SAMIA AMCHANAAA!!...Lissu AKIIONA hii VIDEO Atalia hadi AZIMIE!!!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 99

  • @jamesbayo1910
    @jamesbayo1910 3 місяці тому +14

    Lisu Risasi zilimwathiri akili sasa amekosa busara ndiyo Maana anamtukana hovyo RAISI. LISU HUYU SI YULE WA ZAMANI .SASA AMEKUWA HOHEHAHE.HAFAI KUWA KIONGOZI TENA.

  • @shebatimathayo8471
    @shebatimathayo8471 3 місяці тому +9

    Mh,Rais kwanza nikupe pole sana na hongera sana kwa kuvumilia mashtum na matusi ,kwanza umeonyesha busata kubwa kutokujibu chochote hiyo ni hekima kubwa sana, endelea mbele chapa kazi Mungu atapigana na adui zako tuko nyuma yako mimi sio ccm wala chadema ni raia tu wa Tanzania tunakupuenda.

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 3 місяці тому +7

    Halafu eti ndio mtu anataka tumpe nchi atuongoze kweli jamani! Mdomo umejaa maneno machafu sera sifuri! Unajiongelea wewe kila siku bila kujali wenzako! TUNASIMAMA NA MAMA KWISHA!❤❤❤SAMIA S. HASSAN

  • @kapatazaina5444
    @kapatazaina5444 3 місяці тому +4

    Pole sana mama kwa hizo changamoto!!Lakini usikata tamaa endelea kuchapa kazi mara nyingi mti wenye matunda ndiyo upigwao mawe! Unafanya kazi nzuri sana .Carry on mama!!.

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 3 місяці тому +3

    Mungu Awasamehe pole Nyakati na majira yanapita Simama Mungu Atatusaidia tunakuombea sana Raisi

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 3 місяці тому

      Waombee wazazi wako wenye dhiki Rais ni taasisi kubwa hana umasikini wa kuombewa na masikini

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 3 місяці тому

      ​@@erickmsigala138kama nchiyetu aina machafuko na mama amesimam anafaaa kuombewa saan

  • @stamillusatila9084
    @stamillusatila9084 3 місяці тому +4

    Mama usikatishwe tamaa, kazi iendelee ❤❤❤tunakupenda sana

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 3 місяці тому +2

    Mh ayo ndo malipo unayo mlipa mama? Ulikosewa kuuliwa hapa ukahama nchi mama kakuruhusu kuja nchini tena akakuekea amani leo unamtukana km ivoo?

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 місяці тому +2

    Mama nikupe pole kwa yote ya mtaani, itoshe kusema wewe ni mama kweli kweli naendelea kukuombea Mh Rais wangu Mungu akulinde akupe nguvu na Afya, piga kaz mama Asiyekubali kua wewe unapambana kuleta maendeleo, achana nao mama.

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta 3 місяці тому +3

    Mama piga kazi wacha watukane wameshaona makonda ananguruma huku ,vijana wamejipanga vizuri hofu waliyo nayo ni kubwa mno

  • @HappyMsuya-og7ok
    @HappyMsuya-og7ok 3 місяці тому +1

    Pole mama Mungu akutie nguvu na akupiganie

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho2356 3 місяці тому

    Jamani tusiwe napamba Lissu mafuta wakati anakosea viongozi wetu

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 3 місяці тому +1

    Kumbe ndio maana lisu alipigwa ilikua sahihi sasa inajionesha wazi domolake nadhani anakula mavi huyu sio chakula sio.riziki huyu

  • @Abbas-fp5mc
    @Abbas-fp5mc 3 місяці тому

    Kama SERIKALI inapokea MAGAWIO,KIPI KINACHO FANYA SERIKALI ISIWALIPE NYONGEZA ZA MISHAHARA NA WASTAAFU WAKAONGEZEWA ZILE %50-67 ZILIZOAHIDIWA.WATU WAPEWE NYONGEZA NDIPO TUTAAMINI.

  • @fadhakirnassir2917
    @fadhakirnassir2917 3 місяці тому +1

    Kawaida ya wakizimkazi hua waungwana

  • @jumannegeorge5594
    @jumannegeorge5594 3 місяці тому

    Lissu ni mbaguzi Sana, ogopa mtu anayetaja dini ya mtu na kabila ya mtu hovyohovyo

  • @alexbayingana7879
    @alexbayingana7879 3 місяці тому

    Hakika ALLAH akusimamie Ktk maamuzi Yako ya kila SKU hakika ALLAH akikkupa busara amekupa kilicho bora, tuko pamoja All the way acha wanaokusema vibaya waendelea wamelelewa vibaya.

