DR. SULLE | KWA NINI KIFO CHA MSALABANI NI KIFO CHA LAANA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • DR. SULLE | KWA NINI KIFO CHA MSALABANI NI KIFO CHA LAANA?
    #Masjid_Mtoro_Online_Tv #DrSulle

КОМЕНТАРІ • 216

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Рік тому +12

    Asante sana kwa mafundisho mazuri sana hamna cha muislm na mkristo tunamwabutu allah sisi wote,tufundishe angalau wengine wetu tuelewe ...from 🇰🇪 kenya

    • @rizikiyahya5254
      @rizikiyahya5254 Рік тому +1

      Unakuja vizuri dada, ongeza utafiti kidogo in shaa Allah utaweza kuelewa zaidi

    • @mussamdoe4619
      @mussamdoe4619 Рік тому +1

      Uko poa sana inshallah mungu akujaalie ulewa zaidi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 20 днів тому

      Hivi allah na Mungu wa Israel ni sawa sawa?

  • @rosemarynkungu8247
    @rosemarynkungu8247 9 місяців тому +2

    Asante kwa mahubirii ubarikiwee sanaa na pia tunakuombeaa umpokee yesu kristo katika maisha yako

    • @sofielove4458
      @sofielove4458 6 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂njoo kwenye dini ya haki

  • @hassandormkeyo4867
    @hassandormkeyo4867 2 роки тому +5

    Mashaallah sheikh SULE Allah akuweke muda mrefu sana

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 Рік тому +1

    Mashaallaah shekhe wetu Allah akuzidishie umri mrefu

  • @musasaanane2758
    @musasaanane2758 3 роки тому +2

    Dr sule nakukubali sana mungu nyumba akutangulie tunaelimishwa sana hakika allah akubaliki daima amina

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Mungu unae mtajua wewe sio Mungu wa Mbinguni, Mungu wa Mbinguni haanzi na herufi ndogo Mungu wa Mbinguni anaanza na herufi kubwa mungu wa herufi ndogo ni shetani ambaye anajiita mungu wa Duniani, jina la Mungu wa Mbinguni nijiba la kuogofya huwezi ukaandika ukalianza na herufi (m,) badala ya (M)

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 9 місяців тому

    Nakukubali sana Alhaji, MUNGU NI WA WOTE WENYE MWILI, tunabaguana tu duniani, ila Mungu anatujua

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr 11 місяців тому

    ManshaAllah sheih wetu Allah akupe afya na umri inshaAllah

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому +3

    Matukio ya Yesu yalikuwa yamepangika vizuri tu ahadi, mimba, kuzaliwa, kutolewa hekaluni, kubatizwa, kufundisha na miujiza, kuteswa, kufa, kuzikwa kaburini; kufufuka, maisha baada ya ufufuko yaani kuwakabidhi mitume kazi, kupaa ,pentekoste kumsubiri arudi tena. Je yuko wapi na anafanya nini mpaka arudi? Anarudi alisahau nini? Piga chura teke tena.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +1

    باركم الله فيكم
    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl

  • @MaryMuigai-zj8fz
    @MaryMuigai-zj8fz 10 місяців тому

    Yesu alisumbiwa Kwa ajili yako upate uzima wa mlele Amen Jina la Bwana lihimidiwe Amina Milele

  • @HakizimanaSalima-sg7cv
    @HakizimanaSalima-sg7cv 10 місяців тому

    Yaaa Allah muifadhi Sheikh wetu naumpe umri mreefu Allahumma Ameen

  • @youngcheed
    @youngcheed Рік тому +1

    Asante Kwa elim 🤲

  • @sospetro
    @sospetro 3 роки тому +2

    Yohana 1:29
    [29]Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!

  • @user-wy6tv5uq5c
    @user-wy6tv5uq5c 10 місяців тому

    Mashallah

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому +4

    QURAN 19:34-Huyo ndio Isa Mwana wa Maryam,Ndiyo kauli ya Haki ambayo wanaifanyia shaka,YOHANA 16:6 Mimi ni njia na uzima,mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Menye kuelewa kaelewa.

  • @KlinoboyBilali
    @KlinoboyBilali 3 місяці тому

    Daaa leo nimejifunza kitu na shukuru sana

  • @user-wf3vy4jt3e
    @user-wf3vy4jt3e 2 роки тому +1

    Allah akulipe pepo insha'Allah 🙏

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 3 роки тому +1

    Allah akujaze hero na salama .

  • @peterkimeu477
    @peterkimeu477 11 місяців тому +3

    Kweli nimeamini bibilia vile imesema kabla ya siku ya mwisho kufika kila mtu atakua amefikiwa na gospel of Christ,sasa shelkh anahubiri gospel

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 20 днів тому

      Kwaani unadhani hajui kwamba biblia ndiyo kitabu kitakatifu?ni ugumu tu wa mioyo yao, ndiyo maana wakitaka kujua uumbaji wa Mungu lazima wasome biblia

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому +2

    Ukifuatia mduara wa maisha ya Yesu yaani nabii Isa huwezi kubabaika na Wagiriki ama wapiga chura teke. Yamejidhihirisha wala si la kuambiwa ila tu Mungu mwenyewe apende kukufunulia sio hizi hekima za kibinadamu " "amewaficha wenye hekima akawafunulia watoto wachanga". Ogopa mtu anayefundishwa namna ya kubishania imani ( siasa dini). Imani ni jambo la kwa neema tu ( utoto mchanga). Hukuwa mwisilam ama mkristo ama mpagani kwa hiari yako! Ni kwa neema tu.

