Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • Katika moja ya matukio yasiyotarajiwa, Rais John Magufuli amempandisha cheo Kanali Charles Nguge na kuwa Brigedia Jenerali baada ya kuridhishwa na utekelezaji wake wa majukumu ya kazi za ujenzi aliyompatia.
    Tazama ilivyokuwa

КОМЕНТАРІ • 184

  • @lucassabida5471
    @lucassabida5471 4 роки тому +14

    Huwa nampenda sanaa rais wetu, ana apreciate effortnza watu. Big up JPM for your appreciation to others effort. Mungu akubariki sanaaa

  • @medardkajuna1159
    @medardkajuna1159 5 років тому +6

    Dah..natamani ningekuwa mimi.hakika najisikia faraja sana nnapoona jeshi kama hivi😥.hongera sana lieutenant colonel kwa kazi nzuri hadi kuwa brigadier.

  • @njerithiongo7901
    @njerithiongo7901 2 роки тому +24

    As a Kenyan,I really proud of you Rais ; ulikua mwafrika halisi. Rip Sir

    • @abdultaddy2729
      @abdultaddy2729 2 роки тому +2

      Thanks for such kinda thoughts i love you bro

  • @hussmuya5246
    @hussmuya5246 5 років тому +8

    Hongera sana anko tunafurahi sana .Na hii ni kwa bidii na uaminifu wako tunakujua toka tulipokua wote kinondoni Jack bar hongera sana tunazidi kukuombea kwa Mungu uwe na afya njema wewe pamoja na familia yako .ameen

  • @hesbonmusili9855
    @hesbonmusili9855 2 роки тому +7

    Bibilia inasema utatolewa kwenye mavumbi na kwenda kula na matajiri...hongera sana

  • @salumramadhani5566
    @salumramadhani5566 3 роки тому +17

    Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kila jambo na wakati wake..

  • @ayubuakim783
    @ayubuakim783 5 років тому +35

    hakuna haja ya kwa waganga we chapa kazi tu mungu atakuona maana mungu hamtupi mja wake,

  • @almendhiryable
    @almendhiryable 4 роки тому +6

    Safi sana Muheshimiwa Rais..... Mimi ACT Ila kwa jinsi upendo na uzalendo wa Rais nimempa asilimia 💯 na kura yangu nitaiweka kwako .

  • @user-nd7ky2yt8g
    @user-nd7ky2yt8g 5 місяців тому +5

    Mzee ulikuw vzur sana

  • @luganoshaban3948
    @luganoshaban3948 5 років тому +48

    Commandant wangu wa ruvu...he deserves it!

  • @venancemwamfise7510
    @venancemwamfise7510 5 років тому +13

    Nakukumbuka sana CO wangu Wa pale 832 KJ. Papaa Mbughe

  • @charlesotwalo9335
    @charlesotwalo9335 4 роки тому +5

    Mungu azidi kukulinda siku zote Rais wetu jpm hakika kabisa una hofu ya Mungu DAIMA Aksante sana

  • @hamoudsalum9064
    @hamoudsalum9064 5 років тому +5

    Safi sanaa rais wetu
    Hakuna kuchelewesha mda mtu akifanya vizur unampandisha cheo hapo hapo
    Nakukubali rais wnguu
    #magufuli

  • @million.onlinetv659
    @million.onlinetv659 5 років тому +40

    Yeah ndo huyooo jombaaa..dah..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..

