@@silasmarandu1485 adui ukishamjua mbinu yake ni zaidi ya nusu ya kumshinda. Nape ulikosea sana kutamka yale maneno. Mbinu hiyo itakuwa ngumu kutekeleza baada ya kujulikana hadharani. Watu wakajiandikishe kwa wingi
Mambo yakifikia hatua hii, ambapo watu wako tayari kufa kwa ajili ya kutafuta haki yao, ni muhimu sana busara itumike zaidi kuliko kutumia nguvu na vitisho!
Hongereni sana wamasai, sisi huku Kahama nduhu tabhu inatuumiza. Ni wilaya inayoliingizia Taifa kipato kikubwa lakini mazingira yake ni duni, barabara mbovu, miundo mbinu mh?
Sio wamasai tuuu, watu tulisha choka saaana na CCM ipo siku, watanzania hawa wataamuka bila kuambiwa na mtu. Wote tutakuwa barabarani mabomu yataisha muda ukifka
Poleni sana Ndugu Wamasai, ni masikitiko kilicho watokea pia kwa hawa wageni kutoka nchi za nje sidhani kama watapeleka habari njema za kuitangaza Tanzania na vivutio vyake kama ipasavyo, hii issue ni sensitive sana hivyo Uwongozi unatakiwa kuchukua hatua haraka
Majeshi ya Tanganyika yamejengwa ili kupiga raiya na siyo mafisadi mtu anaenda jesh ili akafate mshahara mitaani ajila Amna na maisha magnum awo wanajeshi cc ndiyo tunawaripa Kodi Sasa wanawezaje kupiga raiya na uyo fisadi aripi ushuru yeye fisadi apigwi anapigwa raiya zichapwe jaman adabu itakuja
Mamlaka ya Ngorongoro inasema Shughuli zinaendelea..na uyu mwendesha watalii anaonesha apo magali ya watalii yamekwama..Akili za kuambiwa changanya na za kwako.....
Serikali ya Tanzania tunataka Leo tujue Hawa watu wa ngorongor wamewakosea Nini mnawayeza ivi mungu awaokoe wamasai wetu ila tusife moyo Kuna cku mungu atatoa jibu
Toka hapa na munguwako hongereni wamasai huundio ukombizi unaotakiwa sio mungu mungu atawapigania mungu mwenyewe amekupa akili na nguvu ili ujipambanie
Watanzania hatuwezi mwaga damu kudai haki yetu, njia mbadala na rahisi kupata haki yetu ni hii; "KUANZIA UCHAGUZI UJAO WA SERIKALI ZA MITAA HAINA HAJA YA WATANZANIA KUSHIRIKI KAMPENI ZA WANASIASA WOTE WALA KUSHIRIKI UPIGAJI WA KURA NA HILI TULIENDELEZE MPAKA UCHAGUZI MKUU MWAKANI 2025."
Hapana sikubaliani. Kura zikapigwe kwa wingi sana ili watu watoe madukufuku yao kwenye sanduku la kura. Vinginevyo hao mnaowapinga wachache wataendelea kujishindia kwa urahisi na kuendelea kazi zao. Kura zikapigwe tena kwa wingi sana. Na zisimamiwe kwa umakini
Kwani kura zisipopigwa na wapinzani unadhani zitawaathiri watawala? Hiyo ndiyo furaha yao. Watapata ushindi wa bure bila kupingwa. Au ndo unachowapigania?
hiyo taarifa ya uma ni ya uongo kwa maana watu wapo wengi sana na sio baadhi ya watu na pia hao watu wanaohusika na utoaji wa taarifa kwa serikali huko ngorongoro wote wafutwe kazi maana ni wadanganyifu wote kiukweli hakuna shughuli yeyote iliyoendelea jana ya utalii huko ngorongoro so wakamatwe hao watu wa NCAA wanaopotosha serikali
Kwanza hao wamasai ndani ya mbuga za wanyama ni.kivutio Kikubwa tena cha kipekee sana cha kuvutia watalii toka duniani kote. So kitu cha kawaida kabisa. Hiyo pekee ni utalii tosha
Hao nao ni nyumbu tu changanya humohumo kwenye hifadhi wawe vivutio vya utalii au wapelekwe kenya Tanzania hatunaga watu kama hao wa hovyohovyo hao ni wanyama wa msituni huwezi kuwatoa humo😊😊😊😊😊 😊😊😊😊😊
Nawish Tanzania nzima tungekuwa ni wamasai,haki hawa wapigaji tungeshawapoteza mapema,yaani apa nafanya kurudisha miaka nyuma mpaka namuona Mhe.Edward Moringe Sokoine😢
Hongera wamasai komaeni mpate hskiyenu
very nice wamasai wenzang
■NALIONA MAANDAMANO MAKUBWA TZ🇹🇿. mwaka kesho kuna kimbembe. KUNA MABADILIKO YSIYOTEGEMEWA KISIASA.
