WATANZANI WENZANGU KWANZA NIANZE KWA KUMSHUKURU MUUMBA MBINGU NA ARDHI ALHAMDULILLAH NA MUNGU AENDEELEE KUIBARIKI NCHI YETU YA TANZANIA 🇹🇿 TUDUMU KUWA KATIKA HII AMANI MUNGU AISITIRI NCHI YETU JUU YA USHOGA NA ALLAH AVIHIFADHI VIZAZI VYETU JUU YA USAGAJI NA USHOGA ,,NATAKA KUWAAMBIA KITU NDUGU ZANGU WATANZANIA TAFUTENI PESA NA RIDHIKI ZENU KWA NJIA YA HALALI NA ALLAH ATAZIWEKEA BARAKA RIZIKI ZENU NA ALLAH ATAZIWEKEA BARAKA NYUMBA ZENU NA FAMILIA YENU WATU WASITAKE KUFOSI MAISHA ISHI MAISHA YAKO KILICHO KUWA CHA MSINGI USIKAE KIZEMBE WEWE PIGA KAZI YA AINA YEYOTE ILE MAADAM IWE YA HALALI TUU KISHA JAMBO LA MAISHA MUACHIE MUNGU WALLAH KAMA ALLAH ALIKUANDIKIA WEWE KATIKA HII DUNIA LAZIMA UTAPATA MALI BASI JUWA HUTA KUFA MPAKA UMILIKI VILE ULIVYO KADILIWA NA MUUMBAJI NA KAMA YEYE ALLAH ATAKUWA AMEKUWEKA KATIKA HALI YA CHINI BAS WW SEMA ALHAMDULILLAH KISHA USIWACHUKIE WALE WALIO KUWA JUU MANA HUJUI SIRI YA MAFANIKIO YAO NINI WALLAH HUWO UMASIKINI ULIOKUWA NAO KUNA WATU WANAUTAMANI SEMA HAWAWEZI KUSEMA ,,MANA SEHEMU WALIZO JIINGIZA NI ZA HATARI NA HAWAWEZI KUJITOA KWA VILE VIAPO WALIVYO KULA IMMA WAKITAKA KUJITOA UTASIKIA NI CHIZI AU AMEKUFA AU SALAMA YAKE NI KUSHIKAMANA NA IMANI ILIYO YA SAWA PENGINEVYO UTASIKIA DAAAA JAMAA KAMA MASIHALA JAMANI TUZIFUNZE NAFSI ZETU NA ZA WATOTO WETU JUU YA KULIZIKA KWA TULICHO KUWA NACHO IPO SIKU MUNGU ATAKUBADILISHIA LAKINI NI KWAWALE WENYE IMANI ALLAH ATUONGOZE NA ATUPE MWISHO MWEMA.
Chifu MUNGU wa mbinguni akusaidie sana.duniani akuna tajili ambae atampita sulemani.lakin Leo yupo wapi.amegeuka udongo.wacha kupoteza roho za MUNGU kwasababu ya kumfata shetani wako.maisha ni kama kunijilisha upepo soma mathayo 16:26 okoka chifu Dunia hii sio ya milele.walikuwepo matajili kuliko wewe wamepita na Leo hawapo tena.basi ata wewe ndani ya mia 100.utakuwa umegeuka udongo.nafasi Bado ipo BWANA YESU anakupenda.acha kupoteza roho za MUNGU kwasababu ya pesa za mashetani.utajibu nn kesho mbele za MUNGU.muamini yesu nae atakuokoa.na kukutoa katika utumwa ambao teari umeingia .na unajutia nafsi yako sasa.mungu akusaidie sana amina.kila kitu kinapta Dunia hii.
