Huyu nae c ndo wale wale 🤣🤣 ila Leo ka amka na akili yake ya asili , mawingu mawingu ya mvua yanamsaidia ila jua likianza kutoka na kichwa kikapata jua aahh utashangaa atayo yaongea 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Teacher aka GB64 ogopa MUNGU ni technologia yaani umeshau kabisa kama ulisha wahi kusema Kocha BENCHIKHA ni Bonge lakocha kuliko hata ROBERTEHNO ukasema BENCHIKHA ni bora kuliko ROBERTEHNO BENCHIKHA anajua kuwa funga AL AHLY VP tena halafu Si mlisema AL AHLY mlisha mzoea hawasumbui ukatoa na takwim Kabisa Baada ya kutoa nae SaremarambilikwenyeMichuanoya Afcrican Football League (AFL) ukasema una muweza kwa kocha mlie nae Benchikha Leo hii Benchikha una mfananisha na torch ambayo hainawaki haina charge hongera kwa kula matapishi yako
Chezea posho 😂😂😂, Nina wasi wasi amekatwa huyu ameondolewa kwenye mfumo wa posho la vijana wa mapambioo,,,,, hujifanya ana fact na evidence, tulimwambia ukiwa na hoja mtindi na facts za kuchezea singeli 🤣🤣mwisho utaaibika , ukiwa na hoja za uongo mwisho ukweli utajitokeza tu , lilikuwa suala la muda tu ila sasa ndo muda wake , maji na mafuta yameanza kujitenga 😂😂 oblongata yenyew Inamgomea Gb64 chache sanaaa uongo unamdhuruu 😂😂😂
jamaa anapointi saana sema viongozi wa simba watamuuwa kwa tamaa zao atapewa kesi ngumu ili apotelee jela niukweli mtupu anaongea clip zoote point saana kaka mungu akueke inshaallah ♥️ ❤
Wewe si ulisema sio mtz Wala sio shabiki wa kolo 🤣😂😂😅 Sema kipi kikusikitichasho ..... Dawa inawaingia vzr kolozmelody 🤣😂😂, bado apo ila endeleni kupaza sauti mpaka janja janja iondoke pale udundukani, mkiendelea na uzuzu wetu Yale ya manzoki yatajirudia kwa mayelee, kataeni umbumbumbu juzi mlikuwa mnakataa ukweli wa mwina kaduguda 😂😂😂
Kwanini team hapewi Mzee Dalali..Jamani kosa Sio MO kosa ni Management yenu...Na boards mzima ni mbovu... Kwanza mangungu na Try Again hawafai kuingoza Simba..
Hawatoki na Wala hamna ubavu huo 🤣🤣🤣, nyie ndo wa kulingishiwa mchezaji kweliii aletwe manzoki kwa magharama yote kuja kupumbazwa mwisho unamkuta sawadogo 🤣, okwa, Charamba, chasambi 🤣🤣🤣🤣 unawatoa wachezaji wazuri unaletewa wa kawaida mnapata wapi ujasiri wa kumuacha jean Otto's Baleke unamuacha Moses Phiri Kisha unawaleta akina fred vunja bei 🤣 na jobe kweliii ??? Unamuacha Mohammed Musa Unamleta karabaka 😂😂😂 duuuuuu ndugu zanguni msipokomaa mtaendelea kulia Kila wakatiiiii 😂😂😂
Gb 64 umekosea kidogo. Mapaka siyo wale 21 ambao hawajakaribishwa kutoa ushauri. Mapaka ni Bodi iliyopo sasa. Hao ndiyo wameshiba dagaa pamoja na mapanya yao.
Simba tangu kumtowa Hadji Manara aijawa sawa na apo apo Yanga alianza kuchuwa ma kombe yote mwaka miwili ingekuwa uwezekano upo Manara angerudi ile Simba sio iyi
Hayo machungu uliyonayo kaka GB64 ndiyo tuliyonayo mashabiki wote.Lakini Rais Samia hawezi kuingilia masuala ya michezo. Hapo wanachama wakutane wawatimue hao akina Try Again,Mangungu na huyo CEO Kajula.Kama hawataki kuachia timu ni kuwatimua Kwa mawe na Kwa fimbo tu. Kwa kweli Viongozi wa Simba wanakera mno Tena mno. Halafu yamekaa kimya tu.
