NGONDO Sehemu ya Pili

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Filamu hii inasimulia maisha ya mzee anaejulikana kwa jina la Mzee MBINGA,ni mzee mwenye misimamo katika maamuzi yake,kijana Dondora anaingia katika 18 za mzee huyo baada ya kutaka kumjaribu kwa kumuacha mkewe hatima yake anatambua kwamba mzee hataniwi...!!! Endelea kufuatilia Mkasa huu wa NGONDO
    MAONI/MATANGAZO Tupigie
    +255769000762
    +255763308787

КОМЕНТАРІ • 290

  • @leonardadd
    @leonardadd Рік тому +38

    Hata mm nipeeñi like za nabii mswahili,yaani mwalimu wa kiswahili,💓

    • @khalidially4751
      @khalidially4751 Рік тому

      Duuuu huy ndo mabede lidai han utan Yan duuuu so pow

  • @edgartz3367
    @edgartz3367 Рік тому +73

    Kama unamkubari madebe lidai ngonga like apa

  • @daimafikra7045
    @daimafikra7045 Рік тому +23

    Kongele nyingi ziende kwa team nzima ya Madebe Lidai,Allah awaongoze siku zote ya uhai wako. Ila ombi langu kwako MR MADEBE kuwa nae BATANI siku zote kwenye kazi zako

  • @BobMikwara
    @BobMikwara Рік тому +15

    Tanzania itamiss Uwepo wa Huyu jamaa akiondoka.. Zaidi ya Kipaji Mashaallah 🔥🙌🏾Mtamu binti Yake pia yuwaonyesha kitu ambacho wengi hawana.. Madebe Living Legend 🙌🏾

    • @mereyamhomesmariamhomes3464
      @mereyamhomesmariamhomes3464 Рік тому

      Alafu ndio watatoa tuzo

    • @kinjoman4542
      @kinjoman4542 Рік тому

      Hii ndiyo TANZANIA bhana baadhi ya mambo ya ajabu yote ya sana kwa 80% utayapata katika nchi hii - Hata msipompa tuzo fact ipo wazi jamaa anamjua na haipingiki

  • @maquizonlinetv3150
    @maquizonlinetv3150 Рік тому +17

    Nakubali team Madebe naomba like za kutosha

  • @khalididdidd5215
    @khalididdidd5215 Рік тому +20

    Kwa kifupi mwamba hajawahi kukosea miaka yote salute 🙏🇹🇿🌏🧡

  • @githongagenesisgithonga
    @githongagenesisgithonga Рік тому +10

    Mie nimelewa na hii tamthilia kwa kweli ni kali sana inapendeza ,fundisha,eleweka na pia nzuri sana.

  • @shadrachmuatha
    @shadrachmuatha Рік тому +10

    Kazi saafi mpaka inakera madebe keep going

  • @nassoronyumba8092
    @nassoronyumba8092 Рік тому +7

    Kazi nzur..elimu ndan yake

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 Рік тому +8

    Safi Sana madebe lidai kwa kazi mzul tupo pamoja mwazo mwisho

  • @hawasandale5936
    @hawasandale5936 Рік тому +2

    Aisee sijawahi kuona kazi mbovu za madebe na team yake👍 like zenu za pongezi kwa niaba ya team madebe❤️

  • @mandatanamasapata4330
    @mandatanamasapata4330 Рік тому +7

    Creativity on another level madebe lidai anafaa kusomwa shuleni

  • @wardahrajabu8710
    @wardahrajabu8710 Рік тому +3

    Yaani daaah sio pouwa 🔥🔥🔥👌👌

  • @kheriramadhan4603
    @kheriramadhan4603 Рік тому +2

    Kaka Filamu Zako Nzuri Mashaallah 🙏 Allah Akupe Maisha Marefu Ili Tufaidi Matunda Yako Ya Elimu Ya Kujitambua Zaidi

  • @hbmutevu
    @hbmutevu Рік тому +17

    One of the best actor alive....

