HII NDIO SABABU CHIEF HANA MKE INATISHA SANA TIZAMA HII

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 590

  • @jagjitalvinder5471
    @jagjitalvinder5471 6 місяців тому +130

    WATANZANI WENZANGU KWANZA NIANZE KWA KUMSHUKURU MUUMBA MBINGU NA ARDHI ALHAMDULILLAH NA MUNGU AENDEELEE KUIBARIKI NCHI YETU YA TANZANIA 🇹🇿 TUDUMU KUWA KATIKA HII AMANI MUNGU AISITIRI NCHI YETU JUU YA USHOGA NA ALLAH AVIHIFADHI VIZAZI VYETU JUU YA USAGAJI NA USHOGA ,,NATAKA KUWAAMBIA KITU NDUGU ZANGU WATANZANIA TAFUTENI PESA NA RIDHIKI ZENU KWA NJIA YA HALALI NA ALLAH ATAZIWEKEA BARAKA RIZIKI ZENU NA ALLAH ATAZIWEKEA BARAKA NYUMBA ZENU NA FAMILIA YENU WATU WASITAKE KUFOSI MAISHA ISHI MAISHA YAKO KILICHO KUWA CHA MSINGI USIKAE KIZEMBE WEWE PIGA KAZI YA AINA YEYOTE ILE MAADAM IWE YA HALALI TUU KISHA JAMBO LA MAISHA MUACHIE MUNGU WALLAH KAMA ALLAH ALIKUANDIKIA WEWE KATIKA HII DUNIA LAZIMA UTAPATA MALI BASI JUWA HUTA KUFA MPAKA UMILIKI VILE ULIVYO KADILIWA NA MUUMBAJI NA KAMA YEYE ALLAH ATAKUWA AMEKUWEKA KATIKA HALI YA CHINI BAS WW SEMA ALHAMDULILLAH KISHA USIWACHUKIE WALE WALIO KUWA JUU MANA HUJUI SIRI YA MAFANIKIO YAO NINI WALLAH HUWO UMASIKINI ULIOKUWA NAO KUNA WATU WANAUTAMANI SEMA HAWAWEZI KUSEMA ,,MANA SEHEMU WALIZO JIINGIZA NI ZA HATARI NA HAWAWEZI KUJITOA KWA VILE VIAPO WALIVYO KULA IMMA WAKITAKA KUJITOA UTASIKIA NI CHIZI AU AMEKUFA AU SALAMA YAKE NI KUSHIKAMANA NA IMANI ILIYO YA SAWA PENGINEVYO UTASIKIA DAAAA JAMAA KAMA MASIHALA JAMANI TUZIFUNZE NAFSI ZETU NA ZA WATOTO WETU JUU YA KULIZIKA KWA TULICHO KUWA NACHO IPO SIKU MUNGU ATAKUBADILISHIA LAKINI NI KWAWALE WENYE IMANI ALLAH ATUONGOZE NA ATUPE MWISHO MWEMA.

    • @StansMushi
      @StansMushi 6 місяців тому +12

      Wala ataoa maishani mwake. Na Itafika tu wakati atajuta, hamjui shetani vizuri, ngoja apate akili kidogo.

    • @isaya.m.mwakapesa9808
      @isaya.m.mwakapesa9808 6 місяців тому +3

      Kweli kabisa

    • @JaneStelzer-lk9gl
      @JaneStelzer-lk9gl 6 місяців тому +2

      Tansania 80 % of pple r in Freemanson true

    • @joycekambuga6286
      @joycekambuga6286 6 місяців тому +1

      Asante sana

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 місяців тому +2

      Eti jicho la tatu😢😢😢😢 Mungu atusaidie tuweze kulidhika na maisha🙏🙏🙏 Asante kwa ushauli

  • @JamesKanyenda-y9y
    @JamesKanyenda-y9y 7 місяців тому +33

    Chifu MUNGU wa mbinguni akusaidie sana.duniani akuna tajili ambae atampita sulemani.lakin Leo yupo wapi.amegeuka udongo.wacha kupoteza roho za MUNGU kwasababu ya kumfata shetani wako.maisha ni kama kunijilisha upepo soma mathayo 16:26 okoka chifu Dunia hii sio ya milele.walikuwepo matajili kuliko wewe wamepita na Leo hawapo tena.basi ata wewe ndani ya mia 100.utakuwa umegeuka udongo.nafasi Bado ipo BWANA YESU anakupenda.acha kupoteza roho za MUNGU kwasababu ya pesa za mashetani.utajibu nn kesho mbele za MUNGU.muamini yesu nae atakuokoa.na kukutoa katika utumwa ambao teari umeingia .na unajutia nafsi yako sasa.mungu akusaidie sana amina.kila kitu kinapta Dunia hii.

