Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Kitu ambacho hatujui binadam miongon mwa sadaka pia hata njia ni sadaka na hata ukaona mwiba njian au jit limekaa vibaya njian ni hatar kwa atakae pita ukaviondosha wapata thawabu Maashallah, sikuambii ww unaeziba njia watu wasipite, Allah Akbaru MUNGU atunusuru hii ardhi yoote niya M/MUNGU jmn kwann tunajisahau hivyo kana kwamba tukifa tunakwenda navyo? Hili ni somo kubwa sana tuwe na utu jmn ukifa kila kitu tunaviacha hapa hapa🙌🙌 marehem hasemwi haya sasa hawa wooote wanakulalamikia ww mfu😭😭😭😭😭hapana kwakweli MUNGU atupe mwisho mwema🤲🤲🤲
Wakati umefika, Serikali ingeunda kitengo maalum kushughulikia watu, na mambo ya namna hii. MAKONDA (mtu mmoja) ALIFANYA MAMBO TULIYAONA, HAKI ILIPATIKANA KWA WENGI, MPAKA LEO ARUSHA WANAMLILIA.
Hapana,mama rais Samia hawezi kushughlikia kila vitu,kwani serikali yamtaa,DC,RC wanafanyakazi gani? Hao wenyeviti ni watu wa rushwa,ndo chanzo cha migogoro ya ardhi kote nchini wapuuzi sana.
Kweli kabisa iyo situation ilishawai kutukuta wakati tunakaa mburahat .madoto bar iliziba ukut wa nyumba na nyumba na seriakali ya mtaa ukiwaambia wanzungusha.rushwa mbelek
Umoja Ni Nguvu Wananchi Inafika Muda Tuache Kulia Kama Watoto Ikiwa Aliefanya Katenda Kosa Iweje Mlie Ikiwa Kafanya Kosa Nanyi Malizeni Tatizo Mpaka Ahame Kununua Vieanja Pande Mbili Mtu Mmoja Sio Kigezo Cha Kuziba Njia Njia Ieshimike Waziri Wa Sasa Mzaliwa Wa Mkoa Gani Mana Tangia Kutoka Silaa Hata Simsikii Kama Yuko Waziri Uyo Jeuli Wananchi Mnalia
Ifike wakati wananchi tuwe wakali na siyo kuililia serikali. Wakati mwingine maamuzi magumu yanahitajika hata kuharibu nyumba zake zote. Upuuzi aina hii hauvumiliki hata kidogo.
Upo sawa lakini kwa kesi hii inaonyesha hata kweny ramani za mipango miji njia ipo sasa kwann yeye azibe" wenye haki wapewe haki yao njia sio mwenye pesa atese wasio na pesa
Dar ni miongoni mwa majiji yenye ujenzi horela watu wanajenga %kubwa wataalamu wa ujenzi hawawasaidii mabosi wao na %kubwa ya mafundi hawazijui sheria za ujenzi
Ngoja na yeye akakose barabara ahera utu ni kitu kizuri sana hivi vitu tutaviacha binadam tupendane Mali na vyote tuvionavyo vya maana tutaviacha kama tulivyovikuta
Nasema mtu akikataa na kwakwe wananchi nao wawe na msimamo asipite kwenye ardhi ya mtu nje ya kwake akitoka apae Sheria ikiwa hivi watu tutajenga na kuacha sehem za kupita na kuchezea watoto wetu usipo taka na kwako usitembee kwenye ardhi nje ya kwako maana wenzako nao wamelipia
Inaelekea nyinyi ni watu wazuri, wakati mnajua kuna njia kwa nini hamkuuziwia kujengwa geti, yeye anajenga mngebomoa kwa nguvu. Jenga ,,bomoa, angeogopa
Kwani ramani ya makazi hapo kutoka jiji inasemaje? Au huwa ramani hubadilika kutokana na matakwa ya mtu anapojisikia kufanya mabadiliko kwa manufaa ya huyo mtu?