  • @aluinaalex9504
    @aluinaalex9504 5 років тому +3

    hongera sana siku zote Mungu huwa hamtupi mja wake pia bila kusahau vijana wa kujitolea op kikwete na op magufuli mlioshiri Mungu yupo pamonya nanyi

  • @yasinkulendea1860
    @yasinkulendea1860 5 років тому +1

    Hongera mzee wangu mungu akubariki katika utendaji wako wa kazi appreciate magufuli appreciate Charles mbuge

  • @esromkanubho4738
    @esromkanubho4738 5 років тому +25

    Jamaa ata Ruvu JKT alitulaza macho Hatariii

    • @yakoboigoko6645
      @yakoboigoko6645 5 років тому +2

      Kwel tunae lais nampenda sana lais wetu waawamu ya 5 Mungu amlinde sana

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 роки тому +11

    Maguful R.I.P lakin bado kwenye mioyo yetu wazalendo tunakukumbuka daima

  • @patrickchibuga2911
    @patrickchibuga2911 5 років тому +10

    Huyu Afande ni kiongoz mzur sana namkumbuka sana KJ 832 RUVU 2015

  • @victorungani2810
    @victorungani2810 5 років тому +22

    Operation Magufuli 832KJ ruvu...2016

    • @onesmomkanga7664
      @onesmomkanga7664 5 років тому +1

      Victor Ungani aaah nmekubal mzee victor hyu jamaaa atarii...anastahili hana mchezo!!

    • @salumnkamia706
      @salumnkamia706 5 років тому +1

      Fire 2016

  • @emmanuelonjiro3565
    @emmanuelonjiro3565 3 роки тому +1

    Mungu akutangulie sana mjomba jpm

  • @focustryphone5435
    @focustryphone5435 5 років тому +3

    daaaa Jembe la 832Kj Kanal Mbuge daaaa namkubal sana Hongeraa

  • @lufitetv7120
    @lufitetv7120 5 років тому +9

    Hakika niko happy sana,,,,kuona nchi yangu iko na amani,,,mungu ibariki tanzania,,,,mbariki Raisi wetu DR.JOHN POMBE MAGUFURI ninakutakia maisha marefu raisi wetu,,,ili nizidi kuyaona matunda...

  • @elizabethmziray3868
    @elizabethmziray3868 5 років тому +4

    Kama mkono Wa MUNGU Uko juu Yako Lazima tutoboze life Daah l like to solder from my bottom of my heart

  • @kekemagori4732
    @kekemagori4732 5 років тому +5

    Hapo ujakosea kabisa jpm hats cc tuliopitia kwKe tunamjua mbuge

  • @yohanessomiyon8047
    @yohanessomiyon8047 5 років тому +2

    OP JPM 201.... Big up sana kamanda wanguu

  • @sagreymduda6569
    @sagreymduda6569 3 роки тому +34

    I jus cried every time i see the speech of my Father JPM

    • @salumkigoya5891
      @salumkigoya5891 3 роки тому

      U cry but am very pained coz I was loose that position 4 no reason

    • @jessicarasigu2220
      @jessicarasigu2220 2 роки тому +1

      Hakika MAGUFULI alikuwa mtetezi wa Africa wala siyo TANZANIA peke yake,nani Kama JPM tena jamani, MUNGU atuchagulie mwengine Kama MAGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania

    • @jisamjoseph4558
      @jisamjoseph4558 2 роки тому

      😭😭so painful

    • @abdultaddy2729
      @abdultaddy2729 2 роки тому

      I love y'll

  • @maximenella8957
    @maximenella8957 3 роки тому +8

    RIP😭😭😭😭 Dr président MAGUFULI

  • @clausemsemwa3704
    @clausemsemwa3704 5 років тому +21

    Jw toka kitimtim cha kagera limebaki kua jeshi bora....na askari wake wana nidhamu mpaka raha

  • @OmarOmar-gq5tk
    @OmarOmar-gq5tk Рік тому

    Dah! Jamaa alikua anapenda kuchapa Kaz magu sio sifa❤

  • @mdashomwamba679
    @mdashomwamba679 5 років тому +13

    Ruvu jkt 832 alikuwa CO yuko peace sana Mbuge

    • @Secondborn_
      @Secondborn_ 5 місяців тому

      Hatari sana op miaka 50 ya jkt ndo tulikuwa wa kwanza kuapa kwake

  • @inderjitlall4972
    @inderjitlall4972 4 роки тому +14

    To all dislikers SHAME on you!!!

