Hotuba ya MWALIMU Nyerere iliyosisimua zaidi ilivyo mtabiri Rais JPM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 544

  • @thabitbakari6733
    @thabitbakari6733 3 роки тому +33

    Hakika tunafanyia kazi maono yako mwalimu jk nyerere🙏🙏🙏

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 роки тому +51

    Mgombea tulimpata nae alikuwa magufuli na ametutoka kama ulivyo taka kwenye hatua hii baba nyerere lakini ametutoka mungu amlaze mahali pema peponi amina

    • @TheFire_Gamer
      @TheFire_Gamer 3 роки тому +1

      Mbona tukianza skuli tulikua tukiulizwa wewe ni nani muhindi, muarabu au mshirazi kwa nn

    • @issamunga9039
      @issamunga9039 3 роки тому

      Nani aliyemtaka huyo acha ulisha watu ujinga.

    • @RajabuKibwana-jd2to
      @RajabuKibwana-jd2to 7 місяців тому

      Pp

    • @PhilipoMwita-wc1ku
      @PhilipoMwita-wc1ku 3 місяці тому

      Peponi wakati alikua anasapoti maaskari kuwaua watu
      Huyu alituchafulia uchaguzi kwasasa tunaviongoz wakijinga wasiojua majukumu Yako viongozi ambao hawana baraka za mungu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 місяці тому

      Toa ujingq wako@@TheFire_Gamer

  • @jemedarikalimas7788
    @jemedarikalimas7788 3 роки тому +16

    Siku zote kazi ya mungu haina makosa hatutawasahau mashujaa was Tanzania kama jk nyerere pamoja na jpm , rest in piece forever

  • @elizabetjohn1708
    @elizabetjohn1708 6 років тому +36

    Uliyo yasema yote yametimia mwalimu upumzike kwa. Aman baba

  • @jmunyirimunyiri9783
    @jmunyirimunyiri9783 3 роки тому +25

    Hekima yote hii ndani ya kichwa kimoja? Kifo hakina huruma jameni. Twakuenzi Mwalimu

  • @lightmoonsophiatv5433
    @lightmoonsophiatv5433 3 роки тому +38

    Kimwili hauko nasi kiroho tuko nawe mungu yu mwema

  • @aminielyohana3052
    @aminielyohana3052 3 роки тому +39

    Mungu baba wa mbinguni akulaze mahala pemaaa aminaaa

  • @rosemaryeliahu5779
    @rosemaryeliahu5779 3 роки тому +23

    14/10/1999,17/3/2021,legends died,tutawakumbuka daima

  • @twaliathandrea6610
    @twaliathandrea6610 3 роки тому +28

    Nilikuwa naona wazazi wangu nababu wanalia kwa msiba wa Nyerere nawashangaa. Najiuliza hivi huu si uchimbi huu. Mtu hamfahamian nakulia kukosa raha! Hii iliponifika kwa Rais wetu alipokufa nikajua maumivu waliyoyapata. Ndo nimejua walimpenda kuwaweka huru. Walilia kwa sbb km hapa ambavyo naumia nalia naugulia donda kwa Rais wetu

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 роки тому

      Hee mwenzangu mm basi juzi nili jiuliza hizi kumbe ndio mana wakati wa msiba wa nyerere wazazi wetu walifazaika? Hivi kwanini mawazo yetu saa zingine Yana fikili jambo moja

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 3 роки тому +3

      Alikufamimi nikiwa na miaka 22,lkn nilimjua kwa namna yngu niliumia nilianza Julia alipokuwa anaumwa Sana,alipokufa niliteseka Sana,na sasa Magufuli ananiliza.

    • @felistamsuya6202
      @felistamsuya6202 3 роки тому +2

      kwakweli twalia mwee

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 місяці тому

      @@jenyyusuph4973 Hata wewe Baba yako akifa utamkumbukq kwa malezi mpaka hapo ulipofikia

  • @jumadeo4763
    @jumadeo4763 4 роки тому +46

    Heri kufa kwa busara zilizo hai kuliko kuishi kwa busara zilizo kufa busara zako bado zinaishia baba

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Рік тому +6

    mpumzike kwa Amani ma shujaa wetu tz mungu awape mpumziko na mfurahi huko mbinguni Amina❤

