Bwana asifiwe mm Mara nyingi namwota mule wngu kila wakat,at a saii. nmeota kuwa natembea njia nkafika mahal Luna barabara magari imejaa lkn nlkua nacross nkapita lkn wale madereva walikuwa wanantongoza lkn ckushughulika nao nkapita nkakaza na safar yngu nkifike mbele nkamwona mume wngu tulieachana anaendesha baiskel polepole naomba nsaidie,nkiwa katika hii safar mwanaume alinifuata kwa nyuma lkn nkamkemea akarudi ndio mbele nkakutana na huyu was kitambob
Aki mimi alinitesa nakunipiga kuniletea ex wake kwa nyumba ananifukuza walale naye alinifanyia matharau mengi sana lakini moyo wangu hujawai toka kwake na meowa but bado roho yangu iko kwake
Past nsaidie,Jana nilimuota anakipia mtoto fees,Leo nimemuota nmerudiana naye na ako very proud,yy hajaoa NAMI sijaoleka baada ya miaka kumi kwa sababu nko na watoto,ndoto zake huwa zonajirudiarudia nsaidie past
nimependa sana video Zako pia nimependa jinsi ulivojibu swali langu la kuhusu ndoto kwa sababu wengine unakuta anakujibu kuwa nenda kwa mganga wa kwenyeji akupe dawa ya kuvunja ndoto iyo lakini wewe umesema niombe ili nivunje the bond between me and him .yani nimefurahi sana kuona kuwa unamwamini mwenyezi MUNGU
Jmn Mimi nimeota mwanaume tulishindwana kwa tabia yake akaondoka kumaliza weeki moja ,namuota yupo kwangu kavunja simu yangu ndogo ya home,Kisha akanipigia na kunipa taarifa,na akaaa kunisubiri nirudi home
Pastor naomba unisaidie me namuot ex wangu mara kwa mara et niko nae kwa mahusiano wakt yey ana mahusiano yake na me yangu et nimemuota jana niko nae na mama ake kafurahi kuniona wakati mama ake kashafariki mwaka jana ina mana gani nisaidie mana tumeachana miaka mingi na me simkumbuki kabisa nisaidie kujibu pastor
Naota bwana tulisha achana naona tuko kwa kitada kimoja ananabiya kuwa kuna mtu anasubiriya kufa wamemtowa kafara .ananionesha kuwa ananimpeda kwa doto .na alinikoseya sanaa wakati naishi naye.tagiya niyachane naye maisha yangu yote ilikuwa niyashida tu
Pastor Mimi huota Kila mara naokota Kuni mahali nilipokuwa nikiokota nikiwa mdogo Kisha mwenye shamba hunifuata kila siku, hii inashinda ikijirudia sana mpka nashindwa kuelewa
Nimeota mwizi amekuja kwangu na anamwita mme wangu mm nikamkataza asiende nikaita watu wa chumba kingine wametoka yule mwizi ameshika kisu anataka kuchoma mtu tumepambana nae sana nimeshituka gafla nikaamka
Mimi nimeota naokota hella pia naota namuota rahisi anashuka kwenye ndege na kuongea name pia naota nipo naongea na mtumishi mala naota samaki Naitwa Anna lupus nipo ifakala
Pastor mimi kuna imekua ikijirudia kwa mara ya tatu sasa naota nimejenga nyumba kubwa sana naona wazazi wangu wamefurahi kuingia Kwa hiyo nyumba na ndugu zangu wote ila mimi nikijaribu kuingia naona mtu ananizuia kuingia
Usiwe mtu wakufanyia watu makubwa Hadi unajisaha , Yani unasaidia watu wanasaidika ila wewe kuna roho inakuzilia kusonga mbele nakuingia kwenye baraka Zako.
Hallo pastor, Mimi nilikuwa nimeoa mke but,,,But akaamka tu one day akachukua Mtoto nyumbani na akaenda.So nilikuwa namwuita anerudi na Mtoto then sometimes naota nimeendea Mtoto au nionyeshwe ako area ambayo nakaa na Mtoto but sura haionyeshi.
