TAHARUKI YAIBUKA / MTOTO AUAWA, SEHEMU ZA SIRI ZAKATWA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • #itvtanzania #itvdigital #temeke
    WATU WASIOJULIKANA WAMEMUUA MTOTO WA MIAKA SITA MWANAFUNZI WA DARASA LA KWANZA KATIKA SHULE YA MSINGI KIZUIANI TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM, NA KISHA WAKAMCHUKUA VIUNGO MBALIMBALI VYA MWILI IKIWEMO SEHEMU YA SIRI

КОМЕНТАРІ • 149

  • @JacquelineKinyonge
    @JacquelineKinyonge 7 місяців тому +9

    Ee Mungu tunaomba utulindie watoto wetu peke yetu hatuwezi kuwalinda BABA🙏😭😭😭😭, pumzika kwa amani mtoto wetu

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 7 місяців тому +22

    😭😭😭🙏mtoto wa mwenzako niwako punzika kwa amani mtoto wetu😭😭

  • @farajaphilipo8844
    @farajaphilipo8844 6 місяців тому +7

    Eee mwenyezi mungu tusaidie tutawaficha wap watoto wetu

  • @MaryKafuku
    @MaryKafuku 6 місяців тому +2

    Mwenyezi Mungu tunakuomba utulindie Watoto wetu 🙏 peke yetu hatuwezi

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 6 місяців тому +3

    Kweli kabisa baba umeongea ukweli Sana. Hii serikali hii mmmmh mungu tunaomba utusaidie

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka 7 місяців тому +37

    Baba kaongea kweli mseme kiongozi uone lakini mauwaji mnaambiwa watu wasiojulikana

  • @LEONARDGWALUGWA
    @LEONARDGWALUGWA 5 місяців тому

    Poleni wazazi ndugu na marafk roho ya mtoto huy Mungu aiweke mahali pema huko mbinguni

  • @amashafredy
    @amashafredy 4 місяці тому

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen

  • @LucidaFwalo-k3e
    @LucidaFwalo-k3e 2 місяці тому

    Mungu mlaze mahali pema mtoto wang nakuombea sana mungu akupokee 🙏🙏🙏😭😭

  • @DenisKahwa-e8n
    @DenisKahwa-e8n 6 місяців тому +4

    Mungu ilaze loho ya hyo mtoto mahal pema pepon amen

  • @IreneShadrack-p6c
    @IreneShadrack-p6c 6 місяців тому +2

    Mm mwenye mtoto tumbo limeanza kukata mungu asaudie watoto wetu Jaman

  • @KulwaMsafiri-v5u
    @KulwaMsafiri-v5u 4 місяці тому

    Mungu walinde watoto wetu, pole sana familia

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 6 місяців тому +11

    MUNGU wanusuru wanangu na watoto wote wa nchi hii ya Tanzania
    Maana bila ww kuwalinda ss binadamu/wazazi pekee yetu hakika hatutaweza
    Moyo wangu unaumia sana kwa mambo haya ya ukatili 😭😭😭

  • @sophiarema2338
    @sophiarema2338 7 місяців тому +3

    Mwenyez Mungu ailaze roho yake mahal pema

  • @kiehbhzh7044
    @kiehbhzh7044 7 місяців тому +2

    Daah watu makatiri😢pole sn baby girl wetu Allah akupumzishe kwa amani mtt wetu auna makosa wallah

  • @wasafisong8471
    @wasafisong8471 6 місяців тому +2

    Mungu awalinde watoto wote

  • @LaizerChionda-de6ul
    @LaizerChionda-de6ul 6 місяців тому +2

    😢Yani uku kwetu tunaogopa daah Mungu tulindie watoto wetu

  • @syliviasimon8415
    @syliviasimon8415 6 місяців тому +1

    Mwenyezi Mungu walinde na uwatunze wanetu.

  • @aishasalum4460
    @aishasalum4460 7 місяців тому +2

    Poleni sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigum nenda salama da yusra 😭😭

  • @AngelaAlfani
    @AngelaAlfani 4 місяці тому

    Mungu awalinde watoto wetu

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri4234 7 місяців тому +3

    Allah Ndio Hakimu wa haki... HasbiAllahu waneemal wakil

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 7 місяців тому +10

    Uchaguzi umekalibia tukubali tukatae mikatili hii mijitu 😢😢😢

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t 6 місяців тому

    Mungu simama nawatoto wetu uwalinde emungu tusaidie😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @ElizaMwandu
    @ElizaMwandu 6 місяців тому +1