  • @ramadhanmgumba3680
    @ramadhanmgumba3680 3 роки тому +1

    Maasha allah shekh tunakushukuru kwa elim unayotupa japo majina ya kina john na Joseph wanachukia hawatak kuukubal ukwel

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Yohana 17:5
      Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
      Kwanza msichokijua Yesu alikuwepo👆👆👆 hata kabla ya misingi ya Dunia kuwekwa hapo ndipo ambapo waislamu mnachanganyikiwa akili

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Ufunuo wa Yohana 1:7
      Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma; na kabila zote za dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam. Amina. Ufunuo wa Yohana 1:8
      Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.
      Sasa Alfa na omega ni jina la nani ni jina la Mungu mwenyewe na anasema yeye ndiye mwanzo pia mwisho na atakaye Kuja atakaye Kuja Tena ni nani ni Yesu mnaemdharau lakini ashukuriwe Mungu Kwa sababu the day of the and dharau zenu zitawaishia mifukoni Kwa sababu hata mpindishe ukweli kiasi Gani ukweli utabaki ukweli na uongo utabaki uongo tu

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Na hakuna ukweli wowote anaouongea hapo nyie mwaminini lakini siku mkija kugundua kuwa aliwapiga changarawe usoni ndio mtajua Cha kumfanya huyo doctor sule.

  • @user-dc4ts5uf7x
    @user-dc4ts5uf7x 10 місяців тому

    Doctor sure ukweli umeutoa Allah akuwezeshe zaidi kutawanya zaidi haki.

  • @user-wb4xv7lf1h
    @user-wb4xv7lf1h 7 місяців тому

    Narudia tena kama ulivoisoma wagaratia3;13 mi nasema kwa kuwapenda watu wote yesu alikuja ili kukukomboa ww na laana ya torati na Muombe Mungu akupe roho mtakatifu kukufunulia maandiko ipasavyo yesu ni kristo lakn wapo watakuja na kusema wao ndio kristo

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому +5

    Iwapo waislamu watamshika Mtume na Nabii Isa basi hakutakuwa na uislam,katika Shahada amesifiwa sana ndio mana wanaishia Shahada mbili badala ya Zote tatu, QURAN 2:87. Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Isa, mwana wa Mariamu, hoja zilizo waziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu. Basi kila walipo kufikieni Mitume kwa yale ambayo hayapendwi na nafsi zenu, mlijivuna; wengine mkawakanusha, na wengine mkawauwa.Na kwa hakika yeye ni alama ya Saa ya Kiyama. Basi usiitilie shaka, na nifuateni. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.

    • @kingsuleiman7201
      @kingsuleiman7201 3 роки тому +1

      Njia iliyonyoka ndohii dini ya kiislamu pole siyo wewe umekalilishwa hata Mimi nilikuwa hivo😢

    • @mwajumalipumba5273
      @mwajumalipumba5273 Рік тому

      @@mwemeziernestmwemeziernest9085 Nyinyi wakristo mmeaminishwa kwamba majini ni mashetani, hao majini kuna majini wema na majini waovu, hata sisi wenyewe Binadamu kuna Binadamu wema na waovu

    • @ismailkipira6632
      @ismailkipira6632 Рік тому +1

      Hakuna dini inayoitwa kristo....Kristo ni Mungu wa kigiriki.....Tatizo lenu hao viongozi wenu hawasemi ukweli ili mjitambue....Kazi yenu kwenda tu na kurudi so tulia wacha dawa IWAINGIA😂

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 Рік тому

      @@mwemeziernestmwemeziernest9085 Sawaa Asantee Kwa kutuita wachawi ubarikiwee 🙏

    • @nabiimgongolwa8728
      @nabiimgongolwa8728 8 місяців тому

      MIMI NI MWAFRIKA WALA SIJAKARIRISHWA, NIMESOMA QUR'AN NA INJILI ....VYOTE NI VITABU VYA MWENYEZI MUNGU MAZYRI YA QUR'AN NIMEYACHUKUA NA YA INJILI MAZURI NIMEYACHUKUA. WALIOZILETA HIZI DINI MBILI WOTE HAWAKUWA NA NIA NZURI NA WAAFRIKA. CHUKULIA LEO TUSINGEKUWA TUMEPATA UHURU ...YAANI WANGEKUWA BADO WANATUTAWALA HATA HIZO DINI ZINGEONEKANA KANDAMIZI. SHIKA AMRI KUMI NA NGUZO TANO ZA UISLAAM FULLSTOP MENGINE YOTE NI STORY TU. MALUMBANO NI UPUUZI, MARA ETI YESU HAKUFA MSALABANI, MARA ETI WAISLAAMU WANAFUGA MAJINI EBO .....UPUUUZI MTUPU. TUFUATE MANABII WALIVYOTUFUNDISHA ACHENI KUWADANGANYA WAUMINI NA HIZO NJAA ZENU...

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Рік тому +1

    Wakristo waliooueneza Ukristo hawakutumia mitandao,lakini wameushinds Ulimwengu na walimwengu hawawezi kamwe kuushinda ukristu

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 3 роки тому

    Maashaallah Allah awape nguvu zaid za kuilingania dini ya haki....

