NGONDO Sehemu ya Kwanza

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 лют 2023
  • Filamu hii inasimulia maisha ya mzee anaejulikana kwa jina la Mzee MBINGA,ni mzee mwenye misimamo katika maamuzi yake,kijana Dondora anaingia katika 18 za mzee huyo baada ya kutaka kumjaribu kwa kumuacha mkewe hatima yake anatambua kwamba mzee hataniwi...!!! Endelea kufuatilia Mkasa huu wa NGONDO
    MAONI/MATANGAZO Tupigie
    +255769000762
    +255763308787
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 405

  • @sammasadika9598
    @sammasadika9598 Рік тому +5

    Madebe mm nakukubali sana bro ata usipotoa movie mwakaa mzima lkn ukija unakuja na kitu kikali sana kweli unafanya kazi zuri sana bro jamane like zenu kwa madebe

  • @wardahrajabu8710
    @wardahrajabu8710 Рік тому +8

    Tambua Kuna mungu, serikali alafu Kuna Mimi nani imembamba hii gonga like hapa. Next plz

  • @AaAa-tb2zw
    @AaAa-tb2zw Рік тому +8

    Hongerah Madebe Hua napenda filamu zako Zina mafunzo sana....🥰🥰🥰💕...nakutazama nikiwa Qatar

  • @albertkellynyenyeri519
    @albertkellynyenyeri519 Рік тому +4

    Sijui niseme Nini kuhusu Madebe na wenzio.Mungu awajazie mema. Asanteni🙏.good job Madebe❤️

  • @FrankNoel-iz8nt
    @FrankNoel-iz8nt Рік тому +1

    Ongera sana madebe akika wewe ni mwalimu sana uwa najifunza mengi sana kupitia move zako❤❤❤❤ ni bora ilizi kupotea kuliko mganga kufa Mungu akujalie sana wewe noma🎉🎉

  • @mulongocommunications7468
    @mulongocommunications7468 Рік тому +12

    Madebe my favorite Swahili actor. Napenda hekima yako na misemo katika uigizaji.

  • @abdulahmanmahalufu9524
    @abdulahmanmahalufu9524 Рік тому +6

    Ngondo ni neno la kimwela lenye mahana ya UGOMVI thanks you my brother madebe lidai

  • @MukoyaGeff
    @MukoyaGeff 3 місяці тому

    Madebe Lidai my favourite guy. I really like your thoughtful minds. Following from Nakuru Kenya

  • @allymangogasya8068
    @allymangogasya8068 Рік тому +1

    Asante sana baba ,kusikiya shauri,kwanza Léo mimi ni miongoni wa ma fans wenu ,Nina shukuru sana n'a iyi filamu,inaualisiya kabisa 100% kidini , shukrani kwa kutokufuru katika filamu iyi

  • @user-on1cv7ui6v
    @user-on1cv7ui6v 3 місяці тому

    Am in love 💕😘 na kila filamu yako kakangu. Wishing you all the BEST 🎉🎉 ,Mungu azidi kukuongeza busara kwa talanta hii

  • @ramadhanihassani1617
    @ramadhanihassani1617 Рік тому +3

    Hahahahah kweli ukiiona milima usiibebe ila kazi yake ni kuipanda. Best actor #madebe lidai. Sehemu ya pili please

  • @fellybrowntz177
    @fellybrowntz177 Рік тому +4

    NO ONE LIKE YOU MADEBE .....LIDAI KAZI NZURI KILA WA WAKATI🙏🙏🙏

  • @nurudingharib4219
    @nurudingharib4219 Рік тому +1

    For me, you are the best actor in the country, bring us the second iron brother

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 6 місяців тому

    Ndioo ndioo Lidai...Salute mbili ya left na ya right...Full Respect 🤝👏

  • @reinatave780
    @reinatave780 Рік тому +3

    Madebe mie nakukubar cku zote kaka angu...mungu awe nawe wakat wote👏🌺

  • @jacobgeorge6014
    @jacobgeorge6014 Рік тому +4

    Hakika nimeielewa sana big up Mr Madebe Lidai.

