Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

#Exclusive

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 45

  • @emmanuelkarwana4506
    @emmanuelkarwana4506 Місяць тому

    Uyu mzee kweli mbone Hana point muhimu 😂😂😂😂

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Місяць тому +2

    Huyu ndio akaiwakilishe yanga kimataifa??

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Місяць тому +1

    Hee huyu Juma Magoma kwani amesharudi Yanga ? Huyu si ndiyo waliyo anzisha timu yao Pan Africa yeye ni mmoja wao ? Daa inamaana amesharudi kwa kutaka kuifanya Yanga ni sehemu ya kucheza bao kama zamani ?

  • @merchiorytafuta8876
    @merchiorytafuta8876 Місяць тому +3

    Huyu katumiwa na makolo

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n Місяць тому

      😂😂😂😂😂 ,,uto bhana

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Місяць тому

      ​@@user-id5oc7hm4n kwani hao makolo si washapelekana mahakani mpira wa tz unavitu vya ajabu mnoo watz ni watu wasiopenda mazuri alikuja raisi tz alietaka ibadili nchi wakatokea wtz na kumpinga na hata kufurahi alipokufa ni watu wenye roho za ajabu mnoo akija mtu mwema hatumtaki

    • @jaribunimangoma4322
      @jaribunimangoma4322 Місяць тому

      Pole😂

  • @user-zt4rd5pr1e
    @user-zt4rd5pr1e Місяць тому

    Huyu mzee mwisho wake nimbaya yana, hii ndio tz soon mtasikia ametekwa na wasiojulikan

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 Місяць тому +1

    Waende zao huko na ufalaa wao walikuwa wap siku zote team imesimama imara ndio walete makomwe yao

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema Місяць тому

    Mzee anamatatizo kila kukicha anachochea tu, Yanga ni kubwa kuliko yeye. Miaka yote uko Yanga ulishindwa kujenga uwanja, Hernsi anapiga kazi timu yetu iko vizuri hao wazee wanatakakupiga ela.

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Місяць тому

    Uyo magoma yy ninani pale yanga!? Kifupi uyo magoma atupishe nasiyo raisi wetu Erisi

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 Місяць тому

    Huyo mzee asijaribu kutuharibia timu. Hiyo ni njaa tu. Aiache yanga yetu.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Місяць тому +1

    Ts all nonsense!

  • @NgunoSangano
    @NgunoSangano Місяць тому

    Mzee huyo hana akili kabisa yanga umependeza kwa ajir ya kua na kiongoz mzur sio mzee huyo alaniwe kwa jina muumba

  • @AkramIbrahim-c8w
    @AkramIbrahim-c8w Місяць тому

    Hersi Bado Yupo Cn Yanga Hayo Ni Kama Wingu La Mvua Wenye Chuki Wenye Hassad Wenye Wivu Mungu Atawalaani Mmefeli Kalimeni Ufuta

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Місяць тому

    Mbona kama mchawi jaman uchawi haujawah muacha mtu salama

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Місяць тому +2

    Ila wandishi wa habari wa Tanzania bwana, mediocres
    😂😂😂😂

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Місяць тому

      Tell me about it! Have never seen anywhere else! Do you know why,? They have nothing sensible

  • @AkramIbrahim-c8w
    @AkramIbrahim-c8w Місяць тому

    Sura Mbaya Hy Kunguru Hakutaki Kama Mlikuwa Na Shida Ya Pesa SI Mseme Mpewe Hersi Hamjamdjalilisha Mmejidhalilisha Nyie Wenyewe Kofia TU Inakujulisha Wewe Una Njaa

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Місяць тому

    Huyu mzee hiyo kofia tu alivyoivaa anaonekana katumwa na Mo

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Місяць тому

    Uyu Mzee" dawa yake ni kurogwa ana paswa kutuachia timu yetu

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Місяць тому

    Kiko sawa sawa kivipi!? Kwani ww ninani!? Kaa uko na magoma yako

  • @shafiigama
    @shafiigama Місяць тому +1

    Uyu mwandishi taira na muhojiwa taira😂😂😂

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Місяць тому

    MUZEE MAGOMA USITULAZIMISHE KUTAFUTA UCHAWI BADALA YA PESA KAA PEMBENI ULE UZEE MI NAKUSHAULI TUU

  • @user-nx1ne6fd2w
    @user-nx1ne6fd2w Місяць тому +1

    Iv uyu kagoma ninan ?jiepushe Mzee nenda katafute mashamba mpumbavu wewe mmeshakaliaga yanga nasimba hamtak kutafuta Kaz wewe utaendesha iyo klabu ?

