NGONDO Sehemu ya Kwanza
Вставка
- Опубліковано 18 лют 2023
- Filamu hii inasimulia maisha ya mzee anaejulikana kwa jina la Mzee MBINGA,ni mzee mwenye misimamo katika maamuzi yake,kijana Dondora anaingia katika 18 za mzee huyo baada ya kutaka kumjaribu kwa kumuacha mkewe hatima yake anatambua kwamba mzee hataniwi...!!! Endelea kufuatilia Mkasa huu wa NGONDO
MAONI/MATANGAZO Tupigie
+255769000762
+255763308787 - Розваги
Madebe mm nakukubali sana bro ata usipotoa movie mwakaa mzima lkn ukija unakuja na kitu kikali sana kweli unafanya kazi zuri sana bro jamane like zenu kwa madebe
Tambua Kuna mungu, serikali alafu Kuna Mimi nani imembamba hii gonga like hapa. Next plz
Nakupenda tu sana madebe kwa ushauri wako
Hongerah Madebe Hua napenda filamu zako Zina mafunzo sana....🥰🥰🥰💕...nakutazama nikiwa Qatar
Sijui niseme Nini kuhusu Madebe na wenzio.Mungu awajazie mema. Asanteni🙏.good job Madebe❤️
Ongera sana madebe akika wewe ni mwalimu sana uwa najifunza mengi sana kupitia move zako❤❤❤❤ ni bora ilizi kupotea kuliko mganga kufa Mungu akujalie sana wewe noma🎉🎉
Madebe my favorite Swahili actor. Napenda hekima yako na misemo katika uigizaji.
Ngondo ni neno la kimwela lenye mahana ya UGOMVI thanks you my brother madebe lidai
Hapana sio wamwelatu hata watanga wanatumia hilo
Madebe Lidai my favourite guy. I really like your thoughtful minds. Following from Nakuru Kenya
Asante sana baba ,kusikiya shauri,kwanza Léo mimi ni miongoni wa ma fans wenu ,Nina shukuru sana n'a iyi filamu,inaualisiya kabisa 100% kidini , shukrani kwa kutokufuru katika filamu iyi
Am in love 💕😘 na kila filamu yako kakangu. Wishing you all the BEST 🎉🎉 ,Mungu azidi kukuongeza busara kwa talanta hii
Hahahahah kweli ukiiona milima usiibebe ila kazi yake ni kuipanda. Best actor #madebe lidai. Sehemu ya pili please
NO ONE LIKE YOU MADEBE .....LIDAI KAZI NZURI KILA WA WAKATI🙏🙏🙏
For me, you are the best actor in the country, bring us the second iron brother
Ndioo ndioo Lidai...Salute mbili ya left na ya right...Full Respect 🤝👏
Madebe mie nakukubar cku zote kaka angu...mungu awe nawe wakat wote👏🌺
Hakika nimeielewa sana big up Mr Madebe Lidai.
I salute you brother, Allah akupe umri uzidi kuhamasisha walimwengu🤲✌️
Santhaaa madebe mungu akupee umrii Mrefu inshallah
Kiukweli ,madebe naku kubali kabisa kwa mafundisho Yako Mazuri sana, yanayo jenga jamii na ulimwangu mzima, asante sana, mimi ni mkongo, nikipata neema yakufika tanzania nitakutafuta.
This is the best movie please add more episodes
Kazi nzuri mtani, sema upunguze kuwasema wayao mjinga ww
Iigwe ingwee madebe nini Bana poa pia Acha niwe n subra kusubiri sehemu y pili inshallah 🤲🤲🤲
masha alla masha allah masha allah . mungu azidi wabariki na kuwapa maarifa zadi .tuzidi kupata elimu kupitia ninyiii💖💖💖
Madebe tunajitahid kukufuatilia movie zako ila unatushangaz unapotoa movie humalizii unaleta mwengine naomba nikuulize kwann unafanya hivyo
Tungeomba uwe unazimaliza mpka mwisho alafu utuletee nyengine sio tunaangalia nusu hatujui mwisho wake tunaanza tena mpya haipendez kak hututendei haki sisi mashabik wako tunaokufatilia kila cku
basi nadhana asha ona ombi letu,bila shaka atalishugulikia
Movie gani hajamalza🤷...juu mm kwangu zinaisha, ama wataka aandike mwisho
@@apynesnzisa5045 hpn ila ttz uwelewi imavyo isha
@@totmohammedtotmohammed2982 poa
I salute to you mr madebe, coz unanipanga ki hakili kk, go ahead broo
Lik from DR Congo 🇨🇩
daah kweli mjomba ni mama madebe huna baya wee piga kazi tu mungu akupe umri mrefu wenye mafanikio,🙏🙏🙏
Kazi safi madebe muendelezo uje haraka 🔥
Mbn movie zt kamilizia au mlitakaje jmn muandikiwe kabisa imeisha hayo mamb km ya darasa la 2 D
👍kazi safi kaka mkubwa.. umefurahishq sana na mkeo mjomba ni mama tu
Nakukubali Sana madebe kazi zako nzuri sana
