KUOTA NA MPENZI MLIACHANA INA MANISHA NINI?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 150

  • @HellenMzungu-l5z
    @HellenMzungu-l5z 20 днів тому +1

    Bwana Yesu asifiwe nliota nalala na Boss wangu wa kazi

  • @OmanOman-yn2zj
    @OmanOman-yn2zj 2 роки тому +1

    Ubarikiwe pastory hongela na kazi ya BWANA

  • @kavirachantal2374
    @kavirachantal2374 2 роки тому +1

    Amina asante sana mtumishi wa mungu

  • @SaumuChengo
    @SaumuChengo 23 години тому

    Bwana asifiwe mm Mara nyingi namwota mule wngu kila wakat,at a saii. nmeota kuwa natembea njia nkafika mahal Luna barabara magari imejaa lkn nlkua nacross nkapita lkn wale madereva walikuwa wanantongoza lkn ckushughulika nao nkapita nkakaza na safar yngu nkifike mbele nkamwona mume wngu tulieachana anaendesha baiskel polepole naomba nsaidie,nkiwa katika hii safar mwanaume alinifuata kwa nyuma lkn nkamkemea akarudi ndio mbele nkakutana na huyu was kitambob

  • @linetayuma9741
    @linetayuma9741 Рік тому +3

    Aki mimi alinitesa nakunipiga kuniletea ex wake kwa nyumba ananifukuza walale naye alinifanyia matharau mengi sana lakini moyo wangu hujawai toka kwake na meowa but bado roho yangu iko kwake

  • @Marry-kr3mw
    @Marry-kr3mw 2 роки тому +1

    Amen amen mtumusi wamungu

  • @NellyNellyane
    @NellyNellyane 4 місяці тому +1

    Pastor mimi nimeota wanafunzi wa shule la musingi wananileteya vi caratasi niwatumikiye mutihani mimi nikakosa majibu

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 2 роки тому

    Asante sana mtumishi

  • @EverlineNafula-v1k
    @EverlineNafula-v1k Місяць тому

    Past nsaidie,Jana nilimuota anakipia mtoto fees,Leo nimemuota nmerudiana naye na ako very proud,yy hajaoa NAMI sijaoleka baada ya miaka kumi kwa sababu nko na watoto,ndoto zake huwa zonajirudiarudia nsaidie past

  • @ChristinaNyarobi
    @ChristinaNyarobi 2 місяці тому

    mtumishi nisaidie mimi waga naota sana na mume wangu naota tumelala ote watoto wangu na mdogo wangu kitanda kimoja

  • @NeemaJoseph-z7s
    @NeemaJoseph-z7s Місяць тому

    Amen

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 3 дні тому

    Mimi namuota sana nazan sababu ameguka namfikilia sana mda mwingi

  • @loicemwatete6970
    @loicemwatete6970 2 роки тому +1

    Ni kweli pastor

    • @salmaali6605
      @salmaali6605 Рік тому

      Niliota bwana tulishi naye myaka 7 tuliyachana namuota ananipatiya mpesa nikahemeye

  • @barasamartha3767
    @barasamartha3767 Рік тому

    Amen and amen

  • @irenemwangi7992
    @irenemwangi7992 2 роки тому +1

    Volume iko chini sana...ukiota na jino la mbele likiwa limevunjika

  • @josephnyantwiga4252
    @josephnyantwiga4252 3 місяці тому +1

    Utukufu Kwa Mungu

  • @evakabete2944
    @evakabete2944 2 роки тому +2

    nimependa sana video Zako pia nimependa jinsi ulivojibu swali langu la kuhusu ndoto kwa sababu wengine unakuta anakujibu kuwa nenda kwa mganga wa kwenyeji akupe dawa ya kuvunja ndoto iyo lakini wewe umesema niombe ili nivunje the bond between me and him .yani nimefurahi sana kuona kuwa unamwamini mwenyezi MUNGU

  • @ruthchiluba4932
    @ruthchiluba4932 5 місяців тому +1

    Naomba kuliza baba mm naotaga tumerudiana baba mtoto napamepita miaka 3 mazingine naotaga nakunywa nae pombe bia nakula naye