  • @anoldnelson2049
    @anoldnelson2049 3 роки тому +62

    Pumzikeni kwa amani mashuja wa nchi yetu 😭😭😭😭😭

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 роки тому +2

      😭😭😭Naumia

    • @mathiaselikana7586
      @mathiaselikana7586 3 роки тому +1

      @@hadijamagufuli2661 ahl

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Рік тому

      Wanapumzikaje kwa amani wauaji wa raia zao kaburini na mbele ya haki?Hao wawili wote walikuwa wauaji wa binadamu wenzao wanyonge.Usijitie ujingani

  • @abisahdamuyao1647
    @abisahdamuyao1647 3 роки тому +15

    Dah aridhi huwa inameza myamba sana mungu bhana acha aitwe mungu make hakuna kama yeye hakuzaa wala hakuzaliwa

  • @imanimelchiory4726
    @imanimelchiory4726 3 роки тому +10

    Siku zote unabii huwa hautimii kwa muda huo huo, ndiyo maana ilipita miaka kadhaa kumpata Kiongozi aliyetabiriwa lakini Sasa ametutoka. Mungu ana makusudio yake

  • @oscarkasalile8442
    @oscarkasalile8442 3 роки тому +9

    Babu mpokee kijana wako mzee wetu John pombe magufuli maana alierithi mambo uliyokuwa unayoyafanya, ila hayupo tena tuombeeni huko mliko mungu awapumzishe kwa amani.

  • @watsonkatende2892
    @watsonkatende2892 3 роки тому +52

    Mpokee mwanao mwanamapinduzi halisi ulietabili kuwa atakuja kuwaletea maendeleo watanzania amefanya na ametuacha baba mpokee apimzike kwa amani

  • @dennisomanyo7646
    @dennisomanyo7646 3 роки тому +16

    Mwenyezi Mungu,tubariki na sisi kenya viongozi wa namna hii.

  • @samsonjuma5618
    @samsonjuma5618 Рік тому +4

    Asante sana mzee wetu..uliyejaliwa neema na hekima kutoka kwa MUNGU.. MUNGU akukumbuke

  • @sarahsimon9228
    @sarahsimon9228 3 роки тому +30

    Tulikuenz baba japo wengine atukukuta lkn pia. We still suffer for our supper hero magufuli😭😭😭😭😭

  • @khadijakassi9941
    @khadijakassi9941 3 роки тому +26

    Baba tulimpata mrithi wako aliibeba tanzania kwayote ulioyataja lakini ametutoka kama upepo hatuamini yani kama masihala hatuna lakusema tumeamini kwakua tumemuona kwenye jeniza inauma sana mungu ilaze roho yake mahali pema amin

    • @issamunga9039
      @issamunga9039 3 роки тому

      Huyo hakuwa mrithi wake .

    • @adamfundikira4556
      @adamfundikira4556 2 роки тому +1

      @@issamunga9039 alikua Nani kichwa chako

    • @issamunga9039
      @issamunga9039 2 роки тому

      @@adamfundikira4556 alikuwa dikteta aliye wahifadhi watu wasiojulikana.

    • @adamfundikira4556
      @adamfundikira4556 2 роки тому

      @@issamunga9039 mmmh kumbe na Samia je

    • @issamunga9039
      @issamunga9039 2 роки тому

      @@adamfundikira4556 huoni tofauti ? Huyu ni muislamu na huyo hakuwa na heshimu hata viongozi wake wa fini.

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 3 роки тому +7

    J. K. Nyerere na J. P. Magufuli mlale mahali pema peponi, ninyi ndo maraisi wangu bora kuwahi tokea

  • @kinlee8035
    @kinlee8035 3 роки тому +33

    Raisi tuliyempata kama zawadi ametutoka ambae ulimtabiri pia TUTAWAKUMBUKA SANA MALEGEND WA TANZANIA MASHUJAA WA AFRICA

  • @baisintudhu6742
    @baisintudhu6742 3 роки тому +8

    I liked Mwalimu's phylosophy and leadership

  • @watsonkatende2892
    @watsonkatende2892 3 роки тому +21

    Kati ya watu ambao walitutoka komwili Ila bado unaishi kwenye roho za watanzania wote kwa yali uliyokuwa ukiyaongea wakati upo na yanatokea Hadi Sasa Karne ya 21 . Mungu akupumzishe na mwanga wa milele akupe eebwana

    • @salomefelix2052
      @salomefelix2052 Рік тому

      Mwenye heri.

