Baba Olivia Episode 02//She turned 13 and BEGGED her Dad for the first time Party!!Single Dad story.
Вставка
- Опубліковано 26 тра 2024
- #Gabozigamba au Author kwenye story, amekua akiamini kwamba hakuna haja ya kumfanyia mtoto sherehe ya kuzaliwa, Olivia binti yake wa pekee anamlilia baba yake akiomba kufanyiwa sherehe baada ya kutimiza miaka 13.Itikadi na imani za ki Africa zina msumbua nafsi baba yake.
#Catalina au Mama tina anajikuta matatizoni baada ya kupuuzia ushauri wa mume wake wakiwa kwenye shuguli maalumu usiku.
Karibu kuitazama tamthulia ya pekee Tanzania BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba
..................................................................................
Gabozegamba, also known as Author in the story, has always believed there is no need to celebrate his child's birthday. However, his only daughter, Olivia, begs him for a party after turning 13. His African traditions and beliefs trouble his conscience.
#Catalina, or Mama Tina, finds herself in trouble after ignoring her husband's advice during a special event at night.
Tune in to watch the unique Tanzanian drama, BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram: / henrymwakajumba - Фільми й анімація
Gabo mtu serious kwenye move zake kama unakubliana na mimi gonga like
Tena malizia ni mtu makini
Hii move nikali jaman❤❤
Filamu kama hizi nchini Tanzania hua hazipewi nafasi kwa ukubwa na zikipewa upatikanaji wake hadi uwe na king'amuzi sjui tutaendelea lini jamani😢
Kwelii kk😢
Huenda upande wa digital marketing hatujajipanga wao ndio wataalamu bana
Kama umesha subscribe basi umefika nyumbani, vitamu vinakuja na tuna hitaji support yenu!! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@@henrymwakajumba litakua jambo jema kwasababu ishu ya kuacha kaz na kukaa ktk king'amuzi ni kazi nyingine hyo pia tisingependa kuona mkitoa kazi mna invest muda na pesa then tuangalie bure hatutoendelea natamani tupige hatua tufkie kudownload& kustream kama wenzetu
Yani wameweza sana
Toka Kanumba Aondoke Leo nimeona movie ya viwango kama vyake ....Gambo keep shining 🌟
Asante sana, Shukran 🙏🏾🙏🏾
Safri ya gwaru.... and so many more. Jamaa anajua kitambo. Ni upepo tu hakuukamata vizuri.
Baba olivya unajuwa sna Mungu hakusimamie kwa kila jmbo
Asante sana🙏🏾🙏🏾
Kwa movie Hii sina cha kusema zaid ya respect for you all 🙌
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
Huyu dada mwalimu mzuri jamani anataka kufanana na mke wa beka happy
Mzuri sana aisee❤
Kweli?
Olivia nimempenda anajiamin sana wooow😂😂😂😂❤
Shukran sana kwa Mauwa!!🙏🏾🙏🏾
Hivi huyu Olivia si ndo mwanne au ??
Mwalimu ana jicho flani mashallah
Exactly yes jmn
Nlijua nimeona pekeangu mm jicho sio poa
Umeonaa eee
Naomba mwendelezo wa hii series ni bonge kubwa la movie. Kama huna D mbili uwezi kuelewa
Kila Juma 3
Mmmh
Wewe mwenyewe huna d mbili ndo maana hujui mwendelezo uliko😅
Naomba sana sana huyu mtoto Olivia msimuache, she's very very talented naomba tafadhali endeleeni kumkuza
Asante sana, Kuna kazi zake nyingine zinakuja usikae mbali🙏🏾
Teacher wamoto sana ana macho ya kwendaa😋
Movie nzuri Bora ila elimisha vizuri ila haijisha vizuri wetengeneze part 3
Juma 3 part 3 itakua hewani,Subscribe ili usipitwe!