  • @soipeishirleen4795
    @soipeishirleen4795 2 роки тому +2

    Mjungaji mm nime ota Kuna mtu ame n kayaga shingo mbaka akani uwa n nilikwa n nn n mtu Kando yangu Ali kayakwa pia kafa sijui n nn mana yake

  • @missttruth1334
    @missttruth1334 2 роки тому +1

    Be blessed

  • @sophias3334
    @sophias3334 Рік тому +2

    Na hiyo filling n kwangu ama n wote wawili inauwezekano na yeye akawa ananiota pia ama

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Рік тому +1

      ua-cam.com/users/liveLxAw0ZSxfhk?feature=share

  • @devothakassimu8289
    @devothakassimu8289 2 роки тому +1

    Mimi nimeota x wangu ananipiga kwa hasira baada ya kusikia naongea na mchumba mpya na yupo kimya hasemi chochote,nn maana ya ndoto hii

  • @rout5712
    @rout5712 2 роки тому +1

    Ruth kila wakati naota nimepoteA nyimbani ninamanisha nini

  • @evakabete2944
    @evakabete2944 2 роки тому +1

    Nikipata mda nitakutumia ndoto zangu ili unifafanulie na uniambie nifanyeje ili nizivunje

  • @everlyneauma3732
    @everlyneauma3732 2 роки тому +1

    Everlyne. Mchungaji Mimi naota nikiombea watu nikiwakombia wagonjwa wakipona uwa sielewi naomba unisaidie.

  • @DianaKiria-e8i
    @DianaKiria-e8i 8 місяців тому

    Jmn Mimi nimeota mwanaume tulishindwana kwa tabia yake akaondoka kumaliza weeki moja ,namuota yupo kwangu kavunja simu yangu ndogo ya home,Kisha akanipigia na kunipa taarifa,na akaaa kunisubiri nirudi home

  • @wardasalim2801
    @wardasalim2801 2 роки тому +1

    mm naota narundi kazini niliwahi fanya zamani inamanisha nn

  • @meriajshxx3223
    @meriajshxx3223 2 роки тому +1

    Mimi nilifunga ndoa lakini tumewachana mwaka mmoja sasa ila ninaota akiwa na mwanamke mwingine na hiyo ndoto inajirudia mara nyingi sana

  • @veronicaaa1326
    @veronicaaa1326 2 роки тому +1

    Pst mara mingi sana mm huota nafanya mapenzi na mtu mwenye simuoni

  • @magrethmachangemachange3478
    @magrethmachangemachange3478 2 роки тому +1

    mm nimeota mpenzi wangu tulieachana anatak kuowanaomba nisaidie

  • @Wekesa-f6j
    @Wekesa-f6j Місяць тому

    Huwa naota bwana yangu amerudi baada ya kuachana but haonekani

  • @catherinenyekesa5527
    @catherinenyekesa5527 2 роки тому +1

    Naota nikisafiri kila wakati lakini sijawai fika mwisho wa safari

  • @elizabethjackson3865
    @elizabethjackson3865 2 роки тому +1

    Mimi naotaga sana napanda ndege

  • @LydiaBwakali
    @LydiaBwakali Місяць тому

    😅Ukiota umepika mandazi mengi ya kuuza dukani

  • @getrudamartin2409
    @getrudamartin2409 2 роки тому +2

    Pastor naomba unisaidie me namuot ex wangu mara kwa mara et niko nae kwa mahusiano wakt yey ana mahusiano yake na me yangu et nimemuota jana niko nae na mama ake kafurahi kuniona wakati mama ake kashafariki mwaka jana ina mana gani nisaidie mana tumeachana miaka mingi na me simkumbuki kabisa nisaidie kujibu pastor

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому

      @getrude nitakuwa live SAA tatu nitakupa maana yake.

  • @richardrutebeka6109
    @richardrutebeka6109 2 роки тому +2

    Naota x wangu ananifuatilia Nini maana yake?