  • @stivinikitumbo3388
    @stivinikitumbo3388 Рік тому +5

    Nakukubali sana kaka Madebe, Ubarikiwe sana kwa kazi zako nzuri

  • @SelemanShole
    @SelemanShole 3 дні тому

    Nakubali kazi zako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kinjoman4542
    @kinjoman4542 Рік тому +2

    Nabii hongera kwa kazi nzuri unazotuletea tupo nyuma yako 🔥🔥 wasanii wa brich watasubur sana kwenye movie zako💪

  • @user-oi2qc7gr2d
    @user-oi2qc7gr2d Рік тому

    Filam nzuri sana,hongereni❤❤

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Рік тому +1

    Mziki mzuri sana ngondo ngondo

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Рік тому +1

    Safi sana mnaigiza maisha halisi ya waswahili poa sana hii wameshindwa waki Jb

  • @musaluvembe9090
    @musaluvembe9090 Рік тому +1

    Nimekupenda Sana madebe,yani jinsi unavyo nifanyia movie zako,hunipa sana elmu,💕💕💕

  • @stephenmutwiri-9256
    @stephenmutwiri-9256 Рік тому +2

    Kwa mpigo like you sir maina from kenya

  • @ramadhanihassani1617
    @ramadhanihassani1617 Рік тому +3

    Ahsante sana kwa kazi nzuri. Allah akujaalie maisha marefu. Best actor #madebe_lidai . Sehemu ya tatu plz

  • @aminakatana8721
    @aminakatana8721 10 місяців тому

    Walahi nakupenda bure ❤ nabii mswahili salut sana kwako

  • @da45king
    @da45king Рік тому +5

    Kazi nzuri sana, Nimekuwa nikicheka toka mwanzo wa Episode ya 1 mpaka sasa.
    shemeji ni mke wangu tu.😂😂

  • @salum-u5m
    @salum-u5m 4 дні тому

    kaka madebe naitaji sapoti yako mimi pia napenda sana kazi ya sanaa

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 Рік тому +1

    Hongera Sana Kwa kazi nzuri

  • @AaAa-tb2zw
    @AaAa-tb2zw Рік тому +3

    Hongerah bwana Madebe kwa kazi nzuri 🥰🥰💕,,naendelea kujifunza mengi

  • @mulamboinnocent
    @mulamboinnocent Рік тому +3

    Tunamukabali sana

  • @yohanaedward-9093
    @yohanaedward-9093 Рік тому +3

    Naisubili.

  • @milungaapeshijerome
    @milungaapeshijerome Рік тому +2

    mm sio ku mkubali tu nakumsamini kwenye hushauri wa maisha wangu🙏🔥🙌👈

  • @SelemanShole
    @SelemanShole 3 дні тому

    Uko vzr kaka madebe pga kazi unaeza

  • @kasembeyujini
    @kasembeyujini Рік тому

    Daaah respect debe tz one

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Рік тому +4

    Mashallah kaka madebe

  • @Yanga_sc_30
    @Yanga_sc_30 Рік тому +2

    Uyu mtoto wa madebe mashaallah pic kali kweli kweli😍😘

  • @assalamtv8820
    @assalamtv8820 Рік тому +4

    Chakula kwakweli nikitam sana weka sahani nyengne

  • @sinjetz9704
    @sinjetz9704 Рік тому +3

    KWERII HII NGONDO

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 Рік тому +2

    Hii ni kali sana, ila jina analotumia batani humu sijalipenda (GOVI)

  • @JosephNyangasa-cf6xy
    @JosephNyangasa-cf6xy Рік тому

    Respect mwamba wa kiswahili

  • @sadikisalumu7965
    @sadikisalumu7965 Рік тому +8

    Respect!