OCD nenda kamshike umuweke ndani hata kama anakesi nyingne wewe mfungulie hiii halafu huyo tajili mumuereze serikali ya magufuli haichezewi ukimuonea mnyonge umejionea mwenyewe
Mwenyekiti huyo mshenzi mlimchagua wanini an hy familia hawana dini kibiri cha nini muhuska mwenyewe kafa je wanashindwa kuelewa kuwa hy alitangulia anapata adhabu? Ujinga mkubwa
Lipueni nyumba hizo na petrol awo watoto wake ni wachezi alafu sijuhi kwa nini watu wanakuwa malimbukeni wewe una pesa kanunue poli ujenge uwe na peace, unakuja jibana kwa watu uwezi kuishi na majilani...
Kosa Kijiji Au Mtaa Mmejaa Midume Wanawake Kwanini Mnalalama Na Kulia Kwa Wakosefu Umoja Ni Nguvu Acheni Kulia Lia Kuweni Wakali Mtu Anaweka Geti Wenda Freemason Uyo Lengo Lake Nini Mtu Akipita Usiku Apo Afanye Ujinga Kuweni Wakali
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Shida nchi hii kila tatizo wananchi wanataka raisi awa saidie kama vile hakuna wawakilishi wa wananchi serikali za mtaa/kata/wilaya😢 😊
Kitu ambacho hatujui binadam miongon mwa sadaka pia hata njia ni sadaka na hata ukaona mwiba njian au jit limekaa vibaya njian ni hatar kwa atakae pita ukaviondosha wapata thawabu Maashallah, sikuambii ww unaeziba njia watu wasipite, Allah Akbaru MUNGU atunusuru hii ardhi yoote niya M/MUNGU jmn kwann tunajisahau hivyo kana kwamba tukifa tunakwenda navyo? Hili ni somo kubwa sana tuwe na utu jmn ukifa kila kitu tunaviacha hapa hapa🙌🙌 marehem hasemwi haya sasa hawa wooote wanakulalamikia ww mfu😭😭😭😭😭hapana kwakweli MUNGU atupe mwisho mwema🤲🤲🤲
Ingekuwa mheshmiwa Slaa angefika siku ya pili, lakini ......
Wakati umefika, Serikali ingeunda kitengo maalum kushughulikia watu, na mambo ya namna hii.
MAKONDA (mtu mmoja) ALIFANYA MAMBO TULIYAONA, HAKI ILIPATIKANA KWA WENGI, MPAKA LEO ARUSHA WANAMLILIA.
Watu wanamlilia! Kwani kawaje hadi wanamlilia?
Makonda alitaka haki itendeke, na juhudi zake ilikuwa ikitendeka, ndio maana wapenda haki wakimlilia Kwa huzuni kumkosa.
Kaa pembeni utajuaje? Wakati inaonyesha humpendi?@@HawaAhmed-yj8wo
@@jumanesaidi7635 kumkosaje jamani? Hebu ngoja ni search Yuko wapi maana naona hunipi jibu.
@@jumanesaidi7635 nishamuona hajambo na anaendelea na majukumu yake.
SIKU HIZI...KAMA HUNA HELA...HAKI HUPATI KWA HARAKA.
-IWE HUDUMA HOSPITALINI, SERIKALINI,AU MTAANI....
-UTAPELEKWA HUKU,HUKO,KULE,HAPA,....ILI MRADI UKATE TAMAA
-KUMBUKA: BILA HELA,HAUPATI .!!
Jamani mama Samia kaweka wa wakilishi si wapo
Watu hawamjui mungu.hilo ndio tatizo.sasa umwfanya dhuluma na ushakufa ila umeacha watu wanalia Kwa zulma yako
Hapana,mama rais Samia hawezi kushughlikia kila vitu,kwani serikali yamtaa,DC,RC wanafanyakazi gani? Hao wenyeviti ni watu wa rushwa,ndo chanzo cha migogoro ya ardhi kote nchini wapuuzi sana.