Mbn movie kama ni nzuri hii au mnaonaje🥺🥺
This is the best film..Mwandishi amefaulu…
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
Asante Kaka nimejifunza kitu kidogo apa am from Nairobi Kenya 🇰🇪🙏
Thanks so much for watching, please subscribe if you didn’t, 🙏🏾🙏🏾
Uyo teacher kiboko😍
Ila mwalimu mzuri nyie❤❤❤
Asante kwa kumpa Mauwa yake! ❤️🙏🏾🙏🏾
Nlijua nimeona mwenyewe
Sana Masha'Allah ❤️❤️❤️
Kweli nimeona anashawishi san🔥
Uhaakika mwalimu ni kazuri san
Mwalimu ni mzuriiiiii adi rahaaaaaaa ❤❤❤❤❤
Filamu nzuri sana. Naomba jina la huo wimbo uliopigwa kwenye birthday party. Nimeupenda❤
Mwalimu mwalimu .....kuna wanawake wameumbwa bana
Kabisa ni mrembo sana jamanii
Anaitwa nani huyu mwalimu???
Filamu hii tunaifahamu wale ambao tupo matured only
Unalipia vocha kisha unaangalia
As a filmmaker hii tamthilia iko very cinematic 😮 unaweza cma aijaandaliwa na wabongo naifananisha na Tamthilia za kumekucha za kna john ribber , big up sana kazi ni kubwa naiona ikienda vairow
Asante sana Shukran 🙏🏾🙏🏾
Huyo mwalimuu huyoo umu owe❤
Kabsa anafaa Kua mm yetu
❤
Hii filamu ni nzuri sana ina mafunzo mengi sana ndani ya jamii yetu.
Shukran sana 🙏🏾🙏🏾
Yaani walipoulizia cake iko wapi, aibu nilipata Mimi 😢😂😂🙌🏽, Ila Nimependa the way jerani wa mwanamke alivyosema “as long ni cake na mtoto yuko happy” that’s all matters 💪🏾🙌🏽❤️💯
Kila week Kama mbali 🙈😂, ebu fanyeni twice a week
😂😂😂😂
😂
Mwalimu ni mzurii jamni gwaa apate tano zakee
Kuna cha kujifunza hapa hakika penda saana Gabo hakuna mtu akaanngalia filamu hii akachukizwa.
Asante sana, Tafadhali share na kwa wadau pia!🙏🏾
King Makonde from Mozambique 🇲🇿 I love this movie
Thanks so much 🙏🏾🙏🏾
🧭🤳 big up bro tweeshalumo mbwana ❤❤
Bonge la combo,...Gabo na Dude this people wanajua bana🎉🎉
Shukran Sana🙏🏾🙏🏾❤️❤️
Kiukweli hz ndo filamu angalau zinaweza kufika kimataifa
Changamoto niloiyona kubwa
Wahusika Yan inaonesha waz ni maigizo maana wamejitenga sn hasa filamu imeigizwa ktk eneo finyu
Tamthilia inapendeza kuwe na watu wengine hata km wawe wanapita tu
Asante sna kwa mchango wako! Tutalifanyia kazi! 🙏🏾🙏🏾
Ila sio kila Tamthilia iwe na lundo LA wasanii, kikubwa ni dhamir tuu
Olivia 😂😂😂kana cekesha ujuwe eti barua ingekua ndefu ingenoga mtoto uyo anaweza Masha Allah ❤
❤️❤️❤️
Ngabo ni noma❤
Mwalimu anashawishi Roho ❤🔥🔥🔥🔥🔥 number ya kiatu tuma ahahahahahahahhaha
Habari! umejifunza nini kwenye hii tamthilia? Dondosha maoni yako na usisahau kusubscribe Asante! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Single dad's wote tuwaheshimu na tunawapenda pia❤
Majilani kama Hao bola mtu awakose kbsaaaaaaa ila tunapaswa kufanya kma bba Olivia ❤❤❤❤❤❤❤❤
Wadaku hao😂😂😂
Majirani kama hawa unawapa jina gani??
@@henrymwakajumba mashambwendo
Mashangingi😂
wambea 🤣😂🤣😂🤣😂
It's so great bro acha Wengine tutafute pesa ndipo tuingie kwenye filamu
Hadi mwaka wa kuzaliwa kumbe una long story na hamsemi😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Filamu ime chukua mazingira ya uwalisia gabo ana jua
Asante sana🙏🏾🙏🏾
Pachawangu Gabo ulivyo silias naukicheka tunasanana mpaka lafuzi matamsh ufikiliaji kuamua❤❤❤❤❤
❤️❤️
The song please very nice inaitwaje😂😂😂😂na hiyo kulia ya mke wa jirani😅😅😅😅
Aiseeeee ni bonge moja ya move inafundisha na inachekesha keep it up bro 💪
Asante sana, Subscribe ili usipitwe na mwendelezo!