Uwoga akuna maandamano tz
Uwoga akuna maandamano tz
Kwa kauli ya Nape hapa Bado sioni kama tunaweza !
Tujitokeze kwa wingi kujiandikisha kupiga kura, hakuna njia nyingine
@@silasmarandu1485 kweli kabisa.
@@silasmarandu1485 adui ukishamjua mbinu yake ni zaidi ya nusu ya kumshinda. Nape ulikosea sana kutamka yale maneno. Mbinu hiyo itakuwa ngumu kutekeleza baada ya kujulikana hadharani.
Watu wakajiandikishe kwa wingi
Mambo yakifikia hatua hii, ambapo watu wako tayari kufa kwa ajili ya kutafuta haki yao, ni muhimu sana busara itumike zaidi kuliko kutumia nguvu na vitisho!
Sheria y kuondoka vijiji ndani y hifadhi za wanyama itungwa toka mwaka 1970.
@@hamadsheni8997Wamasai ni kwao hifadhi imewafata wapo hapo kabla 1970
Kweli wananchi wananyanyasika wakiwa ndani ya taifa Lao ni bora hekima itumike hakika
Kumbe ni kweli rais kàuza hifadhi zotee
@@hamadsheni8997wengi unajua tumezaliwa miaka ya karibuni,hatufahamu kama hizo sheria tayari zilishatungwa,elimu katika sheria ndo shida kwetu
Paka dakika hii tayari tumeona tofauti kati ya uongozi wa Samia na R.I.P magu😢
John pmb joseph maguful 2tamkumbuka!!
Alisema tutamkumbuka kwa mazuri na wala sio kwa mabaya
Hongereni sana Wamasai.mna haki yakupigania Ardhi ya Mababu zenu.
Lissu amesema jama wameuza ifadhii
Lisu ye nani
@@TeddyJames-l3oKwan wew nani
Hakika sana wanangorongoro Mungu atutangulie
Polepole watu wakichoka mateso watakuja kuamua mustakabali wa maisha yao kwasababu viongozi wote ni machawa hawawezi kusema ukweli
Kweli ata waziri mkuu alikujaga akuw na maamuzi yoyote zaidi yakupigwa na kuuwawa tumechoka uwiiiiiiii
Hongereni sana wamasai, sisi huku Kahama nduhu tabhu inatuumiza.
Ni wilaya inayoliingizia Taifa kipato kikubwa lakini mazingira yake ni duni, barabara mbovu, miundo mbinu mh?
Safi sana ndugu zetu tuko pamoja👍
akuna kupita mpka masai wajibiwe OMBI lao.✊✊✊✊
Tanganyika itakulilia milele na milele JPM...Hii ni ardhi yao na urithi wao..kwanini tuawapa thamani wageni kuliko wazawa!!!
KUMEKUCHAA! KUMEKUCHAAA! Jamani Kumekuchaaaa!🤔Heeeeee!🔥😟🥺🤔
Ndugu zangu wa ngorongoro nawapa pongezi sana kwa uamuzi mlio amini na kufanya maandamano
Sio wamasai tuuu, watu tulisha choka saaana na CCM ipo siku, watanzania hawa wataamuka bila kuambiwa na mtu. Wote tutakuwa barabarani mabomu yataisha muda ukifka
Mungu wangu naomba uwasikilize ndugu zetu wamasai
Amina
Wamasai ni watu wapole sana na wastaharabu, Wahusika msiwachukulie poa wapeni heshima yao ,
Hongerani sana wana Ngorongoro
Mnalalamikia watalii kuchelewa kufikia Serengeti siyo kuchelewa tu hata uwezekano wa kulala kwenye magari lipo
Siyo kulala kwenye magari,warudi kwao,charity starts at home. Haki ya wamasai ni mhimu kuliko watalii.