Pumbavu hela si unazo FREEMASON KUBWA WEWE mwanamke si utamtunza wew unataka mwanamke mwenye hela gani ushetani tu wenye hela zao za maana huwa hawapendi misifa kama wewe
Ushindwe kwa Jina la yesu kristo huna uwezo wala mamlaka n heri kuwa maskini lkn una amani kuliko kuwa tajiri kwa kutoa kafara na amani huna moyoni ww mwenyewe unatamani ungepata nafasi ya kuhepa kwa hicho chama ungetoka lkn unashindwaa tuu Mungu ana haja na ww brother kubali kumpa yesu maisha yako
Vijana tujitume tusitafute short cut na kuingiziwa fikra za ajabu na watu kama Hawa kidogo chetu🙏 Mungu Kwanza Pili Mungu Mwisho Mungu Allah atufanyie wepesi
Ndugu tafakali na tumia mitandao kama maktaba kuna vilivyo fichwa ili usijitambue mfano mdogo hakuna mpaka leo tajili alie mfikia mansa musa hao wengine wanalazimisha kupita utajili wa muaflika mansa hembu waza kidogo kimetokea nini mpaka Africa tumekuwa mikia Acha kupinga kila kitu jifunze ndugu waambie na wenzako namii mwenzio sina muda mwingi wa kujifunza ila najitaidi kujua vitu na maisha asili
Ayubu 20:4 Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi, Ayubu 20:5 Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu? Ayubu 20:6 Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikilia mawinguni; Ayubu 20:7 Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi? Waebrania 9:27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; KUMBUKA HAYO NI YA MUDA KAMA HUJAPATA KWA HALALI BASI KILICHOMBELE YAKO NI HAYO MAANDIKO HAPO JUU.
Tafuta kuanza mungu bro, umupe maisha yako Yale yote niubatili tuliishi haliiyo sisi yenziyo ila leo tume mrudiliya mungu muumba, mtafute angali ana patikana
Kuna aliyekuwa na pesa na magari kuliko wewe anaitwa Ginimbi, na Mali alizokuwa nazo kwa magari hayo yanaingia zaidi ya mara 10,000. Yuko wapi? Mpe Yesu maisha yako. Haitakufaidi kitu kupata ulimwengu mzima kisha nafsi yako kuja kuteketea motoni na shetani yule yule uliyemtumikia ndo atakuadhibu.
Eee Mungu wa Mbinguni na Ardhini Mmiliki wa viumbe vyote inasikitisha sana😢😢 Vijana wengi wanapotea kwa tamaa za Kidunia saivi pesa na Nguvu na Umaarufu imekua ni fashion ya maisha... Yaa Allah tujaalie Mwisho Mwema... Tuepushie na huu ujinga wa Kidua. Na haikua starehe za Dunia ila ni za muda mchache.. Na kwa Mungu kuna ufalme wa milele.
Tubu sasa Mungu anakupenda Neema bado ipo ila siku inakuja ambayo Mungu ameiweka Ili kumhukumu mwanadam inatisha sana Yesu anarudi utaifaidia Nini ukipata fahali yoote na mwisho ukatupwa Jehanam milele
Duh sasa apo kaka inabidi mwanamke utakae muoa umpe na mtaji wa biashara ili asiende kwa bass wake. Na unaeza pata mke ambae anazo pesa ila hazilinganiki na ulizo nazo mana apo ushaongelea jicho la 3 tayari ushawatisha watu
Ww bado ujasema akili siyo timamu hata mume hawe hana pesa mke wake hatatulia ww ndo huwezi kuoa maisha yako yote huwezi kuwa na mke hata ufanye nn ww n FREEMASONS na KAFALA YAKO N KUTOKUOA KABISA MSHEZI WW GODLOVE
Mungu ametuumba na macho mawili, ya kiroho na yakawaida , jicho la tatu linatokea wapi Kama si jicho la shetani aliye laaniwa ? Hasbunallahu wani'mal wakil
Kwa mali ulizonazo unaweza kupata mwanamke yeyote unayemtaka. Na mwanaume kazi yako ni kulea mwanamke . Kama una hofu kutunz mwanamke basi wewe ni maskini. Unatakiwa uwe na mke. Fungua viwanda uajiri vijana wenzio.