Pastor mm nimeota nafukuzwa na majambazi nilikuwa na hela nyingi wanataka kuninyang,anya nikatupa wallet yenye hela sehemu nikabaki na hela kidogo ili hata wakinikamata wasiondoke na hela yote wakati nakimbia ghafla nikakutana na ex wangu yuko na rfk yake ex wangu akamwambia rfk yake mwache usimsaidie rfk yake alikuwa anataka kuniokoa
@Lucy karibu sana Kwa Channel hii, Majibu mimi hupeana nikiwa live kila saa mbili usiku siyo hapa kwa comments, nimeona yako sasa basi naomba unifatilie leo usiku nikijibu za wengine pia
pastor mm nliota nmerudi shule nkifanya mtihani n skuwa hata naeza jibu,basi baada ya sku kadhaa yule mpenzi wangu mwenye nlimueka Kwa moyo tukipanga kufunga harusi akaniatext kuwa mapenzi yew bc . Bc pastor naomba uniombee plz niregeleane n mpenzi wangu n tufunge ndoa plz plz plz
Pastor naomba unitafsirie hiindoto niliachana nampenziwangu miaka mitatusasa akaowa rafikiyangu wamezaa mtoto mmoja sasa lakini kilamara namuota huyo mwanamke anataka kunipigatuu nahata pia hua namuota sana huyo mwanaume kua ananiomba msamaha turudiane maranyingi nawaota hao watu wawili tuu
@Priscilah unaitajika usahau mabaya yaliyo kupata, rakiki kakusaliti na tena anataka kukupiga , omba mungu akupe moyo wakusonga mbele. Huyo mchumba alikosa uaminifu akitaka msamaha ni sawa ila usirudiane naye. Unaonyeshwa anajutia makosa yake.
Niliota natambea naelekea waliko zikwa babu na baba zangu yani nyumbani,kutafuta pikipiki nikiwa na ajuza wa mpenzi wangu wa zamani kisha nika pata pikipiki mbili naye hajui kuendesha
@@revpeternjihia kwa hiyo ndoto ngombe mmoja wa brown alibaki kisha tuka panda juu ya chuma ndefu ili mbwa wakirudi wasitudhuru.kuna watu wawili wakaja kutuarifu kuwa wamepata ngombe huyo wakamufunga kwa boma lao sasa tuwape hela kidogo
Bwana Yesu asifiwe nliota nalala na Boss wangu wa kazi
Ubarikiwe pastory hongela na kazi ya BWANA
Amina
Amina asante sana mtumishi wa mungu
Bwana asifiwe mm Mara nyingi namwota mule wngu kila wakat,at a saii. nmeota kuwa natembea njia nkafika mahal Luna barabara magari imejaa lkn nlkua nacross nkapita lkn wale madereva walikuwa wanantongoza lkn ckushughulika nao nkapita nkakaza na safar yngu nkifike mbele nkamwona mume wngu tulieachana anaendesha baiskel polepole naomba nsaidie,nkiwa katika hii safar mwanaume alinifuata kwa nyuma lkn nkamkemea akarudi ndio mbele nkakutana na huyu was kitambob
Aki mimi alinitesa nakunipiga kuniletea ex wake kwa nyumba ananifukuza walale naye alinifanyia matharau mengi sana lakini moyo wangu hujawai toka kwake na meowa but bado roho yangu iko kwake
Una pepo wewe
Amen amen mtumusi wamungu
Pastor mimi nimeota wanafunzi wa shule la musingi wananileteya vi caratasi niwatumikiye mutihani mimi nikakosa majibu
Asante sana mtumishi
Past nsaidie,Jana nilimuota anakipia mtoto fees,Leo nimemuota nmerudiana naye na ako very proud,yy hajaoa NAMI sijaoleka baada ya miaka kumi kwa sababu nko na watoto,ndoto zake huwa zonajirudiarudia nsaidie past
mtumishi nisaidie mimi waga naota sana na mume wangu naota tumelala ote watoto wangu na mdogo wangu kitanda kimoja
Amen
Mimi namuota sana nazan sababu ameguka namfikilia sana mda mwingi
Ni kweli pastor
Niliota bwana tulishi naye myaka 7 tuliyachana namuota ananipatiya mpesa nikahemeye
Amen and amen
Volume iko chini sana...ukiota na jino la mbele likiwa limevunjika
Utukufu Kwa Mungu
nimependa sana video Zako pia nimependa jinsi ulivojibu swali langu la kuhusu ndoto kwa sababu wengine unakuta anakujibu kuwa nenda kwa mganga wa kwenyeji akupe dawa ya kuvunja ndoto iyo lakini wewe umesema niombe ili nivunje the bond between me and him .yani nimefurahi sana kuona kuwa unamwamini mwenyezi MUNGU
Naomba kuliza baba mm naotaga tumerudiana baba mtoto napamepita miaka 3 mazingine naotaga nakunywa nae pombe bia nakula naye
Mjungaji mm nime ota Kuna mtu ame n kayaga shingo mbaka akani uwa n nilikwa n nn n mtu Kando yangu Ali kayakwa pia kafa sijui n nn mana yake
Be blessed
Na hiyo filling n kwangu ama n wote wawili inauwezekano na yeye akawa ananiota pia ama
ua-cam.com/users/liveLxAw0ZSxfhk?feature=share
Mimi nimeota x wangu ananipiga kwa hasira baada ya kusikia naongea na mchumba mpya na yupo kimya hasemi chochote,nn maana ya ndoto hii
Ruth kila wakati naota nimepoteA nyimbani ninamanisha nini
Nikipata mda nitakutumia ndoto zangu ili unifafanulie na uniambie nifanyeje ili nizivunje
Everlyne. Mchungaji Mimi naota nikiombea watu nikiwakombia wagonjwa wakipona uwa sielewi naomba unisaidie.