Home is home. Kila mtu analilia nyumbani kwao. Hata vipngozi wetu wanaebdeleza kwao walikozaliwa. Home sweet home
Poleni sana Ndugu Wamasai, ni masikitiko kilicho watokea pia kwa hawa wageni kutoka nchi za nje sidhani kama watapeleka habari njema za kuitangaza Tanzania na vivutio vyake kama ipasavyo, hii issue ni sensitive sana hivyo Uwongozi unatakiwa kuchukua hatua haraka
Ata kenya walianza hv hv
Tumekuchoka mama samia
Watendaji wake wanamwangusha kabisa
R.I.P John Pombe Magufuli
Hamn lolote
@@ramadhanimandoa716 wewe una lolote,kwenye kichwa chako? Liseme wazi lisikike lipimwe. Acheni comment za kitoto
@@ramadhanimandoa716 kama huna la maana la kusema kwani lazima useme? Jamani vipi?
Hongereni saana Wamasai wa pande hizo ipo cku tutafika mwisho kama mpaka Wamasai waona kuna dhuruma kazi ipo
HAKKI Kwanza
Hapa ndo utaona tofauti ya watu wengine na wamasai, Hawa kama wakiamua huwa hawarudi nyuma"
Mungu ibariki tanzania
Wachache wananufaika na taifa letu bora masai waendelee kukaza mpaka kieleweke
watanzania tunaishi kwa umaskinim na tukiwa wapole wajukuu vyetu hali yao itakua mbaya zaidi. hongera kwa wamasai
Ukeona hayo tujue uchungu umekaribia mwenye D 2 amenielewa
Majeshi ya Tanganyika yamejengwa ili kupiga raiya na siyo mafisadi mtu anaenda jesh ili akafate mshahara mitaani ajila Amna na maisha magnum awo wanajeshi cc ndiyo tunawaripa Kodi Sasa wanawezaje kupiga raiya na uyo fisadi aripi ushuru yeye fisadi apigwi anapigwa raiya zichapwe jaman adabu itakuja
Tofauti na mshahara, wengi hawajui kwa nini ni Wanajeshi. Raiya Ndio adui yao!
Hawajielewi
So kazi Yao hyo nikusahishe tyu
Hongela wa masai
Poleni sana ndugu zanguni Mungu awape nguvu ya kutetea ardhi yenu
Never give up 2 fights ✌
Tanzania yetu jamani,,,,kwann haya mambo yanaanza kutokea huku kwetu,,,poleni wote wenye changamoto
Kazi kweli kweli
Serekali jaribu kuckiliza wa2 ! Msijione mabwenyenye kwa kukalia vti vya juu na Huku hamtekelez shda za wa2
ILA VIONGOZI RAIS ANATAKAJE WAZUNGUZU WANAKUDANGANYA UNAKOPA KILA SIKU MBN KWA MAGU HAYA HAYAKUEPO EWE KIONGOZI FUMBUA MACHO UTALIPIA HII DAMU
Mamlaka ya Ngorongoro inasema Shughuli zinaendelea..na uyu mwendesha watalii anaonesha apo magali ya watalii yamekwama..Akili za kuambiwa changanya na za kwako.....
Sahihi kabisa.
Sijui lini tunaanza kusema ukweli bila chenga za uwongo. Ukweli humuweka mtu huru
Hiyu anasema hivi na yule anaonesha kingine. Nani aaminike?
Mungu ibaiki watu wangorongoro
Serikali ya Tanzania tunataka Leo tujue Hawa watu wa ngorongor wamewakosea Nini mnawayeza ivi mungu awaokoe wamasai wetu ila tusife moyo Kuna cku mungu atatoa jibu
Toka hapa na munguwako hongereni wamasai huundio ukombizi unaotakiwa sio mungu mungu atawapigania mungu mwenyewe amekupa akili na nguvu ili ujipambanie
Nyerere alipitisha sheria ya kuondoa wamasai kwnye hifidhi toka mwaka 1970
Mbona hakuwatoa yeye@@hamadsheni8997
kwendraaaa@@hamadsheni8997
😂😂😂😂
Ni ndugu zetu ni jamii yetu naikubali sannaa.. Itafuten haki yenu Maadam Inapatikana.