  • @andrewsam364
    @andrewsam364 3 роки тому +1

    Kuna namna nyingi zakutafsiri maandiko.unaweza kuliacha andiko lijitafsiri lenyewe au unaweza kulifanya andiko lisadifu kile unachokitaka.kher asomae nakuelewa.nabila roho mtakatifu huwez kuelewa maandiko

  • @mohamedsembe2898
    @mohamedsembe2898 3 роки тому

    Mashaallah

  • @JonasAmisiheradi
    @JonasAmisiheradi 6 місяців тому

    Macha Allah tuna tosheka

  • @filbertfumbuka1075
    @filbertfumbuka1075 9 місяців тому

    Jitahidi sana, maana ukiwa mwongo mzuri, uwe na kumbukumbu na yale uliyoyasema.
    Umetoka kusema yesu si kristo, halafu umesoma mwenyewe "na yesu kriso uliyemtuma"!! Yn 17:3
    Andiko hilo limedanganya pia?
    Fjndixha uislamu uliouzoa, huku umejichanga sana.
    Ku

  • @munzazievoge3968
    @munzazievoge3968 3 роки тому

    Napenda mafundisho yako dr.sulle.unachambua bibilia vizuri.

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Unajua kama Mimi siijui Qurani hata mtu akinifafanulia uongo nitajua kuwa ni mtaalamu wa Quruani Sasa ndio wewe huijui biblia na tafsiri zake na mafumbo yake ndio sababu unamuona doctor sule yupo vizuri, lakini napenda kukujulisha kuwa doctor sule haijui biblia hata nukta Mimi naona Kwa hicho langu la rohoni doctor sule biblia haijui kabisa naona ananilisha makande yasiyo na kazi yoyote mwilini, labda ni mtaalamu wa Quruani lakini sio biblia, biblia awaachie wenye uwezo wa kuidadafua.

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому

    Usidanganye watu Dr.,wakristo wapo na Quran inatambua kuwa kiongozi wao ni Mtume na Nabii Isa,SURAT ALBAQARA 2:62
    Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.

  • @mganyizimarcoenock3856
    @mganyizimarcoenock3856 Рік тому

    Kila mmoja abaki na imani yke tu maana Dini na maandiko ni vipana sana ukisema unasoma bila kuumiza kichwa ni kumkufuru mungu

  • @user-pb5ui3hb6o
    @user-pb5ui3hb6o 11 місяців тому

    Nashukuru Mungu nimepata elimu juu ya naabii issa alysalm ,ssa nimejua imani ya kweli .

  • @huseinmwandwani1909
    @huseinmwandwani1909 Рік тому +1

    Sulle Biblia unaisoma kama gazeti la Nipashe ili Kusoma Biblia ni suala lingine na kuielewa ni suala lingine

  • @bertrandig1590
    @bertrandig1590 2 роки тому

    Wewe ndugu yangu mkristo rudi kwa Mola wako nauombe msamah ivi mwana wa Mungu ataweza kusulubiwa na kuvikwa ka cupi yani akafulamia dunia nzima kweeeli??Subhanallaaaah!!Allah awaongoze.

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Mungu akusamehe Kwa sababu tu umenyimwa macho ya roho unamacho ya kawaida sana, tatizo lako ni Moja tu hujaujua upendo wa Mungu Kwa mwanadamu laiti ungepewa filamu ya upendo wa Mungu Kwa mwanadamu usingethubutu kuropoka hayo unayo ropoka, na tatizo hujui kwamba mama Yako wa kwanza alipomkosea Mungu na kudanganya na shetani adhabu yake ilikuwa ni kifo Cha milele inamaana huenda hata wewe Leo unaeropoka hayo maneno usingekuwepo kabisa historia Yako ingeishia Kwa wazazi wako wa kwanza lakini Mungu akaona kwanini mwangu aangamie milele basi ngoja nishuke Mimi katika umbo la kibinadamu nife badala yake Kwa hiyo Mungu akaamua kubeba adhabu Yako Ili wewe usife kifo Cha milele lakini Bado waislamu hamlitambui Hilo hakika nimeamini kweli mnalishwa matango pori Mungu awasamehe Kwa sababu hamjui mlitendalo.

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Wewe ndio utubu Kwa sababu siku ukijua Nini maana ya kifo Cha Yesu utalia machozi ya damu na hayatakusaidia kitu maana utakuwa umechelewa

  • @jannffer
    @jannffer Місяць тому

    Alafu utuambie yashua meshiah akija atakuja kufanya nini na issa akirudi atakuja kufanya nini tuambie mtu wa mungu

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому +1

    YESU ALIULIZWA LINI NYUMBA TAKATIFU ITAVUNJWA,NYUMBA HIYO NI HEKALU LA WAISRAEL NA BAADA YA WAHARIBIFU KUVUNJA HEKALU WAKAJENGA MSIKITI,KILICHOVUNJWA NI HEKALU SIO MSIKITI MBONA KUELEWA HAKUHITAJI UDANGANYWE KWAMBA BAADA YA KUVUNJWA HEKALU WAHARIBIFU WAKAJENGA MSIKITI

  • @joshuamtinangi6958
    @joshuamtinangi6958 Рік тому

    Katika kitu Mwanadamu anaogopa ni kifo.
    Hakizoeleki.
    Mungu alileta gharika na kuwaangamiza Wanadamu kwa sababu ya dhambi zao.
    Baadaye dhambi ziliendelea.
    Mungu aliamua Nabii wake afe na kufufuka ambaye hakutenda dhambi ili Mwanadamu apate kuamini.
    Mwanadamu hadi leo anatafakari na kustaajabu na kuamini.

  • @lucyiraq4402
    @lucyiraq4402 3 роки тому

    Amen 🙏

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 8 місяців тому

    MIMI NI MWIISLAAM LAKINI YESU NAMPENDA SAAAAAAANA NA MUHAMMAD NAMPENDA SAAAAAAANA MALUMBANO YA KUWADHALIKISHA MANABII NI UJINGA.