    😭😭😭😭poleni sana wazazi waYusra kwa kumpoteza mtoto wenu mpendwa Mungu wa mbinguni awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Yusra

  • @mwanarusiamri9875
    @mwanarusiamri9875 6 місяців тому +1

    Mungu amlaze maali pema

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 4 місяці тому

    Poleni inasikitisha sana hatuko salama du

  • @BintiMtambike-gy3uh
    @BintiMtambike-gy3uh 7 місяців тому +4

    Mungu atawaliaani hao watu wabaya sana

  • @modiseradi2
    @modiseradi2 6 місяців тому

    Mngu amuweke mhli pma amtngnye na wma Ameen

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 5 місяців тому +1

    Kweli baba kasema ukweli ukimtukana kiongozi hata ujifukie ndani ya aridhi utafukuliwa Ila Tanzania. Mungu mpumzishe mtoto huyu mahala pema

  • @kale_maga
    @kale_maga 5 місяців тому

    mungu tusaidie raia wote Tanzania

  • @AmenaJeogh
    @AmenaJeogh 6 місяців тому +3

    😭😭😭 Poleni Sana jamani ilijanga imeingia mm mwanangu kanusulika kidogo lilikua lijitu shetani lilimkamata mwanangu nakumtia migumi lakininamshukuru mungu adi apa ninaposema aka tokea msabaria mwema akamuona akakimbia msabaria mwema akamuokota mwanangu na kumpeleka nyumbani kwangu🙏🙏🙏 jamani tupaze saut tuandamane ilijambo lipo haswa 🤦🤦🥺🥺mungu tu nakuomba utuondolee ili janga🤲🤲🤲

  • @OmaliImba
    @OmaliImba 6 місяців тому +3

    Mungu waangamize white wanaofanya hiv

  • @chidrashid3797
    @chidrashid3797 6 місяців тому +2

    Ushilikina huuu mungu anawaona wanayoyafanya haya

  • @SalomeJoseph-b9r
    @SalomeJoseph-b9r 6 місяців тому

    Mmmh polee sana mama wamtoto watu watu tunaroho mbya jmn

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 6 місяців тому +2

    Mambo y Kenya yanakuja had huku jmn kutekwa watt jmn tumekosa nn jmn 😭 Mungu baba tusaidie Wanao na utulindie watt wetu wanapotoka nyumbn na kurud mashulen

  • @AmidaAmidamasinga
    @AmidaAmidamasinga 6 місяців тому

    Kiukweli wanatuumiza sana saana

  • @Halima-l1c
    @Halima-l1c 5 місяців тому

    polen sanaa wazazi nanwalezi mung awepe subr

  • @RichardZachalia-ph3ot
    @RichardZachalia-ph3ot 6 місяців тому

    Ina Uma Sana poleni sana mwenyezi mungu ailaze loho hake mahali pema peponi inalilah wainalilahi laijiun

  • @RehemaMohamed-m8r
    @RehemaMohamed-m8r 6 місяців тому +7

    Watanzania wote jamani tupigeni kelele Kwa Ili Ili selikali ichukue mahamuzi mana Leo mtoto wa mwenzio kesho wako 😭😭😭😭😭

  • @AgnesMakunege
    @AgnesMakunege 2 місяці тому

    Mungu ndio mlinzi wa kila mtu wanadamu hatuwezi pumzika kwa amani mtoto😮😮😮

  • @DoricasJeremia
    @DoricasJeremia 5 місяців тому

    Polen sana na msiba wariofanya hayo ealaniwe

  • @GiftBrayton
    @GiftBrayton 6 місяців тому +1

    😢😢😢😢😢😢 inaumiza jamni ndo maana Kenya wanaandama

  • @NadyaMohammed-i2n
    @NadyaMohammed-i2n 6 місяців тому +1

    Mungu amlazee mali pema mung atamwazibu alie tenda ivyooo😂😂😂😂😂

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 7 місяців тому +3

    Inalilah wainailah rajiun 😢😢polen wafiwa machungu ya asimwe bado hayajatuisha leo tena hili yn waliofanya/ aliefanya hich kitendo tunajua wanaona na kuckia hii dhambi haita waacha salama machoz ya wazazi wake hayawez kudondoka bure mungu atajibu polen wafiwa damu ya mtu haipotei bure 😢

  • @DanfordBetwel
    @DanfordBetwel 6 місяців тому +1

    Jamani tunaelekea wapi? Mungu tusaidie !