  • @boboja6242
    @boboja6242 Рік тому +1

    I salute you brother, Allah akupe umri uzidi kuhamasisha walimwengu🤲✌️

  • @yassirmbwana4867
    @yassirmbwana4867 Рік тому +2

    Santhaaa madebe mungu akupee umrii Mrefu inshallah

  • @josaphatmwishakibancha611
    @josaphatmwishakibancha611 10 місяців тому

    Kiukweli ,madebe naku kubali kabisa kwa mafundisho Yako Mazuri sana, yanayo jenga jamii na ulimwangu mzima, asante sana, mimi ni mkongo, nikipata neema yakufika tanzania nitakutafuta.

  • @akxheironald1520
    @akxheironald1520 Рік тому +1

    This is the best movie please add more episodes

  • @princeali8584
    @princeali8584 Рік тому +1

    Kazi nzuri mtani, sema upunguze kuwasema wayao mjinga ww

  • @swalehjumah137
    @swalehjumah137 Рік тому

    Iigwe ingwee madebe nini Bana poa pia Acha niwe n subra kusubiri sehemu y pili inshallah 🤲🤲🤲

  • @user-jt7fj6cj4k
    @user-jt7fj6cj4k Рік тому

    masha alla masha allah masha allah . mungu azidi wabariki na kuwapa maarifa zadi .tuzidi kupata elimu kupitia ninyiii💖💖💖

  • @adamwaziri5867
    @adamwaziri5867 Рік тому +16

    Madebe tunajitahid kukufuatilia movie zako ila unatushangaz unapotoa movie humalizii unaleta mwengine naomba nikuulize kwann unafanya hivyo
    Tungeomba uwe unazimaliza mpka mwisho alafu utuletee nyengine sio tunaangalia nusu hatujui mwisho wake tunaanza tena mpya haipendez kak hututendei haki sisi mashabik wako tunaokufatilia kila cku

  • @gersonissa9124
    @gersonissa9124 Рік тому +2

    Lik from DR Congo 🇨🇩

  • @mokiwasaid6871
    @mokiwasaid6871 Рік тому +1

    daah kweli mjomba ni mama madebe huna baya wee piga kazi tu mungu akupe umri mrefu wenye mafanikio,🙏🙏🙏

  • @shadrachmuatha
    @shadrachmuatha Рік тому +3

    Kazi safi madebe muendelezo uje haraka 🔥

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Рік тому +2

    Mbn movie zt kamilizia au mlitakaje jmn muandikiwe kabisa imeisha hayo mamb km ya darasa la 2 D

  • @omarmkali3610
    @omarmkali3610 Рік тому +1

    👍kazi safi kaka mkubwa.. umefurahishq sana na mkeo mjomba ni mama tu

  • @anthonyraphaely4817
    @anthonyraphaely4817 Рік тому +1

    Nakukubali Sana madebe kazi zako nzuri sana

  • @maxmilianmexades6684
    @maxmilianmexades6684 Рік тому

    miziki inayowekwaga kwenye movie za madebe naipenda sana msanii mzuri anajua kuimba

  • @danielsammy7904
    @danielsammy7904 Рік тому

    Nakubali Sana madebe lidai ,, love from Kenya ,, Tanga korongwe ndo ujombani

  • @fatumahanga6741
    @fatumahanga6741 9 місяців тому

    Muv zako madebebni nzuri sana na kipaji kipo tatizoo humalizi stor unaanzisha zingine utatupotez shabik zako maan unatuonjesha then unatulia Tena ,,,

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 Рік тому +2

    Kama mpaka sasa huwelewi move ya mahali ilishia wapi piga like

  • @lyleenkiye2298
    @lyleenkiye2298 Рік тому

    ili nibidi nihanze na like before watching the movie 😍

  • @mohamedramadhani3548
    @mohamedramadhani3548 Рік тому +2

    Madebe hebu sikiliza kero zetu na utatue ww ni muigizaji mzuri Sana Tena ni mtu unayeanza vizuri lakini mwisho unatuweka njia panda kifupi humalizi move hivyo maliza move bhana tuna kupa big up

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 Рік тому

    Huyo anaeimbaga nyimbo za baking ground kwenye movie za madebe bonge la mwandishi, akiamua kuimba nyimbo zetu za bongo flava atafika mbali sana