  • @longinuskomba9887
    @longinuskomba9887 3 місяці тому +1

    Dr. Nikusaidie kitu, wanasali misikitini ni WAYAHUDI na WAISLAM, na YESU KRISTO hakuswali Msikiti wa Kiislam bali alisali Msikiti wa Kiyahudi..! YESU KRISTO alifundishwa TORATI, Co Quran..! Pia kuna mistari unakubali YESU ni KRISTO baadae unakana tena😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @safarisafari7388
    @safarisafari7388 Рік тому +2

    Hawa dugu zetu wanasema yesu simuislamu,sawa mbona basi yale aliofanya yesu hao hawafati mpaka waislamu ndio wana mfata ?yesu wanamjua lakini hawamfati....nawakimfata yale ambayo yesu alifanya hahaa watafanya vitendo vya waislamu

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому +1

    Inamaana Uisilam ulikuwepo toka enzi ya nabii Isa? Mbona Isa hakuitumia Quran kama ilikuwepo? Je injili zote 4 ziliandikwa na Isa? Vipi Injil na Zaburi hazitumiki ktk maisha ya uisilam? Hekalu maana yake msikiti? Sinagogi je? Yesu aliacha dini ipi? Kwanini alibatizwa na Yohane Mbatizaji lakini akiwapa maagizo wafuasi wake wabatize tofauti na Yohana?

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Pole sana ulitaka yesu yatumie quran tarizo kubishana bure

  • @rebecca-nj6wl
    @rebecca-nj6wl 10 місяців тому

    Mimi na kiri kwamba yesu ndie kristo, soma MATHAYO 26 :62-64 yesu mwenyewe akiri kwamba yeye ndie kristo ndio makuhani wa wakapata sababu kubwa zaidi ya kumwua wakisema ya kwamba amekufuru akijiita kuwa yeye ni Mungu hii inatudhihirishia wazi walimwuua maana hawakutaka kuamini kuwa yesu ni Mungu na

  • @sospetro
    @sospetro 3 роки тому

    2 Yohana 1:7
    [7]Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani, wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili. Huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga Kristo.

  • @allykivike6958
    @allykivike6958 Рік тому

    Nakuelewa.

  • @joshuaibrahim6691
    @joshuaibrahim6691 2 роки тому +1

    Sulle hapa umejikanyanga hadi aibu,kuhusu hekalu hujui,kufa nakufufuka kisha kupaa kwa YESU kwenda mbinguni huwezi lazima ukwepe maana kufanakufufuka kwa YESU nipigo kubwa kwa mashetani na niukombozi wa mwanadam kwakila amwaminiye .utaloloma mengi lakini kwenye kufa kwa YESU msalabani kisha kufufuka na kisha kupaa mbinguni lazima shetani uduwawe!!

  • @centecoronel3151
    @centecoronel3151 2 роки тому

    Wengi watakuja na kusema:mimi ndie kristo.
    Apa bwana yesu anasema hao ndo watajitambulisha kwamba ndie kristo,yesu ajakataa kwamba sie kristo.
    Kwanfano:mtoto wangu alikuja na akasema:mimi najua kuimba.
    Apa mtoto anasema kwamba anajua kuimba na asema kwamba baba yake anajua kuimba,kama angemsema baba yake ingekuwa ivi:mtoto wangu amekuja na kusema:baba yangu anajua kuimba

  • @sospetro
    @sospetro 3 роки тому

    1 Yohana 2:4,22
    [4]Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake.
    [22]Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Ndio yule asie mfwata yesu kuwa muislam ana jidanganya sio kuyimba awu kutowa mapepo

  • @khadijalewish4514
    @khadijalewish4514 3 роки тому

    isaa ndiye yuaja wa mwisho,, kila dini linalokubali mungu litapata uzima lakini wanaompinga kristo ni wengi mungu ni mmoja tu,,,,watuwaije abudu binadamu mwabududu mungu na msimpinge kwa maana hukumu ni kwake tu soyo ukristo au uslamu ni roho inayosema ukweli

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 4 місяці тому

    Yes alifanyika laana ndipo akachukuwa laana xetu pamoja na maovu yetu yote ili tuwe huru ndiposa tunaona baada ya siku tatu alifufuka kutoka kwa wafu c kaa Muhammad aliyeliwa na mbwa na Mambo ake yakaishiwa hapo

    • @khalidmyaule6187
      @khalidmyaule6187 5 днів тому

      Kama umesamehewa zambi unaenda kufanya nini kanisani.
      Zambi ya asili ni kuzaa kwa kwa uchungu na kutafuta kwa jasho .
      Leo wewe uliza kwa mzazi yeyote kama alizaa huku akiwa ame relux.

  • @Junior-rl2hj
    @Junior-rl2hj 3 роки тому

    Nakuaminisana shekh

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому

    Msalaba ni kifo cha laana na ndio maana laana zikabebwa kwa njia ya kujitolea kufa msalabani. Labda useme nani wale 3 waliosulubishwa pamoja na maneno yote ya msalabani yalitolewa na nani. Hongera kwa kumpiga chura teke kumbe unamsogeza bwawani. Chambueni bibilia kila siku. Mnawakumbusha wenzeni.