Your soul is more important and that is what the devil is working day and night to make sure you don't get to know. Omba mungu afungua macho ya roho yafunguke uone .....chagua maisha hizi mali ni ya kukupumbaza macho usione....omba usife kama hujamjua Yesu...kwa maana adhabu ijayo si ya mchezo.....😢
Kwanza bado mshamba na hela zake za masharti fala ww unazani kuna anae taka kuwa kama ww mshamba mmoja Tu kafie mbele na hela zako za mashetani ngoja si tuone hao maskini usiowataka halafu tafuta mume akushone
Kwataarifa Yako wanawake wasio na pesa ndio wanaojenga mji ndo mama Bora kwa watot Sasa oa huyo mwenye pesa akunyooshe ,kwanz hatakuheshim hata kuwa na adabu,Bora uoe mama wa nyumbani acha kudharau wanawake masikin pesa sio Kila kitu umenikera sana
Life does not consist in the abundance of things, Maisha siyo magari na majumba wala ni kumuogopa mungu na kumtumikia. Hakuna faida yakupata hizo fedha na kupoteza nafsi yako
Kwani umesikia wapi mtumwa wa shetani akiwa na akili za kukumbuka alikotoka😂😂😂😂 kwanza wakifika huko wanapolwa akili kisha mambo mengine yanafwata Jamani Yesu kristo atabaki kuwa namba moja aki💯🙌🙌🙌🙌💃💃💃💃💃
Utajiri wa kudumu upo kwa Yesu kristo Shetani hanaga utajiri wa kudumu kwa mwanadamu hata siku moja Wewe bado ni kijana mdogo sana Kuna matajiri wakubwa walikuwepo kabla yako sasa hivi awapo Acha kumtumikia shetani ndugu okoka Leo andaa maisha yako ya umilele baada ya kifo Cha damu na nyama
Mwenyewee unaonekana unapitia shida kwanza uwezi kull kama watu wengine😂😅 mjinga unaroho yakishetani kwanza nawasiwasi umemuuwaa yule mtt namkee uwezi kupata kchawi wewe😅😅😅
Jamani amesema kila pete ina maana yake. Na Ukitaka kupata pesa jiunge kwenye ulimwengu wa 3 no ya simu katoa unalipia laki moja . Sasa mtu hujaelewa nini ? Kwamba huyo kijana pesa anapata wapi?
WATANZANI WENZANGU KWANZA NIANZE KWA KUMSHUKURU MUUMBA MBINGU NA ARDHI ALHAMDULILLAH NA MUNGU AENDEELEE KUIBARIKI NCHI YETU YA TANZANIA 🇹🇿 TUDUMU KUWA KATIKA HII AMANI MUNGU AISITIRI NCHI YETU JUU YA USHOGA NA ALLAH AVIHIFADHI VIZAZI VYETU JUU YA USAGAJI NA USHOGA ,,NATAKA KUWAAMBIA KITU NDUGU ZANGU WATANZANIA TAFUTENI PESA NA RIDHIKI ZENU KWA NJIA YA HALALI NA ALLAH ATAZIWEKEA BARAKA RIZIKI ZENU NA ALLAH ATAZIWEKEA BARAKA NYUMBA ZENU NA FAMILIA YENU WATU WASITAKE KUFOSI MAISHA ISHI MAISHA YAKO KILICHO KUWA CHA MSINGI USIKAE KIZEMBE WEWE PIGA KAZI YA AINA YEYOTE ILE MAADAM IWE YA HALALI TUU KISHA JAMBO LA MAISHA MUACHIE MUNGU WALLAH KAMA ALLAH ALIKUANDIKIA WEWE KATIKA HII DUNIA LAZIMA UTAPATA MALI BASI JUWA HUTA KUFA MPAKA UMILIKI VILE ULIVYO KADILIWA