    • @mussabaraka9498
      @mussabaraka9498 7 місяців тому

      Ni sawa lakini kila kitu kina zama zake huyo nabii uliemtaja ulikuwa wakati wake na huyu mwamba ni muda wake pia so #kojoaukalale boss kasema

    • @kassiannyamba805
      @kassiannyamba805 6 місяців тому

      Acha kujifariji kwa hizo hadithi, tukubali tu kuwa mwamba ana maisha hata kama ni ya muda mfupi

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 6 місяців тому +1

      Ameni na MUNGU akubaliki

    • @BrianShirima-s3d
      @BrianShirima-s3d 5 місяців тому

      😂😂😂​@@mussabaraka9498

    • @TatuShabani-z4s
      @TatuShabani-z4s Місяць тому

      Pumbavu hela si unazo FREEMASON KUBWA WEWE mwanamke si utamtunza wew unataka mwanamke mwenye hela gani ushetani tu wenye hela zao za maana huwa hawapendi misifa kama wewe

  • @ChristineDama-wf3sd
    @ChristineDama-wf3sd 6 місяців тому +21

    Ushindwe kwa Jina la yesu kristo huna uwezo wala mamlaka n heri kuwa maskini lkn una amani kuliko kuwa tajiri kwa kutoa kafara na amani huna moyoni ww mwenyewe unatamani ungepata nafasi ya kuhepa kwa hicho chama ungetoka lkn unashindwaa tuu Mungu ana haja na ww brother kubali kumpa yesu maisha yako

    • @hamisstimu
      @hamisstimu 6 місяців тому +1

      Unamjua yesu au kwasababu imani za dini umerithishwa tyu, dini ni za wazungu mbn mababu waliishi bila kuwa na imani za dini..

  • @bless.2559
    @bless.2559 4 місяці тому +22

    Sura yako imekosa nuru.
    Unaonekana kuwa mwenye wasiwasi.
    Pole Bro.

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Місяць тому

      😂😂😂😂😂

    • @GracePatrick-zc2eb
      @GracePatrick-zc2eb 20 днів тому

      Mtu mwenye pesa hawezi kukosa nuru.we masikini ndio huna nuru.matajiri wote Wana nuru.acha wivu

  • @omarkapayer1412
    @omarkapayer1412 7 місяців тому +39

    Vijana tujitume tusitafute short cut na kuingiziwa fikra za ajabu na watu kama Hawa kidogo chetu🙏 Mungu Kwanza Pili Mungu Mwisho Mungu Allah atufanyie wepesi

    • @NabilKhalifa-b8d
      @NabilKhalifa-b8d 6 місяців тому +1

      Ndugu tafakali na tumia mitandao kama maktaba kuna vilivyo fichwa ili usijitambue mfano mdogo hakuna mpaka leo tajili alie mfikia mansa musa hao wengine wanalazimisha kupita utajili wa muaflika mansa hembu waza kidogo kimetokea nini mpaka Africa tumekuwa mikia Acha kupinga kila kitu jifunze ndugu waambie na wenzako namii mwenzio sina muda mwingi wa kujifunza ila najitaidi kujua vitu na maisha asili

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch 7 місяців тому +23

    Haya wasio na laki wakakojoe wakalale 😂😂 nimecheka watu wako serious na kaz 😂 @chief mm nakuombea SKU moja ufanye kaz na Yesu utapendezea sana sante

  • @HekimaGadau-s9k
    @HekimaGadau-s9k 6 місяців тому +7

    So sad broo, any thing without lord is nothing in this world may GOD open your mind

  • @AckoTech.Institute
    @AckoTech.Institute 2 місяці тому +4

    Kwa bahati mbaya Unatumika na shetani. Pole. Sote tumefanikiwa sana kuliko wewe. Utukufu kwa Mungu wetu JUU. Amina

