MAGORI ASEMA SIMBA ITAISHTAKI FIFA COASTAL UNION KUHUSU MCHEZAJI LAWI
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Mjumbe wa Bodi ya Timu ya Simba SC kwa upande wa Mwekezaji Mohammed Dewji Mo, Crescentius Magori, amepangua hoja dhaifu za uongozi wa timu ya Coastal Union unaodai kuwa mchezaji Lameck Lawi aliyetambulishwa Simba jana bado ni mchezaji wao, na kusema wataishtaki Coastal Union FC na hiyo klabu nyingine ya nje inayomhitaji Lawi. Akihojiwa na E FM.
Mwamba mwenyewe Magoli Hadi moyo wangu sahiz unapumua kwakurud mzigoni watu wakazi nafarujika sana
Yanga ninyi mwaka huu mnakazi kubwa tajiri amerudi mnalo
Jasusi la mpira linaungurumaaaa😂😂
Hakuna raha kama kujua sheria
MWAMBA anatema madini🤣🤣💪💪
Jane Huu mpira Sio Danguro. Mjini Moto Zanzibar kabiriti. Iweke kwenye pochi.
Viongozi wa coast njaa inawasumbua na haya mambo ya kutumiwq na watu wengine ni mabaya sana wait wamevurunda sasa wanatafuta na wengine wawavuruge lakini sio simba
Cost Si wapereke ofa kwa simba iwauzie tena
Simba ina viongozi wasomi sana hapa Tanzania kwa hiyo hizo ni inshu ndogo sana kwao
Kwani Mbona Wanatamaa
Coast U acheni utoto!
Nyuma yao yanga yupooo washindwe nawalegeee simba nguvu moja
Nguvu 1.
Costi wababaishaji hawana sela
Wameingia tamaa ya mlungula mrefu😂
Nawashauri wafuate makubaliona ya kimkataba.
Laa sivyo watafilisika muda si mrefu.
Mungu awajaalie salama wasifikie huko.
Coastal viongozi wao wacheni tamaa na ulafi
Hawa coast washamba sanaa!
Simba siyonwababaisha kama wengine costal msalimu amri kabla hajafilisiwa
mimi nishabiki wa coastal union kindakindaki ila kwa lameki lawi tusishawishiwe tukaingia kwenye mgogoro kisheria tutashindwa tusiingie kwenye huu mtego
COASTAL WAMEINGIA TAMAA
Viongozi wa Coastal Union wapewe mafunzo ya kanuni za usajili naona wanaanza kuvimba vichwa
Coastal Union wanatumiwa na upande wa 2. Viongozi wa Coastal wameahidiwa pesa ndefu na mfadhili wa upande wa 2.
Simba niwakimataifa wako makini siyojanjajanja
Awa kost niwajingasana
Mwenye simba yake ameshaanza mambo yake
Yànga mnashida
Coast sio waelewa
Wakawaulize yanga na morisoni
Rudisha mchezaji wa watu hata mgunda mlimwiba nyinyi majambazi TU wote watoto wa mudi na mudi mwenyewe aibu kweli mpaka costal mnampiga kweli kama kufulia ndo kwishilia mbali kabisa
Hujui Soka na unaongea kiushabiki. Wenzio wametoa hoja na ufafanuzi. Wewe upo na maneno na hisia zako. HUJAELEWA ufafanuzi au ??. Ikiwa hamriziki. Nendeni FIFA. Mpira Ni wa FIFA sio wa Simba au COASTAL. Mbona kaeleza vzr .
huyu jamaa hata ajui watu wanaongea nini kisa kashika kicm chake cha kutachi bas kamsliza ongea vitu vya msingi bro
Kakojoe ulale maana unatoa Povu hataa Unachoongea hujui
Simba inalazimisha tu
Inalazimisha nini?
Acha uongo
Weka ukwel bas ili tuamin kama ni uongo
Ukweli ukoje?
Mambo ya kishamba ayo toa hela chukua mchezaji
Shida yako hapo ni uelewa
Sio zabibu hizi. Acha ushamba mgogo wewe kaweke ndonya.
SIMBA ACHENI UTAPELI
Matapeli wazidi yanga ?
Kama Simba Ni matapeli, nendeni FIFA mkashtaki . Lkn kiukweli LAWI Ni Mchezaji halali wa Simba s. c. Acheni kupngea kinyuma mwiko bila hoja. Umeshasahau mlilialia kwa MORRISON na tukawashinda Hadi FIFA ??.. utaitaje Utapeli Watu wanafafanua Hadi vifungu na kanuni. NYIE mns uholela ndio maana mnafungiwa hata kusajili . SIMBA wapo smart. Acha kuongea usivyovojua. Sikiliza hoja