Joti, please, you are so hilarious and you are always full of creativity. Please Afande let them get dressed😂😂 Thank you for making my night. Watching you from Ohio, USA.
Oya joti wewe ni noma ndugu yangu yani hawajakosea kupuka tunzo ya comedian bora tanzaia mm nakukubali wewe ni mbunufi mzur nahuishiwi mbuni kaza buti mzee mwenzangu 😂
Jamaa anaweza ,kama unamkubali nishai mtombangile kitwango miguno ,mikazi ,hahomben like zenu jaman
😀😀😀😀umetisha
Talented comedian mashabiki wa joti tujuane kwa like apa😄😄😄😄
✌️
Ila kanyinyi he deserve always every character even boss or policeman congrats kanyinyi, congrats joti, congrats joti team
Ila nishai anakipaji natural sema bongo hatupendi vyanyumbani, natamani ingekua na subscribes million 10
Niko ndani mapemaaaaa kwa ndugu yangu JOTI mwambaaaa wa comedy... 😂
😂😂😂 huyu mdada mweusi anajua sana kufit katika character👏🏽👍🏽
Simply extraordinary 🔥❤️🔥
Hello mary may check me out via my email
🤣🤣🤣🤣🤣dah Joti ungejua watu tuna stress but u making our day ubarikiwe
Joti, please, you are so hilarious and you are always full of creativity. Please Afande let them get dressed😂😂 Thank you for making my night. Watching you from Ohio, USA.
Sasa kizungu yote hiyo kaka joti na kizungu wapi na wapi
Siku za mwizi ni arobainne leo Nishai kapatikana🤣🤣🤣
Zamwizi arubàini sasa imefika
Wachane nichekee, God bless more brother CEO wa comedy TZ God bless more
Nishai love you from Burundi 🇧🇮!!
I really like your script!!
Joti mungu akupe maisha marefu broo unatufanya tunakuwa na furha tukiangqlia vichekesho vyako
🎉unaweza sn comedy
Manka (huyo dada mwenye amesuka) sijamuona kitambo sana. Mrudisheni please anajua huyo.
Joti hana akili kabisaaa naona kaona 1:15 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂💪
Hivi kuna mchekeshaji kwa hii east african nzima anamzidi mimi kiukweli sijawahi kumuona anaemuzidi Joti anajua bana 👊😂😂
Mashaallah dorisi shepu og kabisa hadi rahaa tunalinga na mashepuu yetuu 🤣🥰🥰mliokuwa hamna uturiki kuna wahusu🤣🤣🤣🤣
Unacomment au unachamba😄
Itabidi uanze kulipia matangazo
shadya
@@misosi81 Beeeh moh
Ijumaaa Yangu nimeianza vizuri na Joti Ahsante Shekhe Kitombangile
Joti huyu demuuuu anajua man 🤣🤣🤣🤣uki mtrain sana mna share element na chemistry
Nimecheka sana joti utauwa huna mpinzani😂😂😂😂
Duuuh😂😂😂🤣🤣nimecheka kwa sauti aisee et nimeshakula miti shamba vipi huko nitapata huduma
😂😂😂chezea miti shamba wewe
Mmetisha Sana Jama
Comediani hatari zaidi nakubali joti😂😂😂
Bro umetisha
Jumma kareem....asante Joti kwa kutupa furaha na asubuhi
Ilisikika sauti kwa mbali ya muhudumu akisema lete taulo hilo wewe lete taulo la aftatu hilo wewe😂😂
🧐🧐🧐🧐 umetisha kinyama
Ahsante mtombangile kwa burudaniiiiii 🥰❣️
Joti unajua mpk unajua tenaaa 🤣🤣😂
😂😂😂😂😂 daaah nimecheka kichizi yaaani
Jot you never disappoint 😂😂😂😂😂
Joti unajuwa kk ndy sifa yko dah😂🤣🤣🤣🤣
Kaz nkopeshwayo dorsi
Nataka kucheka sina mbavu❤...
Siku yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😆😂
Dada kakopwa ety 🤣🤣🤣 nishai 🙌🙌
Daah ,nimecheka kifala sana yan
Oya joti wewe ni noma ndugu yangu yani hawajakosea kupuka tunzo ya comedian bora tanzaia mm nakukubali wewe ni mbunufi mzur nahuishiwi mbuni kaza buti mzee mwenzangu 😂
Kama unamkubal huyu mwamba gonga like hapa
Joti never disappoint 🤣🤣🤣 mbavu zangu
aliyemkubali Askari kanyinyi Agonge like
Tuleteee staring ya babuu bnaaa 😁😁
kaka unaona Mimi nasura ya ujambazi🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani huyo polisi kama kweli ,dah,fanya uombe KAZI ya upolisi umependeza SANA.