  • @palatz
    @palatz Рік тому +2

    Nakukubali sana mkubwa madebe lidai unatumia ubunifu na umakini wa hali ya juu kwa sasa mm nakuchulia kama bendela ya taifa🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kharoubngwele-yw3kc
    @kharoubngwele-yw3kc Рік тому +1

    Kazi nzr Ila muendelezo muhimu km MKWAJU & MAHARI

  • @suleimanjembe3493
    @suleimanjembe3493 Рік тому

    super zaidi ya cna

  • @adammaganga485
    @adammaganga485 Рік тому

    umetisha sana mwamba

  • @rehemachedi1869
    @rehemachedi1869 Рік тому +1

    Masha Allah umenifurahisha sana madebe ilve you

  • @barakakigora6502
    @barakakigora6502 Рік тому +6

    Jitahidin kusubsribe ili uwe wa kwanza kuiona, Mambo ni motooooo

    • @kherryndayishimiye2396
      @kherryndayishimiye2396 Рік тому

      tujitahid kufany nin Mm Cjaelea

    • @edgartz3367
      @edgartz3367 Рік тому

      Tufanyeje ?

    • @Manswabu
      @Manswabu Рік тому

      Kusubscribe kwenye button nyekundu apo

    • @Manswabu
      @Manswabu Рік тому +1

      @@kherryndayishimiye2396 subscribe kwenye button nyekundu pale

  • @maryd1538
    @maryd1538 Рік тому

    Ok nakubali madebe❤❤

  • @SULEIMANABDULLA-yf5wm
    @SULEIMANABDULLA-yf5wm 8 місяців тому

    Wonderful lidai

  • @nassoronyumba8092
    @nassoronyumba8092 Рік тому +1

    Dondoraaaa.. Humu sasa swafi.. Mkwaju sio kwel

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому

    Nice Work

  • @ramakimolo125
    @ramakimolo125 Рік тому +1

    Hahahaha et wew ni mke wangu shemeji hapa imekaa kama hekima tu😂😂😂🙌

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 Рік тому +3

    @Madebe
    Nimecheka sana watakuja wakupige wakuuwe unamwita shemeji yako ni mkeo😄😄endelea yatakukuta

  • @allymayoyola4618
    @allymayoyola4618 Рік тому +1

    Daaah hii kwel NGONDO ila ss wandengereleko ndio tunaelewa maana ya NGONDO

  • @ashaabedi7343
    @ashaabedi7343 Рік тому +2

    kaziii mzuli sana ila ombi langu kwenu musiwe munachelewesha jamanii

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Рік тому +1

    Namkubali mia mia yani, movie bila babangu madebe sio movie 🤣👌🥰

  • @hassanmajogo9852
    @hassanmajogo9852 Рік тому +1

    Mimi APA Baba ...nimepapenda Sana hapo

  • @zuu9022
    @zuu9022 Рік тому +1

    Dah madebe movie zako nizakipekee.. nakupenda Bure kaka..Alf mkwaju iliisha ama bdo mm sjaipata

  • @vikkymluyamwenyewe
    @vikkymluyamwenyewe Рік тому +1

    My best actor madebe🧡

  • @zainaboaly530
    @zainaboaly530 Рік тому +7

    Adorei ❤️😍💥🙌

  • @mzurzamzam1877
    @mzurzamzam1877 Рік тому

    📌🌹..NICE NAKUBALLY

  • @Aneduu254
    @Aneduu254 Рік тому +1

    Mboobstic 🙏 movies

  • @ibrahimkulimuki
    @ibrahimkulimuki Рік тому

    Akuna kama ww tz 💕

  • @user-oi2qc7gr2d
    @user-oi2qc7gr2d Рік тому

    Ak mnaijua kazi

  • @danfordnathan
    @danfordnathan Рік тому +3

    Kama unamkubali Madebe Lidai kunga Like 🥰

  • @jamesjameswisdomtz1577
    @jamesjameswisdomtz1577 Рік тому

    Movie Kali Sana kabisa wasinge yasema tusinge fahamu🙏🙏

  • @rivladha8736
    @rivladha8736 Рік тому +1

    hongera brother

  • @allymangogasya8068
    @allymangogasya8068 Рік тому +8

    Respect a tout le groupe de madebe lidai

  • @sofiajonimwenda8766
    @sofiajonimwenda8766 3 місяці тому

    jamaa noma san

  • @youngmzigowabifu7941
    @youngmzigowabifu7941 Рік тому +1

    Na kubali sana toka Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @DatBoyKujo8656
    @DatBoyKujo8656 Рік тому