  • @godfreysudi7264
    @godfreysudi7264 6 місяців тому +21

    Mungu akurehemu utoke ulipo maisha ni ya kitambo kifupi sana ila ghazabu ya Mungu juu ya uwovu ni kubwa mno

  • @MariamMnyumba
    @MariamMnyumba 6 місяців тому +11

    Mwenyezi MUNGU akurehemu Kwan huenda haujui ulitendalo , Ee Mungu mrehem mja wako

  • @jumaibrahim9773
    @jumaibrahim9773 7 місяців тому +27

    Mm sijaona cha maana alichoongea

    • @JosephJoseph-v1m
      @JosephJoseph-v1m 6 місяців тому

      Kabisa

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 місяців тому +1

      ​@AwadhAlly-k1fAnajalibu kukokota vijana wale wenye kutaka maisha mepesi Mungu azinusulu roho zao🙏🙏🙏

  • @odamssanga6871
    @odamssanga6871 6 місяців тому +3

    Ayubu 20:4
    Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi,
    Ayubu 20:5
    Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?
    Ayubu 20:6
    Ujapopanda ukuu wake mpaka mbinguni, Na kichwa chake kufikilia mawinguni;
    Ayubu 20:7
    Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe; Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?
    Waebrania 9:27
    Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
    KUMBUKA HAYO NI YA MUDA KAMA HUJAPATA KWA HALALI BASI KILICHOMBELE YAKO NI HAYO MAANDIKO HAPO JUU.

  • @VictorMukombozi-o6o
    @VictorMukombozi-o6o 6 місяців тому +4

    Tafuta kuanza mungu bro, umupe maisha yako Yale yote niubatili tuliishi haliiyo sisi yenziyo ila leo tume mrudiliya mungu muumba, mtafute angali ana patikana

  • @adeladaudi2047
    @adeladaudi2047 Місяць тому +2

    Kimekulamba mwenyewe utakwenda peke yako kuzimu🙌 in the name of Jesus, hatujiungi ng'oo😂😂

  • @AnithaChinyeu
    @AnithaChinyeu 6 місяців тому +5

    Hahahaha kaka unafurahisha,hongera kwa kufanikiwa,Omba sana Mungu umpate huyo mwenye vigezo

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 6 місяців тому +6

    Kuna aliyekuwa na pesa na magari kuliko wewe anaitwa Ginimbi, na Mali alizokuwa nazo kwa magari hayo yanaingia zaidi ya mara 10,000. Yuko wapi? Mpe Yesu maisha yako. Haitakufaidi kitu kupata ulimwengu mzima kisha nafsi yako kuja kuteketea motoni na shetani yule yule uliyemtumikia ndo atakuadhibu.

  • @fawziyahassan5714
    @fawziyahassan5714 5 місяців тому +4

    Eee Mungu wa Mbinguni na Ardhini
    Mmiliki wa viumbe vyote inasikitisha sana😢😢
    Vijana wengi wanapotea kwa tamaa za Kidunia saivi pesa na Nguvu na Umaarufu imekua ni fashion ya maisha...
    Yaa Allah tujaalie Mwisho Mwema...
    Tuepushie na huu ujinga wa Kidua.
    Na haikua starehe za Dunia ila ni za muda mchache..
    Na kwa Mungu kuna ufalme wa milele.

  • @storytownTv
    @storytownTv 6 місяців тому +8

    Sasa laki ya nini wakati pesa unayo ,,we kuku nn

  • @NestyTz
    @NestyTz 6 місяців тому +5

    Huna maishaaa mbona hung'aii umefubaa kama unashinda maskani daily

  • @fx3.0
    @fx3.0 6 місяців тому +6

    Hela za masharti
    hatakiwi kuoa
    hatakiwi kukaa na ndugu

  • @lusianguno6434
    @lusianguno6434 4 місяці тому +3

    Okoka, njoo Efatha Church, Mwenge Dsm. Utaponyeka. Utapata pesa, za halali bro. 💪

  • @ibrahimalex4978
    @ibrahimalex4978 6 місяців тому +4

    Okoka brother. Hayo mengine nayo sisi tunaona sifuri.