Kweli kabisa iyo situation ilishawai kutukuta wakati tunakaa mburahat .madoto bar iliziba ukut wa nyumba na nyumba na seriakali ya mtaa ukiwaambia wanzungusha.rushwa mbelek
Umoja Ni Nguvu Wananchi Inafika Muda Tuache Kulia Kama Watoto Ikiwa Aliefanya Katenda Kosa Iweje Mlie Ikiwa Kafanya Kosa Nanyi Malizeni Tatizo Mpaka Ahame Kununua Vieanja Pande Mbili Mtu Mmoja Sio Kigezo Cha Kuziba Njia Njia Ieshimike Waziri Wa Sasa Mzaliwa Wa Mkoa Gani Mana Tangia Kutoka Silaa Hata Simsikii Kama Yuko Waziri Uyo Jeuli Wananchi Mnalia
Mzee ana hasira sana check anavyohema sana
Ifike wakati wananchi tuwe wakali na siyo kuililia serikali. Wakati mwingine maamuzi magumu yanahitajika hata kuharibu nyumba zake zote. Upuuzi aina hii hauvumiliki hata kidogo.
Mnaharibu nyumba zake zote afu wanakimbia mtaa au inakuaje alafu huwez kufanya uharifu kisa Una hasira sheria haipo ivo
Tatizo kubwa watu wanafanya njia katika Viwanja vya watu, siku mwenye kiwanja akiamua kujenga wanapiga kelele za kuzibiwa njia!!
Ndio ivo pia mm nakiwanja watu wamekigawa kati kati wanapita sasa mm sipo tz nikilud tu najenga ukuta
Upo sawa lakini kwa kesi hii inaonyesha hata kweny ramani za mipango miji njia ipo sasa kwann yeye azibe" wenye haki wapewe haki yao njia sio mwenye pesa atese wasio na pesa
@@joyce55727 kuna kiwanja changu watu walishafanya njia , nimeshaziba na ukuta, na kuna kingine tena najiandaa kujenga ukuta,,,
Dar ni miongoni mwa majiji yenye ujenzi horela watu wanajenga %kubwa wataalamu wa ujenzi hawawasaidii mabosi wao na %kubwa ya mafundi hawazijui sheria za ujenzi
@Samia Suluhu Mkuu wa majeshi naomba tusaidie habari kama hizi tunaomba huzikomeshe🙏🙏🙏
Huyo hawezi komesha haya mambo
@@rumdeesonsoa1811kazi kusafiri
Mwenyekiti apigwee
Hao wanakijiji kwa nini wasimtoe huyo Mwenyekiti kwa kumpigia kura ya kutokuwa na maoni nae?
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waja
Huyo mwenye kiti Alishapewa rushwa.Ashikwe😢 Anaiharibu C CM😅
Mwenyezimungu tulinde tusidhulumiwe,tusidhulumu dunia imejaa wababe
Ngoja na yeye akakose barabara ahera utu ni kitu kizuri sana hivi vitu tutaviacha binadam tupendane Mali na vyote tuvionavyo vya maana tutaviacha kama tulivyovikuta
Huyo alitakiwa ashughulikiwe na wananchi hapa hapa duniani. Sio kila jambo ni la kumuachia Mungu
Hili nalo neno
@@rumdeesonsoa1811 sasa huwez kumshuhulikia kama ilikua haki yake hapo ubinadam wake ndo ungeamua akijua ipo siku ataacha kama alivyoacha
Mlikuwa wapi kumshtakia dr slay ana maliza tatizo kwa siku moja
Mmemtoa silaa kiboko yawatu wenye dhulma naardhi,mtoa hk.Kwann mlimtoa slaa jmn shida nn au ndio njama zamatajiri hizo.
Sio vizur kuziba njia jamani
Haya sasa kiburi cha uzima kilimdanganya hiyo barabara kaenda nayo sasa ?
