Mbona mnapata shida watanzania maneno mengi hayasaidii, kama ni uteuzi wa mungu ataendelea na huduma, kama si mungu hakuna huduma itakayoendelea, muachieni Yesu Kristo mungu mkuu afanye kazi yake
Angekuwa mtumishi wa Mungu asingetoa maneno makali ya shombo vile mtumishi wa Mungu unamjua wewe hahahahaa mtu wa Mungu hajibu Wala haongei mitandaoni maneno kama yake hata siku moja
yaani akirudi utamkosa mumeo tutampiga mawe mpaka afe chakufanya we mfate huko congo mkatapeli wacongo sio apa tena we dada usimsumbue mama yetu anamajukumu yakutulea watanzania
Mheshimiwa Raisi tunakuomba sana msikilize huyu mama mke wa Baba yetu Pastor Dominick arudi ni mambo mengi mazuri amefanya ni mwanadamu ambaye anashaurika , tusaidie Mama Samia
Ukiwa mgeni usijisahau kwa watu yule jamaa kashakosea kukejeri na kusema walimuogopa yaani huyo mwanamke kama ndo mmepanga kikao kwamba aje mitandaoni kumuomba rais arudi hawezi kurudi Kuna watu wanauchungu naye atapigwa
Acha kumuomba mama yetu kwani ana majukumu mengi ya raia wake na sio Kwa ombi lako Hilo na kama unamuhitaji huyo mumeo basi mwambie huyo mumeo akupeleke kwao huko Congo....kama kweli huyo mumeo anakupenda kiukweli basi mfuate kwani huo ni mkonga wake na hawezi kuutelekeza....mm namuomba mama yetu kuwa asiweze kusikiliza Kwa lolote ulisemalo ...hapo mwanzo hukuweza kuyaona makosa ya mumeo alivyokuwa anaewafanyia watu ukawa unaona Raha sana haya endelea Tena nikupe ushauri mzuri Bora uende ukaliendeleze kanisa la mumeo maana sio kanisa la MUNGU kama alivyosema huyo tapeli wako .....mm nakuita ww kuwa ni kiboko ya mnafiki....narudia Tena muombe mumeo akupeleke kwao Congo na sio kumsumbua mama yetu....UKOMEEEEE......!!!
Mumeo huyo mkaishi naye Kongo watoto wakapate malezi yake mkiwa Kongo sio lazima kuishi Tanzania.nguvvu zake kwanini asizitumie kuua wanao sababisha vita kule Kongo amani haipo. Tunatamani hata Kongo akafanye kazi Kongo kuwe amani.ina maana anauchungu na Tanzania kuliko kwao?
Kama unampenda mumeo mwambie acheee maigizo watanzania atutaki maigizo akiwa bado mwigizaji aigize hukohuko Congo akimaliza maigizo tunamkalibisha tanzania sisi watanzania hatuna shida ila maigizo hatutaki
Kauli alizozitoa akiwa congo ulimkataza asiongee hana unyenyekevu wowote huyo bwana ako ana maneno magumu sana hawezi kurudi onyo gani kwenye nnchi za watu nani alishindwa kumuonya yaani ukiwa mgeni ukazingua hakuna cha onyo unaenda kwenu
Nashauri huyu mke wa huyo ndugu apewe passport ya kumruhusu kumjoin mmewe ambaye kwa mujibu wa maneno mengi aliyosema yenye kejeli kwa watanzania hastahili kurudi huku, maana ataendelea kutukana. Mama anayo haki ya kumfuata mmewe wakalee watoto pamoja!
Nawachukia sana wachukaji wanaowatoza watu pesa wakati Neno lasema mmepata bure toeni bure Mmeo kaitukana sana nnchi yetu kaidhalilisha kakejeri watu kuwa niwajinga waliokuwa wanampelekea pesa sapesa zimeisha wataka arudi tena msumbue watu minazani ufungashe virago vyako mfuate mmeo usimsumbue Raisi wetu mamaetu kipenzi anakazi nyingi kwani alivyokuja nchini mlitaarifu?