NA MUUMBAJI NA KAMA YEYE ALLAH ATAKUWA AMEKUWEKA KATIKA HALI YA CHINI BAS WW SEMA ALHAMDULILLAH KISHA USIWACHUKIE WALE WALIO KUWA JUU MANA HUJUI SIRI YA MAFANIKIO YAO NINI WALLAH HUWO UMASIKINI ULIOKUWA NAO KUNA WATU WANAUTAMANI SEMA HAWAWEZI KUSEMA ,,MANA SEHEMU WALIZO JIINGIZA NI ZA HATARI NA HAWAWEZI KUJITOA KWA VILE VIAPO WALIVYO KULA IMMA WAKITAKA KUJITOA UTASIKIA NI CHIZI AU AMEKUFA AU SALAMA YAKE NI KUSHIKAMANA NA IMANI ILIYO YA SAWA PENGINEVYO UTASIKIA DAAAA JAMAA KAMA MASIHALA JAMANI TUZIFUNZE NAFSI ZETU NA ZA WATOTO WETU JUU YA KULIZIKA KWA TULICHO KUWA NACHO IPO SIKU MUNGU ATAKUBADILISHIA LAKINI NI KWAWALE WENYE IMANI ALLAH ATUONGOZE NA ATUPE MWISHO MWEMA.
Wala ataoa maishani mwake. Na Itafika tu wakati atajuta, hamjui shetani vizuri, ngoja apate akili kidogo.
Kweli kabisa
Tansania 80 % of pple r in Freemanson true
Asante sana
Eti jicho la tatu😢😢😢😢 Mungu atusaidie tuweze kulidhika na maisha🙏🙏🙏 Asante kwa ushauli
Chifu MUNGU wa mbinguni akusaidie sana.duniani akuna tajili ambae atampita sulemani.lakin Leo yupo wapi.amegeuka udongo.wacha kupoteza roho za MUNGU kwasababu ya kumfata shetani wako.maisha ni kama kunijilisha upepo soma mathayo 16:26 okoka chifu Dunia hii sio ya milele.walikuwepo matajili kuliko wewe wamepita na Leo hawapo tena.basi ata wewe ndani ya mia 100.utakuwa umegeuka udongo.nafasi Bado ipo BWANA YESU anakupenda.acha kupoteza roho za MUNGU kwasababu ya pesa za mashetani.utajibu nn kesho mbele za MUNGU.muamini yesu nae atakuokoa.na kukutoa katika utumwa ambao teari umeingia .na unajutia nafsi yako sasa.mungu akusaidie sana amina.kila kitu kinapta Dunia hii.
Ni sawa lakini kila kitu kina zama zake huyo nabii uliemtaja ulikuwa wakati wake na huyu mwamba ni muda wake pia so #kojoaukalale boss kasema
Acha kujifariji kwa hizo hadithi, tukubali tu kuwa mwamba ana maisha hata kama ni ya muda mfupi
Ameni na MUNGU akubaliki
😂😂😂@@mussabaraka9498
Pumbavu hela si unazo FREEMASON KUBWA WEWE mwanamke si utamtunza wew unataka mwanamke mwenye hela gani ushetani tu wenye hela zao za maana huwa hawapendi misifa kama wewe
Ushindwe kwa Jina la yesu kristo huna uwezo wala mamlaka n heri kuwa maskini lkn una amani kuliko kuwa tajiri kwa kutoa kafara na amani huna moyoni ww mwenyewe unatamani ungepata nafasi ya kuhepa kwa hicho chama ungetoka lkn unashindwaa tuu Mungu ana haja na ww brother kubali kumpa yesu maisha yako
Unamjua yesu au kwasababu imani za dini umerithishwa tyu, dini ni za wazungu mbn mababu waliishi bila kuwa na imani za dini..
Sura yako imekosa nuru.
Unaonekana kuwa mwenye wasiwasi.
Pole Bro.