  • @NgoshaJaphet-zo4sq
    @NgoshaJaphet-zo4sq 6 місяців тому +4

    Tubu sasa Mungu anakupenda Neema bado ipo ila siku inakuja ambayo Mungu ameiweka Ili kumhukumu mwanadam inatisha sana Yesu anarudi utaifaidia Nini ukipata fahali yoote na mwisho ukatupwa Jehanam milele

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 6 місяців тому +4

    Acha kujilisha upepo...YESU ni jibu la mambo yote...mshahara wa dhambi ni mauti..lango bado liko wazi ....TUBUUÚ.

  • @AngelMbaga
    @AngelMbaga 6 місяців тому +5

    Matatizo yako ni makibwa, kuliko sababu zako. Mungu akusaidie Sana. Unaona huo ni utajiri kumbe ni vifungo. Matajiri wako huru, anaoa mke yoyote.

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 6 місяців тому +5

    Ushindwee kwa jina la YESU KRISTO. Hayo ni ya kitambo tyu kifo chaja usipotubu

  • @ArnoldMbulawa
    @ArnoldMbulawa 6 місяців тому +4

    Anazinguwa!! Money talk, kwanini anaongea yeye, pepo huyo. Dunia itamfundisha.. just watch.

    • @mohamedibrahim7732
      @mohamedibrahim7732 2 місяці тому

      Kabisa mpe mda atatii baada yakufunzaa na mwalimu dunia

  • @raulnassor5761
    @raulnassor5761 6 місяців тому +3

    Mbwa ww kenge huna lolote mshirikina unatapeli watu tu

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 6 місяців тому +5

    Mwenyekujikweza atashushwa labda maisha yako use na Mungu

    • @adeliphinusgabone7431
      @adeliphinusgabone7431 6 місяців тому

      ''Yeye ajikwezaye atadhihiliwa na yeye ajidhihiliaye atakwezwa''asijisahau.

    • @ivyroses9019
      @ivyroses9019 23 дні тому

      Hilo Jicho la tatu wote tungeingia kabisa Dunia nzima tukawa matajiri basi😢

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 Місяць тому +1

    Duh sasa apo kaka inabidi mwanamke utakae muoa umpe na mtaji wa biashara ili asiende kwa bass wake. Na unaeza pata mke ambae anazo pesa ila hazilinganiki na ulizo nazo mana apo ushaongelea jicho la 3 tayari ushawatisha watu

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 6 місяців тому +3

    Mtumishi wa mungu huyu tafuteni pesa kwa njia ya halali.

  • @MalikshotelsMalikshotels
    @MalikshotelsMalikshotels 6 місяців тому +3

    Ww bado ujasema akili siyo timamu hata mume hawe hana pesa mke wake hatatulia ww ndo huwezi kuoa maisha yako yote huwezi kuwa na mke hata ufanye nn ww n FREEMASONS na KAFALA YAKO N KUTOKUOA KABISA MSHEZI WW GODLOVE

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 6 місяців тому +5

    Anatutambia anaona ss tunatamani pesa zake ....hhh tunaangalia maisha ya AKHERA kwsababu maisha ya binaadamu hpa duniani km safari tu

  • @jenipherjacob-w2h
    @jenipherjacob-w2h Місяць тому +1

    Mmmh jmn kweli tuitafute mbingu na sio haya majumb kwasababu utayaaacha mung akuwaidiee

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 6 місяців тому +4

    Toka pepo mchafu kwa jina la YESU

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 2 місяці тому +3

    Wallah kama chizii vile 😂😂😂😂... Mungu ataendeleya kukuadhiri wewe mpk ujute kwa unayo yafanya hapa dunian

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 5 місяців тому +1

    😂😂😂Mbona kwenu Kuna wadada wameolewa na wako kama hao unaowaona hawafai kuolewa?? (Maskini) BIG UP BROO.

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 2 місяці тому +1

    Pole sana kwa kweli, ila karibu kwa Yesu yeye anaponya. Matatizo yako yote atayamaliza na utakuwa huru AMINA

    • @GabrielAmuko
      @GabrielAmuko Місяць тому

      JICHO LA 3??? TUMEKWISHA!!! EEEE MUNGU TUSAIDIE.

  • @SabastianRaymond
    @SabastianRaymond 6 місяців тому +2

    ADABU HAUNA KABISA.
    HURUMA ZA MUNGU AKUHURUMIE.

