Yaa Allah naomba niondolee nukisi kwa maisha yangu na pia nipe furaha na riziki niweze kulea wanangu waondolee magojwa wanangu Yaa Allah naomba walinde na husda zawalimwengu na machawi Amin Amin
A Salaam aley khum mimi ni mkristo ila nimekuwa na Imani na dua hii imemponya Kaka yangu aliye sumbuliwa na vifungo vya KICHAWI zaidi ya miaka 5 tumeliwa pesa nyingi sana kwa waganga lakini Kupitia bando la 2000 tu ameponywa sasa hanywi pombe hali ugolo leo ni siku ya nne toka tumewekee dua hiii Nilichokifanya nikaweka sauti kubwa kwenye redio mahallah amepona
@@AsdDsa-fi5qk Hizi dua yatakiwa kwanza uwe na imani ya kuwa anayepinyesha magonjwa na ALLAH utapona ila Kama ila Kama imani inaelea utachewa kupona japo utapona Iman ndo kila kitu
Yaa Allah ni ondolee matatizo na changamoti kazini kwangu na bos aniongeze mushahara inshallah naamini kupitia hii dua Allah utanipa shufaa kwakila matatizo yangu Amin
Yaa Allah muondolee maradhi mwanangu Kama nikwa uwezo wako mfanyie shifaa kama ni binadamu wabaya Allah kupitia dua hii yamrudie mwenye
Yaa Allah naomba niondolee nukisi kwa maisha yangu na pia nipe furaha na riziki niweze kulea wanangu waondolee magojwa wanangu Yaa Allah naomba walinde na husda zawalimwengu na machawi Amin Amin
Mungu nijalie niwe mwema pia nijalie nulu ktk watu wanao nizunguka ktk jamii mia niondolee na mahusuda ote🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yarabbi naomba nitoe magonjwa mwilini mwangu ya allah naomba msamaha wako mola wangu 😭😭😭😭😭
Allah haongopi na hii dini na hiki kitabu ni mwisho WA matatizo yote. Mimi nilikuwa mkristo Ila sasa nimeslim . Hii Quran achana nayo kabisa
Duaa nzuri sana maashaallah tabaraka rahman Allahu bareek Alhamdulillah yarabi takabali duaa Amin Allahumma maamin
😊😊v
😊❤😂😂❤❤❤😊😂
Shukrani shekhe nimefarijika na. Dua na Kutoa chozi jicho la kulia na Kuhisi tumbo kuwaka moto
Nakuomba yarabi uniondoshee maradhi yanayo nisibu katika mwili wangu amiin
A Salaam aley khum mimi ni mkristo ila nimekuwa na Imani na dua hii imemponya Kaka yangu aliye sumbuliwa na vifungo vya KICHAWI zaidi ya miaka 5 tumeliwa pesa nyingi sana kwa waganga lakini
Kupitia bando la 2000 tu ameponywa sasa hanywi pombe hali ugolo leo ni siku ya nne toka tumewekee dua hiii
Nilichokifanya nikaweka sauti kubwa kwenye redio mahallah amepona
Aliposikia hii Dua ilikaa skungaap Kisha akapona??
@@AsdDsa-fi5qk Hizi dua yatakiwa kwanza uwe na imani ya kuwa anayepinyesha magonjwa na ALLAH utapona ila Kama ila Kama imani inaelea utachewa kupona japo utapona Iman ndo kila kitu
Naomba mwenyez mungu niondoshee maradh yanayo nisumbua na mitihan katika maisha yang Inshaallah Amin🙏🙏🙏🙏🙏
Yarby niondoshee machawi mailin mwangu. Naukailinde familia yangu kupitia dua iih,, Amyin jazakalauh kheri ❤❤
Yaa Allah nakuomba unijaalie uneondie kwenye husda mimi na mama yangu Mimi nirudiane na yule ni mpendae kwa dhati nakuomba muumba wangu 🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba yarabii unitoe kila aina ya magonjwa inshallah
Yarab naomba uniondoshee maradhi haya yanayonisumbua ktk mwili wangu ktk kizazi changu nikapate kuitwa mama tena na tena🤲
Yaa allah muondolee maradhi mwanangu kama ni kwauwezo wako mfanyie shifaa kama ni binadamu wa baya Allah kupitia dua hii yawarudie wenyewe 🙏🙏🙏🙏🙏
Allah nifanyie wepisi maradhi ya tumbo yaniondeke kabisa InshaaAllah
Naomba yarabi unitoe magonjwa yanayo nisumbua katika maisha yangu inshallah
Ya Allah niondolee maradh Yarabby
Amesha waondolea Ila msichoke kusoma Duaa kila wakati insha'Allah 🙏
In shaa Allah@@kissamwamunyange1018
Yallah naomba uniponye maradhi nànijifunguwe salama
Yarab kiupitia dua his naomba umondoshee maumivu yote maradhi alokua nayo mume wangu na umjaalie wepesi apone inshaallah
Nakuona Allah uniondolee majaribu mola wangu niondole na maradhi yarabi
Yaa yarab naomba unijaalie niweze kujifungua salama mtoto mwenye afya njema na Uniondolee maradhi yaliyomo mwilini mwangu
Yarabi niondoree macawi nahusida niondoree kugomana kiramara nifungurie riziki yarabi waondore mitihani wanangu wape Kira wanaco hitaji Amina yarabi❤
Allahumma ameen tunaweza kupata kitabu ustadh
Ya Allah nakuomba uniondolee mazito nilionao nimeteseka sana kupitia jinn linatesa sina amani sijui limetumwa ya rabbi nipe shifaa ya rabbi ameen😢