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rv 6 місяців тому +4

    Kila cku mnasema ndio mnatafuta wananch ila hamuwapat lakini ukimtukana kiongoz hapo cku ni moja ya pili umepatikana

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 7 місяців тому

    Jamani mambo gani hayatunatendeana EE M/Mungu tukinge bahaha matukio

  • @madelynillu3818
    @madelynillu3818 7 місяців тому +4

    Eeeh Mungu wangu tenda jambo jamani

  • @JokhaJokhaabla
    @JokhaJokhaabla 7 місяців тому +2

    subhanallah yaarab mpe haki yake mtoto huyu kwa kupatikana wauwaji na wao wakipatika wauawe wakatwe sehem zte washenz makatili ila ata wakipatikana wataekwa ndani watatolewa

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 6 місяців тому +2

    Ivi hii nchi imeshindwa kuthibiti mambo kama haya mpeni nchi rc makonda . yote haya hayatasikika

  • @TatuNsalamba
    @TatuNsalamba 6 місяців тому

    Poleni sana ndugu zetu

  • @saidomar3291
    @saidomar3291 6 місяців тому +2

    Pumzika mahali pema mwanangu

  • @SaraphinaMbepwa
    @SaraphinaMbepwa 7 місяців тому

    Polen San jmn wazazii mungu atuepushee jmn. Tuwalindee watoto

  • @tatupita8745
    @tatupita8745 6 місяців тому +2

    Poleni jamani hililimekuwa janga la taifa

  • @WitnesMugabe
    @WitnesMugabe 7 місяців тому

    Poleni kwa msiba huo , Dunia hasaiv imeisha

  • @catherinetadei8870
    @catherinetadei8870 6 місяців тому +1

    utasikia matukio hayo hamna jamni hatari sana

  • @SheddySteven-z1c
    @SheddySteven-z1c 6 місяців тому

    Pumzika Kwa aman Mdogo angu

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 7 місяців тому

    Sahiv iman za kishilikiana wanatoa viungo jaman mungu tusaidie

  • @ENETHALUTE-n6p
    @ENETHALUTE-n6p 5 місяців тому

    Daah Atar

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 6 місяців тому +1

    Nchi ya aibu Sana hii.Mambo ya kipumbavu Sana yanafanyika.Ni kama nchi inayohusudu Usirikina.Mungu aingilie Kati mambo ya kishenzi kama hao maana polisi wameshindwa.

  • @PatrickDavid-l3p
    @PatrickDavid-l3p 6 місяців тому +2

    Jaman watoto wetu wamekosa nn

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 6 місяців тому

    Muaji utakuta wapo hapo hapo .

  • @LatifaJuma-ew2yw
    @LatifaJuma-ew2yw 7 місяців тому +1

    Pumzik kwa aman mung akuwek mahal salam

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 7 місяців тому +2

    Hii ishu ipo Kenya 🇰🇪sana watoto wanauwawa wanatolewa figo main sehem za siri.. jamn mama samia tusaidie hii tabia itokomezwe 😢

    • @HusnaSharifu
      @HusnaSharifu 6 місяців тому

      😢😢😢kweli naona you tube

  • @BeatriceJackson-ev2ke
    @BeatriceJackson-ev2ke 5 місяців тому

    Mungu mlaze mahali pema pepon mtot huyu jamani

  • @Latifa123Latifa12
    @Latifa123Latifa12 6 місяців тому +3

    Allah atajibu

  • @majumamusa8972
    @majumamusa8972 6 місяців тому

    Poleni sana😢😢😢

  • @YussufHamad-f9j
    @YussufHamad-f9j 2 місяці тому

    Allah amlaz pahal pema

  • @NasmaFatuma
    @NasmaFatuma 6 місяців тому

    eeeeh mungu tunusuru die waja wako tanapoerekea bura kama kishuke2

  • @JoyceMkeka
    @JoyceMkeka 6 місяців тому

    Yani kuna wakati mbka chakuandika nakosa 😭😭😭

  • @AmidaAmidamasinga
    @AmidaAmidamasinga 6 місяців тому

    Poleni sana jamani

  • @SheddySteven-z1c
    @SheddySteven-z1c 6 місяців тому

    Mmmmh kweli wanadamu

  • @abiyafocus6992
    @abiyafocus6992 7 місяців тому +2

    NI KWELI BABA ALICHO KISEMA HII NCHI NIYAABU SANA HAO WAUUWAJI WAKAMATWE WACHINJWE KAMA KUKU NI WAKATILI SANA JAMAN MUNGU TULINDIE WATOTO WETU HII HATARI SANA INASIKITISHA KABISA