Try again na mangungu mkumbukeni huyu jamaa hata million moja mtumieni atulie sio kama anapenda kupiga hizi kelele ila anatafuta kula kama wanavyokula wakina wakatare, muziwanda, mzaramo na wengine
Gb mumushauli jamani atafute muganga amupe kinga kubwa mana hapo asipoangalia hatukonae tena tunakupenda ndomana tunakushitua Wana sema kizuli hakidumu
Mimi yanga damu,lkn gb 64 umeongea kwa uchungu mkubwa yaani kwa hisia kubwa Sana. Pole saaana mtani. Yanga yamekwisha hayo, pambanieni timu tuzidi kuitangaza tz.
Hayo nd maneno Gb 64 sasa hayo ndio maneno we umesoma tunafanywa nyumbu,mpira unaingiza siasa miaka 3 team iongozwe na vijana hizo ndio cheche sisi tuko sawa sawa na were hata ukituamb
Msisahau matola nae kichomi pale simba ivi ulisha wai kujiuliza faida yake pale simba. Kunawachezaji wazawa anawakumbatia pale ili ale nao na kuwaingiza wengine kwa masilai yake
Hamia Utopolo akili yako imekwishaingia kutu. Kama unaona Utopolo ni timu nzuri unashindwa nini kuhamia huko ukamfuata Haji Manara? Huna akili kabisa kama unasahau ulichosema ndani ya dakika 24 nani akuelewe. Achana na mapovu. Una kelele kama mwehu.
Duh huyu mtu sina cha kuongeza 💯🙌🙌🙌🙌
GB mungu akumbliki kaka umeongea ukwli mtupu umeongea kwauchungu sna at mm inaniuma sna simba inakokwnda inapotez ufalume wke
Umetuwakilisha wanasimba wote Asante baba
GB 64 Ahsante Kwa kuongea ukweli wapo mashabiki wa Simba wanaufahamu ukweli lakini wanaacha kuongea ukweli kwasababu yakutulizwa na pesa za viongozi
Huyu nae c ndo wale wale 🤣🤣 ila Leo ka amka na akili yake ya asili , mawingu mawingu ya mvua yanamsaidia ila jua likianza kutoka na kichwa kikapata jua aahh utashangaa atayo yaongea 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Teacher aka GB64 ogopa MUNGU ni technologia yaani umeshau kabisa kama ulisha wahi kusema Kocha BENCHIKHA ni Bonge lakocha kuliko hata ROBERTEHNO ukasema BENCHIKHA ni bora kuliko ROBERTEHNO BENCHIKHA anajua kuwa funga AL AHLY VP tena halafu Si mlisema AL AHLY mlisha mzoea hawasumbui ukatoa na takwim Kabisa Baada ya kutoa nae SaremarambilikwenyeMichuanoya Afcrican Football League (AFL) ukasema una muweza kwa kocha mlie nae Benchikha Leo hii Benchikha una mfananisha na torch ambayo hainawaki haina charge hongera kwa kula matapishi yako
Aisee
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Ongea Mzee ukweli wote tunakuelewa robatinyo alijitaidi kuwafichia aibu Sasa wajiuzurutu
sasa naanza kumu elewa mchome ndiyo shabiki wa kweli ana sema ukweli wote tuli kuwa tuna muona m baya kumbe msema kweli
Chezea posho 😂😂😂, Nina wasi wasi amekatwa huyu ameondolewa kwenye mfumo wa posho la vijana wa mapambioo,,,,, hujifanya ana fact na evidence, tulimwambia ukiwa na hoja mtindi na facts za kuchezea singeli 🤣🤣mwisho utaaibika , ukiwa na hoja za uongo mwisho ukweli utajitokeza tu , lilikuwa suala la muda tu ila sasa ndo muda wake , maji na mafuta yameanza kujitenga 😂😂 oblongata yenyew Inamgomea Gb64 chache sanaaa uongo unamdhuruu 😂😂😂
Mchome unataka kumpa Sifa za Bure tu, ila huyu ndo mwanasimba Halisi, Ila sio Mchome yule anatumika tu Wala sio mwana Simba yule
Uko vizur Sana
jamaa anapointi saana sema viongozi wa simba watamuuwa kwa tamaa zao atapewa kesi ngumu ili apotelee jela niukweli mtupu anaongea clip zoote point saana kaka mungu akueke inshaallah ♥️ ❤
Asante Sana kaka shida kubwa viongozi
Pole sana ukiona mwanaume atoa povu kiasi hiki jua imeuma leo ndio umeona mda wote ulikuwa uwoni duuuuu
Gb 64 nashindwa niandike nini ila itoshe tu kusema uko sawa sawa na ninakuombea 🤲🤲 kwa Mungu akulinde na kukuongoza vyema 🙏🙏🙏
Jamaa shujaa Sana yaan anaongea points sana
Mkiachiwa timu mtaweza kuiongoza acheni ulevi🏃Kuongoza ⚽ wa miguu kazi kubwa
Kweli hayo maviongozi yatokee wabadiri wengine
C.E.O wa Simba ndio kabisa hamna kitu
Sema kaka mm niko mozambiq inauma sana
Wewe si ulisema sio mtz Wala sio shabiki wa kolo 🤣😂😂😅
Sema kipi kikusikitichasho .....
