MBWADUKE: CAF HAWAOGOPI? DRAW HII KUNA SIKU SIMBA WATAPIGA MTU NYINGI/ OKEJEPHA, MUTALE, MUKWALA...
Вставка
- Опубліковано 10 лип 2024
- Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
UFAFANUZI
Kwa utaratibu wa CAf msimu huu, timu 5 hazitashiriki hatua ya awali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa ((1st preliminary round) na badala yake zitaanza kushiriki katika hatua ya awali ya pili (raundi ya pili). Pia timu 12 zimepewa unafuu wa kutoshiriki hatua hiyo ya awali ya kwanza katika Kombe la Shirikisho bali zitaanzia hatua ya awali ya pili (2nd preliminary round).
KRAMO atawashangaza dunia mwaka huu simba
MBWADUKE Mchumbuzi wangu Bora No 1 wa sku zote mzee wa data base zenye weledi wa FIFA❤❤❤
Shirikisho sio pa kubeza
Iigi sii anze tu tujipigie mtu kumi na nusu Simba nguvu moja❤
🦁💪
Mchambuz bora 😅😅😅 anaupiga mwingi sana huyu ndo the best hap tz
Simba hawana deni kwani yanga ndiyo walikuwa wanalipa deni simba walishafika fainali
Mzee mwaduke ww ndo mchambuzi wangu namba moja
Hakika unajua kazi yako upo vizuri sana❤
nakukubali sana blaza unajua san
Mwamba anajuaa sana mwaduke
Uwakika mwanaduke mchambuzi anaijua boli sana
Mchambuzi hodari anachambua kama mchambuzi hodari
Hamuonekani vizuri boresheni ubora wa picha
Mbwaduke ginius🎉
Simba wawalinde wachezaji wetu na wachawi wa majini fs
Uhakika simba yangu
mambo
Tulikuwa na mamruki hawakutaka kufunga.
Wapili ni mimi
Huyu dada hakuelew fainal Simba ndio yakwanza kucheza
Nikweli sana tutaua mtu
Mchambuz msema kweli ajae hana makandokando
Wakwanza
Kuna zamalek, berkane, Aseck memosa,usm alger siowakuwabeza kabisa
Tunaruka na yeyote
Hao ni watoto saana kwa Simba😂😂 Tabu iko palepale😊
😂😂😂😂
Labdaa berkane
Kaka atawao wanasema ivoivo kuhusu Sumba. Wakimkumuka waidad alikandwa waje kwa hiloya waangalie joangalax akala 6 nawaohuko wanatetemeka bwana
❤❤😂
Mkwala ni mtu makina sana tutajua hapa
Dada mbona kama shabiki vile
Mnatumia camera gani??
Palitokea dharura kwa Mpigapicha hivyo akakosekana kufanya settings zake kwa usahihi. Kilichofuata duh... ndiyo hilo balaa. Kumradhi Mkuu!
Tuko pamoja sana ❤❤❤@@MbwadukeStats