Watanzania fitna tunayo sana fitna nikubwa mno serkali ichunguze jambo hili kwa makini na serkali ya tz iko very careful sina wasi juu ya hili kila kitu kitakaa sawa na MUNGU aitetee familia hii inayopitia magumu kwa kipindi hichi hayo ndio maombi yangu ( haya mambo yalianza toka zamani mitume na manabii walipigwa vita vingi wengine waliuawa lakini shauri la MUNGU lazma lisimame amin)
Mmmh!!..Huyo bwana wako alikuwa anakufanya uwanja wa bibi alisaidia watu gani acha uongo nendeni huko kongo mkaishi huko mbona hajakupeleka maana yake huko wanamasharti yao makubwa
Naomba hili lisikilizwe huyu mtu ni mfarakanishi wa Familia za watu kama ndoa haifate ilipo mtumishi wa mungu ni kuunganisha watu na sio kufanya watu wakosane sijui biblilia gani anayoitangaza .
Mama yangu mama Samia naomba kwaheshima ya nnji Yako usije mruhusu huyo muongo akae kwenye taifa lako chakumsaidia apate nauli aende Kongo akalee watoto wake huko na tapeli wake
Ukweli ni kwamba kama MUMEO angekuwa anajari familia angeondoka na familiya ila ukweli hafai hata kidogo mmekuwa watu wakutumia matatizo ya watu kupata hera nyinyi ni mataperi bado na wengine wanafuata
Kiboko. Ya wachawi amekuwepo Tanzania kwa ajili ya kuanguka na kusimama kwa wengi,hata kama ana mapungufu ya kibonaadamu,bado ana mengi mazuri ambayo hakuna mtumishi mwingine aliyo nayo Tanzania. Ndugu zangu tujihadhari na mtu huyu tusije tukaingiza ujanja ujanja baadaye ikatokea kuwa tunashindana na Mungu,kama humwamini nyamaza,acha wanaomwamini wapokee huduma hiyo.Ukweli utabaki kuwa ukweli,kila aliyeliingilia jambo hili isivyo haki atavuna uharibifu sasa au baadaye,ni jambo la wakati tuu!
Mungu ni mwema ataludi kwa uwezo wa mungu
Mbona mnapata shida watanzania maneno mengi hayasaidii, kama ni uteuzi wa mungu ataendelea na huduma, kama si mungu hakuna huduma itakayoendelea, muachieni Yesu Kristo mungu mkuu afanye kazi yake
Ni kweli
tumia akili kateuliwa na Mungu wewe ulikuwepo au udaku tyuu. mtatapeliwa mpaka muwe masikini
Dada mwogope Mungu...kama niswala la ndoa mfate Congo,acha kuchosha watu...Mume wako ni muasi,tena mpotoshaji,tena si mtumishi wa Mungu,Bali msani...
Mungu amtienguvu mtumishi kiboko ya wachawi ananguvu kubwa Sana Sana. NakuKubali. Baba hata wakupige vita. Ata yesu alipigwa mawe
Yeye si kiboko ya wachawi sasa analia nn
Kiboko ya wachawi kalogwa🤣🤣
Uongo mtupo manabii wa uongo ndo hao
Hee Yesu hakuwahi kupigwa mawe popote duuu
Angekuwa mtumishi wa Mungu asingetoa maneno makali ya shombo vile mtumishi wa Mungu unamjua wewe hahahahaa mtu wa Mungu hajibu Wala haongei mitandaoni maneno kama yake hata siku moja
yaani akirudi utamkosa mumeo tutampiga mawe mpaka afe chakufanya we mfate huko congo mkatapeli wacongo sio apa tena we dada usimsumbue mama yetu anamajukumu yakutulea watanzania
Mwenyezi mungu Ni mwema hakika atarudi tu inshaalah
Mheshimiwa Raisi tunakuomba sana msikilize huyu mama mke wa Baba yetu Pastor Dominick arudi ni mambo mengi mazuri amefanya ni mwanadamu ambaye anashaurika , tusaidie Mama Samia
hujasikia tu alichokisema huyo bbaba yenu amemis zile laki tano zenu
Ukiwa mgeni usijisahau kwa watu yule jamaa kashakosea kukejeri na kusema walimuogopa yaani huyo mwanamke kama ndo mmepanga kikao kwamba aje mitandaoni kumuomba rais arudi hawezi kurudi Kuna watu wanauchungu naye atapigwa
Acha kumuomba mama yetu kwani ana majukumu mengi ya raia wake na sio Kwa ombi lako Hilo na kama unamuhitaji huyo mumeo basi mwambie huyo mumeo akupeleke kwao huko Congo....kama kweli huyo mumeo anakupenda kiukweli basi mfuate kwani huo ni mkonga wake na hawezi kuutelekeza....mm namuomba mama yetu kuwa asiweze kusikiliza Kwa lolote ulisemalo ...hapo mwanzo hukuweza kuyaona makosa ya mumeo alivyokuwa anaewafanyia watu ukawa unaona Raha sana haya endelea Tena nikupe ushauri mzuri Bora uende ukaliendeleze kanisa la mumeo maana sio kanisa la MUNGU kama alivyosema huyo tapeli wako .....mm nakuita ww kuwa ni kiboko ya mnafiki....narudia Tena muombe mumeo akupeleke kwao Congo na sio kumsumbua mama yetu....UKOMEEEEE......!!!