Dawa inawaingia vzr kolozmelody 🤣😂😂, bado apo ila endeleni kupaza sauti mpaka janja janja iondoke pale udundukani, mkiendelea na uzuzu wetu Yale ya manzoki yatajirudia kwa mayelee, kataeni umbumbumbu juzi mlikuwa mnakataa ukweli wa mwina kaduguda 😂😂😂
Kwanini team hapewi Mzee Dalali..Jamani kosa Sio MO kosa ni Management yenu...Na boards mzima ni mbovu... Kwanza mangungu na Try Again hawafai kuingoza Simba..
Hawatoki na Wala hamna ubavu huo 🤣🤣🤣, nyie ndo wa kulingishiwa mchezaji kweliii aletwe manzoki kwa magharama yote kuja kupumbazwa mwisho unamkuta sawadogo 🤣, okwa, Charamba, chasambi 🤣🤣🤣🤣 unawatoa wachezaji wazuri unaletewa wa kawaida mnapata wapi ujasiri wa kumuacha jean Otto's Baleke unamuacha Moses Phiri Kisha unawaleta akina fred vunja bei 🤣 na jobe kweliii ??? Unamuacha Mohammed Musa Unamleta karabaka 😂😂😂 duuuuuu ndugu zanguni msipokomaa mtaendelea kulia Kila wakatiiiii 😂😂😂
❤❤❤❤Ahsante
Mtangazaj nunua mike za earphones ytashukilia hivo mpk lini
Nakuelewa teacher
ONGERA KWA KUANZA KUWA NA UONO ...UMEANZA KUWA KAMA WANANCHI
Akili nyingi sana brooGb64
Upo vizuri kaka
Yani wewe tatizo huwa unang'ata na kupuliza kaka kuwa muwazi kama mwenzio miraji huwa unasifia hadi unavuka mipaka kaka
KK SEMA ukeli uwogozi mbaya wanasigizia wachezaji waogo Bora wageni wanajitaidi
Hao viongozi waachie timu
Sema kaka tunazalilika ❤
INAUMA Sana Sana Sana Kama
Mungu akupe maisha marefu kaka
❤❤❤❤
❤❤❤
MPIRA WA SIASA HATUTAKI
HABARI YA KUPIGA PICHA NA WACHEZAJI HATUTAKI MLIANZA A NA MANZOKI KISHA DUBE MARA MAYELE HATUTAKI MPIRA WA KAMPENI
KOCHA WA SIMBA TUTAMPOTEZA KWA UZEMBE WA VIONGOZI. USAJILI MBOVU SANA.
Wambie kak viongozi wanatuuwa yan
Mlikuwa mnaicheka yanga, mlikuwa hamjielewi. Ongeeni sana. Yanga mbele kwa mbele!