  • @vailethmarack374
    @vailethmarack374 2 роки тому

    Ujaelewa kwa Nini Yesu alimjibu vile Sasa Yesu ni uzao wa Ibrahim na Mungu, anamwambia Ibrahim kupitia wewe mataifa yote watabalikiwa. Sasa wewe Ni mtu unapotosha mada usizo jua Sasa Soma pia ufunuo 17:1-10 ufundishwe alafu acha kuwadanganya kwamba hekalu Ni msikiti wa Al akisa utaungua wewe na wanao kufuata wewe

  • @sospetro
    @sospetro 3 роки тому

    Luka 9:20-22
    [20]Akawaambia, Nanyi mwasema ya kwamba mimi ni nani? Petro akamjibu akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.
    [21]Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;
    [22]akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi, na kukataliwa na wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa na siku ya tatu kufufuka.

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Kristo wa mungu awu kristo wa mariyam(issa bni mariyam) awu kuna issa na yesu?

    • @sospetro
      @sospetro 3 роки тому

      @@hassanimouigni6648 wakristo twamuita YESU waislamu wanamuita issa hayo maaniko yapo hivyo hivyo kwenye biblia in kristo wa mungu ukitafuta biblia ukasoma mwenyewe itakusaidia

    • @sospetro
      @sospetro 3 роки тому

      @@hassanimouigni6648 Mathayo 1:16
      [16]Yakobo akamzaa Yusufu mumewe Mariamu aliyemzaa YESU aitwaye Kristo.

  • @jannffer
    @jannffer Місяць тому

    Kuna kitu ningeomba utufunze kuhusu issa mwenye alizaliwa mecca na.yesu mwenye.alizaliwa bethlehem

  • @GloryKashililika
    @GloryKashililika 4 місяці тому

    Kaa mbali na iman za watu tafadhari

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому +1

    Unajua kwa nini Wakristo hawajiusishi na kuihibiri ama kuikosoa Quran? Hawampigi chura teke.

  • @ngwarutomohammed
    @ngwarutomohammed 3 роки тому +2

    wacha kusema usioyajua hauelewi hata ad[after death of christ]sasa wasema alitushauri akiwa amekufa

    • @suberasubera641
      @suberasubera641 3 роки тому

      Jifunze tenauwe makini hayowachungaji huwa awakusomeeni kazikuku danganyenitu

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Kama dok sule hajui anajua nani? ubishi hakuwezini mafundisho hamumwezi anasema ukweli

  • @bensonlangat640
    @bensonlangat640 3 роки тому

    As long as you refute the dead of our Jesus Christ,then you are unable to know the meaning of his death, but I urge you to understand Qur'an first couse Qur'an is directing to seek more knowledge from christians.

  • @RukiaevaKisali
    @RukiaevaKisali 10 місяців тому

    Yaan Mimi sku haiezi Isha nsisikie mafundisho ya huyu mtu maana nmejifunza mengi

  • @evamushi5256
    @evamushi5256 Рік тому +1

    She umenibariki sana kweli unauwezo mkubwa mno wa kufundisha.

  • @SimonMmbwanga-pc2gg
    @SimonMmbwanga-pc2gg Рік тому

    Mafundisha mazuri sana

  • @user-wb4xv7lf1h
    @user-wb4xv7lf1h 7 місяців тому

    Ni kwel yesu alipokufa hekalu takatifu lilipasuka?nchi yote ilitiwa giza na unaamini yesu alifufuka na kupaa mbinguni kama unaamini unao uzima tena uzima telee huyu ndiye pekee anayeogopwa na shetan sasa kama unamwamin yesu aminii no one like jesus na hakuna atakaye mwona Mungu pasipo kupitia yesu

  • @raymondsaliboko8435
    @raymondsaliboko8435 Рік тому

    Yesu na muhamadi nani atamfufua mwenzie siku ya ukumu?

  • @raymondsaliboko8435
    @raymondsaliboko8435 Рік тому

    Shehe mm sikielewi yesu mbona kwenye misikitini hampi heshima kama muhamadi,nauku unakili kua yesu ni zaizi ya muhamadi?

  • @hazinaluluconfidence6676
    @hazinaluluconfidence6676 Рік тому

    Msalaba maana yake ni mateso na si kwamba yesu achorwe kwenye msalaba watu wavae ndiyo ibada ya kweli si kweli .yesu ni roho na si sanamu msalabani.shetani ndiyo anatumia msalaba,

  • @ismailkipira6632
    @ismailkipira6632 Рік тому +1

    Wakristo lazima wapanic HAPA😂

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 3 роки тому

    Mpakambingu na nchini zitakapo ondoka yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka mathayo5:17-18 hizo mbwebwe unapoteza Muda njoo ubatizwe,

  • @DifaRobelindo-cj2ij
    @DifaRobelindo-cj2ij 11 місяців тому

    Yani biblia bado aujaelea vizur

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 Рік тому

    Kwani huyu ni pastor?

  • @sophiaharidi4672
    @sophiaharidi4672 3 роки тому +5

    Waelimishe shekhe wetu japo niwagumu kuelewa hawa akinajakobo

  • @stivinikilua5182
    @stivinikilua5182 Рік тому

    Iko Siku utajua yesu ninan wala hana haraka na mwanadamu maana mdomo hauna pazia ila kumbuka tumekombolewa kwa dam ya yesu

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 роки тому

    Eti maandiko ya kiswahili kuyajua mpaka uwe na roho mtaka tifu kweli kazi kubwa sana uzima wa milele kuupata kazi kweli

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Рік тому

    Zaman ilikuwa Kosa Kwa muislam kusema YESU Sasa ata apo wamefikia ni pazuri tu praise God 👏

    • @SharifaMpendu-pq7br
      @SharifaMpendu-pq7br Рік тому

      Kumbuka anayosoma hapo ni biblia anaichambua na sio Quran, Uislam unamtambua Yesu kama nabii Issa, na tunakubali kama Yesu (nabii Issa) ni mtukufu wa mwenyezi mungu. Muislamu kusema Yesu sio dhambi sio kosa

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому

    Kufa na kufufuka kwa Yesu au Nabii Isa huwa kuna fichwa na Wahubiri wa kiislam ila Quran inaeleza vizur,muislam yeyote asome Surah Imran 3:55 pamoja na 5:117 na katika Quran kwanza hata haijitambui Issa ni Nabii ama mtu,Soma Hadith 3435.