Kweli kabisa
Mheshimiwa Rais wa Tanzania wasikilize hao wananchi .Hiyo mamlaka ya Ngorongoro inamudanganya mheshimiwa Rais samia .
Leo umeongea point
Mbona leo umegeuka endelea kua upande wako wa ccm,Jibu liko mbele.@@noelluchiba3660
Kabisa na taifa litaangamia
Leo huyu clemence,kapatwa na Nini?😂😂dish limekamata chanel😂
Safi sana wamasai
Kumbe nchi ina uwezo wa kutujengea nyumba na bado halinikawa safi tu
Hata mm nawaunga mkono maana serikali inaangalia masilahi Yao lkn Wananchi hawaangaliwi wala kusikilizwa
Tunaunga mkono , juhudi za ndugu zetu wa kimasai kijipatia haki zao za kimsingi ndani ardhi yao . Samia fisadi tuu wala hakuna anae mtaka Tanganyika
Safiii kabisaaaaa
Good work 👏
Mh. Rais Samia tunakuomba uwaruhumie hao Watanzania na binadamu wenzetu wasio na hatia. Wanateseka sana.
Chura kwake kimkazi hajali kabisa. Shame on her
Anae kushauri ana kupoteza .kuomba sana ni unyonge🇹🇿😭
Hengereni sana wamasaii wenzangu muwe huru kuva kwa kutetea inji yenu
Afisa mahusiano aangaliwe vizuri na tamko alilotoa maana lina ukakasi #Achunguzwe
Kweli kabisa
safi sana. nchi miaka zaidi ya 50 maendeleo hakuna watu wananuka ufukara
Wananchi hawathaminiki wanathaminika wageni kazi kweli
Shangaa
Safi sana baba lai
Wanaleta picha mbaya Sana kwa wagen
Tena sana kabisa
Ingekua Kenya pashaeleweka
Serikari yoyote Duniani isiyojari utu Wala kuheshimu ubinadamu hua inamaliza Vibaya saana. Tz Chunga saana saana Maamuzi yenu dhidi ya Hao jamii ya Masai. Acheni kuwaburuza mkizani ndy ufahamu
Hii story umeibalance vizuri sana
Watanzania hatuwezi mwaga damu kudai haki yetu, njia mbadala na rahisi kupata haki yetu ni hii; "KUANZIA UCHAGUZI UJAO WA SERIKALI ZA MITAA HAINA HAJA YA WATANZANIA KUSHIRIKI KAMPENI ZA WANASIASA WOTE WALA KUSHIRIKI UPIGAJI WA KURA NA HILI TULIENDELEZE MPAKA UCHAGUZI MKUU MWAKANI 2025."
Hapana sikubaliani. Kura zikapigwe kwa wingi sana ili watu watoe madukufuku yao kwenye sanduku la kura. Vinginevyo hao mnaowapinga wachache wataendelea kujishindia kwa urahisi na kuendelea kazi zao.
Kura zikapigwe tena kwa wingi sana. Na zisimamiwe kwa umakini
Kwani kura zisipopigwa na wapinzani unadhani zitawaathiri watawala? Hiyo ndiyo furaha yao. Watapata ushindi wa bure bila kupingwa. Au ndo unachowapigania?