miziki inayowekwaga kwenye movie za madebe naipenda sana msanii mzuri anajua kuimba
Nakubali Sana madebe lidai ,, love from Kenya ,, Tanga korongwe ndo ujombani
Muv zako madebebni nzuri sana na kipaji kipo tatizoo humalizi stor unaanzisha zingine utatupotez shabik zako maan unatuonjesha then unatulia Tena ,,,
Kama mpaka sasa huwelewi move ya mahali ilishia wapi piga like
Mahali iliisha madebe akamuua mke wake
ili nibidi nihanze na like before watching the movie 😍
Madebe hebu sikiliza kero zetu na utatue ww ni muigizaji mzuri Sana Tena ni mtu unayeanza vizuri lakini mwisho unatuweka njia panda kifupi humalizi move hivyo maliza move bhana tuna kupa big up
Pata peps baridi💪
Huyo anaeimbaga nyimbo za baking ground kwenye movie za madebe bonge la mwandishi, akiamua kuimba nyimbo zetu za bongo flava atafika mbali sana
Huwa najifunza mengi kupitia movie zako. Ila tatizo unachukua muda sana kuendelea au unaachiaga njiani
Anakuosea sana mke wako uncle Nampa pole sabb shemeji wamekaa kama hekima mjomba ni mama
MADEBE LIDAI ❤❤❤❤❤
Kazi nzuri
Kweli madebe unatuacha njiapanda Sana movie umalizi mbilini nayo aujamaliza Yani dah unapunguza utamu🥺
Kazi iko njema sana hii
Ngondo ni neno la kibantu linalotumika ukanda wa kusini mwa Tanzania lenye maana 'Balaa'
Hunaga kazi mbovu ila humalizage movies 🎥 kuwa unatuacha njia panda 🐼
hongera kwa kozi mzuri
Unanikoseaa sanaa mke wanguu 🤣😅😂 madebe
Umepindaa sanaa wee
Mwalimu wangu 🥰🙏 mjomba ni mama
Nzur sana inamafunzo yakutosha ♥️
safi sana walaji tumefurahia chakula kitam
Kazi nzuri. Shukran sana kwa subscribers wangu kumi. Mzidi kunisupport
Munanikosea pia mm wake zangu🤣🤣🤣😂🙌mahari iko wap🥹
Mashallah very nice
Madebe wewe ni nyoo ala mbwa atari kaka unajua alafu unajua tena mashaallah unatushangaza sana
Waiting
Napenda Na chokiona
nice one blood bro kambulo Paul from south Africa
Nipeni like mwenye utamaduni wake madebe lidai
Tatizo haumalizi move sijui kwann hapa Ile taraka hatujui imeishiaje
Hongeraa sana nabii mswahili ❤
Madebe kiukweri move zako ni mzuri sana Ira atukuerewe Kwa nini umariz mpendwa nini tatizo unatuboa sana Kwa iro mpendwa
Kwa kweli move zako yaelimisha
Mpoooo 🤭 "Hakuna kurudiana rudiana"...Si babangu angekuwa hivi😊
Nakubali huna movie mbovu
We ni #Mkali sana
Wait it from,, 🇧🇷
Kaz nzur kaka
Sina lakusema nampenda hatari babangu Athuman madebe,hivi viziki uniacha hoi mie🥰🥰👌🤣
Jmaa anauliza umeniitaje apo
Nawapenda sana mnafundisha na kiujumla mna hisia
Daah tamu hatariii Safi Sana
Big up my brother
filamu nzuli sana yanai inavutia sana!!
Nice work
Namkubali sana mwamba madebe lidai
kazi imesmama 🔥🔥🔥
Madebe ni Mnyama sana 🙌🙌🙌
Kihuwalisia mimi Huwa siangari hatuwa unazopiga.nnaangalia viatu irivyo vaa.😂🤣💪💪🔥🔥💪💪
😂😂
Ukiona mlima usiubebe maana milima yote duniani inakawaida ya kupandwa @itifaki izingatiwe hapo umetisha sana Mr Mbinga
Ngondo.. imemulika matukio yanayotendeka katika jamii... Funzo hili.
Jamani vp sijaniona
Anaemjua sound track wa madebe anambie.
Nishamaliza kukusifia kaka kilichobaki ni kusubiri burudani kutoka kwako kaka unajua sana
safi saaana konde nikiwa newala mtwara
Mtamu namuona tena😂😂 nimekipenda haka kabint
Asante sana Madebe
Kwani mume si ndio mwenye haki ya talaka na hivyo hivyo kuhu kurejea ni yeye ndo ana amua kurejea au la
Mkwaju iko wap jaman kila siku move mpya zingine hamumalizii
Wakali wa kaz 🔥🔥
Love u from burundi
Daah aisee kal san
Mkwaju aliishia kati acha tuone na hii kazi nzuriii lakin hamalizagi
Hamueleweki na movie zenu
Mwendelezo wa Ngondo tutegemee lini sehemu ya kwanza imemalizika sasa
Hahaha 🤣🤣🤣🤣 mkewanguuu
Kazi nzuri sana
Beat mkaiba la waturuki duuuuuuh 😂😂😂😂😂😂😂😂 Zalim Instanbul au the city........
Kabla hujaleta sehemu ya pili utuletee mahari sehemu ya mwisho
Nzuri
Hongera Sana
Ahaaa ndo mke wangu jamn