Binafsi ninakuelewaga sana kaka. Unachokitaka kwa watanzania wakuheshimu na waijue thamani yako. Binafsi wewe ndio bondia namba moja kwa TANZANIA hakuna anayekufikia kwa Sasa. #hassanmwakinyochampez❤
@@user-dl4rw6fo6x sasa ni makosa binadam kusem yey ni bora kulik ibad yan anajitukuza Allah amsameh InshaaAllah kwan Ibada ni yake Allah mola wa viumbe wot
Tafuta mshauri au msemaji aww anacongea kwa ajiri yako ww uwe pemben usikitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kinachosemwa Hassani kinacho kufanya unakosa mvuto ni speech tu bac kwingine kite unastahili
Hakuna chuki kwa hamo anataka kujua kwamba boxing alie ingia kwamba ipo jee wewe kaka mupe na fasi sio kusema wewe ni kifo ama yeye ety ni kifoo mupe muda watu tuone Tanzania tupo na watu wa boxing mpka wa Sani ❤😂❤❤❤
MWAKINYO ACHANA NAE....MPE WADOGO ZAKO,,NGUMI SIO VYUMA NGUMI NI SCIENCE,,NDIO MANA BRUCE LEE,DON YEN, JACK CHAI SIO WATU WAVYUMA NI WATU WA SCIENCE TU YANI TIMING..
Huyo moody amewahi kuwa mpiganaji wa kick boxer mzuri sana, ameshinda mashindano mengi sana ya mkoa wa Dar, mpaka leo yupo fit sana, huo mwili ameamuwa kuuongezea ili awe na muonekano wa kupata kazi, ila ukiruhusu aoneshe uwezo wake jamaa yupo vzr sana, ukitaka uijuwe historia yake vizuri nenda manzese uliza moody mnyama, ngumi anazijuwa mpaka anakela, huyo mwakinyo watamzeesha namateke kama ya Van dame, hayupo kizembe anajuwa ngumi haswaa!!
Hii nchi bn naona wengi wanamchukia huyu jamaa,but amini usiamini,he is the best Boxer kuwah kutokea ktk nchi yetu
The best kwako
@@yusuphmtuga4951 najua tu wivu unakusumbua,hvy ucjal ni jambo la kawaida kwa cc bnaadamu
Kweli
@@yusuphmtuga4951 kinyooooooooo....hakuna kama MWAKINYO acha ubishi
@@yusuphmtuga4951ata kwako pia utake usitake
Binafsi ninakuelewaga sana kaka. Unachokitaka kwa watanzania wakuheshimu na waijue thamani yako. Binafsi wewe ndio bondia namba moja kwa TANZANIA hakuna anayekufikia kwa Sasa. #hassanmwakinyochampez❤
Na kukubali sana mwambaaa mwakinyoo Na akifika Beii Mkandeee Akandike
Huyu ndie boxer bora aliepo hapa tz team mwakinyo 💪
The Best boxer eveer
Mmakonde mjinga yule anasema eti anahisi mungu angekuwa mwanamke
Allah akusameh Hakik umetelwz ibada ni kubwa mno mbel ya Allah
Hajielewi
I'm sorry ibada hairuhusiwi kutolewa mfano? Naomba nielimishwe.
@@user-dl4rw6fo6x ibada ni maombi kat ya mola na mja wake
@@user-dl4rw6fo6x sasa ni makosa binadam kusem yey ni bora kulik ibad yan anajitukuza Allah amsameh InshaaAllah kwan Ibada ni yake Allah mola wa viumbe wot
@@jamalibella9707 tumuombe InshaAllah Allah atamsameh hakun mkamilifu
Boxer number moja Tanzania
Usisikilize maneno yawatu hassani ukovizuri nasubili pambanolako inshallah Allah akufanyiewepesi
Mwakinyo utani wetu wa Makonde usiulete ulingoni, ukirusha ngumi za seriously tutakuloga
Kuronga Tena itakuwa vita kati ka mdigo n mmakonde au Tanga. N mtwara
Tumekubali mwakinyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwakinyo yuko vizuri hamonaizi bangitu nakukubalisana hassani Allah akuongoze inshallah hamonaiz hakuwez twaha pia hakuwez ukovizuri
Kwanza mfundishe kiduku
Uyu jamaa Yuko Smart sana naweza kudiliki uyu ndo bondia Bora kwa Sasa hapa Tz watu wanao fikir kua bondia apigane tu kiolela
Respect Sanaa broo for that word
Kamkande tu ili atie adabu mjinga yule
Kiukweli hakufanya vizuri. Huyo hamo.amuache mwakiyo wetu kama katumwa na ashindwe usimkosee adabu mwakinyo
Team mwakinyo mkande uyo mmakonde
Ata Mimi sikupenda vile hatupasw kuish kwa visa ilihali sisi wote ni Ndugu.