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 3 місяці тому +1

    Halafu mama SAMIA alikuja kukuona ulipopigwa risasi na watu wasiojulikana Leo unaongea hivyo yaani hauna shukrani wewe hata dakika Moja huwezi kuiongoza TANZANIA

    • @DorokasiIssa
      @DorokasiIssa 3 місяці тому +1

      Pole sana mama samia kwa vhangamoto hyo

  • @zaishanga1622
    @zaishanga1622 3 місяці тому

    Usijali mama mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe na debe tupu hakuachi kutoka nakukubali mama piga kz achana na waropokaji❤

  • @JulesNonda-sp1lx
    @JulesNonda-sp1lx 3 місяці тому

    Hoyeeeeee Tanzania

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 3 місяці тому

    Hivi kweli lijama kama Lissu linaweza kuongoza nchi! Anamtukana raisi, Mama, mzazi na mtu mkubwa kama vile mtoto! Huyo jama akipimwa hakiri atadhibitishwa mginjwa tu.

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 3 місяці тому

    Hawana shukurani Habari.MUNGU akutunze mama yangu.

  • @consesaphelician9266
    @consesaphelician9266 3 місяці тому

    Na un ga na na lisu mm Nina mamaangu

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 3 місяці тому

    Huyu kichaa mjuwe sio mtu wa kawaida au pengine akipanda jukwaani keshapiga maji machafu ndio mana maneno yanamtoka tu

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 3 місяці тому +2

    Mwizi ni wewe lisu huna Adabu Wewe shoga wewe

    • @CatherineMbatta
      @CatherineMbatta 3 місяці тому

      Kwa kweli hata Mimi limeniboa wakati katandikwa risas mama ndio alimshika mkono na kwenda Nairobi kumuona Leo anamtukana,hajui wema

    • @abdullahalsharji9428
      @abdullahalsharji9428 3 місяці тому

      Kweli na anataka kukuza na ku
      Support ushoga tanzania nchi ya amani

  • @hamisjuma2301
    @hamisjuma2301 3 місяці тому

    Pole mama yetu mpendwa wetu mungu yupo nawe

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 3 місяці тому

    Kumbe URASI MALIPO YAKE NDIO HAYO! nimeahirisha kugombea uenyekti wa KITONGOJI CHANGU 2024, maana kwa kweli mtu akinisema sina uvumilivu wa namna hiyo!

  • @SaidiSwaleh-ex9nn
    @SaidiSwaleh-ex9nn 3 місяці тому

    Lisu jembe tunakupenda sana fanya kazi baba

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 3 місяці тому

    Ww L8su nimshenz8 saaana na hautawai kamwe kua Rais wa nchi kwa mwenendo huo hapana.ukitusi utatusiwa...ur days r countng

  • @asiaabdul8245
    @asiaabdul8245 3 місяці тому

    Lissu amekuwa mwehu hana jipya matusi si hoja atoe mipango ili tuchambue hoja zake na ache matusi atafeli

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 3 місяці тому

    ikumbukwe CCM HAIJAWAHI KUSHINDA kwa kura za wananchi, bali ni wizi wa kura tuuuuu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 місяці тому

    Kwahiyo CCM hiyo ndiyo hila zenu toka mwanzo kuzuia vyama vya siasa kuongea na hili pia mkahalarisha kuiba kura mbona watanganyika wote wanajua CCM wanachofany na unafiki mnaofanyia wanainchi wote.

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi 3 місяці тому

    Uyu mzeè ni mshenzi saan ni mshenzi saan na washenzi wanafuraia ushenzi anaoufanya..kweli unaweza ukapewa chi kwa matusi unayotukana mama. Alieilea hii nchi kwaamn kiasi hiiki.WANAO WAZA SIKUMOJA UYU MTU NA CHAMA CHAKE KUPEWA NCHI ANAWEZA AKAINGIZA NCHI HATA KWENY MACHAFUKO

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 3 місяці тому

      Yani uyu asieeshimu utu wamwanamke hafai kuwa hata mfanyakazi wa michwari ivyokabisa hii takatak

  • @MwanaidiMsuya-sl3uu
    @MwanaidiMsuya-sl3uu 3 місяці тому

    Mama songa mbele achana na huyo taira hajielewi na hawezi kutuongoza sisi wa halo ya chino