Asa ndy imeishaje hv jmn atoe part 3 ..bhn wabongo ndy wanafeligi apo tu
Hapana haijaisha, hii ni Tamthilia inaendelea mpaka utachoka! Juma 3 episode ya 3 itakua hewani subscribe usipitwe!
Hii movie nzuri san hakika nimepiga salute🤜🤛
Asante sana!!
Gabo my men favorite actor since.....
Ahsante sana nime jifunza. Kitu kidogo ila mtoto kafurah uyo🎉🎉
Kweli hata Mimi nimejifunza
Nimechek saaan oliva avyowatishia kwamb uyo mtu amekufa yaan kila mtu mbiooo😂😂😅
😅😅😅 Ungekua wewe ungesimama??
olivia lazima aje kubeba tuzo huyu🙌
Asante sana!!
Kiukweli Tangu kanumba atangulie mbele za haki nlikata mkataba kabsa na BONGO MOVIE but LEO sababu ya GABO ❤️❤️💯💯💯💥💥♥️💌💌
Katarina comedy.alafu mwanao aweke video mtandaoni😂😂😂
ayis zuri firamu nimeyipeda
Director umejuwaa kuipikaa hii kazii 🎉🎉🎉🎉
Nimependa mwenyekiti alivyonyamazishwa na pande la cake 😂😂😂😂😂
😅😅 msosi ndio kila kitu!
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 nakwambiya weaca tu
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂💞💞💞💞
sema aka katoto olivia kaigizaji safi sana ,,mungu asimama mbele yake
Asantee kwa mauwa 🙏🏾🙏🏾❤️❤️
Yupo vizuri sana... very bright n confident
Utulivu mzul sauti njo angani anga ni jeupe salama kutoka kahama
Movie ipo vizuri sana kongole kwa atunzi na hii pratform kutuletea movie bora❤❤❤❤
Asante sana kwa kuangalia! Utusaidie kushare kwa wengine na ku subscribe kama bado 🙏🏾🙏🏾
Uyo Olivia kabisa sasa 🙌🙌🙌👏👏👏👏
🙏🏾🙏🏾
Movie nzuri sana
Yaani zile chanel za azam tv wangechukua azam two na sinema zetu wangeweka hizi tamthilia nadhani tungefika maahala fulani hiv mashallah lakini wanaweka za za kutuluk tu wakina mama kimbo wanamafundisho gani kwenye jamii
Dah inakua siku nzur kwangu
Huyu mama akilewa analiaa daaaaah kama shangazi2
😂😂😂 kumbe kuna watu kama hawa!
Mmmh move kalii iiase gabo mwsmba sana
Jirani anaendesha Passo
Kazi nzuri, mwalimu mzuri hadi natamani nirudi shule
😂😂😂😂 Na viboko je?
Huyu mwalim dah had natamni kumjuwa
The teacher is beautiful
Zigamba ma mwanao mmecheza asee nimewapenda bure
Asante sana, usisahau ku subscribe basi?🙏🏾🙏🏾
Bwana gabo mimi nakupenda Sana hakuna muigizaji east Africa kama ww mimi from burundi nakuangalia sana
Asante sana! 🙏🏾🙏🏾
Nzuri sana tunaomba uwe unatuwahishia basi
Asante sana kila juma tatu itakua hewani, share link kwa uwapendao!!🙏🏾🙏🏾
Mkuu kwani haiwezi kutoka mara mbili Kwa wiki boss@@henrymwakajumba
Mwalimu mzuri jamani❤🎉❤🎉❤🎉
Nasubiri tu siku Gabo amuoe uyo mwalimu😅
Endelea kufuatilia 🙏🏾🙏🏾
Da😮nilikua nimezisaliti Bongo movie lakini sasa kwa hii nimerudi lasmi 🎉🎉🎉🎉
Aimalizie kwanza gabo adeti n mwalimu😂
Asante kwa Kurudi karibu sana🙏🏾🙏🏾
Nice flam with nice man🎉
Thanks 🙏🏾🙏🏾
Nimetokea Kumpenda huyu mwalimu maana ni mzuri kinoma ❤❤
Hako katoto ka gambo kapo vizur ❤❤
Asante sana🙏🏾🙏🏾
Nime ipenda Sana hii, filamu ❤❤❤❤
Jamn nisiwe mnafuki mwalimu ni mzuri haki
Sana
Huyu dogo anajua kuigiza aiseee
Ungependa kuona behind the scenes zake akiigiza??