    Kazi znuri

  • @kasembeyujini
    @kasembeyujini Рік тому

    Duh debe unajua sema kibongobongo wachache sanaaa wenye uelewa

  • @jofreysanga8234
    @jofreysanga8234 Рік тому +2

    Mwanaume mwenzio unamuitwa mwanamke wako🤣🤣🤣🤣🤣💥

  • @twalihamohamedi898
    @twalihamohamedi898 10 місяців тому

    Duuuh hiii kali ya mwaka

  • @roverjumeromar8056
    @roverjumeromar8056 Рік тому

    Napenda sana bro filamu zako mi shabik wako kwa sana paka nahisi Kam naiga mimi kulingana story

  • @mwanaidisaidi9003
    @mwanaidisaidi9003 Рік тому

    Jamani madebe utaniuwa mm😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @mohamedothumanhussein2792
    @mohamedothumanhussein2792 Рік тому +2

    Madebe ndio kioo Cha jamii kwa sasa.hongera Yako kaka

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S Рік тому

    Jitahid madebe mwisho wa hizi series zako ziwe zinaisha vizuri ni mzuri sana kwenye kuandaa story ila kwenye kuzimalizia wewe ni mbovu sana

  • @japhariomari
    @japhariomari Рік тому

    kwa kweli mm kama mm nimependa sanaa

  • @silvafox1519
    @silvafox1519 Рік тому

    Anatupa ladha Hila hamalizii Kaz zake hanatubowa sana

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 Рік тому

    I like the style of act..

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 Рік тому +7

    Congratulations 🎉❤️❤️❤️❤️

  • @user-xl4it5ev3g
    @user-xl4it5ev3g 8 місяців тому

    Mbona sasa mnachanganya miziki na adhana na mawaidha

  • @OmarOmar-ob9tb
    @OmarOmar-ob9tb Рік тому +1

    Lidai ni mmoja 2 nipeni likes zngu wnangu

  • @halimanj8544
    @halimanj8544 Рік тому

    Waaah hongereni jamani tunasubiri part 3

  • @rashidswalehmwanjama3404
    @rashidswalehmwanjama3404 Рік тому +2

    Na hiyo nyengine hadi lini sas

  • @saidikinyombe-3463
    @saidikinyombe-3463 Рік тому

    Makini san

  • @janegati6031
    @janegati6031 Рік тому

    Nakukubali sana madebe nakupenda sana 🥰🥰🥰pamoja sana

  • @evansmasicia6753
    @evansmasicia6753 Рік тому

    Tunakukubali Sana Madebe lidai .. Kenya tuko pamoja

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Рік тому +1

    Kweli hii ngondo🔥🔥🔥🔥

  • @raphaelmkale-mu3zt
    @raphaelmkale-mu3zt Рік тому

    Nice

  • @College254
    @College254 Рік тому

    Team madebe lidai big up xan hamjawai kufel

  • @fevactv
    @fevactv Рік тому

    Daah unamtesa mwenzio kiukweli

  • @stephanojohn2879
    @stephanojohn2879 Рік тому

    Kazi nzuli Sana jamn madebe

  • @kenethndindindi2850
    @kenethndindindi2850 Рік тому

    Ongera madebe kwa kuifundisha jamii

  • @mwinyihajjsalim4405
    @mwinyihajjsalim4405 Рік тому

    Big up sana madebe lidai kazi nzuri sana

  • @zenakambi6207
    @zenakambi6207 Рік тому +6

    Alichoongea madebe ni haki yake maana Mjomba ni mama 😂😂😂

    • @ramakimolo125
      @ramakimolo125 Рік тому

      Nimke kabisa huyu shemeji imekaa hapo kama hekima tu hapo😂😂😂

  • @naftalinathan3798
    @naftalinathan3798 Рік тому

    Madebe yuko vizuri sana mwamba huyohapo

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl 8 місяців тому +1

    Madebe lidai wew ni mjinga sana

  • @calebmangale8186
    @calebmangale8186 Рік тому +1

    Kiufupi yeye mke wangu tu kwanin iko nini😂😂😂😂😂