MJUKUU WA NYERERE AUTAMANI URAIS.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 бер 2019
  • Mjukuu wa hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere,Sophia Nyerere ameeleza ndoto yake yakuja kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Msikilize hapa kwenye Break.
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 62

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc 11 місяців тому +2

    Muziki upo juu sauti za mhoji na mhojiwa hazisikiki vizuri

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 5 місяців тому +1

    Mtangazaji upo ki-bishara zaidi, (kutangaza biashara unayoijua mwenyewe), kuliko kutujuza tunayoyataka Sisi.

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 5 років тому

    Mtangazaji upo vizuri, pia Sofia Nyerere upo makini katika kujibu maswali, hongereni.

  • @safikapufi422
    @safikapufi422 5 років тому +2

    mm macho yangu huwa yanaona kama baba wa taifa na mkewe wanafanana

  • @umranim5854
    @umranim5854 5 років тому +3

    Mnakosea kuweka mziki kwenye intav

  • @sospeterkedmonchitema
    @sospeterkedmonchitema Рік тому

    Mungu aendelee kukuhifadhi sehemu salama

  • @hassanadam2708
    @hassanadam2708 3 місяці тому

    Mh move inaogopesha

  • @samsonhaule8816
    @samsonhaule8816 4 роки тому +1

    Acha kumfananisha nyerere na BWANA YESU.

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 5 років тому +1

    Amefana na babu yake masikini mungu ni mwema

  • @chadogyfrankibrahim2976
    @chadogyfrankibrahim2976 5 років тому

    Inauma sana mwenyezi mungu tutie nguvu

  • @ezrantare7344
    @ezrantare7344 5 років тому +5

    Anafanana sana na bibi yake mama Maria Nyerere

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 5 років тому +3

    Mtangazaji agana na mgeni ndipo uendelee kutangaza hizo biashara zako.

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 4 роки тому +1

    Wewe Dan fod umetumwa kila sehemu unacoment watakufa na umasikini wao sasa wewe una mchango gani na hii family au unashauri nn au unaumia nn na umasikini wa family ya mwalimu nyerere wewe mchochezi ni mtu hatar ktk jamii fata maisha yako achana na family hii haikuhusu

  • @mligombuma2287
    @mligombuma2287 5 років тому +9

    Anafanana na babu yake hiko kichwa duuuuuh

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 5 років тому +6

    Yaani uyu nyerere mtupu kichwa mkato wa nywere mdomo meno kabisaa nyerere

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 5 років тому +7

    Hiyo miwani inakupoteza Sura halisi. Hiyo miwa amekuwa kituko walio Jirani hawamshauri

    • @hamidaala2832
      @hamidaala2832 3 роки тому

      😂😃

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 3 роки тому

      😁😁😁😁 du 🤔🤔🤔🤔 wabongo kwanini wafukunyuku hivo miwani hiyoooooo 👉👉👉👉👉🤓🤓🤓🤓😎😎😎😎

  • @innobugobola1694
    @innobugobola1694 3 роки тому

    Umependeza but nywele zmekaa zig zaga

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 Рік тому

    wafanana songa

  • @vemamawole2228
    @vemamawole2228 5 років тому +1

    Nampendaga sana sophia

  • @hamisa3447
    @hamisa3447 3 роки тому

    Innalilah wain iray rajinuun

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 років тому

    Nilimsikiliza Mpaka Pale alivyosema Waziri wake Mahiri ni Kangi Lugola Nikaclic kutoka sikumalizia. Hivi Nyerere angekuwa hai angemshabikia Lugola. HAPO HAKUNA KITU.

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 5 років тому +3

    Eti watu kama wale wanatokea baada ya miaka zaidi ya 400. Unampangia Mungu?

  • @jeremiahzacharia7655
    @jeremiahzacharia7655 5 років тому

    Miwani hiyo mmmhhh!!!

  • @mawazorose755
    @mawazorose755 5 років тому +2

    Huyu mjukuu ni sura ya bibi yake

  • @paulmasanja7055
    @paulmasanja7055 5 років тому +1

    Mwalimu alikuwa havai miwani kama hiyo mmmmhhhh!!!

