli mchawi pesa

  • @eventstransportationservic9194

    Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana

  • @lwamseletiyonas5232
    @lwamseletiyonas5232 Рік тому +1

    Eti nina shamba la bangi😂😂😂

  • @sebandaki8795
    @sebandaki8795 Рік тому +1

    Bonge ya content big up jot am so proud of you

  • @evaristimramba9047
    @evaristimramba9047 Рік тому +1

    My best comedian

  • @bekamansoor5990
    @bekamansoor5990 Рік тому

    Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako. Big up guys

  • @richlaterjunior384
    @richlaterjunior384 Рік тому

    Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv165 6 місяців тому

    Yani hata wanaongalia mgonjwa tayari washavaa nguo nyeusi za mazishi .....ubunifu mkubwa sana 🤣🤣

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 Рік тому

    Eti shamba la bangi...hahaha.we police katamaki

  • @abdallahmshuza2548
    @abdallahmshuza2548 Рік тому +1

    Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Рік тому +2

    Joti mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💪💪

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Рік тому +1

    Unafanya masihara na watu bongo kitu kwanza utu baadae mke anageuka

  • @etoo_comedy
    @etoo_comedy Рік тому +1

    Mlewa shenzi sana alijificha

  • @abuyassrissacharque-rc2vl
    @abuyassrissacharque-rc2vl Рік тому +1

    kweli imenikuta kwenhe familia yangu

  • @francethomas8059
    @francethomas8059 Рік тому

    Joti mimi shabiki kuliko kawaida ila ni mtu nae cheliwa sana leo nipe ata like kidogo mzee wetu kwenye ubola wako

  • @mulundi
    @mulundi 9 місяців тому

    Nyipen like zangu jaman

  • @Mr_destiny
    @Mr_destiny Рік тому

    Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Рік тому +2

    Chuma inaondoka😂😂😂😂😂

  • @faustinthomas9551
    @faustinthomas9551 Рік тому

    😂😂shamba LA bange😂😂😂😂😂

  • @rashidimrangi1953
    @rashidimrangi1953 Рік тому +1

    JoTi akishut kama mzee namkubali sna

  • @user-en5sg8bs4p
    @user-en5sg8bs4p Рік тому

    Nakukubali sana

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Рік тому

    Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana

  • @kamanyile
    @kamanyile Рік тому +3

    Leo wa kwanza like zangu kama zote

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc Рік тому +1

      Unakula likes kenge wewe

  • @husseinsalim7211
    @husseinsalim7211 Рік тому +1

    He never disappoint joti kiboko😅😅😅😅

  • @shabanizena2612
    @shabanizena2612 Рік тому +1

    Nomber one in comedian

  • @itsdavy_
    @itsdavy_ Рік тому

    bingwa mmoja tu tz

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo5494 Рік тому

    Hii ya babu inafunza sana safii kabisa

  • @asternjulius890
    @asternjulius890 Рік тому

    Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Рік тому

    Serikaliii eeee, sitaki kuwaona hawa😂😂🙌

  • @meshackaloyce9662
    @meshackaloyce9662 Рік тому +1

    Hahahahaha 🤣 jott umetisha sana

  • @pauldamian5308
    @pauldamian5308 Рік тому

    Anacho fanya joti hapo Kwenye maisha ya kweli yapo ndugu Wanabadilika sn Mtuu akifariki

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Рік тому

    Unatafuta hera kwashida familia inataka ufe warithi😭😭😭😭🙏🙏🙏dunia hiii acha tu ila juti unajua

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Рік тому

    Babu kapaliwa na drip😂🤣😅😀😁

  • @jecoog6086
    @jecoog6086 Рік тому

    😂xhamba la bange mulla unaitania serikalii

  • @mokiwasaid-sg9gd
    @mokiwasaid-sg9gd Рік тому

    😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti

  • @farajiramadhani647
    @farajiramadhani647 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂 you are the best BABU JOTi

  • @officialmaasai4602
    @officialmaasai4602 Рік тому

    Afande kawa chawa

  • @King_David2.
    @King_David2. 3 місяці тому

    Nimtoboa kimaisha😂😂

  • @bekamansoor5990
    @bekamansoor5990 Рік тому

    Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Рік тому

    Kula chuma icho 😅❤❤❤

  • @rukaiyadickson6234
    @rukaiyadickson6234 Рік тому

    Aliesikia Kujamba cheche nani😀😀😀

  • @user-ge8mk8is3b
    @user-ge8mk8is3b Рік тому

    Hatale ❤

  • @bigshipsounds
    @bigshipsounds Рік тому

    😂😂😂😂😂😂 9.41😅😅😅😅😅 shamba la bangiiiiiiiii

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Рік тому

    Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