  • @goldgod9963
    @goldgod9963 5 років тому +7

    Nan anamkubali JPM kama mimi anatumiaaa akili nyingi xanaa

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 5 років тому +17

    MTU MWENYE AKILI AKIKAA MAHALI, LAZIMA KUWE NA MABADILIKO.
    JPM ANAONGOZA NCHI KWA KUTUMIA AKILI, NA HIYO ILITAKIWA SANA

    • @lukandotv8101
      @lukandotv8101 2 роки тому

      Msikilize vzr alafu sema akili iko wap km siyo upendeleo!

  • @editchakoma1113
    @editchakoma1113 Рік тому +1

    All African nations are proud of your work Sir, RIP- Magufuli

  • @famysalum2740
    @famysalum2740 5 років тому

    azam mpo vizuri picha zenu ingekuwa tbc tungeona ukungu to

  • @augustinewilliam709
    @augustinewilliam709 2 роки тому +5

    Rest in piece father we always loves u

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 14 днів тому

    That was great

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 3 місяці тому

    Good job

  • @nassoromzenga866
    @nassoromzenga866 5 років тому +2

    Nimependa salute yako

  • @eliyahango4278
    @eliyahango4278 2 роки тому +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭JPM Nchi inaangamia huku baba kwann uliondoka kabla hujaifikisha TZ kaanani

  • @clausemsemwa3704
    @clausemsemwa3704 5 років тому +12

    Safi watu wachapa kazi wapande vyeo..........wengine watambue hawahitaji waganga

  • @petercosta1317
    @petercosta1317 3 роки тому +1

    rais magufuli mungu akuweke mahali pazuri

    • @richardtungaraza7509
      @richardtungaraza7509 2 роки тому

      Sio mungu ,andika na tumia MUNGU au Mungu ukianza na herufi kubwa kumpa utofauti na miungu mingine

  • @kondegangmjexh7563
    @kondegangmjexh7563 4 роки тому +1

    this is our presedent that needed in our country

  • @chozachoza3318
    @chozachoza3318 5 років тому +1

    Ruvu 832 kj , Co yupo vizuri

  • @emmanuelmweruka815
    @emmanuelmweruka815 5 років тому +10

    832KJ 2014,, CO wangu huyo aisee hongera zake, kwa kweli anastahili, ni jembe Sana

    • @ephraimkyando6744
      @ephraimkyando6744 2 роки тому

      Pamaoja sana.....
      Coy gani kiongoz?
      M nlikuw danger coy pale 2014

  • @moimashole992
    @moimashole992 5 років тому +8

    Sillo imebak zamu yako mkuu nawe onesha kwa mkuu kua jeshi la poris kua munaweza

  • @saidiyusufu1203
    @saidiyusufu1203 5 років тому +9

    CO 832KJ RUVU nambaako ninayo takupigia kukupongeza

    • @oxyrio1224
      @oxyrio1224 3 роки тому

      Tofauti ni gaani kati ya JKt N jwtz

  • @rayaluizcameron2594
    @rayaluizcameron2594 3 роки тому +2

    Who watch it mar 26 2021 at the funeral of our late president😍😍😍

  • @mrchairtv1704
    @mrchairtv1704 3 роки тому

    I like the leadership of H.E President John Pombe Magufuli

  • @makiadiongala5345
    @makiadiongala5345 5 років тому +4

    Ni mwaka jana tu ulituaga mkuu ukaamxhwa ukaenda makao makuu ya jkt leo ukoo juuu kileleenii

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 роки тому

    Magu jamani duuu mungu aiweke roho yako peponi ameni

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 6 місяців тому

    "AROOO huyu kuanzia reo umvishe vyeo begani"... Tangu 9 december tisa kenda sitini na moja hakuna commandr in chief alietoa hii oda wazi wazi kwenye kipaza sauti.... CHUMA was the Best of them All....GOAT....Tutakukumbuka sanaa Ngosha...the best thing ever happend to us...