    • @selemanmakau5967
      @selemanmakau5967 3 роки тому

      Isa ni mtu alizaliwa na Mariam,alinyonya alikula alikunya,nata alitahiliwa,sasa awe mungu kwa sifa hizo?

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 20 днів тому

      ​Uliwahi kusikia bikira amezaa mbali na Mariam@@selemanmakau5967

  • @jannffer
    @jannffer Місяць тому

    Alafu jina kamili la yesu ni yashua messiah sio issa

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому

    Hilo hekalu lingekuwa takatifu wangechezea kamari humo? Yesu alipindua meza kwa hasira akaSema " meifanya nyumbabya Baba Yangu kuwa pango la wezi". Utakatifu wa hekalu ulikwishne

  • @pascaljoshua8879
    @pascaljoshua8879 2 роки тому

    Mapepo ni viumbe vilivyolaaniwa na Mungu ,vipo wewe mpotoshaji unasema kuwa mapepo walishilikisha kujenga nyumba ya Mungu?

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому

    Huwezi kutaja kupaa Yesu ukasahau petekoste. Hebu piga tena chura teke katika pentekoste. Maana kupaa kulifuatiwa na tukio la petekoste.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 роки тому +3

    Kuhusu umungu wa Yesu yeye mwenyewe alijita mwana na hata alisubutu kusema huwezi kujua Baba bila kumjua Mwana na Mfuasi akamuuliza kila mara unataja Baba hebu tuoneshe baba na alimjibuje? Piga chura teke. "Mambo hayo amewaficha wenye hekima akawafunulia watoto wachanga". Wenye hekima pigeni chura mateke mengi watoto wachanga tunaufaidi! Endeleeni kutujuza ndivyo sivyo ili tujikumbushe kupitia mazaifa ya wenye hekima.

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Hapigi teke anakupeni ukweli bado uko kwenye usingizi mtoto wa maryam mungu mtoto wamungu kuna mpya tena ye ndio dini mafundisho ya ndugu yako ndasha

    • @fadhirsaidi5490
      @fadhirsaidi5490 2 роки тому

      Asee ama kweli sikio lakufa halisikii dawa loh

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому

    Hadith 3435

  • @omaar5693
    @omaar5693 3 роки тому +1

    9:43 acha wafe na chuki zao,, sisi tunatosha,,,

  • @omaebarongo1892
    @omaebarongo1892 3 роки тому

    Si wewe uko na makosa ila kilicho ndani yako ndio makosa, pia ni amri ya uislamu kukataa Bwana Yesu Kristo kuwa yeye so Mungu wala mtoto wa Mungu maana mkifanya hivyo ni dhambi kwa imani ya kisilamu, yesu ni Kristo, ni Mwana wa Mwenyezi Mungu, alikuwa kabla Ibrahim kuzaliwa kabla Adam na kabla nabii Musa,, shida yako tu ni kusoma Biblia kama Gagazeti bila ufunuo wowote kabisaaa, u naitaji roho mtakatifu ndio akuongoze kuelewa neno lolote katika Biblia ndugu barikiwa sana

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 3 роки тому

    Yohana. 6:50. 59. Kwenda uwisram.ni kuyaacha .maneno .ya mungu . Acha waisram .wasujudu. Baki na. Yesu. Kusujudu. Hakumpi mtu kibali Cha kusamehewadhambi. Wala .kuingia. Mbinguni. Yohana 8:. 31. 32. 33. Yohana. 14. 6. Yesu ndiye. Mwokozi wa ulimwengu ukitaka. Kumwona mungu mkalibie yesu. Ukitaka kusamehewa.amini.alikufa msalabani.kamailivyoandikwa.

    • @aboubahebura8144
      @aboubahebura8144 3 роки тому

      Sasa wewe na yesu nanizaidi kama yesu alisujudu alafu wewe unakataza watu wasi yafate ya yesu wafate yako yesu alisema yeyeninjia yani inatubidi tujifunze kwake alafu wewe unataka kupotosha ulimwengu inamana njia unayo ifata siyoile alifundisha kwamana alituhusia tujifunze kwake sasa tujifunze nini kamatunayapinga aliyo yatenda angali ndugu yangu

    • @macrinajoseph1422
      @macrinajoseph1422 3 роки тому

      Kusujudu wanakosujudu waisram nimtindo waibada.walionyiwekea.yesu hakuwai kusujudu kwenye.sinagogi na hakunasheria aliyoweka.watu wasujudu. Hizo niibada zenu zilizotungwa na.muhamadi. wakristo.haziwahusu kwani ukristo na uwisram tofauti.kubwa mno kuitwa mwisram nikufuata Sheria za.mwamadi kuitwa.mkristo ni.kufata sheria.za yesu. Kuruani.na..injili miungu. Wawili. Tofauti. Miungu wa kuruani anaushirika na majini. Miungu wa injili. Hana ushirika.na majini kuruani imeruhusu hukumu.mwanadam . Injili haimruhusu mwanadam .kuhukumu

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Dhambi anasamihi mungu sio yesu mwenyewe anataka kusamehewa ata msamihi mtu ana kudanganya nani?