Kwani nauliza unataka afanye nini kwa mwizi anayo waiting yatu wewe hukuwona wala hukusikia kwanini hukumukataza asimame vyema
❤let lo
Mumeo huyo mkaishi naye Kongo watoto wakapate malezi yake mkiwa Kongo sio lazima kuishi Tanzania.nguvvu zake kwanini asizitumie kuua wanao sababisha vita kule Kongo amani haipo. Tunatamani hata Kongo akafanye kazi Kongo kuwe amani.ina maana anauchungu na Tanzania kuliko kwao?
Angekamatwa nae.nitapeli.
Kua na iman akuna libaloshindikan mungu atakusaidia baba yet nabii kibk atarud asante
Nyooo
Nyooo Arudi wapi Congo au
Kama ulimpenda sana usinge mruhusu afanye utapeli na udanganyifuu
Muache aende jamani mungu amewaokoa watu wake kwa kutoeka kwake
Acha kumpigia mama kelele na utapeli wenu, si uende Huko Kongo mkaishi na mkale nyama za nyani vizuri, na unabii wenu wa uongo mkatapeli na Wacongo
Mungu akupe ujasiri simama amini hakuna linaloshindikana Mungu akutie nguvu
Unamuitaji.mume.wako.aludi.kwenye.huduma.ya.kupereka.watu.jehanamu.kwa.kutaperi.watu.mkanye.mumeo.haziache.roho.za.mungu.aache.wizi.hakuna.msaada.hapi.hapo.ni.kuzimu.harudi.tana.kwajina.la.yesu.hata.kongo.Bwanayesu.atamfuata.arafungiwa.tu
Nenda congo toka hapa tapeli
Kama unampenda mumeo mwambie acheee maigizo watanzania atutaki maigizo akiwa bado mwigizaji aigize hukohuko Congo akimaliza maigizo tunamkalibisha tanzania sisi watanzania hatuna shida ila maigizo hatutaki
Maigizo yao ayo
achaujinga ww siunde ukakae nae huko Lubumbashi asije tena hapa
Dada pole sana
Achana na tapeli,angekuwa bora angeondoka nawewe.
Kwan mke wa kiboko ni yupi sasa make kila Mtu anasema nimkewe hii imekaaje.
Kauli alizozitoa akiwa congo ulimkataza asiongee hana unyenyekevu wowote huyo bwana ako ana maneno magumu sana hawezi kurudi onyo gani kwenye nnchi za watu nani alishindwa kumuonya yaani ukiwa mgeni ukazingua hakuna cha onyo unaenda kwenu
Nashauri huyu mke wa huyo ndugu apewe passport ya kumruhusu kumjoin mmewe ambaye kwa mujibu wa maneno mengi aliyosema yenye kejeli kwa watanzania hastahili kurudi huku, maana ataendelea kutukana. Mama anayo haki ya kumfuata mmewe wakalee watoto pamoja!
Nenda kongo kwa mme wako anatukana imani eti amemess laki tanotano.msada wako Ni Mungu wewe .
Wewe si mke tafuta passport umfuate Congo.mke si ndo humfuata mume.Kwetu hakanyagi tena kwa dharau kubwa kiasi hiki
Nawachukia sana wachukaji wanaowatoza watu pesa wakati Neno lasema mmepata bure toeni bure Mmeo kaitukana sana nnchi yetu kaidhalilisha kakejeri watu kuwa niwajinga waliokuwa wanampelekea pesa sapesa zimeisha wataka arudi tena msumbue watu minazani ufungashe virago vyako mfuate mmeo usimsumbue Raisi wetu mamaetu kipenzi anakazi nyingi kwani alivyokuja nchini mlitaarifu?
Akafungue kanisa kwao heeee kamanihatumtaki anatoza lak 5 heee pesa ya ngombe wa maziwa hapana aende zake huko nyoooo
Msamehe Mama lakini tusimsikie makanisani, ni mpotoshaji!
