PAMBANO KAMILI: HASSAN MWAKINYO vs TSHIBANGU KAYEMBE
Вставка
- Опубліковано 14 сер 2020
- Mabondia Hassan Mwakinyo (Tanzania) na Tshibangu Kayembe (DRC) wamepambana alfajiri ya Agosti 15, 2020 katika ukumbi wa Mlimani City kuwania ubingwa wa WBF Inter Continental Super Welter.
Pambano ni mizunguko 12 na limemalizika kwa Mwakinyo kupata ushindi wa pointi kutoka kwa majaji wote watatu.
Pambano lilikuwa MUBASHARA kupitia #AzamSports2
Furahia matangazo ya pambano zima tangu kuingia kwa mabondia hao hadi kumalizika kwa mahojiano baada ya pambano.
Pia unaweza kutazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - Спорт
Safii sanaa Mwakyimo yupo vizuri sanaa, kayembe nae kajitahidi. Maoni yangu kwa commentary, jaribuni kushauri pande mbili zote hata kama mwakyimo ni wa kwetu, nikimaanisha katika kutoa ushauri mkitoa, balance pande zote kwa mabondia na mengineyo pia, wacongo na mashabiki wa nchi nyengine mbalimbali wanatizama, muda mwingi ushauri ulikuwa unatolewa kwa mwakinyo afanye nini ili kushinda. Ila audience sio watanzania peke yao, wengine watataka kusikia pia. Kila round kwa kila bondia kuna mazuri mart mabaya yamefanyika na yote ni vizuri yawe wazi.
Safi sana Mwakinyo!
Kayembe yuko vizuri, ndio maana alikuwa undefeated kabla ya leo.
Ila watangazaji wanazidisha upendeleo wa bondia wa nyumbani! Sio vizuri kwenye mechi za kimataifa. Japo hata kwenye mataifa mengine utawakuta commentators kama hawa, na wao huko wanalaumiwa pia, japo ni ngumu pia kutangaza bila mihemko. Hata mimi yawezekana nikashindwa kujizuia. Nyumbani ni nyumbani!
HONGERA MWAKINYO!!!!
Umelion ilo mwenzangu
Hassan fundi
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhuhuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhhhhhhhhhuhhuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhuhhuhhhuhhuhhhhhhhhhuhhhhuhhhuhhhhuuhuhhhhhhhhhuuuuhhhhhhuhhhhhhhhhhhhhhhhuhhhhhhhhhuhuuuhhhuhhhhhhhhhhhhhhuhuhuhhuhhhhhhuhuuuhuuuhhuhhuhhhhhuuuuuuhuhhuhhuhuhhhuhhhhhuuuhhuhu
Huuuuu
Tanzania muko na habari sana huyu jamaa mwakinyo nimeona pambano zake naeza muita Jina jipya mweather Wa Tanzania coz is next level 💯🤛👊🤝✍️
I understand journalists can favor home team , but here it was even more , I think journalists turned out to be fans instead of them doing their jobs, it was all about Mwakinyo this Mwakinyo that , yaani even when Kayembe was doing well than Mwakinyo still Kayembe didn’t get credit and respect he deserved. Kayembe deserved some respect from journalists, which wasn’t the case
Mm naomba pambano na mwakinyo from Zanzibar mkoa wa kaskazin %
🤣 🤣 🤣 🤣 Umepata tayt
I have been following boxing abroad naona mwakinyo Aki improve
Mimi ni mbongo lakini huyu jamaa yuko vizuri.
Alafu Tena jamaa alikuwa na piga zile sehemu hatari Sana , jamaa Yuko vizuri tuuu!
Mwemedi ally
Azam nyinyi mnataraji kujipanua zaidi kuwa kimataifa. Mnasikilizwa na kutazamwa nje ya mipaka. msitangaze na kuchambua kishabiki
Kaz nzuri 🤛🤳💪
Mwakinyo anani inspire sana sasahv kufwatilia na kuipenda boxing
Mwakinyo kila day anazidi kubadilika zaidi kingumi
🇹🇿
Still champion in the world
Hassan yuko sawa sana
Fight of the year
Papa Simon kimbanga 🇨🇩 vraiment Oui
Hongera sana
🥊 12 vraiment Oui
Mnaupendeleo sana ninyi WA shenzi wantanzania sana
Good sana
Naomba tutoe mpaka ulowekwa na makoloni.. toeni likifaransa ...tuongeee wote kilingala au Kiswahili Kongo na Tanzania wote ni one blood.. na ni ndugu
Yes
Wachambuzii Mnapendeleaa Bhn kila Mda Mwakinyoo Mwakinyoo Kila Mda Mwakinyoo Anamsoma mala Ampige 2mboo Hv nyieee Mashabikii Auu💉
Unataka utwajwe wewe ndie unaepigana roho mbaya tu
Roho mbaya tu kuku ww
Khaaa xx wamcfie kayembe wanamjulia wap ww vp mcheza kwao hutunzwaa
sio kupendelea na wangekuja na wakongo wakaweka media zao
@@baidhasuleiman2642 Acha utoto wewe, kazi ya wachambuzi Ni kuchambua kila upande sio kila saa ni mwakinyo tuuu!