  • @dalaliamanidar3004
    @dalaliamanidar3004 3 роки тому +2

    R.I.P JPM Mbuge lazima amkumbuke JPM daima kwa aliyomfanyia

  • @hamadiiddi3861
    @hamadiiddi3861 2 роки тому +2

    Namkubal sn mbuge kanifungia manzunzo rwamkoma 822 butiama

  • @michaelassam5789
    @michaelassam5789 2 роки тому +2

    Kipindi hicho, nchi inaenda bila tozo 😢

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t 5 місяців тому

    Tutazid kukuenz rais wetu kipenz magufur😢🙏🙏🙏

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 2 роки тому +12

    Rest in Peace father

  • @osybethmbangule7652
    @osybethmbangule7652 5 років тому +3

    Anastahili

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 роки тому +1

    Ukweli utabaki kuwa ukweli... Nchi imepata pigo kubwa...kwa kifo Cha JPM... Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kwa mema ya kuijenga nchi vizazi vingi vitamkumbuka.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @dairahally5471
    @dairahally5471 2 роки тому +1

    This is real president rip jembeeee

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa6998 3 роки тому

    Mzee ilikuwa inaonekana kama wew hatuwezi kuwa nawewe milele muache Mungu aitwe Mungu.

  • @josephatsebastian9848
    @josephatsebastian9848 5 місяців тому

    We will live in our heart.... forever..❤❤
    RIP our 2nd father of the nation...

  • @zagadat1129
    @zagadat1129 5 місяців тому

    Mungu ana sababu katika kila hatua yako

  • @ramanhoibrahim3383
    @ramanhoibrahim3383 5 років тому +2

    Mie mwendo tu utasema mwendo kasi la express kivukoni-kimara

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 5 років тому +7

    Nalipenda sana jeshi langu pendwa JWTZ halijawahi kusindwa JPM baba nakuomba sana wape tenda zote za ujenzi hasa hasa hii wizara ya ujenzi iwe chini ya jeshi letu pendwa JWTZ

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 2 роки тому

    Good salute

  • @hashimabdallah673
    @hashimabdallah673 4 роки тому

    ,yaani hapa mh JPM nakufurahia.kwa maamuzi yako ya moja kwa mojq

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 5 років тому +3

    Brigadier kaweka unaaa sio poa hahah

  • @khadijaomary2427
    @khadijaomary2427 5 років тому +1

    Duuu hatari mbuge umekuwa Brig Gen!!!! waliokuwa wanakupiga vita kama alivyosema mh Rais sasa kimyaaaaaaaaaaa

  • @reyjosee9390
    @reyjosee9390 5 років тому +2

    hadi nimesisimka na huo nwendo wa haraka

  • @sangjr8219
    @sangjr8219 5 років тому +1

    Jamani Azam tv mbona kimya. Hivi ni lini mtaanza kutuonesha /kurusha taarifa ya habari LIVE?

  • @qasammawa5310
    @qasammawa5310 2 роки тому

    Puzka kwa aman mzee wetu

  • @fedrickmaganga2693
    @fedrickmaganga2693 2 роки тому

    Dar, hakika

  • @mahamudmhawi2731
    @mahamudmhawi2731 5 років тому +3

    Anastahili saaana huyu jamaaa kiukweli nilikuwa nae ruvu jkt ni mtu wa kazi saaana

  • @edwardnambo1857
    @edwardnambo1857 4 роки тому +1

    Nakumbuka alitulaza usiku kujenga jukwaa la uwanja wa Mabatini

  • @rayaluizcameron2594
    @rayaluizcameron2594 3 роки тому +4

    R I P Mr president😭😭😭 ulionyesha upendo kwa wote tutakukumbuka daima

  • @dominiclokuremusic5178
    @dominiclokuremusic5178 2 роки тому

    ninapo kumbuka raisi magufuli amekufa nalia sana mtu rhoo safi dunia msima

  • @wankabanestory532
    @wankabanestory532 5 років тому

    hogera sana rais wetu rais wa watu wanyonge

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 5 років тому

    Safii magu upo vyemaaa

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 2 роки тому

    Dah hapa tulikuwa na Rais

  • @ChidyMbinga
    @ChidyMbinga 5 місяців тому

    Tulioangalia 2024 tukutane apaa😢😢

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 5 місяців тому

    Mwamba cheo alikiokota kabisa yani kweli kuna watu wana upepo.