😂😂😂😂😂
Mtu mwenye pesa hawezi kukosa nuru.we masikini ndio huna nuru.matajiri wote Wana nuru.acha wivu
Vijana tujitume tusitafute short cut na kuingiziwa fikra za ajabu na watu kama Hawa kidogo chetu🙏 Mungu Kwanza Pili Mungu Mwisho Mungu Allah atufanyie wepesi
Ndugu tafakali na tumia mitandao kama maktaba kuna vilivyo fichwa ili usijitambue mfano mdogo hakuna mpaka leo tajili alie mfikia mansa musa hao wengine wanalazimisha kupita utajili wa muaflika mansa hembu waza kidogo kimetokea nini mpaka Africa tumekuwa mikia Acha kupinga kila kitu jifunze ndugu waambie na wenzako namii mwenzio sina muda mwingi wa kujifunza ila najitaidi kujua vitu na maisha asili
Haya wasio na laki wakakojoe wakalale 😂😂 nimecheka watu wako serious na kaz 😂 @chief mm nakuombea SKU moja ufanye kaz na Yesu utapendezea sana sante
So sad broo, any thing without lord is nothing in this world may GOD open your mind
Kwa bahati mbaya Unatumika na shetani. Pole. Sote tumefanikiwa sana kuliko wewe. Utukufu kwa Mungu wetu JUU. Amina
Mungu akurehemu utoke ulipo maisha ni ya kitambo kifupi sana ila ghazabu ya Mungu juu ya uwovu ni kubwa mno
Mwenyezi MUNGU akurehemu Kwan huenda haujui ulitendalo , Ee Mungu mrehem mja wako
Aamiin
Jicho la tatu😂😂😂😂😂
Mm sijaona cha maana alichoongea
Kabisa
@AwadhAlly-k1fAnajalibu kukokota vijana wale wenye kutaka maisha mepesi Mungu azinusulu roho zao🙏🙏🙏
Ayubu 20:4
Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi,
Ayubu 20:5
Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?
Ayubu 20:6
Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikilia mawinguni;
Ayubu 20:7
Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?
Waebrania 9:27
Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
KUMBUKA HAYO NI YA MUDA KAMA HUJAPATA KWA HALALI BASI KILICHOMBELE YAKO NI HAYO MAANDIKO HAPO JUU.
Tafuta kuanza mungu bro, umupe maisha yako Yale yote niubatili tuliishi haliiyo sisi yenziyo ila leo tume mrudiliya mungu muumba, mtafute angali ana patikana
Kimekulamba mwenyewe utakwenda peke yako kuzimu🙌 in the name of Jesus, hatujiungi ng'oo😂😂
Hahahaha kaka unafurahisha,hongera kwa kufanikiwa,Omba sana Mungu umpate huyo mwenye vigezo
Kuna aliyekuwa na pesa na magari kuliko wewe anaitwa Ginimbi, na Mali alizokuwa nazo kwa magari hayo yanaingia zaidi ya mara 10,000. Yuko wapi? Mpe Yesu maisha yako. Haitakufaidi kitu kupata ulimwengu mzima kisha nafsi yako kuja kuteketea motoni na shetani yule yule uliyemtumikia ndo atakuadhibu.
Eee Mungu wa Mbinguni na Ardhini
Mmiliki wa viumbe vyote inasikitisha sana😢😢
Vijana wengi wanapotea kwa tamaa za Kidunia saivi pesa na Nguvu na Umaarufu imekua ni fashion ya maisha...
Yaa Allah tujaalie Mwisho Mwema...
Tuepushie na huu ujinga wa Kidua.
Na haikua starehe za Dunia ila ni za muda mchache..
Na kwa Mungu kuna ufalme wa milele.
Sasa laki ya nini wakati pesa unayo ,,we kuku nn
Huna maishaaa mbona hung'aii umefubaa kama unashinda maskani daily
Hela za masharti
hatakiwi kuoa
hatakiwi kukaa na ndugu
Okoka, njoo Efatha Church, Mwenge Dsm. Utaponyeka. Utapata pesa, za halali bro. 💪
Okoka brother. Hayo mengine nayo sisi tunaona sifuri.