    • @wisemanking001
      @wisemanking001 Рік тому

      Sio kwa watz tu Mkuu... mimi mkenya lakini hotuba za Nyerere na JPM ni faida sana kwangu!!!

  • @joshuageradi1657
    @joshuageradi1657 Рік тому +4

    Baba ulituacha mahari pazur hakika tutakuezi daima.
    Pumzika kwaamani baba🙏

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 3 роки тому +10

    Yn ikikichwa ndo sawa sawa na cha magufur baba yn ivi ndo bichwa vilikuwa ktk nchi yetu na angekuwa ai uyu akakutana na baba magu page noga

  • @jumalameck1656
    @jumalameck1656 3 роки тому +9

    Maneno yako mwalimu nyerere yalikuwa niyaukweli mtupu hakika rais magufuli ulimtabiria ukweli ila mw1mungu amempenda mungu ailaze roho ya magufuli peponi amina

  • @victormathu6689
    @victormathu6689 3 роки тому +14

    Shida ya kenya mpaka sahi ni ukabila....upuzi mtupu..mimi mkenya na bado jambo hili laniudhi kabisa

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 3 роки тому +1

      In shaa Allah yatapita hayo tunawaombea@Victor

    • @innocentsanga9347
      @innocentsanga9347 3 роки тому

      Ipo ckui utaishaa broo

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 3 роки тому

      Ni kweli unachoongea na kimekuwa kidonda sugu mungu atunusuru na hili janga maana wanasiasa ndo chanzo cha makabila hapa kenya.

    • @denisimweji4504
      @denisimweji4504 3 роки тому

      Msijali Mungu atajalia yatapita tu..🇹🇿🇹🇿

    • @herryfesto1094
      @herryfesto1094 7 місяців тому

      D😮😢😢😢😢io09😊😊😊
      😊😅😅​@@alfanm.8221

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 3 роки тому +12

    🤔🤔🤔👋👋 🦁🦁 Simba wa Afrika R.R.I.P OUR LOVELY PRESIDENT OF TANZANIA AND AFRICA IN GENERAL

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 роки тому +72

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

    • @mariammkungirwa4199
      @mariammkungirwa4199 3 роки тому

      Nyerere

    • @andrewawuor7982
      @andrewawuor7982 3 роки тому +3

      Magufuli was a man in action.Although they killed him,But his spirit is alive.

    • @amnesalum8943
      @amnesalum8943 3 роки тому +2

      Thanks so much bro 🙏💯

    • @ibrahimdaffa917
      @ibrahimdaffa917 3 роки тому +4

      Welcome Tanzania unforgettable landa .We ever and ever get a strong leader like Magufuli ,my be after 100 years latter

    • @emmanuelkereto4344
      @emmanuelkereto4344 2 роки тому +3

      You're wright my friend. Our Magufuli was a very honest man. We never get a such president before. And now will be very had to get a President like him, only God knows what is going to happen in our country. Because we even started to suffer again ever since he left. May God make him rest in peace wherever he is.

  • @lightmoonsophiatv5433
    @lightmoonsophiatv5433 3 роки тому +30

    Tulipata jembe jpm tulimpenda ila mungu kampenda zaidi

  • @rosemarryjohn1376
    @rosemarryjohn1376 3 роки тому +13

    Hakika tulimpenda sana mungu ame mpenda zaidi yetu

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 3 роки тому +12

    Rest Baba Nyerere& Magufuli...the two greatest African Presidents after Mandela

    • @coolruler6820
      @coolruler6820 2 роки тому +2

      Mandela alikuwa kibaraka wa wazungu, kipindi chake makaburu ndio waliomiliki uchumi wa Waafrika kusini ,,,,,,,ukisema Magufuli ni sawa,,,yeye alipambana na wezi wote wa rasilimali zetu

    • @elibarikipeter
      @elibarikipeter Рік тому

      @@coolruler6820 sd

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 3 роки тому +12

    Na walikua wanamtaka JPM, sasa hilo jamaa linajiita lissu, hakuna mwananchi anayelielewa.....zaidi ya vibaraka.....majambazi ya kizungu, litetezi la wezi wa madini, linatamaa ya kuvunja Amani ya nchi. Yaani halifai kabisa