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Рік тому

    Huwa najifunza mengi kupitia movie zako. Ila tatizo unachukua muda sana kuendelea au unaachiaga njiani

  • @aslamraslan2295
    @aslamraslan2295 Рік тому

    Anakuosea sana mke wako uncle Nampa pole sabb shemeji wamekaa kama hekima mjomba ni mama

  • @swabrinaidassy865
    @swabrinaidassy865 Рік тому +2

    MADEBE LIDAI ❤❤❤❤❤

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 Рік тому +2

    Kazi nzuri

  • @tiffarqueen2712
    @tiffarqueen2712 Рік тому +1

    Kweli madebe unatuacha njiapanda Sana movie umalizi mbilini nayo aujamaliza Yani dah unapunguza utamu🥺

  • @ibrahimamos6949
    @ibrahimamos6949 Рік тому +1

    Kazi iko njema sana hii

  • @Cambarada
    @Cambarada Рік тому +1

    Ngondo ni neno la kibantu linalotumika ukanda wa kusini mwa Tanzania lenye maana 'Balaa'

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Рік тому +1

    Hunaga kazi mbovu ila humalizage movies 🎥 kuwa unatuacha njia panda 🐼

  • @GAHUZAMIRYANGORomainFidele
    @GAHUZAMIRYANGORomainFidele 2 місяці тому

    hongera kwa kozi mzuri

  • @tajirbless8410
    @tajirbless8410 Рік тому +1

    Unanikoseaa sanaa mke wanguu 🤣😅😂 madebe
    Umepindaa sanaa wee

  • @ottomanmorand6117
    @ottomanmorand6117 Рік тому +1

    Mwalimu wangu 🥰🙏 mjomba ni mama

  • @salmusalmu8845
    @salmusalmu8845 Рік тому

    Nzur sana inamafunzo yakutosha ♥️

  • @assalamtv8820
    @assalamtv8820 Рік тому

    safi sana walaji tumefurahia chakula kitam

  • @javy_c1k
    @javy_c1k Рік тому +1

    Kazi nzuri. Shukran sana kwa subscribers wangu kumi. Mzidi kunisupport

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Рік тому +2

    Munanikosea pia mm wake zangu🤣🤣🤣😂🙌mahari iko wap🥹

  • @timayusuf2861
    @timayusuf2861 Рік тому +1

    Mashallah very nice

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Рік тому

    Madebe wewe ni nyoo ala mbwa atari kaka unajua alafu unajua tena mashaallah unatushangaza sana

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 Рік тому +3

    Waiting

  • @gersonissa9124
    @gersonissa9124 Рік тому +2

    Napenda Na chokiona

  • @paulkambulo6435
    @paulkambulo6435 Рік тому

    nice one blood bro kambulo Paul from south Africa

  • @salama1113
    @salama1113 Рік тому

    Nipeni like mwenye utamaduni wake madebe lidai

  • @mohamedothumanhussein2792
    @mohamedothumanhussein2792 Рік тому

    Tatizo haumalizi move sijui kwann hapa Ile taraka hatujui imeishiaje

  • @aminakatana8721
    @aminakatana8721 8 місяців тому

    Hongeraa sana nabii mswahili ❤

  • @husnaadam1994
    @husnaadam1994 Рік тому

    Madebe kiukweri move zako ni mzuri sana Ira atukuerewe Kwa nini umariz mpendwa nini tatizo unatuboa sana Kwa iro mpendwa

  • @user-mq6re2ji9y
    @user-mq6re2ji9y 9 місяців тому

    Kwa kweli move zako yaelimisha

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 Рік тому +1

    Mpoooo 🤭 "Hakuna kurudiana rudiana"...Si babangu angekuwa hivi😊

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Рік тому

    Nakubali huna movie mbovu

  • @Leonarnk3
    @Leonarnk3 Рік тому +1

    We ni #Mkali sana

  • @aronjonathan3297
    @aronjonathan3297 Рік тому +1

    Wait it from,, 🇧🇷

  • @saidimfalingundi9428
    @saidimfalingundi9428 Рік тому

    Kaz nzur kaka

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Рік тому +3

    Sina lakusema nampenda hatari babangu Athuman madebe,hivi viziki uniacha hoi mie🥰🥰👌🤣

  • @naomimakweta-he2wh
    @naomimakweta-he2wh Рік тому

    Nawapenda sana mnafundisha na kiujumla mna hisia

  • @uuuuiiii3917
    @uuuuiiii3917 Рік тому

    Daah tamu hatariii Safi Sana

  • @allyhamixi
    @allyhamixi Рік тому

    Big up my brother

  • @nsengumuremyisylvester4950
    @nsengumuremyisylvester4950 Рік тому

    filamu nzuli sana yanai inavutia sana!!

