MWAKINYO ATANGAZA HALI YA HATARI AMTAKA HARMONIZE ULINGONI| AAPA KUMFANYA VIBAYA | AMNANGA KIDUKU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 тра 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 294

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 2 місяці тому +45

    Hii nchi bn naona wengi wanamchukia huyu jamaa,but amini usiamini,he is the best Boxer kuwah kutokea ktk nchi yetu

    • @yusuphmtuga4951
      @yusuphmtuga4951 2 місяці тому

      The best kwako

    • @AbshirMubaarack
      @AbshirMubaarack 2 місяці тому

      @@yusuphmtuga4951 najua tu wivu unakusumbua,hvy ucjal ni jambo la kawaida kwa cc bnaadamu

    • @Fathma-vt8lx
      @Fathma-vt8lx 2 місяці тому

      Kweli

    • @daudinyello4033
      @daudinyello4033 2 місяці тому

      @@yusuphmtuga4951 kinyooooooooo....hakuna kama MWAKINYO acha ubishi

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo 2 місяці тому

      ​@@yusuphmtuga4951ata kwako pia utake usitake

  • @user-qc5kq2zm2b
    @user-qc5kq2zm2b 2 місяці тому +20

    Binafsi ninakuelewaga sana kaka. Unachokitaka kwa watanzania wakuheshimu na waijue thamani yako. Binafsi wewe ndio bondia namba moja kwa TANZANIA hakuna anayekufikia kwa Sasa. #hassanmwakinyochampez❤

  • @Starlighttz538
    @Starlighttz538 2 місяці тому +15

    Na kukubali sana mwambaaa mwakinyoo Na akifika Beii Mkandeee Akandike

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 2 місяці тому +5

    Huyu ndie boxer bora aliepo hapa tz team mwakinyo 💪

  • @allyharoub-rl6rb
    @allyharoub-rl6rb 2 місяці тому +13

    The Best boxer eveer

  • @rayamohammed339
    @rayamohammed339 2 місяці тому +7

    Mmakonde mjinga yule anasema eti anahisi mungu angekuwa mwanamke

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney 2 місяці тому +15

    Allah akusameh Hakik umetelwz ibada ni kubwa mno mbel ya Allah

    • @jamalibella9707
      @jamalibella9707 2 місяці тому

      Hajielewi

    • @user-dl4rw6fo6x
      @user-dl4rw6fo6x 2 місяці тому

      I'm sorry ibada hairuhusiwi kutolewa mfano? Naomba nielimishwe.

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 2 місяці тому

      @@user-dl4rw6fo6x ibada ni maombi kat ya mola na mja wake

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 2 місяці тому

      @@user-dl4rw6fo6x sasa ni makosa binadam kusem yey ni bora kulik ibad yan anajitukuza Allah amsameh InshaaAllah kwan Ibada ni yake Allah mola wa viumbe wot

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 2 місяці тому

      @@jamalibella9707 tumuombe InshaAllah Allah atamsameh hakun mkamilifu

  • @stanslausjohn8791
    @stanslausjohn8791 2 місяці тому +8

    Boxer number moja Tanzania

  • @mariamharuna-co4it
    @mariamharuna-co4it 2 місяці тому +3

    Usisikilize maneno yawatu hassani ukovizuri nasubili pambanolako inshallah Allah akufanyiewepesi

  • @lucasmaziku5565
    @lucasmaziku5565 2 місяці тому +9

    Mwakinyo utani wetu wa Makonde usiulete ulingoni, ukirusha ngumi za seriously tutakuloga

    • @amirilizo6706
      @amirilizo6706 2 місяці тому

      Kuronga Tena itakuwa vita kati ka mdigo n mmakonde au Tanga. N mtwara

  • @NgabireJapfet
    @NgabireJapfet 2 місяці тому +2

    Tumekubali mwakinyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mariamharuna-co4it
    @mariamharuna-co4it 2 місяці тому +5

    Mwakinyo yuko vizuri hamonaizi bangitu nakukubalisana hassani Allah akuongoze inshallah hamonaiz hakuwez twaha pia hakuwez ukovizuri

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 місяці тому +5

    Kwanza mfundishe kiduku

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 2 місяці тому +3

    Uyu jamaa Yuko Smart sana naweza kudiliki uyu ndo bondia Bora kwa Sasa hapa Tz watu wanao fikir kua bondia apigane tu kiolela