    • @taturajabu5977
      @taturajabu5977 3 роки тому +2

      Halifai hata kwa kulumagia hilo kibaraka wa wabeligij

    • @ramadhanichinyanya3608
      @ramadhanichinyanya3608 3 роки тому +4

      Nalitakufa vibaya sana lilisu silipendi

    • @trisamilob3652
      @trisamilob3652 3 роки тому +4

      Yani mm huyo kiumbe lisu sitaki hata nimusikie make namuona Kama ibilis aliyetupwa tanzania

    • @taturajabu5977
      @taturajabu5977 3 роки тому +1

      @@trisamilob3652 hasewaa

    • @trisamilob3652
      @trisamilob3652 3 роки тому

      Ndo inamaana gano

  • @alexmutua9568
    @alexmutua9568 3 роки тому +23

    And that's how the foundations of a great country were laid!

  • @ElizabethJoseph-vj7zr
    @ElizabethJoseph-vj7zr Рік тому +1

    Kweli wewe ilikuwa baba was kweli sio was kambo mungu akubariki na akuweke mahalo pema"amen

  • @chezariboy
    @chezariboy Рік тому

    Nyerere Mungu akusamehe ulipojikwaa hakika tutakukumnuka mpaka mwisho was dahari,, na kamwe hatujawahi kupata anaefanana na wewe nyerere mpaka leo, tumekuwa tunapata wakiogozi wabinafsi wachoyo wanaopendelea chama na kuweka chaguzi zenye zambi nyekundu Kwa kupitisha rafiki zao na kutumia nec vibaya kwamba wamepita bila kupigwa mamia ya watu wamefungwa wengine hawakutaka kujadili juu ya katiba mpya wala mazungumzo ya pamoja na wasio was chama tawala,, NYERERE HAKUNA WA KUKUIGA HATA ONGEA YAKO HAINA UJANJAUJANJA,, STAY BLESSED NYERERE, YOU REAL LOVED YOUR NATION.

  • @melaneniyoyita8198
    @melaneniyoyita8198 3 роки тому +5

    Tutamkumbuka milele na milele. Magufuli shuja wuja.

  • @getrudamkulu9319
    @getrudamkulu9319 3 роки тому +4

    Kweli kabisaaa ulimtabiri Magufuri vyote vinne ulivotabiri ndivyo alivyokuwa anapambania Magufuri pumzika kwa amani Jembe

  • @heatherwanjuguna4629
    @heatherwanjuguna4629 3 роки тому +10

    What a great orator, what a heartfelt speech, what genuine concern for the people.

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 3 роки тому +8

    Kote uko baba magu kapita yn sehemu ngumu zote yy ndo kazitatuwa maguful mashaalah allha akupe mwanga baba wamlilele😭😭😭

    • @edinaally8377
      @edinaally8377 3 роки тому

      Hakika amejitahidi alipoweza laiti km raho ya mwl nyerere ikimpokea itafurahi pamojanae

  • @emanila5845
    @emanila5845 3 роки тому +16

    May the Lord receive you our worriors in Glory,Amen

  • @frolandele2604
    @frolandele2604 Рік тому

    Uhuru na kazi hapa kazi tu na Mungu anasema asiye fanya kazi asile mbarkiwe

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 3 роки тому +1

    Mwalimu NYERERE Dr John Joseph POMBE MAGUFULI
    Nyayo zenu tutafuata
    ALUTA continua
    Mapambano bado yanaendelea

  • @rizikichengula5673
    @rizikichengula5673 3 роки тому +20

    Kweri raisi magufuri hatuta msahau kamwe

  • @KesaleMotela-lq7hg
    @KesaleMotela-lq7hg Рік тому +1

    Daaaaaa mzee wa taifa ili alikuwa mwamba Sana na John pombe Joseph magufuli na alikuwa mwamba Sana R.I.P kwa wote

  • @johnkimaro8540
    @johnkimaro8540 Рік тому +1

    Nahis Kuna watu Mungu anewachagua; Mungu atusaidie sana maana watu wamekuwa na tamaa ya Mali na kusahau ubinadamu, Huwa nalia sana Kwa sababu ya magufuli
    Mfugale
    Kijazi nawaombea sana.