  • @carolbosco4779
    @carolbosco4779 Рік тому +1

    Najaribu kuchart live lakini siioni mahali pa kuandikia

  • @salmaali6605
    @salmaali6605 Рік тому

    Naota bwana tulisha achana naona tuko kwa kitada kimoja ananabiya kuwa kuna mtu anasubiriya kufa wamemtowa kafara .ananionesha kuwa ananimpeda kwa doto .na alinikoseya sanaa wakati naishi naye.tagiya niyachane naye maisha yangu yote ilikuwa niyashida tu

  • @betsychebet615
    @betsychebet615 Рік тому +1

    Naota na mwanaume jirani betsy

  • @bentallynemayayo3631
    @bentallynemayayo3631 2 роки тому

    Pastor Mimi huota Kila mara naokota Kuni mahali nilipokuwa nikiokota nikiwa mdogo Kisha mwenye shamba hunifuata kila siku, hii inashinda ikijirudia sana mpka nashindwa kuelewa

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Рік тому

    Jmn mm namuota mala nyingi tumerudiana kabisa sijui nn shida na tuliachana muda. Sana

  • @marthahiliyai5181
    @marthahiliyai5181 8 місяців тому

    Nikimuota X anasafisha nyumba yangu? Anaondoa makaratasi au picha ukutani?

  • @salimahlokoh9699
    @salimahlokoh9699 2 роки тому +1

    Mtumishi mimi huwa naota sana na baba watoto wangu tuliachana 15yea.

  • @evasamweli2169
    @evasamweli2169 2 роки тому +1

    Naitwa evas nimeota ndoto mwanaume kageuka kuwa joka kubwa harafu joka nikafosi kufanya mapenxi

  • @mariamsemwa226
    @mariamsemwa226 2 роки тому +2

    Pastor mimi niliota mchumbaangu anafunga harusi namwanamke mwingine inamaanisha nini?

  • @gloriarimba4080
    @gloriarimba4080 11 місяців тому

    Ameen🙏🙏🎉

  • @barasamartha3767
    @barasamartha3767 Рік тому

    Mm niliota juu ya mpenzi wa kitambo ananikataa kwa panga naomba kujua mchungali

  • @hildageorge1781
    @hildageorge1781 2 роки тому +2

    Kuota unapewa Kalamu maana yake nini

  • @FilomenaRaymond
    @FilomenaRaymond Рік тому +1

    Uyu mbwa na muotaga kila siku tuna gombana ndotoni mamae sipendiiiii

  • @radiaarady3307
    @radiaarady3307 2 роки тому

    Je ukiota marehemu unanzungumuza naye na wote nikiwa na hasira kila mmoja?

  • @wardasalim2801
    @wardasalim2801 2 роки тому +1

    kuota mpz wako kaja nagari nyeusi akaigiza kwetu kwa mama yangu

  • @SimoniSimbeya-c1c
    @SimoniSimbeya-c1c Місяць тому

    Nimeota mwizi amekuja kwangu na anamwita mme wangu mm nikamkataza asiende nikaita watu wa chumba kingine wametoka yule mwizi ameshika kisu anataka kuchoma mtu tumepambana nae sana nimeshituka gafla nikaamka

  • @analupia
    @analupia Рік тому

    Mimi nimeota naokota hella pia naota namuota rahisi anashuka kwenye ndege na kuongea name pia naota nipo naongea na mtumishi mala naota samaki Naitwa Anna lupus nipo ifakala

  • @Najim-j6k
    @Najim-j6k 26 днів тому

    Unaongea sana kuliko pwent

  • @esnaswamamili5460
    @esnaswamamili5460 Рік тому

    Pastor me huwa naota mchumba wangu wako ktambo tuko n yeye Kwa maji machafu cijui ina maana gni

  • @gygy41
    @gygy41 Рік тому

    Mimi nilimchukia kabisa but namwonanga kwa ndoto akiwa mbali na mm kunichungulia tu na hatuwezi patana

  • @FloraFlora-k3u
    @FloraFlora-k3u 6 місяців тому

    Nimeota nipo kwa x wangu nyumbani kwake tena kitandani kwake na mke wake ni mgonjwa yupo hospital ambaye hatuelewani miezi kama miwili

  • @edwardbarasa4691
    @edwardbarasa4691 Рік тому

    Nami wangu aliniacha tu ghafla but after 2yrs,nikaambiwa na pastor eti huyo hakuwa wangu.But nilioa na niko POA tu