Ww unakarama ya mungu kaa vizri na mungu atakusaidia
Hata mi huwa naota Sana hiyo ndoto
Jmn Mimi nimeota mwanaume tulishindwana kwa tabia yake akaondoka kumaliza weeki moja ,namuota yupo kwangu kavunja simu yangu ndogo ya home,Kisha akanipigia na kunipa taarifa,na akaaa kunisubiri nirudi home
mm naota narundi kazini niliwahi fanya zamani inamanisha nn
Mimi nilifunga ndoa lakini tumewachana mwaka mmoja sasa ila ninaota akiwa na mwanamke mwingine na hiyo ndoto inajirudia mara nyingi sana
Pst mara mingi sana mm huota nafanya mapenzi na mtu mwenye simuoni
mm nimeota mpenzi wangu tulieachana anatak kuowanaomba nisaidie
Huwa naota bwana yangu amerudi baada ya kuachana but haonekani
Naota nikisafiri kila wakati lakini sijawai fika mwisho wa safari
Mimi naotaga sana napanda ndege
😅Ukiota umepika mandazi mengi ya kuuza dukani
Pastor naomba unisaidie me namuot ex wangu mara kwa mara et niko nae kwa mahusiano wakt yey ana mahusiano yake na me yangu et nimemuota jana niko nae na mama ake kafurahi kuniona wakati mama ake kashafariki mwaka jana ina mana gani nisaidie mana tumeachana miaka mingi na me simkumbuki kabisa nisaidie kujibu pastor
@getrude nitakuwa live SAA tatu nitakupa maana yake.
Naota x wangu ananifuatilia Nini maana yake?
Najaribu kuchart live lakini siioni mahali pa kuandikia
Naota bwana tulisha achana naona tuko kwa kitada kimoja ananabiya kuwa kuna mtu anasubiriya kufa wamemtowa kafara .ananionesha kuwa ananimpeda kwa doto .na alinikoseya sanaa wakati naishi naye.tagiya niyachane naye maisha yangu yote ilikuwa niyashida tu
Naota na mwanaume jirani betsy
Pastor Mimi huota Kila mara naokota Kuni mahali nilipokuwa nikiokota nikiwa mdogo Kisha mwenye shamba hunifuata kila siku, hii inashinda ikijirudia sana mpka nashindwa kuelewa
Jmn mm namuota mala nyingi tumerudiana kabisa sijui nn shida na tuliachana muda. Sana
Nikimuota X anasafisha nyumba yangu? Anaondoa makaratasi au picha ukutani?
Mtumishi mimi huwa naota sana na baba watoto wangu tuliachana 15yea.
Naitwa evas nimeota ndoto mwanaume kageuka kuwa joka kubwa harafu joka nikafosi kufanya mapenxi
Pastor mimi niliota mchumbaangu anafunga harusi namwanamke mwingine inamaanisha nini?
Ameen🙏🙏🎉
Mm niliota juu ya mpenzi wa kitambo ananikataa kwa panga naomba kujua mchungali
Kuota unapewa Kalamu maana yake nini
Uyu mbwa na muotaga kila siku tuna gombana ndotoni mamae sipendiiiii
Kemeaa kabsaaa ni mbwa huyo
@@MohammedJaxksonlee😂😂😂😂😂😂
Bado hujasema😂😂😂😂😂
Je ukiota marehemu unanzungumuza naye na wote nikiwa na hasira kila mmoja?