Maneno yke ya kishujaa ndio ameenda nayo ujeuri sio mzuri mbona hakwenda na hicho kiwanja au hyo nyumba.ishi na watu vzr utapata aman dah polen sana
Kwakua ramani ina barabara haki ni ya wananchi. Ila wananchi wengine hua wanakuza mambo kwa ubaguzi binafsi tu
Kbs alafu unakuta iyo swhwmu mtu ni yk na anaamua kuek ageti lkn wnanchi wnagumia kufos na kumpangia jinsi y akujenga
@@nishaabdula5015 tabia za ubaguzi na mara nyingi hua wakiona mgeni anawazidi uwezo wanaamua kumchukia na kuanza lawama za uongo
Hivi slaa kwa nn ametolewa?
Nasema mtu akikataa na kwakwe wananchi nao wawe na msimamo asipite kwenye ardhi ya mtu nje ya kwake akitoka apae Sheria ikiwa hivi watu tutajenga na kuacha sehem za kupita na kuchezea watoto wetu usipo taka na kwako usitembee kwenye ardhi nje ya kwako maana wenzako nao wamelipia
amekufa ameacha mgogoro mkubwa na majirani ..haya malalamiko km ni ya haki sijuw huko aliko inakuwaje.
Kawaida tu kwamatajiri wte sasaivi.Wamejikuta wanajimegea viwanja wenyewe wanajiamulia kufunga mpka mtaa,nakuona wakumfanya llote.Wenyekiti wamtaa,mabalozi wtu niwabaya niviongozi wenye kupenda hla nawawasadia matajiri kuwa jeuri .
Watu hawajifunzi na haya matakataka ya duniA,fungua njia watu wapite
Kuna wt. Wnapenda kugombea aridhi ss hl kajwnga na kazibanjia lkn yy kazha kuca na kasha iacha
Sasa si mpite njia nyingine ndugu zangu, Sasa tajiri mwenyewe Mungu si kampenda zaidi
Msaada gani ramani mnayo inayoonyesha kuwa barabara hiyo ni halali bomoeni hapo
Hpo mchawi ramani.
𝐀𝐫𝐢𝐝𝐡𝐢 𝐭𝐮 𝐡𝐢𝐢 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧 😢😢😢😢
Inaelekea nyinyi ni watu wazuri, wakati mnajua kuna njia kwa nini hamkuuziwia kujengwa geti, yeye anajenga mngebomoa kwa nguvu. Jenga ,,bomoa, angeogopa
Huyo Mwenyeki msimchague
Hakuna plan. Selikali inauza viwanjwa hovyo. Rushwa tu inaongea
Mimi naona busara imetumika, na hakuna mafaniakio. Sasa wananchi fanyeni mkutano mkielewana mumuarifu mjumbe kwamba mnakwenda kulibomoa lile Gate, na muende mkalibomoe alafu Marehemu akawashitaki.
Umeoja ni nguvu utengenao ni udhaifu mngekuwa mnabomoa kila alijenga huku Kuna mtu alikuwa anajenga usiku asubuhi raia wanabomoa mpaka akaacha
kumbe massawe hakuna cha ajabu kawaida yao kwa ardhi
Ofisi ya ardhi INA kazi Gani na mipango miji?????
Yaani badala ya kulia kwa Wakuu wenu wa wilaya na Mkoa au waziri mnalia kwa Samia kila kitu Samia Samia huyo kila kitu?
Nendeni mahakamani,mtamshtaki msimamizi wa mirathi.hili sio jambo la kumpelekea mhe.raisi.
Alikufa kumbe na.jeuri yote kashidwa.kujeuria.kifo hakika Mungu ni mkuu tumshukuru...amerest in peace akazikwa wapi😂😂😂 hiinndio dunia tunapita
Mwacheni kaburin inambana ardh aloingagania
Huyo mzee aliyejenga kumbe ashafariki azabu kubwa anayo mana wenzie wamwaga machozi Kwa jili yake
Mama samia hadi barabara za mtaa 😢
Na bado huyo mwenyekiti mtamchagua tena
Amchague Nani SI anaiba kura
Kwani ramani ya makazi hapo kutoka jiji inasemaje?
Au huwa ramani hubadilika kutokana na matakwa ya mtu anapojisikia kufanya mabadiliko kwa manufaa ya huyo mtu?