Tafuta mshauri au msemaji aww anacongea kwa ajiri yako ww uwe pemben usikitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kinachosemwa Hassani kinacho kufanya unakosa mvuto ni speech tu bac kwingine kite unastahili
Hakuna chuki kwa hamo anataka kujua kwamba boxing alie ingia kwamba ipo jee wewe kaka mupe na fasi sio kusema wewe ni kifo ama yeye ety ni kifoo mupe muda watu tuone Tanzania tupo na watu wa boxing mpka wa Sani ❤😂❤❤❤
Mwakinyo kumbe na wewe ni Mvuta Bangi tu, Harmonize zile ni Bangi pale akili hamna kazi yake kiki tu hamna la Maana.
Anaharibu keria na sifa zawatu,natamani atandikwe mbwa yule
Acha maneno hayo yeye ameeleza hisia zake sasa bangi ikowapi
Hii kitu haitakiwi maneno mob itaisha utamu mnatupotezea muda wa ngumi kwa kubishana kuna mtu anatakiwa aelekezwe kuwa huku siko abaki na kwake
Yule mvuta bangi
Acha nikuchanue bangi is not part of the exercise u can smoke and still train asf👀
Hyu mwenyewe mvuta bangi
Mwakinyo ni mmoja tu tz🙌
anzaa na kidukuu kwanza kidukuuu kwanza😮
Boxer mwenye hekima na busara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwakinyo naomba huy mmakonde ni mbage tu achana nae anataka akufie tu
Usiongee sana. Kama unapigana kapigane
Wew muoga kama unataka hashima pesa nyingi zanini
Mbona ulimrukia acha ushamba we mwoga
Mbona kiduku hujamfungulia mlango 😂😂
Kafunguliw milango mara tu mwakinyo alipomaliz pambano lake la ubingwa Zanzibar na wameshindw kuweka pesa mapromota wake
Anamuogopa kiduku
@@sadickkasaba8069 waliweka pesa mezan akakataa kupigan ngumi ni biashar ngumi ni ajira sio maneno matupu kama taarabu bro
Wew Kuna twaha kiduku Anakutaka Sana Lakn Auzungumzii kitu Pumbavu
Duh ww mmakonde huwez mpiga unajua nae amehaso kitaaa ehh mpk kutoboa duh naisubr mmakonde akunyoshe ww boxer wap
Bro malizana basi na twaha kiduku basi. 🤣🤣
Ukimpiga nje ya ulingo utaadhibiwa , ajiunge na afuate utaratibu, awe bondia, ndipo upigane naye, #Hassan Mwakinyo busara ikutangulie, mrumeeeeee
Muulizeni babalevo ata waambia😂😂😂
Haaa kumbe ww ndo ulimuanza boy jamaa alikuwa anatariii zake
Hapana wa tz Atumchukii mwakinyo lakini kama mpiginaji mkubwa watu wanakuja kukuzalau inatakiwa uwafinye wafinyikeee ndo upate Eshima
Nakupenda mwakinyo mpige uyo mshamba wa kimakonde 😂😂😂
MKUBALIE #KIDUKU
Piga kabisa mbwa uyooo anazarau sana
Namimi nasema mpige mpaka uji atafuniwe
Ulirusha ngumu bhana acha uongo
we nae linafiki tu
Chimanogo Tena 😂😂😂😂😂
Wewe si mpiganaji wew boya tu ujuw kupigana maneno meng ufanic Amna wew mcheza mduara tu
Full content, champion 🔥🔥💪
Watch out part3😂bongomovie😂
Hizo kiki TU,ndo wasanii wa kibongo ,,,,,brz ajee akufate TU mlango umemwachia.
Mmakonde chizi yule anapenda sana kiki ,muziki umemshinda anataka kucheza ...Piga kabisa mvuta bangi huyooo
MWAKINYO ACHANA NAE....MPE WADOGO ZAKO,,NGUMI SIO VYUMA NGUMI NI SCIENCE,,NDIO MANA BRUCE LEE,DON YEN, JACK CHAI SIO WATU WAVYUMA NI WATU WA SCIENCE TU YANI TIMING..
Tunaomba mwakinyo kondeboy akandwe akatibiwe mtwara😂😂😂
Kaka We pgana Nae t Ajifunze Hana Adabu huyo mtoto Tena Omba serikarin pga Nakuuwa
Uanze na Twaha kwanza bondia mwenzio ndio uje kwa harmonize, mbona unamchenga Twaha
Huyo harmonize kataka yy mwenyew
Nikwel anachungulia iv kwel kama nibobondia anataka kupigana na hamonize huyu kwel hamna kitu
Kaka una wabaya wengi sana wee ni m2 wabusala adi magufuli anakujua😮❤
Ameshaanza kuogopa huyu, atakataa pambano kwamba hajafika bei 😀😀😀
Amna k2 apo mikwala 2 kenge ww jichanganye kama autasema umesahau viatu vyako kwenye ndege..