Waambie na wakina kisugu maana wao kusifia2 mkiungana wale wanatoka2.ila wenzako wakina pasi milioni wakizunguuka wakipewa buku20 wanapamba uongozi
😂wanapewa posho nzito
GB64 posho hapewi
Nikurekebishe Yanga hatuchezewi, Yanga ndo tunawastua muake kwenye usingizi mzito wapono kupenda kusifia ujinga
Hujskia yanga wakitukana viongozi taja Hilo Simba lako yanga wako vizuri sana
We mkundu wewe na mama yako anatombwa dunia nzima, GB64 anaongea ukweli kabisa
@@laninjeje8290 Asante sana ubarikiwe mm sitakutusi juu sijafunzwa hvyo ila ukweli mchungu Simba mbovu pamoja na viongozi yanga nimoja tu Africa
Eti yanga nzuri msenge tu wew.gb64 anaakili kuliko ata baba ako matako yako
Safi sana Gb 64 ukweli ndo uo
LEO NDO MTAJUA MAANA YA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 😅😅😅😅
amae😅😅😅
Uyu alikuwa anawasifia sana wachezaji awa tena kwa kutukana wenzake leo analialia
Mshabiki simba huna nafasi simba simba inawenyewe hatauongee vp haisaidiii unaharibumateyako
Point Sana yaan umeongea ukweli Sana ❤
Gb 64 umekosea kidogo. Mapaka siyo wale 21 ambao hawajakaribishwa kutoa ushauri. Mapaka ni Bodi iliyopo sasa. Hao ndiyo wameshiba dagaa pamoja na mapanya yao.
Huyu jamaa kaongea ukweli try again na mangungu ni tatizo usajili gani huu wa akina saido Fred job kazi gani hii
KUHUSU ROBERTINO WALIMUONEA LAKINI NA HUYU BENCHIKA TUTAMLAUMU KWA LIPI??? UWOZA NI VIONGOZI WETU SIMBA
Hajamlaumu amaesema Benchika ni Tochi ambayo haina Betri
Robetinho alikua ni tochi yenye angalau betri
Ww siulikua unasifia timu yenu bora kulikon leo povu linakutoka! 😂😂😂
😂😂 alisema ni Bora lkn imemuangusha acha atoe GESI😅
🤣🤣🤣🤣..kumbe na ww ulimwona mara ya kwanza eh 🤣🤣
kaa kimya nyumbu wewe mambo ya simba hayakuhusu
@@issakikwazi-jm5rq SS nyumbu c wanajuaana ushwahi kuona nyumba anajibizana na binadamu , so hata ww ni nyumbu ukibishana na nyumbu mwenzako 😅
Ongea kaka
Nimeanza kukuelewa
Hahaha leo tena serikali, mm nakuja kugombea uongozi ili nitoe uozo wote ndan ya simba
Nimekuelewa kaka!!
Nakuelewa sanaa
SsC ni timu ya waungwana na wacha Mungu! Kelele za chura hazimtoi mamba kwenye maji! Bali Tuzidi kuwaombea wachezaji wetu!
Huyu alinyimwa tiketi ya kwenda Misri njaa inamwuuma.
Simba nguvu moja ❤❤❤❤,najua ipo siku tutafurai😢😢😢
Tutafurahi Mangungu na Try Again watakapoiachia Simba
Sawakabisa
Washatutesa vyakutosha
Dah, upo sahihi Gb 64 😮😮😮
🎉🎉🎉ongea brother
Umeongea ukweli kwa kweli hatutakubali watumize kwasababu ya maslai yao viongozi waondoke
VIONGOZI ACHIENI NGAZI UJE UONGOZI MPYA
Kweli kabisa vingozi wetu wana zingua Sana sajili zetu zajanjanja
Gb 64 uko sawa
Kwakweli hii hainogi inaumiza sana
Simba tangu kumtowa Hadji Manara aijawa sawa na apo apo Yanga alianza kuchuwa ma kombe yote mwaka miwili ingekuwa uwezekano upo Manara angerudi ile Simba sio iyi
Acha ujinga mbwa wewe, zeruzeru Haji Manara ndo atasajili wachezaji??
Daaa aise mpka machozi yamenitoka jamaa kaongea kiuchungu sana b4 we mtu kaka
Hayo machungu uliyonayo kaka GB64 ndiyo tuliyonayo mashabiki wote.Lakini Rais Samia hawezi kuingilia masuala ya michezo.
Hapo wanachama wakutane wawatimue hao akina Try Again,Mangungu na huyo CEO Kajula.Kama hawataki kuachia timu ni kuwatimua Kwa mawe na Kwa fimbo tu.
Kwa kweli Viongozi wa Simba wanakera mno Tena mno.
Halafu yamekaa kimya tu.