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 3 місяці тому

    Kumbe wa Tanzania tunazuiwa kueneza ukweli hatufiki na nchi yetu inaharibika kwa watu wachache kumbe Rais wetu hana shida ila majizi yako pembeni yanamfanya Rais wetu aonekane mbaya wateuliwa wa Rais tunawaomba mumuonee huruma Rais wetu anataka mambo yawe wazi nyie anafanya madudu mpaka Rais anaonekana afanyi vizuri kiss nyie

  • @jokhaaliy3720
    @jokhaaliy3720 3 місяці тому

    Lissu ulikua na akili kipindi hikooooo ila kwasasa 😂 yani unaongea kamananiliu😅

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 3 місяці тому

    Lisu oyeee🎉

  • @Magreth-f2j
    @Magreth-f2j 3 місяці тому

    Huyu mpumbsvu namatusi yake anataka amuongoze nani hana heshima mbele za wstu mi sina chama lkn haya matusi hapana yaani mtu mzima hana maadili au huko ugaibuni alivuta madawa ya kulevya.

  • @NicholausZongo
    @NicholausZongo 3 місяці тому

    Lissu fala tu

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 3 місяці тому

    Hawana shukurani binadamu.

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 3 місяці тому

    Samia unatukanwa kwa ajili ya watendaji wako vumilia tu upigwe spana

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 місяці тому

    We jibwa achana na lisu Yuko mstari wa mbele kupigania uhuru wa pili kutoka mikononi mwa mafisi em

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 3 місяці тому

      Mitusi yenu ndio inayowaponza! TUNATAKA HOJA HATUHITAJI VIOJA! SAMIA BADO YUPO YUPO SANA. Mpaka murekebishe midomo yenu michafu!!😢😢

    • @RobertsKibasa
      @RobertsKibasa 3 місяці тому

      Busara inahitajika, matusi na lugha za mabavu haitamsaidia sana.

  • @dismanManota
    @dismanManota 3 місяці тому

    Lissu tumia akili

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 3 місяці тому

    Mtu kama huyu eti awe rais si wananchi wote watakua vichaa huyu kweli ndio anautaka urais kweli watanzania msitutanie japo kua hatupo Tanzania ila kwa huyu hapana sifa ya kwanza ili uwe rais kwanza kuwa na hekma sasa huyu kwa bwabwaja hizi ikesha mnampa urais kwa kweli wananchi wengi nao watakua vichaa kiukweli

    • @RobertsKibasa
      @RobertsKibasa 3 місяці тому

      Anaweza kuwa rais muda ukifika, pengine miaka 40 ijayo.

  • @alibulushi-d9j
    @alibulushi-d9j 3 місяці тому

    Huyu jamaa hana akili mpumbavu

  • @Magreth-f2j
    @Magreth-f2j 3 місяці тому

    Limesahau ulichowafanyia leo anaropoka kama kichaa wa milembe ni aibu mtu mkubwa kama yeye anatoa matuxi ys matakoni

  • @Sakinaamani-o1t
    @Sakinaamani-o1t 3 місяці тому

    Afadhali ungemuacha huko aliko kuwa acha mwisho watajuta

  • @AlouiseNgenDanDumwe
    @AlouiseNgenDanDumwe 3 місяці тому +1

    Kwanini samia anafukuza watu why akende kwao zanzibar akawafukuze sio poa

    • @twahirshali8014
      @twahirshali8014 3 місяці тому

      Mulikuwa mumelala Nyie wa Zanzibar kawafungua macho washamba nyie

  • @AkwilaJoseph
    @AkwilaJoseph 3 місяці тому

    Jibwa wewe unayetamka jibwa

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 3 місяці тому

    Mheshimiwa Rais wetu Mungu azidi kukupa maono na ujasiri umeruhusu mikutano ya hadhra Kwa vyama vya siasa nchin cha kushangaza na kusikitisha badala ya kuitumia fursa hii ili wawashawishi watanzania Kwa hoja zenye mashiko, malengo yao km wakipewa dhamana ya kiongozi Inch,lakini wao majukwani nikutangaza umbea na ukaguzi WA ukabira,udini, na ukanda, kiufupi ni Kwa mtanzania mwenye kujitambua hawezi Potenza muda wake kuandamana na kuwasikiliza wahuni hawo sera hawana wapowapo tu kupata ruzuku Kwa mfano MTU anaye jitambua ukampe kura Lisu awe Rais fuatilia mienendo na matukio yk alivyo kuwa shuleni jitambueni