Kama konde anataka kupigana nawewe,basi aiombe baraza lamichezo nchi ni awe mdhamana wa hilo Bambano.laa sivyo atakuvunjia cv yako
Msituzingue, manajuana nyie😊😊😊😊😊
Champion boy..... mwakinyo
😊😊😊
Pole mwanangu uyo jamaa ni mshamba ata kuvua nguo akiambia ni ustaa anavua bange tatizo
Harmo mziki umemshinda akaon aruke na mwakinyo ... mwakinyo myoe naniliiii😂😂😂 ashike adabuuu
hatutaki maneno yenu,, piganeni tuprove ni nani bingwa.
Uje unipigie konde
Huyu dogo mm namuelewa sana
Mbona kwa kiduku aujajimaliza ivo ? Mm nakuwa wa mwisho kuwaamn star's wa bongo huenda n kiki
YULE MMAKONDE NI FALA SANA
Wew mbona ulikuwa ulingon, kwanini ulishuka ukamfuata
Inatakiwa uue kabisa
Kama Mimi hapa iliniuma Sana mpaka nahisi kumdai yeye ulingoni haniwezi pia🇰🇪
Kweli kabix broo iyo ni sarau aixee mpe bonge la ngumi haache wenge aixeee
Shida uyu muongeyaji sana😂
MMakonde Noma sana
Wote kuma hao kistuli ftkinyooo kamwe hawawez zima nyimb za Simba la masimba dangote haujui#raha, commasava ndo abar ya mjini now
Kwel ww chichi na kuma pia..
We pia uneona
Tume kujua una fanyia promo pambano lako.
Unajua mwakinyo ww ni Mt ambae unajielewa Sana hayo mazungumzo yako t bas kwa mwenye akil lazm ya mfeel yule mgonjwa
Team konde tujuane. Mpaka tumkarishe Huyu Mtanga
Yule kondeni fala kama unashabikia fala na vuta bangi kama lile umepata khasara pimbi wewe,angalia watu wakushabikia
@@allykayanda6930Tafuta Pesa Kk Acha Chuki Zako Za Kimasikini Kwani Usipokuwa Wewe Fans Yake Yeye Anakosa Nn Acha Kushobokea Watu Bro
Tunasubili tareee kaka
Nakukubali sana ustarabu wako haukurupukii jambo
Nyie sasafi konde kapiga chawa wenu bado uyo bosi wenu domo a.k.a mond 😂😂😂😂😂
Mwakinyooooo
Mwakinyo weni bondia mwenye akili 2kopamoja brother
Mwakinyo utakinywa vibaya mno....
Muuwe tu
Hamonaoze amejitia kidole mwenyewe alaf kanasa yeye mwenyewe
Eti nilikuwa bauwexo wakupigana ba wote wale msenge nini kwani boxing hautumii nguvu ?? Wew haumuez mudi msenge wew akikukamata unaweza ukamwea
Mbona unatumia hasira kujibu na matusi juu,tumia akili ww ni mtu mzima matusi ya nini ?
Huna unachojua unaongea tu kwenye boxing kuna bondia na bodybuilding unatakiwa kuelewa sawa
@@emmanuelbernard9552😂😂😂
Duu tuwe tujitaidi kutumia kauli nzuli au kama huwe kaakimya
Huyo moody amewahi kuwa mpiganaji wa kick boxer mzuri sana, ameshinda mashindano mengi sana ya mkoa wa Dar, mpaka leo yupo fit sana, huo mwili ameamuwa kuuongezea ili awe na muonekano wa kupata kazi, ila ukiruhusu aoneshe uwezo wake jamaa yupo vzr sana, ukitaka uijuwe historia yake vizuri nenda manzese uliza moody mnyama, ngumi anazijuwa mpaka anakela, huyo mwakinyo watamzeesha namateke kama ya Van dame, hayupo kizembe anajuwa ngumi haswaa!!
Kijana yangu ni siter tz
Hata kama aweki pesa ,tunataka eshima yako ithaminie hapa ,mpe za chemba kata utumbo akome
mogadishu family💪🏾
Sign the contract big boy 😊😊
Ninavo mkubali harmonize Yani mm nakuloga weww ndio akupige mpaka uvae pempasi alafu mm nakuchukia bila ata sababu
Hawezi
Anazingua uy mtot af zile nyama tu akae akijua at kweny sambusa zipo uy kayakanyga
Champions 🔥🔥🔥
Mwakinyo ili ipate heshime piga had ue kabisa mm jeneza nanunua hana adabu
Huyooo inabid umpigee kama ngoma
Ile video inaonyesha ulidauty kwa kumwona mmakond uku ukimtukan n ww ukashuka kwa kweny ulingo na kumsukuma unazngua
Kandahar chili lile
Mgonge apate adabu yke