@@henrymwakajumbandio ana juwa sana 😂nime mpenda sana
Ipo vizur aisee🎉🎉🎉
Shukran sana, share na uwapendao nao waenjoy utamu!
Oliva kacheza vizuri sana
Asante sana, Usisahau ku subscribe ndugu! 🙏🏾🙏🏾
We are waiting for party 3 Mr Gabo Zigamba 👏
Early this Monday Subscribe so you don’t miss anything! 🙏🏾🙏🏾
Ime bidi niifate nikiwa nime lala kwa umakini 😂😂🔥 gabo mzee wangu ❤❤
Nikitambo sana natafutaka iiyi compte yako,kazi nzuri kweli 🎉
Basi umesha fika nyumbani! Subscribe usipitwe zinazokuja!🙏🏾🙏🏾
Kuna kitu kati ya baba olivia na mawalimu
Umeona nini? 😅😅😉😉
@@henrymwakajumba nimeona mbali sana 😂
Jaman teacher more Than beautiful
Mwalimu mzuri sana mrembo Fulani ivi
Ni nzuriii mmetisha❤
Shukran sana!
Yaani for the talent you have it, even how to manage story upo vizurii sana 💯, it's my first time but i like it pull up... Bado unaweza ila kama ulipotea kwa game but am sure you go to make unbelievable things in bongo movie.. Izi vitu tulizoea kuonaa mbele.
Asante Sana!❤️
Good movie. Hongera zenu na naamini mwendelezo utakuwa mzuri zaidi. Never disappoint
Asante sana, Mwendelezo ni 🔥🔥🔥🔥 usikae mbali!
Waigiza kama Awa ndo tunawaitaji bongo
Umependa nini hasa kama huto jali kushare? 🙏🏾🙏🏾
Kazi nzuri mnooo❤😊
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
Uyo mtoto anaweza❤
Asante sana kwa mauwa! 🙏🏾
Hatari hii Bro upo viwango Vingine
Please next episode na ikiwezekana weka hata tano please
Subscribe usipitwe kila Juma 3 Episode mpya!
Mwl mzuri ana sifa zote za mke wangu
yaan hii kitu inanifurahishaga tu😅uyo dogo wa kiume mjuaji sana😅majirani wanavyojibizana ni raha tupu
😂😂😂 Asante sana🙏🏾🙏🏾
Naombeni jina la mwalim wa olivia 😊😊
Anaitwa Janeth
@@huseinmasoud4403😂😂
Hzi pombe jamani .....nmecheka sana ...akilewa analia ,alafu Amelia kweli 🤣🤣🤣
😅😅😅 siku yako ya kwanza kuonja ili kuwaje??
Kaka GABO Asante Sana ❤❤❤❤❤
Karibu, share na uwapendo nao wapate utamu!
Kazi nzuri sana ❤
Best 👌 movie 🎬 MashaAllah, tunatarajia mwendelezo mzuri inshaallah
Asante sana! Tafadhali subscribe kama bado! 🙏🏾🙏🏾
Jitahidini kutokuchanganya Kingereza kwenye maongezi Kiswahili ni lugha tajiri
Asante Sana 🙏🏾
Uwongo kiswahili ni luga maskini
😅😅😅😅😂😂 why between my interview u passing around @Ummuuthaymeen-wk7zc
Kwa Dunia ya sasa ni ngumu kuepuka kingereza kwa mamna yoyote.... ukitaka kuamini badili lugha kwenye simu yako iwe kiswahili
@@Ummuuthaymeen-wk7zcwho told you that? Labda kama hujui wewe lugha sema