  • @mwakaagnes9555
    @mwakaagnes9555 Рік тому

    Mimi niota mchumba wangu akinipea dawa nikunywe na akiniambia nisiogope yeye hunywa pia siku zote

  • @duncankoech4063
    @duncankoech4063 2 роки тому +1

    Sauti iko chini pastor

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому

      @Duncan Koech karibu Sana , Kwa SASA sauti ime improve kabisa watch video za SASA utasikia ikiwa sawa

    • @everlyneauma3732
      @everlyneauma3732 2 роки тому

      Pastor nimetuma na ujaona

  • @mamayao1834
    @mamayao1834 Рік тому

    Mm huota na yy kila wakati tukipigana na kutusiana mm simpendi ata kidogo alinifanyia kitendo sitawai sahau😢

  • @jonathankagizo-ji7oe
    @jonathankagizo-ji7oe Рік тому

    Mimi namuota sana mzaz mwenzangu na tulisha achana lakini simpend nasiitaji rudiana nae ila namuota mno hii imeaakaje

  • @sidikatoi1334
    @sidikatoi1334 2 роки тому +1

    Mimi niliota x wangu ameniletea zawadi...

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому +1

      @ Sidi Katoi nitakuwa live usiku nitakueleza maana yake

  • @fabiansanga1371
    @fabiansanga1371 2 роки тому +1

    Ivi ukiota unaingia choo I na unakuta choo kichafu huoni pa kukanyaga nini mama yake

  • @veronicagati1995
    @veronicagati1995 2 роки тому +1

    Pastor mimi kuna imekua ikijirudia kwa mara ya tatu sasa naota nimejenga nyumba kubwa sana naona wazazi wangu wamefurahi kuingia Kwa hiyo nyumba na ndugu zangu wote ila mimi nikijaribu kuingia naona mtu ananizuia kuingia

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому +1

      Usiwe mtu wakufanyia watu makubwa Hadi unajisaha , Yani unasaidia watu wanasaidika ila wewe kuna roho inakuzilia kusonga mbele nakuingia kwenye baraka Zako.

    • @papatollo-r5k
      @papatollo-r5k 2 місяці тому

      pasta.mimi.nimeota.mke.alienikimbia.kwa.sasa.miaka.8.juzi.nimeota.anapigana.naa.aMiami.sAna.. manage.nini

  • @florencemutua5725
    @florencemutua5725 Рік тому

    Mimi uwa naota nimerudi kwao nyumbani lakini physically waliama penye tulikua but nijiona nikiwa uko kwa ndoto

  • @gloriakamitii7764
    @gloriakamitii7764 9 місяців тому +1

    😢😢😢😢 mtu hutoa aje angano la blood covenant 😢😢

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  9 місяців тому

      Damu ya yesu ina uwezo kuvunja agano

  • @AngelCharles-in5pw
    @AngelCharles-in5pw Рік тому +1

    Me niliota napewa pesa na mama yangu kwenye ndoto na ameshafari tena alinipa nikiwa nashida

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Рік тому

      Kataa roho ya umasikini na kila utafanya hakita simama

  • @KhadijaRamadhani-y4t
    @KhadijaRamadhani-y4t 9 місяців тому

    Mimi niliota mmewangu wazamani kaowa mke uyo mke napigananae inamana gani

  • @makurukiraryo2495
    @makurukiraryo2495 2 роки тому +1

    Kumbe hiyo ndoto pia hunitesa pia

  • @KIJANAPONZEE
    @KIJANAPONZEE Рік тому

    Hapo nimechanganyikiwa kuligana na maadiko mke wa mtu ni yupi wa kwaza hama wa pili mtu anisaidie kwa hii sielewi ki bible mke ni yupi

  • @nickiebrownie6962
    @nickiebrownie6962 Рік тому

    Mm nataka kujua maana ya kuota na mpenzi wako aliyekufa mkiromance na mnakosa kufanya mapenzi

  • @ardnydiaofficial2778
    @ardnydiaofficial2778 Рік тому

    Mi naotaga tusha achana naniko ndani yandoa nyingine Ila naota tunafanya kitendo chandoa