  • @pinaphilly2629
    @pinaphilly2629 4 місяці тому +1

    Wewe ni lumbukeni wa maisha...utajiri wako siuoni bado...hii ni dalili kuwa wewe ni maskini uliyepata pesa kidogo

  • @ibrahimkassim8289
    @ibrahimkassim8289 4 місяці тому +1

    Mungu ametuumba na macho mawili, ya kiroho na yakawaida , jicho la tatu linatokea wapi Kama si jicho la shetani aliye laaniwa ?
    Hasbunallahu wani'mal wakil

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 7 місяців тому +9

    Hakuna cha iluminate kuna principles mnaishi nazo nmezijua am on they way to succes

  • @samiahjmlimanzilla9354
    @samiahjmlimanzilla9354 4 місяці тому +1

    Huyu hata akimuoa huyo mke hatoishi kwa flaha manyanyaso ndo yatakua mengi coz anazarau sana

  • @djdogobaiza
    @djdogobaiza Місяць тому

    Nice my brother

  • @HalimaMarijani
    @HalimaMarijani 6 місяців тому +3

    Weweee unachekesha sasa mimi masikini natoa wapi laki ila siku yako moja tu na anaijua mungu mwenye haki ya kuabudiwa

  • @Japhet_JafarNiyonkur_burundi62
    @Japhet_JafarNiyonkur_burundi62 5 місяців тому +1

    Mimi nimesha amua ila njia yakutuma pesa huku BURUNDI ingali inanisumbua. Kati ya 5 au 10/09/2024 ni na imani na uhakika wakuzilipa. In shaa Allah.

  • @ramseyngwejela499
    @ramseyngwejela499 6 місяців тому +2

    Kuna andiko moja kwenye biblia ukilisoma utashangaa sana mambo yanayowapata watu wa aina hii ya majisifu. Hebu soma Ayubu 20: 4 - 9.

  • @RahemaOman
    @RahemaOman 2 місяці тому +5

    Polesana kijana mlejee mungu Acha utapeli acha

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 3 місяці тому +1

    Hutak kulipia laki kojoa nenda ukalale😂😂😂😂😂 mamae umeuaaa

  • @2pacbreg5
    @2pacbreg5 6 місяців тому +1

    Good job 👍

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q Місяць тому

    Kwa mali ulizonazo unaweza kupata mwanamke yeyote unayemtaka.
    Na mwanaume kazi yako ni kulea mwanamke . Kama una hofu kutunz mwanamke basi wewe ni maskini.
    Unatakiwa uwe na mke.
    Fungua viwanda uajiri vijana wenzio.

  • @magyy8727
    @magyy8727 4 місяці тому +1

    Your soul is more important and that is what the devil is working day and night to make sure you don't get to know. Omba mungu afungua macho ya roho yafunguke uone .....chagua maisha hizi mali ni ya kukupumbaza macho usione....omba usife kama hujamjua Yesu...kwa maana adhabu ijayo si ya mchezo.....😢

  • @FatumaKitambuu
    @FatumaKitambuu 6 місяців тому +2

    Huyu jamaa akili hana

  • @Godwell-nr5rp
    @Godwell-nr5rp Місяць тому +1

    we jamaa taira kweli umeanzia mbali alafu umeishia kwenye kuomba pessa daah, inasikitisha sana

  • @GloryKashililika
    @GloryKashililika 6 місяців тому +1

    Ahahahahaha yameanza kukukaba nn mbona sababu hazina mashiko

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 Місяць тому

    Mmmmhh mida hiyo umetoka kuzimu au umetoka wapi!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ARCHEBOE
    @ARCHEBOE Місяць тому +1

    UNATAKA UTAJIRI UNAWEZA MASHARTI

  • @EasterleonardShirima
    @EasterleonardShirima Місяць тому

    Mhhh chief huji kama mungu yupo aliye umba mbingu na ardhi yupo Ambae anaweza kukunyabganya hata pumzi Kwa sekunde haya ngoja tuombe mungu ni hakimu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Місяць тому

    Namba tu ulipie laki? Hahaha huyu anataka awarambe wenzake tu

  • @erodiasmallya2869
    @erodiasmallya2869 Місяць тому

    Hiyo sio sababu. Mke ana nafasi yake kwenye nyumba. Awe awe ameajiriwa au laa ni maelewano tu.