  • @immahkobeh3929
    @immahkobeh3929 6 років тому +15

    Ndiyo kiongozi pekee wa taifa LA Tanzania hakuna wa kulivaa viatu vyake mwalimu nyerere punzika kwa Amani baba yetu mpendwa

    • @bokergamaa941
      @bokergamaa941 6 років тому +1

      Ndio kiongozi ninaye mkubali mm

    • @jordanclassic7849
      @jordanclassic7849 3 роки тому

      Magu je?

    • @ibrahimngurungu5607
      @ibrahimngurungu5607 3 роки тому +2

      @@jordanclassic7849 huyu na magu ndo watu ambao naweza kuwaelewa katka marais wote waliopita

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 роки тому

      @@ibrahimngurungu5607 hata mimi jpm na huyu

    • @issamunga9039
      @issamunga9039 3 роки тому

      @@timothmwakakusyu4563 wote hao walikumbatia ujamaa siasi mbaya kuliko zote duniani , wanao itekeleza ni madikteta ushwara ambao hawapendi maendeleo ya watu.

  • @munirimkwayu1692
    @munirimkwayu1692 3 роки тому +3

    Awamu zote magufuli namwalim nyerere walikuwa zaidi yaviongoz bora Africa nawakuigwa Mambo yao .

  • @rajayofficial4916
    @rajayofficial4916 3 роки тому +8

    Nabaki tu natabasamu nikimuangalia uyu shujaa

  • @Ramadhanimsingwa
    @Ramadhanimsingwa 3 роки тому +5

    Dhati ya moyo wangu nilimpenda Mwl Nyerere raisi Wa kwanza na Dr John Magufuli raisi Wa tano niliwapenda kwa moyo wangu wote walinivutia kwa kazi na kutetea wananchi Mungu awasamehe awape pepo ya daraja Tuwaobee ameni

  • @HassanNoor-pk2fm
    @HassanNoor-pk2fm Рік тому +1

    😢😢😢😢😢baba umeenda ungekuwepo basi tungekuwa mbali sana

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 6 років тому +11

    U liangalia kwa jicho la tatu mungu akurehem.kapatikana mtumbuaji tena bila gazi.na anakemea rushw

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 8 місяців тому

    Tumekuwa na marais wazuri sana, Mungu ametupendelea sana watz, na atatupa tena rais mwenye viwango hivyo hivi karibuni! Mungu azidi ibariki Tanzania.

  • @mbuifesto4325
    @mbuifesto4325 3 роки тому +4

    Kila mwenye maono huongozwa na nafsi ya iman# hakika Mwl alikuwa kiongozi imara na aliyekidhi matakwa ya watanzania wote

  • @fridajosephyusif4364
    @fridajosephyusif4364 3 роки тому +14

    Kumbe magufuli alifata maneno ya baba wa taifa ndio maana kaweza rip magufuli

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Рік тому

      Ni kweli wanafanana hata tabia zao ,Nyerere kaua Wazanzibar kibao maelfu kutokana na mapinduzi alitoyafanya kule.Makufuli kaua raia zske kibao hapa aTanzania bara akiwemo Ben Saa Nane ,Azory Gamba na mamia ya watu yaliyokua yakiokotwa kwenye viroba pwani bichi Wanapumzikaje kwa amani na roho za watu walizozitanguliza kwa dhulma?Tusiwe wajinga.

    • @all-victorious2156
      @all-victorious2156 Рік тому

      @@maulidimuhammed7851 Mjinga ni wewe , peleka ushoga kwenu Zanzibar.
      Msenge kabisa !

  • @joycemgaya1605
    @joycemgaya1605 3 роки тому +30

    Tutawakumbuka daima viongozi wetu Pumzikeni kwa amani😭😭😭😭

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 3 роки тому +7

    Mabadiliko tumeyaona kwa JPM ndani ya miaka 5 hakika ulimtabiria,

  • @yakobomuna2777
    @yakobomuna2777 7 місяців тому

    Asante sana hayati raisi wetu J.K.Nyerere. kwa kuondoa ukabila nchini kwetu.