AJI MANALA aliwalahani
Oya nawewe uwe unasugua meno yani meno yana rangi kama ya mbuzi au ng'ombe
Fegi
Try again na mangungu mkumbukeni huyu jamaa hata million moja mtumieni atulie sio kama anapenda kupiga hizi kelele ila anatafuta kula kama wanavyokula wakina wakatare, muziwanda, mzaramo na wengine
Tulia we Nyani fc 🦧 🦍
Jqmqaa anaongea oenty Sana
Bila mungu kumuondoa mangungu na try again Simba in shida kusonga mbele
Ili kuwaondoke kabisa viongozi tufungwe na yanga tena na azam hapo zitajulikana mbivu na mbovu
😂😂😂 kumbe alikuwa anaitaka safari ya Cairo .......c alijidai 😂 😂 hawatak kulipiwa 😂😂😂😂😂 , mkifungwa tu mnaanza kugombana wenyewe kwa wenyew
😮❤❤nikweli GB64 viongz wanazngua kbc km wamechoka simba waach mbn wachz wazr wap weng sana tatz vngz wanatamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wapngz tamaaaaaaaa wataft wachz zr
Hakika umeongea ukweli uko sawa kabisa Na huyu kocha tulie nae kaja kuiua histria ya. SIMBA ukweli ndio huo
asente sanakwakuogea ukweli na Mungu atakulida
Hao wana wanaopiga Back voko niwa Nomaaa sana
Duu gb unaongea ukweli kabisa yaana inafika hatua m mwenyewe mpaka naumia yaan😂😂😂😂😂😂
Gb mumushauli jamani atafute muganga amupe kinga kubwa mana hapo asipoangalia hatukonae tena tunakupenda ndomana tunakushitua Wana sema kizuli hakidumu
Dah ww na miraji mnaonge vema sana
Mimi yanga damu,lkn gb 64 umeongea kwa uchungu mkubwa yaani kwa hisia kubwa Sana. Pole saaana mtani. Yanga yamekwisha hayo, pambanieni timu tuzidi kuitangaza tz.
Pole jaman ipo siku mtafanikiwa
Uko vizuri
Waondoke wanasubili nini
Wanaompinga jb 64 wanakula pamoja naviongoz wa simba
Ww uko tofauti na machawa kama kisugu sugu uwa aongei kweli
Wenye Simba yao wamekaa kimnya.ama kweli debe tupu haliachi kuvuma.😂😂😂.achana na Simba angalia cha kufanya.
Hayo nd maneno Gb 64 sasa hayo ndio maneno we umesoma tunafanywa nyumbu,mpira unaingiza siasa miaka 3 team iongozwe na vijana hizo ndio cheche sisi tuko sawa sawa na were hata ukituamb
Msisahau matola nae kichomi pale simba ivi ulisha wai kujiuliza faida yake pale simba. Kunawachezaji wazawa anawakumbatia pale ili ale nao na kuwaingiza wengine kwa masilai yake
Umeongea kweli kaka
Asante sijui kama kisugu na wezake wanakuelewa?
kwenda zako pumbavu wee ukiachiwa wewe utaweza kuongoza au umeshiba miogo,kabla ya viongozi hawa simba ilifika hatua ganiii
Mangungu na try again ni sawa na njiwa pori hawana adabu hachiaa SIMBA ipone
wanbie uwongozi wote pigachini abaki msemaji tu
Ila nilichokuwa nakuwaza nao yanga wangeinunua tuu simba kama singida alivoinunua ihefu
Nice❤❤❤❤❤❤
MAADUWI NINYENYE WENYEWE KWAHIO BENCHIKA SIO KOCHA MZURI BORA ROBERTINO NIKOCHA MZURI
Mwanangu waambie mpila hauna kona kona kaka nakubali xana niko chuga tawijipya lasanawali
Hamia Utopolo akili yako imekwishaingia kutu. Kama unaona Utopolo ni timu nzuri unashindwa nini kuhamia huko ukamfuata Haji Manara? Huna akili kabisa kama unasahau ulichosema ndani ya dakika 24 nani akuelewe. Achana na mapovu. Una kelele kama mwehu.
Nisawa uritaka viongozi wazeche mpira tumia hakiri ww kwani yanga wanachezaji gani siwanajituma wachezaj
Tatizo lenu watu wa mpra amuwatak mwawataka watu wa siasa Bado ujasema
Kuzaliwa far ndio kujuwampira mbona we mjinga sana huyu apewe uongozi anaweza kuwa mbaguzi ukabila shenzitu
Mchome mapovu alitukanwa Sana ase kumbe alikuwa ndio mkweli 😂😂😂😂
kaka unaongea kwakujiamini sana
Huyu nae Bangi Nyingi 😂😂😂