  • @barakambigi3522
    @barakambigi3522 28 днів тому

    Sema ukweli bro,mbona unaficha

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 3 місяці тому

    😂😂😂 mi siwez oa mke huna hela ..tunafanya nn mm nawewe😂😂😂😂

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 6 місяців тому +1

    Sasa saa nane usiku we unatafuta nini wakati watu wamelala? Nyie ndo mnaiba na kuuwa watu usiku...majivuno kibao mwisho utalia mwenyewe...

  • @marrylebabu8579
    @marrylebabu8579 20 днів тому

    Shindwa kwa jina la yesu pepo wewe Toka kwenye mtandao

  • @ElizaKitali
    @ElizaKitali Місяць тому

    Olewa wao wapendao kuiga maisha ya watu,mtaisha ishi maisha Yako mtanzania mwenzangu,,

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 5 місяців тому +1

    Ushamba uo. Shet'ani 😢kakuteka na hiyo siyo sababu ya kutokuoa wake tele tafta wa kummiliki mwenyewe ww.

  • @BwenzaofficialMusic
    @BwenzaofficialMusic 5 місяців тому +1

    Kwanza bado mshamba na hela zake za masharti fala ww unazani kuna anae taka kuwa kama ww mshamba mmoja Tu kafie mbele na hela zako za mashetani ngoja si tuone hao maskini usiowataka halafu tafuta mume akushone

  • @SbahHiai
    @SbahHiai 6 місяців тому +2

    Kwa jaliwa na utajiri ni kujaliwa. Na mungu ndie anaetoa riski sio binadamu mungu ndie kila kitu hapa duniani

  • @SaadaAbdallah-o3b
    @SaadaAbdallah-o3b Місяць тому

    Kauli gani hiyo kaka mungu akubariki sana kW kauli yako

  • @alexyustine1863
    @alexyustine1863 4 місяці тому

    God nichek mi alex kuna mtu ananizingua.

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 6 місяців тому +1

    Wewe kwani family yako ni matajri? Kwanza wewe unajisahu kuwa kuna mungu unaona shetani ni bora but kesho utakutoroka shetani😢😢😢😢

  • @MagrethKafulila
    @MagrethKafulila Місяць тому

    Kwataarifa Yako wanawake wasio na pesa ndio wanaojenga mji ndo mama Bora kwa watot Sasa oa huyo mwenye pesa akunyooshe ,kwanz hatakuheshim hata kuwa na adabu,Bora uoe mama wa nyumbani acha kudharau wanawake masikin pesa sio Kila kitu umenikera sana

  • @marylwanalo6115
    @marylwanalo6115 Місяць тому

    Life does not consist in the abundance of things, Maisha siyo magari na majumba wala ni kumuogopa mungu na kumtumikia. Hakuna faida yakupata hizo fedha na kupoteza nafsi yako

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 6 місяців тому +1

    Umeshasema umezaliwa namama ntilie,umetoka familiya yakawaida,sasa kwanini unadharau masikini.Kaka gdlove tuelimishe wasaidie waitaji,lkini usifedhul watu wabaki kujiuliza huyu ninani,anajeuri yamungu tu ama ipo yaziada.

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 6 місяців тому +1

      Kwani umesikia wapi mtumwa wa shetani akiwa na akili za kukumbuka alikotoka😂😂😂😂 kwanza wakifika huko wanapolwa akili kisha mambo mengine yanafwata Jamani Yesu kristo atabaki kuwa namba moja aki💯🙌🙌🙌🙌💃💃💃💃💃

  • @ElizaKitali
    @ElizaKitali Місяць тому

    Yesu akuokoe kaka nguvu sahihi ya utajir hutoka Kwa Mungu,,

  • @erickkinyere9185
    @erickkinyere9185 16 днів тому

    Nipe kaz bhc kijana ako ya udereva 😢

  • @Nasmashabani-q7r
    @Nasmashabani-q7r 10 днів тому

    Ila maskini tunadhalaulika ss😂

  • @pharmtech_1
    @pharmtech_1 5 місяців тому +1

    Naelimisha Nashauri Natibu na kufwatilia maendeleo ya afya yako
    KARIBU TUJIFUNZE WOTE