  • @keasudi8423
    @keasudi8423 3 роки тому +3

    Ndo maana hupenda kujiita mjukuu wa Nyerere nikiwa kwetu Kenya watu wanadhani siienzi nchi yangu lakini ni mahaba yangu kwa Nyerere ndo yanayonifanya kujihusisha naye zaidi

    • @denisimweji4504
      @denisimweji4504 3 роки тому

      Asante sana,🇹🇿🇹🇿Tz tunakupenda

  • @saldonichalisi2219
    @saldonichalisi2219 3 роки тому +4

    KWELI,MUNGU WA KWELI hana dini wala dhehebu .

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 8 місяців тому +1

    A patriotic leader of vision for his country.

  • @Christophergaspar-qe7wk
    @Christophergaspar-qe7wk 8 днів тому +1

    Mwl. Nyerere hakutumiwa na mabeberu kulididimiza bara la Afrika.Aliwapinga mabeberu pamoja na vibaraka wao.Pia aliwaonya baadhi ya viongozi wa Afrika waliotumika kudidimiza uchumi wa Afrika hasa wale waliokuwa wanaruhusu mali za Afrika kusombwa kwa wingi kwenda ulaya na amerika na kuacha nchi hizo zikiwa masikini.Aliwaita viongozi hao manyapara.

  • @sethiaksanti2647
    @sethiaksanti2647 3 роки тому +11

    Que vive l'Afrique, vive la Rdc sans oublier la Tanzanie 🇹🇿.

  • @DanijParaa
    @DanijParaa Рік тому +1

    Mwalimu nyerere yuko sawa tumkumbuke sana baba yetu wa taifa

  • @nicholassostenes4372
    @nicholassostenes4372 2 роки тому +1

    Daa hizi mihimili mitatu pengo kubwa Sana ,nyerere,Mkapa,na Magufuli,hakika tutawakumbuka sana

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Рік тому +2

    JKN na JPM mpumzike kwa amani. Mashujaa waliojaa uzalendo mkubwa wa kweli wa nchi yao. Mlale salama huko mliko.😭😭😭😭😭

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 Рік тому

      Wazalendo baba wa Taifa na Magu pumzikeni kwa amani tunawakumbuka kwa mema mliofanya

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 роки тому +5

    Kweli baba.mungu akurehemu pia

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 3 роки тому +14

    Anachokisema baba wa taifa tulimpata mtu ambae hupepesi maneno

  • @suzanamabula2099
    @suzanamabula2099 3 роки тому +6

    Baba nilimpata kiongozi ila Mungu kampenda tena

  • @AmynerChumChum-fc4mt
    @AmynerChumChum-fc4mt Рік тому

    Tutawakumbuka. Sana. Wazeewetu munguawaripe. Kwakire. Mmetufanyia. Watazania

  • @AziziNgwengwe
    @AziziNgwengwe Рік тому

    Mungu awaweke mahali pema patulivu waliotangulia mbele za haki, na awalinde wale wote wanao endelea kujitoa kwa kusimamia haki ya Kila mmoja milele AMINA.

  • @vicentLusana
    @vicentLusana 2 місяці тому

    Baba endelea kupumzika kwa amani pamoja na shujaa wetu John pombe magufuri mungu anajua mlicho kifanya ndani ya Taifa hili la Tanzania pumzikeni kwa Amani 😊

  • @dominarwechungura3984
    @dominarwechungura3984 3 роки тому +21

    Huyu baba Alikuwa Na maono

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 3 роки тому +1

      Alikuwa na maono makali Sana! Mwenyezimungu wapumzishe Kwa amani mashujaa wetu wajalie pepo isiyo na mwisho!

    • @mahmoodalsubhi1619
      @mahmoodalsubhi1619 3 роки тому

      Amiin yaraby

  • @plisteradundo7603
    @plisteradundo7603 3 роки тому +18

    R.I.P. we love you forever President Nyerere

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 3 роки тому +4

    Kwer tuli mpataa huyo kiukwer katimiza yakee ya liokuwa yaki hitajika. Mupumzike kwa Aman

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 3 роки тому +4

    Pumzikeni kwa amani mwlm Nyerere na JPM

    • @maulidimuhammed7851
      @maulidimuhammed7851 Рік тому

      Wanapumzikaje kwa amani wakati wamedhulumu roho za binadamu wenzao?Au unaomba dua hii kwa sababu katika wengi wa waliouliwa hayumo baba yako,mjomba yako au kaka yakoSio?Basi ujue wamo wa wenzio.Hiyo ni roho mbaya ya nafsi ya kichawi hivyo ndivyo ulivyo.