Yaan mwakinyo kuna round ungedevela tu jamaa angekupga K.O ila umekaza aisee we kweli ni shujaa
🇹🇿💪💪
Mwakinyo apigane na ibraa kwanz 😊
Hasani kwa uwezo wa mungu atashinda yupo vzuri
Mchezo huu wa Ngumi Karume aliukataza kule Zanzibar
Kwa wanaokataa ushindi wa mwakinyo sio wafatiliaji boxer ,kwa upande wangu mwakinyo kashinda kihalali ila foot steps anahitaji Sana wakati anagadi ..big up mwakinyo ila tafuta pambano ujerumani jina na hela lizidi kua juu,ila aongeze uzito wa ngumu uwe wa ko..big up Sana home boy.. Tanga moja ...
Noma sana mwakinyo
pambano nzuri sana, lakini ndugu zangu watangazaji watanzania huu ni mchezo mbona mnaegemea upande moja tuu kwani bondia mtanzania yuko pekeake ulingoni?mjifunze kutangaza boxing kama watangazaji wa inje.
Jamni Nani anaujuaa huo wimbo WA kikongo...nimeupenda
🔥🔥
Tanzania tusipofaata maneno ya watu tunaweza kila idara tuamuen xaxa tunaweza due to the influence of our leadership who supports in different tusks God bless Tanzania
Salut ce bien
Hongera hassan mwakinyo
Safi kabisa mwakinyo
Mwakinyo should stay to his game plan and keep the jab working, work on defence and unleash some power bomb, congratulations Mwakinyo.
Djifgkz
MaDiRu
hassan 🔥
Juu
Mdigo upo juu
Msambaa
Ata hazingia, WA represents wa hovyo2
Kwa Mimi ninaejua ngumi na kuzitizama vizuri hakika mwakinyoamepiga ngumi nyingi sana na anajua kuitumia nafasi yake ingawaje kayembe nae kajitahidi sana ila kwa pambano hili kayembe kabanwa na mwakinyo safi sana
Swaf kabsa,we unafaa kua mchambuz
Nipo
🙏🇹🇿❤️
Mwakinyo kumbe kunguru boya 2hata mandonga atakuuuaaa
Hujielewi
Kaka hassan safari hi
UMETUFULAISHA KAKA
WATANZANIA KAKA
wew ndiyo boxing mkubwa
AFRICAN
Kweli mwakinyo utaftaji wake ameelekeza kwenye ngumi maana anautendea haki mchezo wake
Mnaomponda mwakinyo hamjui boxer na sio wazalendo, mmetawaliwa na roho mbaya mmetumwa na mabeberu,
Uzalendo unaujua au umekaririshwa na yule mpumbavu wenu anaejifanya mzalendo wakati hola
@@emmapaul1766 tundu lissu
@@saidhuma9739 mamako na hawala yako mgombea wenu huko ccm
Namkubal mwakinyo
Huyu mfaume hamnakitu kabisa mnafiki sana
Nakuombea mwakinyo
safisan
Mwakinyo noma
Lini
Wstangazaji mukuye mu kongo mutakufa mapema
Viwatu vifupi vigum. Kamepigwa ngumi nyingi lakin kamevumlia😂😂😁😁🤣🤣
Nimecheka kwa sautii
Mwakinyo Mjanja Sana
Hizi ndio ngumi sio zile vurugu wanazo shangiria wasojua ngumi na kujiona wanafanya la maana
Jamani naomba maada kujua jina la wimbo walioingilia team ya akina kayembw
The name of the song is : SEMBOLA LOBOKO “ Henry Papa M. ft Michel Bakenda
Thanks
@@arseneboss383 yaan ww mshez ungejua nikawa napata shida kuutafuta naona umenipata jina lake sjui ulijuaje bigup man
Hongera Sana Mwakinyo wenye wivu wajinyonge
Huyu mkongo yupo good sana.