  • @EmmaMbilinyi-k3h
    @EmmaMbilinyi-k3h 2 місяці тому

    Upo saw Kaz iendelee ila hapo kukutumia hela apo mmm

  • @MudyFaudhia-Games24
    @MudyFaudhia-Games24 5 місяців тому +1

    Kwa hapo hajanoshawishi nahata kama hata nishawishi sitaiiiingiiiiiaaaaaa

  • @StephanoSamson-dk7yj
    @StephanoSamson-dk7yj Місяць тому

    Utajiri wa kudumu upo kwa Yesu kristo
    Shetani hanaga utajiri wa kudumu kwa mwanadamu hata siku moja
    Wewe bado ni kijana mdogo sana
    Kuna matajiri wakubwa walikuwepo kabla yako sasa hivi awapo
    Acha kumtumikia shetani ndugu okoka Leo andaa maisha yako ya umilele baada ya kifo Cha damu na nyama

  • @Mabunta
    @Mabunta 18 днів тому

    Hushindxi kuowa juu ya hayo mambo
    Unakosa wakuowa maana hakuna mke wakukubali kumiliki majoka

  • @MariamMtalege
    @MariamMtalege Місяць тому

    Wewe ulikuwa na pesa sema asante filimasoni

  • @AllyMwanjonde
    @AllyMwanjonde 29 днів тому

    Haina maana ya magar bila furaha wew unateseka tu

  • @AmaniMrema-i3i
    @AmaniMrema-i3i 6 місяців тому +1

    Tapeli Mkubwa we fala

  • @BaridBarid-lm5ik
    @BaridBarid-lm5ik 17 днів тому

    Ungekuwa unafahamu siku yako iko mikononi mwa mungu usingekuwa unaropoka hivyo

  • @MohdNassor-w9g
    @MohdNassor-w9g Місяць тому

    Ivi kwann waswahili wanapopata hela wanapenda kununua magar ming hiii unamahanisha kitu ga

  • @halimaIssamadodo
    @halimaIssamadodo Місяць тому

    Uje unioe Mimi waache kukusema😂😂

  • @HappyIlonga
    @HappyIlonga Місяць тому

    Mwenyewee unaonekana unapitia shida kwanza uwezi kull kama watu wengine😂😅 mjinga unaroho yakishetani kwanza nawasiwasi umemuuwaa yule mtt namkee uwezi kupata kchawi wewe😅😅😅

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc 28 днів тому

    Sasa huyo mwenye hela si ni mtafutaji atazipata wapi kama hatoki kwenda kuzisaka

  • @raulnassor5761
    @raulnassor5761 6 місяців тому +1

    Matapeli wenzako hawo unao ishi nao

  • @rashkizakiza949
    @rashkizakiza949 Місяць тому

    Kijana hiyi niduniya ikosiku Utaliga mbele ya ALLAH

  • @JuliethNgoi-c5i
    @JuliethNgoi-c5i 6 місяців тому +1

    Anatafuta Ela za mafuta kwenye magari yake

  • @dastanhaule9463
    @dastanhaule9463 2 місяці тому

    Acha zarau .. Acha.zarau
    Toa sababu nyingine . na ilo jicho la tatu mmmh

  • @Imanaiwachu
    @Imanaiwachu 7 місяців тому +3

    Uyu ni tapeli 😊

  • @emmanuelenock4531
    @emmanuelenock4531 Місяць тому

    Tunaitafuta Hela ili tulale vizuri..wewe hulali ili utafute Hela...hii Dunia imejaa maajabu....hii sio sababu kabisa..

  • @SaadaAbdallah-o3b
    @SaadaAbdallah-o3b Місяць тому

    Heri unmasking.wangu kuliko utajiri wa shetani

  • @PascalMsafiri-x1f
    @PascalMsafiri-x1f Місяць тому

    Huyu jama nimpumbavu anaenda kufika mwisho

  • @AllyMwanjonde
    @AllyMwanjonde 29 днів тому

    Sababu izo chief lete kiswahili kilicho nyooka sema Kuna kitu kipo nyuma ya pazia unatudanganya sisi

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 3 місяці тому

    Jamani amesema kila pete ina maana yake. Na
    Ukitaka kupata pesa jiunge kwenye ulimwengu wa 3 no ya simu katoa unalipia laki moja .
    Sasa mtu hujaelewa nini ?
    Kwamba huyo kijana pesa anapata wapi?