Tubu sasa Mungu anakupenda Neema bado ipo ila siku inakuja ambayo Mungu ameiweka Ili kumhukumu mwanadam inatisha sana Yesu anarudi utaifaidia Nini ukipata fahali yoote na mwisho ukatupwa Jehanam milele
Acha kujilisha upepo...YESU ni jibu la mambo yote...mshahara wa dhambi ni mauti..lango bado liko wazi ....TUBUUÚ.
Matatizo yako ni makibwa, kuliko sababu zako. Mungu akusaidie Sana. Unaona huo ni utajiri kumbe ni vifungo. Matajiri wako huru, anaoa mke yoyote.
Kagoma haoi maskini😅😅😅
Ushindwee kwa jina la YESU KRISTO. Hayo ni ya kitambo tyu kifo chaja usipotubu
Anazinguwa!! Money talk, kwanini anaongea yeye, pepo huyo. Dunia itamfundisha.. just watch.
Kabisa mpe mda atatii baada yakufunzaa na mwalimu dunia
Mbwa ww kenge huna lolote mshirikina unatapeli watu tu
Mwenyekujikweza atashushwa labda maisha yako use na Mungu
''Yeye ajikwezaye atadhihiliwa na yeye ajidhihiliaye atakwezwa''asijisahau.
Hilo Jicho la tatu wote tungeingia kabisa Dunia nzima tukawa matajiri basi😢
Duh sasa apo kaka inabidi mwanamke utakae muoa umpe na mtaji wa biashara ili asiende kwa bass wake. Na unaeza pata mke ambae anazo pesa ila hazilinganiki na ulizo nazo mana apo ushaongelea jicho la 3 tayari ushawatisha watu
Mtumishi wa mungu huyu tafuteni pesa kwa njia ya halali.
Ww bado ujasema akili siyo timamu hata mume hawe hana pesa mke wake hatatulia ww ndo huwezi kuoa maisha yako yote huwezi kuwa na mke hata ufanye nn ww n FREEMASONS na KAFALA YAKO N KUTOKUOA KABISA MSHEZI WW GODLOVE
Anatutambia anaona ss tunatamani pesa zake ....hhh tunaangalia maisha ya AKHERA kwsababu maisha ya binaadamu hpa duniani km safari tu
Mmmh jmn kweli tuitafute mbingu na sio haya majumb kwasababu utayaaacha mung akuwaidiee
Toka pepo mchafu kwa jina la YESU
Wallah kama chizii vile 😂😂😂😂... Mungu ataendeleya kukuadhiri wewe mpk ujute kwa unayo yafanya hapa dunian
😂😂😂Mbona kwenu Kuna wadada wameolewa na wako kama hao unaowaona hawafai kuolewa?? (Maskini) BIG UP BROO.
Yeye kagoma hataki maskini
Pole sana kwa kweli, ila karibu kwa Yesu yeye anaponya. Matatizo yako yote atayamaliza na utakuwa huru AMINA
JICHO LA 3??? TUMEKWISHA!!! EEEE MUNGU TUSAIDIE.
ADABU HAUNA KABISA.
HURUMA ZA MUNGU AKUHURUMIE.
Wewe ni lumbukeni wa maisha...utajiri wako siuoni bado...hii ni dalili kuwa wewe ni maskini uliyepata pesa kidogo
Mungu ametuumba na macho mawili, ya kiroho na yakawaida , jicho la tatu linatokea wapi Kama si jicho la shetani aliye laaniwa ?