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому

    Nice work

  • @adamjackson7402
    @adamjackson7402 Рік тому +1

    Namkubali sana mwamba madebe lidai

  • @adammaganga485
    @adammaganga485 Рік тому

    kazi imesmama 🔥🔥🔥

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 Рік тому +1

    Madebe ni Mnyama sana 🙌🙌🙌

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 Рік тому

    Kihuwalisia mimi Huwa siangari hatuwa unazopiga.nnaangalia viatu irivyo vaa.😂🤣💪💪🔥🔥💪💪

  • @dicvanofficial
    @dicvanofficial Рік тому

    Ukiona mlima usiubebe maana milima yote duniani inakawaida ya kupandwa @itifaki izingatiwe hapo umetisha sana Mr Mbinga

  • @mirumbenickson6247
    @mirumbenickson6247 Рік тому

    Ngondo.. imemulika matukio yanayotendeka katika jamii... Funzo hili.

  • @halimaali3719
    @halimaali3719 Рік тому +1

    Jamani vp sijaniona

  • @onlyskills8258
    @onlyskills8258 Рік тому

    Anaemjua sound track wa madebe anambie.

  • @jumamakung8146
    @jumamakung8146 Рік тому

    Nishamaliza kukusifia kaka kilichobaki ni kusubiri burudani kutoka kwako kaka unajua sana

  • @dawayaodawayao4552
    @dawayaodawayao4552 Рік тому

    safi saaana konde nikiwa newala mtwara

  • @khadijazubeir3904
    @khadijazubeir3904 Рік тому

    Mtamu namuona tena😂😂 nimekipenda haka kabint

  • @mkunwaaidani6395
    @mkunwaaidani6395 Рік тому

    Asante sana Madebe

  • @rahimajuma4633
    @rahimajuma4633 Рік тому

    Kwani mume si ndio mwenye haki ya talaka na hivyo hivyo kuhu kurejea ni yeye ndo ana amua kurejea au la

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 Рік тому

    Mkwaju iko wap jaman kila siku move mpya zingine hamumalizii

  • @lamarbalvin7510
    @lamarbalvin7510 Рік тому

    Wakali wa kaz 🔥🔥

  • @christabellauwimana3164
    @christabellauwimana3164 Рік тому

    Love u from burundi

  • @singeriuswazi8183
    @singeriuswazi8183 Рік тому +1

    Daah aisee kal san

  • @sheyyusuph3685
    @sheyyusuph3685 Рік тому

    Mkwaju aliishia kati acha tuone na hii kazi nzuriii lakin hamalizagi

  • @reystarmusic
    @reystarmusic Рік тому +1

    Hamueleweki na movie zenu

  • @harunahamis
    @harunahamis Рік тому

    Mwendelezo wa Ngondo tutegemee lini sehemu ya kwanza imemalizika sasa

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Рік тому +2

    Hahaha 🤣🤣🤣🤣 mkewanguuu

  • @busatitv
    @busatitv Рік тому

    Kazi nzuri sana

  • @omarisufiani3996
    @omarisufiani3996 7 місяців тому

    Beat mkaiba la waturuki duuuuuuh 😂😂😂😂😂😂😂😂 Zalim Instanbul au the city........

  • @likevideos1178
    @likevideos1178 Рік тому

    Kabla hujaleta sehemu ya pili utuletee mahari sehemu ya mwisho

  • @user-fm7kp2qe6x
    @user-fm7kp2qe6x 6 місяців тому

    Nzuri

  • @maximilianmganga3140
    @maximilianmganga3140 Рік тому

    Hongera Sana

  • @mariamagenda149
    @mariamagenda149 Рік тому

    Ahaaa ndo mke wangu jamn