  • @user-ev6eq9ml8i
    @user-ev6eq9ml8i 2 місяці тому +2

    Respect Sanaa broo for that word

  • @khamissymtonele6418
    @khamissymtonele6418 2 місяці тому +8

    Kamkande tu ili atie adabu mjinga yule

  • @user-lu5js8lv2n
    @user-lu5js8lv2n 2 місяці тому +2

    Kiukweli hakufanya vizuri. Huyo hamo.amuache mwakiyo wetu kama katumwa na ashindwe usimkosee adabu mwakinyo

  • @SefuHussen-nh9lt
    @SefuHussen-nh9lt 2 місяці тому +2

    Team mwakinyo mkande uyo mmakonde

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 2 місяці тому +2

    Ata Mimi sikupenda vile hatupasw kuish kwa visa ilihali sisi wote ni Ndugu.

  • @shafiigama
    @shafiigama 2 місяці тому +5

    Tafuta mshauri au msemaji aww anacongea kwa ajiri yako ww uwe pemben usikitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kinachosemwa Hassani kinacho kufanya unakosa mvuto ni speech tu bac kwingine kite unastahili

  • @DogoLakeOfficial
    @DogoLakeOfficial 2 місяці тому +4

    Hakuna chuki kwa hamo anataka kujua kwamba boxing alie ingia kwamba ipo jee wewe kaka mupe na fasi sio kusema wewe ni kifo ama yeye ety ni kifoo mupe muda watu tuone Tanzania tupo na watu wa boxing mpka wa Sani ❤😂❤❤❤

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 2 місяці тому +5

    Mwakinyo kumbe na wewe ni Mvuta Bangi tu, Harmonize zile ni Bangi pale akili hamna kazi yake kiki tu hamna la Maana.

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 2 місяці тому +2

      Anaharibu keria na sifa zawatu,natamani atandikwe mbwa yule

    • @LovelyOmbreSky-pu4jt
      @LovelyOmbreSky-pu4jt 2 місяці тому

      Acha maneno hayo yeye ameeleza hisia zake sasa bangi ikowapi

  • @PeterMkonyi-cc2bt
    @PeterMkonyi-cc2bt 2 місяці тому +1

    Hii kitu haitakiwi maneno mob itaisha utamu mnatupotezea muda wa ngumi kwa kubishana kuna mtu anatakiwa aelekezwe kuwa huku siko abaki na kwake

  • @sammasika3627
    @sammasika3627 2 місяці тому +12

    Yule mvuta bangi

    • @mahmudmohammed2467
      @mahmudmohammed2467 2 місяці тому

      Acha nikuchanue bangi is not part of the exercise u can smoke and still train asf👀

    • @sadickkasaba8069
      @sadickkasaba8069 2 місяці тому

      Hyu mwenyewe mvuta bangi

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 2 місяці тому +1

    Mwakinyo ni mmoja tu tz🙌

  • @user-fn2zp8pi6f
    @user-fn2zp8pi6f 2 місяці тому +2

    anzaa na kidukuu kwanza kidukuuu kwanza😮

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 2 місяці тому +2

    Boxer mwenye hekima na busara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @IsackBaritirel
    @IsackBaritirel 2 місяці тому +1

    Mwakinyo naomba huy mmakonde ni mbage tu achana nae anataka akufie tu

  • @mambas264
    @mambas264 2 місяці тому +2

    Usiongee sana. Kama unapigana kapigane

  • @AbdusidMohammed-hi5ib
    @AbdusidMohammed-hi5ib 2 місяці тому +1

    Wew muoga kama unataka hashima pesa nyingi zanini

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 2 місяці тому +3

    Mbona ulimrukia acha ushamba we mwoga

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 2 місяці тому +6

    Mbona kiduku hujamfungulia mlango 😂😂

    • @user-ee2wd3fv1s
      @user-ee2wd3fv1s 2 місяці тому

      Kafunguliw milango mara tu mwakinyo alipomaliz pambano lake la ubingwa Zanzibar na wameshindw kuweka pesa mapromota wake

    • @sadickkasaba8069
      @sadickkasaba8069 2 місяці тому

      Anamuogopa kiduku

    • @user-ee2wd3fv1s
      @user-ee2wd3fv1s 2 місяці тому

      @@sadickkasaba8069 waliweka pesa mezan akakataa kupigan ngumi ni biashar ngumi ni ajira sio maneno matupu kama taarabu bro