Hasbunallahu wani'mal wakil
Hakuna cha iluminate kuna principles mnaishi nazo nmezijua am on they way to succes
Emb niambie mzaz, tushare wote damu yang hizo kanuni
😅😅
Huyu hata akimuoa huyo mke hatoishi kwa flaha manyanyaso ndo yatakua mengi coz anazarau sana
Nice my brother
Weweee unachekesha sasa mimi masikini natoa wapi laki ila siku yako moja tu na anaijua mungu mwenye haki ya kuabudiwa
Mimi nimesha amua ila njia yakutuma pesa huku BURUNDI ingali inanisumbua. Kati ya 5 au 10/09/2024 ni na imani na uhakika wakuzilipa. In shaa Allah.
Kuna andiko moja kwenye biblia ukilisoma utashangaa sana mambo yanayowapata watu wa aina hii ya majisifu. Hebu soma Ayubu 20: 4 - 9.
Polesana kijana mlejee mungu Acha utapeli acha
Hutak kulipia laki kojoa nenda ukalale😂😂😂😂😂 mamae umeuaaa
Good job 👍
Kwa mali ulizonazo unaweza kupata mwanamke yeyote unayemtaka.
Na mwanaume kazi yako ni kulea mwanamke . Kama una hofu kutunz mwanamke basi wewe ni maskini.
Unatakiwa uwe na mke.
Fungua viwanda uajiri vijana wenzio.
Your soul is more important and that is what the devil is working day and night to make sure you don't get to know. Omba mungu afungua macho ya roho yafunguke uone .....chagua maisha hizi mali ni ya kukupumbaza macho usione....omba usife kama hujamjua Yesu...kwa maana adhabu ijayo si ya mchezo.....😢
Huyu jamaa akili hana
we jamaa taira kweli umeanzia mbali alafu umeishia kwenye kuomba pessa daah, inasikitisha sana
Ahahahahaha yameanza kukukaba nn mbona sababu hazina mashiko
Mmmmhh mida hiyo umetoka kuzimu au umetoka wapi!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
UNATAKA UTAJIRI UNAWEZA MASHARTI
Mhhh chief huji kama mungu yupo aliye umba mbingu na ardhi yupo Ambae anaweza kukunyabganya hata pumzi Kwa sekunde haya ngoja tuombe mungu ni hakimu
Namba tu ulipie laki? Hahaha huyu anataka awarambe wenzake tu
Hiyo sio sababu. Mke ana nafasi yake kwenye nyumba. Awe awe ameajiriwa au laa ni maelewano tu.
Sema ukweli bro,mbona unaficha
😂😂😂 mi siwez oa mke huna hela ..tunafanya nn mm nawewe😂😂😂😂
Sasa saa nane usiku we unatafuta nini wakati watu wamelala? Nyie ndo mnaiba na kuuwa watu usiku...majivuno kibao mwisho utalia mwenyewe...
Shindwa kwa jina la yesu pepo wewe Toka kwenye mtandao
Olewa wao wapendao kuiga maisha ya watu,mtaisha ishi maisha Yako mtanzania mwenzangu,,
Ushamba uo. Shet'ani 😢kakuteka na hiyo siyo sababu ya kutokuoa wake tele tafta wa kummiliki mwenyewe ww.
Kwanza bado mshamba na hela zake za masharti fala ww unazani kuna anae taka kuwa kama ww mshamba mmoja Tu kafie mbele na hela zako za mashetani ngoja si tuone hao maskini usiowataka halafu tafuta mume akushone
Kwa jaliwa na utajiri ni kujaliwa. Na mungu ndie anaetoa riski sio binadamu mungu ndie kila kitu hapa duniani
Kauli gani hiyo kaka mungu akubariki sana kW kauli yako
God nichek mi alex kuna mtu ananizingua.