  • @AgnessPete
    @AgnessPete 3 місяці тому

    Mtumishi mimihuwa namuota mtuatiekuwa mumewangu naturisha tengana naturifunga ndoa kanisani kwasada anaishi namwanamke mwingine namtoto wamezaa mimihuwasimfikirii IRA chaajabu huwanamuota tukowote kwake sierewi maana yake emen

  • @janetogonya3579
    @janetogonya3579 2 роки тому

    Ukiota mtu usiyemjua amekupea ufunguo na hiyo SI ufunguo wa kawaida lnamana gani

  • @juliusmwangi5631
    @juliusmwangi5631 2 роки тому

    Niko na doto ya nimeiona bwana yangu akiniambia ni mbariki akiwa amenipigia magoti alafu kisa akinirusia zawadi ikiwa imefugwo Lakini haikunifikia

  • @edwardbarasa4691
    @edwardbarasa4691 Рік тому

    Hallo pastor, Mimi nilikuwa nimeoa mke but,,,But akaamka tu one day akachukua Mtoto nyumbani na akaenda.So nilikuwa namwuita anerudi na Mtoto then sometimes naota nimeendea Mtoto au nionyeshwe ako area ambayo nakaa na Mtoto but sura haionyeshi.

  • @VeronicaJoshua
    @VeronicaJoshua Рік тому

    Pastor mm nimeota nafukuzwa na majambazi nilikuwa na hela nyingi wanataka kuninyang,anya nikatupa wallet yenye hela sehemu nikabaki na hela kidogo ili hata wakinikamata wasiondoke na hela yote wakati nakimbia ghafla nikakutana na ex wangu yuko na rfk yake ex wangu akamwambia rfk yake mwache usimsaidie rfk yake alikuwa anataka kuniokoa

  • @papatollo-r5k
    @papatollo-r5k 2 місяці тому

    mimi.nimeota.mke.tuliye.achana.anapigina.ameumizwa.inamana.gani

  • @loicemwatete6970
    @loicemwatete6970 2 роки тому +1

    Kuota mtu wa karibu ni mgonjwa

  • @lucyouma1021
    @lucyouma1021 2 роки тому +1

    Lkn mbona hkn majibu

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому +1

      @Lucy karibu sana Kwa Channel hii, Majibu mimi hupeana nikiwa live kila saa mbili usiku siyo hapa kwa comments, nimeona yako sasa basi naomba unifatilie leo usiku nikijibu za wengine pia

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому +1

      @Lucy Ouma watch hii nimekujibu ndoto yako.ua-cam.com/video/3i7tQZHVW1Y/v-deo.html

  • @falaja8500
    @falaja8500 2 роки тому +1

    Ndoto ya mpenzi wako kama mume achan

  • @annmukiri-vh4rm
    @annmukiri-vh4rm Рік тому

    Na mtu akiota akivalishwa Pete Kwa kanisa

  • @gloriamueni9211
    @gloriamueni9211 Рік тому

    niliota mamangu ananipea pesa nyingi sana ,,inamaanisha nn

  • @rukiajuma7192
    @rukiajuma7192 Рік тому +1

    Kuota watoto wangu wamenikumbatia ilhali babayao aligwama nayo ina maana gani

  • @severinaseverinanyoni707
    @severinaseverinanyoni707 Рік тому

    Leo nimetok kuota nipo mazingla ya yule nilieachan nae miak 8 nyuma

  • @apiakiwango
    @apiakiwango Рік тому

    Naomba kuuliza mtu akiota amempeleka mchumba wake nyumbani wazaz wake wakamkataa inamaanisha nin

    • @carolbosco4779
      @carolbosco4779 Рік тому

      Am Carolina most time naotaga mtu amekufa na Ako ai Tena wa familia

  • @everlyneauma3732
    @everlyneauma3732 2 роки тому

    Pastor naota nikiombea watu wakipona Niko Nairobi

  • @mealymwadzombo7277
    @mealymwadzombo7277 2 роки тому

    pastor mm nliota nmerudi shule nkifanya mtihani n skuwa hata naeza jibu,basi baada ya sku kadhaa yule mpenzi wangu mwenye nlimueka Kwa moyo tukipanga kufunga harusi akaniatext kuwa mapenzi yew bc . Bc pastor naomba uniombee plz niregeleane n mpenzi wangu n tufunge ndoa plz plz plz