  • @BenardSadani
    @BenardSadani 6 місяців тому

    ivi nyinyi nin kaziyen au kwakua so watoto wenu

  • @PiliDenyamauti
    @PiliDenyamauti 5 місяців тому

    Kwa hal hii tutafika kweli huu ni ukatili wa kutsha

  • @mariagrayson5414
    @mariagrayson5414 6 місяців тому

    Dah

  • @JanethJohn-u1f
    @JanethJohn-u1f 2 місяці тому

    Mauaji ni mengi MTU ana muua binadam mwenzake biraa huruma hii ni dariri kwamba silku za mwisho

  • @wasafisong8471
    @wasafisong8471 6 місяців тому

    Baba kaongea kweli jmni ivi kwann lakini

  • @HappyDaudi-hl7rt
    @HappyDaudi-hl7rt 6 місяців тому

    Jamniii

  • @nasrachikusi
    @nasrachikusi 6 місяців тому

    Innalilah wainna ilaih lajiun allah awaazibu hao wanaofanya hivyo

  • @BenLema-q9z
    @BenLema-q9z 2 місяці тому

    👏👏👏👏

  • @NasriSuleiman-pj4tw
    @NasriSuleiman-pj4tw 6 місяців тому

    😮poleni sana

  • @kregMika-d5g
    @kregMika-d5g 5 місяців тому

    Taiga mnyama

  • @SuhailaAbdallah-t5d
    @SuhailaAbdallah-t5d 6 місяців тому

    Hebu hukumu ya kunyongwa hadharani irejeshwe kwa wahalifu kama hawa pengine yatapungua haya

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 7 місяців тому +1

    Tuchukuwe sheriya mikono ni sahi uliza alibadili takatifu wote walo husika wamumutika sahiyo hiyp

  • @SomoeKhasani-q6x
    @SomoeKhasani-q6x 7 місяців тому +1

    Mumgu amrehum ,,, uwapunguzie uchungu na awape moyo wa subra ndgu na jamaa

  • @OmariNgurangwa
    @OmariNgurangwa 7 місяців тому +1

    Waziri wa mambo ya ndani vp mbona matukio mengi ivi nawewe upo kimya

  • @irenematata
    @irenematata 6 місяців тому

    Dah 😢

  • @FelistaGozibert
    @FelistaGozibert 6 місяців тому

    Ila agetukanwa rais so watu wangejulikana😭😭😭😭 pumzika Kwa amani

  • @HaniferMwiru-wn9wq
    @HaniferMwiru-wn9wq 7 місяців тому

    Innah lillahi wainnah ilayhi rrajuun 😢😢😢 lah ilaha illah llah ☝️

  • @AminiKanda-vc1pn
    @AminiKanda-vc1pn 7 місяців тому +1

    Jamani mbona binaadamu tumekua washenzi heriya wanyama

  • @abiyafocus6992
    @abiyafocus6992 7 місяців тому +1

    Utaskia hawaja patikana yani angetukanwa raisi ungeskia tayari alie mtusi amesha kamatwa jamani ikiwa kunaanae hisiwa au mmoja kati yao akikamatwa tunaomba tupewe ruhusa ya kumshambulia mpaka afe

  • @nassersadiki5442
    @nassersadiki5442 6 місяців тому

    Alafu Kuna Kamanda wa Ilala anasema ni Uzushi kuna watu wanataka kuchafua Nchi yani hii serikali sijui vipi

  • @dazuujuma778
    @dazuujuma778 6 місяців тому

    Huyo mtu ni wa karibu kabisa
    Kama marehem hamjui, mhalifu asingemuuwa

  • @ZalkhaRawahi
    @ZalkhaRawahi 7 місяців тому +1

    Yani ni kweli nchi yetu tukana kiongozi iseme serekali dk 0 umeshikwa lkn mauwaji kila kukucha wtt vijana wauwaji hawajuilikani utasema nchi haina vyombo vya usalama haina viongozi kimyaaaa hakuna ht kukemea

  • @StellaPendaeli
    @StellaPendaeli 7 місяців тому +1

    Jamani inauma sana😭😭😭😭😭

  • @Mtengwa-vi8rv
    @Mtengwa-vi8rv 6 місяців тому

    Inalilah wainalilah

  • @AdiaChidy
    @AdiaChidy 7 місяців тому

    Pole wafiwa jamani inauma sana

  • @juliamhagama5945
    @juliamhagama5945 7 місяців тому

    Poleni sana

  • @ZuwenaSalim-c2f
    @ZuwenaSalim-c2f 7 місяців тому

    Subhanalaalh