Sina utofaiti na mganga wa kienyeji😆
Joti never disappoint nakubali Sana Bro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥
Sema uyo dada mwenye amesuka namkubalig kinyamaa..
😂😂😂😂😂 huyo jamaa anakomaa na taulo lake daaaah
Best comedy ever 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ana nywele fulani kama mpunga wa kisele😂
Big up joti broo 😂🙌🏽
Kiboga yupo vizuri Zaid kuliko nishai
Doris mtraaa much love
Timu joti❤❤❤❤❤
😂😂😂 nimechekaaaa
The Greatest content creator in Africa Joti😅🙌
😂😂😂eti nakopwa
nishai umekopa sambusa duuuh,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mmetisha sana 🙌🙌🙌
Miuno ya nishai💥💥
Mtombangile kitwango😄😄😄
Mwamba anasema ntakupa mm ela mbuzi kafia kwa muuza supu
😂😂😂 miti shamba
Joti yani upo vizuri nakubali kazi zako
Leo wa kumi na tano🔥🔥🔥👍🤩😂😂😂♥️😂♥️🇹🇿
🤣🤣! Doriceee 🤣🤣! Happy to see Mwamba though he was "home alone' 😁. Kanyinyi na Mlewa hivyo visa kuwatoa watu ndani kwenda kuwaanika
Joti unajua xn 😀😀😀😀😀
Here from Doha l can't miss his vedio.. keep up Joti you put a smile on me always
Jot namim napenda kuwa msanii na kipsj ninacho nisaidie
Muhudumu wa guest ni maandaziiii
Joti kwa nini lkn🤣🤣🤣🤣🤣gonga like hapa
Kanyinyi yo way better than most of bongo movie Shrek's
Nimejifunza kitu kuhusu guest bubu
Kipi
@@scorasticaclement6308 changanua best..vitu vingine sio vya kuandika humu
Mie mwenyew sieki tv ndan mpira ntakua naend kutizam njee😂😂😂😂😂
Kwa hiyo Nishai, dem kamla, guest Bubu hajalipa, na kabakiza nguvu anaenda kumalizia kwa mke halali 😆
Napend Ako kamdundo😂✌️🔥
Genius actor from Tanzania
Aaa huy jamaa ninom san namkubal kinom yan
Hahaha Umekopa na Taulo umeondokanalo pia..Nishai kweli wewe Nishai. 🤣🤣🤣🤣🤣
They are so funny😂😂😂
Umetisha san bro
Asali Tena 😂😂😂😂😂🤣
Napenda kazi zako joti
Joti bana😂😂😂😂😂😂😂
Joti atafia njian kwa mitishamba aliyoitafuna 😂😂😂
🤣🤣. Kumbe alikuwa anatafutwa Mwamba akamponza na Dorice.
Wa kwanzaaa kuanglia
Ndo sawa
Missss you nishai🤣😆🤣😆🤣😴💋😘💃
Mkaliii✋✋✋
Talented jot from 🇦🇶🇦🇶
Joti joti kwanini unahamuwa kunichekesha🤣🤣🤣🤣🤣
Joti unatisha kaka kaziiiiiiiiii nzuri
@@allyhamadi3908 niatar Kweli
Sasa huko tutapata hifadhi maana Nimeshakula miti shamba... 😂😂😂
Joti mwehu kabisa😂😂
Angalau leo kidg nmewah wahi
Leo hatukai😅😅🤣
Jot talented pure
😂😂😂😂 Nishai ulikumbuka kuvua nguo kabla ya viatu mana umetoka nje viatu vipo miguuni
dah😄😄😄eti nishakula miti shamba nishai
Unaasali kwanza🤣💞
Kaka nitapate hifadhi kwl maan nimekul Miti shamba na Una asali kwl natak kuwangia mtto 🤣🤣😀
Haha Talented One
Joti bimkubwa ako asingekuzaa angeumwa sana tumbo wallah
joti wani umiza mbavu zangu😂😂😂
Taulo iloo we