@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
Hii ndo ile professor jay alisema; "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge] ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu
Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂
Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏
❤❤
Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe
Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi
Mtoto: Baba naenda wapi
Mzazi: Nenda kajiuze
😂😂😂😂😂😂
Hii imeenda..Dah
Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏
Haswaaa 😊
@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
@@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu
Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥
On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!
😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo
Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi
Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂
Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥
Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama
😂😂
🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮
Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki
Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣
Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro
Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa
Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua
This man is a legendary since 2014
Be for 2014
@@TungoZaMswahiliJk exactly 💯
Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH
You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!
Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉
Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁
😅😅😅😅
Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto
A big lesson walah😢 congratulation joti
Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏
Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏
Inamafunzo mno love from KENYA 254
Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti
Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai
Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera
Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃
ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu
Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako
jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .
😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia
Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂
Hii ndo ile professor jay alisema;
"Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.
Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂
😅😅😅 joti nomaa sana😅😅. Mchawi ndugu kweli 😅
😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa
😂😂
Joti anajua sana kuigiza sana akuna kama joti❤❤❤❤❤
Nakubari san joti
daaah namuona shemeji yangu wa ushuzi wa ngedere
Wooooow Leo tuliowahi mkuje tupongezane 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja
Huyu mndamba wabiro yuko vzr
Daaah amakweli mchawi pesa
Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana
Eti nina shamba la bangi😂😂😂
Bonge ya content big up jot am so proud of you
My best comedian
Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako. Big up guys
Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃
Yani hata wanaongalia mgonjwa tayari washavaa nguo nyeusi za mazishi .....ubunifu mkubwa sana 🤣🤣
Eti shamba la bangi...hahaha.we police katamaki
Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!
Joti mbavu zangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💪💪
Unafanya masihara na watu bongo kitu kwanza utu baadae mke anageuka
Mlewa shenzi sana alijificha
kweli imenikuta kwenhe familia yangu
Joti mimi shabiki kuliko kawaida ila ni mtu nae cheliwa sana leo nipe ata like kidogo mzee wetu kwenye ubola wako
Nyipen like zangu jaman
Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana
Chuma inaondoka😂😂😂😂😂
😂😂shamba LA bange😂😂😂😂😂
JoTi akishut kama mzee namkubali sna
Nakukubali sana
Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana
Leo wa kwanza like zangu kama zote
Unakula likes kenge wewe
He never disappoint joti kiboko😅😅😅😅
Nomber one in comedian
bingwa mmoja tu tz
Hii ya babu inafunza sana safii kabisa
Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo
Serikaliii eeee, sitaki kuwaona hawa😂😂🙌
Hahahahaha 🤣 jott umetisha sana
Anacho fanya joti hapo Kwenye maisha ya kweli yapo ndugu Wanabadilika sn Mtuu akifariki
Unatafuta hera kwashida familia inataka ufe warithi😭😭😭😭🙏🙏🙏dunia hiii acha tu ila juti unajua
Babu kapaliwa na drip😂🤣😅😀😁
😂xhamba la bange mulla unaitania serikalii
😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti
😂😂😂😂😂😂😂😂 you are the best BABU JOTi
Afande kawa chawa
Nimtoboa kimaisha😂😂
Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣
Kula chuma icho 😅❤❤❤
Aliesikia Kujamba cheche nani😀😀😀
Hatale ❤
😂😂😂😂😂😂 9.41😅😅😅😅😅 shamba la bangiiiiiiiii
Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