    • @ameenabh3327
      @ameenabh3327 Рік тому

      Mm niko ivo nifanyeje sasa na yeye nitake

  • @clementinaurasa3183
    @clementinaurasa3183 2 роки тому

    Niko tayari kujifunza mtumishi

  • @gloriamueni9211
    @gloriamueni9211 Рік тому

    kuota ukiwa kwa nyumba ya kitambo

  • @SusanNjeri-cj3hg
    @SusanNjeri-cj3hg Рік тому

    Niliota nikisabuliwa na watu wengi alafu wananichoma na cigara

  • @JosephKiiru-v8i
    @JosephKiiru-v8i 7 місяців тому

    Niliotampenzi wangu aliniacha

  • @MathewElius
    @MathewElius 6 місяців тому

    Nimeelewa sana

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 2 роки тому +1

    Pastor naomba unitafsirie hiindoto niliachana nampenziwangu miaka mitatusasa akaowa rafikiyangu wamezaa mtoto mmoja sasa lakini kilamara namuota huyo mwanamke anataka kunipigatuu nahata pia hua namuota sana huyo mwanaume kua ananiomba msamaha turudiane maranyingi nawaota hao watu wawili tuu

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому +1

      @Priscillah Siralya, jiunge Nami Leo usiku Saa tatu nitakupa maana yake.

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 2 роки тому

      @@revpeternjihia asante pastor Mungu akubariki

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 2 роки тому

      Mchungaji samahani sijui kuingia direct kama ulivo nambia nijiunge kunitafsria hiyo saataty

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  2 роки тому

      @Priscilah unaitajika usahau mabaya yaliyo kupata, rakiki kakusaliti na tena anataka kukupiga , omba mungu akupe moyo wakusonga mbele. Huyo mchumba alikosa uaminifu akitaka msamaha ni sawa ila usirudiane naye. Unaonyeshwa anajutia makosa yake.

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 2 роки тому +2

      @@revpeternjihia asante mchungaji nimepata kuelewa Mungu akubariki asante kwakunitafsiria

  • @husnaharid6996
    @husnaharid6996 2 роки тому

    Namuota sana mpenz wng na tumeachna lakini hatuna mahusiano

    • @veronicaaa1326
      @veronicaaa1326 2 роки тому

      Mtarudiana yangu ilikua hvo kila nikitoka kwa nyumba,baadae yeye mwenyewe hunitafta

  • @shilanasiche1759
    @shilanasiche1759 2 роки тому

    Pastor Mimi niliota ex wangu ni mgonjwa jee inamaanisha

  • @ardnydiaofficial2778
    @ardnydiaofficial2778 Рік тому

    Mi naona baaado huja nijibu plz nisaidie

  • @fahimajanes1364
    @fahimajanes1364 Рік тому

    Mimi niliota nimemng'oa mwanangu meno yote alafu mengine yanaota

  • @fredrickotieno7847
    @fredrickotieno7847 Рік тому

    Niliota natambea naelekea waliko zikwa babu na baba zangu yani nyumbani,kutafuta pikipiki nikiwa na ajuza wa mpenzi wangu wa zamani kisha nika pata pikipiki mbili naye hajui kuendesha

    • @revpeternjihia
      @revpeternjihia  Рік тому

      Kuna adui wengi Wana kimbiza Baraka zako.
      Ngombe ni mafanikio yako na ubwa ni adui zako.

    • @fredrickotieno7847
      @fredrickotieno7847 Рік тому

      @@revpeternjihia nashukuru sana mtumishi wa mungu

    • @fredrickotieno7847
      @fredrickotieno7847 Рік тому

      @@revpeternjihia kwa hiyo ndoto ngombe mmoja wa brown alibaki kisha tuka panda juu ya chuma ndefu ili mbwa wakirudi wasitudhuru.kuna watu wawili wakaja kutuarifu kuwa wamepata ngombe huyo wakamufunga kwa boma lao sasa tuwape hela kidogo