Tatizo nchi yetu inathamini wawekezaji kuliko wazawa hats Mimi inaniumaga sana hongereni sana Masai komaeni taratibu wataelewa
wow gen z of ngorongoro 🧠nawapenda sana wamasai
Wana sema usimtafute. Anae kuficha ana kueshimu sana
MBONA LISU ALISHAWEKA WAZI NGORO NGORO IMESHA UZWA KWA WAARABU..😂 NA MI TANO TUNAENDA NAE MPSKA TUTHEME
Tuseme mmaa😢😢😢
@@AmyeSanga yaan apo bado..😂
Ngorongoro ukiingia tu simu yako inasoma welcome to UAE…
@@tumainimayala8187😂😂
@@tumainimayala8187 heee
Safiii pa1 tunawezaa
Wamasai wana damu ya kikenya tatizo lao ni hawajui kizungu 2
Mungu bariki KAZI ngorongoro yet
Safi sana ngorongoro ni mali ya watanzania tena watanganyika wanao itwa wamasai
Sema Mama Zunguka Mikoani unaongoza watu Eti Zunguka Ata uone watu WA chini Huku Mambo Mengi utasikia😢
Watuliyoko kwenye hifadhi ya ngorongoro tuseme Mungu utupiganie
Safi sana masai aridhi yenu imeuzwa pambaneni
hiini haki yetu wana ngorongoro atuhami tunasikwa apopalipo sikwa mababu zetu😢😢
hiyo taarifa ya uma ni ya uongo kwa maana watu wapo wengi sana na sio baadhi ya watu na pia hao watu wanaohusika na utoaji wa taarifa kwa serikali huko ngorongoro wote wafutwe kazi maana ni wadanganyifu wote kiukweli hakuna shughuli yeyote iliyoendelea jana ya utalii huko ngorongoro so wakamatwe hao watu wa NCAA wanaopotosha serikali
Safi sana wamasai wanaelimu kubwa watanzania Elimu ya kikoloni inatufanya waoga 😂
Safii saana wamasai wao wanaingiza hela kupitia nyie
Police hao sio chadema wapigeni muone kama mtatoka hapo😂😂😂😂
😂😂😂😂 au sio
Ayo,mbona kwenye mambo kama haya unachelewa sana kuripoti.
Kwanza hao wamasai ndani ya mbuga za wanyama ni.kivutio Kikubwa tena cha kipekee sana cha kuvutia watalii toka duniani kote. So kitu cha kawaida kabisa.
Hiyo pekee ni utalii tosha
Hawana kiongozi duu
Please Government solve with good ❤ this is so painful they are human
Wapewe haki yao ni watanzania wenzetu
Bora mdai haki mana ngorongoro maji hamna miundo mbinu ni bovu yàan cio mazingira rafik shule n nzur lakin hamna maj 😢
Sasa hiyo barua mbona mnasema hakuna kilichotokea jaman.
Umoja ni nguvu...wapeni haki zao, naonibinadamu
Royal tou hiyo
Tatizo hiyu Rais tulie naye yeye ni kuagiza tu, Hata kutembel3a wananchi yeye hawezi haya mambo yapo mengi sana R.I.P John pombe Jospeh Magufuli
Huo ni uonevu watu wanahaki yao Wala hawatakiw kumuomba kiongoz yoyote anaestahil kuombwa ni mwenyez mungu peke yake
Hao nao ni nyumbu tu changanya humohumo kwenye hifadhi wawe vivutio vya utalii au wapelekwe kenya Tanzania hatunaga watu kama hao wa hovyohovyo hao ni wanyama wa msituni huwezi kuwatoa humo😊😊😊😊😊 😊😊😊😊😊
Nawish Tanzania nzima tungekuwa ni wamasai,haki hawa wapigaji tungeshawapoteza mapema,yaani apa nafanya kurudisha miaka nyuma mpaka namuona Mhe.Edward Moringe Sokoine😢
Na bado iko siku tutajitetea Kwa njia nyingine
Mungu tupe ufumbuzi wa amani
Hatuna rais tz
Hela nyingi sh ngapi inabidi Marisha hao watu bila utu hakuna Hela nyingi
Hela nyingi itazidi utu
Hao hapo wanapata sh ngapi unasema eti Hela nyingi Yani huoni hao wanavyoteseka we unasoma Hela TU hayo ndio mambo aliyokatazaga mwasisi wa taifa
Wanasimamia aman y watarii kuliko raia wao
Jaman chura kiziwi hata mfanyaje hasikii
Leo mpaka watu wamezeekea hapo alafu uwaambie wahame
Wanataka wahame waende wapi?
Busara itumike
Delila go
Yaani aibu sana ........wageni wametoa pesa yao then wamekwama ,next time watakuja kweli.
Serikali iangalie hili kwa jicho la pili aisee.