  • @husseinmillinga1920
    @husseinmillinga1920 3 роки тому

    Meno yanafanana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому

    Wimbo wa nini hatusikii kinachoulizwa

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 5 років тому +3

    Huo music unaboa.

  • @erissaidytours9034
    @erissaidytours9034 3 роки тому

    Hata nilikuwa cmjui kabisa

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Рік тому

    Hayo mamiwani mabayaaa

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 5 років тому

    Nitumie namba ya Sofia

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Рік тому

    Matehemu du.miguu haina supu

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 5 років тому

    Duuuu...huyu Dada kichwa kama Nyerere

  • @ramadhanisudi4104
    @ramadhanisudi4104 3 роки тому +1

    R.I.P Sophia Nyerere

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 3 роки тому

    RIP Sophia 🙏🏼🙏🏼

  • @priscasiame9179
    @priscasiame9179 5 років тому +2

    Mtangazaj huo mziki atuhtaji...alafu mwalimu kaiacha familia yake ktk kipindi kigumu alileta uzalendo nch hii...ahahaha!wap mkapa wap kikwete...huyu hapa magu kusanya mali uncle

  • @omarymkalimkalivala2823
    @omarymkalimkalivala2823 5 років тому +2

    kafanana na babu yake huyu bint

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 5 років тому +2

    Ninyi na kizazi chenu mnakufa na umaskini wenu. Marais waliofuata na familia zao wanatumbua nchi

    • @hassansalum5362
      @hassansalum5362 5 років тому +2

      Masikini ushasikiaa wanaomba au wanalalamika maisha magumu

    • @johnmophat5300
      @johnmophat5300 5 років тому +1

      @@hassansalum5362 swali zuri sana kk maskini siku zote ni kkurupuka tu

    • @mzalendowamwitongo3520
      @mzalendowamwitongo3520 5 років тому

      Danford Augustino Ahsante mpanga riziki ni Mwenyezi Mungu akiamua vyovyote vile inshalah

  • @ivankivinge2987
    @ivankivinge2987 3 роки тому

    Rest in peace Sophia

  • @robertnoel5232
    @robertnoel5232 4 роки тому

    Labda akagombee Serikali za Mitaa

  • @severinemabirika2249
    @severinemabirika2249 4 роки тому +1

    450...? acha uongo wewe , huo utafiti wenu si sahihi kabisa

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Рік тому

    R.i.p

  • @christinasolomon8156
    @christinasolomon8156 4 роки тому

    USHAUR (Soph) usiwe muongeaj sana na kwa heshma ya BABA wa TAIFA Tunaomba uwe unafanya (lntervw) na vyombo vya habar kama TBC au BBC VOA n.k kwasabab watangazaj wanaweled; nadhan huyo mtangazaj unamuona alivyo sisemi unafanya vbaya kuwa social lakn kwa kias Nyie ndio VIOO vya TAIFA hili.

  • @yussufabdul-rahman5601
    @yussufabdul-rahman5601 5 років тому

    Aaah hmna lolote mltuletea ucku tu😏😤

  • @ahmedkapera6989
    @ahmedkapera6989 5 років тому +1

    Tulikuwa tunacheza pamoja na mwene 🤣🤣msasani na ikulu na unt anna

  • @charlesosward2009
    @charlesosward2009 3 роки тому

    R.I.P Dada...

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 5 років тому +1

    huyo bibi yako aliyekuambia watu kama Juli kichogo wanatokea baada ya miaka 450 alikudanganya sawa?nyinyi musiwe wajinga mukamuabudu binaadamu kama mungu sawa?mtu aliye kuwa bora hapo tena hakuna na kampita huyo kichogo alikuwa Abulrahman Mohamed Babu kutoka nchi jirani yenu sawa?

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka922 5 років тому +2

    Tatzo lako huwa unajibu vitu vingne ambavyo hujaulizwa