  • @mandelasakara-no3bw
    @mandelasakara-no3bw Рік тому +1

    Mungu awaweke maali pema peponi Amina 🙏

  • @suleimankiumwa5328
    @suleimankiumwa5328 6 років тому +5

    Allha akupe kauli sabiti baba wataifa, 2takukumbuka daimaa

  • @georgeshamba6027
    @georgeshamba6027 3 роки тому +3

    Hotuba ya Nyerere yenye busara Sana na muhimu sana.

  • @HassanNoor-pk2fm
    @HassanNoor-pk2fm Рік тому +2

    Mashujaa wainji yetu ya Tanzania wako wawili tuu Mangu fuli na baba wa taifa enendeni mkapumzike salama😢😢😢

  • @Yonadaudi-ud9vd
    @Yonadaudi-ud9vd Рік тому +1

    How you can most important leader struggle for our nation R.I.P our beloved leader

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 3 роки тому +4

    Tuungane Sasa Watanzania tuache ujinga wa makabila Na uchama

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 Рік тому

    Nyerere ,,, vizazi vijavyo vitamsahau, generation haimjui tunahitaji video za nyerere kuanzia chekechekea

  • @marionsteven8198
    @marionsteven8198 6 років тому +14

    we mic u so much hero. jk nyerere.. may rest in internal soul peace dady...

  • @simonemmanuel4969
    @simonemmanuel4969 3 роки тому +10

    Hakika

  • @frankfidelis7551
    @frankfidelis7551 3 роки тому +1

    Nyerere utaenziwa daima hotuba hii ni kiboko yao

  • @luhilovenance5813
    @luhilovenance5813 3 роки тому +5

    Tutayakumbuka maneno yako Jk Nyerere

  • @pastornolbertletema5178
    @pastornolbertletema5178 3 роки тому +7

    Asante magufuri

  • @LudovickSindani
    @LudovickSindani Рік тому

    Tutakukumbuka milele! Uliyekua mtetezi wa wanyonge!

  • @fridajosephyusif4364
    @fridajosephyusif4364 3 роки тому +10

    Mzee wa maono Rip nyerere

  • @masudikaswala7898
    @masudikaswala7898 3 роки тому +11

    Kijana wako ametuacha .Utendaji wake utaishi karine mbili

  • @evajoseph4022
    @evajoseph4022 2 роки тому

    Mwl Nyerere fought corruption, tribalism nor did he discriminate any one. But we have witnessed discrimination in religion to the extent of exposing the followers of a certain religion to put on uniforms even in public offices, schools etc. Past 5 yrs tribalism took us to a dark corner. Northern tribes and some few tribes from Lake zone who were in public service were unlawfully sacked some oppressed, abused to force them to quit office etc. Other principle officers of the forced their junior officers to communicate in their vernacular (kisukuma) so that other officers from different tribes would not understand. Thank God for saving us from such hatred. We are one again thank you your Excellency Samia Suluhu Hassan our lovely President of the United Republic of Tanzania😘😘😘

  • @felixkato6283
    @felixkato6283 2 роки тому

    Chagueni watu WA kanda ya ziwa kama Hawa wawili.Magufuli na Mw Julius kambarage.....Mwenyezi awapumzishe kwa aman

  • @swafaasaid4805
    @swafaasaid4805 3 роки тому +2

    tunakukumbuka sana baba wa taifa mungu akuweke panaposthiki

  • @simkotec3091
    @simkotec3091 3 роки тому +2

    Nyerere never saw Magufuli coming....

  • @fom842
    @fom842 Рік тому

    Good speech, where can we get that type of a leader today?

  • @amosmallya3994
    @amosmallya3994 6 місяців тому +1

    Genious. 🎉🎉🎉

  • @emanuelzagilwa8703
    @emanuelzagilwa8703 13 днів тому

    Mungu atusidie ili Kila kiongozi ashike maadili hasa kuwa na hofu ya mungu

  • @KidoMkangwa
    @KidoMkangwa Рік тому

    Huyu jk Nyerere alikuwa mzalendo wa kweli,inapaswa. Aandaliwe tuzo ya Taigaya kuikomboa Tanzania na afrika,