Mwakinyo yuko poa sana
Kusema ukweli ukiachana na utam wa hili pambano,hawa jamaa uingiaji wao ukumbini ulikuwa na hamasa sana kuanzia nyimbo waliyoingia nayo jamaa wapambe wake pamoja na ile spirit ya uimbaji wa national anthem mpaka hamasa kutoka kwa kocha wake tshibangu kwa hilo nmewapa big up lakin yote kwa yote mkongo kaonyesha fight nzur na upinzani mkali lakin mwakinyo kapambana na amestahili ushindi
Nyimbo inaitwaje hiyo ya kikongo waliyoingia nayo
Tanzania ni nchi ambayo inafursa nyingi na vijana wapo wengi wenye kuhitaji fursa hizi.
Tukizungumza katika upande wa ngumi Katika fursa ya utangazaji
Hatuna watangazaji wazuri wa ngumi kwani wanatangaza ngumi kama wanatangaza mpira wa miguu..
Mtangazaji wa ngumi anapaswa kujua misingi na kanuni kamili za ngumi ili aweze kuwasilisha pambano katika njia ya maneno.
Tanzania we need to be serious kwani ngumi ni moja ya mchezo wenye pesa na LADHA ya Aina yake.
🇹🇿
Kidunda vs katompa
Mwakinyo fighter
Vocals ya mtoa intro haijashiba kabisa it needs lots of water 💧
Duuuuhh
Mtangazaji unazidisha chumvi anapeleka nyingine tena anapeleka nyingine tena mwakinyo seem zingine anapigwa yeye mwakinyo da!
😂bongo baaty mbaya 😂
Naomba pambano na mwakinyo
Ushid
Myoke amjuw kutangaza kilamda mwakinyo uyobondia mbona amumtaj
Nimependa burudani yakikongo
Mcheza kwao hutunzwa
Kwanini
Sai zile huyu mtanzania amepigwa mangumi hamtangazi mcongo akipigwa ndio mwatangaza muache unafiki
hi mechi haikuwa na mbabe Bora irudiwe
Waandishi mnaushabiki maandazi bwanaaaa jirekebishine ndio uzolendo kwanza ila mnauzidisha mpk mnabowa
Nisaidieni jina la wimbo alioingia nao kayembe please
Are you understanding guys 😁
Mwad aly
Mwabulamboo
Mwakinyu hamwez twah
Hujui ngumi weye twaha ana vurugu sio ngumi kaka
Hapa hakuna watangazajiii!!
Mtangazaji wewe
Were these journalists or fans ? 🤣🤣🤣 journaliste forget that they were here to do journalisms instead being fans
We we BIG UNAJUA
KULITANGAZA TANGAZO KAMA
MBELE DUH ATARI
Wajumbe mbona adi kwenye ngumi mnaongelea upande 1 tu
Na Mimi nashidwa kuelewa kbs!!
Uyo mfaume mshamba awezi kumzungumzia fundi wa mawe maneno km ayo
mako dinda mako stamina benders chuma mlingot chuma ,,,,,,bay Jose 4G Dom chimbo noly
Huu wimbo waitwaje nataka jina lake
Please naomba mnisaidie jina la wimbo alioingia nao shibangu please
Sembola loboko
Mi pia nimependa Melody yake
Mwakinyo ame emrove ila pambano na Tinampay alibebwa
Kumbe mm nimemzid mabondia , wte kW umri??
Wana feki umri wao hao
wakongo Mungu kawabariki sana,na nimekaa kwenu watu wazuri sana na wenye akili sana,toeni kifaransa katika wimbo wenu wa taifaa,wekeni kiswahili au lingara.Kifaranza lugha ya wa beleje walioua wazee wenu.Achaneni na lugha za wakoloni.Kiswahili yenu ya kabambe sana acheni francee
Mwakinyo hunabaya wapo wanaokuchukia kwa mafanikio yako pambana dogo langu
Mapinduzi makubwa kwenye boxing
Dada kawaita mabondia do you understand you gays? Nadhani sababu ya mkongo kujichubua teh teh
Mtamuokota chini huyo kayembe hamna kitu
Wachambuzi waongo kaaeni kimya nyie uwoga uwoga kaen kimnya mnaboa
Tanga tunatisha sana
Anayejua jina la song aliloingia nalo mkongo tafadhal anisaidie
Sembola laboko
Sembola loboko
🥊 15 afin
Mimtz napenda mwakinyo apigwe ndio furaha yangu anawaogopaga mpaka kiduku na mwanangu was faida mtukazi mandonga
Jaman..naombeni mnisaidie jina la sebene..linalopigwa..wakati shibango kayembe anaingia...ulingon..plz..naomben..
Naitaji pia ukipata nijuze please
watangazaji acheni upendeleo kila saa mwakinyo