Nalia kila siku Allah anifanyie wepesi na mimi
Naomba nisaidie namba yako mpendwa
Ya Allah naomba unirudishie nyota yngu na wepesi maishani
Naomba dua hii iniondolee maumivu yakiuno na miguu nimekunywa dawa sana ht siponi
yarab naomba unisaidie na watoto wangu amina
Ya Allah tuongozee watoto wetu majirani ndugu zetu jamaa zetu na utuhifadhi sisi na majumba yetu yaraby
yarbi naomba niondshee marazi katika mwili wangu yanayo nisumbua nafamilia yangueyote
Allah nipe wepesi na mimi maradhi yaniondoke mwilini mwangu😢
Amin yarb amin allh atufanyie wps n atukinge amn
Naomba yaraibi niondoshee mitihani kwenye maisha yangu
Yalabi
Nakuba
Niomdolee
Matatiz
Kwemy
Mweli
Wang
Kupitu
Duw
Hiii
Amina
Yah Allah nifanyie wepesi 🙏
Amiiin ,naomba maradhi yote yanitoke au nipone ,naomba nifunguliwe riziki yangu
Yaaarab nakuombea uniondolee mitihani inayo nisumbua ktk maishayangu na unijarie kheri na familia yangu
Allah tufanyie wepewi wangonjwa wa pande nne zote za dunia
inshaallah kwa uwenzo wa duu hii iwe shufaa kwa mke wangu na mtoto wake tumboni
Allah naomba uniondoshee maradh nijalie ridhik ya halal
Kupitia duwa hii Allah niondoshee Marathi yote namuamin allah
Mungu naomba unifanyiewepesi wamaishayangu
Yaa Allah ni ondolee matatizo na changamoti kazini kwangu na bos aniongeze mushahara inshallah naamini kupitia hii dua Allah utanipa shufaa kwakila matatizo yangu Amin
Yalab naomba uniponye maladhi vitu vibaya viliopo ndani yangu inshallah 🙏
Yaallah naombao niondoshee matatizo anayopitia binti yangu Kwa maradhi yanayomsibu, na family yote Kwa ujumla,,aamina
Nakuwombo mola wangu niwondoleye marazi yanayo nisumbuwa
Yarrabi niomdelee mavurugano ndani ya nyumba yang n utupe amani na upendo inshallah
Allahuma amin yarab naamini umeniondoshea marazi yote yanayonitesa kwa mwili wangu amiini
Ya allah nakuomba uniodolee maradhi yote mwilini kwangu na wanangu
Eeeh mwenyezi mungu naomba uniondolee maladhi haya yanayo nisumbua
Yah Allah nifanyie wepesi
Ya Allah kwa huruma wako fungua milango ya shifaa kwa ajili ya binti yangu na umpe shifa ya Allah🤲
Yallah nakuomba uniondoshee maradhi
Ya Allah Naomba Dua Kwa dadangu Alima Waliaro kumuondolea magonjwa
Amiina
Ya allaah naomb uniondesh maradhi yaliyom kweny mwil
Yaa Allah muondolee maradhi mwanangu amiin
Ustadhi naomba unisomee DUI hii iniondelee maladhi na vifungo Mimi na familia yangu
Ya Rabi niondolee maradhi ya tumbo
Yaa Allah naomba uniponyee maradhi yangu pamoja naama anguuu
MashaAllah, Yani hii Dua kama una walimu kichwan 🤣🤣🤣hatar 😁😁
Amin rabbi alamin
MashaAllah, Allah barik.
Nakuonba allah niondolee Maradhi niliyonayo
Amiin ya rabi tufayie wepesi
Ameen inshaallah 🙏
Eeh mwenzi mungu naomba huondoe kila gonjwa linalonisumbua ndani ya mwili wangu
Allahum amin ya Allah
Naomba yarabi niondolee maradhi yangu.na.matatizo.yanayoniandama.na.uniondoshee mitihan.inshallah
Mashllh naomba yarabi unitoe magonjwa yanayo nisubua matatizo yoyote mimi na family yangu inshallh
Yarraab Allah SWT Name 🙏🏼🤲🏼🤲🏼
Ustadhi naomba uniombee na mm naumwa
Amin inshallah 🙏
yarabi nakuomba uniongozee mwanangu njia mzuri.awe na kauri.mzuri awe msikivu na mwelevu maneno yenye busara
Amina inshallah 🤲
Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha ishaanlh
Amiin thuma amiin yarabi niponye yarabi 😢😢😢😢😢
Yaaa Allah twaomba utupe shufaa sisi waja wamko Inshaallah 🤲🤲🤲
Yarabby Naomba Unifungue MwiLi Wangu Kupitia Dua Hii.
Allahuma AMina. Naiwekunu fayakunu Dua hii ikubaliwe.
Ameen ya Mujib
Amina yalabi lalamina
Naomba uniombee Dua usitadhi naumwa
Amin yarabi🤲🤲🤲🙏🙏
Amini ya biraalamina
Masha ALLAH jazauka llahi khàiry baada ya khery Janata naiiim Amin Amin
Yarabi niondolee magonjwa na mashetani kwa mapenzi yako naamini kwako hakuna kinacho weza kunidhuru niepushe na nafsi
Ameen inshaallah
Amin
Insha Allah
Yaallah naomba niondoshee maradhi ,,nuksi uchawi
Amiin Inshallah🙏
Hakika nimefarijika naduwa hii Alla a azidi kuwajalia nami aninushulu kwa kila ahina ya uchawi namajini Ishaallaah asamteni san
Shukurani amiin
Ameen
Amini,amin
Asalam aley kum naomba Jina ya hiki kitabu
Amina yaarabi
Ya Allah utukubalie dua zetu inshallah
Naomba na mm dua
Amin😊
Aaamin🤲🤲🤲