ANAPITIA MAISHA MAGUMU SANA MPAKA MKEWE AKAMKIMBIA | BANK ALERT
Вставка
- Опубліковано 7 лип 2024
- Movie name: BANK ALERT
⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : PRIME VIDEO
Book Us Now Via Email: lifelakitaa@gmail.com
Hit Us Up: +255624944364
Follow Us On Socials :-
Facebook Page: profile.php?...
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891...
Instagram: e7bits?igsh...
Tiktok: tiktok.com/@e7bits
Telegram Channel: t.me/E7BITS
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Snapchat: Izkonka
Facebook: profile.php?...
Twitter: x.com/izkonka/status/15454891... - Фільми й анімація
Wakwanza hapa, like zangu alafu nendeni channel inayoitwa PERFECT SIDE mkajionee maajabu ya dunia😅
Oky
😂😂😂kun nn uko
😂😂maajabu
Wakwanza reo namshukulu mungu 🙏 gonna like apa
Konka sio kw hyo translationa ya Janta man, umeniua mbavu😂😂😂😂😂sema unachelewa sana jmn kwn bd hujapona tyu
Hii chuma kali mzeeee..! yaan umetixha man km janta man
Jamaaa anadaiwa na mpaka E7bets🤣🤣🤣
Nimecheka sana ety " ww jiheshim ww na umri wako"😂😂😂😂🙌
Mzee umetisha sana😂😂 hasa hapo kwenye huyo muhuni anavyoongea
Mm wakwanzaa❤❤❤ naomba like zangu
Naombeni like moja tuh
Kama unamkubali uyu mwamba weka tiki✅
Konka unatuweka sana ck hz😂
❤ wew ni wa moto... Leo umekuja na vionjo vya rutaman🎉
AH KONKA BANA WEE NI HATAR ATA NIWE NA MUME WANGU ATA IWE SAA NGAPI ME NAKUSKILIZA ❤❤❤
Rudi ukafundwe
Mzinzi wewe
Uzinzi tuu kuoga aaaa😂😂
Oi wa kwanza naombeni like zangu 🤣🤣🤣
Yaaani wanaweka wanafeligi mwishoooooo😂
Wanaondokaga wanapishana na gari la maokoto😂
@@e7bits_tztena dakika za jiooooooooooooooooooniii
Konkaa man umetisha man😂
😅😅😂😂 Ni Noma Sana Ya Leeo
Good 👍 Good 👍 mtu wetu wa nguv Mr konki
Wa kwanza hata msiponipa like😊😊😂
Tunakupa like mwamba🎉
Mzee kakopa mpaka Tanzania😂😂😂
E 7beat app ya mikopo😅😅😅
Janta kama Nagwa mwanangu 😂😂 Jah bless man
Ila huyo Janta man ulivyompamba ni🔥🔥🔥
Tuleteeee bel air kaka🔥🇿🇦
Oyaa Mi Nimeongikia hapa kati Man Na nmegonga Like Ki bombokalati Man, Bas Jah Ables Man
Sema we kiumbe unajua saana sana ila unachelewa saana kuleta mizigo om boe
Ntajitahidi
Braza unachelew san kupost
Ohhh thanks so much ❤❤❤
Aisee hadi mm nmeunganisha kicheko na menager😂😂😂
Leo Wakwanza 🎉🎉🎉
Mm WA Kwanza leo
Umeua daah ww unajua kaka nimependa ulivyoigia sauti apo janta man 😁😂😃😄 sauti flani ivi yakutoa stress
Unajua mpaka unaaa kera 💯💯
Nimesikiliza recap nyingi na wasimuliaji wengi snaaa ilaa amini kwamba IZKONKA ni the best unajua kusimulia jamaa
Asante sana🙏
Janta man konka unajua kuchugua movies kali sana
Ukisikiya kufa kufaana ndio hiyo😂😂😂
Izkonkaaa aaaaaah Izkonkaaaaaa oooooooo yani uchawa wakinigeria mzuri sana 😂😂😂😂😂😂😂
Unyama kama wote
kwa rast man umeua konka
Broh leo ndo umezidi ku2piga weeee😂😂😂😂