Msamehe mtumishi wa Mungu
Eti
huduma n popote bas akatulize ghasia congo bcoz charit begin at hom
Nyie watu mwigopeni MUNGU Unajali tu familia yako na hao mnao wapotosha hamwonei huluma
Toka tena upotee kabisa mmekuwa mnafurahia hela za machozi za watanzania mfuate huko kongo tapeli mkubwa akakufundishe na nawewe😊
H😢
Watanzania fitna tunayo sana fitna nikubwa mno serkali ichunguze jambo hili kwa makini na serkali ya tz iko very careful sina wasi juu ya hili kila kitu kitakaa sawa na MUNGU aitetee familia hii inayopitia magumu kwa kipindi hichi hayo ndio maombi yangu ( haya mambo yalianza toka zamani mitume na manabii walipigwa vita vingi wengine waliuawa lakini shauri la MUNGU lazma lisimame amin)
Fata hko huyo mjng tapeli
Mfate congo mkafanye utapeli shirika
kimawazo yako upo sahh ila hanautofaupi na wale wakamchape kwaiyo hata watumishi wengi wa kiserekali ni wachawi kwaiyo ilolinawezakuwa gum kuweleka
Sio kweli anapotosha watu Bwana
LAKINI HAINA SHIDA. MUNGU ANAJUA
Hatamsamehee
Bado unahitaji mume wako arudi au tuendelee kuona vituko kwanza
Usimtete tuache Mungu afanye kazi yake na serikari ifauate utaratibu
Bado hujasema yaani mbaka useme naona umemisi laki 5 tano
Mmmh!!..Huyo bwana wako alikuwa anakufanya uwanja wa bibi alisaidia watu gani acha uongo nendeni huko kongo mkaishi huko mbona hajakupeleka maana yake huko wanamasharti yao makubwa
Naomba hili lisikilizwe huyu mtu ni mfarakanishi wa Familia za watu kama ndoa haifate ilipo mtumishi wa mungu ni kuunganisha watu na sio kufanya watu wakosane sijui biblilia gani anayoitangaza .
Yule jamaa ni mjinga hawezi Rudi tena huku
Mfate Kongo em usituletee mikosi nchi yetu Ni nchi moja amaizing usituchafulie na mumeo
Mungu akutie nguvu
Bora uolewe huku huku bhana
MFUATE KAMA MNAPENDANA, WATU MLIOWAPOTEZA NI WENGI, UKIMUANGALIA NYANI USONI UTAVUNA MABUA, MSHINDWE KWA JINA LA YESU
Waongo mama samia niwawotee
Kwa hyo wew na mume wko kazi kutapeli watu mnatoza watu ela kanisani ondoa sura yko apa
Kwahy mje mtuibie
Yan wew akili huna hat kdg xiku zote akun aliyekamilika hap dunian kila mtu Ana madhaifu yake
Kiukweli mungu ndie mtoa hukumu
Huyo jamaa akirudi Tanzania tunamkata kichwa.
Mama samia hanaloho mbaya
Amfuate Congo, Tena akitaka mie nitampa Lift afike Huku Congo.!
😂
Mama yangu mama Samia naomba kwaheshima ya nnji Yako usije mruhusu huyo muongo akae kwenye taifa lako chakumsaidia apate nauli aende Kongo akalee watoto wake huko na tapeli wake
Watanzania munajifanyaka wajaja kumbe hovyo munatapeliwa na'mcongo 🤣🤣🤣 shida
Yeye mwenyewe ni mchawi ndio maana aliitwa kiboko ya wachawi, tumechoka kudanganywa akuna mungu wa ivyo kwisha habari yake.
uyu dada kichaa Kama anampenda kweri amwambie aache kutaperi watanzania kiukweri tulio wengi tuliumia kuendelea kumluhusu aendelee nauduma nisawa nakuwaangamiza wananchi
Wechizi Nini? Umetapeliwa wewe. Unaumwa na ugonjwa ambao siyo wako
Amekutapeli Nini? Inawezekana wewe nimchawi
Eti najua mama haupendi ma single mother alikwambia hatupendi😂😂😂
Kwa hiyo aendelee kutapeli wa Tanzania? Si uende kwao?