  • @robertmsukwa8466
    @robertmsukwa8466 Місяць тому

    Njaa haijawai acha mtu sarama huyu mzee sura tu inawakilisha tabu zake ila mungu yupo hawawezi kuivuruga yanga yetu

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Місяць тому

    Mpandie uyo magoma tuone yy ana mchango Gani pale yanga!? Na kwanza yy ana jikuta nani kifupi mie naona uyu mzeee ana tafuta kurogwa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Місяць тому

    Magoma akil kubwa

  • @user-ut9uo6dc9d
    @user-ut9uo6dc9d Місяць тому

    kuna watu wa ovyo jaman ka ma kweli wanaipenda yanga wasingeweza kufanya ivyo. Yanga inafanya vizuri ndo wanaitaka. kwan. dah mungu amsaidie rais wetu kama kura tupige tena. tubaki na furaha zetu

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 Місяць тому

    Hata sura yake tuh inaonyesha hatutapata matokeo

  • @AkramIbrahim-c8w
    @AkramIbrahim-c8w Місяць тому

    Mzee Punguza Njaa Hersi Mtoto Mdogo Kakiuzidi Kl Kt Akili Uwezo Kipato Hy Njaa Babu Sema Mayo

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Місяць тому

    Uyu mzee mtu wa flag nini

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Місяць тому

    Huyu mzee njaa! Watu wanashindwa kulipia ada,wataweza kununua hisa???? Na kwa miaka yote ,why today?

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Місяць тому

    Hatuwezi kuludi kwenye bakuli tumtafute Magoma popote alipo atueleze.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Місяць тому

    Mpira wa Tanzania utabaki kuwa chini,hatua moja mbele,kumi nyuma! Soo stupid

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Місяць тому +2

    HUYO JUMA MAGOMA KWETU SISI WANACHAMA NA MASHABIKI WA YANGA AFRICA ATUWATAKI HAO WAZEE WASIO NA AKILI NANI ATAWAPIGIA KULA? KWA SASA WAO WENYEWE WAMESHA JUWA WAMEHARIBU WANAJISTUKIA KWA WALICHOFANYA AKIJA TUPENDEZA

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla Місяць тому

    kumekucha ukooo nyuma mwiko kesi yenu simba wanahusika na nini mi nilijuwa2 kimya kikubwa kina mshindo haya sasa uko nyuma mwikooooo mumeshatiwa mwiko wa nyuma haya utoweni sasa

    • @abdullmahmoud2092
      @abdullmahmoud2092 Місяць тому

      Uyu jamaa nataka madaraka uyo wazi wazi ila watu kama hawa wanakuwepo kwenye jamiii wanataa sana ila simba zipo nafasi sio kwa yanga

    • @JonhLenadi-zl8ct
      @JonhLenadi-zl8ct Місяць тому

      Hao waazee wataka kuhalibu yanga yetu injinia hels amefanyakazi nzuli sana kwamimi viongozi wabaki Kwa kazi wapo vizuli sana

    • @MuammaryAbdalla
      @MuammaryAbdalla Місяць тому

      huko nyuma mwiko kumekucha

    • @MuammaryAbdalla
      @MuammaryAbdalla Місяць тому

      kila siku munaambiwa nyuma mwiko wenye akili ni watu wa wili2 haya ilikuwa munaicheka simba kwa migogoro saiv na nyiny muna nini munamcheka mamba wakt hamjavuuka mto hususa ni nyinyi vyura mumeshajijuwa munaishi kwenye maji halafu manamcheka mamba

    • @Listarmwandenuka-fq8jm
      @Listarmwandenuka-fq8jm Місяць тому

      ​@@MuammaryAbdallahila wewe kolo. Ulijuwa kama mangungu nini hers bado yuko Sanaa injinia

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Місяць тому

    Njaa mbaya sana... huyu babu ndo wale wazee wanaofuga mabaunsa,kamati za kulogana..