DR. SULLE | HII NDIO HEKMA YA ALLAH KUMPELEKA NABII MUSSA KULELEWA NA FIRAUNI |

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 67

  • @mwanamkuunguji7742
    @mwanamkuunguji7742 Рік тому +3

    Mashallah.Allah akuongoze utuelimishe zaidi

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 3 роки тому +8

    MA SHA ALLAH
    SHEIKH (DR)SULE MAY ALLAH AZZA WAJJAL PROTECT YOU AND YOUR TEAM ON THE DA’AWAH WORK YOU ARE DOING.
    MAY ALLAH AZZA WAJJAL REWARD YOU AND YOUR TEAM ABUNDANTLY ALLAHUMMA AMEEN.

  • @muddyhamza9606
    @muddyhamza9606 3 роки тому +6

    Dr.sule nakufuatilia Sana 🤝🙏🏼 na najifunza mengi kuhusu uislam

  • @aliabdi5363
    @aliabdi5363 3 роки тому +6

    Mash Allah my brother Dr Sule Mola Akuhifadhi

  • @aliabdi5363
    @aliabdi5363 3 роки тому +6

    Mash Allah ndugu kwenye imani

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Рік тому +2

    Mashaallah 💓💓

  • @supervisormasudi255
    @supervisormasudi255 Рік тому +2

    Yarabi tujaalie mwisho mwema

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me 4 місяці тому

    Jazakallahu khaira

  • @rehemaswalehe6423
    @rehemaswalehe6423 3 роки тому +3

    Nimenufaika sana..alhamdulillah.Allah akulipe inshaallah.

  • @ayshersuleyman2254
    @ayshersuleyman2254 3 роки тому +5

    Asalam aleykum alhaj dk sule na mazinge nawapenda kwa ajili ya Allah na Allah awalinde wapambanaji munaongea bila woga Allah awahifadhi

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 роки тому +4

    الله اكبر

  • @HabibaSwalehe-bx4wr
    @HabibaSwalehe-bx4wr 5 місяців тому

    Dk sulle mungu akulinde sana maana huwa unaelezea historia vizuri hata kama hujasoma utaelewa tuu jazakalah khaira sulle

  • @soudbaraka243
    @soudbaraka243 3 роки тому +3

    Alhaj, mash Allah, alhamdulillah najifunza historia yakiislamu kupitia post zako. Allah Akuhifadhi na usichoke kutuelimixa

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 роки тому +5

    Masha Allah ❤❤❤

  • @showboymondomc3185
    @showboymondomc3185 3 роки тому +2

    Alahu akbar

  • @hamzakalinaki8277
    @hamzakalinaki8277 3 роки тому +3

    My icon in Islamic narratives

  • @abdifarah1152
    @abdifarah1152 3 роки тому +3

    JazzakaAllah kheyr

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 3 роки тому +5

    SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA 🤗🤗🤗

  • @farijalahjuma8912
    @farijalahjuma8912 2 роки тому +1

    Masha Allah

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 роки тому +1

    Mashallah

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 3 роки тому +2

    Shukran

  • @lunyambuzi1387
    @lunyambuzi1387 3 роки тому +2

    Mungu akujalie allahaji Sule

  • @fikirinmukesh6590
    @fikirinmukesh6590 Рік тому

    Allah Akbar

  • @hezronkimani2775
    @hezronkimani2775 6 місяців тому

    Mafudisho masuri sana

  • @yusufjuma3773
    @yusufjuma3773 3 роки тому +1

    Mashaallah

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 3 роки тому +2

    Ewe mwenyezi MUNGU mkuu

  • @salnaimalando1746
    @salnaimalando1746 3 роки тому +1

    Kumbe Mbeya ndomji ulioko juu Duniani mashaall

  • @damedeferndiaye7394
    @damedeferndiaye7394 3 роки тому +1

    Marahba

  • @nsengimanalaurent3933
    @nsengimanalaurent3933 2 роки тому +1

    The source of River Nile is Burundi in southern province called Bururi

  • @georgeachiengrestinpeacebr7215
    @georgeachiengrestinpeacebr7215 8 місяців тому

    QURAN NI KITABU YA MOHAMMED

  • @raibinankusa4972
    @raibinankusa4972 Рік тому

    Allha akuongoze katika mema shehe sule uzidi kutuongoza nasi

  • @vedastusngaiza5960
    @vedastusngaiza5960 Рік тому

    Nakukubali uelewa wako dr.bali la kuongezea ni kuwa mto Nile huanzia mto Kagera ambao ukiwa kwenye mashua mto huonekana wazi maji take kutiririka bila kuchanganyikana na maji mengine ya ziwa.nahisi maji hayo yamto hukutana na shimo linaloibukia Jinja nakufanya Kama chemichemi uliyosema.fuatilia ukweli huu sheh

  • @footballdetailsonly4674
    @footballdetailsonly4674 3 роки тому

    Dr Sulley

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v 8 місяців тому

    ACHENI KUJIFARIJI
    ULE MUNGU ALIYEMUTUMA MUSA KWA FARAO JINA LAKE NI JEHOVAH
    SWALI:: ALLAH ANAITWA JEHOVAH ??