  • @manubei3574
    @manubei3574 4 роки тому +2

    Namjua huyu Bwana, alikuwa CO wetu JKT Ruvu 2014. Ni mtu wa kauli njema anayetoa motisha pale unapomfurahisha. Hivi vyeo nilimwona ana umahiri wa kuviteka. (nachomekea: kiasi flani nilisi hapatani na Maja Msila)

  • @eliphaziamon8794
    @eliphaziamon8794 5 років тому

    Jeshi la Tanzania nilakuigwa mfano ,Africa nzima,,,kwa ni dhamu na uzalenda nawapa100%

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 2 роки тому

    Alikuwa anawatia moyo majeshi sana....

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 5 років тому

    Hahahaaa,,,,,yajayo yanafurahisha!!!!

  • @inderjitlall4972
    @inderjitlall4972 4 роки тому

    Respect to Sir President Sir JPM

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo4460 5 років тому +3

    AWAMU HII WATU WANAPANDISHWA VYEO WANAOSTAHILI, LAKINI JK ALIKUWA ANATOA VYEO KWA KUJUANA!!! BIDII YA MTU INAONEKANA!!

    • @goldgod9963
      @goldgod9963 5 років тому

      Kweli kabisaaaa naoendaaa JPM

  • @nduwimanaelyse1982
    @nduwimanaelyse1982 2 роки тому

    Inchi ilikuwa na muelekeo ilasasahivi nacokiona kwahuyu mama wapi kabisa

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 2 роки тому

    Tutampata wapi mwingine kama huyu? Jibu "Mungu ana hazina ya kutosha" tuwe na subira.

  • @teachingtruthmissionafrica9998
    @teachingtruthmissionafrica9998 5 років тому +1

    Raisi huyu ana mapungufu mengi tu kama mwanadamu mwingine yeyote lakini anapaswa kuungwa mkono sana na kuombewa watu wasitazame madhaifu yake waangalie na mema pia ....

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 2 роки тому

    Tupate wapi tena Mtu kama huyu😭😭

  • @user-em7db3pv7d
    @user-em7db3pv7d 6 місяців тому

    JPM

  • @saidkitojo6907
    @saidkitojo6907 7 днів тому

    Operation miaka 50 ya JKT 2013

  • @Official_Sunday_Mjeda
    @Official_Sunday_Mjeda 4 місяці тому

    Kwan mumgu alikuchukua

  • @moemussa5212
    @moemussa5212 3 роки тому +1

    RIP

  • @ramadimbegu7996
    @ramadimbegu7996 5 років тому

    Mzee jeshi alishindwi

  • @osybethmbangule7652
    @osybethmbangule7652 5 років тому +6

    Namkumbuka alikuwa na Cheo cha major pale RuVu hakika anastahili

    • @esromkanubho4738
      @esromkanubho4738 5 років тому +2

      Jamaa alitulaza macho JKT Ruvu

    • @million.onlinetv659
      @million.onlinetv659 5 років тому +2

      Yeah ndo huyooo jombaaa..dar..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..

    • @onesmomkanga7664
      @onesmomkanga7664 5 років тому +1

      Lkn anastahili...hyu msira alikuwa anabana lkn mbuge akijaa aah anaelewaa kazi kazii...mm namkubal mbuge!!

    • @emmanuelmweruka815
      @emmanuelmweruka815 5 років тому

      Msira alikuwa balaaa, hacheki na kurutiiiii,, daaaah Acha kabisa

  • @siriussecret3074
    @siriussecret3074 2 роки тому

    Rest in Power