    • @macrinajoseph1422
      @macrinajoseph1422 3 роки тому

      @@hassanimouigni6648 mungu.unamjua.ulimwona wapi? Amino alichosema yesu uwe salama. Yoh:14. 6. Maneno ya yesu yanaishi milele hayatabadilika mpaka kiyama

    • @macrinajoseph1422
      @macrinajoseph1422 3 роки тому

      @@aboubahebura8144 Soma .kitabu chote Cha injili ya yesu . Hukuti yesu akisujudu kwenye Sinagogi. Sisi sii waisram chakula alicho toa. Yesu. Na. Muhamadi. Tofauti. .

  • @dausalim3562
    @dausalim3562 2 роки тому

    Utuelezee siku ya sabato ni nini kwa Sasa.

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 3 роки тому

    Dr.Issa ni Mtume na nabii,huyo ndio Roho ya mwenyezi Mungu kama quran inavyosema katika Hadithi 3435,

    • @lillykhalayi80
      @lillykhalayi80 3 роки тому

      Issa sio roho ya Mungu Bali yy ni tamko litokalo kinywani mwa Mungu...hivyo ndivyo Quran isemavyo

  • @rosemarynkungu8247
    @rosemarynkungu8247 9 місяців тому

    Ndugu yanguu ni heri ukasimama kwenye misingi ya imani yako nafikiri unachochea kupotosha imani za watu Mungu akusaidiee na utubu kwa muumba wako.

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 роки тому

    Eti yesu ni mungu tena mwana wa mungu pia kasulubiwa mmm hata hili lina hitaji roho mtakatifu mungu anaomba subhanallah Allahu Akbar

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Mungu mtoto wa mungu ndasha katoa mpia tena ye ndio dini tena

    • @ngwemafaraja5252
      @ngwemafaraja5252 2 роки тому

      Yohana 17:5
      Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
      Sikiliza wewe huyo Yesu👆👆 unaemdharau alikuwapo hata kabla ya hii Dunia kuumbwa sawa kuzaliwa Kwa mariamu ilikuwa tu ni mpango wa ukombozi Kwa ajili ya kutufikia sisi wanadamu wenye dhambi mariamu alitumiwa tu kama njia ya mwana wa Mungu kutufikia lakini Yesu yupo kabla hata ya Dunia kuumbwa na kabla ya Kuja Duniani aliitwa neno.👇👇👇
      Yohana 1:1
      Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
      Yohana 1:2
      Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
      Yohana 1:3
      Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. 👇👇👇👇
      Yohana 1:14
      Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
      Na atakuja Tena mala ya pili kutuchukua Ili tukaishi nae Mbingu Sasa sijui wewe unaemkataa utaingia Mbingu ya nani wakati unae mkataa na kumdharau ndiye atakaye Kuja mala ya pili kutuchukua👇👇👇👇
      Ufunuo wa Yohana 1:7
      Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma; na kabila zote za dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam. Amina.
      Ufunuo wa Yohana 1:8
      Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.
      Unajua nakuonea huruma sana Kwa sababu unaemdharau ndiye atakaye Kuja mala ya pili kuukomboa ulimwengu Sasa best yangu utaweka wapi sura Yako utakapo ona wenzio wanaokolewa halafu wewe unapotea na dharau zako?

  • @UpendoJoeli
    @UpendoJoeli 11 місяців тому

    😅😅😅😅😅😅

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 3 роки тому

    Aliye laaniwa .msalabani si. Yesu ni mwanadam. Yesu kafa kwa kuzibeba dhambi za mwanadam nalaana . . Ilimwana dam. Asamehewe. Anatakiwa. Akubalikusamehewa kwa. Dam ya yesu. Apokee msamaha. Binadam wote typo mikononi mwa yesu. Mungu ashughuliki na ulimwengu Tena anayeshughulika ni yesu. Torati 18;18. 19. Matayo 10 :. 31. 32. 33 .

    • @selemanmakau5967
      @selemanmakau5967 3 роки тому

      Waislamu wote wapochini ya mungu,nasichini yamwanaadamu,aliezaliwa,alitahiliwa,Bali kwetu sisi issa ni mtume tu wamwenyezi mungu,miujiza yote aliyoifanya,mwenyewe alisema ninafanya haya kwa sababu ya mungu aliyemuumba,ni hivyo

    • @hassanimouigni6648
      @hassanimouigni6648 3 роки тому

      Mbona kanisani mnasema kila mtu anabeba mzigo wake ni mzigo anabeba mwenyewe na mzigo gani mna mbebesha mtoto wa mariyam

    • @macrinajoseph1422
      @macrinajoseph1422 3 роки тому

      Usipokubalikutubu .unabeba. Mzigo .wa. Zambi. Ukikubalikutubu unasamehewa. Mzigo ni dhambi wasiokubali kutubu na.kuacha wanabeba. Sala nihii. Yakutubu dhambi mbele za bb au mungu. Umepiga magoti una. Tamka Bb. Niko mbele zako Mimi mwenye dhambi. Nimekutenda dhambi wewe mungu wangu uliye mkamilifu nawahaki naomba unisamehe ...maovu yangu yote. Kwa dam ya yesu iliyo mwagika msalabani kwaajili ya maovu yetu inioshe inisafishe. Asante kwa kunisamehe. . kwa njia. Hii unapatakibali mbele za mungu kusamehewa na kuitwa mwana wa mungu

    • @macrinajoseph1422
      @macrinajoseph1422 3 роки тому +1

      @@selemanmakau5967 matayo 10:31. 32. 33. Usimchukulie yesu Kama mitume wengine guys kaja kivingine yaamini maneno yake uwe salama. Yesu anahubili.juu ya.ulimwengu na mwisho wa.dunia..nayeye.naye. ndiye atakae hukumu ulimwengu.