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 2 місяці тому +1

    Wew Kuna twaha kiduku Anakutaka Sana Lakn Auzungumzii kitu Pumbavu

  • @Marwadismas
    @Marwadismas 2 місяці тому +2

    Duh ww mmakonde huwez mpiga unajua nae amehaso kitaaa ehh mpk kutoboa duh naisubr mmakonde akunyoshe ww boxer wap

  • @ITIKACLASSICWEAR-sb5kr
    @ITIKACLASSICWEAR-sb5kr 2 місяці тому +3

    Bro malizana basi na twaha kiduku basi. 🤣🤣

  • @SalimFeruz
    @SalimFeruz 2 місяці тому +1

    Ukimpiga nje ya ulingo utaadhibiwa , ajiunge na afuate utaratibu, awe bondia, ndipo upigane naye, #Hassan Mwakinyo busara ikutangulie, mrumeeeeee

  • @barnac_official
    @barnac_official 2 місяці тому +4

    Muulizeni babalevo ata waambia😂😂😂

  • @Marwadismas
    @Marwadismas 2 місяці тому +2

    Haaa kumbe ww ndo ulimuanza boy jamaa alikuwa anatariii zake

  • @Jayfocuss-nf6ww
    @Jayfocuss-nf6ww 2 місяці тому +1

    Hapana wa tz Atumchukii mwakinyo lakini kama mpiginaji mkubwa watu wanakuja kukuzalau inatakiwa uwafinye wafinyikeee ndo upate Eshima

  • @user-mr5tk8oc3t
    @user-mr5tk8oc3t 2 місяці тому +1

    Nakupenda mwakinyo mpige uyo mshamba wa kimakonde 😂😂😂

  • @Don_wa_kitaa
    @Don_wa_kitaa 2 місяці тому +2

    MKUBALIE #KIDUKU

  • @user-gb4qz6ty9i
    @user-gb4qz6ty9i 2 місяці тому +1

    Piga kabisa mbwa uyooo anazarau sana

  • @HerriThabiti-qd5rr
    @HerriThabiti-qd5rr 2 місяці тому +1

    Namimi nasema mpige mpaka uji atafuniwe

  • @yasini5794
    @yasini5794 2 місяці тому +6

    Ulirusha ngumu bhana acha uongo

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 2 місяці тому +6

    Chimanogo Tena 😂😂😂😂😂

  • @FarajaMakucha
    @FarajaMakucha 2 місяці тому +1

    Wewe si mpiganaji wew boya tu ujuw kupigana maneno meng ufanic Amna wew mcheza mduara tu

  • @saidshabani7740
    @saidshabani7740 2 місяці тому +6

    Full content, champion 🔥🔥💪

  • @PaulPeter-sl7rc
    @PaulPeter-sl7rc 2 місяці тому +4

    Watch out part3😂bongomovie😂

  • @ayubuyesaya6603
    @ayubuyesaya6603 2 місяці тому +1

    Hizo kiki TU,ndo wasanii wa kibongo ,,,,,brz ajee akufate TU mlango umemwachia.

  • @ShellaMaundu
    @ShellaMaundu 2 місяці тому +1

    Mmakonde chizi yule anapenda sana kiki ,muziki umemshinda anataka kucheza ...Piga kabisa mvuta bangi huyooo

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 2 місяці тому +1

    MWAKINYO ACHANA NAE....MPE WADOGO ZAKO,,NGUMI SIO VYUMA NGUMI NI SCIENCE,,NDIO MANA BRUCE LEE,DON YEN, JACK CHAI SIO WATU WAVYUMA NI WATU WA SCIENCE TU YANI TIMING..

  • @HoseaChanga
    @HoseaChanga 2 місяці тому +1

    Tunaomba mwakinyo kondeboy akandwe akatibiwe mtwara😂😂😂

  • @raphaeldominiko
    @raphaeldominiko 2 місяці тому +1

    Kaka We pgana Nae t Ajifunze Hana Adabu huyo mtoto Tena Omba serikarin pga Nakuuwa

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 2 місяці тому +4

    Uanze na Twaha kwanza bondia mwenzio ndio uje kwa harmonize, mbona unamchenga Twaha

    • @tyivbra
      @tyivbra 2 місяці тому

      Huyo harmonize kataka yy mwenyew

    • @dstaroficial
      @dstaroficial 2 місяці тому

      Nikwel anachungulia iv kwel kama nibobondia anataka kupigana na hamonize huyu kwel hamna kitu

  • @MATESO-sk7hu
    @MATESO-sk7hu 2 місяці тому

    Kaka una wabaya wengi sana wee ni m2 wabusala adi magufuli anakujua😮❤

  • @leonardyona1462
    @leonardyona1462 2 місяці тому +1

    Ameshaanza kuogopa huyu, atakataa pambano kwamba hajafika bei 😀😀😀

  • @fredykaitani595
    @fredykaitani595 2 місяці тому +2

    Amna k2 apo mikwala 2 kenge ww jichanganye kama autasema umesahau viatu vyako kwenye ndege..