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 3 місяці тому

    Kwataarifa yko Lisu...: Mama Samia Amekua Rais kupitia katiba na sheria.lkn mwaka ujao utakiona na utashindwa kwa huyo Mama unae mdharau.kweeenda kabisa punda wewe ulokosa fadhla.hyo hyo mama km sio yy mpka leo ungekua huko hko nje sheenzi typ ww

  • @sadih5333
    @sadih5333 3 місяці тому

    LISSU hana nadhari vizuri ,anaposema huyu mama ni mwizi sio kwa Uislamu wake anamaanisha waislamu ndio waizi? adabu zake ni ndogo sana kalewa sifa.

  • @shaibuchapuchapu5385
    @shaibuchapuchapu5385 3 місяці тому

    Nchi ikiwa na wanasiasa mambu mbu mbu ni mzigo kwa Taifa,

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 місяці тому

    Wewe unapofukuza wamasai kutoka kwao ni sawa kuliko wewe kusemwa? Wewe nani amekufukuza kwenu Zanzibar hata Bunju kwetu hapa Tanganyika umefukuzwa na nani?

    • @AbdallaHassan-gu6fi
      @AbdallaHassan-gu6fi 3 місяці тому

      Iko wapi Tanganyika ? punguzeni midomo michafu. Maraisi wangapi muliwafumbia macho. hawakua na makosa? Raisi huyu Hana kosa. KILA KIONGOZI NA ZAMA ZAKE. ACHE I WAHKA.

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 3 місяці тому

      Mulitaka Wamasai wasalie kwenye nyumba za tembe wakati nyie mpo kwenye maghorofa na Ubelgiji!?? Acheni wivu!

  • @FrolaMkolo
    @FrolaMkolo 3 місяці тому +4

    Pole mama!! Piga kazi kura zetu zipo.tumeuona utendaji wako!!!panga pangua yako siyo mbaya !!! Tafta watu kama makonda wakuwakilishe Kila mkoa utavuka kwa kishindo!! Jipe moyo mkuu utashinda

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 місяці тому

      Sio atafute watu Kwan yeye ana fanya NN ww adi una shauli ata fute watu kwani yeye kazii yake NN we vp unakijua unachokiongea

  • @HappyMsuya-og7ok
    @HappyMsuya-og7ok 3 місяці тому +1

    Usiogope kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji Mungu yupo pamoja nawe endelea mbele

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 3 місяці тому +2

    Halafu mama SAMIA alikuja kukuona ulipopigwa risasi na watu wasiojulikana Leo unaongea hivyo yaani hauna shukrani wewe hata dakika Moja huwezi kuiongoza TANZANIA

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 місяці тому

      Sasa iyo nakuambiwa ukweliii ina usiana nn na wana nchiii

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 3 місяці тому

      Yaani kiukweli lisu kuwa raisi Ni ndoto za mchana

  • @NAFTALIMUNDANGA
    @NAFTALIMUNDANGA 3 місяці тому

    Kwan Lissu kakosa nini? Kwan hamuoni hayo anayosema na yanayotokea? Abdul sasa hivi ndo anagawa rushwa sasa Lissu kakosa nini? Samia ukweli umetuangusha sana. Nadhan inatosha utupishe tu kwakweli

  • @JoyceKivugo-j8w
    @JoyceKivugo-j8w 3 місяці тому

    Oyeee Mama Samia piga kazi tunakuombea unaeleweka vizuri.acha waseme kwani kazi ya ko inatisha una huruma ya kimama wee wasi kubabaishe.si bibi ni Mama wa nguvu.

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 3 місяці тому

    Maji ya moto hayaunguzi nyumba mwacheni apwagemshenzi na mwizi wa fadhila

  • @JamesMuthangya-y8v
    @JamesMuthangya-y8v 3 місяці тому

    Wewe lisu asha kutushi mama mama amekuonea huluma ukatoka ungaimbuni sasa wewe unatushi mama wewe Huna maana kabisha

  • @agneskimario5197
    @agneskimario5197 3 місяці тому +1

    Tundu lissu amelaaniwa. Tumwombee tu ili Mungu amhurumie

  • @NuhuM-s1x
    @NuhuM-s1x 3 місяці тому +5

    Umelazwa ulikua upo nje huko kama mkimbiz mama samia ndie kiongoz wajuu pekeake alie kuja kukuona mama alifanya ziara nje ukaja ukaonana nae sasa ubaya wamama uko wap mama samia ndie rais wetu mungu ametupa ndio maana ana uvumilivu sana mungu mbariki rais wetu mama samia suluh hasani tundulisu kua nashukrani

