Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
Ndiyo MAANA UNA moyo WA huruma mtumishi WA Mungu akubariki mnooo, mpaka ushangae
Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
Nimejifunza neno kubwa sana, kuendelea kudumu na kusubiri katika kimya na umasikini.
MUNGU abariki kizazi chako Mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki mtumishi,kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba uwainue ndugu zangu kiuchumi ambao mama yetu alitupigania ili tuweze kumsaidia wote.Amen
Niguse namimi mtumishi ni mjane hua nakufuatilia sana mtumishi shuhuda zako zinanipa nguvu mnoo
Una moyo wa tofauti Naomb mungu anisaidie nije kusaidia mayatima na wanaoteseka
Mungu akubariki sana Mchungaji unatutia sana moyo🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi. Kiukweli hua unanitoa mahali moja kwenda pengine
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
Endelea kuamini utafanikiwa pia. Nakuombea
Pastor ure blessed for wisdom there many mama,s during nyerere and mkapa era wanawake wa Kaz mungu awabark Sana walilima au kupika pombe mtoto asome
Asante mpendwa unanitia nguvu mana nina mapito makubwa
Jina la BWANA lizidi kubarikiwa milele na milele, amina.
Barikiwa Mch Eliona. 🙏🏽🕊️🕊️💖💖💖🇹🇿🇹🇿🇹🇿
😭😭😭naamini ipo siku na mimi Mungu atatuinua kwa viwango vingine🙏
Mungu akupe maisha marefu Mchungaji Kimaro
😭😭🥹MUNGU ZIDI KUMUINUA MTUMISHI WAKO HUYU ELIONA🤲🙏🙏MUNGU USIMPITE KATIKA NDOTO ZAKE🙏🙏NINAOMBA NAKUOMBA AMEN
😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamani acha kabisa huu ushuhuda umenikumbusha hallow
Hongera sana mchungaji Kimaro tunamshukuru Mungu Kwa upendo wako Mungu amekuwezesha
Ubarikiwe sana baba mungu akupe miaka mingi yakuyaishi haya mema tuzidi kujifunza
Mungu akubariki mtumishi kwa kutokukata tamaa pamoja na kupewa majani ya kahawa ulisonga mbele
Mungu nakushukuru kwa ajili ya mchungaji Eliona
Nimejifunza nikiona mtu anauza unanunua Kwa sababu kumsaidia asante sana mchungaji Kimaro
Mungu ni mkuu sana
Mungu apewe sifa...Bwana yuko pamoja na wewe
Amina mchugaji kimaro uzidi barikiwa baba🙏
Mungu atusaidie kutenda mema hapa duniani!
Bwana akubariki mtumishi wa mungu na azidi kukuinua
Ameeen baba mchungaji ubarikiwe na kuinuliwa zaidi,na ubarikiwe kila iitwapo leo
Ubarikiwe sana pastor wangu
Mama yangu alisubiri kwenye kimya pumzika kwa hamani mama mafundisho mazuri sana mtumishi 😢😢
Mungu azidi kukuiniua mtumishi wamungu
😢😢 Umenivusha hapa nilipo,Barikiwa sana
Naomba na Mimi niwe na roho nzuri
Barikiw mtumishi
Ameni
Amen thank you Dr. Eliona Nasi tuna subiri kimya😔
Napenda Sana kukusikiliza, MUNGU akupe maisha marefu yenye baraka tele
Amen,ni imani ya hali ya juu
Aameni mtumishi
Ubarikiwe pastor,nazidi kujifunza sana kwako.
Baraka ya mungu iwe nawe❤❤❤❤
Bba mungu akuweke sana
Inspiring. Mungu akubariki sana pastor.
Hakika Mungu akutunze Mtumishi
Amina
Mungu wangu murehe mama yangu huko mpe furaha ya milele
Dah asante sàaana
Mumgu akubariki mtumishi
Hongera Kwa kulea watoto
Nguvu ya Mungu haipimiki kwa wakati wake aupendao yeye
Mtumishi umepanda mbegu iliyo njema😢 Mungu wa mbinguni akubariki sana
Kuuza ni njia yakuomba
Tunabarikiwa mno na mafundisho yako mchungaji 🙏🙏
Numefurahi sana leo maana ni muda sijakusikia baba
Amen 🙏
Ndiyo maana itakiwa tuwe subiri kwemye maisha haya
Ni kweli
Mungu azidi kukutumia
I do respect you 🎉🎉
Ubarikiwe sana mtumishi
Mungu mwema sana
Amina Baba mchungaji
Asante sana 😮
🤲🏿
🙏🙏🙏🙏
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
❤❤
Hivi ni lazima kutangaza kuwa unawasaidia?
Mtumishi hii ni uharisia wa wstsnzanis we
😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ruwa ko Mndumiii
Hahhahahaha nimecheka kwa furaha
Amina