Wewe kwani family yako ni matajri? Kwanza wewe unajisahu kuwa kuna mungu unaona shetani ni bora but kesho utakutoroka shetani😢😢😢😢
Kwataarifa Yako wanawake wasio na pesa ndio wanaojenga mji ndo mama Bora kwa watot Sasa oa huyo mwenye pesa akunyooshe ,kwanz hatakuheshim hata kuwa na adabu,Bora uoe mama wa nyumbani acha kudharau wanawake masikin pesa sio Kila kitu umenikera sana
Life does not consist in the abundance of things, Maisha siyo magari na majumba wala ni kumuogopa mungu na kumtumikia. Hakuna faida yakupata hizo fedha na kupoteza nafsi yako
Umeshasema umezaliwa namama ntilie,umetoka familiya yakawaida,sasa kwanini unadharau masikini.Kaka gdlove tuelimishe wasaidie waitaji,lkini usifedhul watu wabaki kujiuliza huyu ninani,anajeuri yamungu tu ama ipo yaziada.
Kwani umesikia wapi mtumwa wa shetani akiwa na akili za kukumbuka alikotoka😂😂😂😂 kwanza wakifika huko wanapolwa akili kisha mambo mengine yanafwata Jamani Yesu kristo atabaki kuwa namba moja aki💯🙌🙌🙌🙌💃💃💃💃💃
Yesu akuokoe kaka nguvu sahihi ya utajir hutoka Kwa Mungu,,
Nipe kaz bhc kijana ako ya udereva 😢
Ila maskini tunadhalaulika ss😂
Naelimisha Nashauri Natibu na kufwatilia maendeleo ya afya yako
KARIBU TUJIFUNZE WOTE
Upo saw Kaz iendelee ila hapo kukutumia hela apo mmm
Kwa hapo hajanoshawishi nahata kama hata nishawishi sitaiiiingiiiiiaaaaaa
Utajiri wa kudumu upo kwa Yesu kristo
Shetani hanaga utajiri wa kudumu kwa mwanadamu hata siku moja
Wewe bado ni kijana mdogo sana
Kuna matajiri wakubwa walikuwepo kabla yako sasa hivi awapo
Acha kumtumikia shetani ndugu okoka Leo andaa maisha yako ya umilele baada ya kifo Cha damu na nyama
Hushindxi kuowa juu ya hayo mambo
Unakosa wakuowa maana hakuna mke wakukubali kumiliki majoka
Wewe ulikuwa na pesa sema asante filimasoni
Haina maana ya magar bila furaha wew unateseka tu
Tapeli Mkubwa we fala
Ungekuwa unafahamu siku yako iko mikononi mwa mungu usingekuwa unaropoka hivyo
Ivi kwann waswahili wanapopata hela wanapenda kununua magar ming hiii unamahanisha kitu ga
Uje unioe Mimi waache kukusema😂😂
Mwenyewee unaonekana unapitia shida kwanza uwezi kull kama watu wengine😂😅 mjinga unaroho yakishetani kwanza nawasiwasi umemuuwaa yule mtt namkee uwezi kupata kchawi wewe😅😅😅
Sasa huyo mwenye hela si ni mtafutaji atazipata wapi kama hatoki kwenda kuzisaka
Matapeli wenzako hawo unao ishi nao
Kijana hiyi niduniya ikosiku Utaliga mbele ya ALLAH
Anatafuta Ela za mafuta kwenye magari yake
Acha zarau .. Acha.zarau
Toa sababu nyingine . na ilo jicho la tatu mmmh
Uyu ni tapeli 😊
Tunaitafuta Hela ili tulale vizuri..wewe hulali ili utafute Hela...hii Dunia imejaa maajabu....hii sio sababu kabisa..
Heri unmasking.wangu kuliko utajiri wa shetani
Huyu jama nimpumbavu anaenda kufika mwisho
Sababu izo chief lete kiswahili kilicho nyooka sema Kuna kitu kipo nyuma ya pazia unatudanganya sisi
Jamani amesema kila pete ina maana yake. Na
Ukitaka kupata pesa jiunge kwenye ulimwengu wa 3 no ya simu katoa unalipia laki moja .
Sasa mtu hujaelewa nini ?
Kwamba huyo kijana pesa anapata wapi?