  • @soliphinias6744
    @soliphinias6744 3 роки тому

    Nikupongeze kusaidia kuhubiri INJILI ,lakini kuna sehemu unachanganya Nuru na Giza Kwa wakati mmoja

    • @lillykhalayi80
      @lillykhalayi80 3 роки тому

      Wapi? Taja ujibiwe!

    • @babalaocollectionnoumasana
      @babalaocollectionnoumasana Рік тому

      Anachanganya nuru na giza.aya tuonyeshe wewe jinsi alivyo changanya.bisha kwa hoja usibishe bila hoja hutoelewaka.

  • @jacobozummaa3152
    @jacobozummaa3152 3 роки тому

    yani bado wakristo awa iamini bibilia

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 3 роки тому

    Huyu jamaa mwongo, soma Mathayo 28:18 yesu anasema mamlaka yote mbinguni na duniani nimepewa mimi enendeni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi mkiwabatiza kwa jina la baba na la mwana na roho mtakatifu.yesu anamamlaka yote mbinguni na duniani,we unasema kwa waisrael 2 . vifungu Unavyo soma ni wakati christo anaongea na Waisraeli kwa sababu huko ndiko injili ilikoanza soma yohana 4:22 na ilikuwa hivyo kwa sababu ya utengano uliokuwepo katika mataifa au makabila soma yohana 4:9 lakini yesu christo ndiye aliyetuunganisha wote soma Waefeso 2:11-22

    • @selemanmakau5967
      @selemanmakau5967 3 роки тому

      Mamlaka ya mbingu ni ya mungu siya bibaadamu,ambae alizaliwa,linyonyeshwa,alikula,alitahiliwa,sifa hizo so mungu,mungu haisi njaa na hatailiwii,ni hivyo

    • @essaumpuma2981
      @essaumpuma2981 3 роки тому

      Unapokataa kwamba Muhamad hakuoa mtoto wa miaka6 kisha akamuingilia akiwa na miaka 9 unathibitisha kwamba wewe si msomi wa kiislam na ninaposema mnafundishwa hivyo niko sahihi sababu nyie mnafuata suma za Muhammad na ni wazi kwamba huwezi sema mtoto wa miaka 6 ameolewa kwa mapenzi yake na ndio maana tunawaambia Muhamad huwezi kuwa mtume WA kufuatwa, na sio hivyo tu acha kulipa kodi uone, piga wanawake uone qurani 4:34,waueni wasio kuwa waislam uone qurani 4:89 mufundisho haya yote tunapo yapima tunaona kwamba mtu huyu hakutumwana Mungu anadanganya. Biblia inatwambia tupime kila roho Kama inatokanana Mungu angalau mseme mtume wenu ni mwaposa lakini kwa haya na kwambia shekhe usifanye moyo mgumu njoo ubatizwe

    • @essaumpuma2981
      @essaumpuma2981 3 роки тому +1

      Mamlaka ya mbinguni Niya Mungu safi jibu nzuri, Sasa Soma mwenyewe yohana10:30 maelezo zaidi Tito 2:13

    • @hijakhamis4102
      @hijakhamis4102 3 роки тому +1

      Hayo mamlaka yesu alipewa na nani kama yeye ndo mungu?.

  • @latinoplatnumz..8477
    @latinoplatnumz..8477 3 роки тому +1

    Daaima wakeristo huwa wabishi

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 Рік тому

    Tatizo kubwa hapa lipo kwenye kukalili ...? Na ndio maana tuna kwambia acha kuongea upuuzi ...? Alipo sema kuwa mtalivunja hekelu hili nami talijenga kwa siku tatu hakumaanisha Jengo 😂😂😂😂 Alicho maanisha nn ..? N kuwa hata mkimua yy ndani ya siku atafufuka na akiwa mzima kabisa mwenye itimamu ...? Na ndio maana hata walipo muua alirejea Tena baada ya siku 3 Kama alivo alivo sema awali ....? Ko Kama utatumia akili ya kawaida kumuelezea YESU Christ utafeli Sana ...! Maana hata yy alikuwa ana hubiri kwa mafumbo na mifano .....? Ivo kumuelewa ilikuwa Ina hitaji akili ,

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Рік тому

    Na Muhammad alitumwa kwa ajili ya waarabu. Wewe yamekupataje

  • @masala8099
    @masala8099 3 роки тому

    Uislam ni raha elimu tupu makafiri hawatuwezi hata wasome vp vichwa vyao vina MB 3

    • @DifaRobelindo-cj2ij
      @DifaRobelindo-cj2ij 11 місяців тому

      Wewe ni mjinga tu hi dunia inangozua na wakristo inchi zenye nguvu dunia ni za wakristo

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 3 роки тому

    Ni hatari Sana,,,BIBLIA IMEKATAZA KUONGEZA AU KUPUNGUZA NENO LOLOTE,,,UKIPUNGUZA UTAPUNGUZIWA PIA UWEZEKANO WA KUINGIA MBINGUNI UKIONGEZA UTAONGEZEWA HASIRA MARADUFU KATKA ADHABU KWAIYO SHEIKH KUWA MAKINI SANA