Leo jmn nimewahi😅😅...naombeni like🥰😍😍😍
No1
Wakwanzaaa 🎉🎉
E7 bits APP YA MIKOPO😂😂😂😂SHENZIIIIIIII KABISA
First leo Nipeni likes zangu
E7bits nakuja kuchukua mkop000😂😂😂😂
Wa kwanza kutoka Burundi
asante man 😂😂😂nimefurahi bomboklati
Safi sana kazi nzuri
E7BT APP YA MIKOPO
Konka unabalaaaaaaa❤❤❤❤😂
broo unaweza na move zako kali sana
🧭🤳 mim wa hamsini na tatu nimewahi kufika Leo mwenzenu kutoka Msumbiji 🇲🇿 Mkoan wa Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa ❤️ nimepitia kwa hayo matukio ni hatali mno ni sumu kali 😢😢😢
Nimechelewa, sijawa wa kwanza 😂😂😂😂😂
Kama umependa jinsi alyo ongea konka sehemu ya janta man konga like apa😂😂🎉
Nimependa Sana bomboclat 😂😂😂
Jah bless man😂😂 , ila konka
Yan nakuelewa sana jinsi unavyo tafasili movie 🥰
E7bits man😂😂😂
Apa tunajifunza kwenye maisha tusikate tamaa lakn mafanikio yana tabu sana
Jamn najiona nimewahi naombeni ata like 5
Mzee umetusaau sana 😅 🤞
wakwanz stk shida🙏🏾🙏🏾
E 7 bits una jua xana 👏
Hhhhhh 😂😂 jantamani umtishaa man 😅😅
Unachelewa sana skuiz kuachia kaz
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Dah haya maisha ya kuigiza haya 2cjichanganye maana Janta man ameniua mbavu na kunifanya niwaze mengi sn
Jamaa unaweza Hadi unaboa❤❤😂
E 7 bits unavyompatia huyo muhuni eti janta janta 😂
😂😂😂 eti E7bit app ya mikopo
😂😂😂
E7bits forever ur my comfort
Sema mzee unakaa kimy kinom jop siy kazi rahis ila kidg uwe unatuwahishia mzigo mzee
E7bits kampun ya mikopo 😂😂😂🙌🙌🙌🙌
HUY JAMAA BWAN CHENGA😂😂😂
Kibwagizo 😂😂😂😂
ila VIBONGE 😂😂kibonge kala msosi wa dingi
Sindiooo MAN 👨 😂🔥
Ila unajua sana 😂😂😂
Nimeipenda hiyo app ya mkopo E7bits😂
😂😂ety niya mikopo
😂😂ety niya mikopo
@@BudahZone-ot7lu 🤣🤣wacha tumtafute atupe mkopo
Asante sana Konka Man,
umeuwaaaa babuuuu
Ni 🔥🔥
Story ya leo ni tamu htr❤🎉
Sehem ya janta man umeua Mzee wangu
Kumbe app za mikopo ziko kila mahali 😂😂😂😂
Wakwanza jmn like please🙏±
Ety sisi ni e7bits app ya mikop konka bahna una nikosha sana🤩🤩🤩
😂noumaa sana
زرت ❤
I'm new to this chanel like zenu😂😂😂
Oyá unatchelewa sana mno!
😂😂😂😂😂 ila wewe kaka unajua sana akii hakuna wakukupiku miaka 1000
Hizi sauti zaki Rasta noma aiseee!!@😂😂😂
Janta maan 😂😂😂 nimechek 😂😂😂sn
Mchizi anadaiwa mpaka na E7bits app ya mikopo 😅 hapo konka umenijulia kunichekesha
Umetisha Eti Bomboklati Janta Man.lugha ya rasta man
djanta man nimefuraiya man ❤❤❤❤
Nakukubal San bro upo vzur San sem upo sroo San kutowa v2
Kaka safi sana
Umetisha man
Had e7bt wanamdai sam... Kwa kwel namhurumia mzebabbaah
Alaff janta rutaman vooo❤
Sijapenda modestuc alivyokufa 😢
Jaaaa bless man 😂😂😂😂😂😂🎉
Aseeee hili move Leo nme Enjoy Sana mzee sema una field kitu kmoja unachelewa Kuma vtu Kuna waun wanakupita uspo angalia kwa Makin mzee
Sasa si ukaangalie huko kwa hao wahuni