Mwamba Huyu Hapa😂😂😂kaziba njia
Mushikeni mwenyekiti mupige gumi arafu muanze kufatiria
SLAA YUPO WAPI?....😂😂😂
Hao wakina mama wanaenda kwenye serehe
Hivi mtu ukimfungia njia mwenzako unasikiaaje lakini ?
Shetani kampenda 😢 huyo ndugu 😢
Yaani na hili hadi rais aingilie?
Ndio tz hiyo yani hadi vitu vya diwani anatakiwa raisi afanye hili linaonyesha watu hawafahamu hata kazi ya raisi
Yaani viongozi wa chini wote wameshindwa hadi rais ashughulikie😊
Rushwa ndio inatembea
@@rumdeesonsoa1811 mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya wameshindwa pia
OCD nenda kamshike umuweke ndani hata kama anakesi nyingne wewe mfungulie hiii halafu huyo tajili mumuereze serikali ya magufuli haichezewi ukimuonea mnyonge umejionea mwenyewe
Mwenyekiti huyo mshenzi mlimchagua wanini an hy familia hawana dini kibiri cha nini muhuska mwenyewe kafa je wanashindwa kuelewa kuwa hy alitangulia anapata adhabu? Ujinga mkubwa
Lipueni nyumba hizo na petrol awo watoto wake ni wachezi alafu sijuhi kwa nini watu wanakuwa malimbukeni wewe una pesa kanunue poli ujenge uwe na peace, unakuja jibana kwa watu uwezi kuishi na majilani...
Taarifa haijakamilika eneo alijilikani ni wapi tunasikia hapa hapa nyoosheni maelezo
Soma captions na sikiliza vizuri utajua ni wapi sio kukurupuka kutoa lawama tu😂😂😂
Mbezi Makabe
Mahalipo NI hapa hapa duniani .😢 huyo ndugu yuko ahera na viwanja vimebaki Duniani😮
Unguzeni nyumba mupate njia
Hao warithi wa huyo marehemu aliyeziba njia hawajui thamani ya majirani. Ipo siku watakuja kuwahitaji tu.
Kabisa mkuu
Acheni ujinga mbomoeni
Hapo ni Dar mambo yako hvyo sasa mikoani hali ikoje???
Jerry silaa kazi ipo
Jerry Silaa kahamishwa wizara ndugu yangu wewe hujui,?
@@Brunn-mh2bqDU HATA MIMI SIJUWI KAPELEKWA WAPI??
Wamekosea sana kumtoa SILAA kwenye wizara ya ardhi😢😢😢
Kulikuwa na njia ?maana.lama kilikuwa.kiwanja mkafanya njia ni kosa
UNAONA RAMANI HIYO BADO UNAULIZA??
Kosa Kijiji Au Mtaa Mmejaa Midume Wanawake Kwanini Mnalalama Na Kulia Kwa Wakosefu Umoja Ni Nguvu Acheni Kulia Lia Kuweni Wakali Mtu Anaweka Geti Wenda Freemason Uyo Lengo Lake Nini Mtu Akipita Usiku Apo Afanye Ujinga Kuweni Wakali
Mwandish ongea harak kidogo
Bomoa bomoa unahusika
Huu upumbavu uliisha enzi ua magufuli, wenue pesa anaamuaanachotaka
Rogeni hiyo familia wafe wote waishe ikiwezekana hata ndugu za marehemu huyo wafe wote
Nilijuwa wachawi hawezi kosa humu kwenye comment
Si mmbomoe bomoeni tu ndo dawa yake
Nyie nyumbani kwenu mnaweza kutoa njia?Hakuna njia ya bure kwenye kiwanja cha mtu...inunueni
Mkome kununua viwanja ambavyo havijapimwa
Ww unacho?
Usije ukayaamini machozi ya mwanamke narudia tena Usije ukayaamini machozi ya mwanamke never ever
Usidharau machozi ya mwanamke.!
@@joycelinelyimo-fenske8745hakuna kitu kibaya kama choz la mwanamke