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 2 місяці тому +1

    Kama konde anataka kupigana nawewe,basi aiombe baraza lamichezo nchi ni awe mdhamana wa hilo Bambano.laa sivyo atakuvunjia cv yako

  • @allybobsaith
    @allybobsaith 2 місяці тому +1

    Msituzingue, manajuana nyie😊😊😊😊😊

  • @markovuruga86
    @markovuruga86 2 місяці тому +2

    Champion boy..... mwakinyo

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 2 місяці тому +2

    😊😊😊

  • @rajogemzanaki3030
    @rajogemzanaki3030 28 днів тому

    Pole mwanangu uyo jamaa ni mshamba ata kuvua nguo akiambia ni ustaa anavua bange tatizo

  • @user-ex7gf3uo4n
    @user-ex7gf3uo4n 2 місяці тому +1

    Harmo mziki umemshinda akaon aruke na mwakinyo ... mwakinyo myoe naniliiii😂😂😂 ashike adabuuu

  • @immanuelcharles2699
    @immanuelcharles2699 2 місяці тому +2

    hatutaki maneno yenu,, piganeni tuprove ni nani bingwa.

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe 2 місяці тому +4

    Uje unipigie konde

  • @davismwape7500
    @davismwape7500 2 місяці тому +4

    Huyu dogo mm namuelewa sana

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 2 місяці тому +1

    Mbona kwa kiduku aujajimaliza ivo ? Mm nakuwa wa mwisho kuwaamn star's wa bongo huenda n kiki

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 2 місяці тому +1

    YULE MMAKONDE NI FALA SANA

  • @NordineIssa
    @NordineIssa 2 місяці тому +3

    Wew mbona ulikuwa ulingon, kwanini ulishuka ukamfuata

  • @godfreymwandoje6851
    @godfreymwandoje6851 2 місяці тому +1

    Inatakiwa uue kabisa

  • @eliudkimani8977
    @eliudkimani8977 2 місяці тому

    Kama Mimi hapa iliniuma Sana mpaka nahisi kumdai yeye ulingoni haniwezi pia🇰🇪

  • @user-wg7yw6bb2g
    @user-wg7yw6bb2g 2 місяці тому

    Kweli kabix broo iyo ni sarau aixee mpe bonge la ngumi haache wenge aixeee

  • @user-sg1is1ep6p
    @user-sg1is1ep6p 2 місяці тому +1

    Shida uyu muongeyaji sana😂

  • @MinesesjoaoMwani
    @MinesesjoaoMwani 2 місяці тому

    MMakonde Noma sana

  • @user-pk1yl7zt8p
    @user-pk1yl7zt8p 2 місяці тому +2

    Wote kuma hao kistuli ftkinyooo kamwe hawawez zima nyimb za Simba la masimba dangote haujui#raha, commasava ndo abar ya mjini now

  • @user-qt4lr9cx4y
    @user-qt4lr9cx4y 2 місяці тому +1

    Tume kujua una fanyia promo pambano lako.

  • @SeifMuhammed-il3si
    @SeifMuhammed-il3si Місяць тому +1

    Unajua mwakinyo ww ni Mt ambae unajielewa Sana hayo mazungumzo yako t bas kwa mwenye akil lazm ya mfeel yule mgonjwa

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 2 місяці тому +4

    Team konde tujuane. Mpaka tumkarishe Huyu Mtanga

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 2 місяці тому +1

      Yule kondeni fala kama unashabikia fala na vuta bangi kama lile umepata khasara pimbi wewe,angalia watu wakushabikia

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 2 місяці тому

      @@allykayanda6930Tafuta Pesa Kk Acha Chuki Zako Za Kimasikini Kwani Usipokuwa Wewe Fans Yake Yeye Anakosa Nn Acha Kushobokea Watu Bro