    • @frocoissango8973
      @frocoissango8973 3 місяці тому

      Kipindi anapigwa risasi tundu alikuwa nani tz na yeye samia alikuwa nani tz? Kuja kumuhona siyo sababu yakuto kusema baya analo fanya

    • @mbikamtanganaki
      @mbikamtanganaki 3 місяці тому

      Mama achana nahuyo risas zilimfanya akawa chiz Nan ampe chiz urais ndyo maana mbowe anampa agombee urais kil mar maana anajua hawezi pata

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 3 місяці тому

      Ilo sio tatizoo Aya na sisi ambae atuja lazwa tuna faidika nn zaidi maisha magum ivi nyie mna kuaga mna jitambua amaaa

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 3 місяці тому

      @@mbikamtanganakimaisha magumu unajiletea ww mwenyewe pambana upate maisha marahisi hata walio nayo wana mikono miwili na miguu miwili kama ww ku kosa kwako usibebeshe lawama wengine amka uka pambane

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 місяці тому +1

    Polee Mama Samia hata Magufuli alikuwq anatukanwa hivyo hivyo Mungu akupe nguvu na afya njema utashinda kwa kishindo

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 3 місяці тому

    Busala hauna kiongozi gani uraisi ni ndoto kwako baba

  • @VeronicaBayyo
    @VeronicaBayyo 3 місяці тому

    Pole sana mama yetu mungu yu nawe❤

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 3 місяці тому

    Mama ulidhani utamgeuza nyoka kuwa mjusi, ukamsogeza karibu, huyo kibaraka wa wazungu

  • @JoyceKivugo-j8w
    @JoyceKivugo-j8w 3 місяці тому

    Mama pole na mashutumu Mungu alikuchagua hayo ni mapito ila Mtetezi anakuinua jicho la Mungu linamuona uko vizuri

  • @moddy8744
    @moddy8744 3 місяці тому

    Huyu jamaa hana hisani hata kidogo wala hana fadhila nilikua nikimpenda sana lakini kwa sasa sitaki hata kumsikiliza kwani yote alofanziwa na huyu Mama Rais mwenye huruma na kumwachia yote alioyataka mwisho anamtukana Rais wetu mpendwa ama kweli fadhila ya punda ni mashuzi

  • @binbakrii751
    @binbakrii751 3 місяці тому

    Uyo lisu mbona alikimbilia nnje karudi juzi 2 uyo kibaraka wa mabeberu

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 3 місяці тому

    Ukweli unauma atukuelewi polojo tu gawio lamadini mbona kimya acha ungo ndimana tunatukana❌

  • @eliassimkonda6540
    @eliassimkonda6540 3 місяці тому

    Kwa maelezo haya ukitaka utekelezaji wake maana yake kikokotoo kimekufa.maana uwepo wake ni kuwaadhibu watumishi huku chini ,Bigup my president.

  • @LangoiMollel-p1p
    @LangoiMollel-p1p 3 місяці тому

    Mama kazi iendelee usimsikilize lisu mwache aropoke

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 3 місяці тому

    WEWE NI MAMA NA UTAENDELEA KUWA MAMA YETU ASIYETAKA AJINYONGE NA BIG G

  • @childrenincrisisfoundation562
    @childrenincrisisfoundation562 3 місяці тому

    Mheshimiwa mama kwa kumfunga PAKA kengele, mapanya yanahangaika !

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 3 місяці тому

    Siasa za matusi lisu ndio anazotoa lkn mama samia bora kunyamaza Allah atakulipia

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 3 місяці тому

    Wala usimtie akilini bi samiya ndo siasa

  • @MamaBambala
    @MamaBambala 3 місяці тому

    Lussu hata umtwange kinuni upumbavu wake hauwezi kumtoka;Na midomo ya mwenye hila haiwezi kuacha kunena hila.Mama jipe moyo nauwe na moyo mkuu .UTAFIKA TU.Mwenyezi Mungu akulinde.

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 місяці тому

    Mh.siutamuke tarakimu tuone mashirikayapi yanaongoza kwakutoamagawio serikalini nakamakilamwaka halitoi. halisitahili kuendelea kuwepo.