Mbona anatoza pesa nyingi aende zake huko tapeli kwenda huko hatumtaki mtumishi tapeli tapelii hapana hapana
Ukweli ni kwamba kama MUMEO angekuwa anajari familia angeondoka na familiya ila ukweli hafai hata kidogo mmekuwa watu wakutumia matatizo ya watu kupata hera nyinyi ni mataperi bado na wengine wanafuata
Muingo, eti mtii mynenyekevu wapi, amefanya jina la Mungu likatukanika, asamehewe arudi mtaani lkn makanisan hatutaki matapeli
Tapeli yeyote ni Mhalifu. Mumeo katumia Dini kutapeli, hatufai hata kidogo.
Kwenda kumanyoko zenu c yupo Congo anatutukana watanzania
Siaende congo kwa mumewe wakaishi kwani lazima hapa?
AENDE KUSAIDIA WAJANE KONGO. AACHE KUENEZA CHUKI NA UCHAWI TANZANIA.
Kumbe bila kanisa hawali saivi kilakitu ni biashara
Kiboko. Ya wachawi amekuwepo Tanzania kwa ajili ya kuanguka na kusimama kwa wengi,hata kama ana mapungufu ya kibonaadamu,bado ana mengi mazuri ambayo hakuna mtumishi mwingine aliyo nayo Tanzania. Ndugu zangu tujihadhari na mtu huyu tusije tukaingiza ujanja ujanja baadaye ikatokea kuwa tunashindana na Mungu,kama humwamini nyamaza,acha wanaomwamini wapokee huduma hiyo.Ukweli utabaki kuwa ukweli,kila aliyeliingilia jambo hili isivyo haki atavuna uharibifu sasa au baadaye,ni jambo la wakati tuu!
Amuogopi mungu
Okoka mama Hakuna njia ya mkato kwa Mungu
Okoka mama Hakuna njia ya mkato kwa Mungu
Mumewako nikifreemason
Mfuate Congo.huyu siyo Mtumish ni tapeli
matapeli
Tapeli mwenzio jeuri akome
Nenda mfute nawewe kongo kama uwezi mbona sisi mbona masingle maza tunalea wenyew watoto
Kwani kuna shida gani kwenda DRC?
Usituchefue nenda kaishi kongo kwa maana na ww ni tapeli ulikua ukiona na kujua pigo za mumeo
NJOOOO KWANGU UTATULIZANA
Ninaombi moja tu kwa mheshimiwa @SAMIA SULUHU HASSAN , tafadhari niko chini ya miguu yako mama kama ni kanisa akafungue kwao Tz. Ni marufuku HATUTAKI.
Huduma nipopote tu aweza kuanzisha aanzishe hukohuko congo
Tunamtaka pastor Dominique Arudi
@@aidanmgimwa5459 hukohuko
😂😂😂😂pole mpare lako hilo ulitaka urahisi ukakutana na taperi pambana usimchoshe mama yetu 😂😂😂
Dada pole usimtegeemee mwanadam mtegemee mungu😂😂😂😂😂😂😂😂acha upumbavu mumeo ni mchawi mmoja au hajawahi kukuloga?
Mfate Congo
Sasa si mfate congo sasa
Haya ni mapito tu wangemuonya mumpe mda name ni binadam 1 sio kosa bali kurudia ndio kosa ndio kosa
Msimuingize mama kwenye upuuzi wenu we mfuate tu mumeo kama unampenda
Tapeli arudishwe kwao
KAMA UMEOLEWA NA MKONGO NENDA KWA MUMEO. HUYU NI MTU HATARI SANA SANA KWA WANANCHI WA TANZANIA. HAWA WANAANDIKIANA SCRIPT ASOME KWA MAMA.
Naitwa rashidi niko congo uku atutaki makanisa tunaitaji miskiti
Udini peleka chooni brother nani kasema hivyo au unajiongelea tu ujinga
Umemiss pesa za utapeli
Kwani lazima si amfate huko huko?
Mume wake anatapeli watu anashindwa kumpa mke pesa asuke kisuko kinachoeleweka
Watanzania hatumtaki aende akatapeli wakongo wenzake huko au aje kambi ya wakimbizi awe mkimbizi tu
😂😂😂😂pole mpare lako hilo
Acheni utaperi msitumie injili kutapeli watu
Unapendeza kwa pesa za udanganyifu
Jamani kwani siwaende congo wakafunguwe kanisa huko wameona sisi watanzania ndo wakutapeliwa ? Mimi nashauri waende congo hapa tumeshachoka matapeli
Si mnatapeli ee
Nenda kongo ukweni