  • @YuniaPoul
    @YuniaPoul 2 місяці тому

    Tunasubili tareee kaka

  • @user-vx7jp5mo6l
    @user-vx7jp5mo6l 2 місяці тому

    Nakukubali sana ustarabu wako haukurupukii jambo

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 2 місяці тому +1

    Nyie sasafi konde kapiga chawa wenu bado uyo bosi wenu domo a.k.a mond 😂😂😂😂😂

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 2 місяці тому +1

    Mwakinyooooo

  • @adelalupumbwe-yu5pg
    @adelalupumbwe-yu5pg 2 місяці тому

    Mwakinyo weni bondia mwenye akili 2kopamoja brother

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 2 місяці тому

    Mwakinyo utakinywa vibaya mno....

  • @mansooranam831
    @mansooranam831 2 місяці тому +1

    Muuwe tu

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 2 місяці тому +5

    Hamonaoze amejitia kidole mwenyewe alaf kanasa yeye mwenyewe

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp 2 місяці тому +4

    Eti nilikuwa bauwexo wakupigana ba wote wale msenge nini kwani boxing hautumii nguvu ?? Wew haumuez mudi msenge wew akikukamata unaweza ukamwea

    • @emmanuelbernard9552
      @emmanuelbernard9552 2 місяці тому +2

      Mbona unatumia hasira kujibu na matusi juu,tumia akili ww ni mtu mzima matusi ya nini ?

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 2 місяці тому

      Huna unachojua unaongea tu kwenye boxing kuna bondia na bodybuilding unatakiwa kuelewa sawa

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 2 місяці тому

      @@emmanuelbernard9552😂😂😂

    • @user-tn4ny3ii2t
      @user-tn4ny3ii2t 2 місяці тому

      Duu tuwe tujitaidi kutumia kauli nzuli au kama huwe kaakimya

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 2 місяці тому

      Huyo moody amewahi kuwa mpiganaji wa kick boxer mzuri sana, ameshinda mashindano mengi sana ya mkoa wa Dar, mpaka leo yupo fit sana, huo mwili ameamuwa kuuongezea ili awe na muonekano wa kupata kazi, ila ukiruhusu aoneshe uwezo wake jamaa yupo vzr sana, ukitaka uijuwe historia yake vizuri nenda manzese uliza moody mnyama, ngumi anazijuwa mpaka anakela, huyo mwakinyo watamzeesha namateke kama ya Van dame, hayupo kizembe anajuwa ngumi haswaa!!

  • @GabrielBarikish
    @GabrielBarikish Місяць тому

    Kijana yangu ni siter tz

  • @MarwaKibwaga
    @MarwaKibwaga Місяць тому

    Hata kama aweki pesa ,tunataka eshima yako ithaminie hapa ,mpe za chemba kata utumbo akome

  • @user-nh6hz2ms8s
    @user-nh6hz2ms8s 2 місяці тому +5

    mogadishu family💪🏾

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 2 місяці тому +1

    Sign the contract big boy 😊😊

  • @user-fo8yc8xo8s
    @user-fo8yc8xo8s 2 місяці тому

    Ninavo mkubali harmonize Yani mm nakuloga weww ndio akupige mpaka uvae pempasi alafu mm nakuchukia bila ata sababu

  • @wamburakigumbo3703
    @wamburakigumbo3703 2 місяці тому

    Hawezi

  • @BenedictMgaza
    @BenedictMgaza 2 місяці тому

    Anazingua uy mtot af zile nyama tu akae akijua at kweny sambusa zipo uy kayakanyga

  • @kapondadr5840
    @kapondadr5840 2 місяці тому +1

    Champions 🔥🔥🔥

  • @MarwaKibwaga
    @MarwaKibwaga Місяць тому

    Mwakinyo ili ipate heshime piga had ue kabisa mm jeneza nanunua hana adabu

  • @nyotaicon8298
    @nyotaicon8298 2 місяці тому

    Huyooo inabid umpigee kama ngoma

  • @PhilmonCosmas
    @PhilmonCosmas 2 місяці тому

    Ile video inaonyesha ulidauty kwa kumwona mmakond uku ukimtukan n ww ukashuka kwa kweny ulingo na kumsukuma unazngua

  • @VeronicaIsinika
    @VeronicaIsinika 2 місяці тому

    Kandahar chili lile

  • @BernardMasunga
    @BernardMasunga 2 місяці тому

    Mgonge apate adabu yke