kuota mpz wako kaja nagari nyeusi akaigiza kwetu kwa mama yangu
Nimeota mwizi amekuja kwangu na anamwita mme wangu mm nikamkataza asiende nikaita watu wa chumba kingine wametoka yule mwizi ameshika kisu anataka kuchoma mtu tumepambana nae sana nimeshituka gafla nikaamka
Mimi nimeota naokota hella pia naota namuota rahisi anashuka kwenye ndege na kuongea name pia naota nipo naongea na mtumishi mala naota samaki Naitwa Anna lupus nipo ifakala
Unaongea sana kuliko pwent
Pastor me huwa naota mchumba wangu wako ktambo tuko n yeye Kwa maji machafu cijui ina maana gni
Mimi nilimchukia kabisa but namwonanga kwa ndoto akiwa mbali na mm kunichungulia tu na hatuwezi patana
Nimeota nipo kwa x wangu nyumbani kwake tena kitandani kwake na mke wake ni mgonjwa yupo hospital ambaye hatuelewani miezi kama miwili
Nami wangu aliniacha tu ghafla but after 2yrs,nikaambiwa na pastor eti huyo hakuwa wangu.But nilioa na niko POA tu
Mimi niota mchumba wangu akinipea dawa nikunywe na akiniambia nisiogope yeye hunywa pia siku zote
Sauti iko chini pastor
@Duncan Koech karibu Sana , Kwa SASA sauti ime improve kabisa watch video za SASA utasikia ikiwa sawa
Pastor nimetuma na ujaona
Mm huota na yy kila wakati tukipigana na kutusiana mm simpendi ata kidogo alinifanyia kitendo sitawai sahau😢
Mimi namuota sana mzaz mwenzangu na tulisha achana lakini simpend nasiitaji rudiana nae ila namuota mno hii imeaakaje
Mimi niliota x wangu ameniletea zawadi...
@ Sidi Katoi nitakuwa live usiku nitakueleza maana yake
Ivi ukiota unaingia choo I na unakuta choo kichafu huoni pa kukanyaga nini mama yake
Pastor mimi kuna imekua ikijirudia kwa mara ya tatu sasa naota nimejenga nyumba kubwa sana naona wazazi wangu wamefurahi kuingia Kwa hiyo nyumba na ndugu zangu wote ila mimi nikijaribu kuingia naona mtu ananizuia kuingia
Usiwe mtu wakufanyia watu makubwa Hadi unajisaha , Yani unasaidia watu wanasaidika ila wewe kuna roho inakuzilia kusonga mbele nakuingia kwenye baraka Zako.
pasta.mimi.nimeota.mke.alienikimbia.kwa.sasa.miaka.8.juzi.nimeota.anapigana.naa.aMiami.sAna.. manage.nini
Mimi uwa naota nimerudi kwao nyumbani lakini physically waliama penye tulikua but nijiona nikiwa uko kwa ndoto
😢😢😢😢 mtu hutoa aje angano la blood covenant 😢😢
Damu ya yesu ina uwezo kuvunja agano
Me niliota napewa pesa na mama yangu kwenye ndoto na ameshafari tena alinipa nikiwa nashida
Kataa roho ya umasikini na kila utafanya hakita simama
Mimi niliota mmewangu wazamani kaowa mke uyo mke napigananae inamana gani
Kumbe hiyo ndoto pia hunitesa pia
Hapo nimechanganyikiwa kuligana na maadiko mke wa mtu ni yupi wa kwaza hama wa pili mtu anisaidie kwa hii sielewi ki bible mke ni yupi
Mm nataka kujua maana ya kuota na mpenzi wako aliyekufa mkiromance na mnakosa kufanya mapenzi
Mi naotaga tusha achana naniko ndani yandoa nyingine Ila naota tunafanya kitendo chandoa
Mtumishi mimihuwa namuota mtuatiekuwa mumewangu naturisha tengana naturifunga ndoa kanisani kwasada anaishi namwanamke mwingine namtoto wamezaa mimihuwasimfikirii IRA chaajabu huwanamuota tukowote kwake sierewi maana yake emen
Ukiota mtu usiyemjua amekupea ufunguo na hiyo SI ufunguo wa kawaida lnamana gani
Niko na doto ya nimeiona bwana yangu akiniambia ni mbariki akiwa amenipigia magoti alafu kisa akinirusia zawadi ikiwa imefugwo Lakini haikunifikia
Hallo pastor, Mimi nilikuwa nimeoa mke but,,,But akaamka tu one day akachukua Mtoto nyumbani na akaenda.So nilikuwa namwuita anerudi na Mtoto then sometimes naota nimeendea Mtoto au nionyeshwe ako area ambayo nakaa na Mtoto but sura haionyeshi.