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 5 місяців тому

      Mungu ndo huyo huyo mmoja sisi tunamwita Allah wewe ukipenda mwite Jehovah na wengine wanaita mulungu wengine Jah mwite unavyotaka

    • @user-hw7ce8gf6v
      @user-hw7ce8gf6v 5 місяців тому

      @@fatmaabdallah7709 MUNGU WETU ANAZAA KWA NENO LAKE
      NYIE MUNGU WENU AZAHI NDO MAANA ANASEMA HANA MTOTO
      MUNGU WETU YUKO NA MAJINA 23
      NYIE MUNGU WENU YUKO NA MAJINA 99
      ALLAH NI BABA ???

  • @kamanzicrouch3881
    @kamanzicrouch3881 3 роки тому +1

    Sheikh umejidanganya mtoo nil unaanzia burundi sio Uganda

  • @IbrahimOmar-fv4cu
    @IbrahimOmar-fv4cu 26 днів тому

    Keli*#

  • @sadikisalee1759
    @sadikisalee1759 3 роки тому

    Nani mtemi

  • @africanhistoryforgotten7
    @africanhistoryforgotten7 3 роки тому +2

    Hakuna mtu anaetwa Musa kajenga pyramid alikuweko mtumwa mwalimu you don’t know history

    • @kennedyochieng7935
      @kennedyochieng7935 3 роки тому +1

      African history kuelewa ni jambo la muhimu sana wapi ama nani kasema musa kajenga pyramid una sikio ila husikizi babas

    • @kennedyochieng7935
      @kennedyochieng7935 3 роки тому

      Mwalimu ana simulia vizuri uzao wa musa ulivio kua enzi hizo za pheraoni

    • @africanhistoryforgotten7
      @africanhistoryforgotten7 3 роки тому

      @@kennedyochieng7935 Na hakuna mtu aneitwa Musa

    • @africanhistoryforgotten7
      @africanhistoryforgotten7 3 роки тому

      @@kennedyochieng7935 Hakuna mtu anaeitwa Musa kafanyuwa utumwa na Furaun hizo ni hadisi za wazungu na Charelton Heston yule mzungu walotenganeza movie

  • @voisaclassic9460
    @voisaclassic9460 3 роки тому

    Hii story kwa sisi wakristo inasimulia ni yesu sasa huku mbona anatajwa musa?

    • @kennedyochieng7935
      @kennedyochieng7935 3 роки тому

      Voisa classic elewa Kaka huku soma hata CRE shuleni kapata kuelewa, mwalimu kasimulia vizuri uzao wa nabi musa ulivio kua zama hizo kulikua na changamoto nyingi sana kutokana na utawala wa pheraoni. bada ya tarifa kufikia pharao kutoka kwa watalam wa kienyeji kua kuna mtoto wa kiume ata zaliwa na ataupindua ufalume wa pheraoni ndipo amuri ikatoka katika taifa la misiri kwa jumula kua watoto kuanzia miaka mitatu kurudi chini wakiume wote wauawe na wakuzaliwa vile vile

    • @abedkarume9088
      @abedkarume9088 3 роки тому

      Hahaha

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 роки тому

      Haifanani na story ya yesu.umechanganya sehemu bila shaka😊

    • @ramyramsmkereti8793
      @ramyramsmkereti8793 11 місяців тому

      Kwamba yesu alizaliwa misri au

  • @scanertv7806
    @scanertv7806 Рік тому

    Huyu. Sule hajui lolote kuhusu ukristo ila anajifanya anajua nikushauri kitu wewe sule shika imani yako acha kupotosha wato haujui chochote hata ukiishoma bibilia haujui unachokisoma unaongea ujinga tu wewe soma quran tu

    • @salimumacha
      @salimumacha Рік тому

      muogope mungu ulichokipost utakuja kukikumbuka

  • @babumsiha1573
    @babumsiha1573 Рік тому

    Mashallah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 3 роки тому

    ALLAHU AKBAR