Mch Moses Magembe - AINA NNE ZA MIOYO
Вставка
- Опубліковано 24 чер 2023
- Ibada ya Jumapili Asubuhi katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita Ukonga - Dar es salaam chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe:AINA NNE ZA MIOYO
Andiko: MATHAYO 13:1-9 MATHAYO 13:18-23
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 25.06.2023
Ubalikiwe Sana 🙏
Amena bb rev.moses magembe ubarikiwe sana bb yangu ❤🙏🙏
Hongera baba Kwa mafundisho yako muluwa,karibu katavi tuna hamu na wewe
Tazania imebarikiwa sana na watumishi wa mungu kabisa tunakupenda sana baba mchungaji tunahaja nawewe huku congo drc kinshasa
Ameni mtumishi nimeelewa. Asante kwa mafundisho yenye uweledi wa MUNGU wa kweli
Asante kRISTO kwà vyombo vya ko vya kazi Tanzania neema yako isivipungukie
Zidi kubarikiwa sana Pastor Moses Magembe
Amen mtumishi wa Mungu nabarkiwa sana
Mungu awaongoze kwakazizake.
Amina Mchungaji ujipange na Katavi
Mungu akubariki mch huwa nakuelewa sana nafuatilia mafundisho yako
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amina baba barikiwa 🙏
Barikiwa baba
KILINDI -TANGA tunatamani mtufikie,huyu mtumishi hana masihara inapofikia habari ya Imani.Mungu amtunze hatuhitaji usanii kwenye mambo ya neno la Mungu.
Uje na iringa
Nakupenda sana baba, hii ni hazina ya Bwana nimejifunza leo jambo kubwa katika somo lote
26:32
Mtumishi tunaomba uje na Lindi mjini, tumekuwa tukikufatilia kwenye mitandao, tunahitaji utuhudumie live.