Pastor mm nimeota nafukuzwa na majambazi nilikuwa na hela nyingi wanataka kuninyang,anya nikatupa wallet yenye hela sehemu nikabaki na hela kidogo ili hata wakinikamata wasiondoke na hela yote wakati nakimbia ghafla nikakutana na ex wangu yuko na rfk yake ex wangu akamwambia rfk yake mwache usimsaidie rfk yake alikuwa anataka kuniokoa
mimi.nimeota.mke.tuliye.achana.anapigina.ameumizwa.inamana.gani
Kuota mtu wa karibu ni mgonjwa
Lkn mbona hkn majibu
@Lucy karibu sana Kwa Channel hii, Majibu mimi hupeana nikiwa live kila saa mbili usiku siyo hapa kwa comments, nimeona yako sasa basi naomba unifatilie leo usiku nikijibu za wengine pia
@Lucy Ouma watch hii nimekujibu ndoto yako.ua-cam.com/video/3i7tQZHVW1Y/v-deo.html
Ndoto ya mpenzi wako kama mume achan
Na mtu akiota akivalishwa Pete Kwa kanisa
niliota mamangu ananipea pesa nyingi sana ,,inamaanisha nn
Kuota watoto wangu wamenikumbatia ilhali babayao aligwama nayo ina maana gani
ua-cam.com/video/WP_MY3JtjSg/v-deo.html
Hi
Leo nimetok kuota nipo mazingla ya yule nilieachan nae miak 8 nyuma
Naomba kuuliza mtu akiota amempeleka mchumba wake nyumbani wazaz wake wakamkataa inamaanisha nin
Am Carolina most time naotaga mtu amekufa na Ako ai Tena wa familia
Pastor naota nikiombea watu wakipona Niko Nairobi
pastor mm nliota nmerudi shule nkifanya mtihani n skuwa hata naeza jibu,basi baada ya sku kadhaa yule mpenzi wangu mwenye nlimueka Kwa moyo tukipanga kufunga harusi akaniatext kuwa mapenzi yew bc . Bc pastor naomba uniombee plz niregeleane n mpenzi wangu n tufunge ndoa plz plz plz
Mm niko ivo nifanyeje sasa na yeye nitake
Niko tayari kujifunza mtumishi
kuota ukiwa kwa nyumba ya kitambo
Niliota nikisabuliwa na watu wengi alafu wananichoma na cigara
Niliotampenzi wangu aliniacha
Nimeelewa sana
Pastor naomba unitafsirie hiindoto niliachana nampenziwangu miaka mitatusasa akaowa rafikiyangu wamezaa mtoto mmoja sasa lakini kilamara namuota huyo mwanamke anataka kunipigatuu nahata pia hua namuota sana huyo mwanaume kua ananiomba msamaha turudiane maranyingi nawaota hao watu wawili tuu
@Priscillah Siralya, jiunge Nami Leo usiku Saa tatu nitakupa maana yake.
@@revpeternjihia asante pastor Mungu akubariki
Mchungaji samahani sijui kuingia direct kama ulivo nambia nijiunge kunitafsria hiyo saataty
@Priscilah unaitajika usahau mabaya yaliyo kupata, rakiki kakusaliti na tena anataka kukupiga , omba mungu akupe moyo wakusonga mbele. Huyo mchumba alikosa uaminifu akitaka msamaha ni sawa ila usirudiane naye. Unaonyeshwa anajutia makosa yake.
@@revpeternjihia asante mchungaji nimepata kuelewa Mungu akubariki asante kwakunitafsiria
Namuota sana mpenz wng na tumeachna lakini hatuna mahusiano
Mtarudiana yangu ilikua hvo kila nikitoka kwa nyumba,baadae yeye mwenyewe hunitafta
Pastor Mimi niliota ex wangu ni mgonjwa jee inamaanisha
Mi naona baaado huja nijibu plz nisaidie
Mimi niliota nimemng'oa mwanangu meno yote alafu mengine yanaota
Niliota natambea naelekea waliko zikwa babu na baba zangu yani nyumbani,kutafuta pikipiki nikiwa na ajuza wa mpenzi wangu wa zamani kisha nika pata pikipiki mbili naye hajui kuendesha
Kuna adui wengi Wana kimbiza Baraka zako.
Ngombe ni mafanikio yako na ubwa ni adui zako.
@@revpeternjihia nashukuru sana mtumishi wa mungu
@@revpeternjihia kwa hiyo ndoto ngombe mmoja wa brown alibaki kisha tuka panda juu ya chuma ndefu ili mbwa wakirudi wasitudhuru.kuna watu wawili wakaja kutuarifu kuwa wamepata ngombe huyo wakamufunga kwa boma lao sasa tuwape hela kidogo